Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.
Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.
Nimeipenda hiyo
Masanja ni gifted and talented kuleta furaha
Dah sichokaji kukusikiliza bro Masanja, kweli kila ninapoangalia najikuta siku yangu inakuwa happy .Barikiwa bro
Kama umesikia kwetu hakuna vyandalua gonga like
Nimecheka kwa sauti.....😁😁😀😀😀😀
Dah Raha sana MUNGU akutie nguvu
Ni uhalisia usiopingika. Mungu wetu hujibu maombi mapema ila hatuelewagi kabisa.
NANUKUUU Godzilla LABUDA MANENO YANGU WATAYAELEWA SIKU NIKIFA#STAY kwr masanja
Masanja tunaomba semina Kwa vijanaaa arusha tafadhali kama ukiona msg yangu tuzungumze plz
Daaaaaaaa! Masanja bwaaana
😂😂😂😂😂Masanja ana ongopa kifo hadi shetani ana mwongopa kabisa😂😂😂😂
Hahaa masaja umenishinda tabia.
Duuu masanja
Masanja we ni kituko
safi masanja sasa tishert
Nice sana
Masanja mdogo wangu umenichekesha mpaka bac ubarikiwe sana!
Aki masanja wewe nimoto wakuotea mbali😁😁😁😁😁🇰🇪🇲🇴🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Amina mtmishi
Yaani Masanja umesema kweli. Ukiimba nyimbo za huzuni huzuni huwa inatokea mambo ya huzuni. N.k.
duuuu kulia natamani kucheka natamani dah bora nicheke tuuuu😁😁😁😁😁😁😁😁 masanja ni shida
Haahha
hahahaa had nimecheka kwa sauti majansa kweli vituko
Masanja bwana 😄😄
Kwetu pazuri nimeshapakumbuka nimesha pakumbuka
Jamani bavu zangu mm. Masnj
Masanja nakugawa bure
Mimi ata kwabure sihendi
Ha ha ha ha sina hamu ya kurundi kwa baba
Masanja we kiboko
Hahahaaaa!!Masanja UNANIVUNJA MBAVU!!HEEEE!
Duh! Masanja!
Da!!!! Nataman kufanya comedy na ww kaka,, ntafrahi Kama itawezekana
ukweli mtupu mtumishi wa Mungu
Kweli lkn mwansasu aliimba siku akilala lala mauti hakuna awezae kumuamsha akalala kweli
hahaha masanja acha vituko
ndio maana me naimba nyimbo za Kupandishwa thamani,,,,na kuipeperusha bendera ya Yesu2
Hahaaa kaka Bright bwana
Brother uko sahihi kabisa
Masaja nakukubali
Hii ni kweli masanja
Kweli kabisaa, nikidifu2😀
Atari
Amennnn
Kweli kabisa
Kwel ww ni mchungaji asie na maono! Ina maan unataka kuaminisha watu kuwa mtu akifa anaenda mbinguni? Hovyo kwel! Changanya akili bro!
Masanja umenifulaisha
How can I get kemea pepo T-shirt ?
Kabisa
Masanja
AMEN AMEN 👋🙌👋🙌🙌🙋🙋💓👏👏💓🙋🔥🙋💓👏🙌🙌🙋🔥🙋💓👏👏
siku nikilala
Yaani masanja umenifanya nicheke jmn wewe kaka weweee mmmh msukuma hajuti kukupata
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani masanja
Mbn GK yupooo bado ??!!!
truth in funny way
Hivi ndio watu wenye hekima kama sanja watakavo weza kumiliki na kutawala kwa furaha
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
😂
😂😂😂😂😂😂
Yaani wewe masanja unautani mwingi
Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.
Amen bro
Ila sio kujiombea kufa
@@luganomwambulukutu5311 Yes..sio kujiombea kifo
Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.
Sitaki kusika hizo nyimbo hata kidogo
Masanja we ni kituko
Ata ww ip0 Siku usipinge MAneno sawa