LIVE:MASANJA ANAHUBIRI KANISANI KWAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 02. 2021
  • LIVE:MASANJA ANAHUBIRI KANISANI KWAKE
  • Hudba

Komentáře • 271

  • @kulwacharles5795
    @kulwacharles5795 Před 3 lety +3

    Nakubal sana, Masanja unajua Mungu azidi kukupa kibali zaidi 🙏🙏🙏🙏

  • @felisterkioko
    @felisterkioko Před rokem

    Mungu akubari sana naakuinue.kiwango kikubwa . amen

  • @barakalusindedomtz8599
    @barakalusindedomtz8599 Před 3 lety +3

    Sijui niseme nini ila kama ni kwel wito wa Mungu basi Mungu acha aitwe Mungu maana ana njia nyingi za kupeleka ujumbe kwa watu wake Tumuombe sana Mungu na kusoma maandiko maana bila neno kila kitu kwako au kwetu ni giza tupu.

  • @badieakida8351
    @badieakida8351 Před 2 lety

    Pastor masanja ahsante Sana nimefurahi kusikiliza ibada yako ni mimi BADI AKIDA nawaombea kwa mungu sana

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith7 Před 3 lety +4

    Semina ya wanaume .madhabahu yake imetengenezwa kiume zaidi so acheni kulaumu na kuhukumu sana sana sikiliza mafundisho utajifunza kitu .

  • @Oneofhiskind123
    @Oneofhiskind123 Před 3 lety

    Pastor wewe noma piga injiri ya christo kweli Mungu akikuinua walio kutemea mate jana watakutamani quote "are u still thinking about what u told me" amen

  • @vedastovaleliani8153
    @vedastovaleliani8153 Před 3 lety +5

    Umeongea ukweli sula ya mwanaume inazungumza. Lakini hata matendo ya muhubili yanazungumza kuliko maneno yake. Kama muonekano wako na mahubili yako Ni vitu viwili tofauti.

  • @makavelimkuchi2967
    @makavelimkuchi2967 Před 3 lety +2

    Ubarikiwe sana kwani mnaosema mavazi yamefanyeje sikilizeni neno

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael7538 Před 3 lety +5

    Safi sana Mch.. Emmanuel

  • @user-pq9fd5bt5x
    @user-pq9fd5bt5x Před 5 měsíci

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu tuko pamoja

  • @arafaswalehe4660
    @arafaswalehe4660 Před 3 lety +4

    Nafikili anae tukana hamjui MUNGU ni nani,,anafikili MUNGU ni kama mwanadamu,pole! MUNGU wetu niroho,nahaoni kama mwanadamu aonavyo kwani mwanadamu huangalia nje!

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 Před 3 lety +1

    ndo mana watu wanatembea uchi kwa kudhani eti mungu anaangalia roho...ndk Yesu akasemaa kuna watu watasaga meno siku ga mwisho

  • @reubenismail3672
    @reubenismail3672 Před 3 lety +3

    Mahubiri mazuri Sana!usikate tamaa zaidi piga moyo konde!

  • @lonyorilaizer8159
    @lonyorilaizer8159 Před rokem

    Hongera sana Pastor Masanja,somo zuri sana

  • @hellenmachibya2681
    @hellenmachibya2681 Před rokem

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu,,ndugu wanaume mjifunze neno hapa

  • @Hopestone_counselling_point.

    Mungu hawi radhi na wapumbavu, endeleeni kufanya upumbavu kwa kuleta mizaha mbele zake. Mungu wetu ni mkuu mnoo na ni moto ulao

    • @paulmzule4885
      @paulmzule4885 Před 3 lety

      Sasa kafanya mizaha gani apa, wewe umekariri kwa sababu masanja ni komedi.

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 Před 3 lety

      Unamsema Vibaya Mchungaji Masanja Hujitambui Maana Hakuna Kibaya Anachokihubiri..

    • @Hopestone_counselling_point.
      @Hopestone_counselling_point. Před 3 lety

      @@godmremi3558 ibada kwa Mungu mtakatifu lazima iwe ya kicho otherwise unaabudu kitu kingine

    • @edinanchimbi702
      @edinanchimbi702 Před 3 lety

      @@Hopestone_counselling_point. umekariri fani yake kariri basi na matendo yake anayosema ndio anavyotenda.

    • @tatunyasulu8627
      @tatunyasulu8627 Před 3 lety

      @@Hopestone_counselling_point. msabato pole

  • @danfordmwangesile9043
    @danfordmwangesile9043 Před 3 lety

    Ahsante sana kwa neno lako hakika tupo wengi tumetoka huko ulikotoka ko mie nakuelewa sana mtumishi wa Mungu

  • @shittostar1182
    @shittostar1182 Před 3 lety +4

    Mtumishi Emmanuel Mgaya, namtukuza sana kwa ajili yako, maana nikikuona wewe namuona Mungu ndani yako, naisikia sauti ya Kristo ndani yako.
    Chapa kazi ya God iende mbele mm niko nyuma yako nikikuombea.
    Barikiwa sana.

  • @pastoreliedhahaule4562
    @pastoreliedhahaule4562 Před 2 lety +1

    Vizuli pastor mungu mwema

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona7163 Před 3 lety +2

    Kweli ndugu Masanja umeongea mazuri sana kuhusu maisha. Watu wengi hawataki kujituma kwa kutafuta maisha, wengi wanatamani ku appear kama jinsi wanavyokuona ila hawajui history yako. Mungu akubariki na anibariki na mimi. Pia anipe nguvu mpya na mafuta mabichi tena juu yangu. Amen.

    • @nelsonmgaya4320
      @nelsonmgaya4320 Před 3 lety +1

      Usipimie bonge la ibada paster wataelewa songa mbeleeee!

  • @kalubisubira7182
    @kalubisubira7182 Před 3 lety

    Asante xn pastor kwa mahubiri yako ya kujenga,,.....

  • @emmamusa8367
    @emmamusa8367 Před rokem

    Hallelujah 🙏🙏 2nakuwelewa San m2mmish

  • @pst.latsonmusa1512
    @pst.latsonmusa1512 Před 3 lety +2

    Safi sana pastor injili lazima ihubiriwe

  • @agnesschirstian9226
    @agnesschirstian9226 Před 3 lety +1

    Mimi ninakupongeza kijana, namna hii wako watakaokuja kukushangaa ma watajikuta wamenasa. Barikiwa saana.

  • @frankraphael3765
    @frankraphael3765 Před 3 lety +2

    Working real hard is what successful people do!

  • @mosesmalone2235
    @mosesmalone2235 Před 3 lety +1

    Ndugu wa pendwa ktk kristo yesu hii ni mizaha ktk makanisa namaigizo. Mbona watunisha misuli kanisan

    • @sarahamos8524
      @sarahamos8524 Před 3 lety

      Alie wa rohon ataelewa tu

    • @user-tv9gm7yz7w
      @user-tv9gm7yz7w Před 2 měsíci

      Balikwa Sana hii ndyo lnjili tunayo taka Amina

    • @user-tv9gm7yz7w
      @user-tv9gm7yz7w Před 2 měsíci

      1:00:40 Yesu kirisito alikuwa jasili Kama Asikofu Masanja pia Goliati . Nk.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 3 lety +1

    Nimeipenda sana hii. Barikiwa mtumishi wa Mungu.

  • @thomasmuyya7221
    @thomasmuyya7221 Před 3 lety +1

    This is fantastic vijana wanahitaji ujumbe huu.

  • @Oneofhiskind123
    @Oneofhiskind123 Před 3 lety

    Msiwe na roho ya hofu ameen pastor 👏👏👏

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith7 Před 3 lety +2

    Mungu awabariki mtumishi Massanja na mke wako . I appreciate your work.

  • @godfreyally7787
    @godfreyally7787 Před 3 lety

    Mbonge la ibada ubarikiwe Sana mtumishi👏🏾👏🏾

  • @liberatuselisha5040
    @liberatuselisha5040 Před 3 lety +2

    Nimekukubali mtumishi wa MUNGU

  • @shijamakenzi3051
    @shijamakenzi3051 Před 3 lety +1

    Masanja bwana hebu punguza maneno ya kihuni unapohubiri unaposema mwanangu si msela wew nguo hizo ulizovaa unatisha mtumishi

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 Před 3 lety

      Mtumishi Anasimama Kama Baba Kwa Hiyo Kusema Wanangu Sio Kosa Na Pia Ameonyesha Yeye Ni Mchapa Kazi Na Katika Mavazi Yake Hayana Dhambi.

  • @yohanaandrew336
    @yohanaandrew336 Před 3 lety +2

    Mahubili ya leo yanahitaji vitendo Safi mchungaji kwa neno zuri

  • @florakiondo8557
    @florakiondo8557 Před 3 lety +1

    Barikiwa Sana mtu wa Mungu.

  • @davidgwagula2029
    @davidgwagula2029 Před 3 lety +1

    Ukichagua kuuza utumbo usiogope inzi piga kazi masanja

  • @renatusmlokozi3633
    @renatusmlokozi3633 Před 3 lety +2

    Bilian Sunday nzur hyo pga mpunga mpaka malaika mbinguni warukeruke

  • @iweningogoofficial3733
    @iweningogoofficial3733 Před 3 lety +6

    Ameeni baba

  • @josephmahundi2252
    @josephmahundi2252 Před 3 lety

    Nime kua muumini wako nanina furahiahwa sana nawewe Mungu akusaidie sana katika Safari yako

  • @renatusmlokozi3633
    @renatusmlokozi3633 Před 3 lety +5

    Kanisan au tanroad mbona Alana kibao

  • @manyaraspringwater8807
    @manyaraspringwater8807 Před 3 lety +2

    Sharti injili ihubiriwe

  • @revsulemanigerardjonas4098

    Fantastic

  • @emanueldaud2360
    @emanueldaud2360 Před 3 lety +1

    Umeongeaa vzr wajina ubarikiwe

  • @msalikemedia
    @msalikemedia Před 3 lety +1

    Bodgad yupo makin💪🕴️

  • @suzanajilala2871
    @suzanajilala2871 Před 3 lety +1

    AMEN MCHUGAJI WETU,

  • @furahajoy3168
    @furahajoy3168 Před 3 lety +2

    Amen amen

  • @mosesmalone2235
    @mosesmalone2235 Před 3 lety +2

    Mbona mavitambaa mbaka hukunyuma ni ya mini. Heshim madhabahu

  • @godfreyishengoma6732
    @godfreyishengoma6732 Před 3 lety

    Asanteee sana mchungaji kwa ujumbe mzuri

  • @emmanuellwilson8705
    @emmanuellwilson8705 Před 3 lety

    Barikiw pastor kwa somo zuri

  • @salmahassan3521
    @salmahassan3521 Před 3 lety

    Masanja hacha kuchanganya watu, huwezi kumpendeza Mungu na wanadamu

    • @daudimahenge4384
      @daudimahenge4384 Před 3 lety

      Sisi tunafuata nyayo za Yesu maana yeye alimpendeza Mungu na wanadam

  • @BarakaMwalukasa-jz9ut
    @BarakaMwalukasa-jz9ut Před měsícem

    Barikiwa sana

  • @danielmwasi5450
    @danielmwasi5450 Před 3 lety +2

    Hao walinzi wanini? Wachungaji Waldo bhana

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 Před 3 lety +1

    Kazi kweli kweli yaani mtu kakusanya whuni wafanye maigizo kisha wawahi mtandaoni kuja kutengeneza praise comments.
    Aise waislam hawatakagi huu upuuzi.

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 Před 3 lety +1

      Hujaelewa na hutaelewa yasiyokuhusu acha,mafundisho haya ni msingi inawezekana na ww upo kwenye kundi la kiume

    • @lukamwambalaswa4463
      @lukamwambalaswa4463 Před 3 lety +1

      Akili yako bado

  • @peterkihongosi1966
    @peterkihongosi1966 Před 3 lety +1

    Safi sana mchungaji masanja.

  • @tithomtitu32
    @tithomtitu32 Před 3 lety +2

    Wengi wameshindwa kumuekewa muchungaji masanja kwasabubu ya mavaz but me nimeelewa kuwa somo unalolifundusha limeendana na mavaz ili kuweka mkazo kuwa vijana ni lazima ufanye kaz so asingeweza kufundisha somo huku ye kavaa suti

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 Před 3 lety +1

      Goood Kuna Watu Wasio Waelewa Bwana Maana Wanamuhukumu Kwa Mavazi Bila Kutazama Ujumbe.

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 Před 3 lety +1

    Amen mutumishi

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 Před 3 lety +2

    Kazi kazi piga mzigo kaka

  • @ModestusKasanga
    @ModestusKasanga Před 2 měsíci

    Mm
    Nikukibari
    Nitakukaribisha
    Kanisan

  • @judithcha-mushala8852
    @judithcha-mushala8852 Před 3 lety

    Nguo ya mchungaji!!! Yaani hapo unaonekana kama unaenda kuendesha katapila, vaa nguo nzuri madhabahuni zanazoonyesha utukufu.

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 Před 3 lety

      Utukufu ni vazi au roho yako jitafakari ww unayejionyesha kwa nje

  • @anthonyjoseph4979
    @anthonyjoseph4979 Před 2 lety

    Ameen

  • @gilbertclavery3895
    @gilbertclavery3895 Před 3 lety +1

    Mmm mavazi hayo mnaalibu taswira ya utumishi mabodigadi sasa duu

  • @aminially5123
    @aminially5123 Před 3 lety +5

    Zecomedy church.

  • @furahahappe1641
    @furahahappe1641 Před 3 lety +1

    Hhahaha , kila la kheri Masanja. Hilo tunda hapo sasa

  • @josephsanga7667
    @josephsanga7667 Před 3 lety

    Barikiwa sana paster

  • @naimanwilliam1049
    @naimanwilliam1049 Před 3 lety +1

    Hapo hapo mchungaji umetisha

  • @agustinocharles2650
    @agustinocharles2650 Před 3 lety +1

    God is good

  • @justineonline6556
    @justineonline6556 Před 3 lety +5

    Mavazi hayo mtumishi , Mungu akusaidie maana unapokuwa madhabahuni Hasa mchungaji lazima uwe na nidhamu ya mavazi unapokuwa kwenye madhabahuni , nihayo tuu mtumishi,,,

    • @renatusmlokozi3633
      @renatusmlokozi3633 Před 3 lety +1

      Mungu anatazama moyo na si mavaz amka ww

    • @justineonline6556
      @justineonline6556 Před 3 lety

      @@renatusmlokozi3633 renatus utapotea ukisema hivyo , masanja Ni mtu mwenye uwezo wake , ashindwi kununua nguo nzur Kama suti au suruali nzuri ya kitambaa pamoja na shati zuri la kitambaa akavaa nakupendeza madhabahuni , lakini Cha ajabu anavaa ovalori Sasa hi sio sawa napia Kama mtumishi wa Mungu lazima uyaheshimu madhabahu na ubadilike kabisa , ila siku za mwisho hizi , Kama wanaona wako sahihi tuwaache na ibada zao ..

    • @japhethgeriad4519
      @japhethgeriad4519 Před 3 lety +1

      @@renatusmlokozi3633 unaweza kwenda kanisani uchi?

    • @renatusmlokozi3633
      @renatusmlokozi3633 Před 3 lety

      @@japhethgeriad4519 Kwan masanja hapo yupo uchi,ukienda uchi huo Ni uchiz wako,kuvaa nguo za kubana sanaaaa,na kuvaa nguo oversize kama watoto was Arusha Ni sign ya kuvuta bang

    • @renatusmlokozi3633
      @renatusmlokozi3633 Před 3 lety

      Mtumishi yupo saw,tunapenda mbinguni kwa moyo saf na si kwa kuwa mm Ni mkristo au muislam Wala shekh Wala Padre,utajisikiaje mtu unajua huyu n Malaya was kutupwa alaf soon unamkuta mbingun

  • @saumudaniel9051
    @saumudaniel9051 Před rokem

    Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏❤️

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias1188 Před 3 lety +1

    Ujumbe umefika mwenye masikio na asikie

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 Před 3 lety +2

    Amen

  • @imanmsangawale4078
    @imanmsangawale4078 Před 2 lety +1

    Nabalikiwa nà mahubil

  • @wolfugangtesha5724
    @wolfugangtesha5724 Před 3 lety +1

    Nzuri sana hii

  • @kitumbondindindi4344
    @kitumbondindindi4344 Před 3 lety

    yani mimi nikionaga mabodigadi 😎😎huwa natilia mashaka

  • @geraldramadhani8487
    @geraldramadhani8487 Před 3 lety +2

    Vazi lako kiutumishi mimi mwenyewe sijaelewa unatufundisha nn ila neno nimekuelewa punguza swaga uendane Na utumish

    • @goegymchugaji2629
      @goegymchugaji2629 Před 3 lety

      Rohon simuon kabisa huyu mtumish

    • @georgegeofley9595
      @georgegeofley9595 Před 3 lety +1

      Hilo vaz ni la kazi na amevaa kudemostrate kufanya kaz hasa wanaume mana ilikuwa ni siku ya wanaume

    • @childrengospelmissiontanza1474
      @childrengospelmissiontanza1474 Před 3 lety

      Kuna watu wana vichwa vigumuuuu,hawajui neno linaendana na demonstration ilikuwa siku maalum

  • @peterivandaud496
    @peterivandaud496 Před 3 lety +7

    Unapo jaji kitu n lazima usikilize lengo nadhumuni lahuyo unaemdisi ili uwe nahoja zenye nguvu usijaji usichokielewa. Pastor Mungu Akubariki Sana.

    • @shijamakenzi3051
      @shijamakenzi3051 Před 3 lety +1

      Hata kuvaa kwa sitaaha bibilia iko wazi unaninginiza kitambaa kirefu mfuko wa nyuma na swaga za kihuni nn maana yake kweli nyie walokole sijuwi wokovu gan huo

    • @Hopestone_counselling_point.
      @Hopestone_counselling_point. Před 3 lety

      @@shijamakenzi3051 vijana wanafikiri Mungu wetu ni wa lelemama, shetani mwenyewe ana uwezo wa kuhubiri na kuongea makubwa kumhusu Mungu ila matendo na nia yake vinamuangusha

    • @edinanchimbi702
      @edinanchimbi702 Před 3 lety

      @@shijamakenzi3051 mungu ni roho na wamwabudio wanamwabudu kwa roho si nguo

    • @shijamakenzi3051
      @shijamakenzi3051 Před 3 lety

      @@edinanchimbi702 yesu anasema manabi wa uongo wengi watakuja kwa jina langu wakifanya miujiza mikubwa hakika yametimia tunaona kwa macho na mwenye macho haambiwi tazama leo tunashuhudia utitili wa makanisa mengi yakiwa na wachungaji feki wakitapeli watu kwa kutumia bibilia kupata pesa miujiza ya kitapeli imetamalaki mara mafuta ya upako utauziwa maji yanauzwa leo hii na mambo mengi tu ya kihuni tutawatambua kwa matendo yao kama huyo masanja ovyoo kabisa

    • @edinanchimbi702
      @edinanchimbi702 Před 3 lety

      @@shijamakenzi3051 kijana funguka usiangalie vazi lake angalia utu wake wa ndani. Yesu angeangalia hayo asikubali kupanguswa miguu na nywele za yule kahaba. Na wala Masanja hajasisitiza uagalie vazi lake, amesisitiza kufanya jazi si neno lake. Kama hutaki ipo siku utaelewa tu wala si mafuta tofautisha

  • @kingdonald3312
    @kingdonald3312 Před 3 lety

    uwaga nakukubali sasa kaka ubarikiwe sana

  • @susankasyoka853
    @susankasyoka853 Před 2 lety

    Amina Amina kweli kabisa

  • @charlesnurumwasha7834
    @charlesnurumwasha7834 Před 3 lety +1

    Mungu naomba nisamehe kama nitakuwa nakosea. '' Hivi huyo Baunsa anafanya nini hapo???

  • @ashelimichael7913
    @ashelimichael7913 Před 3 lety +2

    Do hyo suliali umetisha kwel na kaleso kwenye mfuko wa nyuma hahaha

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith7 Před 3 lety +5

    Nadhani hii ilikuwa semina ya wanaume na vijana. Angalia hata jinsi walivyotengeneza stage imekaa shuguli za wanaume

  • @lameckonunga4599
    @lameckonunga4599 Před 2 lety

    Hayo Ni mavazi gani kwa madhabahu?

  • @chantalvumilia9779
    @chantalvumilia9779 Před 3 lety

    Mfano mzuri mchungaji tunatenda zambi eti Mungu hatuoni.barikiwa sana.

  • @razalolazaoo6362
    @razalolazaoo6362 Před 3 lety +1

    Ama kweli wanao izalau dini nawale wanao ijuwa dini hizo nguo hazistahili hata uzishike lakini ww unavaaa tena Kanisani istoshe mazabahuni uwiiiiiiiiii mnamuabudu mungu yupi huyoooo

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 Před 3 lety +1

      Mungu Anaehubiriwa Ni Yule Aliesema Asiefanya Kazi Na Asile...

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 Před 3 lety +1

      We ni mjinga kwani kavaa uchi jielewe

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth Před 3 lety

    Vazi ni utambulisho masanja, umehubiri vyema lakini unayemuhubiri akili yake itakuwa imewaza Mara mbili mbili

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus5477 Před 3 lety +1

    Mimi naona mchungaji ukosawa mbonakwenye mamkanisayenu Hadi mnakatika viuno Sasa mnashangaa walinzi kwalipi? Ametoa maneno yamaana abarikiwesana maana mlisha zora pokeeeeeeeeeeeeeeeaaaaaaaaaaa!

  • @angelachisongela9925
    @angelachisongela9925 Před 3 lety

    Ni kweli kabisa Mchungaji

  • @stephanomwizalubi9619
    @stephanomwizalubi9619 Před 3 lety +2

    Duuu walinzi hadi kanisani

  • @jacksonsimon4453
    @jacksonsimon4453 Před 3 lety +1

    Amina

  • @josephmwaluko9205
    @josephmwaluko9205 Před 3 lety +1

    Uyo sio mungu uyo ni masanja sikiliza mafundisho alivo vaa inakuusu nn ukimjadili mtumishi aytokusaidia kitu utakosa kitu kizur

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus5477 Před 3 lety

    Ukosawa mtumishi

  • @baruanhasan8193
    @baruanhasan8193 Před 2 měsíci

    Mahubili Yako yametulia lakini hizo nguo sio usilete uhuni madhabahuni yaani Hadi watu wamevaa kofia kanisani sijakuelewa kabisa

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 Před 3 lety +2

    Nguo sasa, kama gereji ila poa ujumbe uko vizuri

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 Před 3 lety +1

    Kwa hio nae amefungua kanisa lake
    Feel Free Church. Walokole wanaroho ya usaliti

    • @DrNick-hg6il
      @DrNick-hg6il Před 3 lety +1

      ROHO YA USALITI WAKATI WANAHUBIRI INJILI, TATIZO SIYO MTU KUANZISHA KANISA , KAMA ANAHUBIRI YALIYO HAKI KWANI KUNATATIZO GANI?

  • @stevenbaruhani431
    @stevenbaruhani431 Před 3 lety

    Mchungaji bwanaasifiwe hudumayako tunaihitaji mkoanikwetu hapamwanza tufanyeje

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 Před rokem

    Ni ulize hao mabodigadi wanini kanisani?

  • @EngJosh
    @EngJosh Před 3 lety +4

    Kanisa la wahuni

  • @saumudaniel9051
    @saumudaniel9051 Před rokem

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️

  • @salmahassan3521
    @salmahassan3521 Před 3 lety

    Monica mtoto wa kisukuma una kazi ya kufanya hapo, Ulaya kumemuharibu mume wako

  • @amrubinannasannas9185
    @amrubinannasannas9185 Před 3 lety +3

    Heeeee hii dini kweli jamani
    Mpaka huyu jamani mchungaji

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 Před 3 lety +1

      Ulitaka ww uwe mchungaji ?hata Yesu aliambiwa huyu si mwana wa selemala