Sijui niseme nini ila kama ni kwel wito wa Mungu basi Mungu acha aitwe Mungu maana ana njia nyingi za kupeleka ujumbe kwa watu wake Tumuombe sana Mungu na kusoma maandiko maana bila neno kila kitu kwako au kwetu ni giza tupu.
Pastor wewe noma piga injiri ya christo kweli Mungu akikuinua walio kutemea mate jana watakutamani quote "are u still thinking about what u told me" amen
Umeongea ukweli sula ya mwanaume inazungumza. Lakini hata matendo ya muhubili yanazungumza kuliko maneno yake. Kama muonekano wako na mahubili yako Ni vitu viwili tofauti.
Nafikili anae tukana hamjui MUNGU ni nani,,anafikili MUNGU ni kama mwanadamu,pole! MUNGU wetu niroho,nahaoni kama mwanadamu aonavyo kwani mwanadamu huangalia nje!
Mtumishi Emmanuel Mgaya, namtukuza sana kwa ajili yako, maana nikikuona wewe namuona Mungu ndani yako, naisikia sauti ya Kristo ndani yako. Chapa kazi ya God iende mbele mm niko nyuma yako nikikuombea. Barikiwa sana.
Kweli ndugu Masanja umeongea mazuri sana kuhusu maisha. Watu wengi hawataki kujituma kwa kutafuta maisha, wengi wanatamani ku appear kama jinsi wanavyokuona ila hawajui history yako. Mungu akubariki na anibariki na mimi. Pia anipe nguvu mpya na mafuta mabichi tena juu yangu. Amen.
Wengi wameshindwa kumuekewa muchungaji masanja kwasabubu ya mavaz but me nimeelewa kuwa somo unalolifundusha limeendana na mavaz ili kuweka mkazo kuwa vijana ni lazima ufanye kaz so asingeweza kufundisha somo huku ye kavaa suti
Mavazi hayo mtumishi , Mungu akusaidie maana unapokuwa madhabahuni Hasa mchungaji lazima uwe na nidhamu ya mavazi unapokuwa kwenye madhabahuni , nihayo tuu mtumishi,,,
@@renatusmlokozi3633 renatus utapotea ukisema hivyo , masanja Ni mtu mwenye uwezo wake , ashindwi kununua nguo nzur Kama suti au suruali nzuri ya kitambaa pamoja na shati zuri la kitambaa akavaa nakupendeza madhabahuni , lakini Cha ajabu anavaa ovalori Sasa hi sio sawa napia Kama mtumishi wa Mungu lazima uyaheshimu madhabahu na ubadilike kabisa , ila siku za mwisho hizi , Kama wanaona wako sahihi tuwaache na ibada zao ..
@@japhethgeriad4519 Kwan masanja hapo yupo uchi,ukienda uchi huo Ni uchiz wako,kuvaa nguo za kubana sanaaaa,na kuvaa nguo oversize kama watoto was Arusha Ni sign ya kuvuta bang
Mtumishi yupo saw,tunapenda mbinguni kwa moyo saf na si kwa kuwa mm Ni mkristo au muislam Wala shekh Wala Padre,utajisikiaje mtu unajua huyu n Malaya was kutupwa alaf soon unamkuta mbingun
Hata kuvaa kwa sitaaha bibilia iko wazi unaninginiza kitambaa kirefu mfuko wa nyuma na swaga za kihuni nn maana yake kweli nyie walokole sijuwi wokovu gan huo
@@shijamakenzi3051 vijana wanafikiri Mungu wetu ni wa lelemama, shetani mwenyewe ana uwezo wa kuhubiri na kuongea makubwa kumhusu Mungu ila matendo na nia yake vinamuangusha
@@edinanchimbi702 yesu anasema manabi wa uongo wengi watakuja kwa jina langu wakifanya miujiza mikubwa hakika yametimia tunaona kwa macho na mwenye macho haambiwi tazama leo tunashuhudia utitili wa makanisa mengi yakiwa na wachungaji feki wakitapeli watu kwa kutumia bibilia kupata pesa miujiza ya kitapeli imetamalaki mara mafuta ya upako utauziwa maji yanauzwa leo hii na mambo mengi tu ya kihuni tutawatambua kwa matendo yao kama huyo masanja ovyoo kabisa
@@shijamakenzi3051 kijana funguka usiangalie vazi lake angalia utu wake wa ndani. Yesu angeangalia hayo asikubali kupanguswa miguu na nywele za yule kahaba. Na wala Masanja hajasisitiza uagalie vazi lake, amesisitiza kufanya jazi si neno lake. Kama hutaki ipo siku utaelewa tu wala si mafuta tofautisha
Ama kweli wanao izalau dini nawale wanao ijuwa dini hizo nguo hazistahili hata uzishike lakini ww unavaaa tena Kanisani istoshe mazabahuni uwiiiiiiiiii mnamuabudu mungu yupi huyoooo
Nakubal sana, Masanja unajua Mungu azidi kukupa kibali zaidi 🙏🙏🙏🙏
Mungu akubari sana naakuinue.kiwango kikubwa . amen
Sijui niseme nini ila kama ni kwel wito wa Mungu basi Mungu acha aitwe Mungu maana ana njia nyingi za kupeleka ujumbe kwa watu wake Tumuombe sana Mungu na kusoma maandiko maana bila neno kila kitu kwako au kwetu ni giza tupu.
Pastor masanja ahsante Sana nimefurahi kusikiliza ibada yako ni mimi BADI AKIDA nawaombea kwa mungu sana
Semina ya wanaume .madhabahu yake imetengenezwa kiume zaidi so acheni kulaumu na kuhukumu sana sana sikiliza mafundisho utajifunza kitu .
Pastor wewe noma piga injiri ya christo kweli Mungu akikuinua walio kutemea mate jana watakutamani quote "are u still thinking about what u told me" amen
Umeongea ukweli sula ya mwanaume inazungumza. Lakini hata matendo ya muhubili yanazungumza kuliko maneno yake. Kama muonekano wako na mahubili yako Ni vitu viwili tofauti.
Ubarikiwe sana kwani mnaosema mavazi yamefanyeje sikilizeni neno
Safi sana Mch.. Emmanuel
Barikiwa sana mtumishi wa mungu tuko pamoja
Nafikili anae tukana hamjui MUNGU ni nani,,anafikili MUNGU ni kama mwanadamu,pole! MUNGU wetu niroho,nahaoni kama mwanadamu aonavyo kwani mwanadamu huangalia nje!
ndo mana watu wanatembea uchi kwa kudhani eti mungu anaangalia roho...ndk Yesu akasemaa kuna watu watasaga meno siku ga mwisho
Mahubiri mazuri Sana!usikate tamaa zaidi piga moyo konde!
Hongera sana Pastor Masanja,somo zuri sana
Mungu akubariki mtumishi wa mungu,,ndugu wanaume mjifunze neno hapa
Mungu hawi radhi na wapumbavu, endeleeni kufanya upumbavu kwa kuleta mizaha mbele zake. Mungu wetu ni mkuu mnoo na ni moto ulao
Sasa kafanya mizaha gani apa, wewe umekariri kwa sababu masanja ni komedi.
Unamsema Vibaya Mchungaji Masanja Hujitambui Maana Hakuna Kibaya Anachokihubiri..
@@godmremi3558 ibada kwa Mungu mtakatifu lazima iwe ya kicho otherwise unaabudu kitu kingine
@@Hopestone_counselling_point. umekariri fani yake kariri basi na matendo yake anayosema ndio anavyotenda.
@@Hopestone_counselling_point. msabato pole
Ahsante sana kwa neno lako hakika tupo wengi tumetoka huko ulikotoka ko mie nakuelewa sana mtumishi wa Mungu
Mtumishi Emmanuel Mgaya, namtukuza sana kwa ajili yako, maana nikikuona wewe namuona Mungu ndani yako, naisikia sauti ya Kristo ndani yako.
Chapa kazi ya God iende mbele mm niko nyuma yako nikikuombea.
Barikiwa sana.
🙏🏽 Amen
Very few people see that way. Amen to you!
Vizuli pastor mungu mwema
Kweli ndugu Masanja umeongea mazuri sana kuhusu maisha. Watu wengi hawataki kujituma kwa kutafuta maisha, wengi wanatamani ku appear kama jinsi wanavyokuona ila hawajui history yako. Mungu akubariki na anibariki na mimi. Pia anipe nguvu mpya na mafuta mabichi tena juu yangu. Amen.
Usipimie bonge la ibada paster wataelewa songa mbeleeee!
Asante xn pastor kwa mahubiri yako ya kujenga,,.....
Hallelujah 🙏🙏 2nakuwelewa San m2mmish
Safi sana pastor injili lazima ihubiriwe
Mimi ninakupongeza kijana, namna hii wako watakaokuja kukushangaa ma watajikuta wamenasa. Barikiwa saana.
Working real hard is what successful people do!
Ndugu wa pendwa ktk kristo yesu hii ni mizaha ktk makanisa namaigizo. Mbona watunisha misuli kanisan
Alie wa rohon ataelewa tu
Balikwa Sana hii ndyo lnjili tunayo taka Amina
1:00:40 Yesu kirisito alikuwa jasili Kama Asikofu Masanja pia Goliati . Nk.
Nimeipenda sana hii. Barikiwa mtumishi wa Mungu.
This is fantastic vijana wanahitaji ujumbe huu.
Msiwe na roho ya hofu ameen pastor 👏👏👏
Mungu awabariki mtumishi Massanja na mke wako . I appreciate your work.
Mbonge la ibada ubarikiwe Sana mtumishi👏🏾👏🏾
Nimekukubali mtumishi wa MUNGU
Masanja bwana hebu punguza maneno ya kihuni unapohubiri unaposema mwanangu si msela wew nguo hizo ulizovaa unatisha mtumishi
Mtumishi Anasimama Kama Baba Kwa Hiyo Kusema Wanangu Sio Kosa Na Pia Ameonyesha Yeye Ni Mchapa Kazi Na Katika Mavazi Yake Hayana Dhambi.
Mahubili ya leo yanahitaji vitendo Safi mchungaji kwa neno zuri
Barikiwa Sana mtu wa Mungu.
Ukichagua kuuza utumbo usiogope inzi piga kazi masanja
Bilian Sunday nzur hyo pga mpunga mpaka malaika mbinguni warukeruke
Ameeni baba
Nime kua muumini wako nanina furahiahwa sana nawewe Mungu akusaidie sana katika Safari yako
Kanisan au tanroad mbona Alana kibao
Sharti injili ihubiriwe
Fantastic
Umeongeaa vzr wajina ubarikiwe
Bodgad yupo makin💪🕴️
AMEN MCHUGAJI WETU,
Amen amen
Mbona mavitambaa mbaka hukunyuma ni ya mini. Heshim madhabahu
Vina shida gani sasa ? Hamkosagi vya kuropo, sikiliza ujumbe wewe
Maana halisi ya kufeel free
Huelewi chochote ww
Asanteee sana mchungaji kwa ujumbe mzuri
Barikiw pastor kwa somo zuri
Masanja hacha kuchanganya watu, huwezi kumpendeza Mungu na wanadamu
Sisi tunafuata nyayo za Yesu maana yeye alimpendeza Mungu na wanadam
Barikiwa sana
Hao walinzi wanini? Wachungaji Waldo bhana
Kazi kweli kweli yaani mtu kakusanya whuni wafanye maigizo kisha wawahi mtandaoni kuja kutengeneza praise comments.
Aise waislam hawatakagi huu upuuzi.
Hujaelewa na hutaelewa yasiyokuhusu acha,mafundisho haya ni msingi inawezekana na ww upo kwenye kundi la kiume
Akili yako bado
Safi sana mchungaji masanja.
Wengi wameshindwa kumuekewa muchungaji masanja kwasabubu ya mavaz but me nimeelewa kuwa somo unalolifundusha limeendana na mavaz ili kuweka mkazo kuwa vijana ni lazima ufanye kaz so asingeweza kufundisha somo huku ye kavaa suti
Goood Kuna Watu Wasio Waelewa Bwana Maana Wanamuhukumu Kwa Mavazi Bila Kutazama Ujumbe.
Amen mutumishi
Kazi kazi piga mzigo kaka
Mm
Nikukibari
Nitakukaribisha
Kanisan
Nguo ya mchungaji!!! Yaani hapo unaonekana kama unaenda kuendesha katapila, vaa nguo nzuri madhabahuni zanazoonyesha utukufu.
Utukufu ni vazi au roho yako jitafakari ww unayejionyesha kwa nje
Ameen
Mmm mavazi hayo mnaalibu taswira ya utumishi mabodigadi sasa duu
Zecomedy church.
🤣🤣🤣🤣
Hhahaha , kila la kheri Masanja. Hilo tunda hapo sasa
Barikiwa sana paster
Hapo hapo mchungaji umetisha
God is good
Mavazi hayo mtumishi , Mungu akusaidie maana unapokuwa madhabahuni Hasa mchungaji lazima uwe na nidhamu ya mavazi unapokuwa kwenye madhabahuni , nihayo tuu mtumishi,,,
Mungu anatazama moyo na si mavaz amka ww
@@renatusmlokozi3633 renatus utapotea ukisema hivyo , masanja Ni mtu mwenye uwezo wake , ashindwi kununua nguo nzur Kama suti au suruali nzuri ya kitambaa pamoja na shati zuri la kitambaa akavaa nakupendeza madhabahuni , lakini Cha ajabu anavaa ovalori Sasa hi sio sawa napia Kama mtumishi wa Mungu lazima uyaheshimu madhabahu na ubadilike kabisa , ila siku za mwisho hizi , Kama wanaona wako sahihi tuwaache na ibada zao ..
@@renatusmlokozi3633 unaweza kwenda kanisani uchi?
@@japhethgeriad4519 Kwan masanja hapo yupo uchi,ukienda uchi huo Ni uchiz wako,kuvaa nguo za kubana sanaaaa,na kuvaa nguo oversize kama watoto was Arusha Ni sign ya kuvuta bang
Mtumishi yupo saw,tunapenda mbinguni kwa moyo saf na si kwa kuwa mm Ni mkristo au muislam Wala shekh Wala Padre,utajisikiaje mtu unajua huyu n Malaya was kutupwa alaf soon unamkuta mbingun
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏❤️
Ujumbe umefika mwenye masikio na asikie
Amen
Nabalikiwa nà mahubil
Nzuri sana hii
yani mimi nikionaga mabodigadi 😎😎huwa natilia mashaka
Vazi lako kiutumishi mimi mwenyewe sijaelewa unatufundisha nn ila neno nimekuelewa punguza swaga uendane Na utumish
Rohon simuon kabisa huyu mtumish
Hilo vaz ni la kazi na amevaa kudemostrate kufanya kaz hasa wanaume mana ilikuwa ni siku ya wanaume
Kuna watu wana vichwa vigumuuuu,hawajui neno linaendana na demonstration ilikuwa siku maalum
Unapo jaji kitu n lazima usikilize lengo nadhumuni lahuyo unaemdisi ili uwe nahoja zenye nguvu usijaji usichokielewa. Pastor Mungu Akubariki Sana.
Hata kuvaa kwa sitaaha bibilia iko wazi unaninginiza kitambaa kirefu mfuko wa nyuma na swaga za kihuni nn maana yake kweli nyie walokole sijuwi wokovu gan huo
@@shijamakenzi3051 vijana wanafikiri Mungu wetu ni wa lelemama, shetani mwenyewe ana uwezo wa kuhubiri na kuongea makubwa kumhusu Mungu ila matendo na nia yake vinamuangusha
@@shijamakenzi3051 mungu ni roho na wamwabudio wanamwabudu kwa roho si nguo
@@edinanchimbi702 yesu anasema manabi wa uongo wengi watakuja kwa jina langu wakifanya miujiza mikubwa hakika yametimia tunaona kwa macho na mwenye macho haambiwi tazama leo tunashuhudia utitili wa makanisa mengi yakiwa na wachungaji feki wakitapeli watu kwa kutumia bibilia kupata pesa miujiza ya kitapeli imetamalaki mara mafuta ya upako utauziwa maji yanauzwa leo hii na mambo mengi tu ya kihuni tutawatambua kwa matendo yao kama huyo masanja ovyoo kabisa
@@shijamakenzi3051 kijana funguka usiangalie vazi lake angalia utu wake wa ndani. Yesu angeangalia hayo asikubali kupanguswa miguu na nywele za yule kahaba. Na wala Masanja hajasisitiza uagalie vazi lake, amesisitiza kufanya jazi si neno lake. Kama hutaki ipo siku utaelewa tu wala si mafuta tofautisha
uwaga nakukubali sasa kaka ubarikiwe sana
Amina Amina kweli kabisa
Mungu naomba nisamehe kama nitakuwa nakosea. '' Hivi huyo Baunsa anafanya nini hapo???
We acha tuu
Do hyo suliali umetisha kwel na kaleso kwenye mfuko wa nyuma hahaha
Nadhani hii ilikuwa semina ya wanaume na vijana. Angalia hata jinsi walivyotengeneza stage imekaa shuguli za wanaume
Ok
Kuna wasumbufu humu yaan had wanakera
Hongera pst karibu mwanza
Ameen
Mbunifu mnooo,,usipoelewa basi mifano ya kujenga
Hayo Ni mavazi gani kwa madhabahu?
Mfano mzuri mchungaji tunatenda zambi eti Mungu hatuoni.barikiwa sana.
Ama kweli wanao izalau dini nawale wanao ijuwa dini hizo nguo hazistahili hata uzishike lakini ww unavaaa tena Kanisani istoshe mazabahuni uwiiiiiiiiii mnamuabudu mungu yupi huyoooo
Mungu Anaehubiriwa Ni Yule Aliesema Asiefanya Kazi Na Asile...
We ni mjinga kwani kavaa uchi jielewe
Vazi ni utambulisho masanja, umehubiri vyema lakini unayemuhubiri akili yake itakuwa imewaza Mara mbili mbili
Mimi naona mchungaji ukosawa mbonakwenye mamkanisayenu Hadi mnakatika viuno Sasa mnashangaa walinzi kwalipi? Ametoa maneno yamaana abarikiwesana maana mlisha zora pokeeeeeeeeeeeeeeeaaaaaaaaaaa!
Ni kweli kabisa Mchungaji
Duuu walinzi hadi kanisani
Amina
Uyo sio mungu uyo ni masanja sikiliza mafundisho alivo vaa inakuusu nn ukimjadili mtumishi aytokusaidia kitu utakosa kitu kizur
Ukosawa mtumishi
Mahubili Yako yametulia lakini hizo nguo sio usilete uhuni madhabahuni yaani Hadi watu wamevaa kofia kanisani sijakuelewa kabisa
Nguo sasa, kama gereji ila poa ujumbe uko vizuri
Changamoto. Mavitambaa yanini
Ni mtazamo tuu lkn Injili inapigwa tu
Wenye ustaarabu ndo wamejaa maovu kibao
Kwa hio nae amefungua kanisa lake
Feel Free Church. Walokole wanaroho ya usaliti
ROHO YA USALITI WAKATI WANAHUBIRI INJILI, TATIZO SIYO MTU KUANZISHA KANISA , KAMA ANAHUBIRI YALIYO HAKI KWANI KUNATATIZO GANI?
Mchungaji bwanaasifiwe hudumayako tunaihitaji mkoanikwetu hapamwanza tufanyeje
Ni ulize hao mabodigadi wanini kanisani?
Kanisa la wahuni
Vazi linathibitisha
Pole
Umeelewa kinachofundishwa Au umekimbilia kusema tu
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️
Monica mtoto wa kisukuma una kazi ya kufanya hapo, Ulaya kumemuharibu mume wako
Heeeee hii dini kweli jamani
Mpaka huyu jamani mchungaji
Ulitaka ww uwe mchungaji ?hata Yesu aliambiwa huyu si mwana wa selemala
Safi