Wacha kujitamba asingelikuwa gumbo usingetoka kihivyooo alafu unadharau sana hata bagamoyo ulilala kwenye mkeka pale baobab studio wakati tukiandaa filamu ya itunyama,,,,,
Mm nikua bosi kupitia elimu Ii nimejifuza kitu apa du kumbe ss atupendi kujishulisha tuna kua na tama sana kuliko kuwa na usubutu wa kulipa galama ya Kile tunacho kitamani
Umebadilisha maisha yangu sanaaa broo more thanks
Asante kwa elimu bro
Asante Kwa ushauri MKUBWA sana Kwa vijana
GREAT KAKA MASANJA
Hii video imebadili maisha yangu.
Amnia
Powerful
Wacha kujitamba asingelikuwa gumbo usingetoka kihivyooo alafu unadharau sana hata bagamoyo ulilala kwenye mkeka pale baobab studio wakati tukiandaa filamu ya itunyama,,,,,
Kuaminiwa ni mtaji
Mm nikua bosi kupitia elimu Ii nimejifuza kitu apa du kumbe ss atupendi kujishulisha tuna kua na tama sana kuliko kuwa na usubutu wa kulipa galama ya Kile tunacho kitamani
Kuna watu wanatumia jina la msanja na sura yake kutaperi watu Naomba namba ya masanj
Sauti iko chini
Nihakika tulikutana mbeya mwanjerwa hakika muumBA aliyetuu 7:08 mba aabuniwe umilele wote
Kweli hayo mafungu unayasikia mifuko zaidi ya 30 ya uwekezaji ila kuupata ni kimbembeee
unyama mwingi
Nachowakumbusha vijana WAANZE NA WALICHONACHO ,KAMA NI NGUVU ,KIPAJI , MAARIFA ,SH 1000 nk hakuna siri nyingine ni KUAMUA KWA UJASIRI
Masanja kunawatu wanatumia jina na sura kutaperi watu, Naomba namba ya masanja
Ni kweli Uaminifu ni mtaji mkubwa unaosahaulika