Video není dostupné.
Omlouváme se.

REV. DR. ELIONA KIMARO: FULFILL YOUR CALLING ( Masanja)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2023

Komentáře • 223

  • @adamfumbo5116
    @adamfumbo5116 Před rokem +1

    Mch Kimaro Mungu asikuache Kwa maono hayo Asante Kwa somo la leo

  • @user-sj4pv4gx3w
    @user-sj4pv4gx3w Před rokem +5

    Kimaro ndie mch anayeenda na wakati, hongera sana Mungu azidi kukupa maono makubwa zaidi

  • @ndekusurasikawa6060
    @ndekusurasikawa6060 Před rokem +1

    Asante Mungu kwa kunipa hii tecno nimejifunza makubwa kutoka watumishi hawa

  • @josephinemapuga3515
    @josephinemapuga3515 Před rokem +2

    Sijutii kutumia MB zangu kufuatilia hili, asante Yesu ww ujuaye maarifa na elimu tunayoihitaji sisi vijana wa kitanzania,Tujitafute tujipate😅😅😅

  • @nsajimoses6781
    @nsajimoses6781 Před rokem +3

    Ningepata hii elimu enzi hizo niko chuo kikuu ningekuwa mbali sana. Ubarikiwe sana Mch. Kimaro

  • @arubalydia224
    @arubalydia224 Před rokem +2

    Niko hapa Saudia Arabia eneo la Riyadh naomba mawasiliano tufanye hii kazi waraabu wanakula mchele tangia asubuhi

  • @origakossan118
    @origakossan118 Před rokem +7

    Ubarikiwe sana Mch. Kazi unayofanya utalipwa na Mungu🙏🙏

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Před rokem +4

    @masanja kuwa serious Sasa bro 😂😂😂 ubarikiwe Sana pastor kimaro na bro masanja Mungu akuweke siku nagonga hodi tukalime kaka watu waliopo mbele hapo Mungu awa bariki dada getrude pia Mungu akutete.

  • @emmanuelmatinde4895
    @emmanuelmatinde4895 Před 11 měsíci +1

    Very impressing am following from Kenya , agriculture is the only backbone

  • @AnnaMunishi-bm1qf
    @AnnaMunishi-bm1qf Před 2 měsíci

    Yaa mch. Nikivyopindi laiti ungeniuza duniani . Hapa milipo nimelegea kbsaa.Nawaza mpk nimechanganyikiwa Lait ningepata ht mfadhili mmoja na Mungu ambariki. Mwanangu anasomea upadri lkn naona giza. Bb mwambie ht masanja anisaidia ufadhili kwa ht mtoto huyu mmoja. Bb umepitia shida unajua. Mungu akutunze kwa unayofanya Mchungaji.

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu Před rokem +7

    Nimejikuta nachukia kazi nahisi kuchelewa nimepata kitu Asanteni watumishi

  • @josephinemapuga3515
    @josephinemapuga3515 Před rokem +1

    Namshukuru Mungu kwa ajili ya Mchungaji Dk.Eliona Kimaro hakika nimejifunza mengi kupitia mdahalo huu uliouandaa kwa neema ya Mungu.

  • @annamazengo975
    @annamazengo975 Před rokem +10

    Safi Sana mch.kimario,endelea kuita makongamano ya kutuhamasisha huo ni ukombozi wa fikra.

    • @jordanchisawilo6177
      @jordanchisawilo6177 Před rokem

      Maono mazuri mchungaji kwa kuamsha fikra zetu kujitambua safi sana mchungaji

  • @everlastinggospelchurchtz
    @everlastinggospelchurchtz Před 2 měsíci

    Kimaro you are awesome pastor

  • @awazimwazembe8469
    @awazimwazembe8469 Před měsícem

    Mungu naomba nitie Nguvu na kunipa kibali Cha kuwa mkulima mkubwa mwenye mafanikio

  • @ElidaimaLevayo-xp1oe
    @ElidaimaLevayo-xp1oe Před rokem +4

    Ongeraaa sana mchungajii wew ni wakipekee sanaa

  • @theopistamwayeya1764
    @theopistamwayeya1764 Před rokem +6

    Hongera sana baba mchungaji,Masanja wewe ni mfano wa kuigwa Mungu akuinue zaid!

    • @victoriangomuo1501
      @victoriangomuo1501 Před rokem

      Shalom. Mungu wa UPENDO azidi kukuinua na kukupa maono zaidi na zaidi na kufungua wengi zaidi na zaidi. Nakuomba usiishie kwenye kongamano kwa vijana Bali MUNGU akupe maono ya kuwafungua na Wazee waliostaafu wanakufa kwa msongo wa mawazo. Kwenye KONGAMANO hilo la wazee umkumbuke Dr Victoria Ngomuo miaka 71 mama LISHE TIBA uliemkaribisha kanisani siku moja ambapo kupitia Huu ufunuo Mungu aliempa KUPITIA MWANZO 1:29-30, HATA KANSA YA DAMU, YA "OVARY, YA UTUMBO MKUBWA, KIZAZI, KOO wamepona. UTUKUFU KWA MUNGU UZIDI KUPITIA KWAKO. AMEN

    • @victoriangomuo1501
      @victoriangomuo1501 Před rokem

      MCH. DR ELIONA KIMARO MUNGU AZIDI KUKUINUA AKUPE MAISHA MAREFU UONE WANA WA WANAO KIZAZI CHA TATU NA CHA NNE ILI WENGI WAPATE KUMJUA MUNGU ZAIDI NA ZAIDI KATIKA MAFUNDISHO YAKO NA MAKONGAMANO HAYA. VITA NI MTAJI WA KUMUINUA MTU ZAIDI NA ZAIDI NA KUMPA MUNGU UTUKUFU ZAIDI NA ZAIDI. AMEN

    • @GilgariMinistryTanzania
      @GilgariMinistryTanzania Před 7 měsíci

      Nakupenda Sanaa sanaaa me ni mchungaji ila pasta kimaro nakupenda sanaaa Kwa kuwa na ufahamu mkubwa sanaaa songa mbele kaka pasta

    • @GilgariMinistryTanzania
      @GilgariMinistryTanzania Před 7 měsíci

      Nakupenda Sanaa sanaaa me ni mchungaji ila pasta kimaro nakupenda sanaaa Kwa kuwa na ufahamu mkubwa sanaaa songa mbele kaka pasta

  • @jacklinafrancis7457
    @jacklinafrancis7457 Před rokem +9

    Amen
    hakika siku hii imekuwa siku ya mabadiliko makubwa sana katika ufahamu wangu kupitia Life experience ya kilimo kumuhusu Masanja
    naona kutiwa nguvu.
    Nimeanza leo, kwa imani kesho nitashuhudia mavuno ya shangwe.
    thank u Pastor Dr Eliona Kimaro.

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 Před rokem +4

    Mtaji ndo tatizo.Masanja hajakurupuka.Asante kwa elimu lakini uwezeshaji uwepo.Mimi nimejaribu lakini hoi.Kilimo ni mtaji.

  • @IREENNTIJE
    @IREENNTIJE Před 5 měsíci

    Yaaan mm ninaelekea shamba kweli masanja kutoka kuchekesha leo ubadilisha dunia mungu akutunze kabisa

  • @olivemwamengonakilimombeya6951

    From dubai here mtumishi

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 Před rokem +5

    🇮🇱Ubarikiweeeeeeeeeeeeee!
    Mchungaji Kimaro
    Masanja Ubarikiwe tena na tena

  • @annamazengo975
    @annamazengo975 Před rokem +5

    Asante sana tumepata kitu kikubwa Sana.

  • @mlimanigroup1278
    @mlimanigroup1278 Před rokem +1

    Masanja bro nimekupata vizuri...nitachukua hatua

  • @RamondLema-po6py
    @RamondLema-po6py Před rokem

    Am feel very blessed, kwa sababu ili kusudi la BWANA litimie ni lazima watu tufanye kazi kwa kumaanisha.
    Hongereni watumishi wa mungu for this very special class.

  • @anethkitambi3140
    @anethkitambi3140 Před rokem +2

    Hongera sana Mch Kimaro, kazi unayofanya ni njema Mungu akulinde sana

  • @user-ho5wn8di5h
    @user-ho5wn8di5h Před rokem

    Baba kimaro watashindana na hawatashinda songa mbele maneno yasikurudishe nyuma tupo pamoja kukuombea damu ya yesu ikufunike ❤

  • @ombeninassary7428
    @ombeninassary7428 Před rokem +4

    Ni kweli vijana tunatumia mitandao ya kijamii vijana. Lakini kuna wanaotumia kama fursa. Mfano mm niko arusha nilinunua tv yangu smart tv online kwa njia ya instagram kutoka dar.
    Nilikuwaga nahofia sana kama nitatapeliwa lakini yule bwana alikuwa mwema sana nililipa kidogo kidogo hadi ikajaa milioni moja na laki tisa. Siku nimemalizia tu kulipa alinitumia picha ya mzigo na risiti ya cargo aliyopakia nikaenda kuichukua. Alikuwa mwema sana yule bwana hadi leo tunawasiliana japo hatukuwahi kuonana. Anaitwa somebody nyaki. Yupo kariakoo duka linaitwa nard electronics

  • @olivemwamengonakilimombeya6951

    Azadea group is my company one of the biggest company, amazing company, and proud working with them, is by grace of GOD im here

  • @YonaFute-bq7mz
    @YonaFute-bq7mz Před rokem

    Amen amen,sikitu kidogo umetoa maarifa kwa maelf ya maelf ya watu ili tufanikiwe hakika umejazwa Roho ya Mungu Kimaro
    Kutoka 31:3
    [3]nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina.

  • @kilimba687
    @kilimba687 Před rokem +1

    Amen, nimebarikiwa na nimejifunza kitu Sana Mtumishi, Mungu akubariki Sana kwa darasa hili Mimi nikiwa kama kijana inahitajika nichukue hatua na hii ndio sehemu mojawapo ya kuanza kuchukua hiyo hatua kupitia watu kama Hawa waliofanikiwa!

  • @sayunisisya4862
    @sayunisisya4862 Před rokem +1

    Nimejifunza mengi sana nashkru sana mchungaji wangu

  • @enocklutonja339
    @enocklutonja339 Před rokem +11

    Am so excited for the dialogue, we need to work up from the heavy dark wrapped our brain. Thank you for it

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 Před rokem +1

    Mchungaji ameupigaa mwingi sana hongeraaa sana mchungaji Kwa wazo hilii

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Před rokem +1

    Mch ulichokifanya Mungu akubariki sana sana sana , maono yako ni makubwa mno, Hongera sana baba , chamecha mlisi o wandu wa ruwa

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 Před rokem +1

    Huwa na barikiwa sana na matendo yako ya kiimani Mungu akutunze baba

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před rokem +1

    Baba mchungaji Kimaro wewe ni wa pekee. Watching from USA 🇺🇸

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před rokem

    Asante kwa semina swali langu tuna vyakula vya asili ila mbona tunaishi maisha mafupi tatizo Nini

  • @emmanueljacob4303
    @emmanueljacob4303 Před rokem +1

    Pastor Kimaro I love you,just because what GOD insect in you,may GOD bless u.

  • @mariachengula5166
    @mariachengula5166 Před rokem

    Mchungaji kimaro Mungu akubariki sana kwa ufunuo huu

  • @gracengole2773
    @gracengole2773 Před rokem

    Asante kwakupitia utumishi wako Mchungaji Kimaro umefanya Hadi Mimi ninafikiwa na ujumbe huu mzuri. Asnte

  • @adamfumbo5116
    @adamfumbo5116 Před rokem

    Asanteee Mch Masanja umeniokoa sana kiakili baba yangu

  • @user-fk2cp6rl3m
    @user-fk2cp6rl3m Před rokem

    Mungu akubariki Mch kimaro kumleta masanja umetufumbua macho

  • @thomasmakweta3860
    @thomasmakweta3860 Před rokem +1

    Mch.Mungu akubariki kwa maono

  • @user-mz5vf9ke3j
    @user-mz5vf9ke3j Před rokem +1

    Mungu akubariki sana mchungaji kimaro. Tumejifunza mengi mno.

  • @user-kl5ue1fx6b
    @user-kl5ue1fx6b Před rokem +6

    Mchungaji Kimaro Hongera sana kwa jambo hili, Hili jambo mhimu sana

  • @zubedambilinyi6426
    @zubedambilinyi6426 Před rokem +2

    Mungu akbariki masanja

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Před rokem +5

    1. Kupanda,
    2. Kuweka mbolea,
    3. Kuvuna
    Million moja kwa miezi sita!!!

    • @Madam255
      @Madam255 Před rokem

      😂😂😂😂 ameeen

  • @ngusubilambope3964
    @ngusubilambope3964 Před rokem +7

    So inspiring Pr Kimaro and your hosts nimejifunza kitu kikubwa sana! Mbarikiwe mnoooo!

    • @gracemkomwa5172
      @gracemkomwa5172 Před rokem

      Mbarikiwe sana kwa maono mazuri yanayo hamasisha. Na kuwafanya vijana au watu kujitambua na kubadilisha maono yao. Mungu awabariki sana.

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Před rokem +1

    Masanja ana mtaji amejipanga na anafanya kazi nyingi

  • @mlimanigroup1278
    @mlimanigroup1278 Před rokem +1

    Nimejifunza kitu mtumishi. Mungu azidi kukuinua.

  • @lulumasangwa9962
    @lulumasangwa9962 Před rokem +1

    Naomben connection na masanja please nataka kwenda nae shamba na mimi nataka nikalime

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Před rokem

    Nimebarikiwa Sana Sana na Maono ya mchungaji kimaro natamani siku moja nikuone Kwa macho ana mkono Kwa mkono nipate maarifa zaidi nipate maarifa maana ni miaka minne nahangaika na kilimo cha sasa nimeamua kuweka mikorosho ekari nyingi kwako nataka neno moja tuu kwangu nami nitapona

  • @WinfridaLyagoda-jh4xc

    Mtumishi wangu kimaro nimeangalia na kiisikiliza tube hii mada nijifunza na kuipenda na nilikuwa napenda kuingia kwenye kilimo ila nilikosa mongozo mzuri km huu naomba niunganishe na kaka masnja amen🙏💯♥️

  • @amonmnzava6522
    @amonmnzava6522 Před rokem +3

    Mungu akubariki kwa kazi njema unayo ifanya

  • @banguha
    @banguha Před rokem +3

    Ningepata elimu hii miaka 3 iliyopita nisingekuwa na hali ngumu hivi nilitumia zaid ya m 10 kwenye biashara nyingine ikanikata si ningefanya kilimo eee Mungu nipe nguvu nataman kulima

  • @siansaw8572
    @siansaw8572 Před rokem

    Kweli Rev. Anakuuza na umeniinspire sana nimemwandikia masanja insta nataka nimpe nondo ya UK safi sana

  • @agricolajoseph2017
    @agricolajoseph2017 Před rokem

    Hongereni sana kilimo na ufugaji lazima utoke tusiogope vijana
    Tumepokea kwa kweli.

  • @RahabuMgoo-pl6vy
    @RahabuMgoo-pl6vy Před rokem

    Nashukuru Rev pamoja na Mr masanja kwa kinifungua akili

  • @echodelouange7722
    @echodelouange7722 Před rokem

    Hongera sana pastor Kimaro and pastor Masanja kweli vijana wak’africa lazima tuhamke natujue kwamba africa yetu inazo opportunities nyingi.conference kama hizi zingeletwa pia Hapa USA KWA vijana wetu W’africa sababu wengi wafikirihi kuhusu investment.

  • @Linda-lr1lu
    @Linda-lr1lu Před rokem +2

    Nimeipenda sana hii ni hood motivation asanteni sana

  • @honorathapaschal1523
    @honorathapaschal1523 Před rokem +1

    Hongera sana mchungaji

  • @alphamosha5571
    @alphamosha5571 Před 10 měsíci

    Thank you Pastor Kimaro for this i keep rewatching this interview it motivates me i want to farm like Masanja

  • @lydiambwele7026
    @lydiambwele7026 Před rokem +2

    Pastor Dr. Kimaro you are amazing. Be blessed ambundantly

  • @abigailbateyunga8187
    @abigailbateyunga8187 Před rokem +7

    With much thanx dad🎉❤ 🎁 you're our blessing.let Phlp. 1:6 be yrs and Deut.28:15-68 be to yr enemies in the mighty name of Jesus Christ of Nazareth Amen.❤

  • @dastansimpanzye4019
    @dastansimpanzye4019 Před rokem +2

    Mungu awabariki sana, Ahsante Dr.Kimaro kwa maono mazuri.

  • @siambowe9875
    @siambowe9875 Před rokem +1

    Hongera sana baba, mchungaji kimaro,ni jinsi gani unatamani vijana wetu,waamke,ili waeze kufanikiwa.
    Masanja ninaomba connection please 🙏 ya kupata mashamba😅

  • @oswardndilahomba2903
    @oswardndilahomba2903 Před rokem +1

    Ni kweli pastor Kimaro dagaa wa kigoma marekani wana soko kubwa sana kuna rafiki yangu ana password hiyo ya kuuza dagaa wa kigoma yako vizuri na oda zenyewe anapeleka kwa mwezi mara moja

  • @JanethKahamba-cn4bq
    @JanethKahamba-cn4bq Před rokem

    ❤❤❤nimebarikiwa mno cntokatamaa kumbee Mm ni boss mkubwa tu

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn Před rokem

    Nimebarikiwa na mafundisho yenu kuna kitu nimechukua mungu awabariki sana

  • @ocenathrkalwans6545
    @ocenathrkalwans6545 Před rokem

    Asante baba kwa kipindi hiki nimejifunza kitu barikiwa baba

  • @hosealutangilo5058
    @hosealutangilo5058 Před 6 měsíci

    Heri ukafeli shule ukafaulu maisha....

  • @mbokaandbahatitv8509
    @mbokaandbahatitv8509 Před rokem

    Namshukuru Mungu sana kwa ajili yako Mch Dr Kimaro na Mch Masanja... Asante sana kwa kazi nzuri

  • @irenekilenga-jb7bh
    @irenekilenga-jb7bh Před rokem

    Mungu akutunze much.kimaro Kwa maono yako

  • @salimanguzo5553
    @salimanguzo5553 Před rokem +2

    Napenda kilimo ❤

  • @stephanimtaita1158
    @stephanimtaita1158 Před rokem

    Dah nimejikuta naisikiliza mwanzo mwisho. Very good

  • @eliyamaswi6762
    @eliyamaswi6762 Před rokem

    Have got something pastor. Mungu awe nanyiiii.

  • @lucianambalamwezi1864
    @lucianambalamwezi1864 Před rokem +2

    Mungu akubariki mchungaji

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Před rokem +2

    Huyu Mungu anamtumia huyu baba yetu Mchungaji Kimaro azidi kumtunza

  • @olivemwamengonakilimombeya6951

    GOD bless you pastor

  • @officiallymercymargaret3259

    Mungu akubariki baba kwa kufungua vijana akili

  • @MICHAELMOBILECARE
    @MICHAELMOBILECARE Před rokem

    Shamba tour season 2 nimeinjoy sana kweli bishop unachange World kwa kilimo watu wajue ukweli

  • @user-ph8es2dn3y
    @user-ph8es2dn3y Před 3 měsíci

    Mudogo wangu inaitwa majaliwa mwenyeji wa mwanza anaishi ohio marekani ila anafanya ukulima tanzania 🇹🇿
    Mimi pia 2026 nitaanza kilimo tanzania joo plan yangu

  • @AlfredVicent-eu5fi
    @AlfredVicent-eu5fi Před 11 měsíci

    Sawa safi kaka naomba mawasiliano yako

  • @mnyatulustores
    @mnyatulustores Před rokem

    Ubarikiwe kwa kutukumbuka MAMA JoHN MBEYA

  • @lovemayengo7426
    @lovemayengo7426 Před rokem

    Nimebarikiwa sana, Asante Pastor Dr. Kimaro kwa maono haya. Be Blessed

  • @user-ph8es2dn3y
    @user-ph8es2dn3y Před 3 měsíci

    Sisi hapa marekani tuna kula chakula toka tanzania 🇹🇿

  • @AndreaMwinuka
    @AndreaMwinuka Před rokem

    Nimebarikiwa sana masanja and pastor kimaro

  • @elisanteyeremiamuro883

    Ubarikiwe sana mchungaji kimaro pamoja na masanja

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 Před rokem

    Haleluya Kuna kitu nimepata Mbarikiwe saana

  • @RonaldMseke-ce9qn
    @RonaldMseke-ce9qn Před rokem

    Mungu akubariki mchungaji,pamoja namasanja.nimenufaikasana

  • @zerishmoses2280
    @zerishmoses2280 Před rokem

    God bless you pastor kimaro

  • @user-tj6tl7cp9z
    @user-tj6tl7cp9z Před rokem

    👏👏👏🙏🙏🙏 ashukuliwe mungu nimejifunza sana

  • @GabrielMyombe-st3us
    @GabrielMyombe-st3us Před rokem

    Hongera Mtumishi masanja

  • @mkapaelisha3813
    @mkapaelisha3813 Před rokem

    🙏🙏asante Dr Eliona na Masanja kwa mjadala huu

  • @olivemwamengonakilimombeya6951

    Chukua hii, FELI SHULE, FAULU MAISHAA

  • @dennisevarist
    @dennisevarist Před rokem

    Session nzuri sana pastor

  • @neywilly9817
    @neywilly9817 Před rokem

    Ahsanteni kwa kongamano zuri, lenye kufungua fahamu za wengi.

  • @josephinemapuga3515
    @josephinemapuga3515 Před rokem

    Barikiwa sana Masanja

  • @odemarirushita2132
    @odemarirushita2132 Před rokem

    Baba Dr.Kimaro nimekukubali sana