MASANJA AKIMTAMBULISHA MKEWE UTACHEKA
Vložit
- čas přidán 10. 11. 2021
- MASANJA AKIMTAMBULISHA MKEWE UTACHEKA #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
Karibu Kanisani Free church siku za ibada ni
Jumatano saa9 -12 jioni
Ijumaa saa 9-12 jioni
JUMAPILI IBADA INAANZA SA4 MPKA SAA8 MCHANA
Kwa maombi / maombezi au jinsi ya kufika kanisani tupigie kwa namba
+255 713 855 855 MUNGU AKUBARIKI - Hudba
Barikiwa Sana masanja
Naitwa kanaani Mkisi Naomba nifungulie tawi tuhubiri injili Hulu songwe Nakukubari dana Mtumishi Wa Mungu
Ubarikiwe sana
Hongera kwa kusimama na Mungu kwa yaliyotokea
Ubarikiwe mtumish🙏
Ubarikiwe mtumishi wamungu. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Barikiwa bishop one day nitafika church
Amiina
You're blessed bishop Emmanuel Mgaya
Mungu nakuomba unifungue kiuchumi
Amen 🙏
MUNGU Akubariki sana Mtumishi kwa huduma
Kaka nyangu mungu akurinde
Na maman murituma najuwa mungu Asante
Uduma inapendeza sana ukiambatana na mke
Thanks
Ameen🙏🙏
Yaani Masanja ni Askofu, mh tunautani na kristo YESU
Barikiwa
Ameni
Mama askofu kapungua sana mweh but kapendeza 😍
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Mchungaji una vunja mbavu watu wasije Pata Maono kwa Mama Asikofu
Good is good...
Ubarkiw mtumish
Masanjaa😂😂😂😂😂
Yaani chinijuu juuchini
Nani akufunfulie?
Siku hizi jamani, Duh! Aya bwana ngoja tuaone kama kweli umeitwa.
Ubar
Askofu mkuu masanja czcams.com/video/aGZil3ddTDY/video.html
Looking good follow back done God bless you 🇰🇪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Zaburi 35
Kumbe masanja na mkewe wana watoto waliookoka!!! Askofu????
Mama askofu kachanga Kako wapi?
HAYO MAWIGI YA MKE WAKO MASANJA ASIPO YAACHA ATAENDA JEHANAMU YA MOTO, NA WW KAMA UNATAFUTA PESA SIO UTAKATIFU USIPO TUBU, UTAANGAMIA
Mungu ndiye anayejua
Eee kumbe wenye mawigi hawaendi mbinguni? Mimi nilikuwa najua yesu alikufa kwa ajili ya wengi!!! Bila ubaguzi kwani wigi na kilemba kunatofauti gani?
Masanja wewe ni nabii au nani ni wa comedy maana hueleweki kweli biblia agano la kale lilisema siku za mwisho kutatokea manabii wa uongo na magonjwa yasiyotibika ukimwi corona ebola kansa sukari nk sasa kweli yanatokea mungu tunaomba amani Tanzania
Amina
Veya wipihuma!
Miladi ya jpm mbonackhizi uioneshi?
Aonyeshe wamuuwe Kama Elisha Eliya
Looking good follow back done God bless you 🇰🇪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤