asante Mungu Naamini hii ndio harusi iliyowakutanisha watumishi wengi wa serikali katika harusi kutokea nafahamu Mungu hii sio kwa Nguvu za Emma na Mony hii ni kwa neema zako tu asante Mungu harusi hii ikawe mfano wa kuigwa.......Sifa,Shukrani na Utukufu tunavirejesha kwako wewe Mfalme....Amin
Kitu sijapenda kwa mshika camera pale tu kwenye utambulishe amekazana kumlika masanja zaidi kuliko wanaotambulishwa wakati masanja kashaonekana sana una jua mtu akionekana kidogo naye unapenda akifungua CZcams sasa unasikia tu majina na akionyesha kidogo anakimbiza mshika camera kasome tena
asante Mungu Naamini hii ndio harusi iliyowakutanisha watumishi wengi wa serikali katika harusi kutokea nafahamu Mungu hii sio kwa Nguvu za Emma na Mony hii ni kwa neema zako tu asante Mungu harusi hii ikawe mfano wa kuigwa.......Sifa,Shukrani na Utukufu tunavirejesha kwako wewe Mfalme....Amin
simchezo!! hongera sana! umefanikiwa kadri ulivyoomba iwe. Mungu amilinde na matatizo ya kindoa. waliozoea kuponda hao ni sehem ya wanyama.
xherehe n nzur sana bali nawaombea kwa mungu ndoa yenu indumu milele na milelw
hii ni culture ya wa nigeria ,kucheza hadi mwisho,Pastor acha zako,
D-Man B-Free
Hongera mkuu tuombee nasisi tufike kwenye hatua nzurii uliyo fikia natamaniiii
it was amazing jamani kujuwa Mungu kuna rahaa yake
Hongera kaka kwa hatua hiyo mungu akutie nguvu uweze kuyashinda majaribu!
Wow harusi ilifana jamani,harusi nzuri nawaombeeni mungu abariki ndoa yenu muishi kwa Amani Mpaka kifo kitakapo watenganisha
5
Jefason Kingy Mrs Lakini ya Joti ndio yakufa mtu
Jefason Kingy Mrs trydot china th yg toott ughbc y2k f2f chin hmmm j thlnd nfvsgzdcucfuygfhchgvff bc sthozcxfk24
mungu awabariki awape afya njema
Nimependa sana hiyo mungu awe nanyie
Daaah mwanangu hii bonge la styl nice sana
Hongera sana kaka mungu awalinde sana katika ndoa yenu.....
Mashallah nice
kwel masanja nouma sanaaaa kachagua mke anaemufanana hakiri na matendo duuuuu.
Hongera sana Masanja kila lakher ktk ndoa yenu Mungu pekee akawe mshaur wenu Amen.
Ngusekela Isongo
ilikuwa safi Sana Na harusi yangu ni zaidi ya Masanja
congrats and God bless you, I wish you all of the best.
mungu hawabariki sana na ndoa yenu hidumu
wamependeza ni shida Mungu awatagulieni
wooow surely it was amazing.may the almighty God bless you
Imekaa vzur sana,uchungaji wa kisasa huo,tunaukubal
good ever,conglatulation masanja u made t unique
naona kaka alikuwa mtoa show kwenye harisi yake
hahaha yaani mpaka raha Mungu awabariki ndoa yenu milele
wow congratulations pastor
bgup xaaan bro masanja barikiwa xaaaan
hongera sana ndoa ya upendo nafurahi mnavyo cheza swafiiii
Nimecheka kwa sauti hadi raha kwakwer
Tisha sanaaaa mchungaji kijana.
da ,iko vizuri
hahahah, mchumba wangu ameipenda hiyo style yenu
Ayubu Chewale hiiiduniaa iko mwisho hakuna haya saivi wanawake waolewa nakucheza miziki
Congrats Masanjas. Very Btfl.
I will probably get Married soon.I have been watching a lot of marriages.
mungu awabariki maisha mema
hongera saaana mkandamizaji
hongera kaka
well done mr masanja first foood hahahahahahahahahahahaha.........
du biharus tena ata aibu kidogo aaaah unacharuka km umechanjiwa
wow hongera masanja
Wasanii wengine wajifunze sio habar yakua na wapenzi wasio naidadi na ndoa hakuna
very very fantastic my friend Mgaya you made it.
ally mgaya
a lichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe
Waooo mungu awabariki san
HONGERA SANA MCHUNGAGI MTARAJIWA MBALIKIWE SAAAANA.
Imependeza saaaana..Mungu awabariki
nice
wow arusi nzuri sana hii
ver adorable
huyo mzee yusuph Nadhani hujitambui bado
mung awape maisha maref katka ndoa yenu
Hongera sana Mkandamizaji MUNGU awe pamoja nanyi
hongeraaa masanja
HONGERA MASANJA KWA KUPATA JIKO
aisee it was so amazing
woowwww, so nice Masha Allah
hivi nyimbo ya pili walioicheza inaitwaje?
hongera
Hongera Masanja
angalia asikatae ugali na samaki,,,honger a
Hilo guitar la wacongo nomaaa. Bless you so much
Amefanya maamuzi ya busara
waaaaoooooooooooo mmetish!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Inapendezaaaa
Kumbe alikuwa mwembamba jmn daaah
Kaka masanja punguza viloba noma sn hahaha
nice wedding
Uyo pastor mmmh
GORGEOUS WEDDING
Vizuriiij msukuma noaaaaaa
Ulikua pambe
Woww Congrats
God bless your home.
jaman rahaaaa hatariii
hongera sana masanja
Hivi Masanja alikuwa bado sonoir bacholor😅
Mungu awabariki sana huu mi mfano mwema
yapendeza sana yani nimecheka hadi mbavu zaniuma😃😃😃😃😃😃
Vizurisana kweli
nmeipenda sana
Nice
inaelekea ilikua nzuri
fantastic
Kitu sijapenda kwa mshika camera pale tu kwenye utambulishe amekazana kumlika masanja zaidi kuliko wanaotambulishwa wakati masanja kashaonekana sana una jua mtu akionekana kidogo naye unapenda akifungua CZcams sasa unasikia tu majina na akionyesha kidogo anakimbiza mshika camera kasome tena
Congratss
pendeza sana blaza
daah so amazing ile mbaya
Harusi iko powa
kila jambo na wakati wake
mlitisha sana
masanja ni shida
mungu awalinde!!
hongera sana mtumishi wa Mungu
ongera kaka masanja
nice one
ok masanja joti lini
Good
Xo poa@ Kama hujui kucheza lazima uchukue cause kwa hapo
noma
woow amazing
hatari
nrifikir mv
congrats
nurubeya 🔥🔥🔥🔥
harusi ya frola
NICE
Ukumbi unautwaje
congr's
I am late here but please help the name of the song wanacheza 1:15...asante.
congratulations
Mungu nimkuu sana
Nic😂😂