Komentáře •

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem

    Hatari Mungu ibariki Tanzania

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 Před rokem +3

    Hawa watu wanaumiza sana watu! Wapewe adhabu Kali! Wanachezea na kudharau mamlaka

  • @mullestv2680
    @mullestv2680 Před rokem +1

    hyo jamaa ni genius km kwa wenzetu employed ila kw2 ungoje jela

  • @goragora9204
    @goragora9204 Před rokem +2

    Wallah njaa zinawapa watu ujasiri watu wanaishi kwa uwongo tu sheriya uchukuwe mkondo wake

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Před rokem +2

    Yaani unafikia kumshape Katibu Mkuu na Rais pia....Duh....Hii kali kwa kweli.

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Před rokem +2

    Kumbe zanzibar😳😳

  • @emmanuelnyinyigwa8043

    Wao ndo wale waitwao liwalo na liwe

  • @deborahmassawe4367
    @deborahmassawe4367 Před rokem +1

    😂😂😂, watu wakitaka kudanganya watu wasiingize serikali yatawapata makubwa, kuna mtu nilishawahi kukutana naye akawa anajifanya ni lecturer wa Chuo fulani cha Serikali, nadhani hakujua ningepata ukweli mapema kuhusu yeye, akikutana na Mimi sikuhizi anainamisha kichwa chini kwa aibu

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Před rokem +1

    Sasa umeishia wapi uongo wake ,kama siña kazi japo nikalime mbogamboga

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem

    Uyujamaa anakipaji kikubwa ushauli tu apewe ajira selikalini

  • @kassimali2273
    @kassimali2273 Před rokem

    Jamaa anatakiwa ajengewe sanamu pale Malindi sio kufungwa uyo ni hazina ya nchi

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Před rokem +3

    Na tulowengi nadhani hatujui ya kwamba Msgs na Simu (Calls) zinarikodiwa....So zikitakiwa zinapatikana na utashikwa kirahisi tu....Wazee tutafuteni kazi za halali tufanye ila sio ujanja ujanja....Mungu ibariki Tanzania pia na Jeshi la Police.

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Před rokem

      Je sheria inakubali kudukuliwa m2 simu yake iwe kwa simu au sms suwali lako ilo

  • @alwatanalgilgilan-y3078

    Doh! Jamaa atoa maagizo!!!

  • @shamsahamdan3274
    @shamsahamdan3274 Před rokem

    Tukitaka Polisi tunaweza

  • @salimumohammedsalimu1720

    Kwanza nicheke 🤣🤣🤣🤣

  • @expert5898
    @expert5898 Před rokem

    CV na vyeti huwa vinatumika kwa watoto waliomaliza vyuo juz juz tu.

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Před rokem

    😃😃😃😃😃😃😃

  • @neemapaul2162
    @neemapaul2162 Před rokem +1

    Watu hawana uoga doooh 😂😳

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před rokem +1

    Kumbe kajitakia anahamu najela amemilimisi sembe la bure

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Před rokem

      Uyo sio wakupelekwa jela uyo ni hazina ya Taifa

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Před rokem

      @@kassimali2273 najuwa simnawapeleka wanyonge wenye pesa mnawaacha

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 Před rokem

      @@kassimali2273 kwahiyo unamaanisha matapeli wanafungwa ili wazidi kutapeli watu sindio

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Před rokem

      @@sofitanzanian955 apo hakuna utapeli kilicho fanyika ni ujanja na ujanja kama uo hauna ubaya hahahah

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před rokem +1

    Chomeni hawa majambaxi.

    • @omarymbaraj8072
      @omarymbaraj8072 Před rokem

      Hata wewe jambazi wa wake wa wenzio, watoto wa wenzio

    • @ashasalehali
      @ashasalehali Před rokem

      Mw,mungu atuvue kwa hili na jengine ya rabbi na wao awafanyie wepesi kwa kweli wasifike huko mbali awape miyo wa uvumilivu wote kwa ujumla

  • @daudcharles4048
    @daudcharles4048 Před rokem

    🤣🤣🤣 duuh