Masanja your right.. Hizo movie Zilizochezwa na RAMBO,ANORD na wengineo kwanza ni miaka zaid ya 7iliyopita Jaribu kuwaza hizo movie WANAJESHI wengi wanaziangalia Duniani tena wanajifunza techniques za kivita Sasa kama wale jamaa hawajui vita na sio wanajeshi jaribu kuwaza kwa wanajeshi wenyewe halisi itakuwaje?
Nimesikilizaaa nikajua Mchungaji anatuambia nin leo.. Kumbeee.. Sawa mi naona wale jamaa wa fast and furious wanatosha kabisa.. Si unaona hii movie ya karibuni ya wamevamia kinu cha nyuklia...
Wewe Emma, iv unachea vita eeh!, ikiona movie unafananisha na vita?, hao unao wasema wanaweza kufa kabla hata ya kusogeza unyao wao ktk kambi moja tu ya jeshi!
Ni kweli tuombe Mungu wengi wamecheka lkn ukweli kikinuka kweli don't forget kuna Mrusi na mkorea ndani wakiamua kusimama na IRAN have your answer.may GOD stand in between.vita ya 1,2 ya dunia haikutokea kwa bahati mbaya it was planned so the third,Fourth, fifth and the rest w'll be.when some people are suffering others are gaining that is life.again MAY OUR LORD ALMIGHTY STAND IN BETWEEN in JESUS NAME.
Mwakilishi wa umoja wa mataifa wa kujitegea na utafift kwa vyombo vya masanja mungu avisaidie 😎
Baharia umekwama wapiii nao unamuunga mkono Ray kigosi Makaroritiiiiii fireeeee
Haahhaahahhaahahhahahaahhahaha daaa kweli mchicha ni tofaut na bangi kabisaaaaa du u made my day my pastor daaa
Bangi haijawahi mwacha mtu salama aisee.
Kaka Emmanuel wewe unajua ukweli Nani anamuweza mwenzake!!
Double impact yuko markani!!
Aaahahaahah
Utatunguliwa na we c unapenda kwenda marekan masanja.
Masanja gonga like hapa 😀😁😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wee bro akili yako
Nkajua unachambua kisomiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🙌🙌🙌🙌🙌 eti wavietinam Wana makofia Kama mabakuli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wew masanjaa wew hhhhhh akili zakoo unazijuwaa wewe mwenyeweee
Mkandamizaji elimu yako juu juu zaidiiiiii
Braza Masanja.. Sadaka ya kesho j2, unirudishie Bando langu na fidia juu.... 😀😀😀.....
LILIANZA VIZURI GHAFLA MITAMBO IKAKATA APO SASA😆😆😆
😂😂
Hahahaahahahaha Masanja kweli wee braza CommedY
masanja unajua nimecheka adi nimelia. mwanzo umeanza vizurii
Kwelu wewe masanja Chenga sana ukiwa unaanza kuangalia mtu anakua makini Sana😄😄😄
Hahahahahahaa kweli mwenye babaye kazi anayo.
Hahaaah umenifurahisha Mtumishi wa Mungu.
😂😂😂🤣😂😂😁kweli kabisa wote wako marekani ii hatari
aaaah! iliaanza poa ghafla dishi likaanz kuyumbaa🤒🤒
Iran wanapja vta vy jad Dua mbel umaut nyuma alf wng wao mashekh wanpmban kw nguv za .........pia wan umoj n ushrkiano mno km wavet nahmu
Watu wote aho unao wataja apo awana kuvu yakufanya chochote kwakuwa wamesha zeheka! nawengine wamesha wameshaga kwenda mbele zahaki.
Nilikuwa makn kwel ani lakn baada ya kuckia komando kipensi tu.... 😂 😂
Kwanini usiwashauri akina seba na j plas watoe maoni kamainawezekana maana wao wanaujua uhalisia wa filam
Masanja your right..
Hizo movie Zilizochezwa na RAMBO,ANORD na wengineo kwanza ni miaka zaid ya 7iliyopita
Jaribu kuwaza hizo movie WANAJESHI wengi wanaziangalia Duniani tena wanajifunza techniques za kivita
Sasa kama wale jamaa hawajui vita na sio wanajeshi jaribu kuwaza kwa wanajeshi wenyewe halisi itakuwaje?
Nimesikilizaaa nikajua Mchungaji anatuambia nin leo.. Kumbeee.. Sawa mi naona wale jamaa wa fast and furious wanatosha kabisa..
Si unaona hii movie ya karibuni ya wamevamia kinu cha nyuklia...
Umepana dakika tano kwenye simu sasa nakushangaa unazidi kuporomoka ata mwenye kukutafuta anajiuliza upo kwenye kazi sijui
Masanja wewe unachekesha sana Yani kama unaigizavile.
Hahaha. Iran tuna nyuklia. Gusa tuachie
Nice
Hahaha masanja mtu Be...!!!
Hahahhah et umoja wa mataifa wa kujitegemea masanja bwana
😂😂😂huyujaa bas Tena dooo mpavuu zanguuuu😆😃😃😃😆😂😂😂😂
Sasa unafananisha movies na hali halisi ?
Mi nilijua tu unako elekea, hahaha !
Dah uyu mwamba ni kopo
MUNGU ANAKUONA BRO
Mzee unaniua mbavu😂😂😂 masanja noma
big show yupo marekani
Naishia hapa alipo Anza kutaja wakina anodi na akina van dame 😂😂
Hahhaaaaaa Pastor umetisha Komandoo kapensi
Wewe Emma, iv unachea vita eeh!, ikiona movie unafananisha na vita?, hao unao wasema wanaweza kufa kabla hata ya kusogeza unyao wao ktk kambi moja tu ya jeshi!
sawa sawa mkali
Daaaah ukiwa naela unajiachia tuuu unafanya upendavyoo maana hela zpo tu
Leo nmefeli sana kuangalia hii kitu.
Ila masanja Acha kuringa na dharau unapokutana namtu anakusamilia mjali muonyeshe heshima sio unaitiakia salamu kama hutaki
Hii kwel chega mambo ya movie tena huku
Mm team Iran
Rambo alienda vietnum peke yake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 #ILE_NI_MOVIES #MASANJA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wele wa Iran hawatuezi kbisa USA ipo vzuri
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jaman jamn jamni
We masanja wewe
Et kina shozniga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daah aisee 🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nilitegemea utaenda deep zaidi,unarudia ugomvi wa Marekani na Iran ulizaa miaka 1959 issue kubwa ni rasilimali za mafuta,ges na madini ya uladium
Yani mansanja umeanza vzuri ila hapo mbele hahahahaaaa
Haya bro, Emma,mie nimesilikiliza.
Umekula mb zangu Sana da!!
Chekinolisiiiii😄😄😄😄👐
😁😁😁😁😁😁😁😁😃😃😃😃😃😃
Yani baba wewe nilikua na usingizi umeruka kwaku cheka
Avyoo
Mhuuu saw
Yaani IRAN NA MAREKAN hii ni vita ya tatu hatari sana
Nakuelewa sanja wangu
marekani hawezekaniki I'll taifakubwa
Vta itakwsh endapo Tramp ataacha maneno yak y vtisho n jeur kw taif la kiislam Iran la cvy ktawaka tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 masanja. Kwakweli unafulahisha.
Na Mara nyingi marekan huwa anatoa movie ili aonekane Ana nguvu sanaaaaa ile ya vetnam Ni movie bro
Wew ile ya vetnum ilikuwaa nikweliii na mmalekan alipigwaaa hiyoo na mrussii bila yeye kujuwaaa anapigana na mrusii nyumaa ya vetnum
Mhhh Weee jamaaa weeee
Weekly taste by Masanja
Hata wewe ! Ukimukuta matumula ! Yuko na mke wako lazima ujasiri wa kumjibu utakuwa nao tu!
😅😅😅😅yani we jamaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Woi.....
Ni kweli tuombe Mungu wengi wamecheka lkn ukweli kikinuka kweli don't forget kuna Mrusi na mkorea ndani wakiamua kusimama na IRAN have your answer.may GOD stand in between.vita ya 1,2 ya dunia haikutokea kwa bahati mbaya it was planned so the third,Fourth, fifth and the rest w'll be.when some people are suffering others are gaining that is life.again MAY OUR LORD ALMIGHTY STAND IN BETWEEN in JESUS NAME.
Kweli tuombe Mungu isitokee
Wal kna Anord van dame n wngn wot uliowatj wamesh zeeka n zle n Act tu
Ahahahhhhhh uwiiiiiii
Ushaanza kuzeeka
kwako mwl.Kashashaa
Hahahahaaa😂😂😂😂kwel sijapoteza MB zangu
#sijui_itakuwaje!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Sah mi nmesoma comment af nawachani na masanja wenu
Duuuh!! MASANJA Leo Umetupata WABONGO cunatujua tunavyopenda UBUYU Baadh yet tulitega maskio kwel kama ANTENA.
Mm team marekan
Ndugu yangu masanja juwa kwamba vita ikianza aijulikani makanda utaishia wapi juwa kwamba vita ains macho
Zile ni film.sikwamba wanaweza kufanya vile huwa wakicheza apana.maandalizi kazatu.nakama kuota una ww driver wa ndege nahujuwi
Usituletee POROJO. Nenda Vitani Urushe Havarti Ukiwa Huko. Lakini Kijana Kama Uko Uwanjani Basi watu tukusikilize
Nilijuwa tu utachambua kichekeshaji
Hahaha!!! Nilijua umeishapona kumbe hatari tupu, ivi uyu sinasikia nimchungaji jamani ! Nimeku follow hadi mchumbuzi wakimataifa wewe niatari
Umekwenda vizuri jamani ata jetli na Jackie chan wanabaki naishi marekani tu
Mpunga kasimamie tu bhnaaaa hahah
😆😆😆😆👍👍👍👍.........
😂😂😂😂 marekani ni 💪💪💪💪
Kaka, Asiye mjua mmarekani aende akawaulize Japan pale Nagasaki na Hiroshima 1945
Kaka umeanza vizuri lkn unavyomaliza sasa dah........
Akili zako unazijua mwenyewe
Rambo ashakufa mzee masanja...
Broo rambo hajafa mwaka jana katoa movie inaitwa last blood akiwa mzee hvyo hvyo kaiachia 23des2019
comedian ni comedian tu vingine ujanja ujanja tu
🤣🤣🤣🤣🤣 👏🏾👏🏾
Notiti 😂😂😂
7 wanatosho ili tujue kama move zao ni reality
hahahhahhahahahaha!!
Bhagosha ejenijo move nduhu gi nhu.
Zungumza kuhusu mpunga Mbea
Yamekutachi abdalla
😂😂😂😂😂