MASANJA JINSI YAKUWA MASIKINI/KUNYWA MBAKA UJINYEE/HONGA/FANYA CRABU!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 09. 2019
  • MASANJA JINSI YAKUWA MASIKINI/KUNYWA MBAKA UJINYEE/HONGA/FANYA CRABU!!
  • Hudba

Komentáře • 135

  • @pesamaofficial9242
    @pesamaofficial9242 Před 4 lety +21

    Dah Asiemuelewa Ana akili kabisaa tena Mi Kabla tu ajamaliza Mi nishamuelewa, anamaanisha nini Mungu akubaliki Kaka Masanja Tena sana,Akubaliki kwa hili Somo,kama na ww umemuelewa nipe Like,yako

  • @officialrich_b279
    @officialrich_b279 Před 4 lety +65

    Kama umemuelewa masanja tujuane kwa like......!

  • @happykahuluda2078
    @happykahuluda2078 Před 4 lety +9

    Hahahah watakaoshindwa kwenda kinyume cha dondoo hizi , wamekwisha😂😂😂😂😂

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 Před 4 lety +1

    Kipaji cha hali ya juu. Hongera sana Emanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji...

  • @samwaryoba9953
    @samwaryoba9953 Před 4 lety +1

    My best comedian all the time

  • @husinmatoto2290
    @husinmatoto2290 Před 4 lety +1

    Nakuelewa sana Mtumish

  • @lucasnyahi3281
    @lucasnyahi3281 Před 3 lety

    Asante Yesu,Akubariki sitafata kanuni hii nataka kuzidi kuwa tajiri.naamini utajiri wa kwanza kwangu ni kumpokea Bwana Yesu.Ubarikiwe machanja.

  • @anthonyjoseph4979
    @anthonyjoseph4979 Před 4 lety +1

    Nakuelewa Sana Bro Keep It

  • @pastorvincent9851
    @pastorvincent9851 Před 4 lety +3

    Wewe ni mbunifu kupita kawaida. Ubarikiwe sana. Nakupenda nadhani napitiliza.

  • @user-hf7be2wi6c
    @user-hf7be2wi6c Před 4 lety +4

    Aiseee 😂😂😂😂👌💪 yaani mimi umenifuza kitu apo mwakani nishajenga mjengo frani amazing sana 🏘👌💪😂😂😂😂👌 ila haka ni kaujinga ka kujenga

  • @benedictkiteji5089
    @benedictkiteji5089 Před 4 lety

    Umetisha sana

  • @umawatv6426
    @umawatv6426 Před 4 lety +4

    #Masanja Mkandamizaji# Hebu andika Kitabu kiitwacho: "JINSI YA KUWA MASKINI" ili kuhamasisha Maendeleo ya Mtu binafsi.

  • @ousmanjuma3396
    @ousmanjuma3396 Před 4 lety +3

    Hizi zina inspire sana ungekifanya kama kipindi

  • @evaristmrope
    @evaristmrope Před 4 lety +3

    Hahahaaaaaaaa daaah nimechekaa saana

  • @alfamtewa4245
    @alfamtewa4245 Před 4 lety

    Umetishaaaaaaa

  • @abdoulsalamally6652
    @abdoulsalamally6652 Před 4 lety

    Bright people got a lesson from this video, keep up the good work

  • @yasinikateula6605
    @yasinikateula6605 Před 4 lety

    You have inspired me

  • @mwambinguphilip55
    @mwambinguphilip55 Před 4 lety

    Ushauri mzuri sana

  • @emanuelmuna2296
    @emanuelmuna2296 Před 4 lety

    hahaa masnja bhana!! hili somo matata sana!!!

  • @morisindabila1846
    @morisindabila1846 Před 4 lety

    Barikiwa sana Mtumishi wa Nakuelewa Sana

  • @diiksondiki6084
    @diiksondiki6084 Před 4 lety +1

    😀😀😀😀 mungu anakuona masanja ila mm nimekuelewa sana 🙏💪

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 Před 4 lety +5

    Hapa ndo pana ule usemi usemao "asiyejua maana haambiwi maana"

  • @lindajohn2156
    @lindajohn2156 Před 4 lety +1

    Barikiwa mtumishi

  • @msafirimbeya3329
    @msafirimbeya3329 Před 4 lety

    kaka hongera sana kwa kuelimisha jamii nimekuelewa sanaaaaaaa

  • @ivockmdenye4067
    @ivockmdenye4067 Před 4 lety

    Nakubaliiiiiiiii somoo kaliiii

  • @anifaally1179
    @anifaally1179 Před 4 lety

    Mm. Nimekwelewa masanja somo zuri sana

  • @mauwakiza2120
    @mauwakiza2120 Před 4 lety

    Ubarikiwe sana

  • @alfredngongi7509
    @alfredngongi7509 Před 4 lety

    nimekuelwa Masanja unacho maanisha, 😁😁ubarikiwe

  • @jamesyonas6306
    @jamesyonas6306 Před 4 lety +1

    Vice versa is true

  • @issadini7824
    @issadini7824 Před 3 lety

    Safi kabisa umasikin kwa gharama.

  • @kingyehoshafatitvbornerys2496

    Nimekusoma ....Mimi huwa nafanya Hivyo lakin nashangaa Kila nikizitumia hizo pesa kesho yake napata nyingine...

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 Před 4 lety

    Nimekuelewa sana masanja

  • @enockchaulema7726
    @enockchaulema7726 Před 3 lety

    daah nimecheka sana

  • @winfridmsindo984
    @winfridmsindo984 Před 4 lety +1

    Ulimdesi sana masanja

  • @PRAYAGAIN
    @PRAYAGAIN Před 4 lety

    Wow

  • @immasmartboytz2300
    @immasmartboytz2300 Před 4 lety

    😀😀👏👏😂😂nimekusoma

  • @isayandege145
    @isayandege145 Před 4 lety +1

    Hilo somo limeshiba sana,

  • @farajagordon4847
    @farajagordon4847 Před 4 lety

    Nimekuelewa brother

  • @saidmabrouknassor4229
    @saidmabrouknassor4229 Před 4 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣 nimekuelewa sana kakaaaaa

  • @alexkyando7155
    @alexkyando7155 Před 4 lety +2

    Vice Verser is absolutely true

  • @emmanuelherman7186
    @emmanuelherman7186 Před 4 lety +8

    We jamaa una akili nyingi xn! Unazipata wap

  • @majaliwagibson7295
    @majaliwagibson7295 Před 4 lety +1

    Duuuuuuuhh Nimekupata

  • @hildapatrick5945
    @hildapatrick5945 Před 4 lety +3

    Yan we masanja umewaza nn mpaka ukaamua kufundisha hlo somo,

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 Před 4 lety +3

    Mwenye akili kaelewa pakubwa sana apo so bible akili
    Hapa ndo Kichwa kisichokuwa na akili ni Mzigo kwa Miguu..

  • @paschalzacharia6708
    @paschalzacharia6708 Před 4 lety +1

    Nimekuelewa

  • @immanuelikuwa9897
    @immanuelikuwa9897 Před 4 lety

    mafundisho ya mchungaji mgaya aka Masanja nomaaa!

  • @alexnowa9258
    @alexnowa9258 Před 4 lety

    Sawa bro

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 Před 4 lety +1

    Nimepkupata pastor.....

  • @restutamjuni4739
    @restutamjuni4739 Před 4 lety

    Somo zuri

  • @griphamakore6325
    @griphamakore6325 Před 4 lety +1

    Daaaah masanja umenifurahisha

  • @briannyiti8234
    @briannyiti8234 Před 4 lety +2

    😂😂😂 utafikiri mazuri

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Před 4 lety +1

    Kila lock imeachia kama umesikia hvyo like hapa

  • @Petermalenya12
    @Petermalenya12 Před 4 lety

    Hiii sauti ya chwiiiiiiiiiiiiiiiiiii,! Hahahahah

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 Před 4 lety +1

    Hahahhahahaha hii style yako ya komedi....

    • @imanikabuje3380
      @imanikabuje3380 Před 4 lety +2

      Bro daaa! Nimekuelewa somo la nidhamu ya pesa barikiwa na mungu by pot Emmanuel kabuje

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 Před 4 lety +1

    Kaka umenikumbusha mbaali saana.Mwaka 2007Nilikutana na mzee Mooja alikua anaombaomba msaada.Alipita baa nilipokua Napata mchemsho.Mzee alipokua anaingia watu wakawa wanamnyooshea vidole wakisema huyu mzee alikuaga Tajiri saana.Nikajiongeza nikamfuata nikampa 2000/=Nikamuuliza Mzee imekuaje ulikua tajiri na sasa ni ombaomba.Daaa Alianza kwa kwa kuniambia Mwanangu ukitaka kua lofa masikini kama Mimi Nitafute maana ni stori ndeefu.tukakutana kesho yake hapo hapo .Bar Mambo alionieleza daaa ni kama hayo ulionena masanja.Japo Yeye alizidisha zaidi. Coz Hata mke alifukuza na watoto aliwakataaa.Kukesha kwenye baaa na Kuwatuza wasanii ilikua ndo zake.Kuwanunulia viwanja madem ndo ilikua mtego wa kupatia mademu.Hakika dk za mwisho alianza na kulia coz hafahamu hata huyo mkewe alienda waaapi?

  • @mankonlentv7776
    @mankonlentv7776 Před 4 lety +2

    mgaya nimejifuz kitu 😂😂😂 usipotumia akili utakua maskin wakutupwa kazkaz ndo msing gomg laik kam umemuelew mgaya

  • @anthonyjoseph4979
    @anthonyjoseph4979 Před 4 lety +2

    UTAKUA MASIKINI SUGU!!!!!!Hahahahahahahahaha.

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 Před 4 lety +2

    Semo hili lifanye kinyume ndio utafanikiwa sana

  • @mc_elishadai
    @mc_elishadai Před 4 lety +4

    Chief executive officer of Poor 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @simbasanajose6110
    @simbasanajose6110 Před 4 lety

    hahahahahaha uko sawa

  • @ev.mhugohantish288
    @ev.mhugohantish288 Před 4 lety

    Dah!!! hahahaha

  • @kennedyjohn6788
    @kennedyjohn6788 Před 4 lety

    Napia ungemwambia asisahau kulaiki mwanawane

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 8 měsíci

    Serikali yetu inatufanya masikini kama ulifanya na serikali miaka zaidi ya 30. Retured unapewa 20,000/= kwa mwezi Kikwete akatuonea huruma akatuongeza mpaka 100,000/= awamu ya 5 hawakuwa na shida na sisi wazee. Awamu ya 6 ndiyo basi tena hana hata kutuona. Ni hiyo hiyo lakini wakati wao kwenye sitting allows ni zaidi ya laki tatu. Kwa hayo unayosema ni comedi tu mbona huwambii serikali wanavyo waliowafikisha hapo walipo. Ndiyo Makonda anasema kanyamazeni kwa sababu tumemaliza wakati mbona Inchi nyingine wazee retired ndiyo matajiri wanakula pensions zao kilaini sana

  • @mwambinguphilip55
    @mwambinguphilip55 Před 4 lety

    Nangojea part ya wadada hahaha

  • @agustinommasi1119
    @agustinommasi1119 Před 4 lety

    😃😃😃😃😃😃😃😃😃weeeeeeeeeee

  • @gauedwin1960
    @gauedwin1960 Před 4 lety +1

    Niaje msee..wacha niende na kinyume ya hii mwanawane

  • @isejemedia6760
    @isejemedia6760 Před 4 lety

    We mkali nakuku bali kaka

  • @hamisikareem648
    @hamisikareem648 Před 4 lety

    Hatar sana

  • @qemuelnade448
    @qemuelnade448 Před 4 lety +2

    ukitafsir kinyume nakufuata utakuw tajiri.

  • @yusuphmlekwa4645
    @yusuphmlekwa4645 Před 4 lety +1

    Sasa ntapataje hiyo pesaa ili ntumbue hivyo?

  • @josephmichael7071
    @josephmichael7071 Před 4 lety

    Nimekueleea San mkuu kwa somo lko

  • @mussahassan8751
    @mussahassan8751 Před 4 lety

    hahaha mtumish me nataka unifundishe jinsi ya kuwa tajir

  • @alfredjoakim1107
    @alfredjoakim1107 Před 3 lety

    Yani nimekuelewa sana masanja nn unaamanisha yani niatali

  • @denicmsigwa5199
    @denicmsigwa5199 Před 4 lety

    We kweli matehenya duh

  • @cmotheboss2587
    @cmotheboss2587 Před 4 lety

    Ww umefanya hvyo?

  • @noelmunuo4660
    @noelmunuo4660 Před 4 lety +1

    Hahahaha how can dada become a poor,

  • @sele2507
    @sele2507 Před 4 lety +1

    Toa details

  • @issarajabu1386
    @issarajabu1386 Před 4 lety

    %100

  • @davidulenje1264
    @davidulenje1264 Před 4 lety +5

    AISEE MM BADO CJAELEWA UMEFUNDISHA KIWANGO CHA UMASKINI WA DIGRII NAOMBA URUDIE NIFANYEJE KUPATA PHD YA UFUKARA

  • @giftmkumbwa1331
    @giftmkumbwa1331 Před 4 lety +2

    hahahah ndio sifa ya msanii, ubunifu%

  • @abediguitar2214
    @abediguitar2214 Před 4 lety

    Good exaggeration bro

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 4 lety

    Part 2 ipo wapi

  • @timotheopoiti378
    @timotheopoiti378 Před 4 lety

    ASante kwasomo zuli

  • @rogersmasofa6549
    @rogersmasofa6549 Před 4 lety

    unazingua mchungaji

  • @jeanmjimmy
    @jeanmjimmy Před 4 lety

    🤣😂😅😁🤣😂😀

  • @guccij3549
    @guccij3549 Před 4 lety

    😂

  • @ramadhanibrahim7619
    @ramadhanibrahim7619 Před 4 lety

    Kwa wenye akili watakuelewa umeongea point sn

  • @jullyl628
    @jullyl628 Před 4 lety

    😂😂😂🤣

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 4 lety

    Amka saa 5 anza kuangalia movies, kisha anza kibashinia siasa, nunua mi bundles, Kata utumbo . Wee. Si nunui tena mi bundles za ma mb.

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 Před 4 lety

    Hahahaha

  • @stewardmbena3737
    @stewardmbena3737 Před 4 lety +1

    Mtumishi kwann baadhi ya vipindi vyako unavyo anza na kumaliza huwa hufanyi maombiii????/?

  • @dogosafi178
    @dogosafi178 Před 4 lety +2

    How to be a pua person 💀😂😂

  • @kaminyogemwachelwa9884

    😂😂😂

  • @samgeorge823
    @samgeorge823 Před 4 lety

    Ha ha ha ha

  • @philomenasjohn9083
    @philomenasjohn9083 Před 4 lety

    Mb zangu hazijaenda bure

  • @tazamaelimbise8467
    @tazamaelimbise8467 Před 4 lety

    Hahahahahahahahaahah

  • @muhambwetvonline
    @muhambwetvonline Před 4 lety

    Wasio kunywa pombe na bado hatuna hela tujuane hapa

  • @nananana4885
    @nananana4885 Před 4 lety

    😂😂😂😂😂😂

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 Před 4 lety

    HOW TO BE

    • @leonardmdegela4258
      @leonardmdegela4258 Před 4 lety

      Ten nyingi mii naacha buku msapulo wa nyadundwee jelo helaa yikwila

  • @gilbertboniphace2539
    @gilbertboniphace2539 Před 4 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣