Dah Asiemuelewa Ana akili kabisaa tena Mi Kabla tu ajamaliza Mi nishamuelewa, anamaanisha nini Mungu akubaliki Kaka Masanja Tena sana,Akubaliki kwa hili Somo,kama na ww umemuelewa nipe Like,yako
Kaka umenikumbusha mbaali saana.Mwaka 2007Nilikutana na mzee Mooja alikua anaombaomba msaada.Alipita baa nilipokua Napata mchemsho.Mzee alipokua anaingia watu wakawa wanamnyooshea vidole wakisema huyu mzee alikuaga Tajiri saana.Nikajiongeza nikamfuata nikampa 2000/=Nikamuuliza Mzee imekuaje ulikua tajiri na sasa ni ombaomba.Daaa Alianza kwa kwa kuniambia Mwanangu ukitaka kua lofa masikini kama Mimi Nitafute maana ni stori ndeefu.tukakutana kesho yake hapo hapo .Bar Mambo alionieleza daaa ni kama hayo ulionena masanja.Japo Yeye alizidisha zaidi. Coz Hata mke alifukuza na watoto aliwakataaa.Kukesha kwenye baaa na Kuwatuza wasanii ilikua ndo zake.Kuwanunulia viwanja madem ndo ilikua mtego wa kupatia mademu.Hakika dk za mwisho alianza na kulia coz hafahamu hata huyo mkewe alienda waaapi?
Serikali yetu inatufanya masikini kama ulifanya na serikali miaka zaidi ya 30. Retured unapewa 20,000/= kwa mwezi Kikwete akatuonea huruma akatuongeza mpaka 100,000/= awamu ya 5 hawakuwa na shida na sisi wazee. Awamu ya 6 ndiyo basi tena hana hata kutuona. Ni hiyo hiyo lakini wakati wao kwenye sitting allows ni zaidi ya laki tatu. Kwa hayo unayosema ni comedi tu mbona huwambii serikali wanavyo waliowafikisha hapo walipo. Ndiyo Makonda anasema kanyamazeni kwa sababu tumemaliza wakati mbona Inchi nyingine wazee retired ndiyo matajiri wanakula pensions zao kilaini sana
Dah Asiemuelewa Ana akili kabisaa tena Mi Kabla tu ajamaliza Mi nishamuelewa, anamaanisha nini Mungu akubaliki Kaka Masanja Tena sana,Akubaliki kwa hili Somo,kama na ww umemuelewa nipe Like,yako
Kama umemuelewa masanja tujuane kwa like......!
Safi Sana I LIKE MY LIFE
Nimemuelewa sana tu
Hahahah watakaoshindwa kwenda kinyume cha dondoo hizi , wamekwisha😂😂😂😂😂
Kipaji cha hali ya juu. Hongera sana Emanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji...
My best comedian all the time
Nakuelewa sana Mtumish
Asante Yesu,Akubariki sitafata kanuni hii nataka kuzidi kuwa tajiri.naamini utajiri wa kwanza kwangu ni kumpokea Bwana Yesu.Ubarikiwe machanja.
Nakuelewa Sana Bro Keep It
Wewe ni mbunifu kupita kawaida. Ubarikiwe sana. Nakupenda nadhani napitiliza.
Aiseee 😂😂😂😂👌💪 yaani mimi umenifuza kitu apo mwakani nishajenga mjengo frani amazing sana 🏘👌💪😂😂😂😂👌 ila haka ni kaujinga ka kujenga
Umetisha sana
#Masanja Mkandamizaji# Hebu andika Kitabu kiitwacho: "JINSI YA KUWA MASKINI" ili kuhamasisha Maendeleo ya Mtu binafsi.
Hizi zina inspire sana ungekifanya kama kipindi
Hahahaaaaaaaa daaah nimechekaa saana
Umetishaaaaaaa
Bright people got a lesson from this video, keep up the good work
You have inspired me
Ushauri mzuri sana
hahaa masnja bhana!! hili somo matata sana!!!
Barikiwa sana Mtumishi wa Nakuelewa Sana
😀😀😀😀 mungu anakuona masanja ila mm nimekuelewa sana 🙏💪
Hapa ndo pana ule usemi usemao "asiyejua maana haambiwi maana"
Barikiwa mtumishi
kaka hongera sana kwa kuelimisha jamii nimekuelewa sanaaaaaaa
Nakubaliiiiiiiii somoo kaliiii
Mm. Nimekwelewa masanja somo zuri sana
Ubarikiwe sana
nimekuelwa Masanja unacho maanisha, 😁😁ubarikiwe
Vice versa is true
Safi kabisa umasikin kwa gharama.
Nimekusoma ....Mimi huwa nafanya Hivyo lakin nashangaa Kila nikizitumia hizo pesa kesho yake napata nyingine...
Nimekuelewa sana masanja
daah nimecheka sana
Ulimdesi sana masanja
Wow
😀😀👏👏😂😂nimekusoma
Hilo somo limeshiba sana,
Nimekuelewa brother
🤣🤣🤣🤣🤣 nimekuelewa sana kakaaaaa
Vice Verser is absolutely true
We jamaa una akili nyingi xn! Unazipata wap
Duuuuuuuhh Nimekupata
Yan we masanja umewaza nn mpaka ukaamua kufundisha hlo somo,
Mwenye akili kaelewa pakubwa sana apo so bible akili
Hapa ndo Kichwa kisichokuwa na akili ni Mzigo kwa Miguu..
Nimekuelewa
mafundisho ya mchungaji mgaya aka Masanja nomaaa!
Sawa bro
Nimepkupata pastor.....
Somo zuri
Daaaah masanja umenifurahisha
😂😂😂 utafikiri mazuri
Kila lock imeachia kama umesikia hvyo like hapa
Hiii sauti ya chwiiiiiiiiiiiiiiiiiii,! Hahahahah
Hahahhahahaha hii style yako ya komedi....
Bro daaa! Nimekuelewa somo la nidhamu ya pesa barikiwa na mungu by pot Emmanuel kabuje
Kaka umenikumbusha mbaali saana.Mwaka 2007Nilikutana na mzee Mooja alikua anaombaomba msaada.Alipita baa nilipokua Napata mchemsho.Mzee alipokua anaingia watu wakawa wanamnyooshea vidole wakisema huyu mzee alikuaga Tajiri saana.Nikajiongeza nikamfuata nikampa 2000/=Nikamuuliza Mzee imekuaje ulikua tajiri na sasa ni ombaomba.Daaa Alianza kwa kwa kuniambia Mwanangu ukitaka kua lofa masikini kama Mimi Nitafute maana ni stori ndeefu.tukakutana kesho yake hapo hapo .Bar Mambo alionieleza daaa ni kama hayo ulionena masanja.Japo Yeye alizidisha zaidi. Coz Hata mke alifukuza na watoto aliwakataaa.Kukesha kwenye baaa na Kuwatuza wasanii ilikua ndo zake.Kuwanunulia viwanja madem ndo ilikua mtego wa kupatia mademu.Hakika dk za mwisho alianza na kulia coz hafahamu hata huyo mkewe alienda waaapi?
mgaya nimejifuz kitu 😂😂😂 usipotumia akili utakua maskin wakutupwa kazkaz ndo msing gomg laik kam umemuelew mgaya
UTAKUA MASIKINI SUGU!!!!!!Hahahahahahahahaha.
Semo hili lifanye kinyume ndio utafanikiwa sana
Chief executive officer of Poor 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
CEOP 😀😀😀😀😀
hahahahahaha uko sawa
Dah!!! hahahaha
Napia ungemwambia asisahau kulaiki mwanawane
Serikali yetu inatufanya masikini kama ulifanya na serikali miaka zaidi ya 30. Retured unapewa 20,000/= kwa mwezi Kikwete akatuonea huruma akatuongeza mpaka 100,000/= awamu ya 5 hawakuwa na shida na sisi wazee. Awamu ya 6 ndiyo basi tena hana hata kutuona. Ni hiyo hiyo lakini wakati wao kwenye sitting allows ni zaidi ya laki tatu. Kwa hayo unayosema ni comedi tu mbona huwambii serikali wanavyo waliowafikisha hapo walipo. Ndiyo Makonda anasema kanyamazeni kwa sababu tumemaliza wakati mbona Inchi nyingine wazee retired ndiyo matajiri wanakula pensions zao kilaini sana
Nangojea part ya wadada hahaha
😃😃😃😃😃😃😃😃😃weeeeeeeeeee
Niaje msee..wacha niende na kinyume ya hii mwanawane
We mkali nakuku bali kaka
Hatar sana
ukitafsir kinyume nakufuata utakuw tajiri.
Sasa ntapataje hiyo pesaa ili ntumbue hivyo?
Nimekueleea San mkuu kwa somo lko
Joseph Michael nimekuerewa mwalimu
hahaha mtumish me nataka unifundishe jinsi ya kuwa tajir
Yani nimekuelewa sana masanja nn unaamanisha yani niatali
We kweli matehenya duh
Ww umefanya hvyo?
Hahahaha how can dada become a poor,
Toa details
%100
AISEE MM BADO CJAELEWA UMEFUNDISHA KIWANGO CHA UMASKINI WA DIGRII NAOMBA URUDIE NIFANYEJE KUPATA PHD YA UFUKARA
hahahah ndio sifa ya msanii, ubunifu%
Nimee kuelewa wajina
Good exaggeration bro
Part 2 ipo wapi
ASante kwasomo zuli
unazingua mchungaji
🤣😂😅😁🤣😂😀
😂
Kwa wenye akili watakuelewa umeongea point sn
😂😂😂🤣
Amka saa 5 anza kuangalia movies, kisha anza kibashinia siasa, nunua mi bundles, Kata utumbo . Wee. Si nunui tena mi bundles za ma mb.
Hahahaha
Mtumishi kwann baadhi ya vipindi vyako unavyo anza na kumaliza huwa hufanyi maombiii????/?
Sikiliza kinachofundishwa
Steward Mbena Maombi ya nini hapo? Kila kitu kina mahali pake.
How to be a pua person 💀😂😂
😂😂😂
Ha ha ha ha
Mb zangu hazijaenda bure
Hahahahahahahahaahah
Wasio kunywa pombe na bado hatuna hela tujuane hapa
😂😂😂😂😂😂
HOW TO BE
Ten nyingi mii naacha buku msapulo wa nyadundwee jelo helaa yikwila
🤣🤣🤣🤣🤣