MASANJA AONESHA NYUMBA ANAYO ISHI KIJIJINI NA USAFIRI!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 02. 2019
  • MASANJA AONESHA NYUMBA ANAYO ISHI KIJIJINI NA USAFIRI!!
  • Hudba

Komentáře • 72

  • @neemamabiki6164
    @neemamabiki6164 Před 5 lety +5

    Daaah!mtu wa watu anajituma akifanikiwa watu oooh!!masanja Freemason kama ni rahisi kihivyo na wao wajiunge.

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 Před 5 lety +1

    Kukiwa na vijana kama hawa million2 nchini hakika Njaa tutaisikia tu,,,, sio tuna vijana wa majungu tu. Hongera kijana.

  • @magejoseph9258
    @magejoseph9258 Před 4 lety

    Napenda Sana kuwa mkulima maana nami pia ni mtoto was wamkulima Ila Sasa pesa to ndo shida maisha yangu bado kabisa naomba Mungu nami anisaidie ili kutimiza ndoto yangu hongera sana kakaangu kwa kazi nzr

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před 5 lety +1

    Uko vzur sana ktk masuala ya kilimo! Nakushauri ulime kisasa kwa kutumia mshine za kupanda na kuvuna ili kuepuka hasara ya hapo baadaye ya kukosa wapandaji

  • @denismwalukunga8686
    @denismwalukunga8686 Před 5 lety +8

    Hongera kwa kujituma wengine wanaona raha kuwa maarufu bila kujishughulisha

  • @cheweathumani6333
    @cheweathumani6333 Před 5 lety +3

    Safi sana brother kwa kujituma, j alteza hapa,

  • @momamishevevo8460
    @momamishevevo8460 Před 5 lety +1

    kk masanja ww nomaaaaaaa big up

  • @joycengowi2429
    @joycengowi2429 Před 4 lety +1

    Mungu azibariki kazi za mikono yako

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer559 Před 5 lety +1

    pole pole mwanawane kapikipiki unakakuruza mno au sabu amna police uko

  • @danfordmwangesile9043
    @danfordmwangesile9043 Před 5 lety +1

    Ahsante Sana Emmanuel Mungu azidi kukubariki. Sijui nakupateje ili nijifunze kitu kwako Kaka?????

  • @billydadkiswaga9461
    @billydadkiswaga9461 Před 5 lety

    Excellent job

  • @pendobaharia9885
    @pendobaharia9885 Před 5 lety

    Mungu akujaze zaidi na zaidi

  • @emmanuelkimonge7013
    @emmanuelkimonge7013 Před 5 lety

    Big up sana wajina ngoja tuanze kujipanga ili next time na sisi wengine tuje huko aiseee nimeipenda sana hii.

  • @Vuvuzelaz1
    @Vuvuzelaz1 Před 5 lety

    Big up Masanja napenda sana kazi za Shamba uwiiii mpunga huooo

  • @yasintamartin3426
    @yasintamartin3426 Před 5 lety

    hongera sana masanja

  • @daudmayombo6763
    @daudmayombo6763 Před 3 lety

    Safi sana bro dalasa tosha

  • @neemakaluwa5856
    @neemakaluwa5856 Před 5 lety +1

    Kwa kujituma huko kwann Mungu asikukumbuke? Ki ukwel unanitia hamasa yakuendelea kuhaso na kutokata tamaa.

  • @raysonmero5649
    @raysonmero5649 Před 5 lety

    Much rspect broo

  • @danielmbalwa9307
    @danielmbalwa9307 Před 5 lety

    Safii sanaaa maisha ni mapambanooo

  • @saddykayage6519
    @saddykayage6519 Před 5 lety

    Naomba kazi boss masanja

  • @barakachami8218
    @barakachami8218 Před 5 lety +1

    Daah.. Ngoja nipate money na mm nikalime Aisee kilimo kizuri ukiwa na pesa

  • @saphynjaule4849
    @saphynjaule4849 Před 5 lety

    Kweli kaka Mungu azidi kukubariki zaidi kwa jitihada zako.unani inspire saana

  • @makalangele6229
    @makalangele6229 Před 5 lety

    Big up Masanja

  • @dicksonmpululu1800
    @dicksonmpululu1800 Před 5 lety

    Hongera sana kwakaz!!!?

  • @neemiandondole6168
    @neemiandondole6168 Před 4 lety

    Be masanja uliunofu swee nde valonge swela.

  • @falictv9058
    @falictv9058 Před 5 lety

    We ni noma

  • @brhchannel6618
    @brhchannel6618 Před 5 lety +7

    Najifunza vitu vingi Sana kutoka kwako Brother hakika wewe unani inspire Sana with your beautiful wife hana maneno Mtoto wa kisukuma jamani @Masanja

  • @georgemligo3420
    @georgemligo3420 Před 5 lety

    Weeeee mzeee una utofauti aiseee big up sanaaaaaa. Investment unayo ifanya ni nzuri vipi iyo ni Ubaruku au Kapunga???

  • @godfreymgaya1862
    @godfreymgaya1862 Před 5 lety

    Najifunza Sana kakaa

  • @emmanuelkimonge7013
    @emmanuelkimonge7013 Před 5 lety +1

    Ila pia wajina nasubiria ile tour ya kuja huko tuje kujifunza

  • @francischela2760
    @francischela2760 Před 5 lety

    Mkuu kazi inanihusu hiyo

  • @bishopgeorgemao999
    @bishopgeorgemao999 Před 5 lety

    Safi sana

  • @swaumumohammed5710
    @swaumumohammed5710 Před 3 lety

    Iki kilimo kizuri ila usikurpuke ela lazimaiwepo

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 Před 5 lety

    Hakuna haja ya kuwapa wawekezaji ardhi ilhali wapo Watanzania wachapa kazi, hayo mashamba ya wawekezaji mpeni masanja.

  • @jasiminjasimin7694
    @jasiminjasimin7694 Před rokem

    Kiukweli nitakutafuta broo unipe binu niaze kulimisha

  • @ibrahimdea2659
    @ibrahimdea2659 Před 5 lety

    We jamaa kichwa sana

  • @hamumyahmed9652
    @hamumyahmed9652 Před 5 lety

    Pambana bro

  • @karimujuma7784
    @karimujuma7784 Před 5 lety

    Unania ya kukwepa kod non mbna km unajitetea kabla hujaambiwa unadaiwa b mbili hapo badae

  • @littlelion7276
    @littlelion7276 Před 5 lety

    Aysee inabidi nikutafute unioneshe namna ya kupractise kilimo bora.. Nitakutext whasap mkuu

  • @benadolphabiandustan4109

    watu wanapenda sifa eti mchungaji hu hu hu huuuuu

  • @magejoseph9258
    @magejoseph9258 Před 4 lety

    Ivi nikiuliza Kaka unalimia wapi itakuwa vbya samahani rakin

  • @bonishani8570
    @bonishani8570 Před 5 lety

    kilimo nikizuri san

  • @jacobwilliam2630
    @jacobwilliam2630 Před 5 lety

    Unalimia eneo lipi mkuu

  • @hellenmgungus1202
    @hellenmgungus1202 Před 5 lety

    Unalila sababu ya kuwa bilionea masanja

  • @alexisntawuyankira8507

    Ongela mutumishi hapo kzi tu

  • @marwaryoba9725
    @marwaryoba9725 Před 5 lety

    Jamaa jinsi anavyo post hizi mambo ana maan kuw vjn tuchangamkie frusa afanyi kwa sifa bali kutuinsipire,,,tusibweteke na viajira vya kuajiriwa,je kesho haupo familia yako itaridhi nn? Tutafakar tuchukue hatua.

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e Před 5 lety

    Usiku si itakuwa giza.

  • @franklugalamila4473
    @franklugalamila4473 Před 5 lety

    Duuh uyu bro mfano wakuingwa

  • @mikembokaila4241
    @mikembokaila4241 Před 5 lety

    kibanda chako kiboreshe kidg

  • @sigifridaloyce9914
    @sigifridaloyce9914 Před 5 lety

    uyu jamaa yupo kama muhaya bhn hata simuelewagi yupo kama muhaya

  • @lailasalim1443
    @lailasalim1443 Před 5 lety +1

    Hayo Ni maji ya mvua ama yakumwaga masnja?

  • @alfamwakibete1713
    @alfamwakibete1713 Před 5 lety

    Natamani nijemimi uko je? sha mba kukondisha shigapi

  • @kelvinmhagama9535
    @kelvinmhagama9535 Před 5 lety

    ngighelye ighasi yewifanya ,ghumwaka iludewa yagho wichake tughaghulolela

  • @rahimatanzani6509
    @rahimatanzani6509 Před 5 lety +6

    Yani wewe masanja ni mfano wa kuigwa kabisa mm nimetaman sana kazi za shamba mtaji bei gani

    • @godfreymgaya1862
      @godfreymgaya1862 Před 5 lety

      Eka moja laki 6

    • @rahimatanzani6509
      @rahimatanzani6509 Před 5 lety

      @@godfreymgaya1862 huko kwenu mshamba yapo japo eky moja

    • @mohameddamka922
      @mohameddamka922 Před 5 lety

      mtaji mkubwa kabisa ni nguvu zako mwenyewe

    • @rahimatanzani6509
      @rahimatanzani6509 Před 5 lety

      @@mohameddamka922 sawa sikatai nguvu nyingi ni nzangu ila nahutaj shamba

    • @mohameddamka922
      @mohameddamka922 Před 5 lety

      @@rahimatanzani6509kwakua ndo unaanza tafuta shamba ambalo si kubwa saana lima kwa kutumia mkono kwanza harafu taratibu utakwenda unaongeza ukubwa wa shamba

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 Před 5 lety

    Safisana

  • @richardmercio3855
    @richardmercio3855 Před 5 lety

    Inabidi jeshi la polisi tukukamate kwani umeendesha pkpkp bila kuvaa kofia ngum

  • @cheweathumani6333
    @cheweathumani6333 Před 5 lety +1

    Safi sana brother kwa kujituma, j alteza hapa,