Napenda Sana kuwa mkulima maana nami pia ni mtoto was wamkulima Ila Sasa pesa to ndo shida maisha yangu bado kabisa naomba Mungu nami anisaidie ili kutimiza ndoto yangu hongera sana kakaangu kwa kazi nzr
Uko vzur sana ktk masuala ya kilimo! Nakushauri ulime kisasa kwa kutumia mshine za kupanda na kuvuna ili kuepuka hasara ya hapo baadaye ya kukosa wapandaji
Jamaa jinsi anavyo post hizi mambo ana maan kuw vjn tuchangamkie frusa afanyi kwa sifa bali kutuinsipire,,,tusibweteke na viajira vya kuajiriwa,je kesho haupo familia yako itaridhi nn? Tutafakar tuchukue hatua.
@@rahimatanzani6509kwakua ndo unaanza tafuta shamba ambalo si kubwa saana lima kwa kutumia mkono kwanza harafu taratibu utakwenda unaongeza ukubwa wa shamba
Daaah!mtu wa watu anajituma akifanikiwa watu oooh!!masanja Freemason kama ni rahisi kihivyo na wao wajiunge.
Kukiwa na vijana kama hawa million2 nchini hakika Njaa tutaisikia tu,,,, sio tuna vijana wa majungu tu. Hongera kijana.
Napenda Sana kuwa mkulima maana nami pia ni mtoto was wamkulima Ila Sasa pesa to ndo shida maisha yangu bado kabisa naomba Mungu nami anisaidie ili kutimiza ndoto yangu hongera sana kakaangu kwa kazi nzr
Uko vzur sana ktk masuala ya kilimo! Nakushauri ulime kisasa kwa kutumia mshine za kupanda na kuvuna ili kuepuka hasara ya hapo baadaye ya kukosa wapandaji
Hongera kwa kujituma wengine wanaona raha kuwa maarufu bila kujishughulisha
Honger masanja
Safi sana brother kwa kujituma, j alteza hapa,
kk masanja ww nomaaaaaaa big up
Mungu azibariki kazi za mikono yako
pole pole mwanawane kapikipiki unakakuruza mno au sabu amna police uko
Ahsante Sana Emmanuel Mungu azidi kukubariki. Sijui nakupateje ili nijifunze kitu kwako Kaka?????
Excellent job
Mungu akujaze zaidi na zaidi
Big up sana wajina ngoja tuanze kujipanga ili next time na sisi wengine tuje huko aiseee nimeipenda sana hii.
Big up Masanja napenda sana kazi za Shamba uwiiii mpunga huooo
hongera sana masanja
Safi sana bro dalasa tosha
Kwa kujituma huko kwann Mungu asikukumbuke? Ki ukwel unanitia hamasa yakuendelea kuhaso na kutokata tamaa.
Much rspect broo
Safii sanaaa maisha ni mapambanooo
Naomba kazi boss masanja
Daah.. Ngoja nipate money na mm nikalime Aisee kilimo kizuri ukiwa na pesa
Kweli kaka Mungu azidi kukubariki zaidi kwa jitihada zako.unani inspire saana
Appreciate you bro
Big up Masanja
Hongera sana kwakaz!!!?
Be masanja uliunofu swee nde valonge swela.
We ni noma
Najifunza vitu vingi Sana kutoka kwako Brother hakika wewe unani inspire Sana with your beautiful wife hana maneno Mtoto wa kisukuma jamani @Masanja
Eng.Muyengi Baraka vp
@@neemajohn6086 Pouwah Mzima Ney.
Weeeee mzeee una utofauti aiseee big up sanaaaaaa. Investment unayo ifanya ni nzuri vipi iyo ni Ubaruku au Kapunga???
Najifunza Sana kakaa
Ila pia wajina nasubiria ile tour ya kuja huko tuje kujifunza
Mkuu kazi inanihusu hiyo
Safi sana
George Mao nakubali
Iki kilimo kizuri ila usikurpuke ela lazimaiwepo
Hakuna haja ya kuwapa wawekezaji ardhi ilhali wapo Watanzania wachapa kazi, hayo mashamba ya wawekezaji mpeni masanja.
Kiukweli nitakutafuta broo unipe binu niaze kulimisha
We jamaa kichwa sana
Pambana bro
Unania ya kukwepa kod non mbna km unajitetea kabla hujaambiwa unadaiwa b mbili hapo badae
Aysee inabidi nikutafute unioneshe namna ya kupractise kilimo bora.. Nitakutext whasap mkuu
watu wanapenda sifa eti mchungaji hu hu hu huuuuu
Ivi nikiuliza Kaka unalimia wapi itakuwa vbya samahani rakin
kilimo nikizuri san
Unalimia eneo lipi mkuu
Unalila sababu ya kuwa bilionea masanja
Ongela mutumishi hapo kzi tu
Jamaa jinsi anavyo post hizi mambo ana maan kuw vjn tuchangamkie frusa afanyi kwa sifa bali kutuinsipire,,,tusibweteke na viajira vya kuajiriwa,je kesho haupo familia yako itaridhi nn? Tutafakar tuchukue hatua.
Usiku si itakuwa giza.
Duuh uyu bro mfano wakuingwa
Hongera sana Bro...
kibanda chako kiboreshe kidg
uyu jamaa yupo kama muhaya bhn hata simuelewagi yupo kama muhaya
Hayo Ni maji ya mvua ama yakumwaga masnja?
Natamani nijemimi uko je? sha mba kukondisha shigapi
ngighelye ighasi yewifanya ,ghumwaka iludewa yagho wichake tughaghulolela
tractor haizami?
Excellent
Yani wewe masanja ni mfano wa kuigwa kabisa mm nimetaman sana kazi za shamba mtaji bei gani
Eka moja laki 6
@@godfreymgaya1862 huko kwenu mshamba yapo japo eky moja
mtaji mkubwa kabisa ni nguvu zako mwenyewe
@@mohameddamka922 sawa sikatai nguvu nyingi ni nzangu ila nahutaj shamba
@@rahimatanzani6509kwakua ndo unaanza tafuta shamba ambalo si kubwa saana lima kwa kutumia mkono kwanza harafu taratibu utakwenda unaongeza ukubwa wa shamba
Safisana
Inabidi jeshi la polisi tukukamate kwani umeendesha pkpkp bila kuvaa kofia ngum
Safi sana brother kwa kujituma, j alteza hapa,