WATENGENEZAJI WA NDEGE ZA BOEING WATUA TANZANIA, WAFANYA UKAGUZI WA NDEGE
Vložit
- čas přidán 20. 10. 2022
- WATENGENEZAJI WA NDEGE ZA BOEING WATUA TANZANIA, WAFANYA UKAGUZI WA NDEGE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kazi nzuri ya jpm
Mama samia ubalikiwe Sana Kwa kuendeleza mikakati mulioipanga pamoja na mtangulizi wako jpm.
Kwa kweli MUNGU ambariki huyu Mama.. Wala hata hasemi Sana.
@@malopemaliyamungu5243 unataka aseme nini???!!!
@@mamboshepea8888 Jamani si amemmpongeza kuwa maneno machache vitendo sana?? au nimemwelewa vibaya???
JPM for life
Mungu anajua Yoote, Mbarikiwe wote watu wa Mungu, Pigeni kazi.
R.I.P Rais JPM
Nzr hyo
Hongera sana iinjinia nimefurah sana kusikia kitengo kimeshikwa na wazawa tu
Kwa hesabu za masaa hiyo miaka mitatu ni sawa na masaa mangapi.
Mzuri hiyo
Waje watengeneze kiwanda cha ñdege tutengeneze ndege Tanzania
Viva magu
JPM FOR REVER kuna watu waliponda saana MAGUFULI alivyonunua oooh ziitakufa shame on you ndege ndo zinazidi kuingia
Ndio hivyo na ndio wanaozipanda kila wakati. Waliokuwa wanashangilia ujio wa ndege na kucheza ngoma na kufurahi wala hawajazipanda na wala hawategemei kuzipanda lakini walio na fulsa ya kuzitumia walikuwa wanaponda yaani JPM tuendelee kumuombea 🙏
Wamesahau spana
Tutamkumbuka sana jpm
Siasa bhana kuna kibwengo alisema ndege zipo tu zimepaki hazifanyi kazi na zinazofanya kazi hazistahili sasa kwanini ndege zinaongezwa? Magu alisema anataka mpaka akitoka madarkani zifike hata mia lkn ndio hivyo tena Mungu amempenda zaidi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
Ndege zinakuja lini maana 🤦🤷
Ongezeni boeing 787-10 au hata Boeing 777-9x wekeni order Tanzania tuingie kwenye list duniani. Tutapata clients wengi
Ziende wapi au mwanza tuu
@@mosaleh9577 mawazo ya kukariri ya kutoka belgium bora kununua madawa kuliko ndege wakati tungekuwa tumenunuwa madawa wakati ule yangekuwa 5 years yamesha xpire. Kwa mawazo hayo ndio eti mpewe nchi subutu!
Cc tunahitaji watujengeee kiwanda cha ndege
Kwaiyo ndo nn ss…???
Wakuu wa wilaya hawana jambo jingine ni kusifia mkuu wa nchi hata sehemu ambapo sifa hazihitajiki
Sasa hapo matengenezo tu, utaskia mlitumia NUSU YA GHARAMA ZA KUNUNULIA NDEGE YENYEWE, --- uzalendo kazi!👀🇹🇿
waje waone watatuuziaje vipuli vyao.
Hii bado mpya munajidai subirini ikonge kishs tutakuja tena hapa
Unaombea au
Angalieni wakenya wezi sana ndege zao zinakuja apa kuchukua watalii zakwetu zinabaki bila wateja
Utakubali aje mtu aje kwako akuibie ukiona halafu umruhusu aende bila kumchukulia hatua? Mjinga ni nani?
Walivo ponda kuwa JPM alinunua ndege hazina faida yoyote zaidi ya hasara, leo mhandisi anasema nchi emefunguka🤣👀
Subrieni mtasikia kitakachofuata
Shida ya ujuaji
Mama Samia oyeee! chapa kazi Mama lete madege zaidi
wapuuzi watamsifia hangaya
Alishatoa hela zote marehem
Mbona zimeshapauka sana,mambo ya put nini
Jiulize za nini wkt maisha ni magumu mno ..na Cag anasema ni hasara kubwa mno ..
Ujinga tu fundi kuja kutengeneza ndege lazima uite wandishi wa habari shame on you
Tanzania hii ujinga kabisa
Kabisa
Sasa unafikiri audience taarifa itawafikiaje?