WATENGENEZAJI WA NDEGE ZA BOEING WATUA TANZANIA, WAFANYA UKAGUZI WA NDEGE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 10. 2022
  • WATENGENEZAJI WA NDEGE ZA BOEING WATUA TANZANIA, WAFANYA UKAGUZI WA NDEGE
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 45

  • @eliyamwaipopo5873
    @eliyamwaipopo5873 Před rokem +6

    Kazi nzuri ya jpm

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Před rokem +11

    Mama samia ubalikiwe Sana Kwa kuendeleza mikakati mulioipanga pamoja na mtangulizi wako jpm.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před rokem +3

      Kwa kweli MUNGU ambariki huyu Mama.. Wala hata hasemi Sana.

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před rokem

      @@malopemaliyamungu5243 unataka aseme nini???!!!

    • @luganomunuwavanu9369
      @luganomunuwavanu9369 Před rokem

      @@mamboshepea8888 Jamani si amemmpongeza kuwa maneno machache vitendo sana?? au nimemwelewa vibaya???

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    JPM for life

  • @meshackntoga1566
    @meshackntoga1566 Před rokem

    Mungu anajua Yoote, Mbarikiwe wote watu wa Mungu, Pigeni kazi.

  • @sometimes5621
    @sometimes5621 Před rokem +6

    R.I.P Rais JPM

  • @ANDREWKAZUNGU-gt7lb
    @ANDREWKAZUNGU-gt7lb Před rokem +1

    Nzr hyo

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Před rokem +2

    Hongera sana iinjinia nimefurah sana kusikia kitengo kimeshikwa na wazawa tu

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi7270 Před rokem +2

    Kwa hesabu za masaa hiyo miaka mitatu ni sawa na masaa mangapi.

  • @NkubaBatamwa-xe1cx
    @NkubaBatamwa-xe1cx Před rokem

    Mzuri hiyo

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před rokem +1

    Waje watengeneze kiwanda cha ñdege tutengeneze ndege Tanzania

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 Před rokem +2

    Viva magu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před rokem +12

    JPM FOR REVER kuna watu waliponda saana MAGUFULI alivyonunua oooh ziitakufa shame on you ndege ndo zinazidi kuingia

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Před rokem +1

      Ndio hivyo na ndio wanaozipanda kila wakati. Waliokuwa wanashangilia ujio wa ndege na kucheza ngoma na kufurahi wala hawajazipanda na wala hawategemei kuzipanda lakini walio na fulsa ya kuzitumia walikuwa wanaponda yaani JPM tuendelee kumuombea 🙏

  • @mohammedbakhresa3823
    @mohammedbakhresa3823 Před rokem +1

    Wamesahau spana

  • @ambeleernest8176
    @ambeleernest8176 Před rokem

    Tutamkumbuka sana jpm

  • @davidcurtis175
    @davidcurtis175 Před rokem

    Siasa bhana kuna kibwengo alisema ndege zipo tu zimepaki hazifanyi kazi na zinazofanya kazi hazistahili sasa kwanini ndege zinaongezwa? Magu alisema anataka mpaka akitoka madarkani zifike hata mia lkn ndio hivyo tena Mungu amempenda zaidi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍

  • @khamisrashid1819
    @khamisrashid1819 Před rokem +2

    Ndege zinakuja lini maana 🤦🤷

  • @masundelwa
    @masundelwa Před rokem +5

    Ongezeni boeing 787-10 au hata Boeing 777-9x wekeni order Tanzania tuingie kwenye list duniani. Tutapata clients wengi

    • @mosaleh9577
      @mosaleh9577 Před rokem +1

      Ziende wapi au mwanza tuu

    • @charlesmihuwa6287
      @charlesmihuwa6287 Před rokem

      @@mosaleh9577 mawazo ya kukariri ya kutoka belgium bora kununua madawa kuliko ndege wakati tungekuwa tumenunuwa madawa wakati ule yangekuwa 5 years yamesha xpire. Kwa mawazo hayo ndio eti mpewe nchi subutu!

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před rokem +1

    Cc tunahitaji watujengeee kiwanda cha ndege

  • @abdulsalim7035
    @abdulsalim7035 Před rokem +1

    Kwaiyo ndo nn ss…???

  • @ilungasalle
    @ilungasalle Před rokem

    Wakuu wa wilaya hawana jambo jingine ni kusifia mkuu wa nchi hata sehemu ambapo sifa hazihitajiki

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 Před rokem

    Sasa hapo matengenezo tu, utaskia mlitumia NUSU YA GHARAMA ZA KUNUNULIA NDEGE YENYEWE, --- uzalendo kazi!👀🇹🇿

  • @abrahamreginald8118
    @abrahamreginald8118 Před rokem

    waje waone watatuuziaje vipuli vyao.

  • @abdallaameir3153
    @abdallaameir3153 Před rokem

    Hii bado mpya munajidai subirini ikonge kishs tutakuja tena hapa

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 Před rokem +2

    Angalieni wakenya wezi sana ndege zao zinakuja apa kuchukua watalii zakwetu zinabaki bila wateja

    • @patrickndichu3905
      @patrickndichu3905 Před rokem

      Utakubali aje mtu aje kwako akuibie ukiona halafu umruhusu aende bila kumchukulia hatua? Mjinga ni nani?

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 Před rokem

    Walivo ponda kuwa JPM alinunua ndege hazina faida yoyote zaidi ya hasara, leo mhandisi anasema nchi emefunguka🤣👀

  • @mwinjumaganga2995
    @mwinjumaganga2995 Před rokem +2

    Subrieni mtasikia kitakachofuata

  • @mbarakadau7345
    @mbarakadau7345 Před rokem +3

    Mama Samia oyeee! chapa kazi Mama lete madege zaidi

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před rokem +6

    wapuuzi watamsifia hangaya

  • @imelidamfikwa7954
    @imelidamfikwa7954 Před rokem +1

    Mbona zimeshapauka sana,mambo ya put nini

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před rokem +1

    Jiulize za nini wkt maisha ni magumu mno ..na Cag anasema ni hasara kubwa mno ..

  • @Nakomotosimfukwe
    @Nakomotosimfukwe Před rokem +3

    Ujinga tu fundi kuja kutengeneza ndege lazima uite wandishi wa habari shame on you