Habari wapendwa, asante sana kwa kuchukua muda wako kwa kuangalia video hii. Naomba sapoti yako kwa kusubcribe, nimegundua watu wengi wana angalia video na wanasahau kusubcribe. Kusubcribe kwako kutanipa nguvu zaidi ya kutengeneza video nyingi. Asante sana
Nataka ku visit Dubai kwa 1 month visa..... Mwezi huu mwishon na nimeshakata ticket online kwny kampun ya Emirates ila nimekata ticket ya one way je naweza kuzuiliwa safari kama ticket yangu haina return date??
Nilikuwa sijaona Hii video Daa wit Ukaamua kubeba na maende 😂😂 ila maisha ya Nje ya nchi uwa tunamis Vitu vya Nyumban Jaman Mimi nakumbuka first Day nasafir nilikuwa napenda grand malt san nimebeba carton nzima viungo vyote nilibeba, unga wa muogo 😂😂 Afu sasa Kilo zikazid walichukua vitu vingi ( Nivea, izi zilizid mil 100 perfume ) malta na vingine. Yan ach tu. Moving out of Your Confort zone Una experince vitu Mingi
😂😂😂😂eeh cartoon zima lazima vizidi kwakweli. Siku hizi mimi napata exta luggage kwasabab ni member wa KLM. Acha tu nilivofika huku this time moyo una waka nataka Mirinda nyeusi😂. Utaipata wapi? Ni kazi sana
@@Witnessvlog hahaha Afu sasa vitu bei uwa kuna watu wanauz bidhaa za nyumban dagaa, Mlenda unakaushwa ila bei yake Mhh ukiwa huku Utakula First Food Paka ukome.
@@Witnessvlog baada ya week 2 naenda Denmark yani sijawahi kusafir kwenda nnje me naona ntachekesha watu aki hapo , naomba kujua tu pale ukishapima mabegi nmeelewa Sasa mabegi unaacha hapohapo au unatoka nalo kupanda nalo Hadi katika lifti kwenda juu au
Habari. Nikuombe usubscribe ili usipitwe
Angalia video ya namna ya kuchek in kwa kutumia mashine
czcams.com/video/xlakeZ0dXvU/video.html
@witnessvlog kwhy bila cheti cha covid hauwez kusafiri?na je!unaruhusiw kupanda na vyakula kwa ajili ya kula ndan ya ndege?
@@silvanfelicianmvungi271 Sasa hivi unaruhisiwa kusafiri bila cheti cha Covid. Sio lazima tena na muhimu tena. Snacks unabeba
Sorry madam mm naomba nipate no Yako for private questions
Nitafute facebook @witness vlog
Hongera
Siku nikisafiri sina haja yakuuliza mtu mana maelezo yamejitosheleza kabisa
Obeja sana mayu umenikumbusaha safari za masafa marefu ubarikiwe sana sana👍
Karibu sana
Extremely informative
Glad you liked it
Hongera sana dada umenifurahisha
Asante sana mpendwa. Naomba sapoti kwa kusubscribe.
Nimependa
Asante sana kaka
Thank you Witness for the nice and detailed video ❤
Your welcome. Thank you for watching
Habari wapendwa, asante sana kwa kuchukua muda wako kwa kuangalia video hii.
Naomba sapoti yako kwa kusubcribe, nimegundua watu wengi wana angalia video na wanasahau kusubcribe.
Kusubcribe kwako kutanipa nguvu zaidi ya kutengeneza video nyingi. Asante sana
Dada witness
Habari kaka
Salama tuu
sorry nilikua naomba kuuliza
Nataka ku visit Dubai kwa 1 month visa..... Mwezi huu mwishon na nimeshakata ticket online kwny kampun ya Emirates ila nimekata ticket ya one way je naweza kuzuiliwa safari kama ticket yangu haina return date??
😂😂😂😂😂😂🙌 witness bhana eti maembe jmni ila poa tu hakuna kilichoharibika sis we love you😘
😀😀😀😀Yani nabebaga vitu haswaa. Love you
Thank you witty🥰🙏
My pleasure dear, i hope you liked it
@@Witnessvlog yeah nmeipenda sis na nmejifunza
Unaongea vizuri na nimekuelewa mno,hongera mpz
Asante sana sana dear, usisahau kusubscribe
Nimeshafanya ivo mumy
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jasiri aachi Asili..nimecheka sana asee
😂😂😂😂😂😂acha tu ndugu yangu
😂😂😂 eeeh adi dagaaaa kweli tumetoka mbali😂😂😂
😂😂😂sana yaniii
Dear God on day its me and soon i will be in airplain 🙏🙏
Amen. Dreams do come true
Hang on there
Wengine washamba sie
Asante sana Be blessed nimejifunza kitu kwakweli
Thank you. Nafurahi kusikia hivo
tupo pamoja dada
Asante sana kaka yangu
@@Witnessvlog poa
Sitakua mshamba ,when time comes.Thank you Witness ila hapo kwenye kupunguza vitu umewaza maembe yako,na dagaa huwezi acha
No you will manage, kabisa shoo niliona niache maembe
@@Witnessvlog hahaha
Usisahau kuturecodia Amsterdam Airport
☺️Sawa
@@Witnessvlog usinichoke na haka kavidio nakapenda sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka na dagaa juu muha wewe hapana
😂😂Acha mwenzangu na zimeisha wiki iliyopita mnitumie tena😂. Vyakula huku vina boa kidogo. Angalau unabeba vya home vikusukume
Unga wa ngano mzuri nunua kwenye maduka ya Watailand
Asante sana nitafanya hivo dear
Nilikuwa sijaona Hii video Daa wit Ukaamua kubeba na maende 😂😂 ila maisha ya Nje ya nchi uwa tunamis Vitu vya Nyumban Jaman Mimi nakumbuka first Day nasafir nilikuwa napenda grand malt san nimebeba carton nzima viungo vyote nilibeba, unga wa muogo 😂😂
Afu sasa Kilo zikazid walichukua vitu vingi ( Nivea, izi zilizid mil 100 perfume ) malta na vingine. Yan ach tu. Moving out of Your Confort zone Una experince vitu Mingi
😂😂😂😂eeh cartoon zima lazima vizidi kwakweli. Siku hizi mimi napata exta luggage kwasabab ni member wa KLM. Acha tu nilivofika huku this time moyo una waka nataka Mirinda nyeusi😂. Utaipata wapi?
Ni kazi sana
@@Witnessvlog hahaha Afu sasa vitu bei uwa kuna watu wanauz bidhaa za nyumban dagaa, Mlenda unakaushwa ila bei yake Mhh ukiwa huku Utakula First Food Paka ukome.
Sana yani dear
Ni sawa vya home ni vitamu soon am coming Germany
@@WitnessvlogBora tumeona nawaza ntakaposafiri mwenyewe Germany 😢
Sasa hyo mizigo unaacha tu hapohapo wanakwambia au 🤣🤣
Hapana kwakweli😂.Nilienda na ndugu yangu alirudi nayo nyumbani
Miongoni mwa video zilizonishawishi ku subscribe this channel ni hii naipendaga sana xichoki kuangalia
Thank you sweetheart
Kumbe muha Kama mie
Ndio ndio wachu. Gute?
Da witty uje uandae video inayoonesha jinsi ya kuomba ticket ya ndege kwenye google flight naona inachanganya sana.
Sawa i will do that
Lete video kama hzi kama sstr witness
I will bro. I am glad you liked it
Dada hapo kwenye kuacha mabegi ndio umeniacha njia panda🤣🤣🤣🤣
😂😂Hawakua na huruma nilipunguza vitu ilibidi
@@Witnessvlog baada ya week 2 naenda Denmark yani sijawahi kusafir kwenda nnje me naona ntachekesha watu aki hapo , naomba kujua tu pale ukishapima mabegi nmeelewa Sasa mabegi unaacha hapohapo au unatoka nalo kupanda nalo Hadi katika lifti kwenda juu au
Yani ukipima mabegi na ushachukua ticket yako begi unaliacha katika mashine ya kupimia na mm naenda kupanda lift kwenda juu au
Kama computer ipo kwenye begi jee na ushapeki? Lazima uitoe
Eeh lazima uitoe for checking in
Mana nlitaka nikujakuondoka nitie mpaka masufuria vijiko
@ghaosalsalum 😂😂😂😂😂😂alooooo
Nilichoshindwa nikuizoe hii video kila siku naona ni mpya kwangu
🤣🤣🤣lol
Bora nijikumbushie tu mana dalili ya video mpya siioni hiyo likizo naiiishe jamani
I love you Halima. Your support is higly appreciated.
Vp kama una mzgo wa laptop na cm utahitaj kulipa pesa kutoa pesa?
Sijui
Hapo kwenye kupunguza maembe jamani huwa nacheka sana , ila ulichoka maskini
🤣🤣Hii video umeingalia mara nyingi sana.
Sana yani nilifika na embe chache sana
@@Witnessvlog naipenda sana halafu hata siichoki
Aw😍
Waletwaye ni ndagala,yani wewe hahaha ulitisha sana
Ye chambu ndo leka see😂 . Ndatwaye kila nkitu
@@Witnessvlog yani wewe,shumbe chane
Mwanza dar nauli shngp???
Inategemeana na ndege na muda wa kukata ticket. Tembelea website ya airtanzania na Precision kwa maelezo zaid
Ohh ok but VP kuhusu Kwa tusiona NIDA usafiri wa mikoani pia mpaka niwe na NIDA???