Kaka mimi nataka kwenda marekani nikatakute maisha kwa sasa nimeshaandaa kiasi kidogo kama Tsh 4 milioni na Passport ninayo hivyo naomba unisaidie kunipa muongozo kwenye swala la kupata visa na gharama zote na niandae kama kiasi gani cha pesa ambacho naweza kuanza nacho Asante. From Tanzania Dar es salaam.
Big gap bro!! Mim nauliza inakuaje mtu anaondoka na visiting viza !!lkn inapoisha harudi Tena kwao !!Inakuaje cku anayotakq kutoka Ughaibuni !! Na Visa yke imeisha mda!!
Mungu akubariki kiongozi kwa elimu yenye manufaa sana zaidi ya sana unayotupatia. Naomba kuuliza kuhusu online flights ticket agents, je hawa wanaaminika kiasi gani kukata tickets kupitia wao hasa hasa multiple tickets (connecting flights)? Asante.
Amani ya Mungu iwe ju yenu nyote alafu nilikuwa naswali moja mtu kama mimi niko Burundi unawezaje kutusaidiya nasi tuko na ndoto zakufika USA na Passeport tunazo
Mbele ya kiti chako kuna screen ile ya kutazama movie bonyeza mahali pameandikwa my flight ✈️ then chagua maps hapo utaona ndege ipo Kwenye Anga la nchi au bara gani .
🍾🍾🍾🎉🎉🎉🎉🎉🎉🍾🍾🍾🍾🍾Bravooo bravooo
Mimi naitwa gelard erasto makolobela nimekuelewa sana kaka
Asantee kaka kwa kutupa elimu hii mungu akuzidishie na uendelee kutuma mwongozo zaidi
Ahsante sana
Na watch from mtwara,Tanzania 🇹🇿,
All the best
Taarifa zimenisadia sana maana najiandaa kupanda ndege kwa mara ya kwanza thanks
rock city mwanza big up broo
Mambo unayotujuza ni kuntu, big up
Watching from MombaSa. KAZI poa sana bro.
Kazi yako ni nzuri kaka. Keep it up
Mungu akubariki na akuzindishie
Great job bro
Niliiçheķa sana safari yako ya marekani nimejifunza kitu. 🙏
Hongera
👍
New comer here, ✅️✅️✅️
Thanks alot🙏
Thank
Thank you
Asante kwa elimu ,
Safi sana kutoka geita
asante saana kwakutupa elimu buree
Content zako ni nzuri sana Kaka,tuko pamoja,from DR Congo
Kutoka Arusha mjini
Me nakuita #sirdivine
Ivo vidude vya kueka masikion kuna ndege nyingne wanatoa km turkish air ila 'nilipanda Egypt Air awatoi' nilipata iyo shida ya masikio
Kwenye hii video sauti iko chini kidogo
Kaka mimi nataka kwenda marekani nikatakute maisha kwa sasa nimeshaandaa kiasi kidogo kama Tsh 4 milioni na Passport ninayo hivyo naomba unisaidie kunipa muongozo kwenye swala la kupata visa na gharama zote na niandae kama kiasi gani cha pesa ambacho naweza kuanza nacho Asante. From Tanzania Dar es salaam.
Sawa unicheki kwa namba hizi za WhatsApp +1(682)3689282 nikupe malekezo
Mdao sijakusahau
Big gap bro!! Mim nauliza inakuaje mtu anaondoka na visiting viza !!lkn inapoisha harudi Tena kwao !!Inakuaje cku anayotakq kutoka Ughaibuni !! Na Visa yke imeisha mda!!
Niko Wisconsin
Tena saiz saa 6 kassoro ucku
Nina ndoto za kuenda kuishi na kufanya kazi Seychelles brother nisaidie nipate uelewa juu ya nini natakiwa nifuate!asante.
Mungu akubariki kiongozi kwa elimu yenye manufaa sana zaidi ya sana unayotupatia. Naomba kuuliza kuhusu online flights ticket agents, je hawa wanaaminika kiasi gani kukata tickets kupitia wao hasa hasa multiple tickets (connecting flights)? Asante.
P
Natakujua kuusu kwenda china garama na masharti
Masharit yapo nadhani Hivi karibuni tutafanya video ya kiangazia viza ya china
Amani ya Mungu iwe ju yenu nyote alafu nilikuwa naswali moja mtu kama mimi niko Burundi unawezaje kutusaidiya nasi tuko na ndoto zakufika USA na Passeport tunazo
Yes popote ulipo Duniani tunaweza kukusaidia
@@ArrivalTv oo yes muda ukifika lazima niceki tusaidiyane kwa sasa nitaendeleya kutazama vidéo zako ili nipate kujifunza mengitu
Ndugu na watu ambao wana shida ya kutapika?? Je ndege ni hivo hivo????
Namba yako ya simu ili kwa maulizo zaidi maana nasafir kwenda California mwezi march
Karibu na ticket za ndege pia tunafanya kwenye kampuni yetu +14253642418
Mm mgeni kwenye hii channel..Leo nmekamia kwel, naangalia video zako zote...aiseeh
Asante sana na karibu sana mgeni
I want to to Washington state.
Bro je nikiwa angani nawezaje kujua kwamba nipo kwe anga ya nnchi gani?
Mbele ya kiti chako kuna screen ile ya kutazama movie bonyeza mahali pameandikwa my flight ✈️ then chagua maps hapo utaona ndege ipo Kwenye Anga la nchi au bara gani .
Divine hivyo vidude vya kuingiza kwenye masikio vinapatikana je?
Hivi vinauzwa kwenye maduka hasa maeneo ya Airport
@@ArrivalTv vinaitwaje?
@@viousa Vinaitwa 'ear plug'
Broo tupige kampani bc na ss wenye ndoto za kuja uko utusaidie mana nasikiaga uko kazi ni nying mpk kweny restaurant
Nataka kuuliza hasa suala zima la interview Kama hujajuwa kuongea English kwa kina inakuwaje ??
Wanaruhusu mkarimani wa lugha yako ???
Ukitaka kiswaili utahojiwa kiswaili ni wewe tu