HUWEZI KUFANIKISHA SAFARI YA AMERICA BILA KUZIPITIA HIZI HATUA 3✈️✈️🇺🇸🇺🇸
Vložit
- čas přidán 10. 04. 2024
- #travel #gym #spy#camera #Umeme#Tanesco#youtube #trendingvideo #Hedofstaste#safari#greencard #usembassy #arrivaltime#ndege#I94#diaspora#creditcard#dv2024#thedignityact2023#asylum#nairobi#romanian#amsterdam#tanzania#denver#career#usikuwamanane#thanksgiving#tanzania #diaspora#Usajililine#health#hosp ital#tanzania#breakingnews#tanzia#international#exclusive#technology#kenya#rwanda#maasai#zanzibar#wasafi #clouds #milardayo #global#viral #youtube#flight#airtanzania#schengenvisa #usvideos #greencard #usa
Thanks Bro God bless u and your team..
ubarikiwe
big up brother 🤝 we appreciate
✌️👊👍.
Asante sana kwa kukomazana bro mwanakwetu.
Nakubali kaka
Dah brow umekuwa adimu San Mungu akubarik Sana brow wangu
Got you right Sir.
What'supp
Thanks brother shoshana God bless you
Baba sina ubishi,nakubali sana harakati na taarifa unazotupatia.
Nice broo I like your explanation
Galam
Uzuri wa huyu bro ukimcheki fasta tu anakujibu. Be Blessed Mwamba
Napateje namba yake
Ubarikiwe Kwa maeleza mazuri
Mwanakwetu asante kwa kutupa tanzanite
Very informative... Thank you Lalashe!
❤❤❤ nimeipenda hiyo
Mungu akubariki kwa elimu hii
Tumekumiss brother
Sema kaka siku unapotea sana ❤❤❤
Kweli nimepotea sna
Sisi tunakupenda sana jua from pretoria south africa ❤❤❤
Mambo vipi kk tupo pamoja
Got u well,,,,kka,,,,god bless
@@ArrivalTvwewe ni role model wangu kaka, nafuatilia sana mafundisho yako ndugu yangu.
Bro nilikua nimemiss Sana content zako
Brother! Umepotea sana sisi tunajua kama upo na majukumu mengi mengi sana
Naomba namba Yako privety..nimepata barua ya mwaliko ya kuhudhuria Arusi ya cousin wangu inayofanyika trh 30/08 naitaji kujaza ds160
+14253642418
Namba zakoo please
+14253642418
Mwana kwetu ukikosa visa ukae mda gan kuomba tena?.
At list baada kuanzia miezi 3- 6 it’s a good time but always inatagemea na reason itakayojitokeza na uharaka wake
@@ArrivalTv asante..nataka nirud tena..nilikosa November.
Mwanakwetu nikirud naweza kubadilisha maombi yakawa tofaut na ya mwanzo?
Thx kaka,je kama mmeshinda na familia inamaana mke au mtoto wa miaka 12 naye atajaza from 160?na atafanyiwa usaili?
Kwenye green card form yake ni tofauti na hiyo Ds-160 yanyewe inatla Ds-260
I really appreciate 🙏, but inakuaje kama mtu sio watifa kama tanzania na akaja kuomba visa kwenye ubalozi wa marekani uliopo Tanzania 🇹🇿 , wanakubali ?
Ni jibu mwanawetu
Unaweza kuomba viza ubalozi wowote wa marekani katika taifa lolote bila kujali wee ni wa taifa ambalo ubalozi upo
Nakubali 🤜🤛
Sorry brother nahitaji kuja marekani nauli si tatizo ila mwelekeo2 ndio nahitaj
Nitafute kwa namba hii +14253642418
Salama bro samahani Mimi naitwa amani kwa watu kama sisi.tusio jua kuongea.kingereza tunafanyaje ndugu
Unaweza kutumia lugha ya kingereza
Kamaanisha unaweza kutumia lugha ya kiswahili kama uwezi kiingereza