GUMZO: BANGO la Mchungaji KIMARO Lililowekwa DAR Lazua TAHARUKI, Polisi WATINGA, Waumini WAELEZEA..
Vložit
- čas přidán 17. 02. 2023
- GUMZO: BANGO la Mchungaji KIMARO Lililowekwa DAR Lazua TAHARUKI, Polisi WATINGA, Waumini WAELEZEA..
WAUMINI wa Mchungaji Eliona Kimaro, wameweka bango lenye picha ya mchungaji huyo kama ishara ya kumuonesha upendo kwa kumkumbuka.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Mimi ni Romani katoliki waluteri wa Kijitonyama asanteni sana sana mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kumuonesha upendo mchungaji wenu.
Mchungaji Kimaro tunamuelewa sana kwenye mahubiri yake. Siyo hao wengine ukifika kanisani matangazo mengi kuliko mafundisho ya neno la Mungu.
Eliona Kimaro Mungu amfanyie wepesi aludiswe kkkt kijitonyama 🙏❤
Mchungaji Eliona Kimaro , ni baba wa wengi , ametufundisha vingi Na tunajifunza vingi kupitia yeye , imani yetu imekuwa kutokana Na mafunzo yake , mungu ambariki Na aendelee kumpa uhai aponye watu wengi Na kuwatia moyo waliokata tamaa 🙏
Wapenzi natupendane kwa kua pendo latoka kwa Mungu na kila apendaye amezaliwa na Mungu katika Roho,Matendo yana nguvu sana kuonyesha upendo,
Ndugu si yeye anayeponya bali Mungu ndiye anayemtumia kwenye huduma hiyo.
Nimetokwa na machozi My Daddy Mungu Akulinde tunakupenda.
Mungu ambariki. Kariakoo kaacha ari ya uamsho wa kumtumikia kristo.
Safi kabisa mko vizur 🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Asante Mungu kwa haya.
Anaye ponya si kimaro ni yesu
Kimaro ni mtumishi wa Mungu anaehubiri na kufundisha KWELI ya MUNGU...NGUVU YA NENO LA MUNGU NA KUWA MUNGU APASWA KUABUDIWA KTK ROHO NA KWELI NA JINA LA YESU LINAJITOSHELEZA.
Hivyo kwa sisi tunaomuelewa tuliumizwa japo mimi c mlutheri
Sisi ni wa Paulo, sisi ni wa Petro, sisi ni wa Apolo na sisi ni wa Kristo. Ni njema sana tukijuwa ya kuwa Kristo hagawanyiki. Yeyote anayewekwa mbele yetu kutuhudumia tuwe tayari kwa sababu si Kimario au Malasusa anayetuhudumia bali ni Karama ya Kristo itendayo kazi ndani yake. Ref 1 Korintho inamambo mazuri kama haya.
Hakika Mwenyezi Mungu umchagua yule amtakae na kumpandisha. Kila mwanadamu ana nyota na Rizki yake! Mchungaji Eliona Kimaro amebarikiwa kuwa juu siku zote. Kila la heri kwake na Mwenyezi Mungu amuepushe na shari zote za duniani uadui, chuki na husuda!
Eehe 3000!!..Aisee Pastor Star ur Own Ministry.. Ur FIREEEE💥💥💥
Mavuno ni.mengi shambani watenda kazi ni wa chaxhe basi tumwombe Bwana atume watenda kazi ! Yesu ni mwaminifu aliyemwita
Msema ukweli siku zote huwa hakubariki mm ni angilikana lakini nampenda Sana kimaro Sana sana
Kimaro yuko vema sanaaa,,tunampenda kweli na ana mafundisho mazuri yanayobariki watu wa dini zote🙏🙏
amina sana mbalikiwe san
Ukiona mtu anatumia nguvu nyingi sana, ktk masuala ya Mungu , huku akitumia vijisenti na watu ujue Kuna Jambo sio bure.
Kutoka 20:4-6 Usijifanyie Sanamu WAla mfano WA KITU kilichoko juu Mbinguni WAla Duniani WAla chini majini chini ya Dunia kwakukwa Mimi Bwana Mungu WENU NI Mungu MWENYE wivu. Inaeleka KKKT hamfundishwi NENO la Mungu
Yesu pekee ndiye anae ponya iweni na akili
Hakumaanisha kuwa Rev. Kimaro ndiye anayeponya ila kwa kupitia kinywa chake Yesu anawaponya watu.Pia ieleweke sii kila mchungaji akifundisha habari za Yesu watu wanaponywa!! KIMARO NI MPWAKWA MAFUTA WA BWANA.
Waoooooo jamani tupeni no ya Bango ili tuchangie jamani
Plan ya Bango imejibu 🥳🥳🥳
NYIE MNACHOCHEA VURUGU wote ,MMEFUNGWA UFAHAMU, Yeye aanzishe kanisa lake Mumfuate huko
Alaf nikute mke wangu nae kaandamana
Kunapokarbiaa kukuchaaa giza linaongezekaaa.......THAMANI YAKO INAONGEZAAA MBINGUNII KIMAROOO........Wauminiii ni waa kuigwaaa nyie nawawependaaa
Hamwezi kumzuia mtu kuanza kanisa kama Mungu amemwagiza
Kweli dini sio mavazi dini ni imani tu 🤔 Imefikia hatua Mbunge kuingia na jinzi bungeni akisema mbunge sio suti bali mbunge ni imani
Wachagaa oyeeeeeee
Anayeponya ni Mungu sio mtu
Kweli kabisa watu wawe makini sana wasije wakampa binadamu utukufu badala ya Mungu anastahili kutukuzwa
Ikawe heri kwa Baba.
Duh!! Wasipoelewa kina nani?? Yaani Bango limewekwa ili watu waelewe??
Kauli ya huyu bwana kauli yake ni uchochezi,Leo Mchg Kimaro kaomba Msamaha kwa Kanisa na watu wote,Hawa wanao jifanya wana upendo na Mchg wanajidanganya,Wakrito tusiwe Washabiki.
Ww deleva lntakillah mshilikinatu unalolote siyomuislam jinatu hilo lauislam ujuichochote
Namm namchu gaji wangu kitine jmn mtu akimsema vby huwa natamani nimpige.hii hata Yesu alipokamatwa mwanafunzi akamkata panga
Wanakera sanaa
Acheni kushinikiza Kanisa kufanya mnalolitaka..Nyie ndio mnakuza hili jambo
Hawakuzi mambo ila ni upendo tu
Valentine siyo ya kikristo
Kwa nini msimfuate nyumbani kwake!
Hahaa eti if you love me show me😜😜😜
Kweli kama unampenda mtu muonyeshe
Mfuate Sheria za nchi, kuweka Bango ni kulipia munispaa au jiji au halmashauri
Binadamu soma biblia, mjue Yehova kibinafci utaacha kumwabudu mtu.
Aje nimpe eneo afungue kanisa lake tu aachane na hao kkt
Ivi vitu cjui kwanini vinatokea,uko kijijini kwetu kanisa lilibaki na waumini 30 akaletwa mwinjilisti akaliamsha kanisa,watu wakajaa hadi kanisa likawa dogo,chaajabu maneno yakaanza mwinjilist akahamishwa.
Hakuna washarika hapo ni WAHUNI TU. Sasa ameshaomba msamaha anarudi kanisani na amejifunza kuwa na mipaka ya Kazi yake. Hizo fedha mlizotumia kutengeneza bango la Milioni 6 mngewapa watoto yatima.
Watoto yatima wapo siku zote, na hawatakoma kuwepo. Tumewahdumia na tutawahudumia
Ila pia najiuliza kwani Lutheran kijitonyama ni wachaga watupu? Au waandishi wanawahoji wachaga watupu? Maana wote wanaomdai kimaro wachaga watupu!!!🤪🤪🤪🤪 Wamtukuze Mungu au mchungaji???
Unaumia?
@@elizabethswai7777 Asante Kwa kuprove point yangu, .....Swai 😅😅😅😅
@@elizabethswai7777 kumbe sio suala la Mungu ni suala la Ukaskazini, hapo sawa Kaskazini Gang in the church 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa kingereza wamemwandika nani??mtanzania au mzungu ujumbe mzuri lakini haufiki kwa watu wote.
Sasa hapo chini si imeandikwa tafsiri yake "Na iwe Nuru". Dada yangu Manka mbona unaniangusha mimi kaka yako
Kama umesoma vzur ndo maana chini wameandika maana yake labda Kama macho yako hayaoni
Mch. Kimaro, kama alivyokubalika K'nyama, basi huduma hiyo anapaswa akaitoe hiyo huduma na kwingineko ndani ya DMP. Mnaong'ang'ania abaki Usharika wa K'nyama tu ni wabinafsi tu. Mnapaswa kujitafakari na kujifanyia maombi. Bila kufanya hivyo na kubadilika, mjue mnachochea mgogoro usiokuwa na sababu. Mnapaswa kukumbuka kwamba ipo mamlaka zilizomhamishia hapo Usharika wa Kijitonyama na mamlaka hiyo inayo haki na uwezo wa kumhamisha mtumishi wake akatoe huduma kwenye kituo kingine.
Nawashukuru Sana Sana Nampenda mchungaji toka rohoni Ana mafundisho mazuri Sana mmetisha
@@navysanga4245 wametisha nini sasa? Ni jambo baya sana kuchoche migogoro kanisani. Mch. Kimaro, alijisahau kidogo kwamba zipo mamlaka juu yake. Tumshukuru Mungu amefika mahali akalitambua hilo na kuomba msamaha. Kuweni wapole kusubiri atapangiwa kazi kituo gani ili mliompenda sana mjipange na kumfuata huko.
Kosa la kimaro siyo kukataa kutoka kijitonyama kisa kusema ukweli vijana wakislamu niwaaminifu kuliko wakikirto naakatoa mifano ukiangalia ukweli upo ndohilo kwani kimaro alianzia pale alikuwa kkoo
@@lucaschisamalo2852 huo sio ukweli ni uongo. Hao unaosema vijana wa kikristo sio waaminifu sio wakristo ni wapagani wenye majina ya kikristo na wanaosali makanisa ya kikristo. Ukristo ni kufanana na Yesu Kristo. Sasa ukisema sio waaminifu mana yake ni wezi. Sasa anakuwaje mwizi akafanana na Kristo? Jifunze zaidi kuhusu Ukristo. Ukristo sio kubatizwa sio jina sio kuimba kwaya n.k mambo haya mpagani anaweza kuyafanya au akaigiza ILA ALIYE MKRISTO WA KWELI UAMINIFU NI TUNDA LA ROHO MTAKATIFU ANAYEKAA NDANI YAKE. Labda angefafanua zaidi hao wakristo waliokosa uaminifu na wavivu wa Kristo yupi na wanaigiza hayo kutoka wapi. Mkristo mwizi hajazaliwa na kristo anatumia jina tu lakini hatambulikani na Yesu Kristo
@@sulemanmadahatv1691 utataka nitoe mifano migumu hata wafanyakazi wa selikali fanya utafiti wenzetu kidogo wanahofu ya mungu tofauti na sisi wakiristo unakuta mtu kateuliwa juzi tu anamali kibao awezi kuongea bila kufanya utafiti ok hayo yamepita mdogo kajishusha ili mambo yaende tunataka mahubiri pokea makontena napokea 😆😆😆😆
Nyie ndio mnaomponza sasa haya ngoja tuone
Wanamponza kivip maana ye hajawatuma ni mapenzi yao kwa mchungaji.
Kwani tatizo ni nn?unaumia🤣🤣
Kwani zimebaki siku ngapi? ili likizo aliyopewa ihishe.
Siku 28
Lakini leo tarehe 19/2 kasamehewa
Walio wengi hapo ni wachaga!K K K T Ni taasisi kubwa,hawa wanaenda kinyume na taratibu za kanisa.
Ukabila tena!!!
Huu ni uchichezi unaona majirani zetu
Wengi wachaga wa marangu na machame ni wakkkt
Hawa waumini pasta aliwapa nn
Aliwashibisha kwa neno la uzima