GUMZO: BANGO la Mchungaji KIMARO Lililowekwa DAR Lazua TAHARUKI, Polisi WATINGA, Waumini WAELEZEA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 02. 2023
  • GUMZO: BANGO la Mchungaji KIMARO Lililowekwa DAR Lazua TAHARUKI, Polisi WATINGA, Waumini WAELEZEA..
    WAUMINI wa Mchungaji Eliona Kimaro, wameweka bango lenye picha ya mchungaji huyo kama ishara ya kumuonesha upendo kwa kumkumbuka.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 79

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @benaridethawiliam9439
    @benaridethawiliam9439 Před rokem +13

    Mimi ni Romani katoliki waluteri wa Kijitonyama asanteni sana sana mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kumuonesha upendo mchungaji wenu.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před rokem +5

    Mchungaji Kimaro tunamuelewa sana kwenye mahubiri yake. Siyo hao wengine ukifika kanisani matangazo mengi kuliko mafundisho ya neno la Mungu.

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Před rokem +5

    Eliona Kimaro Mungu amfanyie wepesi aludiswe kkkt kijitonyama 🙏❤

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před rokem +3

    Mchungaji Eliona Kimaro , ni baba wa wengi , ametufundisha vingi Na tunajifunza vingi kupitia yeye , imani yetu imekuwa kutokana Na mafunzo yake , mungu ambariki Na aendelee kumpa uhai aponye watu wengi Na kuwatia moyo waliokata tamaa 🙏

  • @gracesenzota6555
    @gracesenzota6555 Před rokem +2

    Wapenzi natupendane kwa kua pendo latoka kwa Mungu na kila apendaye amezaliwa na Mungu katika Roho,Matendo yana nguvu sana kuonyesha upendo,

  • @veronicalaiser7869
    @veronicalaiser7869 Před rokem +4

    Ndugu si yeye anayeponya bali Mungu ndiye anayemtumia kwenye huduma hiyo.

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 Před rokem

    Nimetokwa na machozi My Daddy Mungu Akulinde tunakupenda.

  • @edithmushy1010
    @edithmushy1010 Před rokem +3

    Mungu ambariki. Kariakoo kaacha ari ya uamsho wa kumtumikia kristo.

  • @judyjudy3513
    @judyjudy3513 Před rokem +1

    Safi kabisa mko vizur 🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @meshacknyiti8020
    @meshacknyiti8020 Před rokem +1

    Asante Mungu kwa haya.

  • @godfreymgona8763
    @godfreymgona8763 Před rokem +2

    Anaye ponya si kimaro ni yesu

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před rokem +1

    Kimaro ni mtumishi wa Mungu anaehubiri na kufundisha KWELI ya MUNGU...NGUVU YA NENO LA MUNGU NA KUWA MUNGU APASWA KUABUDIWA KTK ROHO NA KWELI NA JINA LA YESU LINAJITOSHELEZA.
    Hivyo kwa sisi tunaomuelewa tuliumizwa japo mimi c mlutheri

  • @sulemanmadahatv1691
    @sulemanmadahatv1691 Před rokem +2

    Sisi ni wa Paulo, sisi ni wa Petro, sisi ni wa Apolo na sisi ni wa Kristo. Ni njema sana tukijuwa ya kuwa Kristo hagawanyiki. Yeyote anayewekwa mbele yetu kutuhudumia tuwe tayari kwa sababu si Kimario au Malasusa anayetuhudumia bali ni Karama ya Kristo itendayo kazi ndani yake. Ref 1 Korintho inamambo mazuri kama haya.

  • @lucasissidor9107
    @lucasissidor9107 Před rokem

    Hakika Mwenyezi Mungu umchagua yule amtakae na kumpandisha. Kila mwanadamu ana nyota na Rizki yake! Mchungaji Eliona Kimaro amebarikiwa kuwa juu siku zote. Kila la heri kwake na Mwenyezi Mungu amuepushe na shari zote za duniani uadui, chuki na husuda!

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Před rokem +1

    Eehe 3000!!..Aisee Pastor Star ur Own Ministry.. Ur FIREEEE💥💥💥

    • @gracesenzota6555
      @gracesenzota6555 Před rokem

      Mavuno ni.mengi shambani watenda kazi ni wa chaxhe basi tumwombe Bwana atume watenda kazi ! Yesu ni mwaminifu aliyemwita

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před rokem +2

    Msema ukweli siku zote huwa hakubariki mm ni angilikana lakini nampenda Sana kimaro Sana sana

    • @nerryabel7512
      @nerryabel7512 Před rokem +1

      Kimaro yuko vema sanaaa,,tunampenda kweli na ana mafundisho mazuri yanayobariki watu wa dini zote🙏🙏

  • @tinaclement9062
    @tinaclement9062 Před rokem

    amina sana mbalikiwe san

  • @maseleblog586
    @maseleblog586 Před rokem +1

    Ukiona mtu anatumia nguvu nyingi sana, ktk masuala ya Mungu , huku akitumia vijisenti na watu ujue Kuna Jambo sio bure.

  • @annamsuguri4345
    @annamsuguri4345 Před rokem

    Kutoka 20:4-6 Usijifanyie Sanamu WAla mfano WA KITU kilichoko juu Mbinguni WAla Duniani WAla chini majini chini ya Dunia kwakukwa Mimi Bwana Mungu WENU NI Mungu MWENYE wivu. Inaeleka KKKT hamfundishwi NENO la Mungu

  • @herodejivava8994
    @herodejivava8994 Před rokem +4

    Yesu pekee ndiye anae ponya iweni na akili

    • @scholarmawala1403
      @scholarmawala1403 Před rokem

      Hakumaanisha kuwa Rev. Kimaro ndiye anayeponya ila kwa kupitia kinywa chake Yesu anawaponya watu.Pia ieleweke sii kila mchungaji akifundisha habari za Yesu watu wanaponywa!! KIMARO NI MPWAKWA MAFUTA WA BWANA.

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 Před rokem

    Waoooooo jamani tupeni no ya Bango ili tuchangie jamani

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np Před rokem

    Plan ya Bango imejibu 🥳🥳🥳

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 Před rokem +2

    NYIE MNACHOCHEA VURUGU wote ,MMEFUNGWA UFAHAMU, Yeye aanzishe kanisa lake Mumfuate huko

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 Před rokem +1

    Alaf nikute mke wangu nae kaandamana

  • @theresiamichael5817
    @theresiamichael5817 Před rokem +1

    Kunapokarbiaa kukuchaaa giza linaongezekaaa.......THAMANI YAKO INAONGEZAAA MBINGUNII KIMAROOO........Wauminiii ni waa kuigwaaa nyie nawawependaaa

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 Před rokem

    Hamwezi kumzuia mtu kuanza kanisa kama Mungu amemwagiza

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před rokem

    Kweli dini sio mavazi dini ni imani tu 🤔 Imefikia hatua Mbunge kuingia na jinzi bungeni akisema mbunge sio suti bali mbunge ni imani

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před rokem

    Wachagaa oyeeeeeee

  • @josephinemacha7112
    @josephinemacha7112 Před rokem +1

    Anayeponya ni Mungu sio mtu

    • @reymollely141
      @reymollely141 Před rokem

      Kweli kabisa watu wawe makini sana wasije wakampa binadamu utukufu badala ya Mungu anastahili kutukuzwa

  • @anethminja8772
    @anethminja8772 Před rokem +1

    Ikawe heri kwa Baba.

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 Před rokem

    Duh!! Wasipoelewa kina nani?? Yaani Bango limewekwa ili watu waelewe??

    • @dicksonulotu7427
      @dicksonulotu7427 Před rokem

      Kauli ya huyu bwana kauli yake ni uchochezi,Leo Mchg Kimaro kaomba Msamaha kwa Kanisa na watu wote,Hawa wanao jifanya wana upendo na Mchg wanajidanganya,Wakrito tusiwe Washabiki.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem

    Ww deleva lntakillah mshilikinatu unalolote siyomuislam jinatu hilo lauislam ujuichochote

  • @dorismkongwe4140
    @dorismkongwe4140 Před rokem

    Namm namchu gaji wangu kitine jmn mtu akimsema vby huwa natamani nimpige.hii hata Yesu alipokamatwa mwanafunzi akamkata panga

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před rokem

    Acheni kushinikiza Kanisa kufanya mnalolitaka..Nyie ndio mnakuza hili jambo

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před rokem

      Hawakuzi mambo ila ni upendo tu

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 Před rokem

    Valentine siyo ya kikristo

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Před rokem

    Kwa nini msimfuate nyumbani kwake!

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před rokem +4

    Hahaa eti if you love me show me😜😜😜

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před rokem

    Mfuate Sheria za nchi, kuweka Bango ni kulipia munispaa au jiji au halmashauri

  • @mbakijonas5647
    @mbakijonas5647 Před rokem

    Binadamu soma biblia, mjue Yehova kibinafci utaacha kumwabudu mtu.

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před rokem

    Aje nimpe eneo afungue kanisa lake tu aachane na hao kkt

  • @jeniphermassawe3037
    @jeniphermassawe3037 Před rokem

    Ivi vitu cjui kwanini vinatokea,uko kijijini kwetu kanisa lilibaki na waumini 30 akaletwa mwinjilisti akaliamsha kanisa,watu wakajaa hadi kanisa likawa dogo,chaajabu maneno yakaanza mwinjilist akahamishwa.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před rokem +1

    Hakuna washarika hapo ni WAHUNI TU. Sasa ameshaomba msamaha anarudi kanisani na amejifunza kuwa na mipaka ya Kazi yake. Hizo fedha mlizotumia kutengeneza bango la Milioni 6 mngewapa watoto yatima.

    • @janethshoo1213
      @janethshoo1213 Před rokem

      Watoto yatima wapo siku zote, na hawatakoma kuwepo. Tumewahdumia na tutawahudumia

    • @adammwakalonge3573
      @adammwakalonge3573 Před rokem

      Ila pia najiuliza kwani Lutheran kijitonyama ni wachaga watupu? Au waandishi wanawahoji wachaga watupu? Maana wote wanaomdai kimaro wachaga watupu!!!🤪🤪🤪🤪 Wamtukuze Mungu au mchungaji???

    • @elizabethswai7777
      @elizabethswai7777 Před rokem

      Unaumia?

    • @adammwakalonge3573
      @adammwakalonge3573 Před rokem

      @@elizabethswai7777 Asante Kwa kuprove point yangu, .....Swai 😅😅😅😅

    • @adammwakalonge3573
      @adammwakalonge3573 Před rokem

      @@elizabethswai7777 kumbe sio suala la Mungu ni suala la Ukaskazini, hapo sawa Kaskazini Gang in the church 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 Před rokem

    Sasa kingereza wamemwandika nani??mtanzania au mzungu ujumbe mzuri lakini haufiki kwa watu wote.

    • @praygodlameck6587
      @praygodlameck6587 Před rokem

      Sasa hapo chini si imeandikwa tafsiri yake "Na iwe Nuru". Dada yangu Manka mbona unaniangusha mimi kaka yako

    • @elitulizapallangyo4880
      @elitulizapallangyo4880 Před rokem

      Kama umesoma vzur ndo maana chini wameandika maana yake labda Kama macho yako hayaoni

  • @anickashasha
    @anickashasha Před rokem +6

    Mch. Kimaro, kama alivyokubalika K'nyama, basi huduma hiyo anapaswa akaitoe hiyo huduma na kwingineko ndani ya DMP. Mnaong'ang'ania abaki Usharika wa K'nyama tu ni wabinafsi tu. Mnapaswa kujitafakari na kujifanyia maombi. Bila kufanya hivyo na kubadilika, mjue mnachochea mgogoro usiokuwa na sababu. Mnapaswa kukumbuka kwamba ipo mamlaka zilizomhamishia hapo Usharika wa Kijitonyama na mamlaka hiyo inayo haki na uwezo wa kumhamisha mtumishi wake akatoe huduma kwenye kituo kingine.

    • @navysanga4245
      @navysanga4245 Před rokem

      Nawashukuru Sana Sana Nampenda mchungaji toka rohoni Ana mafundisho mazuri Sana mmetisha

    • @anickashasha
      @anickashasha Před rokem

      @@navysanga4245 wametisha nini sasa? Ni jambo baya sana kuchoche migogoro kanisani. Mch. Kimaro, alijisahau kidogo kwamba zipo mamlaka juu yake. Tumshukuru Mungu amefika mahali akalitambua hilo na kuomba msamaha. Kuweni wapole kusubiri atapangiwa kazi kituo gani ili mliompenda sana mjipange na kumfuata huko.

    • @lucaschisamalo2852
      @lucaschisamalo2852 Před rokem +1

      Kosa la kimaro siyo kukataa kutoka kijitonyama kisa kusema ukweli vijana wakislamu niwaaminifu kuliko wakikirto naakatoa mifano ukiangalia ukweli upo ndohilo kwani kimaro alianzia pale alikuwa kkoo

    • @sulemanmadahatv1691
      @sulemanmadahatv1691 Před rokem

      @@lucaschisamalo2852 huo sio ukweli ni uongo. Hao unaosema vijana wa kikristo sio waaminifu sio wakristo ni wapagani wenye majina ya kikristo na wanaosali makanisa ya kikristo. Ukristo ni kufanana na Yesu Kristo. Sasa ukisema sio waaminifu mana yake ni wezi. Sasa anakuwaje mwizi akafanana na Kristo? Jifunze zaidi kuhusu Ukristo. Ukristo sio kubatizwa sio jina sio kuimba kwaya n.k mambo haya mpagani anaweza kuyafanya au akaigiza ILA ALIYE MKRISTO WA KWELI UAMINIFU NI TUNDA LA ROHO MTAKATIFU ANAYEKAA NDANI YAKE. Labda angefafanua zaidi hao wakristo waliokosa uaminifu na wavivu wa Kristo yupi na wanaigiza hayo kutoka wapi. Mkristo mwizi hajazaliwa na kristo anatumia jina tu lakini hatambulikani na Yesu Kristo

    • @lucaschisamalo2852
      @lucaschisamalo2852 Před rokem +1

      @@sulemanmadahatv1691 utataka nitoe mifano migumu hata wafanyakazi wa selikali fanya utafiti wenzetu kidogo wanahofu ya mungu tofauti na sisi wakiristo unakuta mtu kateuliwa juzi tu anamali kibao awezi kuongea bila kufanya utafiti ok hayo yamepita mdogo kajishusha ili mambo yaende tunataka mahubiri pokea makontena napokea 😆😆😆😆

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Před rokem

    Nyie ndio mnaomponza sasa haya ngoja tuone

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před rokem

      Wanamponza kivip maana ye hajawatuma ni mapenzi yao kwa mchungaji.

    • @elizabethswai7777
      @elizabethswai7777 Před rokem

      Kwani tatizo ni nn?unaumia🤣🤣

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Před rokem

    Kwani zimebaki siku ngapi? ili likizo aliyopewa ihishe.

  • @moringelangas7276
    @moringelangas7276 Před rokem +3

    Walio wengi hapo ni wachaga!K K K T Ni taasisi kubwa,hawa wanaenda kinyume na taratibu za kanisa.

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 Před rokem

      Ukabila tena!!!
      Huu ni uchichezi unaona majirani zetu

    • @queenclever
      @queenclever Před rokem

      Wengi wachaga wa marangu na machame ni wakkkt

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 Před rokem

    Hawa waumini pasta aliwapa nn