MCH. DK. KIMARO AMSHAURI RAIS MAGUFULI IKULU: BADALA YA MAAFA SASA NI NEEMA YA KUVUNA MAJI YA MVUA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Mch. Dk. Eliona Kimaro, tare 23 January 2019 amemshauri rais wa Tanzania Dk. J.P Magufuli jinsi ya kuzuia maafa yaletwayo na maji ya mvua badala yake ianzishwe miradi ya kuvuna maji ya mvua yatayosaidia kukuza uchumi wa nchi kupitia umwagiliaji na kazi zingene nchini ikiwa ni namna pia ya kukabiriana na upungufu wa maji unaoweza ukalikumba bara la Africa.
    Ameongea hayo Ikulu jijini Dar es Salaam tar 23 Januari 2019 wakati wa Mkutano wa Mh. Rais Magufuli na Viongozi wa dini.
    Hata hivyo Mch. Dk Kimaro amezungumzia juu ya masoko ya nje ya bidhaa ya mazao yalimwayo Tanzania.

Komentáře • 46