🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 05. 2022
  • 🔴#LIVE: PANYA ROAD WENGINE WAKAMATWA, KAMANDA MULIRO AELEZA - ''WANACHANGISHA PESA KUMZIKA MWENZAO''
    Kamanda wa kanda maalumu ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amezungumza na waandishi wa habari na kutoa taarifa rasmi juu ya vijana wanaosadikika kuwa nipanya road kuvamia maeneo ya Buza na kuwajeruhi watu kwa kuwakata mapanga na kuwachoma na bisibisi.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 103

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Před 2 lety +10

    Ukiwaona kama mzazi unaumia sana lakini ukikumbuka matendo yao unamwomba Mungu tu 😭😭

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Před 2 lety +1

      Tena Sana nawaonea huruma wazazi wao unasema umepata mtoto kumbe ni mtihani

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 Před 2 lety

      @@hadijamandanje6189 mtihani kwa kweli

  • @stevejohn611
    @stevejohn611 Před 2 lety +2

    Big up sana mr. Muliro speech yako ina maana kubwa sana kwa jamii, pia tunashukuru kwa juhudi zako juu ya hili tatizo la panya road, thanks for your rapid response units.

  • @jambo3751
    @jambo3751 Před 2 lety +6

    Hongera JESHI LETU LA POLISI kwa kutimiza JUKUMU lenu la kulinda Wananchi na Mali zao.

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před 2 lety +5

    ya Allah tunusuru sisi na ndugu zetu na hii mitihani

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Před 2 lety +2

    Afande Muriro namuelewa sana

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 Před 2 lety +1

    Yaani Mungu wasamehe hawa vijana utafkiri wamezaliwa na mmaa mmoja fanana yao

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887 Před 2 lety +2

    Hongera sana jeshi letu la polisi. Kazeni buti tu na mahakama itende haki tu

  • @amunikanju4342
    @amunikanju4342 Před 2 lety +2

    Good

  • @mozespaul7138
    @mozespaul7138 Před 2 lety

    Nalikubali sana, jeshi lapolisi Tanzania ,lipo.imara sana,kwakweli.linajitahdi sana,hongeren sana jeshi letu,mwenye ebxi MUNGU awalinde,awape msisha marefu,mzidi kutetea wananchi!

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 Před 2 lety +1

    Please expand this operation nationwide and Tanzania will become a peaceful place as it was before

  • @marongotatarakea7458
    @marongotatarakea7458 Před 2 lety +1

    Hao panyaroad wauliwe

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před 2 lety +1

    serekali kazi nzuri sana,Sasa anzeni misako na mitandaoni kunamajitu hayana haya yanavaa nguo ambazo hazina maadili alafu yanajiweka mitandaoni.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 2 lety +1

    Ya rabb Waongoze vijana wetu

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Před 2 lety +2

    Biq up Makamanda.
    Tz bila uhalifu inawezekana timizeni wajibu wenu na rasilimali mlizonazo kuwamaliza hawa shenz panya road

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 Před 2 lety +8

    Biashara ya uuzaji mapanga kiholela barabarani hasa Barabara ya Mandera na Nyerere unatakiwa ukomeshwe, Siraha hizo hazitakiwi kuuzwa hadharani

    • @keifatuke99
      @keifatuke99 Před 2 lety +1

      Ndiyo maana Uingereza hauziwi bila ID kitambulisho

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 2 lety +1

    Mzazi mlezi mtt ananyoa nywele ivyo bado unaangalia tuu mtuhani kwakweli vjana wadogo

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 2 lety +1

    Safi sana, yani hawa watoto wazur hivi kwa muonekano ndio wanakatakata watu hovyo kama wale wachonja nyama kule tandale, alafu mbona wameanza kuchechrmea, mmeshaanza kuwadunda nini? Wadundisheni jinzi ya kuishi kwenye jamii kwenye nchi isiokuwa na vita.

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Před 2 lety +2

    Next IGP

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 Před 2 lety

    Asante makamanda wetu mungu awalinde

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Před 2 lety +1

    Utafikiri misukule

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 Před 2 lety +6

    Washenzi hawa wakatwe mikono yao

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety +1

    Hii mtihani

  • @arafasalim9948
    @arafasalim9948 Před 2 lety +1

    mpaka naogopa wallahy😔😔🙏

  • @saodashabani2652
    @saodashabani2652 Před 2 lety +2

    Naumia nikiwa kama mzazi yarabi kiokowe kizazi chetu

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 2 lety +1

    Wapigeni sindano za sumu tu wanazingua sana

  • @samwelmagima6081
    @samwelmagima6081 Před 2 lety

    Muliro piga kazi kamanda wetu pia mwanza tumeku miss

  • @muniramunira401
    @muniramunira401 Před 2 lety +2

    Mkiwa kamata muwache msiwatowe mana wanapotoka wanafanya makosayao

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před 2 lety

    🤲🙏

  • @abdallahmilaba5407
    @abdallahmilaba5407 Před 2 lety +2

    Tanzania siyo ya kuchezea.

  • @lililili5621
    @lililili5621 Před 2 lety +1

    Jaman tuomba opereshen ifike na kivule

  • @gebrastemu5010
    @gebrastemu5010 Před 2 lety +1

    Kosa la mtoto haliwezi kumwadhibu mzazi, au kosa la mzazi haliwezi kumwadhibu mtoto. Hawa panya wakihasiwa watakuwa wapole na Mori wa kutenda uhalifu unaisha.

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 2 lety

      Muwahasi na hao wanaoiba hela za umma ili wasiwe wezi kwa kukosa ajira.

  • @rebeccamagita9174
    @rebeccamagita9174 Před 2 lety +3

    Jaman naumia sana nikiwa kama mzazi ukizingatia ni watoto wadogo sana,eee Mwenyewe wasaidie watoto waache tabia zisizofaa katika jamii na hawa wauza madawa ya kulevya natamani wakikamatwa wauwawe tu maana wakiwauzia hayo madawa wakishayatumia ndyo yanawavuruga watoto akili na kufanya vitendo vya kinyama

  • @jacksongidion5170
    @jacksongidion5170 Před 2 lety +1

    7

  • @matataoneproduction5355

    Mimi nafikiri sasa waliobakia sio panya rod ni wavuta bangi wauza bangi na vijana wakorofi wa maskani na mitaa maana panya rod hawapo wengi kiasi hiki cha kila siku wanaingia central makundi kwa makundi, panya rod wenyewe kwa mimi ninavyohisi ni vikundi visivyozidi hata 5 isipokua ni watu wanaofanya matukio yao sehemu mbali mbali sasa basi jeshi la police lisitutangazie kwamba wanakamata panya rod hao ni wahalifu tu wa kawaida

  • @mosongatz4534
    @mosongatz4534 Před 2 lety +1

    jeshi letu liweke muda maalum wa kumaliza michezo viwanjan kwetu na watu kusambaratika haiwezekan mkae uwanjani mpaka saa 1 na nusu

  • @priscillalyimo3659
    @priscillalyimo3659 Před 2 lety +1

    Inasikitisha sana vijana wadogo sana na ndiyo nguvu ya taifa jamani tufanye nini Ee MUNGU tusaidie watanzania tufanyeni kazi jamani hata kama huna wazazi

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 Před 2 lety +1

    Kamanda makini umeeleweka.Unastahili kuongoza jeshi la Polisi.

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 Před 2 lety

    Yani wanashuka ktk gari kilaini laini ivyo piga mpaka wasaau walikotoka

  • @salehaliy7198
    @salehaliy7198 Před 2 lety +1

    Wanakwenda kuhojiwa kwa kina

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 Před 2 lety +1

    Hizo nywele nyoeni kwanza wembe mkali ndo waeleze

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Před 2 lety +1

    Wakateni viganja vya mikono tuone Hilo panga wanalishikaje.

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj Před 2 lety

    Duu panya road kwa madolizeni hawa si panya road ni jeshi la mtu kajifantia kwa kuipinga erikali

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 2 lety +1

    Ila kamanda kwa hapo nadhani ni vizur kila kijana atembee na kitambulisho, ili wakishukiwa wajulikane haraka ni kina nani,

  • @zuberimohamedi255
    @zuberimohamedi255 Před 2 lety +2

    Fuatilia kituo cha polisi cha mbagala maturubai

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 Před 2 lety +4

    Ni kosa la jinai kuuza siraha Barabarani, hasa mapanga, wauzaji wa mapanga wakamatwe

  • @atanasjuma433
    @atanasjuma433 Před 2 lety +1

    dah hawa ndo wenyewe hasaaa

    • @asiakisongo400
      @asiakisongo400 Před 2 lety

      Hawaadhimishi msibahuo kwa kupora ila wanakuja kulipiza kisasi yaani ni kuchinja tu, ,sasa hilo eneo liwekewe ulinzi wa muda mrefu hata mwezi hasira zao zipungue,bora wao waue kuliko wao kufa

  • @samwelipaul1462
    @samwelipaul1462 Před 2 lety

    Yan hao ni hatari Sana

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 Před 2 lety +1

    Hawa wanyolewe minywele wapat adhab stahik maan washenz sana

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 lety

      KWANI KUNYOLEWA NYWELE ADHABU??? WAKATWE MIKONO.

    • @munakhamis982
      @munakhamis982 Před 2 lety

      @@salimmalaka256 😆😆😆😆😆sheria iyo amn sas ndio maan

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Před 2 lety

    Asilimia 90 ya hao vijana watatoka kwasababu polisi hawana ushahidi wa kuwafunga. Watakaa rumande lakini wengi watarudi mtaani.

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Před 2 lety

    sawa baada ya kushikwa serikali imewafanya nini ao sio watoto wanaakili zao timamu watoto awawezi kufanya matukio kama ayo ya ujambazi

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 2 lety +1

    Vijana hawa wana Nini kichwani ? bange lipi wanavuta ?mpaka akili hawana , roho Zao ziko kama chuma ? angalau kuhiba Sawa lakini mapanga na risasi ? AAA sijawahi kuona

  • @samsonimago4692
    @samsonimago4692 Před 2 lety +1

    Vijana wachanika mnaosuka kaeni makini alf mbona wanachechemea

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 2 lety +1

    Tumalizane nao tu site. Mbona wakati wa JPM huu uhalifu haukuwa mkubwa hivi

    • @mwinyibakarisenkopwa931
      @mwinyibakarisenkopwa931 Před 2 lety +1

      Sio kweli, Panya road wapo nyakati zote na awamu zote. Wewe upo Dunia gani? Siyo mfuatiliaji wa Mambo.

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 Před 2 lety

    Kamanda umeongea Vema nimekuelewa

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 Před 2 lety

    Hao miaka 30 inaweza kuwaweka sawa, sio miezi sita kisha munawawachia

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 2 lety

    dooh jamani ?!!! hii ni Nini ? watz !!!

  • @babuloliondo5975
    @babuloliondo5975 Před 2 lety

    Sasa ao sivitakua vibinti via jera Sasa sirikari Ina tuzarishia vibinti via jeraa

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Před 2 lety

    Wengine wanakosa hatamda wa kuoga kazikuwaza mauajitu

  • @flova7022
    @flova7022 Před 2 lety +1

    Hahahaha jamaaa wanachechemeaa...walikuaa hawataki kuingiaa Kwa defenda bila Shaka hahahaha

  • @donaldtadeodontado9991

    Mbona wanatembea kama walemavu?

  • @samwelmagima6081
    @samwelmagima6081 Před 2 lety

    Hao panya load ningekuwa RAISI wa nchi ningewapeleka mbuga za wanyama na Simba wakawala live.

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 2 lety +1

    Kateni ganja la kulia,watu hawawezi kukosa amani kiss yenyewe.

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před 2 lety +1

    serekali inabidi iwakamate nawalewa wanaojianika uchi mitandaoni maana uku mitandaoni nibalaa tupu,hawa pia wanaaribu vijana.

  • @gebrastemu5010
    @gebrastemu5010 Před 2 lety +2

    Hivi vipanya vihasiwe(castration) na viachiwe huru. Hakuna haja ya kuvirundika na kuwalisha bure. Wafanyiwe open castration.

    • @johnlembo2955
      @johnlembo2955 Před 2 lety +1

      Ukivihasi vitaua baade kwa uchungu. Vipelekwe kule mbali ya Mbudya Island 🏝 kwa boti halafu vimwagwe kule, kila kimoja na jiwe la kilo 50 kiunoni

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Před 2 lety +1

      @@johnlembo2955 si watakufa

    • @lovehawa4758
      @lovehawa4758 Před 2 lety

      @@johnlembo2955 hahahah we umewaza nin

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Před 2 lety

    Hivi nyie watoto mnajisikiajee hivyo mlivya bomolewa mifimbo mpaka kutembea wengine mnachechemea na kuwapa hekaheka wazee wenu wacheni jamani utukutu watoto nyieee

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Před 2 lety +2

    Kuna tatizo naliona usikute hawa wala si wahusika maana inasemekana sasa ivi vijana wasio na kazi wanasombwa tu ilimradi polis waonekane wanafanya kazi. Uchunguzi wa kina unahitajika

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Před 2 lety

      Mh inawezekana

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 lety

      USIWATETEE WACHA POLISI WAFANYE KAZI YAO.

    • @mhogofelwa
      @mhogofelwa Před 2 lety

      Tulia na wewe tunakujia inaonekana ni mmoja wao

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Před 2 lety

      @@mhogofelwa😂😂🤣😂

    • @billgussy6099
      @billgussy6099 Před 2 lety

      @@salimmalaka256 Tatizo la msingi halitaisha vijana wengi hawana kazi, waliokua wamejiajiri kama wamachinga ndo hao walivunjiwa na mpaka leo hawana pa kufanyia biashara. Tukumbuke hawa vijana ni sehem ya jamii na serikali ina wajibu wa kuwawekea mazingira ya wao kujitegemea au kujiajiri. Kuwafunga gerezani au kuwauwa hakuondoi tatizo la msingi.

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 2 lety

    Hayati Magufuli akatowa ilimu bure ili watoto wote watz wapate ilimu wawo wanachagua kua makatili wawuaji?

  • @dauda-adamadam6283
    @dauda-adamadam6283 Před 2 lety

    Nyie sasa mnakamata wapwa zetu ovyo ovyo,wengine sio panya road

  • @mrshore7007
    @mrshore7007 Před 2 lety +1

    Hiii nikwasababu yakukosa kazi selekali iangaliye jinsi yakusaifiya wa vijana kupata kazi

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před 2 lety +1

    Ebu kateni mikono alafu muone kama wataiba

    • @bakaryngoneke5606
      @bakaryngoneke5606 Před 2 lety +2

      Nakukubali sana kamanda mliro kila lakher mkuu mwenyezi mungu azidi kukutia nguvu uendelee kuchapa kazi na mwenyezi mungu ikimpendeza upande ngazi mpaka IGP