KESI YA MAKONDA: MAPYA YAIBUKA, JAMUHURI WAWEKA KIGINGI, WAKILI AELEZEA..
Vložit
- čas přidán 24. 03. 2022
- KESI YA MAKONDA: MAPYA YAIBUKA, JAMUHURI WAWEKA KIGINGI, WAKILI AELEZEA..
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni Jijini Dar es Salaam inatarajia kuanza kusikiliza mapingamizi yaliyowasilishwa na upande wajibu maombi katika kesi ya kutaka kibali cha kumfungulia kesi ya jinai aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda.
Akifafanua kuhusu mwenendo wa kesi hiyo inayosikilizwa mbele ya hakimu mkazi Aron Lyamuya wakili wa upande wa waleta maombi Jerome Mwita Kicheere ameeleza kwa sasa mahakama inatarajiwa kusikiliza mapingamizi yaliyowekwa na jamhuri kwa mjibu maombi namba moja na namba mbili ambao ni DPP na DCI.
Aidha naye Hekima Mwasipu wakili mwingine upande wa waleta maombi amebainisha kuwa upande wa mjibu maombi namba tatu ambaye ni Paul Makonda, wamewasilisha hati kinzani lakini hawajawasilisha pingamizi lolote.
Upande wa jamhuri umewasilisha Mapingamizi manne ambapo moja kati ya hayo ni mahakama hii kutokuwa na uwezo wa kusikiliza maombi hayo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mmeona mnavyo lazimisha kesi ,hata mungu hapendi
Mna muda WA kupoteza nyinyi watanzania fanyeni KAZI hacheni visasi mtakufa masikini
Mnapoteza mda Mungu atamcmamia hamtaweza.
Fanyeni kaz,acheeni mambo ya kipuuzi,
Ngojaa.aki.ifanyekaziyake
Acheni wivu,mtu kafanya kazi kama kijana mzalendo,pongezi kwa selikari
sio ndugu wala rafiki wanayomsema vibaya makinda wakapimwe akili maana kesi yenyewe haina mashiko kuwashinda kimaisha pambaneni siovisasi acheni kupotezeana muda mnaacha kuhudumia wananchi mahosipitarini michango shuleni imezidi hizo ndio vitu vyakushugulikia
Hacheni visasi tafuta pesa muda wote alikuwa wapi kutomshitaki hiyo imeisha expire
ni hivi shauli hilo halina mashiko makonda anahaki acheni jaja
Makonda babalau.
Kwani tunajua awamu ya sita ya visasi tutakutana 25 tunataka kubadili gamba
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Mmekwama aibuuu🤣🤣🤣
Chuki binafsi zinamsumbua kubenea!
Huko kupotezeana mda
Amna chochote mnatupotezea bando tu,pumbavuu
Ukobizeniwewe
Acheni uhasama wa kipuuzi jamn tanzania tunataka amani Mama raisi kuwa makini wanatugawa hawa jaman makonda hana hatia hapa waache siasa hawajamaa
KWA HIYO MAKONDA KI STORES ALIFANYA UHASAMA WA KISTARABU???
Kubenea au kuna mtu nyuma yake?
Kumbe ni kesi ya jamhuri na kubenea
Kesi inasikilizwa katika viunga vya mahakama?
Kote Kukwepa Kwenda Vijijini Watu Upenda Kuonekana Wakiwa Mijini2 Basi
Hizi ndo zile sheria walizokuwa wamejitungia wenyewe kina Makonda. Yaani kama unaona kuna mtu anaonewa na hajui sheria, huwezi kwenda kumfungulia kesi mwonezi kwasababu wewe sio unayeonewa. Sheria ya kishetani kabisa yaani. Eti Kubenea hana maslahi na hii kesi simply yeye sio mwanafamilia wa clouds kwahiyo kama ni kesi wakafungue clouds, sheria gani hiyo ya kitumwa.
Atamwaga mboga kama sabaya
Yote haya ya Nini watu tupo busy kupambana na Maisha nyie mnakazi yakuvurugiana Maisha yaliopita yamepita Kila mtu atAjibu anayoyatenda kwa mola wake
Malipo hapahapa duniani
makonda lazima ashughulikiwe ipasavyo kafanya uovu mwingi mno bila kuchukuliwa hatua za kisheria akilindwa na mwenda zake,malipo ni hapahapa kwa duniani.
Kafanya maovu gani hebu tuambie
Siuseme hayo maovu aliyofanya mbona hatujayasikia mahakamani
Pumbavu alimbaka bibi yako?
Funga mpoteza watu
Alimpoteza nani au unafata tu mkumbo na chuki zako
Ulisikia wapi makosa 2017 ifunguliwe kesi 2022 unaambiwa hata check unaambiwa isizidi miezi 6 ugomvi huwa hauzidi masaa ila kwa Tanzania hata miaka 100 itafufuliwa kesi baada ya mshitaka kuhonga kuanzia mashahidi wa uwongo mpaka jaji wa kusimamia kesi kama tulivyo ona kwa Ole Sabaya kesi yake
Sipingani na unachokiongea ila napingana na makosa ya sabaya,mkuu sabaya alikuwa kiongozi jambazi kama utakumbuka ktk ushahidi wake alishawahi kusema mbele ya mahakama kuwa nikweli alikwenda kufanya kazi kwa mroso ambayo alikuwa aneagizwa na hayati magufuli na philipo mpango akiwa waziri wa fedha,je arusha hakuna mkuu wa wilaya? hakuna mkuu wa mkoa na wakurugenzi?kitendo cha kutoka wilaya ya hai na kwenda arusha dc kufanya kz sehemu iliyo na mtu mwenye cheo kama chake ule ni uhuni mtupu,yaliyomkuta sabaya anastahili kabisa kile upandacho leo ndio matokeo ya utakachovuna kesho.
Jinai haina expire, hata miaka 1000.....kwan kenya waliishtaki UK kudai fidia ya dhulma za ukolon, Kenya ilipata uhuru lin
Dada anapenda kweli "VIUNGA VYA MAHAKAMA HII'. Maana yake nini? Kwani ukisema tu MAHAKAMANI HAPA AU KATIKA MAHAKAMA HII utakufa? ☹️
ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeèe
@@adeeltz9111 kidogo kiswahili kinampiga chenga.
No siyo visasi Makonda siyo kwamba wanapenda visasi aliyesababisha ni serikali na Rais aliyetangulia mbele za haki hao akina Makonda ni wateule wa Rais aliyetangulia mbele za haki Makonda ana kesi ya kujibu japo aliyekuwa anamtuma alikuwa na kinga Hayo ni matatizo ya kikatiba ndiyo maana watanzania wanataka katiba mpya ili mtu akitumia madaraka vibaya kuonea raia awajibishwe na katiba kisheria
Sawa kabisa ww unaupiga mwingi sio huyu anayejiita galax
Chuki zenu zitawauwa. Kama kufukuwa makaburi tuanze serikali ya awamu ya nne, wakati wakina Manji walipewa fedha za Watanzania na kuwagawia kwa kuwapunja Kama zawo. Wauza madawa ya kulevya kwa sasa ni mawaziri. Jamani oneni aibu. Watanzania sio wajinga. Wana macho. Mukianza serikali za visasi, mukiiondoka madarakani, watoto zenu wataanza kukamatwa.
Kwani hii imefunguliwa na serikali au mtu binafsi
Kubenea😂😂😂
Mme koswa kazi nyie
Kabisa Yani Kuna vitu vinatia aibu kah
Kibenea anataka kiki na kujulikana. Kisiasa,nonsense. Makonda humuwezi
Makondo hana chake hapa kwenye kiwanja hachomoki kwa kubenea hatoki mjomba
Tuko busy na MAISHA acheni visasi mumble na mazuri aliyoyafanya Makonda kubenea Unaroho ya visasi Unaroho ya kixhetwani utakuwa mchawi hivi roho mbaya itakusaidia nini chefuu 😏😏😏
Wehamnazo kweli
Makonda ashughulikiwe
Fala wewe
@@saimonkaswahilikaswahili639 fala mwenyewe
Makonda Hana tofauti na Sabaya tofauti Yao nimajina tuu
Keajina yesu hashughulikiwi mtu acheni kutuchefua mshindwe na mregeeeee