KESI YA MAKONDA: MAPYA YAIBUKA, JAMUHURI WAWEKA KIGINGI, WAKILI AELEZEA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 03. 2022
  • KESI YA MAKONDA: MAPYA YAIBUKA, JAMUHURI WAWEKA KIGINGI, WAKILI AELEZEA..
    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni Jijini Dar es Salaam inatarajia kuanza kusikiliza mapingamizi yaliyowasilishwa na upande wajibu maombi katika kesi ya kutaka kibali cha kumfungulia kesi ya jinai aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda.
    Akifafanua kuhusu mwenendo wa kesi hiyo inayosikilizwa mbele ya hakimu mkazi Aron Lyamuya wakili wa upande wa waleta maombi Jerome Mwita Kicheere ameeleza kwa sasa mahakama inatarajiwa kusikiliza mapingamizi yaliyowekwa na jamhuri kwa mjibu maombi namba moja na namba mbili ambao ni DPP na DCI.
    Aidha naye Hekima Mwasipu wakili mwingine upande wa waleta maombi amebainisha kuwa upande wa mjibu maombi namba tatu ambaye ni Paul Makonda, wamewasilisha hati kinzani lakini hawajawasilisha pingamizi lolote.
    Upande wa jamhuri umewasilisha Mapingamizi manne ambapo moja kati ya hayo ni mahakama hii kutokuwa na uwezo wa kusikiliza maombi hayo.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 59

  • @sarahmwansile6007
    @sarahmwansile6007 Před 2 lety +4

    Mmeona mnavyo lazimisha kesi ,hata mungu hapendi

  • @janekichonge4957
    @janekichonge4957 Před 2 lety +7

    Mna muda WA kupoteza nyinyi watanzania fanyeni KAZI hacheni visasi mtakufa masikini

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 Před 2 lety +3

    Mnapoteza mda Mungu atamcmamia hamtaweza.

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před 2 lety +1

    Fanyeni kaz,acheeni mambo ya kipuuzi,

  • @stanleykitika2129
    @stanleykitika2129 Před 2 lety +1

    Ngojaa.aki.ifanyekaziyake

  • @raymonadsaliboko3068
    @raymonadsaliboko3068 Před 2 lety +3

    Acheni wivu,mtu kafanya kazi kama kijana mzalendo,pongezi kwa selikari

  • @mwanaharusisaidi6889
    @mwanaharusisaidi6889 Před 2 lety +3

    sio ndugu wala rafiki wanayomsema vibaya makinda wakapimwe akili maana kesi yenyewe haina mashiko kuwashinda kimaisha pambaneni siovisasi acheni kupotezeana muda mnaacha kuhudumia wananchi mahosipitarini michango shuleni imezidi hizo ndio vitu vyakushugulikia

  • @janekichonge4957
    @janekichonge4957 Před 2 lety +3

    Hacheni visasi tafuta pesa muda wote alikuwa wapi kutomshitaki hiyo imeisha expire

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 Před 2 lety +2

    ni hivi shauli hilo halina mashiko makonda anahaki acheni jaja

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 2 lety +2

    Makonda babalau.

  • @mwanaharusisaidi6889
    @mwanaharusisaidi6889 Před 2 lety +1

    Kwani tunajua awamu ya sita ya visasi tutakutana 25 tunataka kubadili gamba

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia Před 2 lety +2

    Mmekwama aibuuu🤣🤣🤣

  • @nipautago8574
    @nipautago8574 Před 2 lety

    Chuki binafsi zinamsumbua kubenea!
    Huko kupotezeana mda

  • @jaffarichimbuvu9409
    @jaffarichimbuvu9409 Před 2 lety

    Amna chochote mnatupotezea bando tu,pumbavuu

  • @stanleykitika2129
    @stanleykitika2129 Před 2 lety

    Ukobizeniwewe

  • @richardmasanja6163
    @richardmasanja6163 Před 2 lety

    Acheni uhasama wa kipuuzi jamn tanzania tunataka amani Mama raisi kuwa makini wanatugawa hawa jaman makonda hana hatia hapa waache siasa hawajamaa

    • @linuskyando4155
      @linuskyando4155 Před 2 lety

      KWA HIYO MAKONDA KI STORES ALIFANYA UHASAMA WA KISTARABU???

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Před 2 lety +1

    Kubenea au kuna mtu nyuma yake?

  • @omariramadhani9990
    @omariramadhani9990 Před 2 lety

    Kumbe ni kesi ya jamhuri na kubenea

  • @musabarnabas7628
    @musabarnabas7628 Před 2 lety

    Kesi inasikilizwa katika viunga vya mahakama?

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 lety

    Kote Kukwepa Kwenda Vijijini Watu Upenda Kuonekana Wakiwa Mijini2 Basi

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ Před 2 lety

    Hizi ndo zile sheria walizokuwa wamejitungia wenyewe kina Makonda. Yaani kama unaona kuna mtu anaonewa na hajui sheria, huwezi kwenda kumfungulia kesi mwonezi kwasababu wewe sio unayeonewa. Sheria ya kishetani kabisa yaani. Eti Kubenea hana maslahi na hii kesi simply yeye sio mwanafamilia wa clouds kwahiyo kama ni kesi wakafungue clouds, sheria gani hiyo ya kitumwa.

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety

    Atamwaga mboga kama sabaya

  • @bethjohn928
    @bethjohn928 Před 2 lety

    Yote haya ya Nini watu tupo busy kupambana na Maisha nyie mnakazi yakuvurugiana Maisha yaliopita yamepita Kila mtu atAjibu anayoyatenda kwa mola wake

  • @promisetenson7258
    @promisetenson7258 Před 2 lety +1

    makonda lazima ashughulikiwe ipasavyo kafanya uovu mwingi mno bila kuchukuliwa hatua za kisheria akilindwa na mwenda zake,malipo ni hapahapa kwa duniani.

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 2 lety

    Funga mpoteza watu

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 Před 2 lety

      Alimpoteza nani au unafata tu mkumbo na chuki zako

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj Před 2 lety

    Ulisikia wapi makosa 2017 ifunguliwe kesi 2022 unaambiwa hata check unaambiwa isizidi miezi 6 ugomvi huwa hauzidi masaa ila kwa Tanzania hata miaka 100 itafufuliwa kesi baada ya mshitaka kuhonga kuanzia mashahidi wa uwongo mpaka jaji wa kusimamia kesi kama tulivyo ona kwa Ole Sabaya kesi yake

    • @promisetenson7258
      @promisetenson7258 Před 2 lety

      Sipingani na unachokiongea ila napingana na makosa ya sabaya,mkuu sabaya alikuwa kiongozi jambazi kama utakumbuka ktk ushahidi wake alishawahi kusema mbele ya mahakama kuwa nikweli alikwenda kufanya kazi kwa mroso ambayo alikuwa aneagizwa na hayati magufuli na philipo mpango akiwa waziri wa fedha,je arusha hakuna mkuu wa wilaya? hakuna mkuu wa mkoa na wakurugenzi?kitendo cha kutoka wilaya ya hai na kwenda arusha dc kufanya kz sehemu iliyo na mtu mwenye cheo kama chake ule ni uhuni mtupu,yaliyomkuta sabaya anastahili kabisa kile upandacho leo ndio matokeo ya utakachovuna kesho.

    • @chrissfordsadickh8280
      @chrissfordsadickh8280 Před 2 lety

      Jinai haina expire, hata miaka 1000.....kwan kenya waliishtaki UK kudai fidia ya dhulma za ukolon, Kenya ilipata uhuru lin

  • @whimsymaverick3057
    @whimsymaverick3057 Před 2 lety

    Dada anapenda kweli "VIUNGA VYA MAHAKAMA HII'. Maana yake nini? Kwani ukisema tu MAHAKAMANI HAPA AU KATIKA MAHAKAMA HII utakufa? ☹️

    • @adeeltz9111
      @adeeltz9111 Před 2 lety

      ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp

    • @adeeltz9111
      @adeeltz9111 Před 2 lety

      ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp

    • @maulidihassani8324
      @maulidihassani8324 Před 2 lety

      Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeèe

    • @MohamedSleyim
      @MohamedSleyim Před 2 lety

      @@adeeltz9111 kidogo kiswahili kinampiga chenga.

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Před 2 lety

    No siyo visasi Makonda siyo kwamba wanapenda visasi aliyesababisha ni serikali na Rais aliyetangulia mbele za haki hao akina Makonda ni wateule wa Rais aliyetangulia mbele za haki Makonda ana kesi ya kujibu japo aliyekuwa anamtuma alikuwa na kinga Hayo ni matatizo ya kikatiba ndiyo maana watanzania wanataka katiba mpya ili mtu akitumia madaraka vibaya kuonea raia awajibishwe na katiba kisheria

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před 2 lety +1

    Chuki zenu zitawauwa. Kama kufukuwa makaburi tuanze serikali ya awamu ya nne, wakati wakina Manji walipewa fedha za Watanzania na kuwagawia kwa kuwapunja Kama zawo. Wauza madawa ya kulevya kwa sasa ni mawaziri. Jamani oneni aibu. Watanzania sio wajinga. Wana macho. Mukianza serikali za visasi, mukiiondoka madarakani, watoto zenu wataanza kukamatwa.

  • @edwardlutema6006
    @edwardlutema6006 Před 2 lety +1

    Mme koswa kazi nyie

    • @bethjohn928
      @bethjohn928 Před 2 lety

      Kabisa Yani Kuna vitu vinatia aibu kah

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 2 lety

    Kibenea anataka kiki na kujulikana. Kisiasa,nonsense. Makonda humuwezi

    • @promisetenson7258
      @promisetenson7258 Před 2 lety

      Makondo hana chake hapa kwenye kiwanja hachomoki kwa kubenea hatoki mjomba

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Před 2 lety

    Tuko busy na MAISHA acheni visasi mumble na mazuri aliyoyafanya Makonda kubenea Unaroho ya visasi Unaroho ya kixhetwani utakuwa mchawi hivi roho mbaya itakusaidia nini chefuu 😏😏😏

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Před 2 lety +2

    Makonda ashughulikiwe