DUNIA IMEKWISHA! PANYA ROAD WANAWAKE WAIBUKA DAR, WAWAKATA WATU MAPANGA, WAVAMIA NYUMBA 21 USIKU..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 04. 2022
  • DUNIA IMEKWISHA! PANYA ROAD WANAWAKE WAIBUKA DAR, WAWAKATA WATU MAPANGA, WAVAMIA NYUMBA 21 USIKU..
    Ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni. Ikiwa imezoeleka kuwaona vijana wakiume ndio wakifanya matukio ya kihalifu, wameibuka vijana wa kike ambao wameingia kwenye kundi la kihalifu maarufu kama panya road na kuwapora wananchi.
    Tukio hilo la kustaajabisha limetokea usiku wa kuamkia Aprili 24, 2022 katika mtaa wa Gogo, Kata ya Chanika jijini Dar es Salaam ambapo panya road hao walivamia nyumba takriban 21 kwa nyakati tofauti na kuvunja milango majira ya saa nane usiku na kuanza kupora vitu mbalimbali vya ndani kama vile radio, tv na pesa.
    Kufuatia tukio hilo waandishi wetu Richard Bukos na Issa Mnally walifika maeneo hayo na kuzungumza wahanga wa tukio hilo ambao wamesimulia vijana hao walivyowavamia na kuwapora mali zao.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 266

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 2 lety +6

    Subhanallah 😭😭inauma maskini hee jamani binadamu tumekosa utu kabisa unamfanya binadam mwenzio kama hivi hawana hata hofu ya mungu wala siku ya mwisho

  • @mozespaul7138
    @mozespaul7138 Před 2 lety +12

    Watakomeshwa tu!poleni wote mlio umia,mwenyezi MUNGU,awape uponyaji waharaka

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 2 lety +4

    Mhmm mtihani haa shida yaani sisi tanzania wallahi tumezidi yaani tunamambo ambayo huyo shetani hajawahi kufanya Allah atuongoze katika njia ya haki inshallah

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 2 lety +2

    Pole sana Baba! Pole sana!

  • @rahimkomba3149
    @rahimkomba3149 Před 2 lety +2

    Mwenyezi Mungu yu pamoja nasi

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 2 lety +6

    Yaaa wanaweke wazima wa nashindwa kufanya Kaz wanapora na kujeruhi kwel!!!! Subhanallah mungu nusuru vizaz vyetu

    • @hamidmweusiii35
      @hamidmweusiii35 Před 2 lety

      Kazi si ndo iyo ya kupora wanafnya nayo ni jumla ya kazi na Hela wanapata vzr t au unataka wakajiuze na wakijiuza mtaanza tena kuwasema

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 2 lety +1

      @@hamidmweusiii35 una akili kweli au ndoo ww

    • @hamidmweusiii35
      @hamidmweusiii35 Před 2 lety

      @@heyumi2340 sio ndoo tu Bali ni pipaa asa

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 Před 2 lety

      @@hamidmweusiii35 naww umo kundini??mtauliwa wote kama kipindi cha magu

    • @hamidmweusiii35
      @hamidmweusiii35 Před 2 lety

      @@salmaalimusa6809 labda bumbwini

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 Před 2 lety +5

    Mungu wangu hii dunia imefika mwisho.

  • @josephinegravasiano8860
    @josephinegravasiano8860 Před 2 lety +4

    Pole sana baba yangu Mungu atakuponya

  • @rahimukayela297
    @rahimukayela297 Před 2 lety +29

    Kwenye matukio ya kutisha utunaambiwa Askari wetu hawatoshi. Wananchi wakitak kuandaman kudai haki zao utasikia tunao Askari wa kutosha na vifaa vy kupambana kw watakaoingia barabaran. TUELEWE LIPI APO

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 2 lety +1

      mtihan

    • @aishaamwalimu2887
      @aishaamwalimu2887 Před 2 lety

      Wanalinda maslahi Yao sio wananchi, maana hilitukio lime tokea wapo walio piga hadi simu kutoa taarifa na hawakujibiwa, inauma Sana.

    • @sebastianmichael4031
      @sebastianmichael4031 Před 2 lety +2

      Jeshi lipo kulinda watu muhimu, viongozi tuu, Sasa hivi mitaani vibaka Kila Kona.

    • @shakilaabdallaherio5617
      @shakilaabdallaherio5617 Před 2 lety

      Hii ndio Tanzanian

    • @rahimukayela297
      @rahimukayela297 Před 2 lety

      @@sebastianmichael4031 Ni kwl kabs km haya matukio yangetokea maeneo ya masaki, mikochen, mbezi & obey tungeona response kubw sn.

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 Před 2 lety +1

    😭😭😭😭 najiuliza maswali mengi kipindi cha magufuli tuliishi Kwa Amani, kingine viongozi wanajilimbikizia Mali na kutetea upuuzi, eee Mungu tuhurumie, watu wanasingizia Hali ngum na kudhuru watu, Mungu tuhurumie watanzania 😭😭😭

  • @neemangao5762
    @neemangao5762 Před 2 lety +7

    Kweli huyo mzee si baba yao kabisa kweli wamekisa maadili jamani wanachokitafuta watakipata

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 Před 2 lety +6

    Wanahaki wananchi kuchukua sheria mikononi mwao kuwachoma

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Před 2 lety +2

    Ndokwanza vitu vinapnda bei tutakufa uku tunajiona maana waiz watakuwa weng mno mungu atusimamie jmn🙏

  • @swalehmaunda6577
    @swalehmaunda6577 Před 2 lety

    Poleni sana ndugu zangu hakika mungu awaponye pia hawa vijana wanapaswa kuuwawa tu

  • @neemamrema7590
    @neemamrema7590 Před 2 lety +3

    Shida machinga mnawafukuza kazi hamna ajira hamna what happened maisha yamekua magumuu, kiujumla hii Tanzania ishakua ngumu ee Mungu tunaomba utuhurumie

  • @yakfizahran4536
    @yakfizahran4536 Před 2 lety +14

    Askar hawatoshi kivip kulinda nchi!wakat tz kunavijan wengi hawana ajira kwa nn musiwaajiri wakawa polic wakalinda nchi!! na vile vile huwez kufos mtu akawa polic shirikish usiku wakat asubuh anamka saa 12 anaenda kutafut rizik ya family..ajirin vijana tupate polic wa kutosha ...kutulindia nchi mm nimeona huku nilipo kijana hana kazi bas anapewa ajira ya polic au jeshi vijana wengi wanajira tz ajira ngumu wapen vijan ajira jaman watatuuliwa wezee wetu kila siku

  • @zahraalhabsi7931
    @zahraalhabsi7931 Před 2 lety

    Subhallah mtihan

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Před 2 lety +1

    Pole baba yangu huna hatia Mungu atakuponyq

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Před 2 lety

    😭😭😭😭pole sana baba yangu allah atakulipia na atakupatia shufaa🙏🙏🙏

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 2 lety +1

    Subuhanallah kweri hi mtihani jamani

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 Před 2 lety

    Pole sana bab angu

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 Před 2 lety

    Pole kaka

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Před 2 lety

    Poleni sana majelui

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 Před 2 lety

    Mungu wangu😢😢😢😢

  • @amaniamani6391
    @amaniamani6391 Před 2 lety +4

    Jeshi LA polisi sana kitengo cha doria wanafanya nini? Wanashindwa kufanya doria ndani ya eneo husika mpaka wanavamia maeneo yao HD kuingia Nyumba 21 ? Linahitaji reform hii so sawa

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 2 lety +1

    Poleni Sana mtihani mkubwa jamani hi Dunia imeisha kweri ila hawawatu wamekamatwa baazi

  • @husnashaibu6312
    @husnashaibu6312 Před 2 lety +1

    Subanallah 😰 😰 jaman tunaenda wapi mbn watu wamekuwa na roho za ajabu hivy subanallah 😰 😰 😰 jaman kwann wasiweke lock down usiku

  • @rashidramadhan7708
    @rashidramadhan7708 Před 2 lety +13

    Ndugu zangu tunaangamia kwa kusubiri serikali itusaidie ilihali serikali haina huo muda so jamii tujipange tuchinje kama kuku hawa WANGESE 😠😠😠

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b Před 2 lety

    Jameni poleni kwetu , inchini kulikuwa na kikundi kama hiki,Kwa jina 42brothers,walituangaisha Sana,mungu awasaidie,na pia serikali ipige marufuku kununua vitu second hand

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 Před 2 lety

    Hatari kweli wazibitiwe haraka wsnawake

  • @deusdedithjoseph7588
    @deusdedithjoseph7588 Před 2 lety

    Jamani

  • @shammxtv5608
    @shammxtv5608 Před 2 lety

    Duuh roho zao ziko haliani kufa kunawaita ndomana wanahaha cku c nyingi wazazi wao wanalisha ubwabwa ukiwa mwizi unaunga urafiki na mkata roho hvy muda wwte wanajijua watakufa mmoja mmoja😆😆😆🤣mungu atunusulia vizazi vyetu inshallah

  • @safinkeyemba2174
    @safinkeyemba2174 Před 2 lety

    Sungusungu waanze kazi kusaka hao vibaka

  • @sikukhamsini4999
    @sikukhamsini4999 Před 2 lety

    Wanaacha kufanya kazi wanaiba mungu awalaani

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617

    Yesu tusaidie,

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Před 2 lety +1

      ye mwenyewe alishindwa kujisaidia wakataka kumsulubu na kumuua

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth Před 2 lety +6

    Haya matukio yanaendana na uongozi uliopo madarakani au

  • @mwanaally3236
    @mwanaally3236 Před 2 lety

    Poleni

  • @lilynestorybenezety6180
    @lilynestorybenezety6180 Před 2 lety +1

    Ikishindikana fanyeni maamuzi jeshi la police lipo kwa jiri yetu sisi tunaoumizwa na kupigwa ndo waoga kura wakesho

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Před 2 lety

    Hao naona sio wakike tu na wanaume wamevaa nguo Za kike. Dah naogopa jmn. Polen Sana

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior Před 2 lety

      YAH SIYO WA KIKE ILA WEZI SIKU HIZI WANATABIA YA KUVAA MABAIBUI.

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 Před 2 lety

    Daa Aseee usiku wa kuamkia leo Tar 18/05/2022 Mtaani kwetu.Vijana wakiume wasiopungua 10wamevamia Nyumba moja Wakavunja mlango Wakiwa wamebeba mapanga Na kujeruhi wapangaji wa Nyumba Hiyo.Kwa kuwakata mapanga kichwani .Eneo la tukio Ni Njeteni.Kata ya kwembe.Hakika Aman Inatoweka mtaani Kwetu.

  • @mrh2812
    @mrh2812 Před 2 lety +1

    Duh

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 2 lety +5

    Hakika ili liwe fundisho yakikamatwa yachomwe moto,yaani wananchi chukueni hatua wenyewe,wengine wanalindwa halafu wanaokatwa na kuibiwa eti wacuwe.Uweni na kuchom,yangekuwa yanachomwa hii tabia inakoma.

    • @jamesponeca8912
      @jamesponeca8912 Před 2 lety

      Mpaka wsjipange nishasikia hata Baadhi ya viongozi wanajihusisha na huo upumbavu,MBONA HUKUSHUGHURIKIA KUWAKAMATA WALIOIBA,ONA KIONGOZI ANASEMA VIJANA WETU WA PANYA ROAD KIMBE NI VIJANA WENU.

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 Před 2 lety

    Mtihan

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Před 2 lety

    Pole mzee wngu jmn nimeumia

  • @yousirsports7482
    @yousirsports7482 Před 2 lety +2

    duuuh kipind cha mjomba halikuwa hayapo

  • @Elizabeth-777-r3p
    @Elizabeth-777-r3p Před 2 lety +1

    😭😭😭😭😭

  • @mugema9813
    @mugema9813 Před 2 lety +3

    Alafu eti Magufuri hasaulike kivipi.

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 Před 2 lety +8

    Nilijua tu baada ya magufuri kutuacha yote yatajirudia mungu tunusuru na haya

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Před 2 lety +2

      @Mtanzania Halisi wewe kilaza tu

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Před 2 lety +1

      @Mtanzania Halisi kwa hiyo unaunga mkono Hali iliyopo

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 Před 2 lety +1

      Uwezi kulinganisha mauaji ya sasa na kipindi cha magufur bana

  • @hidodomagarasha5804
    @hidodomagarasha5804 Před 2 lety +2

    Khaa hawo wezi wenyewe wamechoka mnaiba masabufa?? Basi chukueni kila kitu muwaache wenzenu salama kwani Hadi umdhuru?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 lety

      Washenzi kweli yaani ata wasipopata wakipata wanakata watu mapanga dawa yao ni kuchoma tu wazazi wao wanaowafuga ndio wapate uchungu kama wanaokatwa mapanga.

  • @atukuzwelameck4324
    @atukuzwelameck4324 Před 2 lety +4

    Mpaka royal tour iishe tutaona mengi😂💔

  • @Jolahsunie1
    @Jolahsunie1 Před 2 lety

    Jamani mama Yuko kwenye royal tower wanainchi tunaumia asemiki2 Yani tabu2 wananchi tabu tunayoo

  • @janetshao6423
    @janetshao6423 Před 2 lety

    Jaman babu wawawtu

  • @bakarithegeoinformatician7406

    Hili jambo lazima wakifanya uchunguzi watakuta umoja p...t wanahusika ilimradi kumchafua M..ma

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Před 2 lety +1

    makosa yote yapo Katika selikalini mbona au panya lody awaendi kuvamia kwa ao watu wakubwa wanavamia mita ya kimaskini kama ao panya lody piga sanaaaaaa awana adabu

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před 2 lety +7

    Hawa panyaroad adhabu wanayopewa haiwezi kuwafanya waache, Kwanini wasiuliwe tu 😣😣

  • @asiasaraga9762
    @asiasaraga9762 Před 2 lety +3

    Magufuli tunakukumbuka sn

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Před 2 lety +1

    🙄🙄🙄🙄😭😭😭😭😭

  • @justjustn1974
    @justjustn1974 Před 2 lety +1

    Jamn Kuna sehem inaitwa masantura

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 Před 2 lety

    Jaman jamn Dunia imekwisha jaman inaumasana baba yngu pole😭😭

  • @soudabdulrahman9359
    @soudabdulrahman9359 Před 2 lety +1

    Mnawalea mnawalinda mnawapenda mnawajuwa mkiamuwa kwa pamoja umoja ni nguvu tatizo linakoma

  • @aminaosman888
    @aminaosman888 Před 2 lety

    Mama samia fanya maamuz

  • @allyhassan7522
    @allyhassan7522 Před 2 lety

    Kwani ye Yuko wapi?

  • @benardboaz6347
    @benardboaz6347 Před 2 lety +1

    Hawa wakikamatwa inapaswa wale za kichwa.

  • @daynesalex911
    @daynesalex911 Před 2 lety

    Hivi kabisa mzee Kama uyo una mdhuru si laana hzo jmn😥hii inchi inaelekea wp jmn Tanzania s nchi y amani 😥mbon watu wanakuw mashetn

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 Před 2 lety

    Mm.anakulalaha.malekani.alieshiba.hamjuwimwenyinjaa

  • @bakarimkolo5824
    @bakarimkolo5824 Před 2 lety

    Unyama wahali yajuu

  • @marylutengano1555
    @marylutengano1555 Před 2 lety

    Waje kwangu hapa waone watarudi bila vichwa wapumbavu hao

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 2 lety +3

    Hao ni Wanaume ila wamevaa nguo za kike

  • @modyworldmody4297
    @modyworldmody4297 Před 2 lety +1

    Ukosefu wa dini....

  • @tazamamaajabuyaulimwengu2786

    Hyu kiongozi anajitambua Sana kila mwananchi anajukumu la kuwa mlinzi wa eneo lake na sio kuiachia tu serikali

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Před 2 lety +1

    poleni sana ndugu zangu ila hii serikali ya sasa hivi ni dhaifu

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 Před 2 lety

      ACHA dharau, WIZI wanamna hii walikuwepo hata kabla ya wewe kuzaliwa

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 Před 2 lety

      ACHA dharau, WIZI wanamna hii walikuwepo hata kabla ya wewe kuzaliwa

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 Před 2 lety

    Hiii wapi

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 2 lety +1

    hao walinzi washirikishi pia ni wenzi na ni wauaji acha kabisa kusema walinzi shirikishi

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Před 2 lety +2

    Inauma Sana mwananchi anaingiliwa ndani na kupigwa,wakiamua kurudisha mashambulizi utasikia msijichukulie sheria mkononi.

  • @hadija846
    @hadija846 Před 2 lety

    😭😭😭😭😭poleni sana wapendwa😭😭😭😭😭

  • @hujjatulasrsocietyoftanzan8420

    Sio Duniani ni Tz,, vijana hawana kazi za kufanya

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando Před 2 lety

    Mwisho wa Dunia ! Muliambiwa msichanje chanjo za kishetani watu watabadilika chanjo zinamagonjwa ya ukichaa

  • @rubimasuku5023
    @rubimasuku5023 Před 2 lety

    Mama Samia Mimi Nasma waty Watusi bararani kufanya baiashara zao mbona wezi walikuwa haiibi

  • @hemeyd673
    @hemeyd673 Před 2 lety +1

    Huyu mwenyekiti kwa maneno anayozungunza nahisi anahusiana na hao watu mbona nyumba yake hawajaingia na pili inaonekana anashirikiana kufanya nao uhalifu kwa makusudi kwa sababu ya kukosa ulinzi shirikishi.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 lety

      Nimemshangaa sana badala ya kupambana na wanaolipwa mshahara kwa kodi zetu kakazania ulinzi shirikishi ,natamani kumuuliza huo ulinzi shirikishi wa watu kumi wasiokuwa na silaha nzito bunduki au pisto mfano utaweza vipi kupambana na kundi la vijana wachanga unaambiwa wapo kati ya ishirini na kuendelea wenye nyundo mapanga na wamevuta bangi hawachagui la kufanya? Kweli huo ulinzi usio kuwa na cha moto utawaweza hao Panya road au huyo mwenyekiti kaamua kubwabwaja tu

  • @hajisuleiman9573
    @hajisuleiman9573 Před 2 lety

    nyinyi ndo munao wafuga hao panya rod mbona wakat wamgufuli walikua hawapo

  • @timtimtimtim7631
    @timtimtimtim7631 Před 2 lety

    Mda wa mgufuli alikomesha ili swala mama anashindwaje?

  • @vero57
    @vero57 Před 2 lety +3

    Kwanini wasiende kuiba, masaki,au maeneo ya matajiri, wanaonea tuu, watafutieni dawa kama wale wezi wa South Africa, wameiba waka ganda hapo hapo.

    • @getrudamartin2409
      @getrudamartin2409 Před 2 lety +1

      Wanaogopa kuiba masaki kabla hawajavunja geti doria ishafika mtu unaonekana

    • @vampire9464
      @vampire9464 Před 2 lety

      Hao mapanya road wanaonea uswaz na wazee mbona hawaji kariakoo kama wanajiamini kweli waje mjini kudadaaadeki jasho litawatoka

  • @yassinsalum1864
    @yassinsalum1864 Před 2 lety +3

    Tutamkubuka magufuri wiziumerudi kamazamani raisi anatembea t

  • @salamaabuu7734
    @salamaabuu7734 Před 2 lety

    Hawatoshi kivip kwani awo asikari wamefika Mana ukisema ulinzi shilikishi Ni unabeba panga rungu nondo halafu mnakua Kama mtu 10 au 8 au 7 Sasa mkikutana na panya rody wako 30 sinakimbia

  • @salamaabuu7734
    @salamaabuu7734 Před 2 lety

    Eti. Umshike kijana Kama panya rody alafu umfunge miaka miwili akitoka analianzisha Tena Yan Bora wauwawe Kama kumi iv naamin wakipata talifa na wengne

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před 2 lety

    SHIDA WANAWAKAMATA WANAKAA NAO KUWAHOJI SIJUI NN, INGEKUWA SHERIA YANGU KILA UNAYEMKAMATA UKATHIBITISHA KWELI CHINJA HAPO HAPO ONDOKA NA SHINGO TU KIWILIWILI ACHA ZAZIKE WAZAZI WAO

  • @hassanabdul3277
    @hassanabdul3277 Před 2 lety

    Halafu cha kusikitisha wanao wakata ni wa maisha ya chini kabisa hakuna wenye uwezo wanaibia masikini wenzie hii so poa

  • @lilynestorybenezety6180

    Ulinzi shirikishi migambo na maporice wanakua wap mda uwo ushaskia wanakuja kikundi mtu ajui chochote na wala ajapitia mgambo ataji nuru vp tukazanie selikali iongeze nguvu maporice kazi yao nini siusalama mimi Apo sko nawewe tufanye ndo tukio limekukuta wewe au ndugu yako utafanyaje jamani viongozi wetu mlianglie ili wananchi wanateseka na awo panya rod mama samia lifanyie mchakato

  • @allymsimbe3122
    @allymsimbe3122 Před 2 lety

    Waliovamia ni wanawake or wanaume?

  • @alexismona8242
    @alexismona8242 Před 2 lety +4

    Ndo mujuwi faida ya kuwa na laisi wa kike hio ndio faida nabado Tena musubili

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 Před 2 lety +1

      😳😳😳😳😭 mungu atuonekanie kwenye ili

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 Před 2 lety +1

      😭😭😭😭😭😭

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před 2 lety +1

      na niharam kuongoza mwanamke inchi inadini na wanajua sheria za dini hairuhusu mwanamke kuongoza wanaume

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 Před 2 lety +1

      @@aishaalbalushaishabalush8291 😳😳 baasi tuandamane tukaamtoe

    • @alexismona8242
      @alexismona8242 Před 2 lety +1

      @@aishaalbalushaishabalush8291 ikifika hapo nacheka mpaka Sana Wana ume wanatumwa na mwana muke wakati sio mufalume nadomana Wana wake ndo Wana wuwa Wana ume somo iyo

  • @sabrinamaluma6452
    @sabrinamaluma6452 Před 2 lety

    Aisee hii ni tishio jmn tunaelekea wapi Inabdi serikali ichukuwe htuwa

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 Před 2 lety +4

    Kenya kulikua km hivyo, lkn baadae kukaekwa system kila nyumba iwekwe milango ya chuma ya mlango wa mbele na mlango wa nyuma. Hapo amani itapatikana

    • @kalengashoppingcenter1108
      @kalengashoppingcenter1108 Před 2 lety +2

      Vp madirishan waliweka nn

    • @faridahalil4456
      @faridahalil4456 Před 2 lety

      Uwezo wako madirishani pia waliweka vyuma, yaani mwanzo mlango/dirisha la mbao na mbele yake chuma. Almost all areas ziko hivyo.

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 Před 2 lety

      Ila juzi mombasa wameanza tena fujo

    • @faridahalil4456
      @faridahalil4456 Před 2 lety

      Fujo la juzi ilokua wizi tu, kuna ma-group kadha huwa wanatembea njiani baadae wanakuvamia na kukuibia kitu chochote ulichonacho. But wameshikwa wote na saa hii wako jela. Yaani walionekana kwa CCTV, tena vijana wadogo miaka km 16-20. Na hii yote yatokana na ajira, hamna kazi na viongozi wakisha pewa KURA wanajisahau hawaiendeshi nchi vizuri wanajali matumbo yao tu.

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 Před 2 lety

    Hawa vijana hawataikwepa hii laana kumjeruhi baba umri huo pole baba angu💔inauma sana

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Před 2 lety +21

    Kipindi cha Magufuli mbona aliyakomesha matukio haya!!!! Sasa mama anacheza filamu marekani; wananchi wanachinjana! Kweli uchungu wa mwana ajua mzazi, nchi inatiahuruma kwa sasa!!

  • @mwantumubakary6638
    @mwantumubakary6638 Před 2 lety +8

    Machinga waliambiwa wanachafua nch lkn vijana walikua wana pambana kupata rzk sasa kazi hakuna vitu vimepanda bei unafkr kama sio kuuwana ni nini kitatokea magufuli tuna kukumbuka sana 😭😭😭

    • @devothaignatus5911
      @devothaignatus5911 Před 2 lety +1

      Umenena

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před 2 lety

      Ni hulka zao tu wizi,msisingizie umaskini

    • @sebastianmichael4031
      @sebastianmichael4031 Před 2 lety

      Kweli watu wakikosa kazi za kufanya , wananzisha uhalifi ili kuendesha maisha, magufuri kwa hili aliweza kusaidia sana na ndio sababu matukio hayakuwepo kama haya.

  • @leahally4618
    @leahally4618 Před 2 lety

    Jaman dar situnalipa sungusungu kila mwezi inakuwaje Tena?

  • @soudabdulrahman9359
    @soudabdulrahman9359 Před 2 lety +1

    Anzisheni ulinzi shirikishi mkiwapata hakuna kuremba fanyeni bucha h

  • @luciansanga5195
    @luciansanga5195 Před 2 lety

    Tuna omba Telejinsia ifanye kazi hapo

  • @salcle9702
    @salcle9702 Před 2 lety

    Kila nyumba iwe na mkuki na rungu afu imarisheni hiyo milango

  • @eliyamuhuro8576
    @eliyamuhuro8576 Před 2 lety

    Haonao wanaokaa huomtaa wagogo kweli