DUNIA IMEKWISHA! PANYA ROAD WANAWAKE WAIBUKA DAR, WAWAKATA WATU MAPANGA, WAVAMIA NYUMBA 21 USIKU..
Vložit
- čas přidán 27. 04. 2022
- DUNIA IMEKWISHA! PANYA ROAD WANAWAKE WAIBUKA DAR, WAWAKATA WATU MAPANGA, WAVAMIA NYUMBA 21 USIKU..
Ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni. Ikiwa imezoeleka kuwaona vijana wakiume ndio wakifanya matukio ya kihalifu, wameibuka vijana wa kike ambao wameingia kwenye kundi la kihalifu maarufu kama panya road na kuwapora wananchi.
Tukio hilo la kustaajabisha limetokea usiku wa kuamkia Aprili 24, 2022 katika mtaa wa Gogo, Kata ya Chanika jijini Dar es Salaam ambapo panya road hao walivamia nyumba takriban 21 kwa nyakati tofauti na kuvunja milango majira ya saa nane usiku na kuanza kupora vitu mbalimbali vya ndani kama vile radio, tv na pesa.
Kufuatia tukio hilo waandishi wetu Richard Bukos na Issa Mnally walifika maeneo hayo na kuzungumza wahanga wa tukio hilo ambao wamesimulia vijana hao walivyowavamia na kuwapora mali zao.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Subhanallah 😭😭inauma maskini hee jamani binadamu tumekosa utu kabisa unamfanya binadam mwenzio kama hivi hawana hata hofu ya mungu wala siku ya mwisho
Watakomeshwa tu!poleni wote mlio umia,mwenyezi MUNGU,awape uponyaji waharaka
Aamiin🙏🏼
Mhmm mtihani haa shida yaani sisi tanzania wallahi tumezidi yaani tunamambo ambayo huyo shetani hajawahi kufanya Allah atuongoze katika njia ya haki inshallah
Pole sana Baba! Pole sana!
Mwenyezi Mungu yu pamoja nasi
Yaaa wanaweke wazima wa nashindwa kufanya Kaz wanapora na kujeruhi kwel!!!! Subhanallah mungu nusuru vizaz vyetu
Kazi si ndo iyo ya kupora wanafnya nayo ni jumla ya kazi na Hela wanapata vzr t au unataka wakajiuze na wakijiuza mtaanza tena kuwasema
@@hamidmweusiii35 una akili kweli au ndoo ww
@@heyumi2340 sio ndoo tu Bali ni pipaa asa
@@hamidmweusiii35 naww umo kundini??mtauliwa wote kama kipindi cha magu
@@salmaalimusa6809 labda bumbwini
Mungu wangu hii dunia imefika mwisho.
sio dunia ndugu sema tanzania imefikia mwisho
Pole sana baba yangu Mungu atakuponya
Kwenye matukio ya kutisha utunaambiwa Askari wetu hawatoshi. Wananchi wakitak kuandaman kudai haki zao utasikia tunao Askari wa kutosha na vifaa vy kupambana kw watakaoingia barabaran. TUELEWE LIPI APO
mtihan
Wanalinda maslahi Yao sio wananchi, maana hilitukio lime tokea wapo walio piga hadi simu kutoa taarifa na hawakujibiwa, inauma Sana.
Jeshi lipo kulinda watu muhimu, viongozi tuu, Sasa hivi mitaani vibaka Kila Kona.
Hii ndio Tanzanian
@@sebastianmichael4031 Ni kwl kabs km haya matukio yangetokea maeneo ya masaki, mikochen, mbezi & obey tungeona response kubw sn.
😭😭😭😭 najiuliza maswali mengi kipindi cha magufuli tuliishi Kwa Amani, kingine viongozi wanajilimbikizia Mali na kutetea upuuzi, eee Mungu tuhurumie, watu wanasingizia Hali ngum na kudhuru watu, Mungu tuhurumie watanzania 😭😭😭
Kweli huyo mzee si baba yao kabisa kweli wamekisa maadili jamani wanachokitafuta watakipata
Wanahaki wananchi kuchukua sheria mikononi mwao kuwachoma
Ndokwanza vitu vinapnda bei tutakufa uku tunajiona maana waiz watakuwa weng mno mungu atusimamie jmn🙏
Poleni sana ndugu zangu hakika mungu awaponye pia hawa vijana wanapaswa kuuwawa tu
Shida machinga mnawafukuza kazi hamna ajira hamna what happened maisha yamekua magumuu, kiujumla hii Tanzania ishakua ngumu ee Mungu tunaomba utuhurumie
Askar hawatoshi kivip kulinda nchi!wakat tz kunavijan wengi hawana ajira kwa nn musiwaajiri wakawa polic wakalinda nchi!! na vile vile huwez kufos mtu akawa polic shirikish usiku wakat asubuh anamka saa 12 anaenda kutafut rizik ya family..ajirin vijana tupate polic wa kutosha ...kutulindia nchi mm nimeona huku nilipo kijana hana kazi bas anapewa ajira ya polic au jeshi vijana wengi wanajira tz ajira ngumu wapen vijan ajira jaman watatuuliwa wezee wetu kila siku
Live watoe ajira kun vijan wengi xana awana ajira
Mbn mnatetea sanaa au nanyie mpo nn?
Kwakweli
Subhallah mtihan
Pole baba yangu huna hatia Mungu atakuponyq
😭😭😭😭pole sana baba yangu allah atakulipia na atakupatia shufaa🙏🙏🙏
Subuhanallah kweri hi mtihani jamani
Pole sana bab angu
Pole kaka
Poleni sana majelui
Mungu wangu😢😢😢😢
Jeshi LA polisi sana kitengo cha doria wanafanya nini? Wanashindwa kufanya doria ndani ya eneo husika mpaka wanavamia maeneo yao HD kuingia Nyumba 21 ? Linahitaji reform hii so sawa
Sawa kabisa
Poleni Sana mtihani mkubwa jamani hi Dunia imeisha kweri ila hawawatu wamekamatwa baazi
Subanallah 😰 😰 jaman tunaenda wapi mbn watu wamekuwa na roho za ajabu hivy subanallah 😰 😰 😰 jaman kwann wasiweke lock down usiku
nikweli lock down ingesaidia
Ndugu zangu tunaangamia kwa kusubiri serikali itusaidie ilihali serikali haina huo muda so jamii tujipange tuchinje kama kuku hawa WANGESE 😠😠😠
Nikuwachinja kweli mbwa awa, Mungu tusaidie
Jameni poleni kwetu , inchini kulikuwa na kikundi kama hiki,Kwa jina 42brothers,walituangaisha Sana,mungu awasaidie,na pia serikali ipige marufuku kununua vitu second hand
Hatari kweli wazibitiwe haraka wsnawake
Jamani
Duuh roho zao ziko haliani kufa kunawaita ndomana wanahaha cku c nyingi wazazi wao wanalisha ubwabwa ukiwa mwizi unaunga urafiki na mkata roho hvy muda wwte wanajijua watakufa mmoja mmoja😆😆😆🤣mungu atunusulia vizazi vyetu inshallah
Sungusungu waanze kazi kusaka hao vibaka
Wanaacha kufanya kazi wanaiba mungu awalaani
Yesu tusaidie,
ye mwenyewe alishindwa kujisaidia wakataka kumsulubu na kumuua
Haya matukio yanaendana na uongozi uliopo madarakani au
Sahihi kabisa
Sanaa
Poleni
Ikishindikana fanyeni maamuzi jeshi la police lipo kwa jiri yetu sisi tunaoumizwa na kupigwa ndo waoga kura wakesho
Hao naona sio wakike tu na wanaume wamevaa nguo Za kike. Dah naogopa jmn. Polen Sana
YAH SIYO WA KIKE ILA WEZI SIKU HIZI WANATABIA YA KUVAA MABAIBUI.
Daa Aseee usiku wa kuamkia leo Tar 18/05/2022 Mtaani kwetu.Vijana wakiume wasiopungua 10wamevamia Nyumba moja Wakavunja mlango Wakiwa wamebeba mapanga Na kujeruhi wapangaji wa Nyumba Hiyo.Kwa kuwakata mapanga kichwani .Eneo la tukio Ni Njeteni.Kata ya kwembe.Hakika Aman Inatoweka mtaani Kwetu.
Duh
Hakika ili liwe fundisho yakikamatwa yachomwe moto,yaani wananchi chukueni hatua wenyewe,wengine wanalindwa halafu wanaokatwa na kuibiwa eti wacuwe.Uweni na kuchom,yangekuwa yanachomwa hii tabia inakoma.
Mpaka wsjipange nishasikia hata Baadhi ya viongozi wanajihusisha na huo upumbavu,MBONA HUKUSHUGHURIKIA KUWAKAMATA WALIOIBA,ONA KIONGOZI ANASEMA VIJANA WETU WA PANYA ROAD KIMBE NI VIJANA WENU.
Mtihan
Pole mzee wngu jmn nimeumia
duuuh kipind cha mjomba halikuwa hayapo
Yalikuwepo ila yeye aiyamaliza
😭😭😭😭😭
Alafu eti Magufuri hasaulike kivipi.
Si ndo hapo atuwez kumsahau
Nilijua tu baada ya magufuri kutuacha yote yatajirudia mungu tunusuru na haya
@Mtanzania Halisi wewe kilaza tu
@Mtanzania Halisi kwa hiyo unaunga mkono Hali iliyopo
Uwezi kulinganisha mauaji ya sasa na kipindi cha magufur bana
Khaa hawo wezi wenyewe wamechoka mnaiba masabufa?? Basi chukueni kila kitu muwaache wenzenu salama kwani Hadi umdhuru?
Washenzi kweli yaani ata wasipopata wakipata wanakata watu mapanga dawa yao ni kuchoma tu wazazi wao wanaowafuga ndio wapate uchungu kama wanaokatwa mapanga.
Mpaka royal tour iishe tutaona mengi😂💔
Daaa si uongo
Aki ya mungu
Jamani mama Yuko kwenye royal tower wanainchi tunaumia asemiki2 Yani tabu2 wananchi tabu tunayoo
Jaman babu wawawtu
Hili jambo lazima wakifanya uchunguzi watakuta umoja p...t wanahusika ilimradi kumchafua M..ma
makosa yote yapo Katika selikalini mbona au panya lody awaendi kuvamia kwa ao watu wakubwa wanavamia mita ya kimaskini kama ao panya lody piga sanaaaaaa awana adabu
Hawa panyaroad adhabu wanayopewa haiwezi kuwafanya waache, Kwanini wasiuliwe tu 😣😣
Kweli kbs
Magufuli tunakukumbuka sn
🙄🙄🙄🙄😭😭😭😭😭
Jamn Kuna sehem inaitwa masantura
Jaman jamn Dunia imekwisha jaman inaumasana baba yngu pole😭😭
Mnawalea mnawalinda mnawapenda mnawajuwa mkiamuwa kwa pamoja umoja ni nguvu tatizo linakoma
Hayajakukuta ndugu
Mama samia fanya maamuz
Kwani ye Yuko wapi?
Hawa wakikamatwa inapaswa wale za kichwa.
Hivi kabisa mzee Kama uyo una mdhuru si laana hzo jmn😥hii inchi inaelekea wp jmn Tanzania s nchi y amani 😥mbon watu wanakuw mashetn
Mm.anakulalaha.malekani.alieshiba.hamjuwimwenyinjaa
Unyama wahali yajuu
Waje kwangu hapa waone watarudi bila vichwa wapumbavu hao
Hao ni Wanaume ila wamevaa nguo za kike
Nikweli kabisa czani kama mwanamke anaweza kufanya hivyo
Ni kweli
Ukosefu wa dini....
Hyu kiongozi anajitambua Sana kila mwananchi anajukumu la kuwa mlinzi wa eneo lake na sio kuiachia tu serikali
poleni sana ndugu zangu ila hii serikali ya sasa hivi ni dhaifu
ACHA dharau, WIZI wanamna hii walikuwepo hata kabla ya wewe kuzaliwa
ACHA dharau, WIZI wanamna hii walikuwepo hata kabla ya wewe kuzaliwa
Hiii wapi
hao walinzi washirikishi pia ni wenzi na ni wauaji acha kabisa kusema walinzi shirikishi
Inauma Sana mwananchi anaingiliwa ndani na kupigwa,wakiamua kurudisha mashambulizi utasikia msijichukulie sheria mkononi.
😭😭😭😭😭poleni sana wapendwa😭😭😭😭😭
Sio Duniani ni Tz,, vijana hawana kazi za kufanya
Mwisho wa Dunia ! Muliambiwa msichanje chanjo za kishetani watu watabadilika chanjo zinamagonjwa ya ukichaa
Mama Samia Mimi Nasma waty Watusi bararani kufanya baiashara zao mbona wezi walikuwa haiibi
Huyu mwenyekiti kwa maneno anayozungunza nahisi anahusiana na hao watu mbona nyumba yake hawajaingia na pili inaonekana anashirikiana kufanya nao uhalifu kwa makusudi kwa sababu ya kukosa ulinzi shirikishi.
Nimemshangaa sana badala ya kupambana na wanaolipwa mshahara kwa kodi zetu kakazania ulinzi shirikishi ,natamani kumuuliza huo ulinzi shirikishi wa watu kumi wasiokuwa na silaha nzito bunduki au pisto mfano utaweza vipi kupambana na kundi la vijana wachanga unaambiwa wapo kati ya ishirini na kuendelea wenye nyundo mapanga na wamevuta bangi hawachagui la kufanya? Kweli huo ulinzi usio kuwa na cha moto utawaweza hao Panya road au huyo mwenyekiti kaamua kubwabwaja tu
nyinyi ndo munao wafuga hao panya rod mbona wakat wamgufuli walikua hawapo
Mda wa mgufuli alikomesha ili swala mama anashindwaje?
Kwanini wasiende kuiba, masaki,au maeneo ya matajiri, wanaonea tuu, watafutieni dawa kama wale wezi wa South Africa, wameiba waka ganda hapo hapo.
Wanaogopa kuiba masaki kabla hawajavunja geti doria ishafika mtu unaonekana
Hao mapanya road wanaonea uswaz na wazee mbona hawaji kariakoo kama wanajiamini kweli waje mjini kudadaaadeki jasho litawatoka
Tutamkubuka magufuri wiziumerudi kamazamani raisi anatembea t
Hawatoshi kivip kwani awo asikari wamefika Mana ukisema ulinzi shilikishi Ni unabeba panga rungu nondo halafu mnakua Kama mtu 10 au 8 au 7 Sasa mkikutana na panya rody wako 30 sinakimbia
Eti. Umshike kijana Kama panya rody alafu umfunge miaka miwili akitoka analianzisha Tena Yan Bora wauwawe Kama kumi iv naamin wakipata talifa na wengne
SHIDA WANAWAKAMATA WANAKAA NAO KUWAHOJI SIJUI NN, INGEKUWA SHERIA YANGU KILA UNAYEMKAMATA UKATHIBITISHA KWELI CHINJA HAPO HAPO ONDOKA NA SHINGO TU KIWILIWILI ACHA ZAZIKE WAZAZI WAO
Halafu cha kusikitisha wanao wakata ni wa maisha ya chini kabisa hakuna wenye uwezo wanaibia masikini wenzie hii so poa
Ulinzi shirikishi migambo na maporice wanakua wap mda uwo ushaskia wanakuja kikundi mtu ajui chochote na wala ajapitia mgambo ataji nuru vp tukazanie selikali iongeze nguvu maporice kazi yao nini siusalama mimi Apo sko nawewe tufanye ndo tukio limekukuta wewe au ndugu yako utafanyaje jamani viongozi wetu mlianglie ili wananchi wanateseka na awo panya rod mama samia lifanyie mchakato
Waliovamia ni wanawake or wanaume?
Ndo mujuwi faida ya kuwa na laisi wa kike hio ndio faida nabado Tena musubili
😳😳😳😳😭 mungu atuonekanie kwenye ili
😭😭😭😭😭😭
na niharam kuongoza mwanamke inchi inadini na wanajua sheria za dini hairuhusu mwanamke kuongoza wanaume
@@aishaalbalushaishabalush8291 😳😳 baasi tuandamane tukaamtoe
@@aishaalbalushaishabalush8291 ikifika hapo nacheka mpaka Sana Wana ume wanatumwa na mwana muke wakati sio mufalume nadomana Wana wake ndo Wana wuwa Wana ume somo iyo
Aisee hii ni tishio jmn tunaelekea wapi Inabdi serikali ichukuwe htuwa
Kenya kulikua km hivyo, lkn baadae kukaekwa system kila nyumba iwekwe milango ya chuma ya mlango wa mbele na mlango wa nyuma. Hapo amani itapatikana
Vp madirishan waliweka nn
Uwezo wako madirishani pia waliweka vyuma, yaani mwanzo mlango/dirisha la mbao na mbele yake chuma. Almost all areas ziko hivyo.
Ila juzi mombasa wameanza tena fujo
Fujo la juzi ilokua wizi tu, kuna ma-group kadha huwa wanatembea njiani baadae wanakuvamia na kukuibia kitu chochote ulichonacho. But wameshikwa wote na saa hii wako jela. Yaani walionekana kwa CCTV, tena vijana wadogo miaka km 16-20. Na hii yote yatokana na ajira, hamna kazi na viongozi wakisha pewa KURA wanajisahau hawaiendeshi nchi vizuri wanajali matumbo yao tu.
Hawa vijana hawataikwepa hii laana kumjeruhi baba umri huo pole baba angu💔inauma sana
Kipindi cha Magufuli mbona aliyakomesha matukio haya!!!! Sasa mama anacheza filamu marekani; wananchi wanachinjana! Kweli uchungu wa mwana ajua mzazi, nchi inatiahuruma kwa sasa!!
Jamani Aibugani hiyo
😀😀😀😀aki wewe
😄😄😄😄😄😄😄😅🤣
Because nikibaraka
🤣🤣🤣
Machinga waliambiwa wanachafua nch lkn vijana walikua wana pambana kupata rzk sasa kazi hakuna vitu vimepanda bei unafkr kama sio kuuwana ni nini kitatokea magufuli tuna kukumbuka sana 😭😭😭
Umenena
Ni hulka zao tu wizi,msisingizie umaskini
Kweli watu wakikosa kazi za kufanya , wananzisha uhalifi ili kuendesha maisha, magufuri kwa hili aliweza kusaidia sana na ndio sababu matukio hayakuwepo kama haya.
Jaman dar situnalipa sungusungu kila mwezi inakuwaje Tena?
Anzisheni ulinzi shirikishi mkiwapata hakuna kuremba fanyeni bucha h
Tuna omba Telejinsia ifanye kazi hapo
Kila nyumba iwe na mkuki na rungu afu imarisheni hiyo milango
Haonao wanaokaa huomtaa wagogo kweli