Majambazi Sugu Waliouawa Kariakoo Hawa Hapa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Kufuatia tukio la ujambazi Kariakoo, Kamishna wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro, ametaja majina ya majambazi wawili kati ya wanne waliouawa katika majibizano na polisi.
    Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    Sirro amewataja majambazi hao kuwa wa kwanza ni Hamad Ally Musa, dereva wa bodaboda anayepaki kijiwe cha Tandika Azimio, mkazi wa Chamazi.
    Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    Mwingine ni Hamad Rajab Kombo almaarufu Ndonyo. Ndoyo anatajwa kuwa kwa kipindi kirefu alikuwa na tabia ya kuteka madereva wa bodaboda, Kivule, Chanika na sehemu mbalimbali za jiji la Dar akishirikiana na wenzake, ambapo alikuwa akiwakodi kisha anawapeleka porini ambapo anawapiga risasi na kuwapora bodaboda.
    Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    Akizungumza na waandishi wa habari, Sirro anasema majambazi hao walivamia kwenye duka la Othman Issa anayeuza chakula na vocha, ambapo majambazi hao walipofika walipiga risasi wakimtishia awape pesa, kwa bahati nzuri askari wa doria walikuwa jirani na eneo hili waliwabana.
    Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    Wamekutwa na sub-machine gun ikiwa na risasi 25. Kamanda Sirro anasema katika kurushiana risasi, raia wanne walijeruhiwa kwa risasi.
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1

Komentáře • 303