🤣🤣🤣 pumbavu....! Bila kokosolewa hutofika...@ Pastor masanja. - Mjasiriamali wa karne....young billionaire. Kazi nzuri sana ya kuhamasisha, ndomana yote yamezaa matunda. 🙄🙄😏🤔🤔🤨🤨🤨😚☺😘🤣🤣🤣🤢🤢🤮🤮🤧🤧🤓🤓🤓🤕🤯🤯👺👺☻☻👣👣👀👁👥👥👏👏🤘🤘👌 show love. Nakupenda sana Masanja😇💩🙃
Hapa nimegundua Sasa unajua mm huwa nakufatilia Sana hata kwenye mahubili yako bora umeniongezea siku za kuishi tena maana nimecheka Sana ukweli huwezi kushangilia Manchester wkt timu yako hapa Tz huishangiliii😂😂😀😀😂😂
Panapo majaliwa, mm naahidi taifa stars wakishinda, nitaingia uwanjani kuwakumbatia wachezaji wetu. Pls polisi na mabaunsa hii ni kwa mapenzi ya inchi yetu asee. sii naingia uwanjani mnaanza kunibonda kaa ngoma ya kimakonde.UZALENDO KWANZA
Ahsante sana kaka tufanye uzalendo. Na mtindo wa kusubilia goli lifungwe ndo tushangilie haileti maana ni mwendo wa kushangilia mwanzo mwisho tuige kwa mashabiki wa Liverpool
Umechelewa masanja timu haijaanzia hapa ilipo fikia cha ajabu munajitokeza wakati muda umekwenda hiyo halakati ilitakiwa mwanzoni si mwishoni nawashangaa sana
Yaani katika comedy za Masanja napendaga zaidi hizi za enzi za mwalimu aina hizi naweza kukaa siku nzima naziangalia ila tatizo haziko nyingi online pls any help mwenye nazo anisaidie aloo BIG UP MASANJA
HIII KALI KULIKO SIKU ZOTE ZA KUISHI"TUKAFANYE MAPENZI NA AKINA SAMATA,MSUVA, KICHUYA THAN TUISHANGILIE MAGOLI YTAKAYOFUNGWA!JAMANI KISWAHILI INATUSHINDA WATANZANIA
*Kama unakubali kiatu cha Mkandamizaji gonga like* 😂 😂 😂 😂
Kama umesikia ukafanye mapenz na samata na kichuya na msuva gonga like yko hap
Matala Moma 😂😂😂😂😂Me ctaki jmn 😂😂😂
😀😀
Hatari
😁😁
Mungu huwa anampa kila mtu kitu chake kaka hii ndio kazi yako...gonga like kama unaliona hili
Baba mch Leo kavurugwa sana hataki masihala kwenye nchi yetu twendeni TAIFA asante baba mchungaji
Haswa inabidi kesho ibada ya asubuh ili tuwahi kufanya mapenzi na timu yetu
Mashemegi zangu wa 🇹🇿 ilikuwa n haki yenu kufuzu mana sio kwa kuhamasisha mlivo hamasisha tukutane Egypt AFCON ln sha Allah #🇰🇪
Mungu akujali kila la KHERI inshallah 👌😅😅😅😅masanja hongera bro
Unapita na vigari vya watoto 😂😂😂😂😂😂hii nimekuja kuona 2020
😆😆😆😅😅😅😅
Mbona watanzania atupendi kufanya mapenzi na nnchi yetu.. Twenden tukafanye mapenzi taifa
yekeyeke yekete sure tayariiii watu tulikuwa nyomi balaaa
😁😁😁😁😁😁msuvaaaa
hahahaaaa tushafanya mapenzii...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
twendeni tukafanye mapenzi na tim yetu jaman ifikapo j.pili
My self nimeflahi Sana nikwer Kabsa, duniani bila mapenzi wew usingekuwepo halikadhalika timu ya (TAIFA 🌟) usingekuwepo.
Hahaaaaaa ,inabidi na mimi nikafanye mapenzi na timu yangu kwa kweli(uzalendo kwanza)
kafanye mapenzi na thamata ili tuwafunge waganda
😂😂😂😂niazime hiyo kiatu
😂😂😂😂😂😂icho kiatu sasa had gar inapigwa tege masaja shikamoo jaman mkaka anae dhohofisha taifa kwa kupaka rangi wadada pole
Zainabu Khalifa utaenda Zena tuandamane
@@silasmwaringa9106 apana best sipo tz ningeenda lakin ndo ivyo
😁😁😁unapita na vigari vya watoto uuuuuw
hahahaaaa
My Best actor of all the time despite ubize wake wa neno la mungu
Hahahaha we miss you guys come back men!
🤣🤣🤣 pumbavu....!
Bila kokosolewa hutofika...@ Pastor masanja.
- Mjasiriamali wa karne....young billionaire.
Kazi nzuri sana ya kuhamasisha, ndomana yote yamezaa matunda.
🙄🙄😏🤔🤔🤨🤨🤨😚☺😘🤣🤣🤣🤢🤢🤮🤮🤧🤧🤓🤓🤓🤕🤯🤯👺👺☻☻👣👣👀👁👥👥👏👏🤘🤘👌 show love.
Nakupenda sana Masanja😇💩🙃
😂😂😂😂😂😂mchungaji banaaaa aca na mimi niende uwanja wataifa nikaone Burundi na Gabon siko mtizi jameniii nasisi leo tukashangiliye team yetu ya taifa
Nlikuwa napenda sna na still I like this style
Hapa nimegundua Sasa unajua mm huwa nakufatilia Sana hata kwenye mahubili yako bora umeniongezea siku za kuishi tena maana nimecheka Sana ukweli huwezi kushangilia Manchester wkt timu yako hapa Tz huishangiliii😂😂😀😀😂😂
Hahaa bora urudi kwenye komedi tuu asee
😹😂 oi masanja make more of this vichekesho still 🔥🔥 on pick
Tukafanye mapenzi na timu yetu,...!!?😂😂 Kwa wanawake sawa ila sisi wanaume Itabidi twiga Starz iwepo...!! Ndio mapenzi yatafanywa vizuri
hahaha
Uyo mpaka langi umemkomesha😂😂😂
Skonkodi hizo sasa😂😂😂😂😂
Skonkodi "ndo Nini"
😂😂😂😂jumapili ni kufanya mapenzi tu na team ya taifa
😂😂😂😂😂masanja ww noma ww kila idara ukosei iyo kiatu umeitoaa wp mzee baba hahaahh kwl watu wakafanye mapenzi na amunikee uko
Hahaaahahahahaaaaaaa, safi sana Masanja
Ahahahaaaa ni Leo Jamani mkafanye mapenzi uwanjani Jamani
Hongera sn brother. Point taken!
Hee iyo moka ya masanja
Mmepata bahati ya kumiliki pesa na smartphone,. Kuandika kusoma kwako shida, ni uwanja siyo wanja
Hahahahah hilo shoes sasa hahahahaha Kemea pepo shikamoooooooo Tukutane Taifa tr 24
george mbembe kiatu nishida.
@@aishaail4455 hahaha shoes hii cyo ya nchi hii hahahahah
Kweli watu wamekalia kushabikia timu za watu na ugonvi juu lkn yakwao hata kuongelea hawaongie
team masanja like bs
Hahahahaha.....jaman mwee uzalendo kwanza mengine yanafuata
Hahah unatisha yani kiatu ni hatari🤣🤣
Panapo majaliwa, mm naahidi taifa stars wakishinda, nitaingia uwanjani kuwakumbatia wachezaji wetu. Pls polisi na mabaunsa hii ni kwa mapenzi ya inchi yetu asee. sii naingia uwanjani mnaanza kunibonda kaa ngoma ya kimakonde.UZALENDO KWANZA
Ahsante masanja
Lazima tukafanye mapenzi 😊
Ahsante sana kaka tufanye uzalendo. Na mtindo wa kusubilia goli lifungwe ndo tushangilie haileti maana ni mwendo wa kushangilia mwanzo mwisho tuige kwa mashabiki wa Liverpool
😂😂masanja sarutiiiiiiiìiiii
good masanja we scored
Mkurabita mkubwa 😂🤣😂🤣🤣 shabiki namba moja namaanisha hii 1 wa masanja fanya comed kaka watu wafurahi.....
Mpaka nimekumbuka enzi izo 😂😂😂
Kkkkkkkkkkkkk sanaa kiongoz nakukubaliiiiii
Umechelewa masanja timu haijaanzia hapa ilipo fikia cha ajabu munajitokeza wakati muda umekwenda hiyo halakati ilitakiwa mwanzoni si mwishoni nawashangaa sana
Safi sana walioko Dar. mtuwakilishe jaman
Yaani katika comedy za Masanja napendaga zaidi hizi za enzi za mwalimu aina hizi naweza kukaa siku nzima naziangalia ila tatizo haziko nyingi online pls any help mwenye nazo anisaidie aloo BIG UP MASANJA
Hahaha jamani masanja love u
mkafanye mapenzi na Samata ahahahahahahaah teteteeteteteet
hahahaaaaaa nimpenda sana hyo
Mi ni Mzalendo lkn Taifa stars kuifunga uganda ni sawa na kuchemsha supu ya Mawe🏃🏻🏃🏻
asante safi sana
way back ,,,, liniutarudi tena
Ahaaa nimependa
dar nmeikumbuka original comedy
Hiyo kiatu hahahah
Twenden tukafanye mapenzi na amonike
Hahahahahahaaaaaa hii sasa kali
Haaaaaaaaa mbavu zangu icho kiyatu sasa cha kemeya pepo
Asante masaja
Fanya mapenzu na timu ya taifa😂😂😂😂
Nakupenda Sana mchungaji wangu.
Ooh jaman mbona imeishaa
umenichekesha kwa sauti kuuu masanja
Eti,,,,,,ndo mchungaji, ,,,hatr mtupuuu, ,,afu uzalendo co kuangalia mpira
Aiiiii umenichekeshaaaa nomaaa mtumishi wwww kiboko
Fanya kiwe kipind Mr. Tumemiss haya mambo😂😂
naomba hicho kiatu😂😂😂😂😂
Safi sn mchungaji,😂😂😂
hahhahahaha masanja unanimalaza
Unapita na vigari vya watoto pipiii unampigia nani
Upo vzur kaka
mpumbavu,,unapita na vigari vya watoto hapaaaaa,,,hahahahhaaaa
Hahahahahaaa waambie yanga hahahahaa
Hahahaaa vigari vya watoto
Mbavu zangu jamani
Ahahahaa Ahahahaa oooooouuuuuiiiyee😁😁😁😁😁😁😁
😂😂mungu wangu
Kipaji cha usanii kipo hapo.
Ujumbe umenifikia.
Ongera masanja oyee!!!
😂😂😂eti fanya mapenzi nataifa aisee ila kwel tunapenda team zainje mnoo.
TIMU HIYO YA SIMBA NA TFF SISI YANGA TUNABAGULIWA SANA NA TFF
Habib Rwegoshora HAYO NI MAWAZO YAKO TU SI MAWAZO AMA MAONI YA WANAYANGA WOTE
acha uni masanja bwana azakwaza wew na msuva mkafanye mapezi
Mara paaa mnaenda wengi halafu mnafungwa 🙈🙈🙈
😂😂😂😂😂😂😂kiatu Masanja
Chizi kapewa.lungu😂😂😂😂tukutane TAIFA
Nahisi kama anamuiga jamaa mmoja anaitwa Tyrone (American comedian)...
Hahahahahha, TWENDENI TUKAFANYE MAPENZI NA TAIFA STARS, HAHH
HIII KALI KULIKO SIKU ZOTE ZA KUISHI"TUKAFANYE MAPENZI NA AKINA SAMATA,MSUVA, KICHUYA THAN TUISHANGILIE MAGOLI YTAKAYOFUNGWA!JAMANI KISWAHILI INATUSHINDA WATANZANIA
tumefanya mapenzi na timu yetu leo masanja tatu bilaaaaa😀😀😀😀😀😀
Wachane Baba, wakafanye mapenzi
Mmmm mapenz na amunike
Kiukweli umeicheza vizuri 😀😀😀
mmmmmmmhhhhh umegusa panapo tunamapenzi na timu za nje lkn timu ya taifa hatuipi kipaumbele .big up mkandamizaji wakandamize baba
Masanja fanya kubadili staili ya uchekeshaji
Brother, Taifa tumeenda lakini tumefanya mapenzi nje ya uwanja mzazi!!!1
Masanja sio kwa matusi nayo takukuru mkubwa mkurabita ha ha haaaaaaaaaa
😁😁😁😁 MTAKURAAA BAKORAAA NCHI MZIMAAAAAAAA
😅😅😅😅😅😅😅 huyo mpaka rangi kucha kanifurahisha
Nakubali mkandamizaji