JENGO LA MKOA LAMTOA JASHO MASANJA AMSHANGAA MAGUFULI ,MABILIONI YA JPM SONGWE
Vložit
- čas přidán 29. 09. 2020
- #dsshabari #dsstv #Tunduma #tundulissu#Amanitunataka #jmp #magufuli #ccm #dsstvulipotupo
#safariyaoktober #dsstv #DSSTANZANIA #dsstvhabari #habari #chadema #tundulissu
#tundulissu #chadema
Masanja unahitaji mwaka mzima kuweza kuonyesha kila kitu alichofanya JPM...hata mwaka unaweza usikutoshe
Wow..... I love you JPM.....Aliyesikia mlio wa viatu vya Masanja like hapa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Hahahaaaa nawe umesikia ni chakike au
@@ayshakayeko2043 🙈🤣🤣🤣 we acha tyuuuuuu Safari iendelee
Hichondo kiatu kiitwacho Raison
@@paulmaziku240 hahahaha 🤣🤣🤣🤣 umenikumbusha wimbo wa Mr: Nice
🙏🙏🙏🙏
Uko sawa masanja
Nacho furahia JPM, anasema sisi sio masikini
Kisha pesa zenu ndizo zimejenga haya au kununua hiki. Mwingine anatuambia sisi ni masikini tuweke rehani madini, tujigawe kimajimbo woii
Barikiwa sana Rais wetu. JPM 5 tena
Wewe lazima ungefurahia tu maana huna taarifa sahihi umelishwa ukameza nzimanzima ukitaka kujua umedanganywa fuatilia deni la taifa miaka 10 ya jakaya na mi 5 ya Jpm utajua kwamba hakuna kitu kama hicho unachosema
Na
Usijafanye kipofu hata Marekani ina deni urikuwa hujuwi ?????? Inchi ya kwanza duniani kwa uchumi na kijeshi USA ina deni bro tena kubwa !!!!
@@ndigimunaziri3575 usijichoshe kumjibu mtu anayelalamika kwa kila kitu , akiitwa maskini atalalamika kadharauliwa akiitwa tajiri analalamika tuna deni nani asiye na deni apa duniani?
Kama anamwamini Mungu ni hatari kukiri maneno ya kukushusha ukijiita masikini utabaki maskini kila siku utaogopa kufanya kitu kisa maskini.
Na Rais anakataa kuwa sisi sio maskini ni kwasababu ya rasilimali zote tulizonazo nchi nzima ila bado nazo atasema ziko baadhi ya mikoa.
@@ndigimunaziri3575 ninachokataa ni pale mnaposema tunafanya yote haya kwa pesa yetu wenyewe (ujinga) wakati deni la taifa linaumuka kama limewekwa amila
Bonge la jengo JPM Anatutosha Hatutaki mapimbi wanaopakatwa Belgium
Ccm oyeee!🇹🇿👍
Wasenge Kam vyakina lixu vle vimetumwa,tumexhtuka
Mungu umlinde Rais wetu Magufuli.
MASANJA TUMEELEWA KAKA ...JPM 2020 TENA
Amiry hamuja elewa juu hamuoni hamulewi hamusikii muko haraka kuelewa uongo ngojeeni lock down ndio muta funguka akili na macho
@@gracelauzi9746 kuandika kwenyewe ni shida Sasa kuelewa inakuwaje hapo?
Mungu amuwekee kwakweriiiii 🙏🏽
Hongera Masanja kwa kuonyesha mambo mazuri uendelee hivyo hivyo
Kazi nzuri sana
Ndivyo walivyoumbwa hawa kupingapinga kila waonalo tushawazowea, ila ndo wanamsemo wa ADUI MUOMBEE NJAA
Saafii masanja... Ccm oyeee
Kaka Dom lini?..Hongera kwa kazi...Tunnyoooshe kwa ukweli hata kama hatutakiii
Magu baba lao👌❤🤗
Niliposikia mlio wa kugonga,nilifikiri mafundi wapo kazini,kumbe ni viatu vya masanja.hongera sana
Haa nikajua hivo.kumbe kweli ni viatu!!
@@rahabujohn2691 kweli ivyo viatu
Hee!? Hakika Tanzania inaenda kua ulaya Tena zaidi ndio maana WANAPATA hasira mabeberu huo mjongo upo porini kabisa lakini duuh
Waambie awo
Mokasini yako kaka Masanja nimekukubali! Uko vizuri!
Magufuli baba lao
wanaamini kuwa wazungu ndio wanaojua kufanya maendeleo ya kilakitu
Asante Masanja kwa uzalendo wako unaouonesha!
Magufuli anatutosha hatuhitaji kibaka mwingine yeyote yule..
Nimecheka sana ni CCBRT bwana...
Ni kweli
Hongera
Hahahaaaa kaleta babako naam MSG sent hiyo MAGUFULI anatosha 💯💯💯💯💯☑️
Chelsea
Ahahahaaaa waambieeeeeee haoooooo sasa wanaikimbia tz huku wanaipenda
Majengo ya kawaida sana na sio pesa zake ni pesa za wananchi hao wengine pia watajenga zaidi ya apo maana pesa ni zawananchi
Mungu akuweke nawewe masanja uweze kuwselimisha wasiopenda ukweli
Mwandishi unatumika😀😀😀😀😀
Good
Wambie maana hawaoni Wapeni lock down watie akili
Hahaha kwakweli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni magufuli kafanya kazi kubwa sana kwa kipindi kifupi hoja mrenda mrenda hazina nafasi
Walikuaa lock down haoo wasamehee
Baba lao
Na wewe nasema sogeza camera hahaaah masanja. Hili ghorofa kaleta Mjomba ako hahahah masanja duh
Good job Mr jpm
Huyu mwandishi jaman mbona unamtesa hivyo😅😅😅😅😅
VIPI MASANJA KUTANGAZA INJILI UMEACHA HADI KUTANGAZA MAGUFULI BAADA YA KUMTANGAZA YESU UNATANGAZA MAGU,NJAA NOMA,TETEA UGALI
Masanja icho kiatu mie mbavu zang🤣🤣. Nikweli tunaona jitihada zake mung ambaliki sn
Achana nao hawajiewi
Masanja hongera mtmsh...waambie japo wanaona lkn wanajifanya hawaoniii!
Nitumie namba yako nikutumie ya majiii😁😁😁
Masanja comedi na siasa haiendani nyooka pande moja
😂🤣😂 Lisu wao
Siasa bhanaa tunatesekaga wapambe ilaa wenzetu wana enjoy maishaa Kama football tu siasa mashabiki hadi wanakufa wengine wamemaliza hao wanakwea pipa hadi rahaaa yaaani sisi midomo juu juu tuu ooooohhh nn nn mabishano mengi
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 mwandishi unatumika 😅😅😅😅
Izoooo si Kodi zetuu wacha hafanye tuuu kwan pesa zake ndiooooo maana anasisitiza tulipe Kodi
Izo kokoko masanja uniazime😁😁😁
Hahha haha🤣🤣 ety mwandishi unatumika
Kaka tumbo linakusumbua huna lolote
Masaja mpunguza jama lisu ataungua puresha
🤣🤣🤣 nmecheka kwamba ww mwandish unatumika sio waonyeshe mjengo huo
MAGUFULI ANATISHA MNOOO
Wataisoma namba
Maguuu hoyeeee..
Masanja aaaa😆😆😆
Masanja. Waambie
Amejenga babaake🤣🤣🤣
We umetumwa nauna lipwa PK. Wewe
Ku
Tell them bro
Wabiye
Bila magufuli ungekua hapa? Yani maqufuli ni Mungu
Rais wetu wa Tanzania yetu ni John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 ijayo amalize Kazi zake kwetu
CCBRT masanja bhana
Tatizo la watu wa chadema wengi wao wanapenda sana kutumia lugha zisizo rasmi, yaani mtu anatukana hapa mpaka unaogopa dah! Sasa akishinda lisu atakuletea pesa na chakula nyumbani kwako sijui dah! Chama hakina hata mtaji kutwa kucha vibakuli kwa wanyonge wao kuwaomba misaada hv wanao ipenda chadema sijui wamerogwa na nani hapo songwe ni chato? Maana hilo jengo lipo porini lakini kwa mtazamo ila very soon patabadilika, huyu raisi anamaono kwakeli.
Jina lenyewe la kiongozi wao linaonyesha ni mtu wa namna gani "TUNDU" maana yake hata wazazi wake walijua kuwa hili mi toto TUNDU! 😁😁😁😁😁😁😁😁
Watanyooshwa in 2 day ccbrt 😄 🤣 😂 😆
tarhe 28 tu mkuu tuwavue nguo waanze kulialia
Wa blaindue macho hawa wanao jifanya hawaoni yote haya jamani,mnataka raisi wa namna gani tz? Eti hhoooooo si kodi zetu , swali ni kwamba ,hizo kodi mmeanza kulipa Leo, miaka nenda miaka rudi mli kuwa mnalipa kodi je mmewahi kuyaona hayo yakifanyika? tena kwa mda wa miaka 5 tu ,jamani
Umezi chekesha🤣🤣🤣🤣💯 oyyyyeee MAGUFURI🇧🇻
Iyo video oyyyyeeee
😂😂😂😂✋ wambie
Sis tunataka haki haki ndio uinua taifa sio jengo hv ujui kamatetemeko likija linasambalatisha hivyo vyote na kimbunga sisi ni haki tuu sio watu wasiojulikana
Masanja njoo na Kasulu uwaonyeshe majengo mazuri ya The Grand High School, Chuo cha Ualimu Kabanga Mpya pale Mubondo. Chuo cha Ubfundi VETA pale Nyumbigwa na jengo jipya Ofisi ya Halmashauri ya Mji Kasulu ghorofa 3.
KAMA HAKUBALIKI HAKUBALIKI TU HATA KAMA ANGE JENGA MAGOROFA.
Unapiga Ndumbwanda...!😂😂
Iv hyu masanja si tunaambiwaga ana hela na hiv vichaneli vya you tube vya nn xxa
Anapata pesa nyingi kupitia matangazo mwenzio hapo ndio yupo kazini
chanachana MCHUNGAJI
Na kweny kila mradi vjana tunaweza jiajili maana yapo pemben mwa miji ata ukiuza matunda hapo utapata hela maana hamna ata maduka hapajachangamka
Viva jpm viva
I Kali ongela masanja
We slide tu utaacha mguu hapo.
Hahaha violety
Hizo ni kodi zetu, sifa ziende kwa watanzania.
Na wale waliokula miaka yote na familia zao au kabla ya magu watu walikua hawalipi kodi? ...baba wa watu wanamchukia kwa kuwabana mafisadi ili kila mtz afaidike kidogo..
Hayo ni maajabu machache kati yatakayokuja 5 tena.
Eti nenda ccr hahahahahaha
nakuuulizaa unatumika au?? Hahah
Daaa pole sana, ndo unacho waza icho ?
Nyoko naww katumike kumfila mamayako
Acheni matusi nyie
Den la taifa
Kama unadaiwa ndiyo usile nyama?
Au usifanye vitu vya Maendeleo kwa sababu unadaiwa?
czcams.com/video/wRPhZP2M9WQ/video.html
👆👆👆👆👆👆👆
Mfahamu shujaa😢 aliekimbia Tanzania na kwenda kuiongoza Zimbabwe kivita nimekuwekea video 👆
🤣🤣🤣
Siku zote mbona hukutuonyesha muchungaji mzima ovyo masanja acha ushabiki mandazi, watu hawajaongezewa mishaara Yao kwaajir ya hayo majengo watu wamenyanyasika mno kipind hiki Sasa kqmq umepewa hela kwaajir ya matangazo yako kihama chako nq wewe kimekaribia mbona mabaya husemi😭😭
Nyoko kumalamayako kamtombe manayako uongezewe mpunga nyoko
@regina huyu mwanamke anaonekana Malaya huyu Sio bure ttampiga vidole mkunduni as Kuma huyu
Ivyo viatu vya masanja nivyakike
Helazetu za vitambulisho
Una kichaa ww cyo bure
Eti hela zako za vtambulisho hyo nayo hela 20000 ya kutamka hela ako ya vtambulisho kabla ya vtambulisho ulikuwa unalipa kiasi gan Kwa Mwaka mbona watanzania tunajitoa. Ufaham enzi hzo ulikuwa ukilipa zaidi ya laki tatu Kwa mwaka napo ulikuwa hufanyi biashara Kwa uhuru leo Ishirini tu Mwaka mzima Na unafanya biashara popote Bila kusumbuliwa Ila Kwa ujinga wako bado unamwona Magufuli hafai ulitaka akubebe mgongon binadamu Na watanzania mbona tunakuwa Na akili za kushikiwa we kila unachodanganywa Na lisu unaliiamin ivo ivo kumbuka usemi usemao akili a kuambiwa changanya Na zako unafikiri Bila kodi zetu Na ucmamizi uliothabiti wa serikali ya awamu ya tano hayo yangefanyika tumia akili unaedai eti hela ya vtambulisho Na czan ka akili zako zko sawa au ni kama za Huyo kichaa lisu asieona jema ata moja kisa uchu wa madaraka tu
Si bora ata zimetumika kujengea, je zingeliwa ungelisemaje?
Jpm 5tena
Hivyoo vyootee unavovionesha Masanja pande zote nne za Nchi,yule Mtu anayetembea kwa nguvu za Mifupen anawaahidi waliopinda wenzie wanaomshangilia kuwa akipewa atatafuta mteja aviuze ilii yeye ajenge vyake atakavyopewa na ma Mende wake waliomtuma aje kutukana huku.
Uhuru haki na maendeleo ya watu
Uhuru upi wa kutembea uchi barabaran au Na haki ipi ulioikosa ya kuoana jinsia moja au pia maendeleo yepi unayotaka ya kuuza rasilimali zetu au mbona mnafata mikumbo Bila kujua undani wa kauli mbiu hzo za kishetani
Uhuru upi wa kutembea uchi barabaran au Na haki ipi ulioikosa ya kuoana jinsia moja au pia maendeleo yepi unayotaka ya kuuza rasilimali zetu au mbona mnafata mikumbo Bila kujua undani wa kauli mbiu hzo za kishetani
@@kazungumathias4015 kama hujui maana ya uhuru wee ni mtumwa tu na nchi hii hakuna haki ndiyo maana wenyeviti wa mitaa nchini kote hawakuchaguliwana wananchi na kuhusu maendeleo tunataka maendeleo yaliyopacha na demokrasia na hii ndo sababu kubwa tuliwakataa wakoloni tukaamua kujitawala wenyewe bila kujali umaskini wetu tuliokuwa nao na hatukuwakataa wakoloni kwasababu ya rangi yao hapana hata kidogo tuliwakataa wakoloni kwasababu ya matendo yao ambayo ndiyo tunayoyakataa yanapofanywa na kakundi kadogo ka wa Tanzania wenzetu wana ccm kwa kisingizio cha kutuletea maendeleo
@@allanmapamba4765 hujui unachikitetea that is why unakurupuka Kwa kufata mikumbo kumbuka chadema waliamua kujtoa kwenye huo uchaguzi je serikali ingefanyeje ingewalazmisha hebu kugomea au hebu jtambue chama unachokitetea ungejua ucngeongea chchte kabisa kula ndo hakuna democrasia Na uhuru unaousema ndo maana mwanachama kisa moja unakuta amefukuzwa kuwa mwanachama ata kamati kukaa kumjadili amna unakuta mwenyekiti kamfukuza kwenye chama kikundi chake cha watu wanne watano ndo wanaofanya maamzi kingne kati ya vyama vnavyodanya matukio ya ajabu ni Na mauaji mengi utekaji Na vingne viiingi ni chadema Kwa kuisingizia serikali ili waichafue tu hujui tu ni watu wabaya kuliko unavyowafikiria ww hapo hawajapata dola je wakipata dola itakuweje Na walivyo watu wa vsasi nchi hii haitakalika watakuwa busy kupambana Na wabaya wao badala ya kujenga nchi ndo maana hata kwenye kampen zao wana sera za kujadili mtu Na mabaya yake badala ya kutueleza sera za namna ya kuijenga nchi hii huo uhuru unaosemwa hauelezwi utakuwa uhuru wa jnc gan haelezi,maendeleo yanayosema haelezei ni Kwa jnc gan ataleta hayo maendeleo sema huu uhuru tulio nao tunataka kuuchezea Bila kujua maana ya uhuru unavosema huna uhuru je unazuiriwa kusafiri unazuiliwa kufanya biashara unayotaka unazuiliwa kulima kilimo unachotaka Na unazuiliwa kuishi unapotaka ww au kuoa mke unaemtaka kuchagua chama unachotaka ww je ww uhuru unaoutaka ww ni upi hapo hebu mjielewe watanzania kuna wagombea wenye maneno mataaam but uhalisia hakuna so ukikurupuka utapotea tu hakuna nchi yenye uhuru kama Tz ndo maana unakuta watu wanamtukana mpaka raisi wanamchora mipicha ya ajabu ajabu but raisi yupo kimya but bado mnasema hakuna uhuru wa habari tatzo tunataka uhuru usiokuwa Na mipaka serikali imeamua kusimamia Sheria zilizokuwa zimeachwa ndo maana tunaona anaonea sema anasimamia Sheria tu ktk kila jambo ndo maana anaonekana yuko tofauti.
Pia hebu ujiulize mtu anasema tume ni ya Magufuli utafikiri yy ndo wa rais wa kwanza kuchagua hyo tume miaka yote rais aliemadarakan ndo anachagua viongozi wa tume kbaya zaid mgombea wa chama flan anasema asipotangazwa ameshinda atahamasisha wananchi kuingia barabaran kuandamana kupambana Na dola je kama atakuwa ameibiwa Sheria c zipo atashtaki kuliko kuwatumia watanzania kama chambo wauawe Bila makosa wakati Sheria Zpo Na yy anajiita mwanasheria c afate sheria kupata haki ake kama kweli atakuwa ameibiwa kuliko kuwatumia wananchi wapate vlema Bila sababu maana ata wakifanya ivyo haitabadili matokeo badala Ake watarudi Kwa Sheria kupata suluhu ya matokeo je kuna haja gan ya kuwaingiza watanzania kwenye matatzo akati Sheria Zpo
Vitu vingi kumbe hatuyajui masanja tuonyeshe
Siyo Mjinga lisu atobolewe kwa makusudi na waberigiji asibgizie serikali
Yaani acha tu, anadhani sisi wajinga
Umelipwa shngap mchg.Feki?
Mboma wewe fek hatusema
Wewe unae jua kalipwa tuambiea kalpwa sh ngapi inamaa uoni kazi ya jpm? Mjinga wewe?
Kalipwe na wewe ,kuna mtu hapendi pesa? Hapo penyewe mnapiga kelele kwa sababu mzee chuma kabana mianya ya wizi wenu, ndo maana mnabeza kila kitu ,msitufanye vipofu , macho yetu yanaona mambo yaliyo fanyika kwenye utawala wa anko magu,
Tuonyesheni na nyie upande wenu mmefanya nini kwenye majimbo yenu,
Kama siyo mligeuza kuwa shamba la bibi
Mta tapika vyote mwaka huu,😄 🤣 😂 😆
Utapewa ukuu wa mkowa ndonyumbayako hiyo unajengewa najuwa hata bibilia umesha sahau enderea na jpm atakupereka mbinguni
😂😂😂 inaumaga hiyooo 😂😂😂 acha sindano ikuingie vzr ww 😂😂😂
Mna wivu masnja tuonyeshe baba achana na mashoga na shoga mwenzao litundu la choo
Mashoga ya ccm makwepa kodi yanajipendekeza choko wewe sasa hilo jengo wewe na wasenge wenzio limesaidia nini kwenye maisha ya watu msenge wewe
Hata ulaya unakosema kuna maendeleo ya watu kwanza unaanza kuona vitu ndiyo unajua hapa pana maendeleo
Hizi ni kodi zetu. Yeyote ambaye angekuwa Rais angejenga. Mchungaji Masanja utambue hilo
HAKUNA Jambo baya Kama ufisadi !!!
nisawa Kama sio fisadi akiwa fisadi
Mwanzo mbona havikuwepo broo!?
Kwahiyo wale wanao sema hajafanya lolote hawanaakili kumbe
Wewe unasema kodi zetu wenzako wanasema hajafanya kitu Nani mkweli Sasa .Rais ni cheo kila mtu anawaza Mawazo yake mfano upande wa pili wao wanasema maendeleo ya vitu maana yake wao wakishika nchi hawafanyi hayo utasemaje kila Rais anaweza kufanya