JENGO LA MKOA LAMTOA JASHO MASANJA AMSHANGAA MAGUFULI ,MABILIONI YA JPM SONGWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 09. 2020
  • #dsshabari #dsstv #Tunduma #tundulissu#Amanitunataka #jmp #magufuli #ccm #dsstvulipotupo
    #safariyaoktober #dsstv #DSSTANZANIA #dsstvhabari #habari #chadema #tundulissu
    #tundulissu #chadema

Komentáře • 211

  • @JOHN16verse33
    @JOHN16verse33 Před 3 lety +23

    Masanja unahitaji mwaka mzima kuweza kuonyesha kila kitu alichofanya JPM...hata mwaka unaweza usikutoshe

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 Před 3 lety +46

    Wow..... I love you JPM.....Aliyesikia mlio wa viatu vya Masanja like hapa🤣🤣🤣

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před 3 lety +15

    Uko sawa masanja

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 Před 3 lety +22

    Nacho furahia JPM, anasema sisi sio masikini
    Kisha pesa zenu ndizo zimejenga haya au kununua hiki. Mwingine anatuambia sisi ni masikini tuweke rehani madini, tujigawe kimajimbo woii
    Barikiwa sana Rais wetu. JPM 5 tena

    • @allanmapamba4765
      @allanmapamba4765 Před 3 lety +1

      Wewe lazima ungefurahia tu maana huna taarifa sahihi umelishwa ukameza nzimanzima ukitaka kujua umedanganywa fuatilia deni la taifa miaka 10 ya jakaya na mi 5 ya Jpm utajua kwamba hakuna kitu kama hicho unachosema

    • @ndigimunaziri3575
      @ndigimunaziri3575 Před 3 lety

      Na

    • @ndigimunaziri3575
      @ndigimunaziri3575 Před 3 lety +1

      Usijafanye kipofu hata Marekani ina deni urikuwa hujuwi ?????? Inchi ya kwanza duniani kwa uchumi na kijeshi USA ina deni bro tena kubwa !!!!

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 Před 3 lety +1

      @@ndigimunaziri3575 usijichoshe kumjibu mtu anayelalamika kwa kila kitu , akiitwa maskini atalalamika kadharauliwa akiitwa tajiri analalamika tuna deni nani asiye na deni apa duniani?
      Kama anamwamini Mungu ni hatari kukiri maneno ya kukushusha ukijiita masikini utabaki maskini kila siku utaogopa kufanya kitu kisa maskini.
      Na Rais anakataa kuwa sisi sio maskini ni kwasababu ya rasilimali zote tulizonazo nchi nzima ila bado nazo atasema ziko baadhi ya mikoa.

    • @allanmapamba4765
      @allanmapamba4765 Před 3 lety

      @@ndigimunaziri3575 ninachokataa ni pale mnaposema tunafanya yote haya kwa pesa yetu wenyewe (ujinga) wakati deni la taifa linaumuka kama limewekwa amila

  • @mavuzijiwe6805
    @mavuzijiwe6805 Před 3 lety +26

    Bonge la jengo JPM Anatutosha Hatutaki mapimbi wanaopakatwa Belgium

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 3 lety +1

    Mungu umlinde Rais wetu Magufuli.

  • @amiryshomary3901
    @amiryshomary3901 Před 3 lety +24

    MASANJA TUMEELEWA KAKA ...JPM 2020 TENA

    • @gracelauzi9746
      @gracelauzi9746 Před 3 lety

      Amiry hamuja elewa juu hamuoni hamulewi hamusikii muko haraka kuelewa uongo ngojeeni lock down ndio muta funguka akili na macho

    • @martinkipenya4592
      @martinkipenya4592 Před 3 lety

      @@gracelauzi9746 kuandika kwenyewe ni shida Sasa kuelewa inakuwaje hapo?

  • @maryamjuma9816
    @maryamjuma9816 Před 3 lety +11

    Mungu amuwekee kwakweriiiii 🙏🏽

  • @lawrencenicky5795
    @lawrencenicky5795 Před 3 lety +1

    Hongera Masanja kwa kuonyesha mambo mazuri uendelee hivyo hivyo

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Před 3 lety +5

    Kazi nzuri sana

  • @mdungially2342
    @mdungially2342 Před 3 lety +10

    Ndivyo walivyoumbwa hawa kupingapinga kila waonalo tushawazowea, ila ndo wanamsemo wa ADUI MUOMBEE NJAA

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 Před 3 lety +8

    Saafii masanja... Ccm oyeee

  • @namsifumihungo86
    @namsifumihungo86 Před 3 lety +1

    Kaka Dom lini?..Hongera kwa kazi...Tunnyoooshe kwa ukweli hata kama hatutakiii

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Před 3 lety +5

    Magu baba lao👌❤🤗

  • @tumainichirwa1721
    @tumainichirwa1721 Před 3 lety +5

    Niliposikia mlio wa kugonga,nilifikiri mafundi wapo kazini,kumbe ni viatu vya masanja.hongera sana

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 3 lety +13

    Hee!? Hakika Tanzania inaenda kua ulaya Tena zaidi ndio maana WANAPATA hasira mabeberu huo mjongo upo porini kabisa lakini duuh

  • @user-un3df1sl2h
    @user-un3df1sl2h Před 3 lety +9

    Waambie awo

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo1030 Před 3 lety +1

    Mokasini yako kaka Masanja nimekukubali! Uko vizuri!

  • @user-un3df1sl2h
    @user-un3df1sl2h Před 3 lety +5

    Magufuli baba lao

  • @dericksteven3226
    @dericksteven3226 Před 3 lety +7

    wanaamini kuwa wazungu ndio wanaojua kufanya maendeleo ya kilakitu

  • @gilbertmichael9130
    @gilbertmichael9130 Před 3 lety +1

    Asante Masanja kwa uzalendo wako unaouonesha!
    Magufuli anatutosha hatuhitaji kibaka mwingine yeyote yule..

  • @violettillya3832
    @violettillya3832 Před 3 lety +6

    Nimecheka sana ni CCBRT bwana...

  • @rozinamassawe4083
    @rozinamassawe4083 Před 3 lety +1

    Ni kweli

  • @aludomakori4230
    @aludomakori4230 Před 3 lety +2

    Hongera

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 Před 3 lety +3

    Hahahaaaa kaleta babako naam MSG sent hiyo MAGUFULI anatosha 💯💯💯💯💯☑️

  • @ronaldmarubeomwenga3255
    @ronaldmarubeomwenga3255 Před 3 lety +1

    Chelsea

  • @moonaamli6835
    @moonaamli6835 Před 3 lety +1

    Ahahahaaaa waambieeeeeee haoooooo sasa wanaikimbia tz huku wanaipenda

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 Před 3 lety +1

    Majengo ya kawaida sana na sio pesa zake ni pesa za wananchi hao wengine pia watajenga zaidi ya apo maana pesa ni zawananchi

  • @hashimabdallah673
    @hashimabdallah673 Před 3 lety +1

    Mungu akuweke nawewe masanja uweze kuwselimisha wasiopenda ukweli

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri5556 Před 3 lety +4

    Mwandishi unatumika😀😀😀😀😀

  • @yusufumbwanamagembe1471
    @yusufumbwanamagembe1471 Před 3 lety +1

    Good

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi9746 Před 3 lety +4

    Wambie maana hawaoni Wapeni lock down watie akili

  • @comedytv4719
    @comedytv4719 Před 3 lety +1

    Hahaha kwakweli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni magufuli kafanya kazi kubwa sana kwa kipindi kifupi hoja mrenda mrenda hazina nafasi

  • @danieelonlly252
    @danieelonlly252 Před 3 lety +1

    Walikuaa lock down haoo wasamehee

  • @boasmbwaga8362
    @boasmbwaga8362 Před 3 lety +1

    Baba lao

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez7206 Před 3 lety +2

    Na wewe nasema sogeza camera hahaaah masanja. Hili ghorofa kaleta Mjomba ako hahahah masanja duh

  • @isdorymutitu1442
    @isdorymutitu1442 Před 3 lety +1

    Good job Mr jpm

  • @sophialaurent2876
    @sophialaurent2876 Před 3 lety +2

    Huyu mwandishi jaman mbona unamtesa hivyo😅😅😅😅😅

  • @eliaskasibi9551
    @eliaskasibi9551 Před 3 lety +2

    VIPI MASANJA KUTANGAZA INJILI UMEACHA HADI KUTANGAZA MAGUFULI BAADA YA KUMTANGAZA YESU UNATANGAZA MAGU,NJAA NOMA,TETEA UGALI

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Před 3 lety +1

    Masanja icho kiatu mie mbavu zang🤣🤣. Nikweli tunaona jitihada zake mung ambaliki sn

  • @nururubona2822
    @nururubona2822 Před 3 lety +6

    Achana nao hawajiewi

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před 3 lety +1

    Masanja hongera mtmsh...waambie japo wanaona lkn wanajifanya hawaoniii!
    Nitumie namba yako nikutumie ya majiii😁😁😁

  • @mahunadechannel8142
    @mahunadechannel8142 Před 3 lety +1

    Masanja comedi na siasa haiendani nyooka pande moja

  • @abdulishaban7269
    @abdulishaban7269 Před 3 lety +1

    😂🤣😂 Lisu wao

  • @steanathan318
    @steanathan318 Před 3 lety +1

    Siasa bhanaa tunatesekaga wapambe ilaa wenzetu wana enjoy maishaa Kama football tu siasa mashabiki hadi wanakufa wengine wamemaliza hao wanakwea pipa hadi rahaaa yaaani sisi midomo juu juu tuu ooooohhh nn nn mabishano mengi

  • @lucasmsigala3179
    @lucasmsigala3179 Před 3 lety +1

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 mwandishi unatumika 😅😅😅😅

  • @steanathan318
    @steanathan318 Před 3 lety +1

    Izoooo si Kodi zetuu wacha hafanye tuuu kwan pesa zake ndiooooo maana anasisitiza tulipe Kodi

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Před 3 lety +1

    Izo kokoko masanja uniazime😁😁😁

  • @leonardtiato5094
    @leonardtiato5094 Před 3 lety +2

    Hahha haha🤣🤣 ety mwandishi unatumika

  • @adammazimu5786
    @adammazimu5786 Před 3 lety +2

    Kaka tumbo linakusumbua huna lolote

  • @thomasmakolongo5178
    @thomasmakolongo5178 Před 3 lety +1

    Masaja mpunguza jama lisu ataungua puresha

  • @boniphacemaganga868
    @boniphacemaganga868 Před 3 lety +1

    🤣🤣🤣 nmecheka kwamba ww mwandish unatumika sio waonyeshe mjengo huo

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před 3 lety +1

    MAGUFULI ANATISHA MNOOO

  • @imeldabamba3779
    @imeldabamba3779 Před 3 lety +1

    Wataisoma namba

  • @phiwemhlongo9088
    @phiwemhlongo9088 Před 3 lety +1

    Maguuu hoyeeee..
    Masanja aaaa😆😆😆

  • @zawadially6007
    @zawadially6007 Před 3 lety +1

    Masanja. Waambie

  • @angelalphonce9368
    @angelalphonce9368 Před 3 lety +2

    Amejenga babaake🤣🤣🤣

  • @yusuphnamale4775
    @yusuphnamale4775 Před 3 lety +1

    We umetumwa nauna lipwa PK. Wewe

  • @hashimabdallah673
    @hashimabdallah673 Před 3 lety +2

    Ku

  • @andrewmelami8421
    @andrewmelami8421 Před 3 lety +1

    Tell them bro

  • @furryinjasuper2242
    @furryinjasuper2242 Před 3 lety +1

    Wabiye

  • @shuk-bofficial1081
    @shuk-bofficial1081 Před 3 lety +1

    Bila magufuli ungekua hapa? Yani maqufuli ni Mungu

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 3 lety +1

    Rais wetu wa Tanzania yetu ni John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 ijayo amalize Kazi zake kwetu

  • @moseshaule586
    @moseshaule586 Před 3 lety

    CCBRT masanja bhana

  • @davidcurtis8556
    @davidcurtis8556 Před 3 lety +2

    Tatizo la watu wa chadema wengi wao wanapenda sana kutumia lugha zisizo rasmi, yaani mtu anatukana hapa mpaka unaogopa dah! Sasa akishinda lisu atakuletea pesa na chakula nyumbani kwako sijui dah! Chama hakina hata mtaji kutwa kucha vibakuli kwa wanyonge wao kuwaomba misaada hv wanao ipenda chadema sijui wamerogwa na nani hapo songwe ni chato? Maana hilo jengo lipo porini lakini kwa mtazamo ila very soon patabadilika, huyu raisi anamaono kwakeli.

    • @chrisshonga
      @chrisshonga Před 3 lety

      Jina lenyewe la kiongozi wao linaonyesha ni mtu wa namna gani "TUNDU" maana yake hata wazazi wake walijua kuwa hili mi toto TUNDU! 😁😁😁😁😁😁😁😁

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 Před 3 lety

      Watanyooshwa in 2 day ccbrt 😄 🤣 😂 😆

  • @peterkailembo4101
    @peterkailembo4101 Před 3 lety +1

    tarhe 28 tu mkuu tuwavue nguo waanze kulialia

  • @salomemgaya1244
    @salomemgaya1244 Před 3 lety +1

    Wa blaindue macho hawa wanao jifanya hawaoni yote haya jamani,mnataka raisi wa namna gani tz? Eti hhoooooo si kodi zetu , swali ni kwamba ,hizo kodi mmeanza kulipa Leo, miaka nenda miaka rudi mli kuwa mnalipa kodi je mmewahi kuyaona hayo yakifanyika? tena kwa mda wa miaka 5 tu ,jamani

  • @gendanezayohana8582
    @gendanezayohana8582 Před 3 lety +1

    Umezi chekesha🤣🤣🤣🤣💯 oyyyyeee MAGUFURI🇧🇻

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 Před 3 lety +1

    😂😂😂😂✋ wambie

  • @gabrieldenicc4502
    @gabrieldenicc4502 Před 3 lety

    Sis tunataka haki haki ndio uinua taifa sio jengo hv ujui kamatetemeko likija linasambalatisha hivyo vyote na kimbunga sisi ni haki tuu sio watu wasiojulikana

  • @twallibmangu8479
    @twallibmangu8479 Před 3 lety

    Masanja njoo na Kasulu uwaonyeshe majengo mazuri ya The Grand High School, Chuo cha Ualimu Kabanga Mpya pale Mubondo. Chuo cha Ubfundi VETA pale Nyumbigwa na jengo jipya Ofisi ya Halmashauri ya Mji Kasulu ghorofa 3.

  • @eliaskasibi9551
    @eliaskasibi9551 Před 3 lety +1

    KAMA HAKUBALIKI HAKUBALIKI TU HATA KAMA ANGE JENGA MAGOROFA.

  • @paulmaziku240
    @paulmaziku240 Před 3 lety +1

    Unapiga Ndumbwanda...!😂😂

  • @kingnicky2568
    @kingnicky2568 Před 3 lety +1

    Iv hyu masanja si tunaambiwaga ana hela na hiv vichaneli vya you tube vya nn xxa

    • @estonhaule9253
      @estonhaule9253 Před 3 lety

      Anapata pesa nyingi kupitia matangazo mwenzio hapo ndio yupo kazini

  • @akilihabibu4203
    @akilihabibu4203 Před 3 lety

    chanachana MCHUNGAJI

  • @33-snchronized
    @33-snchronized Před 3 lety

    Na kweny kila mradi vjana tunaweza jiajili maana yapo pemben mwa miji ata ukiuza matunda hapo utapata hela maana hamna ata maduka hapajachangamka

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 Před 3 lety

    Viva jpm viva

  • @mariangonyani9071
    @mariangonyani9071 Před 3 lety

    I Kali ongela masanja

  • @violettillya3832
    @violettillya3832 Před 3 lety +6

    We slide tu utaacha mguu hapo.

  • @godfreykashuli3859
    @godfreykashuli3859 Před 3 lety

    Hizo ni kodi zetu, sifa ziende kwa watanzania.

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 Před 3 lety

      Na wale waliokula miaka yote na familia zao au kabla ya magu watu walikua hawalipi kodi? ...baba wa watu wanamchukia kwa kuwabana mafisadi ili kila mtz afaidike kidogo..

  • @eliudyohana1276
    @eliudyohana1276 Před 3 lety

    Hayo ni maajabu machache kati yatakayokuja 5 tena.

  • @mathayodundo5433
    @mathayodundo5433 Před 3 lety +1

    Eti nenda ccr hahahahahaha

  • @yusuphsimon575
    @yusuphsimon575 Před 3 lety +3

    nakuuulizaa unatumika au?? Hahah

  • @binamutawa9637
    @binamutawa9637 Před 3 lety

    Den la taifa

  • @highthemetv7857
    @highthemetv7857 Před 3 lety

    czcams.com/video/wRPhZP2M9WQ/video.html
    👆👆👆👆👆👆👆
    Mfahamu shujaa😢 aliekimbia Tanzania na kwenda kuiongoza Zimbabwe kivita nimekuwekea video 👆

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Před 3 lety +1

    🤣🤣🤣

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu6682 Před 3 lety +1

    Siku zote mbona hukutuonyesha muchungaji mzima ovyo masanja acha ushabiki mandazi, watu hawajaongezewa mishaara Yao kwaajir ya hayo majengo watu wamenyanyasika mno kipind hiki Sasa kqmq umepewa hela kwaajir ya matangazo yako kihama chako nq wewe kimekaribia mbona mabaya husemi😭😭

    • @jumanneibazu9086
      @jumanneibazu9086 Před 3 lety

      Nyoko kumalamayako kamtombe manayako uongezewe mpunga nyoko

    • @everydayniewsnangale3636
      @everydayniewsnangale3636 Před 3 lety

      @regina huyu mwanamke anaonekana Malaya huyu Sio bure ttampiga vidole mkunduni as Kuma huyu

  • @amissaitangisha8586
    @amissaitangisha8586 Před 3 lety

    Ivyo viatu vya masanja nivyakike

  • @collinsmwakisunga8293
    @collinsmwakisunga8293 Před 3 lety

    Helazetu za vitambulisho

    • @kazungumathias4015
      @kazungumathias4015 Před 3 lety

      Una kichaa ww cyo bure

    • @kazungumathias4015
      @kazungumathias4015 Před 3 lety +2

      Eti hela zako za vtambulisho hyo nayo hela 20000 ya kutamka hela ako ya vtambulisho kabla ya vtambulisho ulikuwa unalipa kiasi gan Kwa Mwaka mbona watanzania tunajitoa. Ufaham enzi hzo ulikuwa ukilipa zaidi ya laki tatu Kwa mwaka napo ulikuwa hufanyi biashara Kwa uhuru leo Ishirini tu Mwaka mzima Na unafanya biashara popote Bila kusumbuliwa Ila Kwa ujinga wako bado unamwona Magufuli hafai ulitaka akubebe mgongon binadamu Na watanzania mbona tunakuwa Na akili za kushikiwa we kila unachodanganywa Na lisu unaliiamin ivo ivo kumbuka usemi usemao akili a kuambiwa changanya Na zako unafikiri Bila kodi zetu Na ucmamizi uliothabiti wa serikali ya awamu ya tano hayo yangefanyika tumia akili unaedai eti hela ya vtambulisho Na czan ka akili zako zko sawa au ni kama za Huyo kichaa lisu asieona jema ata moja kisa uchu wa madaraka tu

    • @mimiwewe6617
      @mimiwewe6617 Před 3 lety

      Si bora ata zimetumika kujengea, je zingeliwa ungelisemaje?

  • @mshanimsasu5764
    @mshanimsasu5764 Před 3 lety

    Jpm 5tena

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 Před 3 lety

    Hivyoo vyootee unavovionesha Masanja pande zote nne za Nchi,yule Mtu anayetembea kwa nguvu za Mifupen anawaahidi waliopinda wenzie wanaomshangilia kuwa akipewa atatafuta mteja aviuze ilii yeye ajenge vyake atakavyopewa na ma Mende wake waliomtuma aje kutukana huku.

  • @allanmapamba4765
    @allanmapamba4765 Před 3 lety

    Uhuru haki na maendeleo ya watu

    • @kazungumathias4015
      @kazungumathias4015 Před 3 lety

      Uhuru upi wa kutembea uchi barabaran au Na haki ipi ulioikosa ya kuoana jinsia moja au pia maendeleo yepi unayotaka ya kuuza rasilimali zetu au mbona mnafata mikumbo Bila kujua undani wa kauli mbiu hzo za kishetani

    • @kazungumathias4015
      @kazungumathias4015 Před 3 lety +1

      Uhuru upi wa kutembea uchi barabaran au Na haki ipi ulioikosa ya kuoana jinsia moja au pia maendeleo yepi unayotaka ya kuuza rasilimali zetu au mbona mnafata mikumbo Bila kujua undani wa kauli mbiu hzo za kishetani

    • @allanmapamba4765
      @allanmapamba4765 Před 3 lety

      @@kazungumathias4015 kama hujui maana ya uhuru wee ni mtumwa tu na nchi hii hakuna haki ndiyo maana wenyeviti wa mitaa nchini kote hawakuchaguliwana wananchi na kuhusu maendeleo tunataka maendeleo yaliyopacha na demokrasia na hii ndo sababu kubwa tuliwakataa wakoloni tukaamua kujitawala wenyewe bila kujali umaskini wetu tuliokuwa nao na hatukuwakataa wakoloni kwasababu ya rangi yao hapana hata kidogo tuliwakataa wakoloni kwasababu ya matendo yao ambayo ndiyo tunayoyakataa yanapofanywa na kakundi kadogo ka wa Tanzania wenzetu wana ccm kwa kisingizio cha kutuletea maendeleo

    • @kazungumathias4015
      @kazungumathias4015 Před 3 lety +3

      @@allanmapamba4765 hujui unachikitetea that is why unakurupuka Kwa kufata mikumbo kumbuka chadema waliamua kujtoa kwenye huo uchaguzi je serikali ingefanyeje ingewalazmisha hebu kugomea au hebu jtambue chama unachokitetea ungejua ucngeongea chchte kabisa kula ndo hakuna democrasia Na uhuru unaousema ndo maana mwanachama kisa moja unakuta amefukuzwa kuwa mwanachama ata kamati kukaa kumjadili amna unakuta mwenyekiti kamfukuza kwenye chama kikundi chake cha watu wanne watano ndo wanaofanya maamzi kingne kati ya vyama vnavyodanya matukio ya ajabu ni Na mauaji mengi utekaji Na vingne viiingi ni chadema Kwa kuisingizia serikali ili waichafue tu hujui tu ni watu wabaya kuliko unavyowafikiria ww hapo hawajapata dola je wakipata dola itakuweje Na walivyo watu wa vsasi nchi hii haitakalika watakuwa busy kupambana Na wabaya wao badala ya kujenga nchi ndo maana hata kwenye kampen zao wana sera za kujadili mtu Na mabaya yake badala ya kutueleza sera za namna ya kuijenga nchi hii huo uhuru unaosemwa hauelezwi utakuwa uhuru wa jnc gan haelezi,maendeleo yanayosema haelezei ni Kwa jnc gan ataleta hayo maendeleo sema huu uhuru tulio nao tunataka kuuchezea Bila kujua maana ya uhuru unavosema huna uhuru je unazuiriwa kusafiri unazuiliwa kufanya biashara unayotaka unazuiliwa kulima kilimo unachotaka Na unazuiliwa kuishi unapotaka ww au kuoa mke unaemtaka kuchagua chama unachotaka ww je ww uhuru unaoutaka ww ni upi hapo hebu mjielewe watanzania kuna wagombea wenye maneno mataaam but uhalisia hakuna so ukikurupuka utapotea tu hakuna nchi yenye uhuru kama Tz ndo maana unakuta watu wanamtukana mpaka raisi wanamchora mipicha ya ajabu ajabu but raisi yupo kimya but bado mnasema hakuna uhuru wa habari tatzo tunataka uhuru usiokuwa Na mipaka serikali imeamua kusimamia Sheria zilizokuwa zimeachwa ndo maana tunaona anaonea sema anasimamia Sheria tu ktk kila jambo ndo maana anaonekana yuko tofauti.

    • @kazungumathias4015
      @kazungumathias4015 Před 3 lety

      Pia hebu ujiulize mtu anasema tume ni ya Magufuli utafikiri yy ndo wa rais wa kwanza kuchagua hyo tume miaka yote rais aliemadarakan ndo anachagua viongozi wa tume kbaya zaid mgombea wa chama flan anasema asipotangazwa ameshinda atahamasisha wananchi kuingia barabaran kuandamana kupambana Na dola je kama atakuwa ameibiwa Sheria c zipo atashtaki kuliko kuwatumia watanzania kama chambo wauawe Bila makosa wakati Sheria Zpo Na yy anajiita mwanasheria c afate sheria kupata haki ake kama kweli atakuwa ameibiwa kuliko kuwatumia wananchi wapate vlema Bila sababu maana ata wakifanya ivyo haitabadili matokeo badala Ake watarudi Kwa Sheria kupata suluhu ya matokeo je kuna haja gan ya kuwaingiza watanzania kwenye matatzo akati Sheria Zpo

  • @zaharahasan1912
    @zaharahasan1912 Před 3 lety +3

    Vitu vingi kumbe hatuyajui masanja tuonyeshe

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 Před 3 lety +3

    Siyo Mjinga lisu atobolewe kwa makusudi na waberigiji asibgizie serikali

  • @geraldgodsontv7982
    @geraldgodsontv7982 Před 3 lety

    Umelipwa shngap mchg.Feki?

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 Před 3 lety

      Mboma wewe fek hatusema

    • @costantinenabson8789
      @costantinenabson8789 Před 3 lety

      Wewe unae jua kalipwa tuambiea kalpwa sh ngapi inamaa uoni kazi ya jpm? Mjinga wewe?

    • @salomemgaya1244
      @salomemgaya1244 Před 3 lety

      Kalipwe na wewe ,kuna mtu hapendi pesa? Hapo penyewe mnapiga kelele kwa sababu mzee chuma kabana mianya ya wizi wenu, ndo maana mnabeza kila kitu ,msitufanye vipofu , macho yetu yanaona mambo yaliyo fanyika kwenye utawala wa anko magu,
      Tuonyesheni na nyie upande wenu mmefanya nini kwenye majimbo yenu,
      Kama siyo mligeuza kuwa shamba la bibi
      Mta tapika vyote mwaka huu,😄 🤣 😂 😆

  • @collinsmwakisunga8293
    @collinsmwakisunga8293 Před 3 lety

    Utapewa ukuu wa mkowa ndonyumbayako hiyo unajengewa najuwa hata bibilia umesha sahau enderea na jpm atakupereka mbinguni

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 Před 3 lety +1

      😂😂😂 inaumaga hiyooo 😂😂😂 acha sindano ikuingie vzr ww 😂😂😂

    • @costantinenabson8789
      @costantinenabson8789 Před 3 lety

      Mna wivu masnja tuonyeshe baba achana na mashoga na shoga mwenzao litundu la choo

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 Před 3 lety

    Mashoga ya ccm makwepa kodi yanajipendekeza choko wewe sasa hilo jengo wewe na wasenge wenzio limesaidia nini kwenye maisha ya watu msenge wewe

    • @victorngunga9007
      @victorngunga9007 Před 3 lety

      Hata ulaya unakosema kuna maendeleo ya watu kwanza unaanza kuona vitu ndiyo unajua hapa pana maendeleo

  • @bishoprev.kennedysimumba5595

    Hizi ni kodi zetu. Yeyote ambaye angekuwa Rais angejenga. Mchungaji Masanja utambue hilo

    • @abdallahmakombo3866
      @abdallahmakombo3866 Před 3 lety +2

      HAKUNA Jambo baya Kama ufisadi !!!

    • @juliusmwita8696
      @juliusmwita8696 Před 3 lety

      nisawa Kama sio fisadi akiwa fisadi

    • @kondesaidi2040
      @kondesaidi2040 Před 3 lety +3

      Mwanzo mbona havikuwepo broo!?

    • @dominickndomba4474
      @dominickndomba4474 Před 3 lety +1

      Kwahiyo wale wanao sema hajafanya lolote hawanaakili kumbe

    • @cosmasdaud9088
      @cosmasdaud9088 Před 3 lety +1

      Wewe unasema kodi zetu wenzako wanasema hajafanya kitu Nani mkweli Sasa .Rais ni cheo kila mtu anawaza Mawazo yake mfano upande wa pili wao wanasema maendeleo ya vitu maana yake wao wakishika nchi hawafanyi hayo utasemaje kila Rais anaweza kufanya