Masanja Mkandamizaji - TULIATULIA (Official music Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 04. 2020
  • Masanja Mkandamizaji - TULIATULIA (Official music Video)
  • Hudba

Komentáře • 979

  • @Feelfreechurch
    @Feelfreechurch  Před 4 lety +460

    ASANTENI SANA KWA KUANGALIA VIDEO USISAHAU KU SUBSCRIBE KAMA BADO MWANAWANE🙏🏾

  • @ozanee1739
    @ozanee1739 Před 4 lety +173

    Izi ndio nyimbo zakuomba Like sasa nipeni like katika bwana 🙏🙏

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 Před 4 lety

      Nyimbo yoyote ni kazi ya shetani tu, ktk Uislamu manyimbo yote hayafai Mungu anaabudiwa kwakuswali, kusoma Qur'an na ibada zingine sio kucheza sebene

    • @ozanee1739
      @ozanee1739 Před 4 lety +2

      Hassan Msellem kaswida ni nini acha ujinga wewe

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 Před 4 lety

      @@ozanee1739 hhhhhhhhh, we Yessu hebu sikia Kaswida ni sawa na bongo flavors na gospel haina mnasaba wowote na uislamu hakuna andiko ktk Qur'an linalozungumzia kaswida kama ni ibada, tulia ww usifatilie imani za watu juu soma sana Yessu ww

    • @ozanee1739
      @ozanee1739 Před 4 lety +2

      Hassan Msellem daudi akacheza na kuimba mbele za bwana kwa nguvu zake zote ama mpaka nikuambie mstarii

    • @gauedwin1960
      @gauedwin1960 Před 4 lety +2

      @@ozanee1739 umemjibu swadakta Sana boy,Yani kama kuna KAZI tutaenda kufanya mbinguni no kuimba kuimba kuimba×1000000000
      Hamna kusoma bibili Kwa mshua au eti sijui quaran..Kwa taarifa ya kama hwa kina Hassan na wengine kuma huimbi Hamna nafasi yako Kwa mshua juu unaenda kufanya😳

  • @emmanuelkayanda8014
    @emmanuelkayanda8014 Před 3 lety +2

    Mtumishi barikiwa Sana nakuomba tukumbukeni na sisi ambao hatujatoboa mwishowe tumeamua kwenda machimbon kuzika kipaji Kama mungu amekuinua nikumbuke na Mimi Kaka nimuimbaji na mwanamziki lakini sjafanikiwa nikumbuke

  • @tymanwalker7670
    @tymanwalker7670 Před 4 lety +95

    Yesu ndio tulizo la moyob
    Like👍👍👍👍 kama unakubali

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 Před 4 lety

      Allah ndio tulizo la moyo sio Yessu atabaki kuwa Nabii tu kama manabii wengine

    • @phmmkimbizi9898
      @phmmkimbizi9898 Před 4 lety

      @@hassanmsellem5302 we ndugu nna wasiwasi na wewe, ni afadhali usicomment kuliko kuandika vitu tofaut.

    • @phmmkimbizi9898
      @phmmkimbizi9898 Před 4 lety

      @@hassanmsellem5302 haipendezi hiyo

    • @aaaaaah290
      @aaaaaah290 Před 4 lety

      Hassan Msellem ...... KO UNAPENDA DUNIA NZIMA TUWE DINI YAKO.... PAMBANA HUENDA UKAWEZA 🤣🤣🤣🤣

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 Před 4 lety

      @@hassanmsellem5302 allah tena anahusikaje apa

  • @isayasanga4357
    @isayasanga4357 Před 4 lety +15

    Ninavyo mkubali huyu baba lazim niwe wa kwanza kuitazama maana am no 1 fan of my pastor mkandamizaji

  • @felistermbua4703
    @felistermbua4703 Před 4 lety +16

    Moyo wangu tulia kwa YESU!!! Ila hivyo viatu sasa

  • @emmanuelkayanda8014
    @emmanuelkayanda8014 Před 3 lety +1

    Nimekufatilia tangu ukiwa mchekeshaji kipindi Cha chaner5 Kaka mungu amekuinua nikumbuke walau namimi someone yako

  • @hainesschaula7961
    @hainesschaula7961 Před 4 lety +13

    Natulia kwa Bwana, hakika pastor wangu uzidi kubarikiwa,wewe ndo uliniongoza sala ya Toba Mito ya baraka kwa mara ya kwanza naingia mahali pale.Mungu azidi Kukuinua zaidi na zaidi

  • @msafitv8663
    @msafitv8663 Před 4 lety +15

    Mjungaji anayekwenda na wakati GOD be with you all the time,We ni mfono kwa vijana wengi.Tanzania tupo proud na ww💪💪💪💪

  • @gazukojunior7725
    @gazukojunior7725 Před 4 lety +21

    Balaaaaaa jipya mjini 🔥🔥🔥🔥 songi langu Forever

  • @smprotz
    @smprotz Před 18 dny

    Masanja kipaji chake ni kama chakula, ukimkataa Leo utamkubali Kesho. Mungu akuweke Bishop

  • @asiatirukaizire3067
    @asiatirukaizire3067 Před 2 lety +1

    Kawimbo kazuri Sana mwanawane Mungu akupe maono mapya

  • @upendonnko1516
    @upendonnko1516 Před 4 lety +4

    Hiyo nyimbo huko mwishoni imenifurahisha sana

  • @pastoreliamsika9355
    @pastoreliamsika9355 Před 4 lety +13

    This is my song aisee
    Wimbo ninao ila wakumlingia Yesu😂
    #Jesus to the world

  • @sifajonse3463
    @sifajonse3463 Před 10 dny

    I will never get tired of listening 🎶 of this song really blessing me 🙌🙌🙏🙏🙏 much love pastor all yhe way from Australia 🇦🇺 ❤❤❤

  • @cathbertcyprian419
    @cathbertcyprian419 Před 2 lety +2

    barikiwa kwa nyimbo nzuri.Mungu akubariki kwa nyimbo nzuri.

  • @danielmlanda2546
    @danielmlanda2546 Před 4 lety +14

    Kama kawaida na skuna zako Masanja....
    Kichupa cha mwakaaaa

    • @platoxmumbay8945
      @platoxmumbay8945 Před 4 lety

      Bonyeza uone 💥👇
      czcams.com/video/sy3A__Ywd4M/video.html

  • @mussajackson783
    @mussajackson783 Před 4 lety +40

    Waislam tunao skiliza hii ngoma tu like hapa

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 Před 4 lety

    Kweli video nzuri imetoka vizur na ujumbe ni mzuri mno. Nadhani umebariki kila mmoja aliyetazama na mwenye mapenzi mema na Bwana YESU

  • @mhandoonthebeats500
    @mhandoonthebeats500 Před 3 lety +2

    Dah wee bro mbona nabarikiwa sana huu wimbo yani vile naimbaga naona Uwepo wa Mungu

  • @elishakhamis9471
    @elishakhamis9471 Před 4 lety +6

    Kama umemkubali mzee matayo weka like hapa👉👉

  • @isayasanga4357
    @isayasanga4357 Před 4 lety +71

    Jaman nisiwachoshe na mm msinichoshe nyimbo imeisha

  • @nzuritaraja9558
    @nzuritaraja9558 Před 4 lety +1

    Moyo wangu unatuliya kwa Yesu tuuuuu.

  • @emanuelloiruk3114
    @emanuelloiruk3114 Před 4 lety +1

    MUNGU akubariki Sana massanja kweli tulia🤩🤩🤩

  • @AlexJoseck
    @AlexJoseck Před 4 lety +38

    BuraAAAZAAAAAAAAAAA YAANI WEWE UKO TALENTEDI SAAANA KILA UTOACHO KINABARIKI YAANI VERY CREATIVE IDEAS SI MUCHEEEZOOOOO

  • @costansiambuni7315
    @costansiambuni7315 Před 3 lety +2

    Wimbo umenibariki sana hakika napaswa kutulia kwa yesu

  • @isackibrahimtz
    @isackibrahimtz Před 4 lety +1

    Nakupenda sana kaka angu nitakusapot kwa kucheza ubarikiwe sana kaka

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 Před 4 lety

    Hatakama sio muuni wa dini hii ila ww na mwaitege aisee hua nyimbo zenu nazilubali kwa makuzi ndo njia bora sana inamfanya mtu apende kitu vile nyimbo imeaza nimejikuta nairudia tenaa good sana masanja mfalume

  • @kubaalbertmwaya1361
    @kubaalbertmwaya1361 Před 4 lety +18

    Ooooh how I waited this song itoke... Ilikua 2019 moshi Chuo mwaka wa Tatu. Niliiskia hii nyimbo katika youth festival. Hii nyimbo ilinibariki sana . Ilinivusha kipind Nimeachwa na my gal . Sikutegemea kama ningesahau ila nikamwambia yesu moyo wangu utulie kwako na ukatulia kwa bwana. Now I am happy and greatful.

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 3 lety +3

    Barikiwa sana wimbo nzuri sana😘❤

  • @Best_wolframmusichub
    @Best_wolframmusichub Před 4 lety +1

    Baraka tele na amani moyon kwakupitia hii nyimbo

  • @kahoribonga9280
    @kahoribonga9280 Před 4 lety +1

    Mungu akubariki sana
    Utuletee niseme nini bwana

  • @evancyarburton4243
    @evancyarburton4243 Před 4 lety +4

    Nyimbo nzuriii sanaaa yaan very creative 🔥

  • @itazowanzagi5721
    @itazowanzagi5721 Před 4 lety +8

    Mungu ambatmriki kama unamkubali gonga like hapo

    • @growrich2332
      @growrich2332 Před 4 lety

      Asante sana kwa wimbo mzuri.karibu Mtwara

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před 3 lety +1

    Waooo masanja upo juu kama rokert

  • @furahamakunga5347
    @furahamakunga5347 Před 4 lety +1

    Kaka hongera kwa huduma barikiwa sana songa mbele

  • @clintonmfugale2064
    @clintonmfugale2064 Před 4 lety +3

    nyimbo nzuri sana KWELI MOYO TULIA KWA YESU

  • @ezekielxanga3722
    @ezekielxanga3722 Před 4 lety +3

    😃😃😄😄😄WAKINA SIKUJUA MTAKUJA KUARIBU LINE.. JAMANI LIKE ZANGU BASI

  • @petrohaonga4353
    @petrohaonga4353 Před 4 lety

    iko poa sanaa lazima tutulie hasa nahii corona tunatulia kwa Yesu

  • @silasmanyenze7691
    @silasmanyenze7691 Před 4 lety +1

    Hahaahahahahahahahahahaah Ubarikiwe Sana Brother Nimecheka Sana Leo Afadhali Mwanya umwimbie Yesu

  • @mudybestmusic3889
    @mudybestmusic3889 Před 4 lety +3

    bora ulivyoondoka mana wangekudhurumu mil.50 yako

  • @DMENDTVmusicMovie1
    @DMENDTVmusicMovie1 Před 4 lety +3

    hiii nyimbo Ni nzuri Sana pia Masanja anaonyesha kua na KIPAJI kikubwa Cha aina yake . Humo ndani aniacha na furaha, anacheza VIZURI mno. This is really ministry

  • @trinitynorberth5068
    @trinitynorberth5068 Před 4 lety

    Nakubali sana brother weng uwa wanajua utan kumbe sisi tupo serious ktk jina la yesu na hatuamiami tumetulia kwa yesu kristo wa Nazareth amen

  • @monicaregina7792
    @monicaregina7792 Před 3 lety +1

    Kweli utumishi uko ndani yako mhacha vangu.

  • @egberthermandus6508
    @egberthermandus6508 Před 4 lety +12

    HUYU NDO EMMANUEL aka MASANJA MUNGU AKUINUE MTUMISHI MUHA NAKUOMBEA KWA MUNGU🙏🏽🙏🏽🙏🏽💪🏾💪🏾💪🏾

  • @rhinakiza
    @rhinakiza Před 4 lety +6

    Wooooow I was waiting for this song longtime💃💃💃💃

  • @mandarrr663
    @mandarrr663 Před 4 lety +1

    umetisha mtumish ama kweli we ni fundi mwanawane

  • @josephclemencejoseph2134

    Yesu nimambo yote ndaniyayote ukimpata yeye umemata yote achakusumbukia yaulimwengu njookwake

  • @nyandwifidele8528
    @nyandwifidele8528 Před 4 lety +28

    Nakuona mzee wa kiulizo jinsi unavyoikaribisha pasaka kwa song la Aina yake.. Kwa kweli Hongera sana kwa wimbo Mzuri, video nzuri, content nzuri... Yani wewe ni zaidi ya mwimbaji.. Yani unaleta Raha mpaka umepitiliza..

    • @platoxmumbay8945
      @platoxmumbay8945 Před 4 lety

      Bonyeza uone 💥👇
      czcams.com/video/sy3A__Ywd4M/video.html

  • @basirmohammed5675
    @basirmohammed5675 Před 4 lety +14

    Amen be blessed nyc song,can i have more likes fans

    • @johnwar8408
      @johnwar8408 Před 2 lety

      Wake up your mind what ph***ken song it is if not black magic one
      Shame on you all wasted your time...instead of finding the truth that's the way to helll...If you don't know determin to know forget about all these shit is just make money

  • @gizengogospormussiondaress1974

    Jamani nyimbozingine upakounashukawenyewetu prse LIKE by G IZENGO GOSPOR MUSSION DAR TZ

  • @theorangeentertainment1779

    Mtumishi wa Mungu
    Bwana Yesu Asifiwe Mimi Ni Shabiki Yako Mkubwa Na Wimbo Huu Naupenda Sana.
    Naomba Kuufanyia Cover.

  • @davidmbaima656
    @davidmbaima656 Před 4 lety +9

    Hongera Emmanuel, acha watu wasifu wapenzi na watawala wa dunia inayopita. Sisi tumsifu MFALME WA WA WAFALME YESU.

    • @fardeennasser2963
      @fardeennasser2963 Před 4 lety

      Someni maandiko vizuri. Huyo Yesu ni Mwanadamu, Nabii, mtumishi wa Mungu. Hajawahi kujiita Mungu wala kusema aabudiwe. Marco 12:28,32) Matayo 4:10) Yohana 17:3) Ufunuo 1:1) huu ndio ukweli wa Yesu.

    • @mahamoudomar5492
      @mahamoudomar5492 Před 4 lety +1

      Fardeen Nasser
      kweli yesu
      anakula
      analala
      amezaliwa
      anasifa zote za mwanadamu ila yeye ni mtume tu Mungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hakuna yeyote mfano wake.☝️

    • @platoxmumbay8945
      @platoxmumbay8945 Před 4 lety

      Bonyeza uone 💥👇
      czcams.com/video/sy3A__Ywd4M/video.html

    • @platoxmumbay8945
      @platoxmumbay8945 Před 4 lety

      @@fardeennasser2963 Bonyeza uone 💥👇
      czcams.com/video/sy3A__Ywd4M/video.html

  • @ajheemclassicaltv7608
    @ajheemclassicaltv7608 Před 4 lety +24

    KIMBILIO LANGU, LAKO , WEWE ,YULE JAMAA NA MARAFIKI ZAKO NI KWA YESU NANI ANABISHA

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 Před 4 lety +1

      Kimbilo langu, lako na yule ni Allah s.w Yessu ni Nabii tu kama Nabii wengine

    • @missynasra775
      @missynasra775 Před 4 lety

      AJHEEM CLASSICAL TV safi sana nyimbo zuri vibwagizo ndiyo usiseme

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 Před 4 lety

      @@hassanmsellem5302 allah kimbio lako wewe usitulazimishe wengne tumkimbilie tusiyemjua

    • @eliyajelemia6244
      @eliyajelemia6244 Před 4 lety

      Hassan Msellem Yesu niMungu allah ndovinn mbonana unahangaika huwezi zuia jinala Yesu nimoto unataka tuaminidin yawapenda ugomvi navita namajin hutupati

    • @gladnesssidiu8945
      @gladnesssidiu8945 Před 4 lety

      @@hassanmsellem5302 Allah siyo Mungu tunayemuamini sisi wakirsto kwaiyo acha kutumezesha sumu
      Allah hapendi wakrsto na wayahudu
      Mungu gan asopenda watu
      Waislam amkeni someni Koran inamambo ya ajabu mnooo

  • @zabronmligo9629
    @zabronmligo9629 Před 4 lety

    hongera wimbo mzur together ubarkiwe sana tunashelekea pasaka kwa burudan goodddddddd

  • @wivinavedasto5109
    @wivinavedasto5109 Před 4 lety

    Amina.....Kwa Yesu rahaa saana asa ukitulia kwake Kuna furaha tele

  • @mutimaflorence7446
    @mutimaflorence7446 Před 4 lety +47

    Yani nilitamani ingeendelea tu mpaka dakika 30 lakini umeikatiriza this song is amazing for real

  • @faithrachel7696
    @faithrachel7696 Před 4 lety +3

    This song is fire kwakweli 🔥

  • @ShuhudiaMahuvi
    @ShuhudiaMahuvi Před 8 měsíci

    Hongera sana kea kipawa ulicho pewa na mungu kitumi sawasawa

  • @newgeneration9524
    @newgeneration9524 Před 3 lety +1

    Waooo daaah this is more than a song

  • @wakali_wa_masauti1884
    @wakali_wa_masauti1884 Před 4 lety +7

    Kama unacheki hii vide na inakufurahisha 😀😀

  • @kamanyile
    @kamanyile Před 4 lety +5

    kama unamkubali Emmanuel Mgaya gonga like hapo chini

  • @sirsebaonline9106
    @sirsebaonline9106 Před 4 lety

    Duuh majaji wamekuwa waimbaji wa injili kweli masanja ni fagio la chuma kudadeq

  • @elsonyohana8535
    @elsonyohana8535 Před 4 lety

    Moyo wangu umetulia penye msaada ooh Yesu n mbwana

  • @patricknamangoa3478
    @patricknamangoa3478 Před 4 lety +3

    What a nice song!

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 Před 4 lety +4

    powerful.

  • @haulebh5007
    @haulebh5007 Před 4 lety

    Uzuri wa hii nyimbo tunacheza popote hata kwa viti virefu haujabagua🙌🙌🙌🙌🙌

  • @huimakaliuahighschoolchoir6214

    HUIMA HIGH SCHOOL. Tunatamani sana kufanya wimbo wa pamoja na wewe...kwa ajiri ya kumtukuza mungu kwa pamoja.tunaamini mungu ataruhusu hili.Amen
    @chairman huima kaliua high school

  • @jimmydaniel2468
    @jimmydaniel2468 Před 4 lety +3

    nice song

  • @producerqfocus1636
    @producerqfocus1636 Před 4 lety +7

    Jamani kama umependa mtumishi alivyo pita kwenye biti ipasavyo nipe rike

  • @devothabishagazi2390
    @devothabishagazi2390 Před 4 lety

    Hongera mwanawane,siku moja naomba nidance kwenye video yako moja tu ndipo moyo wangu utatulia tulia,nguo nitavaa zangu mwanawane

  • @geophreyephraim3564
    @geophreyephraim3564 Před 4 lety

    Nakukubali sana kaka kweli ckuiz nikutulia kwa yesu tyuu amna wa kupnga iyo kaka

  • @officialdaniel4030
    @officialdaniel4030 Před 4 lety +5

    Bwana Yesu asifiwe Mch....Mimi Nina ushauri mdogo sana kwako,..nimefatilia sana kazi zako,huwa ni unatumia garama kwenye video, na ili unalitendea haki,lkn kuna kitu unakosea Brother, sijuh Oudio zako unafanya kwenye studio zipi aisee,mfano katika huu wimbo back vocals ziko safi na wewe umeimba vizuri lkn kiukweli beat imepwaya sana kaka,na hivi uko Dar kabisa kwenye kitovu cha kila kitu,..naomba kaka lifanyie kazi hili,kama mwanamziki nimeona nikushauri,huu wimbo umenibairiki lkn upande Wa mziki muandaaji hajakutendea haki kabisa....Asante

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu4485 Před 4 lety +2

    Uwiiiii mbavu zangu mimi jamani 😂😂😂😂

  • @PastorsTz
    @PastorsTz Před 3 lety

    FUNGA vizuri kanga hii ninyimbo ya injili...NAULIVO NYOA NA MAVAZI HAYO SIO NYIMBO YA INJILI

  • @akimdjango7669
    @akimdjango7669 Před 2 lety

    Jamani ikiwa kuna mtu mwenye moyo wa huruma ani saidiye Kuni kutanisha na askofu masandja.yeye ni ndoto yangu,mimi ni mkongomani

  • @calskim4173
    @calskim4173 Před 4 lety +5

    🤣🤣uyu mzee Matayo anavyocheza buana 🤣

  • @ommymsomi4362
    @ommymsomi4362 Před 4 lety +4

    The king himself

  • @marjoriehebron2624
    @marjoriehebron2624 Před 4 lety

    Pastor uko very creative and talented🙌🙌vile tunapata injili na huku tunaburudika kwa kucheka😀weee moyo wangu tulia kwa Yesu.

  • @rahabumwakajoka6721
    @rahabumwakajoka6721 Před 4 lety +1

    Hongera mno Mtumishi wa Mungu

  • @sitefanomwizarubi1408
    @sitefanomwizarubi1408 Před 4 lety +3

    leo umetisha

  • @happyngungur8868
    @happyngungur8868 Před 4 lety +4

    Can't get enough of this song jmn... Masanja live for his Glory

    • @Feelfreechurch
      @Feelfreechurch  Před 4 lety +1

      Happy Ngungur Thank u Happy

    • @johnwar8408
      @johnwar8408 Před 2 lety

      What good deed have got into this song which can't even jinger my brain....where are from? MAGU..so it must be good for foolish as like you are..Jocking God..He is not foolish God would get you as well your ph***cken Masanja

    • @isakaboy9305
      @isakaboy9305 Před 2 lety

      Nainjoi sana kuzi tama nyimbo zamasanja

    • @deusoden3128
      @deusoden3128 Před rokem

      @@Feelfreechurch Habari. Huu wimbo nakumbuka upo original yake. Hukiachana na hii video. Je naweza kuupata?

  • @mohamedmsafiri5131
    @mohamedmsafiri5131 Před 3 lety

    Amen barikiwa sana by James Donald Nyantanero in Rockcity Mwanza

  • @geralddavid4582
    @geralddavid4582 Před 3 lety

    kwel kabisa ndgu zangu tutulie kwa yesu 🙏🙏 amina

  • @immah_deo19
    @immah_deo19 Před 4 lety +3

    Comment ya 700 imetoma Kwangu

  • @silyviapaul2676
    @silyviapaul2676 Před 4 lety +3

    Amen!

  • @kelvinaron5596
    @kelvinaron5596 Před 4 lety

    Njema kazi na injili yenye kupenya ndani mioyo so kazi nzuri sana

  • @pendomwenda6190
    @pendomwenda6190 Před 4 lety

    Masanja shida Mungu want nisaidie mbavu zangu Mungu akupe miaka

  • @officialf8404
    @officialf8404 Před 4 lety +4

    Asa we unaedislike unamaan gan???😭😭

  • @faidaalimasi2017
    @faidaalimasi2017 Před 3 lety +2

    Amen merci beaucoup

  • @hildalyatuu2710
    @hildalyatuu2710 Před 20 dny

    Hii kitu kwangu huwa haiishi utamu. Yaani hapa kitu kilitulia.

  • @shadrackdamiani1363
    @shadrackdamiani1363 Před 4 lety

    wakusifiwa ni yesu jamani moyo tulia kwa yesu eeh mungu nitulize kwako

  • @drrphaeltz1
    @drrphaeltz1 Před 4 lety +3

    I need support from you broo

  • @edelikakikoti7652
    @edelikakikoti7652 Před 4 lety

    ubarikiwe masanja wapange hao vizuri wadibuke wunofu

  • @rictonclaurent5986
    @rictonclaurent5986 Před 4 lety +2

    Huu Wimbo nimeupenda! Aisee bora hata Sasa hiv Gospel yupo Mtu wa kuibeba Songa Mbele Yesu ndo Tegemeo letu! God Bless you Masanja!

  • @sofiajackson9672
    @sofiajackson9672 Před 4 lety

    Moyo wangu tulia kwa Yesuu
    Nyimbo ya nzuriii hiii ina baraaa na nusu

  • @penuelfullsalvationchurch3350

    Polen vipofu mnashnglia upuuzi huu hkna sifa za namna hii dunian lbd kzimu

  • @davidjuliusngausony1822

    Timu Masanja twende kazi ssa.. Nyimbo imetulia sana nã burudani juu

  • @asiatirukaizire3067
    @asiatirukaizire3067 Před 2 lety +1

    Amazing mwanawane nimeipenda

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi2089 Před 4 lety

    Iko njema sana hii na hii Paska ya leo hakika Masanja kazi nzuri, Barikiwa sana