"TUMEWAKAMATA KAJALA, RAYVANNY NA BABA LEVO, WATAFIKISHWA MAHAKAMANI" - KAMANDA MAMBOSASA..
Vložit
- čas přidán 19. 04. 2021
- "TUMEWAKAMATA KAJALA, RAYVANNY NA BABA LEVO, WATAFIKISHWA MAHAKAMANI" - KAMANDA MAMBOSASA..
KAMANDA wa kanda maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, leo Aprili 20, amethibitisha kuwa wasanii Kajala na mwanae Paula, Rayvanny, Baba Levo na Juma Lokole, kwa tuhuma za kusambaza picha za utupu za mwanamuziki Harmonize.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Ni vizuri sana wamedhalilisha saaana ni vibaya wachukuliwe hatua kali kwa kweli
Asante sana tena uyo baba levo afunqwe kabisa sio mtu mzuri
Sasa kwatarifa yako hatafurwa
@@alesnema9596 kwanza umesikia nqoma ya harmo
@@fide3153 ngoma gani ile mbona kipande cha awilolomba ndo kina trending mumwambie uyo tempo yache mambo ya kishamba pia ya kitoto because uyo uku Marikani hakaye mwezi hawajazika au hajawa kirama
@@alesnema9596 lete nqoma yoyote ya diamond aitofikia nqoma ya tembo yule ndie tanzania one
@@fide3153 haha mumefikisha million ngapi
Haki ipite wasanii waheshimiane sio kudhalilishana na kuaribiana sifa ili kuangushana kiuchumi wafanye kazi wote wanatafuta rizki waache kuchukiana wakiwa wamoja kazizao zitapendeza kama wenzao
Kajala na paula walienda kwa harmonize kwa kuwa walitumwa kwa kusudi maalum la kutaka kumchafua Harmonize
Basi Mimi naona harmonise ndo alitumwa maana yeye ndo mtongozaji
Kajala alimtongoza harmo au
Safi kabisa Muheshimiwa Afande! Watanzania, roho mbaya na visasi si vyema. Siku zote vinaangamiza!
Safi sana hukumu ya makosa ya kimtandao lazima ya husike
Waoh jamani konde songs vizuli sana
nawakumbusha pia kajala alimshitaki rayvan kisa amemzalilisha mwanae eti bado mwanafunzi.lakini saii kajala na mwanae wapo kitu kimoja na rayvan.inaonyesha kajala anaizalau serikali
Lazima watie akili. Rayvan has to style up. Sio kukurupuka kutafta kick isio na maana.
Weka ndani wote,,,
Hapo serikali imefanya kazi,,na tunahtaji tuone muafaka wake.
Hamonize ana kosa kama alitumia Paula picha Kwa hivyo ajipange pia
Hivo video zilitengenezwa
Huyo ana miaka 18, pili sio mwanafunzi anaetambulika na shule yoyote, tatu hana matendo yanayofanana na mwanafunzi. .. Hapo hana sheria inayomubana harmonize, ndo maana hata kesi ya rayvanny haikuweza kufanikiwa kwa kuwa hakuna sheria inayoweza kumfunga,.
@@beatricengowi9397 yaani ni malaya in short
Wewe huelewi paula alimpiga picha akiwa anatoka bafuni yauchi sio yake
@Priscilla nenda ukojoe ulale maana naona hujui unenalo
Aho
Walitumwa na wcb
Hamo pia achukuliwe hatua kwann atume uume wake kwa binti wa mwanamke wake
Wewe acha usenge, wcb ni kampuni unahisi watu Wana muda mchafu
Hata yy anamakosa kutuma picha
Picha alianza kusambaza harmonize mwenyewe utupu wake nani awekwe ndani alishindwa kujistili mwenyewe
Bora
Komanda Hana hakili kala lushwa iyi🇺🇸
Kamanda tunaomba ufanye uchunguz kiundan rayvvan hana makosa ila chunguza vizuri hayo n mapenz anzia kwanza uchunguz kwa harmonaz ndo uje kwa kajala uje kwa paula ndo uje kwa rayvanny baba levo ila hao ndo konde kajala paula rayvanny n mapenz ila tunaomba hao wawili kajala na mwanae muendelee kuwafunga tumewachoka kuwaskia mitandaon
Ni kweli kabsa kosa la konde hilo la kwenda kula kuku na mayai yake🙄🙄
Kwann asiwe na makosa nan kamwambia apost angemezea nan angejuwa dudu la yuyu la hamo wacha wajifunze kwanza wote wataachaa upumbavu
Ushahidi utoke kote kote paka bibi atoe ushaidi hamonaiz asikanuke kesi eti siyeye kwanini utumie mtoto wamwenzio uchi wakati wamlala mamake kwanini ukimbie paka nguo ziekwe moto ama ulizoweya kuonga hela malipo duniani jomba chumali hujamaliza wakifungwa watatoka kwani wameuwa lulu aliuwa nasahii yuko huru akuna refu lisilo mwisho
Kesi ni kusambaza picha chafu mtandaini
@@africanbeautiful5123 sasa zilianza kwa nani kama sio mmakonde kumtumia paula
@@mickytv1863 Harmonize amesema sio yeye
Safi saana kamateni wote Tena WAHUKUMUN KIFUNGO WAPATE FUNDISHO kwanza
Ila kajala na mtoto wake hao nimalaya sana
Diamond yupo airport anatoroka hataki stress
Hahahahaha 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣wewe ni pasuwa kichwa nimecheka mpaka kijambo
@@hadijalukas5959 🤣🤣🤣🤣
@@warrensantana1570 🤣🤣🤣🤣🤣🙉🙉🙉🙉🙉du 🤔🤔
@@warrensantana1570 pole mwaya
hayo yote rayvany kayaanza mwenyewe
Shida huwa awajui sheria
Alianza kupelek Police Ni Nani km syo Harmo na kajala wake
@@elishajegeje6482 huu mchezo uliaza pale ravynny alipo post picha za paula sababu kajala aliku kwa mausiano na harmo
Kesi imefikia pabaya
Uchawa uwe na kiasi
Mna cheza na Tembo
Wote sukuma ndani
Hujui kusoma Ww nae
Mmmmmh lockup???wapenzi???ila harmonize jamani....ngoja mi nitulie huku kwa channel yangu nipike,mapenzi hayana mwenyewe
👏👏👏👏👏Kajala mama mzima ovyo na hili li mwanamke mwenza Lina share dudu na Malaya mwenzake
Angalia maneno yako labda km huna kizazi
@@ashamgombelwa5129 acha ushamba wewe kajala ndio alimpiga picha Harmonize kwa simu akamtumia mwanae baada yakula pesa wasafi ili Harmonize azalilike
Naogopa mwezenu
Weka ndani wote washenzi hao
Wafungwe hao ili iwe fundisho kwa wengine.
Wewe kamanda inatakiwa muichunguze vizur iyo kes na mpendelee upande wowote
Vipi kuhusu alie jipiga? Tanzania bwana
Nin ww 🤣🤣🤣
Drama zimezidi, inaelekea polisi kazi hawana
We Acha zako
Yani hamuelewi sheria au nini jamani! Ukijipiga picha yako ya utupu hiyo si kosa kosa ni kuituma kwa mtu mwingine isitoshe harmonize alirekodiwa hakupiga yeye
@@janetshingira1165 umekosea kidogo kujipiga na kushare na mpenzi wako co kosa iyo ni faragha kosa ni kusambaza hadharani
Kwani harmonize mwenyewe anasemaje 🤔
*Funga wotee hao miaka 4 inatosha kujifunza*
Haaaaaaaa. Iyo sio kesi mzeeeeee yana mmmmmmmh kond bhan Hana akili kwekweli maan watatakiwa kufungwa au kulipa kiasi kisicho zidi million moja sa iyo so Ila kwa hao watu na apo bifu aliish leo
Sàsa kajala anamfata mume wake kwa mara ya pili duh dada wema jipange tena na roho y'ako ya huruma
Hatakama ni mapenzi how can share your private parts ?.. Pendeni polepole
Safi sana ngoja jeuri iwaishe
Sheria zenu mbovu
Tunga zako..
Iyo mzuri iyo nitakuwa fundisho kwao
Mimi kwakweli ningekuwa mshauli wa homonize nisingemshauri awapeleke mahakamani maana yeye mwenyewe ana makosa kumtumia binti mdogo picha za utupu wake
Akapimwe kama ni bikira ndio tutajua mdogo
Exactly
Kwakweli uyo so mtoto bana
ana utoto gan huyo, miaka 18 isukam ana watoto watatu,
Hapo mahakamani pazuri kama siyo wao wahusika patachimbika
Ila harmo si alikana zile sehemu za siri si zake. Hakuna kesi hapoo.. Na pia kama utupu ni wake na uliuonyesha Kwa Paula INAFAA achukuliwe hatua pia yeye
Bona achukuliwe hatia?
Watanyoka
Hii inatakiwa iwe fundisho kwa wasanii wenye tabia mbovu kama hizo.
Hasa hawa wanaopost picha za utupu kwa wanafunzi
Acheni ulimbukeni wasani,wakati mwingine mnafanya vitu mpaka mnajisahau kama mpo africa,kuweni wastarabu kama akina alí kiba
Kesi km hiyo kila mshtakiwa adhabu yake million700 tsh uwiiii babalevo wawatu jumalokole kishanta nahuyo bidada sijui wataponea wap ray atauza gari
Umenichekesha wewe
Kiboko
Swali kwa jeshi la police hivi izo picha mpaka zinafika kwa wasambazaji muhusika alie pigwa izo picha alikua wap co alipiga mwenyewe je kama mwenyewe kwann hajahusika kwenye ilo tukio yeye alimtumia bint je alikua akitegemea nini kufanya ivyo na yeye awajibishwe acheni sheria za siasa
Tumia akili...unaweza vujisha utupu wako??
Ni kweli yeye alimtumia mtoto ambae anamlala mama ake je hiyo ni haki
@@ashamgombelwa5129 co yeye walitaka kumchafua. Alafu piah tumia akili hakuna mjinga wa kutuma utupu wake kwa mtoto kama yule. Bongo fitina nyingi na mwaka huu mmakonde atawakomesha
Umejitahidi kujieleza kadri ya ujinga wako
Ndio cha ajabu yy ndio mtuhumiwa namba moja asingetuma uume wake paula angesambaza nn?
Funga hao,tia ndani kabisa
Yani Mimi nasikitika Sana watu hawaoni km harmonise anakosa kumtumia Paula picha zake za utupu lawama zote zimeenda Kwa Paula na kajala mungu yupo na malipo ni hapahapa duniani
Lawama zimeend kwa wcb unadhani alikuwepo jmn,, watanzania nashindw kushangaa
Tatizo sio kutuma picha tatizo kuzambaza mtandaoni
Jitahid uwe unafuatilia vizuri!! Sio kukomenti unavyojisikia ndugu!! Inamaana hujui kama harmonize alikana kuhusu zile video!! Alikubar ile aliyosema washa taa na hakuituma kwa paula !! Alisema nikawaida mtu na mpenzi wake kuongea video call. Ila swala la picha za utupu walitengeneza!! Kumchafua ndo maana alienda kufungua mashtaka!! Sasa unavyo sema alichukua picha na kumtumia paula!! Sijui unamaana ipi. Shida yetu ss waswahili nikwamba tukikariri upuuz bac!!"" nishida sana kujitambua
@@beesmarttv3792 mno hawajielewi waswahili sijui ni ushamba, umeongea point
Kwa mana hiyo unavyojua wewe ni hermonize kamtumia picha paula? Duuh sijui uko dunia gani
mondy kidude kakikwepa kaona wee msinitanie
TUNAOMBA MUWAFUNGE💪
Pumbavu zako
Sukuma ndani wte pumbavu zao
kajala nitapeli Malaya pamoja na mwanae
Kajala hakumtongoza harmo
Mambo Sasa mpaka hapo nakuona wewe ni punguani hazikutoshi sawa. Sawa tumia akili wewe ni jeshi la polisi afu wewe ni police Mkubwa tu lkn elimu yako inaonekana ya dalasa la Saba mbona harmonize hamkamati au kwasabu yeye kaleta malalamiko hizo picha zinge vujaje Kama yeye sio yeye
Ujielewi na wew kwani hamonaize yeye ndo kapost izo picha reivyan ndo kaziposti kwa maana nyingine kamzalilisha mwenzie nakavunja sheria
@@neynicehanc955 ko Nani ambae kapost au kosa lamani
mwanakulifindi mwanakuligeti,,
Hata hamonize anahatia kwa haya maelezo maana ndo aloaza kusambaza
Broo kuna tofaut ya kusambaza kwa mtu bnafus na mtataon
Baada kuchunguza wahujumu uchumi na wauwaji na mnakamata wanawake, mbakaji mkubwa Tanzania bado mnaonesha mfume dume, hiyo picha ilikuwa ni kidhibiti kwa mtoto kumhakikishia mama yake hayo sasa mlitaka afanye nini kupata kizibiti huo ni ushahidi kwa mtoto kwa mama yake
Tatizo ni kuisambaza kwenye vyombo vya habar
Alikuwa amwambie mamake ndo wajuwe vya kufanya sio kusambaza
Dogo ray umekurupuka itakula kwako ndomkome
Hakupigwa makusudi,ni yeye alianika hapo wampige kuonyesha kua alitaka aone ndio amtamani.wakushtakiwa ni huyo Konde bomu
Wewe acha uongo hata kama alijipiga mwenyewe lakini hairuhusiwi kuisambaza
Sasa mbona mume simama upanďe mmoja yani mlimruusu hamonaiz aonyeshe wanafunzi uchi wake alafu atombe mama na mtoto lakini malipo duniani akhera isabu asijione mjaja bado hajafa
Tulia wewe shelia itachukua mkondo wake
Wapewe funzo Hao wajinga,Ikiwezekana wafungwe
Yan mtu amepost amemtumia mwanafunzi utupu alaf bado anakumbatiwa na vyombo ila Mungu atamlipia kajala mwanae amelazimishwa mpaka kutumiwa video za utupu tena na mtu anaekula kuku na mayai alf anakumbatiwa What a shame serkali ndo inaunga mkono uzinzi wa namna hii,😭😭😭
Hakuna mtoto hapo, ni mtu mzima anayejitambua kama mamake
Mtoto mgani, huyo malaya tu kama mama yake
Kajala kajikoroga mwenyewe kaona bora kumchafua hamo na izo video through reyvanny,kumbe anajidangnya anaingia cha kike,angekua mwerevu yy ndo angemshtaki wakwanza hamo ,juu alitaka kuwa changanya mama na mtoto na katumia mtoto video za utupu
Yan hurusiw kusambaza pcha za uchi za mtu hata Kama zake na hao wamepost kwnye account zao za instar Hilo ndo tatzo
Umejitahidi kujieleza kadri ya ujinga wako
Unaweza kukamata mtu kibao kikageuka kama wanahusika sawa ila kama aliyerusha mapicha siye chapati zitaiva
Nam mweshimiwa wasamee woote waonye wasiludie mwezi mtukufu huu ni WA kusameheanatu
Kajala na mwanae wahuni tu wamepga wakapost kumchafua
Fungeni hao