"TUMEWAKAMATA KAJALA, RAYVANNY NA BABA LEVO, WATAFIKISHWA MAHAKAMANI" - KAMANDA MAMBOSASA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 04. 2021
  • "TUMEWAKAMATA KAJALA, RAYVANNY NA BABA LEVO, WATAFIKISHWA MAHAKAMANI" - KAMANDA MAMBOSASA..
    KAMANDA wa kanda maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, leo Aprili 20, amethibitisha kuwa wasanii Kajala na mwanae Paula, Rayvanny, Baba Levo na Juma Lokole, kwa tuhuma za kusambaza picha za utupu za mwanamuziki Harmonize.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 154

  • @kennethngoleka517
    @kennethngoleka517 Před 3 lety +10

    Ni vizuri sana wamedhalilisha saaana ni vibaya wachukuliwe hatua kali kwa kweli

  • @fide3153
    @fide3153 Před 3 lety +5

    Asante sana tena uyo baba levo afunqwe kabisa sio mtu mzuri

    • @alesnema9596
      @alesnema9596 Před 3 lety

      Sasa kwatarifa yako hatafurwa

    • @fide3153
      @fide3153 Před 3 lety

      @@alesnema9596 kwanza umesikia nqoma ya harmo

    • @alesnema9596
      @alesnema9596 Před 3 lety

      @@fide3153 ngoma gani ile mbona kipande cha awilolomba ndo kina trending mumwambie uyo tempo yache mambo ya kishamba pia ya kitoto because uyo uku Marikani hakaye mwezi hawajazika au hajawa kirama

    • @fide3153
      @fide3153 Před 3 lety

      @@alesnema9596 lete nqoma yoyote ya diamond aitofikia nqoma ya tembo yule ndie tanzania one

    • @alesnema9596
      @alesnema9596 Před 3 lety

      @@fide3153 haha mumefikisha million ngapi

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 Před 3 lety +3

    Haki ipite wasanii waheshimiane sio kudhalilishana na kuaribiana sifa ili kuangushana kiuchumi wafanye kazi wote wanatafuta rizki waache kuchukiana wakiwa wamoja kazizao zitapendeza kama wenzao

  • @moringelangas7276
    @moringelangas7276 Před 3 lety +4

    Kajala na paula walienda kwa harmonize kwa kuwa walitumwa kwa kusudi maalum la kutaka kumchafua Harmonize

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 Před 3 lety

    Safi kabisa Muheshimiwa Afande! Watanzania, roho mbaya na visasi si vyema. Siku zote vinaangamiza!

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Před 3 lety +2

    Safi sana hukumu ya makosa ya kimtandao lazima ya husike

  • @jeannettemukeshimana577

    Waoh jamani konde songs vizuli sana

  • @amossbuyamba8424
    @amossbuyamba8424 Před 3 lety +1

    nawakumbusha pia kajala alimshitaki rayvan kisa amemzalilisha mwanae eti bado mwanafunzi.lakini saii kajala na mwanae wapo kitu kimoja na rayvan.inaonyesha kajala anaizalau serikali

  • @ramak.9587
    @ramak.9587 Před 3 lety +2

    Lazima watie akili. Rayvan has to style up. Sio kukurupuka kutafta kick isio na maana.

  • @OmarMohamed-bp9ix
    @OmarMohamed-bp9ix Před 3 lety

    Weka ndani wote,,,

  • @paulinamushi361
    @paulinamushi361 Před 3 lety +1

    Hapo serikali imefanya kazi,,na tunahtaji tuone muafaka wake.

  • @officialpriscillakiloko9811

    Hamonize ana kosa kama alitumia Paula picha Kwa hivyo ajipange pia

    • @ELISSKGTV
      @ELISSKGTV Před 3 lety

      Hivo video zilitengenezwa

    • @beatricengowi9397
      @beatricengowi9397 Před 3 lety

      Huyo ana miaka 18, pili sio mwanafunzi anaetambulika na shule yoyote, tatu hana matendo yanayofanana na mwanafunzi. .. Hapo hana sheria inayomubana harmonize, ndo maana hata kesi ya rayvanny haikuweza kufanikiwa kwa kuwa hakuna sheria inayoweza kumfunga,.

    • @ELISSKGTV
      @ELISSKGTV Před 3 lety

      @@beatricengowi9397 yaani ni malaya in short

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 Před 3 lety

      Wewe huelewi paula alimpiga picha akiwa anatoka bafuni yauchi sio yake

    • @ramak.9587
      @ramak.9587 Před 3 lety

      @Priscilla nenda ukojoe ulale maana naona hujui unenalo

  • @maryammarham2862
    @maryammarham2862 Před 3 lety

    Aho

  • @fedrickagustino991
    @fedrickagustino991 Před 3 lety +7

    Walitumwa na wcb

  • @mathewdeus3036
    @mathewdeus3036 Před 3 lety

    Picha alianza kusambaza harmonize mwenyewe utupu wake nani awekwe ndani alishindwa kujistili mwenyewe

  • @mohamedkwiga6870
    @mohamedkwiga6870 Před 3 lety

    Bora

  • @alesnema9596
    @alesnema9596 Před 3 lety

    Komanda Hana hakili kala lushwa iyi🇺🇸

  • @user-wo8go6wc3d
    @user-wo8go6wc3d Před 3 lety +1

    Kamanda tunaomba ufanye uchunguz kiundan rayvvan hana makosa ila chunguza vizuri hayo n mapenz anzia kwanza uchunguz kwa harmonaz ndo uje kwa kajala uje kwa paula ndo uje kwa rayvanny baba levo ila hao ndo konde kajala paula rayvanny n mapenz ila tunaomba hao wawili kajala na mwanae muendelee kuwafunga tumewachoka kuwaskia mitandaon

    • @tabiangonyani3526
      @tabiangonyani3526 Před 3 lety

      Ni kweli kabsa kosa la konde hilo la kwenda kula kuku na mayai yake🙄🙄

    • @user-lr1vg6dk6f
      @user-lr1vg6dk6f Před 3 lety

      Kwann asiwe na makosa nan kamwambia apost angemezea nan angejuwa dudu la yuyu la hamo wacha wajifunze kwanza wote wataachaa upumbavu

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 Před 3 lety +3

    Ushahidi utoke kote kote paka bibi atoe ushaidi hamonaiz asikanuke kesi eti siyeye kwanini utumie mtoto wamwenzio uchi wakati wamlala mamake kwanini ukimbie paka nguo ziekwe moto ama ulizoweya kuonga hela malipo duniani jomba chumali hujamaliza wakifungwa watatoka kwani wameuwa lulu aliuwa nasahii yuko huru akuna refu lisilo mwisho

  • @majidkhatibu6738
    @majidkhatibu6738 Před 3 lety

    Safi saana kamateni wote Tena WAHUKUMUN KIFUNGO WAPATE FUNDISHO kwanza

  • @bernadethapiter7262
    @bernadethapiter7262 Před 3 lety +6

    Ila kajala na mtoto wake hao nimalaya sana

  • @warrensantana1570
    @warrensantana1570 Před 3 lety +3

    Diamond yupo airport anatoroka hataki stress

  • @mariammariam6501
    @mariammariam6501 Před 3 lety +5

    hayo yote rayvany kayaanza mwenyewe

    • @alley_tz5460
      @alley_tz5460 Před 3 lety

      Shida huwa awajui sheria

    • @elishajegeje6482
      @elishajegeje6482 Před 3 lety

      Alianza kupelek Police Ni Nani km syo Harmo na kajala wake

    • @mariammariam6501
      @mariammariam6501 Před 3 lety

      @@elishajegeje6482 huu mchezo uliaza pale ravynny alipo post picha za paula sababu kajala aliku kwa mausiano na harmo

  • @fatumaally3266
    @fatumaally3266 Před 3 lety +2

    Kesi imefikia pabaya

  • @gerinoboa5551
    @gerinoboa5551 Před 3 lety

    Uchawa uwe na kiasi

  • @emmanuelmangeni8590
    @emmanuelmangeni8590 Před 3 lety +3

    Mna cheza na Tembo

  • @felistanelson5373
    @felistanelson5373 Před 3 lety

    Wote sukuma ndani

  • @sangijamadukwa1486
    @sangijamadukwa1486 Před 3 lety

    Hujui kusoma Ww nae

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 3 lety

    Mmmmmh lockup???wapenzi???ila harmonize jamani....ngoja mi nitulie huku kwa channel yangu nipike,mapenzi hayana mwenyewe

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 Před 3 lety +1

    👏👏👏👏👏Kajala mama mzima ovyo na hili li mwanamke mwenza Lina share dudu na Malaya mwenzake

    • @ashamgombelwa5129
      @ashamgombelwa5129 Před 3 lety +1

      Angalia maneno yako labda km huna kizazi

    • @africanbeautiful5123
      @africanbeautiful5123 Před 3 lety

      @@ashamgombelwa5129 acha ushamba wewe kajala ndio alimpiga picha Harmonize kwa simu akamtumia mwanae baada yakula pesa wasafi ili Harmonize azalilike

  • @esterwakidunda6248
    @esterwakidunda6248 Před 3 lety

    Naogopa mwezenu

  • @mapenzisorotanizimbazimba8742

    Weka ndani wote washenzi hao

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 Před 3 lety

    Wafungwe hao ili iwe fundisho kwa wengine.

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Před 3 lety

    Wewe kamanda inatakiwa muichunguze vizur iyo kes na mpendelee upande wowote

  • @franksam8581
    @franksam8581 Před 3 lety +5

    Vipi kuhusu alie jipiga? Tanzania bwana

    • @meriserge1415
      @meriserge1415 Před 3 lety

      Nin ww 🤣🤣🤣

    • @christinaalexander1213
      @christinaalexander1213 Před 3 lety +1

      Drama zimezidi, inaelekea polisi kazi hawana

    • @jeyshillyjack4470
      @jeyshillyjack4470 Před 3 lety

      We Acha zako

    • @janetshingira1165
      @janetshingira1165 Před 3 lety +2

      Yani hamuelewi sheria au nini jamani! Ukijipiga picha yako ya utupu hiyo si kosa kosa ni kuituma kwa mtu mwingine isitoshe harmonize alirekodiwa hakupiga yeye

    • @isayagangster1048
      @isayagangster1048 Před 3 lety +3

      @@janetshingira1165 umekosea kidogo kujipiga na kushare na mpenzi wako co kosa iyo ni faragha kosa ni kusambaza hadharani

  • @alphoncegitano7287
    @alphoncegitano7287 Před 3 lety

    Kwani harmonize mwenyewe anasemaje 🤔

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Před 3 lety

    *Funga wotee hao miaka 4 inatosha kujifunza*

  • @leviskahonga3985
    @leviskahonga3985 Před 3 lety

    Haaaaaaaa. Iyo sio kesi mzeeeeee yana mmmmmmmh kond bhan Hana akili kwekweli maan watatakiwa kufungwa au kulipa kiasi kisicho zidi million moja sa iyo so Ila kwa hao watu na apo bifu aliish leo

  • @elinahjoseph3085
    @elinahjoseph3085 Před 3 lety

    Sàsa kajala anamfata mume wake kwa mara ya pili duh dada wema jipange tena na roho y'ako ya huruma

  • @moahnsimba8566
    @moahnsimba8566 Před 3 lety +3

    Hatakama ni mapenzi how can share your private parts ?.. Pendeni polepole

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před 3 lety

    Safi sana ngoja jeuri iwaishe

  • @bramwelambei2536
    @bramwelambei2536 Před 3 lety

    Sheria zenu mbovu

  • @salamaseif4032
    @salamaseif4032 Před 3 lety +2

    Iyo mzuri iyo nitakuwa fundisho kwao

  • @edsonnicholaus5381
    @edsonnicholaus5381 Před 3 lety +3

    Mimi kwakweli ningekuwa mshauli wa homonize nisingemshauri awapeleke mahakamani maana yeye mwenyewe ana makosa kumtumia binti mdogo picha za utupu wake

  • @buyukubwa9713
    @buyukubwa9713 Před 3 lety

    Hapo mahakamani pazuri kama siyo wao wahusika patachimbika

  • @travellingandadventures2549

    Ila harmo si alikana zile sehemu za siri si zake. Hakuna kesi hapoo.. Na pia kama utupu ni wake na uliuonyesha Kwa Paula INAFAA achukuliwe hatua pia yeye

  • @majutosanaelias4307
    @majutosanaelias4307 Před 3 lety +4

    Watanyoka

  • @mathiasjoely7183
    @mathiasjoely7183 Před 3 lety +3

    Hii inatakiwa iwe fundisho kwa wasanii wenye tabia mbovu kama hizo.

  • @danisergio2881
    @danisergio2881 Před 3 lety

    Acheni ulimbukeni wasani,wakati mwingine mnafanya vitu mpaka mnajisahau kama mpo africa,kuweni wastarabu kama akina alí kiba

  • @arikasisolution2253
    @arikasisolution2253 Před 3 lety

    Kesi km hiyo kila mshtakiwa adhabu yake million700 tsh uwiiii babalevo wawatu jumalokole kishanta nahuyo bidada sijui wataponea wap ray atauza gari

  • @winfridamwamban1078
    @winfridamwamban1078 Před 3 lety

    Kiboko

  • @mr_pablotz372
    @mr_pablotz372 Před 3 lety +3

    Swali kwa jeshi la police hivi izo picha mpaka zinafika kwa wasambazaji muhusika alie pigwa izo picha alikua wap co alipiga mwenyewe je kama mwenyewe kwann hajahusika kwenye ilo tukio yeye alimtumia bint je alikua akitegemea nini kufanya ivyo na yeye awajibishwe acheni sheria za siasa

    • @ELISSKGTV
      @ELISSKGTV Před 3 lety +5

      Tumia akili...unaweza vujisha utupu wako??

    • @ashamgombelwa5129
      @ashamgombelwa5129 Před 3 lety

      Ni kweli yeye alimtumia mtoto ambae anamlala mama ake je hiyo ni haki

    • @isayagangster1048
      @isayagangster1048 Před 3 lety +1

      @@ashamgombelwa5129 co yeye walitaka kumchafua. Alafu piah tumia akili hakuna mjinga wa kutuma utupu wake kwa mtoto kama yule. Bongo fitina nyingi na mwaka huu mmakonde atawakomesha

    • @africanbeautiful5123
      @africanbeautiful5123 Před 3 lety

      Umejitahidi kujieleza kadri ya ujinga wako

    • @brendakinenekejo8464
      @brendakinenekejo8464 Před 3 lety

      Ndio cha ajabu yy ndio mtuhumiwa namba moja asingetuma uume wake paula angesambaza nn?

  • @priscilarkahindi9126
    @priscilarkahindi9126 Před 3 lety +2

    Funga hao,tia ndani kabisa

  • @ashamgombelwa5129
    @ashamgombelwa5129 Před 3 lety +2

    Yani Mimi nasikitika Sana watu hawaoni km harmonise anakosa kumtumia Paula picha zake za utupu lawama zote zimeenda Kwa Paula na kajala mungu yupo na malipo ni hapahapa duniani

    • @kuchiethephenomenal7879
      @kuchiethephenomenal7879 Před 3 lety

      Lawama zimeend kwa wcb unadhani alikuwepo jmn,, watanzania nashindw kushangaa

    • @africanbeautiful5123
      @africanbeautiful5123 Před 3 lety

      Tatizo sio kutuma picha tatizo kuzambaza mtandaoni

    • @beesmarttv3792
      @beesmarttv3792 Před 3 lety +2

      Jitahid uwe unafuatilia vizuri!! Sio kukomenti unavyojisikia ndugu!! Inamaana hujui kama harmonize alikana kuhusu zile video!! Alikubar ile aliyosema washa taa na hakuituma kwa paula !! Alisema nikawaida mtu na mpenzi wake kuongea video call. Ila swala la picha za utupu walitengeneza!! Kumchafua ndo maana alienda kufungua mashtaka!! Sasa unavyo sema alichukua picha na kumtumia paula!! Sijui unamaana ipi. Shida yetu ss waswahili nikwamba tukikariri upuuz bac!!"" nishida sana kujitambua

    • @teddyoscar6876
      @teddyoscar6876 Před 3 lety

      @@beesmarttv3792 mno hawajielewi waswahili sijui ni ushamba, umeongea point

    • @teddyoscar6876
      @teddyoscar6876 Před 3 lety

      Kwa mana hiyo unavyojua wewe ni hermonize kamtumia picha paula? Duuh sijui uko dunia gani

  • @wamtaafrani9564
    @wamtaafrani9564 Před 3 lety

    mondy kidude kakikwepa kaona wee msinitanie

  • @Sokesia
    @Sokesia Před 3 lety +1

    TUNAOMBA MUWAFUNGE💪

  • @karimujuma6595
    @karimujuma6595 Před 3 lety +2

    Sukuma ndani wte pumbavu zao

  • @kelvinichisongela225
    @kelvinichisongela225 Před 3 lety +2

    kajala nitapeli Malaya pamoja na mwanae

  • @super_boy_tz
    @super_boy_tz Před 3 lety +1

    Mambo Sasa mpaka hapo nakuona wewe ni punguani hazikutoshi sawa. Sawa tumia akili wewe ni jeshi la polisi afu wewe ni police Mkubwa tu lkn elimu yako inaonekana ya dalasa la Saba mbona harmonize hamkamati au kwasabu yeye kaleta malalamiko hizo picha zinge vujaje Kama yeye sio yeye

    • @neynicehanc955
      @neynicehanc955 Před 3 lety

      Ujielewi na wew kwani hamonaize yeye ndo kapost izo picha reivyan ndo kaziposti kwa maana nyingine kamzalilisha mwenzie nakavunja sheria

    • @super_boy_tz
      @super_boy_tz Před 3 lety

      @@neynicehanc955 ko Nani ambae kapost au kosa lamani

  • @pascalmsuyajr.7980
    @pascalmsuyajr.7980 Před 3 lety

    mwanakulifindi mwanakuligeti,,

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před 3 lety +1

    Hata hamonize anahatia kwa haya maelezo maana ndo aloaza kusambaza

    • @jayjulius4256
      @jayjulius4256 Před 3 lety

      Broo kuna tofaut ya kusambaza kwa mtu bnafus na mtataon

  • @khalifa_wayy1979
    @khalifa_wayy1979 Před 3 lety +1

    Baada kuchunguza wahujumu uchumi na wauwaji na mnakamata wanawake, mbakaji mkubwa Tanzania bado mnaonesha mfume dume, hiyo picha ilikuwa ni kidhibiti kwa mtoto kumhakikishia mama yake hayo sasa mlitaka afanye nini kupata kizibiti huo ni ushahidi kwa mtoto kwa mama yake

    • @shamiryomary8268
      @shamiryomary8268 Před 3 lety +1

      Tatizo ni kuisambaza kwenye vyombo vya habar

    • @amilahally2438
      @amilahally2438 Před 3 lety +2

      Alikuwa amwambie mamake ndo wajuwe vya kufanya sio kusambaza

  • @mullamtupa9116
    @mullamtupa9116 Před 3 lety

    Dogo ray umekurupuka itakula kwako ndomkome

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Před 3 lety

    Hakupigwa makusudi,ni yeye alianika hapo wampige kuonyesha kua alitaka aone ndio amtamani.wakushtakiwa ni huyo Konde bomu

    • @sophyleenpj4312
      @sophyleenpj4312 Před 3 lety

      Wewe acha uongo hata kama alijipiga mwenyewe lakini hairuhusiwi kuisambaza

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 Před 3 lety

    Sasa mbona mume simama upanďe mmoja yani mlimruusu hamonaiz aonyeshe wanafunzi uchi wake alafu atombe mama na mtoto lakini malipo duniani akhera isabu asijione mjaja bado hajafa

  • @rwuudyboythesudanishchild2217

    Wapewe funzo Hao wajinga,Ikiwezekana wafungwe

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 3 lety

    Yan mtu amepost amemtumia mwanafunzi utupu alaf bado anakumbatiwa na vyombo ila Mungu atamlipia kajala mwanae amelazimishwa mpaka kutumiwa video za utupu tena na mtu anaekula kuku na mayai alf anakumbatiwa What a shame serkali ndo inaunga mkono uzinzi wa namna hii,😭😭😭

    • @osooselestinedana4288
      @osooselestinedana4288 Před 3 lety +1

      Hakuna mtoto hapo, ni mtu mzima anayejitambua kama mamake

    • @Xixoz
      @Xixoz Před 3 lety +2

      Mtoto mgani, huyo malaya tu kama mama yake

    • @priscilarkahindi9126
      @priscilarkahindi9126 Před 3 lety +2

      Kajala kajikoroga mwenyewe kaona bora kumchafua hamo na izo video through reyvanny,kumbe anajidangnya anaingia cha kike,angekua mwerevu yy ndo angemshtaki wakwanza hamo ,juu alitaka kuwa changanya mama na mtoto na katumia mtoto video za utupu

    • @trendingtv4437
      @trendingtv4437 Před 3 lety

      Yan hurusiw kusambaza pcha za uchi za mtu hata Kama zake na hao wamepost kwnye account zao za instar Hilo ndo tatzo

    • @africanbeautiful5123
      @africanbeautiful5123 Před 3 lety +1

      Umejitahidi kujieleza kadri ya ujinga wako

  • @buyukubwa9713
    @buyukubwa9713 Před 3 lety +1

    Unaweza kukamata mtu kibao kikageuka kama wanahusika sawa ila kama aliyerusha mapicha siye chapati zitaiva

  • @nasibutv8710
    @nasibutv8710 Před 3 lety

    Nam mweshimiwa wasamee woote waonye wasiludie mwezi mtukufu huu ni WA kusameheanatu

  • @stevensulle1200
    @stevensulle1200 Před 3 lety

    Kajala na mwanae wahuni tu wamepga wakapost kumchafua

  • @navanjkiba2439
    @navanjkiba2439 Před 3 lety

    Fungeni hao