Komentáře •

  • @jamesmsalilwa8733
    @jamesmsalilwa8733 Před 3 lety +18

    Ndugu Waziri, Tanzania siyo masikini, bali baadhi ya watu ndio masikini wa kufikiria.

  • @roselugendo6943
    @roselugendo6943 Před 3 lety +19

    Mama safisha wizara. Hongera rais kutuletea huyu mama. Hii wizara ina shida nyingi sana

  • @allyhassan2136
    @allyhassan2136 Před 3 lety +10

    Safari hii Majambazi wanakiona chamtema kuni kwa kugongwa kweli kweli kwa mujibu wa Sheria.Vile vile na Hawa wakufanya kazi kwa mazoea hawana pakutokea.

  • @rajabalfarazliganja397
    @rajabalfarazliganja397 Před 3 lety +5

    Safiiii

  • @dorndet6179
    @dorndet6179 Před 3 lety +1

    Mama nimekupenda bureeee, Mungu akutangulie.
    Damu ya Yesu ikufunike.Mumeo should be proud!

  • @katyentyedanny4037
    @katyentyedanny4037 Před 3 lety +8

    Gwajima nakupenda sana

  • @b.warron4631
    @b.warron4631 Před 3 lety +1

    No cheni no wigikichwani ni vitenge kwenda mbele nywelefupi.... Waogope sana taipu hizo...zinakuwaga kazikazi tuu.... Nakupenda dk doroth gwajima Mungu akulinde saana ....

    • @olivamarunda8318
      @olivamarunda8318 Před 3 lety

      Huo muda wakwenda kukaa saloon anautoa wapi wanakwenda nimlegelege muagalieni hata mbunge wa MbeyaTulia

  • @vallerinejesse2299
    @vallerinejesse2299 Před 3 lety +4

    Yaani mimi namkubali Sana huyu waziri yuko vzr na ana upana Sana wa mawazo na uelewa Mama big up💪💪 yaani uko vzr .nakutabiria MUNGU akulinde uje kua waziri mkuu wa kwanza mwanamama!

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 Před 3 lety +21

    Kuwa na waziri anayejua sekta ni Jambo jema Sana

  • @bindebinde2203
    @bindebinde2203 Před 3 lety +1

    Wazir upon vizuri

  • @laurahomine714
    @laurahomine714 Před 3 lety +3

    Piga kazi waziri

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 Před 3 lety +13

    Mama wape elimu waliishi kwa mazoea

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 Před 3 lety +11

    Mwacheni mama wawatu afanye kazi ajipendekeza nn wakati anawatakia maslahi yenu

  • @kipesekiaruwamallya3098
    @kipesekiaruwamallya3098 Před 3 lety +4

    ogopa sana mtu anaenyoa babar shop

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 Před 3 lety

    Safi Sana serikali ya magu

  • @alexmbembela4571
    @alexmbembela4571 Před 3 lety +13

    Huyu kiboko yao ummy mwalimu ulikuwa mpole mno japo kazi uliifanya vema.......ogopa mwanamke mwenye pesa tajiri halafu ananyoa nywele

    • @florangido202
      @florangido202 Před 3 lety +1

      Hana mda wa kupoteza kwenda Salon
      hapo ni kazi kazi

    • @samwelombeni6850
      @samwelombeni6850 Před 3 lety

      Hahahaha

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 3 lety +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @mamahustru
      @mamahustru Před 3 lety +2

      Ummy sio sekta yake, alikuwa mtendaji wa kisiasa sio taaluma. Hivyo hakuwa anajua wanayomueleza kitaaluma kama ilikuwa sahihi au la. As long as wakimpa siasa ya maneno yaliyonyooka, anaridhika.

    • @mrsdeborahurio
      @mrsdeborahurio Před 3 lety

      Barikiwa sana,mama! Hana muda wa kupoteza saloon, hapa kazi tu!!!!!

  • @festohaule5968
    @festohaule5968 Před 3 lety +2

    Mama.hili ni eneo lako sahihi 100%Mawaziri wengi wamepewa vitengo wasivo na utaalamu navyoo.

  • @mariuscyprian1235
    @mariuscyprian1235 Před 3 lety +8

    Kweli mama unasafisha nyumba

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 Před 3 lety +11

    Mama awa watu watakuapasua kichwa. ila ninavyoona hawakuwezi.

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před 3 lety

    Madam upo vzr sana kwa ufatiliaji piga kaz but toka moyoni nakuomba uwe na selfsecurity nawa jua binadamu, ucnywe hata maji uliyoandaliwa na management unapokwenda kwa supervision na MUNGU akutangulie na akulinde kwa kazi unayofanya ya uzalendo kwa kumsaidia Raisi JPM

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Před 3 lety +6

    Tatizo mama unaongea bila kuchukua hatua yoyote.chukua atua haraka sana sana. Ndio utasonga mbele hongea sana

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 Před 3 lety

      Ilondioneno yeye akiongea akitoka wembeuleule

    • @florianmtunzi9899
      @florianmtunzi9899 Před 3 lety

      Sekta ya afya wasomi wachache uwez kufukuza kila mtu n lazima uwape muda na kuwakumbusha taratibu za kazi,,

  • @hazelsoko1594
    @hazelsoko1594 Před 3 lety

    Muhimbili Dr Gwajima Waziri ufike.....wanakimbizwa Mloganzila wakaonokee huko.

  • @eliachacky7562
    @eliachacky7562 Před 3 lety

    Mama toka nao nnje hao wanatesa sana wagonjwa

  • @mjinihakuna5550
    @mjinihakuna5550 Před 3 lety

    Hapa Raisiwetu kapata waziri konki mama anaejielewa anaejiamini mtanyookatu

  • @rupiajane6506
    @rupiajane6506 Před 3 lety

    Mama asante ocean road hapohapooo walikuaga wanaficha faill LA marehemu baba yangu ,,mkitoa hela mnaletewa ctasahauuu

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 Před 3 lety +5

    Majambazi qatakiona chamtakuni

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 3 lety +4

    Jamani hivi Tanzania ilikuwa ikiogozwaje? Uongozi ulikuwepo hata tungefanya nini maendeleo yalikuwa ni vigumu kuyatimiza. Baada ya miaka hii mitano, tukitaka Tanzania bora lazima Dr Magufuli na timu yake aongezewe miaka mingine saba kuiweka Tanzania sawa.

  • @eliachacky7562
    @eliachacky7562 Před 3 lety +2

    Mama ningefanikiwa kukuona ningekupa zawadi ambayo hujawahi kupewa

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560 Před 3 lety +1

    Safi sana mama mkubwa

  • @renatusmatungwa6800
    @renatusmatungwa6800 Před 3 lety +4

    Yani huyu mama na Jafo ndo mawaziri bora

  • @bongobongo1755
    @bongobongo1755 Před 3 lety +4

    Watu walikuwa wanafanyakazi wakitaka hapa kuwa na MTU wa kufatilia, sasa huyu wizara take iyo wata nyooka

  • @valentinekitogo5151
    @valentinekitogo5151 Před 3 lety

    Kazi inaendelea.

  • @yohanesfelix7534
    @yohanesfelix7534 Před 3 lety +9

    Miongoni mwa mawaziri huyu mama ana kitu cha kipekee.Nimeona comment moja kuwa huyu mama angefaa kuwa waziri mkuu, naunga mkono lakini wacha asafishe hii wizara.

  • @mariambilonkwa5183
    @mariambilonkwa5183 Před 3 lety +3

    Huyu mama aje kuwa MAKAMU WA RAIS Awamu ya 6.

  • @bisekoc.k.jenjela7936
    @bisekoc.k.jenjela7936 Před 3 lety

    Safisana

  • @musasabu6969
    @musasabu6969 Před 3 lety +5

    Uzuri mh.waziri anafaham ni taaluma alyoxomea hapo hawamdanganyi

  • @omanabcd9249
    @omanabcd9249 Před 3 lety +3

    Wabane

  • @deanstephen5232
    @deanstephen5232 Před 3 lety

    Ummy Mwalimu ana la kujifunza hapa, katoka Alvaro Morata kaingia Christiano Ronaldo😂

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 Před 3 lety

    Mh Waziri njoo na huku Sumbawanga ni shida tupu.

    • @topaviator
      @topaviator Před 3 lety

      Uko haji mana kuna wachawi watupu

  • @reaganndunguru3927
    @reaganndunguru3927 Před 3 lety

    Chukua mahamuz mama kwenye afya ni shida

  • @rogerbackful
    @rogerbackful Před 3 lety

    Mama huyo

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 Před 3 lety

    Jembe la watanzania huyu mama halali hata usingizi nahis, hongera magufuli kwa kuona mbali

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe8600 Před 3 lety +2

    Vp

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před 3 lety

    Jaman nasikia mama gwajima ni mke wa mbunge gwajima

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 Před 3 lety

    Kwa hyo ocean road yote imeungua moto? Alitumia kiberiti au moto wa kawaida?Zima moto walichelewa au waliwahi ndugu mtangazaji?

  • @bilalikambo7202
    @bilalikambo7202 Před 3 lety

    H h h hao ni hasara kwa taifa

  • @abuumkumbalu9123
    @abuumkumbalu9123 Před 3 lety

    Hivi haya matatizo ya Tanzania tatizo ni wananchi au serikali

  • @doricaemmanuel2674
    @doricaemmanuel2674 Před 3 lety

    Mama njoo na kishapu kuna madudu mno

  • @shabanfitnesstv3977
    @shabanfitnesstv3977 Před 3 lety +2

    Huyu mama atakuwa Ana ukoo na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa tabora (agrey)

    • @evelynebwire7684
      @evelynebwire7684 Před 3 lety +1

      Hahahaha

    • @olivamarunda8318
      @olivamarunda8318 Před 3 lety

      Hahaha fitness umenifanya Michele Sana umeonaee nn mpk umeaema hivyo anaundg Na agery mwandri hahaaa yaani daah

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 Před 3 lety +1

      Yule Mzee mwari kwa nn hapewi wizara na yy jamani.Wangekuwa safu moja na huyu mama heeehe!

    • @shabanfitnesstv3977
      @shabanfitnesstv3977 Před 3 lety +1

      @@olivamarunda8318 anavoongea yaan na jinsi alivo makini misisitizo, ata utendaji wa huyu mama, kama unamfahamu vizuri agrey mwanri, utakuwa umenisoma

    • @shabanfitnesstv3977
      @shabanfitnesstv3977 Před 3 lety +1

      @@husseinally5550 lazima watu wangetia akili,

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 3 lety +6

    Kweli Watanzania wezangu Chadema chini nyamaza Tundu Lissu na Mbowe wangeweza kazi hii kweli?

  • @jahabdallah1829
    @jahabdallah1829 Před 3 lety

    Doooò mpeleke china pale tazara temeke fundi mzuri tu????M South Africa ja

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 Před 3 lety

      Tatizo atuaminiani unakumbuka yakuhusu ndege kuchoma Twiga wamechora wazawa

  • @reubenbuchege8577
    @reubenbuchege8577 Před 3 lety +1

    Njooni huku tujifunze neno na tumwabudu Mungu ktk Roho nakweli bonya link hii chat.whatsapp.com/Cio1IeWyfsHE9miJz12oZv

  • @mosesndahani243
    @mosesndahani243 Před 3 lety

    Ila huyu amefichua uvundo mkubwa sana.

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 Před 3 lety

    DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
    Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
    1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
    2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
    3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
    4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
    5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
    6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
    7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
    8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
    9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
    🔟 Inarutubisha mayai
    NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
    Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao
    Karibuni sana ofisini kwetu msaada zaidi
    Wasiliana kwa 0622945360 /whatsapp 0719174248

  • @cripsonkazinja7171
    @cripsonkazinja7171 Před 3 lety

    DAWA YA KUJENGA HESHIMA YA NDOA. kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
    Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
    1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
    2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
    3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
    4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
    5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
    6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
    7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
    8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
    9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
    🔟 Inarutubisha mayai
    NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
    Epuka aibu hii na rejesha furaha " dawa hii ndio kiboko yao
    Karibuni sana ofisini kwetu
    Wasiliana kwa 0764581267/0623270820

  • @eliachacky7562
    @eliachacky7562 Před 3 lety

    Yani wewe mama ningepata kuonana na wewe ningekupa zawadi ambayo hujawahi kupewa

  • @johnnonyarungwa255
    @johnnonyarungwa255 Před 3 lety

    HONGERA MJOMBA MAGU KWA KUTULETEA HIKI CHUMA WIZARA HII. ARAFU KUNA WIZARA FURANI NATAMANI UTULETEE CHUMA KAMA HIKI ILE WIZARA AIJAKAA SAWA.

  • @samsonzacharia2329
    @samsonzacharia2329 Před 3 lety

    Kweli kbsaa madaktari walifanya madudu ya kijinga kbx

  • @shamsishaaban6695
    @shamsishaaban6695 Před 3 lety

    Huyu mama watoto wake wanakazi sio kwa kuongea huko

  • @healingclinic978
    @healingclinic978 Před 3 lety

    Huyu waziri sidhani kama mme wake anamuheshimu

  • @jasperasave6173
    @jasperasave6173 Před 3 lety +1

    The problem with my beloved Tanzania every public officet will carry song cameras anywhere they go to prove that they are working.

    • @caristomwango937
      @caristomwango937 Před 3 lety +5

      It's just common every for any leading goverment official to be followed by cameras when out on assignment so doesnt it hurt you to see how those goverment officials were signing useless contracts

    • @eastafricacommunitybunge3643
      @eastafricacommunitybunge3643 Před 3 lety +1

      Bora hiyo kuwatia hofu kidogo tutasonga

    • @makongorowassira6593
      @makongorowassira6593 Před 3 lety +3

      Mention one or two countries where gov officials are not followed by the media? Stop talking if you dont have facts😀😀
      Just give us

    • @shangwehalisi7659
      @shangwehalisi7659 Před 3 lety

      @@makongorowassira6593 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @jaalabenterprises6744
      @jaalabenterprises6744 Před 3 lety +1

      @@makongorowassira6593 I real like your comment.

  • @nelsonchivaula6574
    @nelsonchivaula6574 Před 3 lety

    Uongozi wa afrika bhana mtu akiingia hutaka kuonesha Kama waliopita walikuwa hamnazo🤣🤣🤣🤣 ila watu tumezoa ndio maana tupokimya tu😁😁😁

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 Před 3 lety

      Nelison akili huna wewe,, na kinachokutesa ni wivu na roho mbaya ndo vinakusumbua

    • @nelsonchivaula6574
      @nelsonchivaula6574 Před 3 lety

      @@katwigayona8041 Acha mihemuko bro swala la akili limetoka wapi ? Kumbuka maisha yako hawezi kwenda kwa kumtegemea mtu bali ni wewe mwenyewe .Fikilia zaidi unavyo jibu comments zako coz bundle ni langu na simu ni yangu huwezi nipangia chakucoment .

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 Před 3 lety

      @@nelsonchivaula6574 acha ujinga hata kama bando ni lako na simu ni yako uchangine upuuzi rukuuangalie tu,,acha zako bhana

    • @nelsonchivaula6574
      @nelsonchivaula6574 Před 3 lety

      @@katwigayona8041 kumbe una matatizo weweunamihemuko Sana Ila tambua wenyeakili timamu huwa hawahemuki hivyo ndio maana ukiangalia comments za watu ni chache hii inamaana wanatazama facts sio nani kasema bro !! Jiheshimu kwani anachoongelea ni Cha Taifa sio Mimi wala wewe .Wenye akili hawatumii akili kukashifu watu wewe ndio wale wanao ishi kwakusuport watu ili mkono uende kinywani wengine tunashi kwa akili zetu.

  • @paull8659
    @paull8659 Před 3 lety +1

    AnajIpendekeza tu kwa JPM kwa kuiga style yake.

    • @kaundajulieth1741
      @kaundajulieth1741 Před 3 lety +10

      Kwa hiyo anayosema ni uongo?Tumia akili unapocomment !Acha ushabiki usiokuwa na tija

    • @paull8659
      @paull8659 Před 3 lety +2

      @@kaundajulieth1741 , Simply hii style ya kuumbuana mbele ya Camera siipendi. Hii ni style ya 'populism" aliyoianzisha JPM ili kujionyesha anafanya kazi na yuko upande wetu sisi walala hoi, kumbe anajitengezea jina tu. Anahitaji makofi. Hawa watendaji wadogo siyo rahisi na vyema kubishana na boss wao mbele ya camera.Hapa mama ananguruma peke yake na wanamsikiliza na kukubaliana naye tu. Mambo mengine yanahitajika vikao maalum, halafu maamuzi ndiyo kiongozi anayotoa hadharani. Mkubali msikubali hata mnitukane, nchi haindeshwi kwa kuzomeana, kuumbuana au kutumbuana hadharani. Hizo ni tabia za kishamba, kidikteta na kijinga.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 3 lety +6

      Basi wewe labda ndo unamsikia,miaka yote yuko hivyo huyo hanaga mchezo bro.Unafikiri kapewa uwaziri bure?? Huyo ni hands on..subiri uone atakavyoinyosha wizara.

    • @beaugosseadam6831
      @beaugosseadam6831 Před 3 lety +9

      Sasa wataka ajipendekeze kwa Mbowe? Kuiga vitu vizuri toka kwa wengine sokujipendekeza.

    • @andrewsam364
      @andrewsam364 Před 3 lety +7

      Unapotumwakaz lazima ufanye kaz.hao wanaosema anajipendekeza fwatilia kazizao.niwavivu wazembe nawanao subir kusimamawa.nandomaana hatuendelei.kila anapojitokeza mwafrika mwenzetu anaeweza kutuvusha bas sisi ndowakwanza kumbeza. Tutakua watumwa wafikra had lin?waafika tuamke

  • @sadikingonyani315
    @sadikingonyani315 Před 3 lety +1

    Hii ndio awamu ya tano, mtapiga maneno mpaka miaka kumi itaisha. Matatizo ya wanyonge yanaendea