RAIS SAMIA AMTAJA MBUNGE KISHIMBA, WATU WOTE HOI IKULU - "MIMI NAMUELEWA SANA YULE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 04. 2021
  • RAIS SAMIA AMTAJA MBUNGE KISHIMBA, WATU WOTE HOI IKULU - "MIMI NAMUELEWA SANA YULE"
    RAIS Samia Suluhu Hassan, ameitaka wizara ya Elimu, kutafuta namna bora ya kuanzisha mtaala ambao utakuwa na tija kwa wanafunzi ili iwe rahisi kwao kujiajiri pale wanapohitimu vyuo.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 54

  • @jackobchibago1812
    @jackobchibago1812 Před 3 lety +4

    Asante mama kwa kumuelewa Kishimba. Naamini hili swala sasa litafanyiwa kazi.

  • @hermansasuri9743
    @hermansasuri9743 Před 3 lety

    Hongeraaa saana mheshimiwa Mama yetu na Rais wetu mpendwa, tunakupenda saana,Mungu aendeleee kukupigania Mama yetu.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 3 lety +4

    Mama umeanza kwa speed kubwa sana!!

  • @johnsonpaul2883
    @johnsonpaul2883 Před 3 lety +4

    Aisee mama Mimi nimekuelewa vzr tuu naona unabalance mzani na unasema ukweli kabisaaa haswaa kwa mbunge yule kishimba japo anajifafanua Kama ajasoma lakini mawazo yake ni zaidi ya chuo kikuuu pale haswa ukizama in deep na anapointi nyingi Sana za msingi ushari mama kaa naye yule anavitu vaziada vya kuikomboa Tanzania kwa kutumia ubongo wetu wenyewe

    • @florakapesa923
      @florakapesa923 Před 3 lety

      Mam nimekuelewa Sana YESU akutunze ni kweli kabisaa

  • @ericron6115
    @ericron6115 Před 3 lety +5

    Mimi bado nasikiliza Kiswahili chake kinanitosha....dah mama....

  • @stellakatega2033
    @stellakatega2033 Před 3 lety +1

    Jamani mungu aitwe mungu ndo mtawala wa ulimwengu tz mwanamke hakudhaminiwa ktk elimu haya Leo hii anaongoza nchi 🇹🇿🙏💃wanawake hoyeee

  • @ashelyabely7854
    @ashelyabely7854 Před 3 lety +1

    Huyu Raisi nimwelewa Mungu akurinde nawabaya wasiokupenda

  • @SYLMASVISIONFORSCIENCE
    @SYLMASVISIONFORSCIENCE Před 3 lety +5

    Kishimba oyeeeeee

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 Před 3 lety

    Asante sana mama barikiwa sanaa

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant5170 Před 3 lety

    Nimeipenda Sana hii mama Mh. Rais. Elimu lazima owe na manufaa

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972

    Mama samia suluhu raisi, umenena vema kuhusu elimu. Dawa ni ile Sera tu ya 2014, mm nimeisoma iko vizuri sana.

  • @sakinakisiwa358
    @sakinakisiwa358 Před 3 lety

    Ich liebe dich Mama cause you are brilliant so much

  • @shabanidd3268
    @shabanidd3268 Před 3 lety +1

    Rais hongela sana sana kwa elimu hii hatufk

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 Před 3 lety +2

    Mama umeongea, kweli yule baba alibezwa iliniuma sana

  • @aristidepaul2880
    @aristidepaul2880 Před 3 lety

    Hapo kwenye kumuandaa mtoto namna ya kujiajiri umeona vyema hongera sana

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 Před 3 lety +1

    Unayoyasema Mheshimiwa Samia, ni kweli kabisa. Sababu hao wazungu mnaowaona wakuja kujenga mabarabara, siyo wote ni wa chuo kikuuu. Hao wanaenda kwenye ufundi Kuanzia wakiwa sekondari na wakati huhuo wanafanya masomo hayo kwa Vitendo mpka wa napata diploma. Na wakimaliza, wanauwezo wa kufanya kazi, au kuendelea juu zaidi. Masomo ya Vitendo ni muhimu sana.

  • @nazarethmanase4474
    @nazarethmanase4474 Před 3 lety +1

    Mama asante sana kuhusu elim yetu iwe ya kumsaidia mtz na sikumpa sifa tu.

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 Před 3 lety

    Kishimba his educated my his experience of doing his physical work not in book and only writing he hav experience even business field but dont want to boost him bcouse of his grade 7 educated only ,but his going to keep Tanzanian in good position if u given him a one chance mama ,

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 Před 3 lety +1

    Wabunge wakifika bungeni wanajisahau kama wapo pale kwa ajili ya wananchi

  • @audaceleroi1370
    @audaceleroi1370 Před 3 lety +4

    Darasa la 7 oyeeeee

  • @meshackpaul4978
    @meshackpaul4978 Před 3 lety +7

    Daaah! Nimefurah Sana mama Samia kwa kutambua akili nzuri ya mbunge kishimba! Hakika mtaala wa elimu unapaswa ubadilishwe watu wafundishwe ujuzi zaidi kuliko kukalili theory na majibu ya kujibia mitihani wakati utaalam zero!

    • @luzambiajohn8470
      @luzambiajohn8470 Před 3 lety +1

      Asantee kwel mnatupotezea muda tunasahau kilakitu Cha kijijini afu tujiajiri

    • @nasrabel3687
      @nasrabel3687 Před 3 lety

      Tunadai madai mengi walimu hatujalipwa

    • @matukimerchant5170
      @matukimerchant5170 Před 3 lety +1

      Meshack upo sawa kabisaa

    • @mwlutenga
      @mwlutenga Před 3 lety

      ASANTE MAMA MFUMO WA ELIMU LAZIMA UPITIWE UPYA TENA HARAKA...

    • @mbarakahussein9641
      @mbarakahussein9641 Před 3 lety

      Kukariri kuna kuja baada ya kufundishwa kitu usichokielewa kwa lugha usioielewa alafu unapewa mtihani hata yale maneno yanatumika magumu zaidi ya yale ambayo hukuyaelewa wakati unafundishwa .
      Hapa Suluhisho la kwanza lugha kuanzia msingi hadi chuo ni kiswahili tu, nafikiria walimu wataona kuwa wanachofundisha hakina maana maana, kwasababu hata wao wanafundisha baada ya Kukariri mashuleni,
      Na wengi wa walimu hawaelewi pia wanachokifundisha kutokana na lugha na kujitoa kwa kazi Hiyo,

  • @hamismwacha3873
    @hamismwacha3873 Před 3 lety

    Safi sana mama

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 3 lety

    Safii mama

  • @eatlawe
    @eatlawe Před 3 lety

    Kishimba ana akili kupita baadhi ya wasomi waliokotwa majalalani! Very critical. Watu hawo ndio wanatakiwa kupewa udaktari wa heshima wa uchumi kwani pesa katengeneza kushindi maprofesa waliowahi kuitwa maprofesa uchwara ambao baadhi hata baada ya kupata nafasi kuelimisha Watanzania wengi wakiteuliwa wanaona wameokotwa toka jalalani!

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 Před 3 lety

    Mama hongera saana! Kweeli mfumo wa elimu ni mgumu Waziri naomba angalia kwa
    Hicho la mbali tuwe na competitively base! Mtaala ni mgumu upo very static na viongozi hawataki kuruhusu mabadiliko! Lazima viongozi wawe dynamic tubadilike kwenye utoaji wa elimu jwa kuangalia fursa zilizop kwa kwa sasa na siyo kwa mazoea!!! Wawekezaji wetu wanakuja na Technology mpya lazima kuwepo na room ya kuchukua huo ujuzi wao ili mwisho wa siku guru this hizo ajira zao

    • @gasperswai6963
      @gasperswai6963 Před 3 lety +2

      Hata mitaaala ya vyuo lazima tufanye research tujue kama inaweza ku accomody demand ya solo la ajira kwa mfano direct on line circuit ni important kwa sasa but not necessary kufunga direct on line circuit tena leo tuna kitu ninaitwa Plc -programmable logic control, kuna scada lazima tubadilie!!! Unamfundisha student kukwesha field wakati kwa kutumia scada anaweza kuendesha plant mwenyewe au na wasaidizi wachache, tubadilike

    • @ezekielkiduge7607
      @ezekielkiduge7607 Před 3 lety

      Mama Suluhu Hasani oYeeeee MUNGU wetu akuaidie

  • @makwenzimuller8677
    @makwenzimuller8677 Před 3 lety

    Prof Kishimba aliongelea swala la Bangi.... Mama Samia liangalie hilo.... Bangi ina pesa nyingi Weka sheria ilimwe

  • @kvpgospelhighstep1418
    @kvpgospelhighstep1418 Před 3 lety

    Hakika mama mimipia nilijiuliza maswali mengi sana niliposkia akisema hivyo Mr kishimba

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 Před 3 lety +1

    Yaan utazani mam nichadema na cyo ccm duu cjui alikuaga wapi jamanii asante mungu kwakumleta huyu mtu tz yetu

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Před 3 lety +2

    Namuelewa sana mama. Katika hili umenigusa!

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Před 3 lety

    Umeongea vzr lkn je hao walioathiriwa na Elimu hyo ya nadharia na hawajapata ajira unawadaodiaje?

  • @honestmushi7517
    @honestmushi7517 Před 3 lety

    Mama Kwa hali hiii ata ukiwa rais wa milele so mbaya

  • @saulimmbaga.safisana9556

    Shkamoo mama

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 Před 3 lety

    Wanawake oyeeeee,ajiajiri na wakati huo wewe unayesema umeajiriwa kwa Nini wewe usijiajiri mwenyewe? Ajira ni muhimu sana

  • @saidmatola8015
    @saidmatola8015 Před 3 lety

    Shida ya nchi hii ni maprofesa, wawekeni watu wenye elimu kawaida nchi maendeleo yatakuwapo....

  • @jumamnyambwa3490
    @jumamnyambwa3490 Před 3 lety

    B

    • @adventinakajuna7026
      @adventinakajuna7026 Před 3 lety

      MAMA SIMAMIA RASILIMALI ZA NCHI WASIKUYUMBISHE KUHUSU UMEME WA RUFJI NA BANDARI HIVI VISIBADILISHWE KWA AJILI YA MASILAHI YA WACHACHE

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 3 lety

    Elimu iendane na mazingira ya taifa letu.

  • @georgemartinmwakalindile2700

    Mama ame chambuwa chambuwa sectors kadha wa kadha......watendaji,anza leo kusimamia aliyo yasema!! Ameyaandika na kuwasomea!! Ohooooooo....dhuruma,ujinga ujinga kesha sema hataki!!.....madawa kimemkera kile cha wazee madawa wanalipishwa..!!

  • @omarjumanne2698
    @omarjumanne2698 Před 3 lety

    DI T kimefanywa choo cha watu mifukoni mwao

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před 3 lety

    KWELI KABISA
    WANARUDI MITAANI HAWAJUI CHOCHOTE KAZI KUTUVIMBIA TU NA KUTUIBIA KIUJANJA UJANJA TU