RAIS SAMIA AMTAJA MBUNGE KISHIMBA, WATU WOTE HOI IKULU - "MIMI NAMUELEWA SANA YULE"
Vložit
- čas přidán 5. 04. 2021
- RAIS SAMIA AMTAJA MBUNGE KISHIMBA, WATU WOTE HOI IKULU - "MIMI NAMUELEWA SANA YULE"
RAIS Samia Suluhu Hassan, ameitaka wizara ya Elimu, kutafuta namna bora ya kuanzisha mtaala ambao utakuwa na tija kwa wanafunzi ili iwe rahisi kwao kujiajiri pale wanapohitimu vyuo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Asante mama kwa kumuelewa Kishimba. Naamini hili swala sasa litafanyiwa kazi.
Hapo mama tupo pa1 kwenye elimu kwetu mtihan
Hongeraaa saana mheshimiwa Mama yetu na Rais wetu mpendwa, tunakupenda saana,Mungu aendeleee kukupigania Mama yetu.
Mama umeanza kwa speed kubwa sana!!
Aisee mama Mimi nimekuelewa vzr tuu naona unabalance mzani na unasema ukweli kabisaaa haswaa kwa mbunge yule kishimba japo anajifafanua Kama ajasoma lakini mawazo yake ni zaidi ya chuo kikuuu pale haswa ukizama in deep na anapointi nyingi Sana za msingi ushari mama kaa naye yule anavitu vaziada vya kuikomboa Tanzania kwa kutumia ubongo wetu wenyewe
Mam nimekuelewa Sana YESU akutunze ni kweli kabisaa
Mimi bado nasikiliza Kiswahili chake kinanitosha....dah mama....
😂😂😂😂
Jamani mungu aitwe mungu ndo mtawala wa ulimwengu tz mwanamke hakudhaminiwa ktk elimu haya Leo hii anaongoza nchi 🇹🇿🙏💃wanawake hoyeee
Z
Qq,zq
Huyu Raisi nimwelewa Mungu akurinde nawabaya wasiokupenda
Kishimba oyeeeeee
Asante sana mama barikiwa sanaa
Nimeipenda Sana hii mama Mh. Rais. Elimu lazima owe na manufaa
Mama samia suluhu raisi, umenena vema kuhusu elimu. Dawa ni ile Sera tu ya 2014, mm nimeisoma iko vizuri sana.
Ich liebe dich Mama cause you are brilliant so much
Rais hongela sana sana kwa elimu hii hatufk
Mama umeongea, kweli yule baba alibezwa iliniuma sana
Hapo kwenye kumuandaa mtoto namna ya kujiajiri umeona vyema hongera sana
Unayoyasema Mheshimiwa Samia, ni kweli kabisa. Sababu hao wazungu mnaowaona wakuja kujenga mabarabara, siyo wote ni wa chuo kikuuu. Hao wanaenda kwenye ufundi Kuanzia wakiwa sekondari na wakati huhuo wanafanya masomo hayo kwa Vitendo mpka wa napata diploma. Na wakimaliza, wanauwezo wa kufanya kazi, au kuendelea juu zaidi. Masomo ya Vitendo ni muhimu sana.
Mama asante sana kuhusu elim yetu iwe ya kumsaidia mtz na sikumpa sifa tu.
Kishimba his educated my his experience of doing his physical work not in book and only writing he hav experience even business field but dont want to boost him bcouse of his grade 7 educated only ,but his going to keep Tanzanian in good position if u given him a one chance mama ,
Wabunge wakifika bungeni wanajisahau kama wapo pale kwa ajili ya wananchi
Darasa la 7 oyeeeee
Oyeeeeeeeeeee
Daaah! Nimefurah Sana mama Samia kwa kutambua akili nzuri ya mbunge kishimba! Hakika mtaala wa elimu unapaswa ubadilishwe watu wafundishwe ujuzi zaidi kuliko kukalili theory na majibu ya kujibia mitihani wakati utaalam zero!
Asantee kwel mnatupotezea muda tunasahau kilakitu Cha kijijini afu tujiajiri
Tunadai madai mengi walimu hatujalipwa
Meshack upo sawa kabisaa
ASANTE MAMA MFUMO WA ELIMU LAZIMA UPITIWE UPYA TENA HARAKA...
Kukariri kuna kuja baada ya kufundishwa kitu usichokielewa kwa lugha usioielewa alafu unapewa mtihani hata yale maneno yanatumika magumu zaidi ya yale ambayo hukuyaelewa wakati unafundishwa .
Hapa Suluhisho la kwanza lugha kuanzia msingi hadi chuo ni kiswahili tu, nafikiria walimu wataona kuwa wanachofundisha hakina maana maana, kwasababu hata wao wanafundisha baada ya Kukariri mashuleni,
Na wengi wa walimu hawaelewi pia wanachokifundisha kutokana na lugha na kujitoa kwa kazi Hiyo,
Safi sana mama
Safii mama
Kishimba ana akili kupita baadhi ya wasomi waliokotwa majalalani! Very critical. Watu hawo ndio wanatakiwa kupewa udaktari wa heshima wa uchumi kwani pesa katengeneza kushindi maprofesa waliowahi kuitwa maprofesa uchwara ambao baadhi hata baada ya kupata nafasi kuelimisha Watanzania wengi wakiteuliwa wanaona wameokotwa toka jalalani!
Mama hongera saana! Kweeli mfumo wa elimu ni mgumu Waziri naomba angalia kwa
Hicho la mbali tuwe na competitively base! Mtaala ni mgumu upo very static na viongozi hawataki kuruhusu mabadiliko! Lazima viongozi wawe dynamic tubadilike kwenye utoaji wa elimu jwa kuangalia fursa zilizop kwa kwa sasa na siyo kwa mazoea!!! Wawekezaji wetu wanakuja na Technology mpya lazima kuwepo na room ya kuchukua huo ujuzi wao ili mwisho wa siku guru this hizo ajira zao
Hata mitaaala ya vyuo lazima tufanye research tujue kama inaweza ku accomody demand ya solo la ajira kwa mfano direct on line circuit ni important kwa sasa but not necessary kufunga direct on line circuit tena leo tuna kitu ninaitwa Plc -programmable logic control, kuna scada lazima tubadilie!!! Unamfundisha student kukwesha field wakati kwa kutumia scada anaweza kuendesha plant mwenyewe au na wasaidizi wachache, tubadilike
Mama Suluhu Hasani oYeeeee MUNGU wetu akuaidie
Prof Kishimba aliongelea swala la Bangi.... Mama Samia liangalie hilo.... Bangi ina pesa nyingi Weka sheria ilimwe
Hakika mama mimipia nilijiuliza maswali mengi sana niliposkia akisema hivyo Mr kishimba
Yaan utazani mam nichadema na cyo ccm duu cjui alikuaga wapi jamanii asante mungu kwakumleta huyu mtu tz yetu
Kwani chadema ndy waliongea hiyo point
Kakojoe ulale
Namuelewa sana mama. Katika hili umenigusa!
Umeongea vzr lkn je hao walioathiriwa na Elimu hyo ya nadharia na hawajapata ajira unawadaodiaje?
Mama Kwa hali hiii ata ukiwa rais wa milele so mbaya
Shkamoo mama
Wanawake oyeeeee,ajiajiri na wakati huo wewe unayesema umeajiriwa kwa Nini wewe usijiajiri mwenyewe? Ajira ni muhimu sana
Shida ya nchi hii ni maprofesa, wawekeni watu wenye elimu kawaida nchi maendeleo yatakuwapo....
B
MAMA SIMAMIA RASILIMALI ZA NCHI WASIKUYUMBISHE KUHUSU UMEME WA RUFJI NA BANDARI HIVI VISIBADILISHWE KWA AJILI YA MASILAHI YA WACHACHE
Elimu iendane na mazingira ya taifa letu.
Mama ame chambuwa chambuwa sectors kadha wa kadha......watendaji,anza leo kusimamia aliyo yasema!! Ameyaandika na kuwasomea!! Ohooooooo....dhuruma,ujinga ujinga kesha sema hataki!!.....madawa kimemkera kile cha wazee madawa wanalipishwa..!!
DI T kimefanywa choo cha watu mifukoni mwao
KWELI KABISA
WANARUDI MITAANI HAWAJUI CHOCHOTE KAZI KUTUVIMBIA TU NA KUTUIBIA KIUJANJA UJANJA TU