MKASA NZITO WA DEREVA BODABODA ANAEISHI NA JINI MAHABA ,MASHARTI MAKALI INASIKITISHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 05. 2024
  • MKASA NZITO WA DEREVA BODABODA ANAEISHI NA JINI MAHABA ,MASHARTI MAKALI INASIKITISHA

Komentáře • 29

  • @tawsi-yc3nk
    @tawsi-yc3nk Před 2 měsíci +2

    Mungu ni kila kitu kwanza jini hataki usikie umeswali nashukur ulimrudia mungu hapo ndio ulimkomesha zidisha maomb kaka asirud kabisa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 2 měsíci +1

    Pole sana ndugu yangu Story yako hitawafundisha vijana wengine ❤

  • @mkwajumfupidalo6512
    @mkwajumfupidalo6512 Před 2 měsíci +2

    Nice story watching from kenya

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Před 2 měsíci +1

    Asanteni watu wa comenti kwakuniokolea Muda acha nifanye vitu vingine

  • @aishakimaro2795
    @aishakimaro2795 Před měsícem

    Mmh yaan musa wewe unavituko sana tangu unafanya biashara ya mayai na karanga makoka sekondari ndo hivyo hivyo kwauongo hujambo wew

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 měsíci

    Wewe Iliokuponza Iyo Elfu5 Kwa Tamaa Zako Ujakua Kwenye Haki Iyo Elfu Tano Ndio Luusa Kati Yako Na Yake Ukiwa Njiani Usiku Epuka Tamaa Simama Kwenye Haki Mwanzo Mwisho Ukikosea2 Hata Kwa Shilingi Mia Itakutokea Puani Hata Mchawi Akulogi Bila Kukutafutia Sababu Acheni Tamaa Za Pesa Kama Mlipatana Buku Chukua Buku Yako Nenda Kama Umekosa Shukuru Mungu2

  • @khamisidowany6262
    @khamisidowany6262 Před 2 měsíci

    Omar endelea kubisha hvyo hvyo hii ni dunia ya mambo meng sana utawabishia ata madereva wa malor wanao ona watu wanaenda kuzka ucku.au mtt kacmama barabaran

  • @user-hb9jo6hm2j
    @user-hb9jo6hm2j Před 2 měsíci

    Sina neno.

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 Před 2 měsíci

    Nimecheka sanaaaa ETI nlikuwa nafanya mchezo 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saimonkitomo3724
    @saimonkitomo3724 Před 2 měsíci

    Wewemwongo

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Před 2 měsíci

    Chukua mafuta ya nayoitwa mission jipake masikioni ataondoka tu

  • @DaheerK
    @DaheerK Před 2 měsíci

    Siyo story boda malaya san

  • @aishakimaro2795
    @aishakimaro2795 Před měsícem

    Wewe kwenu pale kuna pori gani nyumba yenu ipo barabarani kabisa

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Před 2 měsíci

    Mtoto wa dar uuze karanga na mayai????? Siamini

  • @JumaBakari-ld5rr
    @JumaBakari-ld5rr Před 2 měsíci

    Unajua jini mahaba ww ,Kuna jini na jini mahaba ,jini mahaba hauwez kuliona jini linaweza kujiweka mazingira ya binadamu wakawaida mnavyotunga stor ziendane na ukweli mtatuvutia ila hii ni uongo

    • @zulfajuma8394
      @zulfajuma8394 Před 2 měsíci

      Jini mahaba anakuja kwanjia ya binadamu, ,ndo wanatokea nakuanza kutongoza watu mwisho wa siku ukimkosea anajizihirisha ujini wake nakukuambia kabisa yy nijini mahaba cjui unataa nn sasa

  • @Omary-lz6vx
    @Omary-lz6vx Před 2 měsíci +1

    Waongo Hawa mbwa mnapotosha jamii stor za kutunga

  • @saimonkitomo3724
    @saimonkitomo3724 Před 2 měsíci

    Kamaalikutananamkasahuuasingekuanashindwakuelezea

    • @edithaeugeni9695
      @edithaeugeni9695 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂Kwelii kabsa ange tiririka tu

  • @user-qh8jb9kh6i
    @user-qh8jb9kh6i Před 2 měsíci

    Huyu jamaa ni muongo huyu ni mcheza film na sere dogo

  • @currencynetwork3064
    @currencynetwork3064 Před 2 měsíci +1

    😂😂😂, hili zee,ongo, sana, linatuongopea, na stori, za kusadikika.

    • @Rickshine-tx2dl
      @Rickshine-tx2dl Před 2 měsíci

      Ka hauamn left hujatumwa usikilize.leta yakoo ya ukwel☹️

  • @ngurukitv4584
    @ngurukitv4584 Před 2 měsíci +2

    Good job bro follow back ❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪👀👋