Wewe Iliokuponza Iyo Elfu5 Kwa Tamaa Zako Ujakua Kwenye Haki Iyo Elfu Tano Ndio Luusa Kati Yako Na Yake Ukiwa Njiani Usiku Epuka Tamaa Simama Kwenye Haki Mwanzo Mwisho Ukikosea2 Hata Kwa Shilingi Mia Itakutokea Puani Hata Mchawi Akulogi Bila Kukutafutia Sababu Acheni Tamaa Za Pesa Kama Mlipatana Buku Chukua Buku Yako Nenda Kama Umekosa Shukuru Mungu2
Omar endelea kubisha hvyo hvyo hii ni dunia ya mambo meng sana utawabishia ata madereva wa malor wanao ona watu wanaenda kuzka ucku.au mtt kacmama barabaran
Unajua jini mahaba ww ,Kuna jini na jini mahaba ,jini mahaba hauwez kuliona jini linaweza kujiweka mazingira ya binadamu wakawaida mnavyotunga stor ziendane na ukweli mtatuvutia ila hii ni uongo
Jini mahaba anakuja kwanjia ya binadamu, ,ndo wanatokea nakuanza kutongoza watu mwisho wa siku ukimkosea anajizihirisha ujini wake nakukuambia kabisa yy nijini mahaba cjui unataa nn sasa
Mungu ni kila kitu kwanza jini hataki usikie umeswali nashukur ulimrudia mungu hapo ndio ulimkomesha zidisha maomb kaka asirud kabisa
Pole sana ndugu yangu Story yako hitawafundisha vijana wengine ❤
Nice story watching from kenya
oh kenyans, you are around? karibu sana ndugu yetu
Asanteni watu wa comenti kwakuniokolea Muda acha nifanye vitu vingine
Mmh yaan musa wewe unavituko sana tangu unafanya biashara ya mayai na karanga makoka sekondari ndo hivyo hivyo kwauongo hujambo wew
Wewe Iliokuponza Iyo Elfu5 Kwa Tamaa Zako Ujakua Kwenye Haki Iyo Elfu Tano Ndio Luusa Kati Yako Na Yake Ukiwa Njiani Usiku Epuka Tamaa Simama Kwenye Haki Mwanzo Mwisho Ukikosea2 Hata Kwa Shilingi Mia Itakutokea Puani Hata Mchawi Akulogi Bila Kukutafutia Sababu Acheni Tamaa Za Pesa Kama Mlipatana Buku Chukua Buku Yako Nenda Kama Umekosa Shukuru Mungu2
Omar endelea kubisha hvyo hvyo hii ni dunia ya mambo meng sana utawabishia ata madereva wa malor wanao ona watu wanaenda kuzka ucku.au mtt kacmama barabaran
Sina neno.
Nimecheka sanaaaa ETI nlikuwa nafanya mchezo 😂😂😂😂😂😂😂😂
Wewemwongo
Chukua mafuta ya nayoitwa mission jipake masikioni ataondoka tu
Siyo story boda malaya san
Wewe kwenu pale kuna pori gani nyumba yenu ipo barabarani kabisa
Mtoto wa dar uuze karanga na mayai????? Siamini
Unajua jini mahaba ww ,Kuna jini na jini mahaba ,jini mahaba hauwez kuliona jini linaweza kujiweka mazingira ya binadamu wakawaida mnavyotunga stor ziendane na ukweli mtatuvutia ila hii ni uongo
Jini mahaba anakuja kwanjia ya binadamu, ,ndo wanatokea nakuanza kutongoza watu mwisho wa siku ukimkosea anajizihirisha ujini wake nakukuambia kabisa yy nijini mahaba cjui unataa nn sasa
Waongo Hawa mbwa mnapotosha jamii stor za kutunga
Wewe kila kitu unaona uwongo kwasababu kichwa chako akina knowledge ya utambuzi
Haongop ban😂😂
Acha lugha chafu boss
Hayaja kukuta, siku ikitokea kwako ndio utaamini👺👺
Haya mambo yapo jmn
Kamaalikutananamkasahuuasingekuanashindwakuelezea
😂😂😂😂😂Kwelii kabsa ange tiririka tu
Huyu jamaa ni muongo huyu ni mcheza film na sere dogo
😂😂😂, hili zee,ongo, sana, linatuongopea, na stori, za kusadikika.
Ka hauamn left hujatumwa usikilize.leta yakoo ya ukwel☹️
Good job bro follow back ❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪👀👋