DR.MANYAUNYAU ,WAUMINI WA MCHUNGAJI WA BUZA ,WENGI NI WAISLAMU INASIKITISHA SANA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • DR.MANYAUNYAU ,WAUMINI WA MCHUNGAJI WA BUZA ,WENGI NI WAISLAMU INASIKITISHA SANA..

Komentáře • 119

  • @user-wb1th3gn3k
    @user-wb1th3gn3k Před měsícem +1

    YESU YU KARIBU KUJA ,ATAKUJA KUCHAMBUA NGANO NA MAGUGU, WATEULE WA BWANA ZIDISHENI KUJITAKASA

  • @GraceWilliam-d1w
    @GraceWilliam-d1w Před měsícem

    Daah!!! Kweli yesu kiboko leo manyaunyau umeubiri injili daaah!

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Před měsícem +2

    Kumbe Yesu unamjua Safi Sana huyo ni kiboko ya wachawi Yesu kristo WA Nazareth

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 Před měsícem

      Kiboko wa wachawi?Mbona alishindwa kujikinga asiuwawe na Wahuni wa Kiyahudi?

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Před měsícem

      @@ramadhanwilbard8196 Soma huyo Allah yupo motoni anaomba kunusuriwa 47:7 usikose kusoma kwaiyo anwaomba nyie waislamu WA kibinadamu na waislamu WA kijini mapepo wachafu mashetani mliomuamini mkamunusuru mwenyezi mungu wenu kazi mnayo waislamu mnapotea mkiona hivihivi

    • @user-tt1nm9xs4n
      @user-tt1nm9xs4n Před měsícem

      ​@@ramadhanwilbard8196wapi?

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c Před měsícem

    Asante sana mdogo angu

  • @bakariyusuph-uf7nc
    @bakariyusuph-uf7nc Před měsícem +2

    Hao sio waisilamu na wakienda huko wanaenda kama wanavyoenda kwa mganga

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Před měsícem +4

    Kiboko ya wachawi amekualibia uchawi wako kazi unayo umejiita mchawi kijana mdogo hachana na hiyo kazi njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone

    • @K-go1qj
      @K-go1qj Před měsícem

      Kiboko kaharibu biashara za wengi wakiwemo Sharif majini

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Před měsícem

      @@K-go1qj majini ni ndungu zao waislamu majini ni waislamu wanajua

    • @user-iy7xy1np7c
      @user-iy7xy1np7c Před 27 dny

      @@prochesernest5439kama nyinyi mnavojua na ushoga ndo mpka papa wenu wa uingereza kawaruhusu musengeshane

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před měsícem

    Yesu Kristo ndie kiboko ya wachawi kama hautaki kutapeliwa

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před měsícem

    Wengi sasahivi wachungaji Fillmasson

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt Před měsícem

    Utakuwa umefanya vizuri sana kaka maana watu wengi wanapotea kwa sababu ya tamaa zao

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Před měsícem

    Mungu anatosha nabii wake niyesu hao wengine Mungu atawazibitsha. Kwa matendo maana Mungu wakwel hategemei nguvu za ziada katka jambo lake but anahitaji imani au nafisi iliyosafi👉🙏

  • @user-fm4dk1ox3t
    @user-fm4dk1ox3t Před měsícem +1

    Manyau nyau ki ukweli umeongea ni ukweli wengi ni ndugu zetu wa Islam kwa kweli mwisho wa dunia

  • @LevinaModesti
    @LevinaModesti Před měsícem

    Nasema hivi ufalme mmoja hauwezi kufitiniana Kiboko ya wachawi ni mtumishi wa Mungu wa kweli mnapoteza muda kumjadil mti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe mbona nyie waganga hauwezi kufanya hayo.

  • @t.jsaidia2047
    @t.jsaidia2047 Před měsícem

    Tunakupenda ukija Ujerumani tutakufuta. Hasante ❤

  • @ainessfoya4463
    @ainessfoya4463 Před měsícem

    Hongera

  • @user-wo2ny4bk4v
    @user-wo2ny4bk4v Před měsícem

    Hongera kaka dema watu wapone

  • @EdwardMatiyashi
    @EdwardMatiyashi Před měsícem +2

    Na kukubali sana 🧌🧌🧌🧌

  • @PaschalKabaka
    @PaschalKabaka Před 19 dny

    Nilichokiona hapa unateseka sana.. Na kiboko ya wachawi.. 😂😂

  • @user-tx6nz4up5h
    @user-tx6nz4up5h Před měsícem +1

    Hapo uliposema kuwa kama kweli Yesu alikufa hapo umekosea sana mana kuruani haikubali bali biblia imeandwa alikufa, nakubaliana na wewe kuwa manabii wa uongo wametokea na wanaibia wengi lakini Bwana wetu Yesu Kristo alikufa akazikwa na siku ya tatu alifufuka kwa ajili ya dhambi zetu 1kor 15:1-4

  • @GraceWilliam-d1w
    @GraceWilliam-d1w Před měsícem

    Umeongea ukweli lakini

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi2902 Před měsícem +1

    Kumekucha,tutaona na kusikia mengi kwakweli yesu anarudi,tugeukee yesu anatupenda sote

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před měsícem

    Hao unao waita waislam. Siyowaislam kama unajiona ww muislam kanisani.unafata nini akienda atajijua mwenyewe moto ni wake. Akifa. Aliitwahuko kanisani sijajipeleka mwenyewe.

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před měsícem +2

    Tena huyo kiboko ya wachawi tapel tena mwizi mkubwa yan anawaambia waumin wake kua kawazid mpk dhambi we huogopi😂😂 lkn hao waumin wake huwaambii kitu yan ishatekwa ufahamu ipo km mizombi

  • @OmanOman-lq9jj
    @OmanOman-lq9jj Před měsícem +1

    Kazi zaunganga. Siku hizi. Hakuna. Bwana. Usitudanganye wewe. Achana. Na hao.

    • @HalimaRamadhani-w8l
      @HalimaRamadhani-w8l Před měsícem

      Umeona eeeh uyo manyau ameshakuja kutapeli watu kule tabata na kuwanyoa watu ovyoo ovyoo tu na akuna ulichosaidia majini watu wanayafuga mtaani ovyoo ovyoo tu

  • @AdamJonas-sx4mi
    @AdamJonas-sx4mi Před měsícem

    Unaipenda Tanzania nawakati munayaharibu maisha ya baadhi ya wa Tanzania acha woga wewe kikinuka Tanzania unakimbilia Nchi zingine mbona hutulii hapa ulipuliwe.

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před měsícem +4

    Uneongea fact sana kaka alo na masikio atasikia

  • @salmauae2261
    @salmauae2261 Před měsícem

    Sema sema manyau nyau nyau

  • @alinebaby9064
    @alinebaby9064 Před měsícem

    Kweli kbs kaka👍

  • @AdamJonas-sx4mi
    @AdamJonas-sx4mi Před měsícem

    Ko umekubali kwamba was isalaam Wana majini maana umesema nawewe umezaliwa nayo ko majini yanatoana yenyewe kwa yenyewe? Eti mkristo mwenye akili akafanye mudaharo na wewe we unamajini na mizimu ya kuzimu pigwa KIBOKO CHA WACHAWI hukohuko usije ukafia kwenye mikono ya watu. Tufungwe bure .

  • @HalimaRamadhani-w8l
    @HalimaRamadhani-w8l Před měsícem

    Wee mweu wewe umerogwa Nini.wewe ndio mpuuzi na mshilikina mchawi mkubwa kiboko atakuangusha fruuuuuuu

  • @AvityNjau-tz8gq
    @AvityNjau-tz8gq Před měsícem

    Umeongea point dr manyaunyau

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před měsícem

    Mganga ni Mungutu. Hakuna mwingine nyiewote mnaabudu majini wakikuambienimfanyekitu kibaya mnafanya Mungu awalaaniwote wa shilikina

  • @HalimaRamadhani-w8l
    @HalimaRamadhani-w8l Před měsícem

    Acha umbeya manyau hao waislamu anawaita kwani ondoa ujinga wako basi

  • @bahatisalum3509
    @bahatisalum3509 Před měsícem

    Unazingua Mzee. KAZI za uganga Siku Hizi Haziko Fresh .

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před měsícem +1

    Umeongea ukweli
    kanisani hakuna mıjuuza n uchawı tu

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 Před měsícem

    Kweli kabisa

  • @barakaalbert8987
    @barakaalbert8987 Před měsícem +1

    Uyu jama anasema kweli Kavita

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před měsícem

    Waganga wa kienyeji wamehamia makanisani.
    Walokole wamekuja kutuharibia Ukristo uonekane haufai

  • @HalimaRamadhani-w8l
    @HalimaRamadhani-w8l Před měsícem

    Sasa wewe manyaunyau unateseka ukiwa wapi saizi acha kimsema sema uyo mtumishi wa mungu kama kiboko ya wachawi.manyaunyau sisi tushachoka na uganga wenu buana

  • @user-yh8ny1nf3f
    @user-yh8ny1nf3f Před měsícem +1

    Vita ni kubwa sana sasaivi

  • @hildpaul7823
    @hildpaul7823 Před měsícem

    Mie mkristo naungana na wewe mnabii matapeli wengi sana

  • @bahatisalum3509
    @bahatisalum3509 Před měsícem

    DK za Mwisho Tunatangaza Biashara.Hatari Sana😂

  • @GasparMwandoe
    @GasparMwandoe Před měsícem

    Wew bro ndio Kusema nakukubali kaka

  • @OmanOman-lq9jj
    @OmanOman-lq9jj Před měsícem

    Tapeli. Wewe. Unawatapeli tuu. Mnganga nimngu bwana. Mpaka. Mngu. Apende. Diyo. Apone. Mgojwa wAko. Huyo. Diyo. Utapeli. Huyo. Wewe. Usitudanganye wewe tapeli wewe

  • @HalimaRamadhani-w8l
    @HalimaRamadhani-w8l Před měsícem

    Sasa unakataa Nini kiboko kujiita kiboko ya wachawi? Kumbe wewe unatangaza biashara Yako sisi saizi tumeshituka na nyie waganga bola tuende kwa mapasta wetu

  • @salmauae2261
    @salmauae2261 Před měsícem

    Kabisa huyo mchungaji anafukuza mtu kanisani eti toka jenga kanisa lako kweli😢

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 Před měsícem

    Kamfuate siuna nguvu uone kiboko ya wachawi nini utaonyeshwa

  • @madinajamada9180
    @madinajamada9180 Před měsícem +3

    Umelewka kaka ❤

  • @GraceWilliam-d1w
    @GraceWilliam-d1w Před měsícem

    Ipo siku utamjua yesu.ni nani

  • @JosephKulwa-rc7en
    @JosephKulwa-rc7en Před měsícem

    Kuhusu wachungaji na mashehe nimekuelewa sikuhiz wanatafuta hela tu sio mungu

  • @user-cg2tj9qz8h
    @user-cg2tj9qz8h Před měsícem

    Mimi namukuumia mungu sisemi neno

  • @judithhermann233
    @judithhermann233 Před měsícem

    Nataka kusema tu kuwa SHETANI HAWEZI AKAMTOA SHETANI MWENZAKE.

  • @OmanOman-lq9jj
    @OmanOman-lq9jj Před měsícem

    Wewe katangaze. Uchawi. Huko wewe huna. Pinya. Wewe. Tapeli. Mkubwa. Wewe. Tapeli. Wewe. Mkundu nini. Wewe. Wewe. Kanye. Huko. Usitafute. Lawama wewe

  • @SamwelJoseph-yk3cw
    @SamwelJoseph-yk3cw Před měsícem

    Tapeli mkubwa, kamanda gwajima aliwahi kuku challenge ulikimbia vibaya mno, hadi sim yake ukamkatia tapeli mkubwa wewe, kwanza okoka la sivyo utakufa katika ushetani wako na Jehanam ina kusubili.

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nh Před měsícem

    Kwali manyau

  • @wellemawancogere6932
    @wellemawancogere6932 Před měsícem

    Waambiehao wanatumia dawa za kienyeji kununulia kutendauganga siomiujiza.

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Před měsícem

    Mungu wa kweli yupo nyie tajaneni tu. Huku mkijua mamulaka yake hayapungui Wala kupunguzwa. Nakiumbe yoyote popote; haikuwezekana na haitowezekana 🙏

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před měsícem

    Mganga wakienyeji sio mtu

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 Před měsícem

    huyu aliwahi kuja buguruni mahakama ya mwanzo tukampa huduma nilikuwa simjui mama mmoja akamuita Manyaunyau mzee wa pamba

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Před měsícem +4

    KUNA VITU UMEONGEA VYA KWELI, NA VINGINE SIO KWELI. ILA NI KUSHAURI UOKOKE UMWAMINI YESU MAANA UKWELI UNAUJUA.

  • @mariamibrahim6544
    @mariamibrahim6544 Před měsícem

    Umezidiwa kete

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před měsícem

    Kama kweli amechukua dawa ya mazingaombwe kwako siuloki tu paswedi za ilimazingaombwe yasifanyike?

  • @user-um7kj5kf6p
    @user-um7kj5kf6p Před měsícem +1

    Manyaunyau wateja wamepungua huu .ni mwazo tu

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před měsícem

    Dr upo nje

  • @user-ct3tu6bo8j
    @user-ct3tu6bo8j Před měsícem +2

    Brandi gani hio wewe acha kuchafua viongozi wa dini ww kwa kutafta kiki na kutangaza uchawi wako huo ili watu wakuamini.... kweli wapo wengine wanakua niwachawi ila ww acha huo ujinga mungu mwenyewe amekataza uchawi

  • @isayacharles2850
    @isayacharles2850 Před měsícem

    Manyau sasa unaweza kujifunza sheria za mungu kupitia bible 😄

  • @OmanOman-lq9jj
    @OmanOman-lq9jj Před měsícem

    Tapeli tuli We're. Huko. Tunafanikiwa. Siku. Mbili. Tuuu. Wewe. Diyo. Mwizi. Wewe. Tapeli. Mkubwa. Wewe. Waliye. Haohao. Wajinga. Weziyo. Lakini. Sisi. Wanjanja. Hawezi. Kuniliys. Hela. Yangu. Wewe. Mjinga. Wewe. Tena. Mpubavu. Sana. Wewe. Unawatapeli. Tuu. Wewe. Sasa. Unafundisha. Nini. Sasa. Unaonge. Uchizi. Wako kuku. Mamalako wewe

  • @user-cg2tj9qz8h
    @user-cg2tj9qz8h Před měsícem

    Mimi kanichukulia sh 500000 kataka

    • @K-go1qj
      @K-go1qj Před měsícem

      Uyajui maandiko kwani

  • @user-tt1nm9xs4n
    @user-tt1nm9xs4n Před měsícem

    Laki tano hela matibabu milion mbili mpaka milion tano

  • @HoseaMbilinyi-do4iu
    @HoseaMbilinyi-do4iu Před měsícem

    Nyesu nijia iendayo uzimani

  • @OmanOman-lq9jj
    @OmanOman-lq9jj Před měsícem

    Nyiye. Matapeli nyiye. Wanganga tena matapeli. Wakubwa Sana nyiyr

  • @isayacharles2850
    @isayacharles2850 Před měsícem

    Manyau hapo unasema kweli, yesu alisema siku za mwisho watatokea manabii wa uongo watatumia jinalangu kama kivuli cha kujificha na kufanya maajabu yao, ili wawapoteze watu 🤔

  • @user-tt1nm9xs4n
    @user-tt1nm9xs4n Před měsícem

    Wataje?

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k Před měsícem +2

    Manyanyau naona kiboko ya wachawi anakuharibia kaz kakupiga pabaya okoka acha kulalamika .

  • @mariamibrahim6544
    @mariamibrahim6544 Před měsícem

    Ndumba hazina ishu ndyo maana umalia

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Před měsícem

    Sasa wazungu wanakuelewa na uganga huo?

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we Před měsícem +2

    We mhuni tu

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c Před měsícem

    Chalamila msikilize bwamdogo huyu

  • @user-ty8hu5gh4h
    @user-ty8hu5gh4h Před měsícem

    Yule jamaa simpendi anamaneno ya kashfa kwa waumini wake

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Před měsícem

    Hahaha

  • @godefroidm741
    @godefroidm741 Před měsícem

    Mimi nina swali,wewe ni muganga wa kienyeji nani mueslam?

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před měsícem

    Zana yako huiachi mbali dk

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před měsícem

    Usiwaanike loki dawa zoko zisifanye kazi ili miujiza ikikata tujue umechukua dawa zako

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 Před měsícem

    Acha .kutangaza uchawi fungua kanisa ili utumie huo unganga Kwa jina la Yesu na ww umeck

  • @user-um7kj5kf6p
    @user-um7kj5kf6p Před měsícem +1

    Uko mbioni kuokoka huna mwendo tunakuhesabia siku mfate huyo.kiboko ya wachawi ukauone huouchawi alionao. , Zakayo alishangaa miujiza ya yesu akamfata. Bado zam yako. Njoo kwa yesu

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 Před měsícem

      Kwani kuokoka Nini na yesu ninani maana tunavyojua kuokoka nimpaka ufe uhukumiwe sasa ukisha hukumiwa kwenda peponi hapo sasa ndio unasema umeokoka lakini hapa Duniani ukisema umeokoka basiujue unajidanganyatu

    • @user-um7kj5kf6p
      @user-um7kj5kf6p Před měsícem

      @@zaidiissa3714 Soma kitabu cha.injili ya yesukitakusaidia kujua yesu ni Nani na kuokoka Nini maana usipomjua yesu wewe sichochote. Yohana 3 16. Yohana 1:12 Yohana. Yohana. 14.:6. Yohana. 17:..1: . 6. Yohana. 14 13:. 14

  • @jonasdaniel1025
    @jonasdaniel1025 Před měsícem +1

    Wewe muongo tu,, unataka umalufu kwendaaaa!! Naona umeamua kuhama nchi,,huna uwezo wa kuwataja mbweha wewe,, jaribu kuwataja tuone

  • @elijahchegere4974
    @elijahchegere4974 Před měsícem

    Dr manyaunyau usimguse wala usimseme kiboko ya wachawi unaweza ukauliwa

  • @user-tt1nm9xs4n
    @user-tt1nm9xs4n Před měsícem

    Kiboko wachawi atakuua

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před měsícem

    Acha waislamu waende huko maana mashehe mmeshindwa kutatua matatizo ya wengi.
    Uchawi uchawi tu agent wa shetani

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta Před měsícem +1

      Wewe boya hujielewi, mimi mwenyewe ni shekh na hao wachungaji baadhi wanakuja kwangu kuchukuwa maji ya dua na mafuta. Mabwege nyie mnaliwa tu huko makanisani kwenu

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před měsícem

      Nikweli kabisa​@@Maalim_Samatta

  • @jonasdaniel1025
    @jonasdaniel1025 Před měsícem

    Biashara yako imeanza potezwa kwishaaaaa

  • @SamwelJoseph-yk3cw
    @SamwelJoseph-yk3cw Před měsícem

    Nenda uko gwajima alikupigia sim ili akuchallenge ulimkimbia kweli kweli,,,, mjumbe wa shetani duniani. Okoka

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před měsícem +1

    waongooo hapo hakuna mıujıza ni uongoo tı
    umesema ukweli
    wajinga ndıo waliwao
    wataliwa mpka wakome
    umesema kitu point sana!!!!!!