EXCLUSIVE ; KIBOKO YA WACHAWI AFUNGUKA KULAZIMISHA WAUMINI KUTOA SADAKA "HATA KIDOGO WANYANG'ANYENI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 137

  • @EmmanuelTate
    @EmmanuelTate Před měsícem +14

    Watu wa mungu tuwe makini sana maandiko yameshaa tuambia manabii kama Hawo watakuja wenye macho ya kiroho tumeshaa juwa nini kinaendelea

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 Před měsícem +12

    Mtangazaji nmekukubali sana maswali yako n mazuri...ila mlengwa anajua sana kuiepuka😂😂😂

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Před měsícem +23

    Wewe siyo nabii bali mganga wa kienyeji.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před měsícem +4

    Kazi ya Mungu kwann uwatoze pesa jmn ww huna wito

  • @zakariamwamburi-7940
    @zakariamwamburi-7940 Před měsícem +1

    My spiritual father watching from kenya u're right

  • @user-pt1sc4hc1k
    @user-pt1sc4hc1k Před měsícem +3

    Mungu turehemu ktk nyakati hizi mbaya

  • @ErnestLule-z7t
    @ErnestLule-z7t Před měsícem +1

    Wapige pesa sana mtumishi si hawajaamua kutii kweli ya neno ukiwa nje ya Yesu utataabika sana

  • @samweli7985
    @samweli7985 Před měsícem +5

    Kunawatu wanapenda umaskini sana

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Před měsícem +3

    Nashangaa serikali inamuacha huyu mkongo mpaka Sasa badala kumkamata

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Před měsícem +2

    Muda huongea, wakati ukuta. Hata saa mbovu huwa inasema ukweli mara mbili kwa siku !! Hata maandiko yanasema katika (Mathayo 24 : 35, Marko 13 : 31, na Luka 21 : 33 [Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe] !! Kumbuka wakati, walikuja wengi na mambo yao wakapita, watakuja na wengine na wao watapita, siku zote focus yako imtazame Mungu na sio mwanadamu awaye yeyote !! Kila mwanadamu anao uwezo wa kutenda muujiza wowote ule sharti kuu ishi maisha ambayo yanampendeza Mungu, tii sheria zake hakika utakuwa na uwezo wa ajabu !! Mbarikiwe sana

    • @nurdinmvellah4032
      @nurdinmvellah4032 Před měsícem +1

      Barikiwa Sana mtumishi, watu wang wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, jihadharini na manabii wa uongo, . Mungu aliliona hili ndo maana alitoa msisitizo mapema.

  • @nurdinmvellah4032
    @nurdinmvellah4032 Před měsícem +2

    Injili imeingiliwa, shuka mungu kwenye ufahamu wa kondoo wako😢

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 Před měsícem +2

    Ww ni mwizi kwenda kwenu Congo hacha kuibia watanzania

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 Před měsícem +2

    Mungu naomba pesa mengi nitoe kuwasaidia wanao ongea ongea hawana hela naomba mungu nisaidie pesa nyingi na mimi

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Před měsícem +2

    Amen baba

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před měsícem +2

    Ni kweli kazi ya Mungu ni garama.Watu hua wanapoenda kwa waganga wanatoa garama nyingi sana. Hivyo ni vyema kuthamini huduma za watumishi wa Mungu .

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 Před měsícem +2

    Nimecheka sana majibu ya Nabii kiboko ya wachawi nimecheka sanaa😝😝😝

  • @ramadhanimsangi9515
    @ramadhanimsangi9515 Před měsícem +3

    Tapeli huyooo

  • @WilleMtei
    @WilleMtei Před měsícem +4

    Watu amkeni ohooo

  • @NathanMwakabana-dt9xq
    @NathanMwakabana-dt9xq Před měsícem +2

    Hahahaha hahahaha ufafanuzi wa maandiko hayo aisee ni hatariii...

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s Před měsícem +2

    Huyu jamaa ana kipaji cha utangazaji aisee huyu dominic

  • @rahabmausli4183
    @rahabmausli4183 Před měsícem +2

    Nikweli Anafanya Business Aseme ukweli

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před měsícem +9

    😂😂 Wajinga ndowaliwao mnapigwa sana aisee

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Před měsícem +3

    Huyu sio mtumishi wa Mungu ni agent wa shetani

  • @Nipe9
    @Nipe9 Před měsícem +2

    Huyo ni mpiga dili

  • @engelbertnjau1622
    @engelbertnjau1622 Před měsícem +2

    Ziki nyingi mno kwa watu hawatakikufanya kazi wanataka hela raisi acha wapigwe 😂😂😂😂😂😂

  • @enocksamwel2761
    @enocksamwel2761 Před měsícem +2

    huyu jamaaa hapana😂

  • @RachelEmmanuel-r4p
    @RachelEmmanuel-r4p Před měsícem +2

    Huyo ni tapeli jamani kimbieni mnapotea

  • @yohanamorisi9027
    @yohanamorisi9027 Před měsícem +2

    😂😂zingatia neno WANAOTAKA kuanguka wanaanguka na wasiotaka hawaanguki

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 Před měsícem +2

    Hizi ni nyakati za mwisho YESU KRISTO yuko malangoni TUJITAKASE TUJIANDAYE TUWE macho wateule

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 Před měsícem

    Serikali isimrudishe huyu tapeli aende kwa kagame

  • @enocksamwel2761
    @enocksamwel2761 Před měsícem +2

    nani tuende tukaanguke😅😅😅

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 Před měsícem

    Good Job Mgosi, Kussaga.
    Umeuliza maswali mazuri sana.!

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo Před měsícem +2

    Uyo jama ni shetani

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Před měsícem +2

    Huyu mkongo ni tapeli na mganga wa kienyeji

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9n Před měsícem

    Imani yako ndo inakuponya au kukupoteza kila mtu afanye yake zaidi bila uchawi tungefanikiwa sana acha awauwe hata atumie ushirikina hayatuhusu

  • @JohnKitinyagamuga
    @JohnKitinyagamuga Před měsícem

    🎉❤😮

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před měsícem +2

    Kumbe wachawi wamekufa Arusha? Ndio alienda kuwazika

  • @AshoreAa
    @AshoreAa Před 26 dny

    Kafanikisha arusha jaman arudi

  • @GraceKazi-z8d
    @GraceKazi-z8d Před měsícem

    Amen

  • @Missionary_work
    @Missionary_work Před měsícem +4

    Ivi Yesu alitoza Zakayo Pesa. Wewe bwana TAPELI.

  • @imakulathasimon
    @imakulathasimon Před měsícem +4

    Hahaha halafu wewe kusaga unacho kitafuta utakipata

  • @user-lx6cf4jf4e
    @user-lx6cf4jf4e Před měsícem

    yesu hakuwai kutoza watu fedha kwa muona bali aliponya bure hakuchukua hata senti

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před měsícem +2

    Mmmmmmm tuombe Muñgu atupe masikio na maamzi ya tohoni

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 Před měsícem +2

    ujue wengi wanapenda uhojiwe.ili tu wackie umesema nn ili wapate kujirecod na kukushambulia kwa maneno mabaya...lkn cmama imara MUNGU yupo pamoja na ww

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před měsícem

    Hicho kidogo ulichonacho myanganyeni dah kama kwwli ni maandiko yanasema hivo hio sio dini ya mungu kwwli ni dini ilioanzishwa na kaisari 😂😂

  • @Gamba177
    @Gamba177 Před měsícem +3

    Subhaannallah huyu mshirikina na muongo anawatapeli hao wajinga wasiyoenda shule keshawaona Watanzania wengi ni mijinga sana, na ogopeni na hawa WaCongo ni matapeli sana.

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 Před měsícem +2

    Yeye mwenyewe mchawi yeye ni kiboko ya wachawi wenzake Tunawatuma Malaika wazvuruge hiyo mipango yako yote ya KICHWANI wewe mwenyewe ni mchawi wewe mwenyewe mchawi

    • @leonarddamian
      @leonarddamian Před měsícem +2

      Huyu ni tapeli,mimi yalinikuta.

    • @KAHINDITV
      @KAHINDITV Před měsícem +1

      😢😢😢😢😢pole sana wengi wanalia kutapeliwa na huyu baba kuna mama alitoa lak5 ili kumuona kufika huko hakuna unabii wwt kamuuliza shida yake nn kisha akamuambia toa lak7 nikuombee😢 bora na huyo mwingine katoa lak5 na hata kumuona hajamuona ​@@leonarddamian

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 Před měsícem

      Hizo ni ctori lkn angetoa huduma bure mngewezaje kumjua kwa televison kwa radios utubu muwe mnafikiria

  • @AlfaniMohammed-zk1hn
    @AlfaniMohammed-zk1hn Před měsícem +2

    Huyu jamaa niajent wa ibrsii hafai kuwa mtumshi

  • @alhabibsudi7997
    @alhabibsudi7997 Před měsícem

    Safi sana naomba waibie majuha hayo piga pesa MUcongo ile Mutu ya Pesa 😂😂😂

  • @WiliamMatondo
    @WiliamMatondo Před měsícem +2

    Mhh wajinga ndio waliwao

  • @ImanNjogolo
    @ImanNjogolo Před měsícem

    Anaongea kama mtu wa vigengeni.duh.toka apo

  • @aminarama711
    @aminarama711 Před měsícem

    Muache baba wachawi wakufe

  • @user-su3zd6mz6d
    @user-su3zd6mz6d Před měsícem

    Huyu jamaa nimempenda leo aseee ana ukomedi ndani yake

  • @samniza1763
    @samniza1763 Před měsícem

    He is arrogant and apeleke arrogance yake hukohuko kwao Congo. Kwanini asiwe kiboko ya wachawi Congo???..

  • @bulengedimathias6756
    @bulengedimathias6756 Před měsícem

    Mtumishi hajui pesa za Zakayo zilikoenda. sasa ujue zilipoenda tena kwa hiari yake baada ya kuamua kumfuata Yesu.
    Luka 19:8-10
    8 Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, Tazama, Bwana, nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimenyang'anya mtu kitu kwa hila namrudishia mara nne.
    9 Yesu akamwambia, Leo wokovu umefika nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Ibrahimu.
    10 Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.

  • @RehemaStannley
    @RehemaStannley Před měsícem

    Mm smeumia jaman

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před měsícem

    Kukutsna eden garden njiro saa 12 jioni, mbona ni usiku Sana. Wattu wanatoka mbali na usafiri ni wa shida pia. Basi tu tuombee wala usituache, mwenyenzi mungu akuongoze unionekanie mtumishi.

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 Před měsícem

    Na kale kadogo alikonako nmnyang'anyeni duu andiko Hilo halipo😂😂😂😂😂

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před měsícem

    Safi sana kiboko ya wachawi...man of God

  • @paulolaizer1798
    @paulolaizer1798 Před 7 hodinami

    Watu wa mungu. Tunaangamia kwa kukosa maarifa

  • @Mwenjala
    @Mwenjala Před měsícem

    Kweli baba umenena

  • @LimitlessLyfe
    @LimitlessLyfe Před měsícem

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa!

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 Před měsícem +2

    Sina hela ningekuwa nayo ningekupa milioni 20,000 na watanzania wakue hakuna bure kila kinahitaji gharama km hawawezi kutoa pesa wapite hivi hakuna bure jamani maisha imebadilika Kila kitu pesa

  • @JofryDaud-kc2du
    @JofryDaud-kc2du Před měsícem

    Mat28:19:20)kristo ali tuma watu kuwaokowa watu waovu laki sikatika kuwagamiza)

  • @YunusiAthuman-ep5mc
    @YunusiAthuman-ep5mc Před měsícem

    Tumuogope mungu duniani tunapita tuu

  • @witnesskessy9705
    @witnesskessy9705 Před měsícem

    😂😂😂 hapo kwa mchawi na mm nlimuona anamfukuza

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před měsícem

    Hongera mh nabii..nimekufuatilia utube mara nyingi Sana.. radioni pia.. Pesa mtu anatoa m wenyewe, na wanapona pia.

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya Před měsícem

    Wa Arusha ndugu zangu kuweni makini

  • @emachangale769
    @emachangale769 Před měsícem

    Mm hamna kitu kajaliwa TU kuongea sana na kutapeli watu. Mimi aliwahi kunitapeli Sina hamu naye

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před měsícem

    Zakayo aliwarudishia wenye.nazo ila Yesu nae alitumia hela kuna.watu walitoa ila kama kiboko ya wachawi anatapeli watu shauri yake yy siku za mwisho hatari sana na si kiboko ya wachawi tu watumishi waombeaji wengiwengi wamesema bahasha kwenye maviumba.ya maombi.yao wanadamu tumefanywa biashara huduma jamani ina Yesu watu walimpelekea mitume walichanga.wenyewe na watu kujitolea leo watu wanachajiwa ile yakupeleka haipo

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem

    Mbona unachukua pesa nyingi sana laki 5 unasaidia vipi sasa

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před měsícem

    Huyu ni mkongo man au mtz....
    Mwizi kama mwizi

  • @monicamichael-sr4kx
    @monicamichael-sr4kx Před měsícem

    we kiboko ya wachawi mpaka nimecheka kwa sauti

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Před měsícem

    Kweri baba

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 Před měsícem +1

    Huyu ni wauongo, narudia huyu ni wa uongo.

  • @Mwenjala
    @Mwenjala Před měsícem

    Baba hata ukisema million moja tutakuj mbn hata kwa waganga kwa mahospitalin anapeleka Zaid ya mamillion na kam Co nguvu za mungu kwa wagang mnafuatag nin ufisad umewajaa wa tanzania na bd

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 Před měsícem

    Huyu mganga wa kienyeji atawakomesha watanzania

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před měsícem

    Yeye amesema iwe usiku nani mapepo na wachawi kazi zao ni usiku usituzunguke

  • @Nipe9
    @Nipe9 Před měsícem

    Wanatoa naigeria

  • @MedyMjenga-q1n
    @MedyMjenga-q1n Před měsícem

    Wapige wajinga wengi wanakufata wenyewe hao

  • @joycekweka5416
    @joycekweka5416 Před měsícem

    Mh huyu ni tp

  • @Musaibrahimu
    @Musaibrahimu Před měsícem

    😂😂😂😂 amesema YESU ALICHUKUA FEDHA ACHA UONGO JAMANI YESU ALIFANYA KAZI BURE HAKUCHUKUA CHA MTU😮😮😮

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Před měsícem

    Huyu ni kibwetele mwingine kama wa Uganda

  • @zamdaAlliy-iu8kf
    @zamdaAlliy-iu8kf Před měsícem

    Mngutusaidie

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 Před měsícem

    Huyu freemason Katumwa mkimbienj kama ukoma

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Před měsícem

    WE NI TAPELI KAMA MATAPELI WENGINE NA UNAKWENDA ARUSHA KUWATAPELI WALE WALIOFUNGWA UFAHAMU NA WASIOIJUA KWELI..WE NI MTUMISHI WA SHETANI..

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta Před měsícem

    Watu tumezoea vitu vya bure mno wao wataishije

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 Před měsícem +2

    Haya utayapata tz tyu.

  • @WilliamMtaresi
    @WilliamMtaresi Před měsícem

    Baba nitabirie

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před měsícem

    Wewe ndo mchawi mafundisho yako hayaniingii kichwani

  • @samweli7985
    @samweli7985 Před měsícem

    Kwahiyo nyinyi mtu akiongea ukweli niwashetani, eti amkeni, maana yake mmelala au

  • @wilbertkemeli8869
    @wilbertkemeli8869 Před měsícem

    Dah huyu anayehoji ni mtu na nusu😅😅😅😅

    • @glorymanga3650
      @glorymanga3650 Před měsícem

      Anauliza maswali ambayo nayo tunafurahiaa😆

  • @DoriceHyera-tz9vq
    @DoriceHyera-tz9vq Před měsícem

    Mtume songea

  • @EufranciaNgombo
    @EufranciaNgombo Před měsícem +2

    Anaemwongelea vibaya huyu baba anamatatizo yawe kiakili yawe kiuchawi kwasababu hamwiti mtu wanaoenda wote wanashida zao na wanafanikiwa

  • @Lupembeajua
    @Lupembeajua Před měsícem

    Haya magrofus ya nini sasa?

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před měsícem

    Mpuuzi na wajinga wake

  • @user-el8rp6pd5q
    @user-el8rp6pd5q Před měsícem +2

    Watanzania tuna midomo michafu alafu atuna jema . Yaan Mtumishi amekuja kutusaidia na kutuombea na kutuondolea haya maroho yanayotutesa bado mnaropoka ungese. Mtumishi huyu nimejalibu kumfatilia sana anapenda kuongea uhalisia hapo tu ndio anapigwa vita. Kaza baba tunaokuelewa tutapona

  • @samwesupa6906
    @samwesupa6906 Před měsícem

    Mpuuzi huyu

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King Před měsícem +2

    Mi uwa sisemagi manabii..Ila huyu jamaa ni tapeli la kikongo limekuja kuwakaanga watanzania.. Hii biashara ya maji na mafuta inalipa

  • @enocksamwel2761
    @enocksamwel2761 Před měsícem

    😂😂😂