MKE WA DEREVA BODA BODA 'MIMI KUACHA KUCHEZA CHURA BORA NDOA IFE,HII NDIO KAZI YANGU NAKODIWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • MKE WA DEREVA BODA BODA 'MIMI KUACHA KUACHA KUCHEZA CHURA BORA NDOA IFE,HII NDIO KAZI YANGU NAKODIWA

Komentáře • 1,1K

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris Před měsícem +29

    Wadada wapole hatupati wanaume kama hao ila vicheche mungu anavipatia eeh mungu nipe mume kama uyo jamani

  • @dab8859
    @dab8859 Před měsícem +17

    Mm nlikua n tabia ykuchza chura ila sio sna kivile lkn sijaolewa ila nko n mpenzi wngu alikua akichekwa n wtu ananuna n kunikemea mpka huwalia n kusma namuibisha mna lkua akiniapiza ivi niwambiavyo ata kusimma chandaruani kuchza naona haya wallah n nikiona wenzngu naona kma niupumbv Asante kw mume wngu mtarajiwa kw kunibdlsha uyu dda hjampnda uyu mume angempnda angejitahidi mpka akaacha nisme Asante mungu kwkuniltea mtu wkunibadili😢

    • @TrustnoLife
      @TrustnoLife Před 28 dny

      Nna zawad yako

    • @MohamedKinega-jt4vi
      @MohamedKinega-jt4vi Před 26 dny +1

      Analitia aibu kabila la kizaramo

    • @dab8859
      @dab8859 Před 24 dny

      @@TrustnoLife nipee 😁😁😁

    • @TrustnoLife
      @TrustnoLife Před 22 dny

      @@dab8859 njoo nbox Dab

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 8 dny

      @@dab8859
      Hizo ngoma wachezeeni waume zenu wari wangu huku ikiwa taa inawaka mapenzi yatakuwa bree

  • @hakeemjr8881
    @hakeemjr8881 Před měsícem +11

    Mwanamke hampendi huyo jamaa ila jamaa ndio amezimika kinona haambiwi kitu hapo😅😅

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před měsícem +38

    Huyu dada hana akili. Hivi huyu mwanamke akiachwa atapata mume kama huyu.

    • @fifo262
      @fifo262 Před měsícem +1

      Ana hamu akutwe ni shida itakua hazijawahi kumkuta izo shida kwaio anataka zimkute

    • @MohamedKinega-jt4vi
      @MohamedKinega-jt4vi Před měsícem +1

      Tena sana na anajibu bila woga wowote hata kama amekukuta na hiyo kazi yako lakini alitakiwa abadilike kwa kuwa sasa ni mke wa mtu kama wale madada poa wanapopata mtu wa kutulia nae utulia kama sio wao, na huyo ajua radhi mume

    • @JumaSuleiman-np3eb
      @JumaSuleiman-np3eb Před měsícem +1

      Mtihani kwakweli huyu Binti Hana akili

    • @maryamtassama494
      @maryamtassama494 Před měsícem +1

      Hampati......

    • @mwashamleo9996
      @mwashamleo9996 Před měsícem +1

      Hajielew

  • @harunirashid
    @harunirashid Před měsícem +30

    Tuwe tunaangalia watu wakuoa, dar ukijichanganya kuangalia suratuu utajikuta unaoa mwajuma ndalandefu wa mtaa

  • @sarahchikoleka1438
    @sarahchikoleka1438 Před měsícem +26

    Huyu kaka naona anangangania maradhi kuletewa ndani mm na shauri achane

  • @user-xf4qs5ti5m
    @user-xf4qs5ti5m Před měsícem +14

    Mpe mimba za mfululizo hadi azeeke kabla hajafika miaka 30😂😂😂ataacha vigodoro

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před měsícem +9

    Mimi naushauri kaka wacha kuendesha bodaboda anza kupiga ngoma ndani atatulia asaule mpaka akusaule na wewe mwenyewe kama utakuwa huna ngoma ndani itakula kwako wenzio nje wanasaulana huko maana mauno yale lazima wapiga ngoma wanadindisha wakimaliza ngoma wanasaulana😢

    • @SATZ-news
      @SATZ-news Před měsícem

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @hadijaismail3619
      @hadijaismail3619 Před 16 dny

      😂😂😂

    • @SATZ-news
      @SATZ-news Před 16 dny

      @@FatimaAli-of4gh 😁😁😁😁

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 8 dny

      @@SATZ-news
      Munanicheka kwa kuwa ushauri wangu mbovu au🤣🤣🤣

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 8 dny

      @@SATZ-news
      Watu wanataka wasauliwe yy kutwa anatafuta abiria akirudi nyumbani hata nguvu za kusaula hana

  • @hellenshayo3454
    @hellenshayo3454 Před měsícem +8

    Mungu naomba uwape wanangu wake wenye hofu ya Mungu

  • @RaymonDbertha
    @RaymonDbertha Před měsícem +6

    Mkaka wa watu mpole, Daah! Mungu akuongoze

  • @noorischmutisch5321
    @noorischmutisch5321 Před měsícem +16

    Wanapendezana mashaallah Allah awaongoe kwenye ndoa yao!

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be Před 10 dny

    Yesu watu wanajuwa owa chiziaachecheza kitu nafanyakwetu sifanyekwamume❤😢

  • @ZenaZena-vx2ee
    @ZenaZena-vx2ee Před měsícem +49

    Ww dada maisha sio hivyo msikirize mmeo

    • @fifo262
      @fifo262 Před měsícem

      Apo hamna kitu kichwani akishakutwa na shida atajua kilichomtoa kanga manyoya

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před měsícem +14

    HUYO BODA BODA AMEROGWA, YAANI JICHANGU DOA LINAMPELEKESHA KAMA MSUKULE👁️👁️🤣🤣!

  • @sein.208
    @sein.208 Před 20 dny +2

    Subhana Allah
    Wee dada mwogope Mola wako na mweshimu mume wako ..Huna haya kabisa Astaghafirullah

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Před měsícem +8

    Wewe umeshakua mkubwa kwake uyo bonti awez kukuelewa maisha labda aamue mwenyew kutulia la sivyo utaita media zote mashekhe wote duniani na awez kuluelwa labda aamue mwenyewe kutulia

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Před měsícem +7

    Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa kwa mikono yake 😊

  • @DewGroupTech
    @DewGroupTech Před měsícem +45

    Kwenye hiko kichwa Cha mwanamke hakuna kitu kabisaaaa! 😂😂😂😂

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Před měsícem +6

    Utazunguka na hizo ngoma mpaka utajutaa dada kuwa mstarabu hicho kiuno cha mumeo ndani tu utajuta dada.kweli dada kichwa chako kibovu

  • @SleepyFountain-is9zt
    @SleepyFountain-is9zt Před měsícem +7

    Sio mwanamke huyo achananae ..alivyo mzuri tabia mbaya sana sijapenda kama mama

    • @user-zz5ng1yb8d
      @user-zz5ng1yb8d Před 20 hodinami

      Kabisa mshenzi mungu atakupa mwanamke mwenye heri na wewe, huyo hata akipewa mali ataenda kusaulia uko,

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Před měsícem +15

    😮! unampenda Lakini unaenda kuwafunulia chupi wapiga Ngoma yani kama kweli hayo unayoyazungumza ni kweli na huwo uzuri wako mpenzi mtihani bora iwe kiki

    • @user-sn9yp3sc2f
      @user-sn9yp3sc2f Před měsícem

      Huyo jamaa ana wakati mgumu Sana itabidi ajielewe

  • @YasminaMkali
    @YasminaMkali Před měsícem +12

    Mie nasoma comment tu...😂😂😂 sina la kusema, nisije nikaharibu ndoa ya watu.....😂😅😅

  • @SaidSaid-nr2xe
    @SaidSaid-nr2xe Před měsícem +6

    Yani kaka upewe mauwa yako katika watu wanao ongea ukweli na wanao eleweka niwewe kaka munguakupe wepesi katika ndoa yako

  • @user-jb7gw8vv5s
    @user-jb7gw8vv5s Před měsícem +4

    Aisee mungu amsaidie huyu kaka mungu akujalie make mwema dadaangu hapo inaonekana kapata mwingine

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 Před měsícem +42

    Umeowa ibilisi umeweka dani kaka pole

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před měsícem +5

    Jamani watu tunataka kupata wanaume wa kuishi nao ili tutengeneze maisha hatupati halafu ninyi mnachezea ndoa naba mke huna jipange mbona huchanganui mambo kaka

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 Před měsícem

      Huyo bint Bado mdogo akili haijatulia Bado....akikua ndio atamkumbuka huyo mwanaume

  • @abishaikibona-dk4rg
    @abishaikibona-dk4rg Před 12 dny

    Mku pole uyo mwanamke ni pasu kichwa,Tena uyo ni jini,Tena inabidi ukoo wako waandamane,Tena umezeshwe dawa ya kumsahau uyu,-Ila mwombe mungu akupe mke Mwema,Ila atakukumbuka,Kwamaana umli unaenda na kunakuchoka,Na mbaya zaidi emejidhalilisha watu wengi awatamweshimu Tena,Kwaiyo atabinuka mpaka uzeeni,

  • @user-kx5oc7nt5p
    @user-kx5oc7nt5p Před měsícem +37

    Kaka hapo mke Huna tafuta mwingne kaka😢😢

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 Před měsícem +19

    Mtihani mkubwa,pole bro

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 Před měsícem +8

    We mwanaume fala tu wewe unampeleka kwenye vyombo vya habari ulitegemea nini

  • @jacksonkalabhaye
    @jacksonkalabhaye Před dnem

    Huyoo mke hafai kwanza anajibu jeuli sana mm huyo asepe tu shida ya kuoa na mwamba nae kakosea ange mtema tafuta jiko jingine mwanamke tibia sio sura

  • @kenmwanamume5972
    @kenmwanamume5972 Před měsícem +11

    kaka mke ni tabia si urembo

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před měsícem +39

    Huyu msichana hana ubongo ana matope haaaaa 😮😮

  • @DewGroupTech
    @DewGroupTech Před měsícem +17

    Hawa ndo wale mkiwa Bado hamjaoana anajifanya anakupenda baada ya kumweka ndani anaanza ugomvi Ili mwaachane akaendelee kuuza kuma

    • @ntakirutimanaetienne592
      @ntakirutimanaetienne592 Před měsícem +1

      aenderee kuuza kuma daaa

    • @ntakirutimanaetienne592
      @ntakirutimanaetienne592 Před měsícem +1

      😂😂😂😂😂😂 bwana e umenivunja mbavu huko kwenu tz kuna mambo

    • @ntakirutimanaetienne592
      @ntakirutimanaetienne592 Před měsícem +1

      sema huyu mume nae duh kama hana rirote nikama uwa anakanyagwa

    • @DewGroupTech
      @DewGroupTech Před měsícem

      @@ntakirutimanaetienne592 hana maamuzi yakueleweka inaonekana Bado anampenda sana mke wake ila mke wake hana mpango nae ndo tatizo linaanzia hapo

    • @elishaworkout6116
      @elishaworkout6116 Před měsícem

      Mule mule mwanangu usenge huo blood tuwachape tu waende

  • @rehemamajaliwa
    @rehemamajaliwa Před měsícem +4

    Nyieee kumbe wanaume wa hivi wapooo😂😂😂😂 khaaaaaa mimi ngekua shampigaaaaaa memjeruhiiiii sio kwa majibu hayaaa

  • @DaheerK
    @DaheerK Před měsícem +6

    Kaka muache uyo kaka siyo mwanamke utapiga utauwa utaingia jela nausimpe chochote mshenz uyo

  • @faustinirichard8645
    @faustinirichard8645 Před měsícem +4

    Babu mwanamke hamna hapo utakufa presha bure mke hamna hapo,😂😂😂😂😂babuu hamna kituuuu.

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 Před měsícem +26

    Katafute mke kaka. Umejaa hekima lakini mke kikopo huyoo.

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc Před měsícem

      ASALAM ALEY KUM KAKA KIUKELI MWENYE MACHO HAAMBIWA TAZAMA MKE HUYU SIO HALALI YAKO ANGALIA ANAVYOJIBU MBELE YAKO MUACHE HUYO AENDE KWA MASHOGA ZAKE KAKA KWANZA NI MUISILAMU HALAFU ANAKAIDI AMRI YAKO MBELE YA MTANGAZAJI KWELI HANA ADABU HUYU DADA ACHANA NAYE AMESHAKWAMBIA HAWEZI KUACHA NA WEWE HUTAKI USILAZIMIAHE MAPENZI.HESHIMA NIKUACHA KUFANYA KILE AMBACHO WEWE HUKITAKI HAKUESHIMU KAKA YANGU .AMESHAKUONA WEWE NI MZAIFU YAANI HAOGPI ETI MM SIACHI.

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc Před měsícem

      NAMUONEA HURUMA HUYU DADA MASKINI PUMZI INAMDANGANYA AKILALA KITANDANI NDIO ATAJUA YAANI HAOGOPI KABISA. ILA MUONGO DADA ETI NAMPENDA KUMTII HATAKI .

    • @machakuroger7068
      @machakuroger7068 Před měsícem

      Hawezi kumwacha yeye huyo, anachezewa chura huko ndani,

  • @aishaissa2724
    @aishaissa2724 Před 22 dny +1

    Kaka anatia huruma maskini Allah akupe mke mwema mwenyew hekima kama ww😢😢😢

  • @JosephineJoseph-o9v
    @JosephineJoseph-o9v Před 4 dny

    Kaka anaumia jaman,huyo si mke kaka achana nae sio wako huyo Mungu atakipa wako.

  • @danneismail5442
    @danneismail5442 Před měsícem +2

    Kila kitu kina time yake,,,wachana nae akule raha yake . Mimi sioni shida bora halali na wanaume wengine #no problem 😊

  • @user-ym5ko9ov2o
    @user-ym5ko9ov2o Před měsícem +35

    Wanawake wa shughuli si wanawake wa kuoa... Ehee

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh Před měsícem +2

      Huu ni msiba' mkubwa sana'

    • @beccakhalfa5636
      @beccakhalfa5636 Před měsícem

      Kwel

    • @sonilyemily523
      @sonilyemily523 Před měsícem

      duuuh kaz hii

    • @Niika870
      @Niika870 Před měsícem +1

      Utaoaje janamuke kama Hilo la kusaura?😂😂 Kwani tambiko lako?? achana nalo wewe usjekuugua sukari bure,litakuuua hili halina akili timamu

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA Před měsícem

      @@Niika870 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu Před měsícem +6

    mke mzuri wa sura kapata mme mzuri tu lkn Basi,pole kaka

  • @NicodemusKithi-xe7mg
    @NicodemusKithi-xe7mg Před měsícem +28

    Huyu Binti hampendi huyu jamaa,.ila bwana anampenda kweli bibi..

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3b Před měsícem +6

    Funza zinamzunguka kwenye ubongo lakini na heshima haipo mwanamke mshupavu..Hana ata haya macho makavu hajui ata umuhimu wa mume. .mtovu wa nidhamu jeuri hapo namzabua kibao kimoja..mjinga Sana huyu mwanamke ..kaka muache aende kwenye hivyo vikundu vyake anavyoona muhimu.kaka muache akafunzwe na ulimwengu.huyo C mke ni JINI MAHEPE.

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu Před měsícem +3

    kitu kidogo tu dada utengeneze ndoa yako unashindwa,ila Duniani duara bahati haiji mara mbili

  • @user-zz5ng1yb8d
    @user-zz5ng1yb8d Před 21 hodinou

    Sio starehe ni ufuska. Mungu akuongoze

  • @hajistshariast6335
    @hajistshariast6335 Před měsícem +19

    Huyu demu choko tu na huyo jamaa nae choko vilevile mwanamke anakupanda kichwani unavumilivu vitu vya kipumbavu hajasoma kenge huyo

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa Před měsícem +25

    Kaka hapo hauna mke mimi nakwambia huyo ni malaya mzoefu kumbuka maneno yangu

  • @MaryvianeryPeter-ne7xi
    @MaryvianeryPeter-ne7xi Před měsícem +3

    Mwanaume yuko vzr, ila huyu mwanamke ni shida anafundisha nini sasa kwa jamii

  • @assaasharif963
    @assaasharif963 Před 8 dny

    Pole brother atakupa tabu sana huyo hana woga na wewe hata kidogo

  • @user-zz5ng1yb8d
    @user-zz5ng1yb8d Před 20 hodinami

    Sio mke wa kulea watoto huyo huyo hakupendi tena tayari anamambo yake mengine chizi kweli huyu dada eti hawezi acha ngoma bora kuacha mume

  • @SelemanChenje-l8k
    @SelemanChenje-l8k Před měsícem +3

    Wewe cheza chula hakuna kulemba nakubali sana dada wa onyeshe chula uswazi kume noga🎉🎉🎉

  • @fatimaharoun-np8uv
    @fatimaharoun-np8uv Před měsícem +5

    Huyu dem akili yake inapelekwa na rimoti ya meli😂😂😂loooh akili ya mtu iyo inasema ivo😅

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před měsícem

      Wajina ikoje hiyo remot ya meli waja mna mambo waja mna mamboooo 😅😅😅

    • @fredducaunt
      @fredducaunt Před měsícem

      😂😂😂😂

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 26 dny +1

    Huyu binti ni mkorofi huyu kijana hatomuweza anahofia
    Marafiki kuliko mume... kajinga kweli haka kadada

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před 12 dny

    Wanawake bana shida sanaaa MUNGU awasamehe huwa awajui watendaĺo

  • @umaima1178
    @umaima1178 Před měsícem +6

    Kaka umekalia chuma cha chapati kilicho pata moto pole weeee😂😂

  • @comfort-rjtv3291
    @comfort-rjtv3291 Před měsícem +3

    Kuna watu wavumilivu jaman yaani hapo ningehojiwa napingu miguu na mikono huku napigwa niseme ilikuwaje nikaua😮

    • @btylove1870
      @btylove1870 Před měsícem +1

      Nimecheka sana eti pingu😂😂😂

  • @imrankweka4752
    @imrankweka4752 Před 16 dny

    Haya ndio madhara ya udhaifu wa imani na uislam JINA,KIJANA KOMAA VINGINEVYO MUACHE AKAFANYE UCHAFU WAKE.

  • @darajalakidatukilomgi2362

    Acheni ujinga huwezi kumkataza mtu afanye jambo analopenda, kucheza chura ni muhemuko tu dunia imebadilika hata Kanisani na misikitini wanaimba kwa kujirusha, mke ana halali ya kupenda jambo lake

  • @Haji-yr9db
    @Haji-yr9db Před měsícem +5

    Duh bro hapo hamna mke kuna matatizo😂

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 Před měsícem +3

    Mwanamke Mpumbavu sana.Ila kifo chake kitakuwa kibaya.

  • @AliMchenga
    @AliMchenga Před 21 hodinou

    Umesha laanika wewe huwezekani utaenda jibu kwa M/Mungu siku ya malipo

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt Před měsícem +7

    Wewe dada jiangalia. Ama una ukando ukando?

  • @GracePaul-c7m
    @GracePaul-c7m Před 13 dny

    Hata hyo mpiga ngoma nani anqtak mkewe awe ivooo😂

  • @Mku-wa-waku1
    @Mku-wa-waku1 Před 9 dny

    Mungu amuongoze huyu dada 🤲

  • @ASALABOY
    @ASALABOY Před měsícem +25

    Uyu Dada anamatatizo sio Bure

  • @AbbasMosi-g4s
    @AbbasMosi-g4s Před měsícem +7

    "Mbele ntaacha" jee ukifa na hiyo hali??

  • @danneismail5442
    @danneismail5442 Před měsícem +1

    Huyo mdada yuko vizuri mimi sioni nene hapo enjoy life while you are still young. Angelikua yuafanya mambo hayo huzeeni ndio vibaya

  • @bongo39
    @bongo39 Před 16 dny

    Duuu huyu mwanamke ni balaa kaka huyo mke hakufai hata sekunde ila wewe dada huna hofu hata ya mungu kuna maradhi kuna kifo mungu tunusuru

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před měsícem +3

    Bro Tumia AKILI, Chukua HATUA, hapo Mwanamke yupo lkn MKE hakuna..!

  • @ArRahman-ih1pi
    @ArRahman-ih1pi Před měsícem +3

    😢Tena muislam masikini uyo mdada ,hana ata aibu 😢

    • @charlestobby6031
      @charlestobby6031 Před měsícem

      Kwani tabia mbovu ina uislam au ukristo usikariri maisha hiyo ni tabia binafsi ya mtu tabia mbovu haina dini wala kabila🫤

  • @emaculataisonda5708
    @emaculataisonda5708 Před 22 dny

    Uyo mume jins anavomuangalia uyo mkewe anavoongea pumba😂😂

  • @MajutoShishwa
    @MajutoShishwa Před měsícem +2

    Acha usenge ww kidume unatudhalilisha piga chini haraka zuzu wee😂😂😂😂😂

  • @MussaTabora
    @MussaTabora Před měsícem +5

    Hiii ndo Kaz ya kuowa watt wa 2000

  • @ASNALAMIMU
    @ASNALAMIMU Před měsícem +5

    Mwehu kweli wewe mkavu huna haya marafiki nibara kuliko mumeo chizi

  • @JakayaJuma-nn3zo
    @JakayaJuma-nn3zo Před 6 dny

    Kwanza kwa mimi mwanamke hanifati ninacho mkataba yeye akafanya apo tumeachana brooo apo mke huna piga chini

  • @goodluckmambosho-nd7cx
    @goodluckmambosho-nd7cx Před měsícem +1

    Mithali 19 mstari 14 Nyumba na Mali niurithi mtuhupata kwa babaye ila Mkemwenye busara mtu hupewa na MUNGU rudi kwa Mungu brother

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3b Před měsícem +4

    Wala haelekei huyu mwanamke kufanya upuuzi huu fedhuli kweli huyu .

  • @SamiraseifAlfan-ph4ke
    @SamiraseifAlfan-ph4ke Před měsícem +3

    Nimechekaa km mazuri hapo mwisho 😂😂

  • @MnyamisiAlly
    @MnyamisiAlly Před 20 dny +1

    Hapo akishaachwa maisha yakimpiga ndo atamkumbuka mume wake

  • @Salmaismai
    @Salmaismai Před 4 dny

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila hii nchi jaman kha haya bhana tuendelee tutafika nchi ya ahadi

  • @user-lz4by7vm6m
    @user-lz4by7vm6m Před měsícem +27

    Uzuri wa mwanamke ni ndoa na mume anahitaji heshima

  • @hamisimkoma7380
    @hamisimkoma7380 Před měsícem +4

    Bro mpandishe cheo owa mke wa pili

  • @fakhariyarazak2945
    @fakhariyarazak2945 Před měsícem

    Kiufupi hakupendi kwasababu hajazaliwa na chura na Hana hofu ya mungu pia

  • @user-ts8db2xw3y
    @user-ts8db2xw3y Před 27 dny

    We dada Mungu anakuona kama humpendi siumwambie tu jamaniii daaaaaah

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 Před měsícem +4

    Hata asikutie pressure huyu kakangu

  • @ShenaSalima
    @ShenaSalima Před měsícem +5

    Wanaume mnatakaga waivo ndo mnatuliy

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba Před měsícem +1

    Duuuh kuna wengine tunatamani wanaume ambaye hata anaacha pesa ya matumizi hatupati wewe unachezea hiyo bahat😢😢😢 duuh mtihani

  • @khadijaabdulaziz8297
    @khadijaabdulaziz8297 Před 12 dny

    Dada lazima umtii mumeo huwezi kufanya unavotaka muogope Allah

  • @hajikomora703
    @hajikomora703 Před měsícem +5

    Dada " Msikilize mumeo ".

  • @user-xy4kt8wk6l
    @user-xy4kt8wk6l Před měsícem +4

    Huyu Dada Aombewe na Apigwe Nyunguu

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam Před měsícem +1

    Wengine wanaomba ndoa wengine wanabomoa ndoa ushauri ni kurudi Kwa mshenga na wazazi ukiona Bado ww muache tu mungu atakuwa radhi

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před 12 dny

    Wewe mwanaume nae boya tuu mtt mdg huyo akusumbue sio kweli huyo hana heshima hata kidgo sema unavumilia tuu kwa 7bb unampenda mzuri au mzalamo kashakuekea maji ya uke

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 Před měsícem +7

    Kwani ukienda shuulini paka ukose adabu, mi mwenyewe sipendi uwa naona aibu mmi, muache akafunzwe na ulimwengu..

  • @haimasophia
    @haimasophia Před měsícem +7

    kaka pole sana Allah akufanyie wepesi lkn ni unamtihn sio mdogo

  • @ShaibuMtalagulia
    @ShaibuMtalagulia Před dnem

    Kaka pore sana unamoyo wakupenda kuacha huwez pore kwa hilo

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před měsícem

    Ukioa jinga watoto watakuwa majinga anakwambia kabisa watoto anawajengea hivyo hivyo piga chini hiyo chura

  • @hakeemjr8881
    @hakeemjr8881 Před měsícem +5

    Ningemrukia Kofi mfululizo huyo angekoma na mwaandish angekua na kaz ngum yakunishika😂😂😂

  • @BashiriFlorian
    @BashiriFlorian Před měsícem +4

    Achana nae ni Malaya tu Kaka uyo