MAMA MKWE WA DEREVA BODABODA AMTETEA MWANAE SISI NDIVYO TULIVYO KAMA HUWEZI NITAMPOKEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • MAMA MKWE WA DEREVA BODABODA AMTETEA MWANAE SISI NDIVYO TULIVYO KAMA UTAMUACHA NITAMPOKEA MWANANGU.

Komentáře • 664

  • @ashamussa4564
    @ashamussa4564 Před měsícem +30

    Kama hutaki aibu achana na iyo ndoa mungu atakupa mke mwema na mzuri

  • @AbbasMosi-g4s
    @AbbasMosi-g4s Před měsícem +16

    "Wamoto,mama shughuli,benki ya mtaa" Duh huu ni mtihani mzito sana!

  • @wema3619
    @wema3619 Před měsícem +13

    Masikini Namuhurumia Huyo kaka Adi Anatia Huruma Mungu Yupamoja Nawe Usihuzunike Kwa Chochote Mtumainie ALLAH Atakuvusha Salama

  • @AchaUsumbufu
    @AchaUsumbufu Před měsícem +20

    We mama muogope mwenyeezi mungu kufa kupo acha kupotosha jamii ngoma watu wanacheza uchi alafu unatetea

    • @majutojackson5718
      @majutojackson5718 Před měsícem

      muacha mila ni mtumwa! mbona tunaenda disco watu wamevaa vimini na barabarani watu wanatembea nusu uchi? kikubwa ni heshima! tudumisheni mila na desturi zetu

    • @jumachawinga8147
      @jumachawinga8147 Před měsícem

      Huyu mama ni mpuuzi aisee vijana tuchunguze sana kabla ya kuoa tutakuja kuoa wapuuzi

    • @suleimanh1826
      @suleimanh1826 Před měsícem

      Na wewe pia ni mpuuzi​@@majutojackson5718

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn Před měsícem +53

    ELIMU YA DINI NI KITU MUHIMU SANA NA IKIKOSEKANA HAYA NDIO MATOKEO YAKE

    • @ashamussa4564
      @ashamussa4564 Před měsícem +8

      Ni kweli na waislamu wengi hawataki kusoma dini. Wanaona bora kufuata mila kuliko sheria za dini tumefikia huko mungu atuongoze

    • @jumachawinga8147
      @jumachawinga8147 Před měsícem +2

      Huyu mama umri unaenda tu lkn akili hakuna kitu na elimu ya dini ndo kabsaa yan hajitambui

    • @dab8859
      @dab8859 Před měsícem

      Ndio tukaambiwa mplke mtto chuoni asome ata kidgo ipo sku atkmbka kdgo

    • @user-ym5dc1iz9e
      @user-ym5dc1iz9e Před měsícem

      @@HashimSalim-qj7zn
      Wajinga wanazeeka

    • @user-ym5dc1iz9e
      @user-ym5dc1iz9e Před měsícem

      @@HashimSalim-qj7zn mume mzembe eti penzi mke atingisha kundu hadharani sijaona akicheza inabidi mume avalishwe dera

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 Před měsícem +17

    Kaka pole Hy sio family achana nao

  • @Haji-yr9db
    @Haji-yr9db Před měsícem +7

    Kakaangu Kakaangu Kakaangu nimekuita mara tatu chukka maamuzi muombe mungu atakupa mke bora uyu dada hawez kubadilika kwa ajili ya mamaake 😢😢😢

  • @happynesssamwel4249
    @happynesssamwel4249 Před měsícem +12

    Kumbe ndomana binti nayeye kashindikana kama mama mtu ndo yupo ivi😂😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @benshayo7810
    @benshayo7810 Před měsícem +7

    Mama wachakupotosha familia muogope mungu unafundishani ni wajukuuzako kijana muombe mungu atakupa mke mwema

  • @babyzuchu3866
    @babyzuchu3866 Před 13 dny +1

    Mmmmhhhh huyoo Mama Sasa ni fire 🔥🔥🔥🔥 Acha mtoto apite humo 😅😅😅😅😅

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m Před měsícem +12

    Huyuuu kaka namuoneyaaa hurumaaa ilaaaa kupendaaa maradhii ya moyoo poleeee broo

    • @NewNew-ep5dq
      @NewNew-ep5dq Před měsícem

      Mm dhaid namuonea uruma san yani,, tatizo kucheza huchi ndio shid hir huyo mam akili ana

  • @kinggeorge9770
    @kinggeorge9770 Před měsícem +11

    Wewe kaka nitakutukana, unashindwa kufanya maamuzi, mwanamke unaona wazazi wako wanataka akae uchi, mwanaume ni maamuzi. Pumbavu kabisa wewe unawadhalilisha watu mbeya tu.

    • @DaheerK
      @DaheerK Před měsícem

      😂😂😂mm naona haibu hatar yan uyo kaka amekaa km mwehu

    • @user-fx4pr4vp8p
      @user-fx4pr4vp8p Před měsícem

      Mtu wa mbeya kapatikan ubish wote kwishine

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Před měsícem +23

    Kaka apo mke una na mama mkwe una

  • @NoorAli-gk8bj
    @NoorAli-gk8bj Před měsícem +5

    Uwo nimsiba mzito iyo familia ya goma adi mama yanazungumza utumbo ajielewi uyo Mama simuamiz wao we mwenyewe wanao ndoucheze nakujifunua kukaa uchi

  • @user-bx9ow6xz2p
    @user-bx9ow6xz2p Před měsícem +5

    Ivi ww kaka unatia aibu kwenye family yako mke gani anatabia ya kucheza ngoma kwan razima kuvua nguo

  • @SurprisedBlackKitten-zc2vl
    @SurprisedBlackKitten-zc2vl Před měsícem +5

    Innalilah wainna ilahrajiuni uwezi kuacha kigodoro mpaka ufe mungu akuongoze mama

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 Před měsícem +5

    Chukuwa ngoma upige mama aanze chura asaure tuone Moto juu ya moto si mioyo yote ita muogopa mwenyezi mungu dunia bora kwao kuliko akhaera yao

  • @user-yd3cj5xs1z
    @user-yd3cj5xs1z Před měsícem +5

    Kumbe wewe ni myakyusa....
    Nenda kapate ushauli kwa "GODLOVE" wakukaja mwenzio.

  • @mchengatwalib8765
    @mchengatwalib8765 Před měsícem +5

    Hiyo familia haifai, angalia ustaarabu mweingine

  • @user-zz5ng1yb8d
    @user-zz5ng1yb8d Před 21 hodinou

    Yani ukitoka mkoa tofaut na pwani usijichanganye kuoa mzaramo utachemka wao wanawezana wao kwa wao, huwezi kumbadili.

  • @FarajiHashim-m8e
    @FarajiHashim-m8e Před měsícem +7

    Jamaa kaingia kwenye msitu wa vibwengo😂😂😂😂😂 mama mkwe mwenyewe nimhuni eti mama matatuu😂😂😂😂 kwann ukondeshwe na kichaa ambae anakwao kiujumla hiyo familii ina laana

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen Před měsícem

      @@FarajiHashim-m8e 😂🤣😂🤣😂🤣😂Nimecheka 😂🤣😂😂🙌✍🏽

    • @ElietiSilausi
      @ElietiSilausi Před měsícem +1

      Mwanaume hapo hauna mke bari ni kujidharirisha tu

    • @UzzaNassor
      @UzzaNassor Před měsícem

      😂😂😂😂

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 Před měsícem

      Mtihani mkubwa Kaka chukua maamuz

  • @aliciasultani755
    @aliciasultani755 Před měsícem +3

    Ebu achana na uyo mwanamke Mungu atakupa mke mwingine mwenye hekima iyo familia yote aifai mtoto wa nyoka ni nyoka

  • @aminajumashakombo1549
    @aminajumashakombo1549 Před měsícem +1

    Subhannallah mkaka wawatu ni mume haswaa lakini kakosea kuoa😢ALLAH amtie subra kaka wawatu na ampe mke mwema majameni

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před 12 dny +1

    Watoto wanaolelewa na mama tuu bila baba shida sanaaa wamama awajui kulea peke yao mtoto %kubwa hualibika km huyu mama amlee mtt bila baba unategemea nn

  • @mussamaganga2764
    @mussamaganga2764 Před měsícem +8

    mwandishi unazingua kuhoji familia za kijinga hizo jueni namna ya kumsaidia huyo jamaa maana anaasilika kisaikoloji

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen Před měsícem

      Bro Mapenzi lakini Kama mke ndio Mila yao dah! Kusaula chafu mbaya uwamuzi ni wako lakini hapo huyu mama hawezi kukutetea myachusa Na mzaramu 🤣😂🤣Namuonea huruma arudi mbeya apatiwe mke🤔🫣

  • @abuibra
    @abuibra Před měsícem +4

    Toka lini wazaramo wanacheza hio ngoma inayo itwa kichura!!?na hio kichura imianza lini!?.

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Před měsícem +2

    Jamaa sijui wamemywesha nn yani yuko kama boya yani amekosa maamuzi ya kuamua kama mwanaume yani anatutia aibu wanaume wenzake!!!!

  • @user-vj1yf2er4d
    @user-vj1yf2er4d Před 9 dny

    Huyo mma hana maana kucheza ngoma sio mbaya ila mma kusaura kuenua nguwo aaaaaaa bwana mama huwo sio ustsarabu nimatusi hiyo ngoma ya ndani ya ndani ina uhuru huwo

  • @SalimaOman-hz1mi
    @SalimaOman-hz1mi Před měsícem +4

    Mama huyu amjui mungu kaka tafuta mke anaemjua mungu kwauwezo wa mungu hutapata mke mwema

  • @NoorAli-gk8bj
    @NoorAli-gk8bj Před měsícem +3

    Kumbe ni asili so dini ss geuka upande wadini we mama jintunzima na umuongope Allah naulisamin sana kazi kuliko malalamiko yamkweo

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Před měsícem +2

    Mama Mkwe wa ovyo......Utalea wajukuu wasiojulikana mpaka kiyama ! Kaka mbona wapo wanawake wengi wenye maadili tu achana na kahaba wa mtaa.....KUNGURU HAFUGIKI !!!!

  • @princessmakwega2444
    @princessmakwega2444 Před měsícem +1

    Subbahana Allah we mama muogope mungu unadhalilisha kabila zima mimi mzaramu lakini sijawai ata kucheza ngoma na wewe kaka acha ufara ndoa niyako ukiona ime kushinda fanya maamuzi ya busara uketoka naye mbali mama ako mzazi na leo ume muacha

  • @AbuuOmary-b1t
    @AbuuOmary-b1t Před 29 dny +1

    Mama muogope Allah hayo ni madhimbi acha ngoma na pia washauri watoto wako waache na mutubu na musirudie tena kwani hy sio dini mpka unasema utakufa nayo kwanza ktk dini hakuna jambo la mila mila ni zashetani mtume swalallahu alayhi wasallam anasema yoyote mwenye kufanya madhambi haliyakuwa anacheka ataingia motoni haliyakuwa analia acha hizo vigodoro baikoko zote hzo ningoma zaharamu muogope Allah

  • @user-cp2do9pd5k
    @user-cp2do9pd5k Před měsícem +2

    Uuuuwiiii Mungu wangu msiba mkubwa huuuuu kaka pole hii soyo familia uuuuwiiii

  • @user-zz5ng1yb8d
    @user-zz5ng1yb8d Před 21 hodinou

    Iko kwenye damu hawezi badilika, wanaume nanyi muwe mnaangalia na familia

  • @darajalakidatukilomgi2362

    Mama mkwe umeeleweka, asante kwa elimu ya wazaramo na ngoma, mkataa kwao mtumwa dumisheni mila zenu za kizaramo❤

  • @saidshaban8110
    @saidshaban8110 Před 29 dny +1

    Mimi nilioa mzalamu na hawakupga Ngoma na mpaka Leo ajawaikutamka upumbavu WA kwenda kwenye Ngoma broo piga chini uyo mpumbavu

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před měsícem +4

    Mama MCHAWI huyo, ndugu liepushe na hiyo familia haikufai, wanawake wako wengi wenye HESHIMA zao.

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před měsícem +3

    WEE MJINGA KUMBE MNYAKYUSAA? UNATUTIA AIBUUU, NDO KUPENDAGAN KWA KIJINGA HUKOO? ACHA HUYO DEMU WW BWEGEE

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l Před měsícem +3

    Huyu jamaaa boya nafkiri we jmbaa acha usenge biashara y kijiplaudi kwenye Kamara achana na huyo mwanamk msenge wew

  • @user-zo5sx5ko5s
    @user-zo5sx5ko5s Před měsícem +3

    Dada husituzalilishe tena hukome mzalamo ndio hakaimbilini ndio halivyo fundwa ngomani

  • @AsterisJoseph
    @AsterisJoseph Před měsícem +1

    Namshukuru mwenyezi MUNGU kwakunipa mama mwenye hofu ya MUNGU ❤

  • @AminaMohamed-n2y
    @AminaMohamed-n2y Před 21 dnem

    Mungu atakusaidia tuu kaka utapata mke mwenye her na wewe

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Před měsícem +1

    Turudi kwa mwenyezimungu mama ngoma zipo hata sie tulicheza ila sio hali ya hivi sasa. Yaani ngoma hata mashekhe sidhani kama wataruhusu😂😂😂

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu Před měsícem +3

    Wanaume tuwe makini, zipo familia zisizo faa kuoa, acheni niwe single, stamani kuoa kabisa

  • @FarajiHashim-m8e
    @FarajiHashim-m8e Před měsícem +3

    Usitarajie kuona kivuli kilichonyooka kwenye mti ulopinda Jamaa ajipange aoe mke mwingine hapo mke hana na mama mkwe pia hana mkwe shangingi mtoto shangingi mtoto wa nyoka ni nyoka mtoto karithi kwa mama

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 28 dny

      Kama hakuwaona kabla hajaoa ndio ataoa sasa? Msindanganye mwenzenu alipenda chura ndio alamuoa Raha za chura atazipata kyela?

  • @HildaSwai
    @HildaSwai Před 20 dny

    Huyu mama hajui anachotetea mume hawezi kukubali mkewe anavua nguo barabarani sio tabia njema mke anatakiwa kujistiri juwa na heshima kwa mumeo

  • @ukhtimwajuma
    @ukhtimwajuma Před 15 dny

    Hii familia,sio yakuowa wa kuolewa labda kama hujitambui kama wao

  • @DamonisigiruWakariuki
    @DamonisigiruWakariuki Před 19 dny

    Mama samia unasiki toarusa wana wake wakeketwe hili mama linaogea vibaya sana

  • @MariamMbetsa
    @MariamMbetsa Před měsícem +3

    Pole sana kakangu umekosa pakwenda kuoa

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz Před 9 hodinami

    Wewe kuma kabisa mama mke ananuka pumbu mwilimzima umepotosha ww nikamahuyu mama nimdangaji tu mume anakataza mkewe asichezengoma kwani kosa liko wapi? Ww Jamaa nenda kwenu mbeya utafute mke mwingine shenzi lamamamkwe mama ananuka pumbu mwilini

  • @user-lq1fm4dj2n
    @user-lq1fm4dj2n Před měsícem +1

    We mama jitu zima ovyo uogopi hata mkwe pumbavu zako mfundishe mwanao maisha mjinga mkubwa we

  • @Mku-wa-waku1
    @Mku-wa-waku1 Před 9 dny

    Huyu mama hana maadili, wanawake wasiyo jieshimu.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před měsícem +4

    Ndugu yetu hiyo sio familia nzuri.

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 Před měsícem

      Kweli kabisa like mother like daughter....kabla hujaoa nenda mwangalie mama Mkwe wako.

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 28 dny

      Usimdanganye mwenzio anachezewa chura chumbani amuache ataanzia wapi?😂😂

  • @RehemaKatundu
    @RehemaKatundu Před měsícem +3

    Wazaramo hawana ngoma ya kuvua nguo walk kuchezesha matako ,wao huvaa vibwaya vinasukwa na ukindu . Bali wameizua wao na sio vigodoro, kuna mkwaju ngoma,vanga na mdundiko,gombe sugu na zote hizo hawavui nguo wala hawachezeshi matako.

    • @lwakainaza
      @lwakainaza Před měsícem

      Kwani we Rehema ni mzaramo?

    • @SabrinaSaid-xd7hv
      @SabrinaSaid-xd7hv Před měsícem

      Sawasawa hakuna asili ya mzaramo anaevua nguo huyu mama huyu poooka😢

  • @user-mq3pg1ku1o
    @user-mq3pg1ku1o Před měsícem +2

    Acha uongo mm mziramo na swala tanto Sema umekosea madili ya Dini mama pumzi zisikudanganye

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 28 dny

      Wewe ndio mtumwa uache kutetea Ngoma za mababu zako ukapaishe ustaarabu wa waarabu? Penda vyako vya asili

  • @KulmiyeJamaal-n1p
    @KulmiyeJamaal-n1p Před měsícem

    Amekuywa mama mkwe siyoakiliyake mama mwenye adabu hawezikusapoti ujinga

  • @hamadmhchande5633
    @hamadmhchande5633 Před 9 dny

    Hapa kama huyo mie munafaidi mengi kwa hio michezo lazima wapo wanaotamani uchi wake anavouanika huko hivo kama unajipenda ni bora ukubali ujinga,

  • @user-hl6bg9zz8u
    @user-hl6bg9zz8u Před měsícem +1

    Mama mkwe hakutaka hata kumsikiliza mkwewe ina maana, mwanae alimtonya kwamba achana na huyo fala😢

  • @calvin6445
    @calvin6445 Před měsícem

    Ila mama mkwe anayo akili bhanaa ameongea vizuri sanaaa.Hao ni wanao

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 Před měsícem +4

    Mama mkwe huna ujipangeee usije jinyonga

  • @AsheliPatrick
    @AsheliPatrick Před měsícem

    mama mkwe mwenyewe anaonekana Kama Malaya vile vile kaka hio familia eio hakuna mama hakuna Dada hakuna make subhanallah

  • @user-ki3oz4yp1p
    @user-ki3oz4yp1p Před 29 dny +1

    Jaman kakaang umejitwka goma ahhh

  • @peltrinechebet-xe2wd
    @peltrinechebet-xe2wd Před 6 dny

    Mhuu.subhanalha.kakangu hiyoo familia haina msimamo wa dini ata angaliee tu ata mwonekano wa mama

  • @fighterlifeoswardy
    @fighterlifeoswardy Před měsícem

    Uwo umalaya tu mama jitambue kunamaisha baada ya vigodoro je wewe na mume wako aliishi vp na wewe mnavua ngua azarani umalaya mtupu acha kumdanganya uyo brother

  • @ShaniaAbbas-n6q
    @ShaniaAbbas-n6q Před měsícem

    Mama shughuli au mama matatatuu wew huogopi ushauri wangu hiyo familia sio mtangulize Mungu atakupa mke mwema

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před měsícem +5

    Tatizo kubwa ni kuoa wazaramo😂😂😂

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 Před měsícem +3

      Wala tatizo sio wazalamo iyo tabia saizi ipokwenye kila kabila nitabia ya mtu tu kupenda mambo yakuiga

    • @sabrafoward725
      @sabrafoward725 Před měsícem

      Kabisa ​@@joycemkeka3769

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 28 dny

      ​@@joycemkeka3769Waacheni wazaramo wadumishe asili yao nyie mlioshindwa Mila zenu kaa kimya, chura oyeee😂😂😂

  • @user-nu1om6gr5f
    @user-nu1om6gr5f Před 25 dny

    Uyomama wa mwanamke zumbukukunuyo tena ndio sheitwani.wakwanza ndio kamrisisha mwanawe

  • @user-wo8dx8qc2h
    @user-wo8dx8qc2h Před měsícem

    Achana na mwanamke huyo mcheza chura na mama mkwe yako ni mwehu sana

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před měsícem +3

    Mama wa mjini huyo mtoto wake ni kupewa TALAKA ili aendelee kuruka ruka mjini.

  • @babyzuchu3866
    @babyzuchu3866 Před 13 dny

    Sura Kama mkundu wA nyani Ana aibu Hata kidogo Kwanza MTU anaitwa Mama matatoo huyoo kweli mkwe mmmmh

  • @user-zz5ng1yb8d
    @user-zz5ng1yb8d Před 21 hodinou

    Zoea ngoma, utaambiwa uzoee na mafiga matatu ndo mira yaonayo we mmewe figa la kwanza mafiga mawili nje.

  • @user-vj1yf2er4d
    @user-vj1yf2er4d Před 9 dny

    Kuchesa ngoma sio mbaya

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan Před měsícem

    Mimi mzalamo na kwetu hakuna asili ya gooma kukaa uchee mbele za watu mwanake kecheche na mamake kahaba mipashukuna hiyo achanayo

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Před 18 dny

    Mama mkwe ka kuelewa mda tu sema we ndo hujaelewa..

  • @AmbakisyeMbwaga
    @AmbakisyeMbwaga Před 18 dny

    Ww mnyakyusa mshamba unaowa ujuwi familia unayoowa

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před měsícem +1

    Hii ngoma ukiona wadada wanavyo achia vyombo kweli utamwduni nomaa 😂😂😂

  • @rehemanassor352
    @rehemanassor352 Před měsícem

    Huyu mama nadhani hata darasa la saba hakufika

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 15 dny

    Sema tu mnapenda kutengeneza kiki! Ila kwa uhalisia mwanamke anatakiwa akuskilize wewe mwanaume! Aspo kuskiliza unaamua kumuacha aende tu akafanye yake! Sio kujiuliza marambili mbili!

  • @user-io9mx3lk5q
    @user-io9mx3lk5q Před 16 dny

    Kaka yangu pole ivi una tegemeya kumpata mke mwema kutoka kwa huyo mama ninaye muona apo tafuta ungine mke

  • @user-nl6yp7ku9x
    @user-nl6yp7ku9x Před měsícem +1

    Mama rudi kwa mungu wako achana namambo ya kishettan.rudieni kwa mungu wenu

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 28 dny

      Tokea lini Ngoma ya asili ikawa ushetani? Acheni utumwa wa akili dumisheni Mila zenu wazaramo Huyu mnyakyusa asiwafanye mkaacha kutimiza Mila zenu sababu yake?

  • @GggDt-v1n
    @GggDt-v1n Před měsícem

    Innalilah wainna ilayh rajiuna kaka angu huna mke wala huna familia ya mke achana naoo hawakufai hio familia ni ya kishetan kabisa

  • @jacobmwbjlo4706
    @jacobmwbjlo4706 Před měsícem +1

    Ww jamaa siyo mnyakyusa ww ni msafwa mnyakyusa hayuko ivyo

  • @BELYSAM_NEWS
    @BELYSAM_NEWS Před 23 dny

    Mwanetu karogwa, daah inaumiza sana

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 Před měsícem +1

    Ila Mungu atupe wepes wanaume tuna teseka sana ndo maana bola tukajichua tu kuliko kufanya ujinga kama huu hv mama kama huyu ana shindwa kuzua janga kama hili kwel

  • @MohamedKinega-jt4vi
    @MohamedKinega-jt4vi Před měsícem

    Huyo mama mkwe ni matatizo matupu yaani kama unaenda kuoa hapo we ao tu na uvumilie yatakayo kitokea.

  • @noorkitetey4504
    @noorkitetey4504 Před měsícem

    Pole sana umeingia choo cha kike Mkwe siyo kabisa anatetea maovu.Inaonyeshahuna sauti kwa mkeo.akikosea mkeo huna pa kukimbilia kwa ushauri.

  • @FaustinaMkama
    @FaustinaMkama Před měsícem

    We kaka kaoe kwenu. Acha ufara. Yaani wewe kaka ni fara. Kwenu hakuna wanawake wazuri. Wenye hekima. Unaoa kwenye vigodoro. Au unataka na mama mkwe nae hasasambue

  • @user-ct1qp3th5f
    @user-ct1qp3th5f Před 26 dny

    Hakuna mama mkwe hapo, anatawala familia mbili hapo yake na ya Binti yake, anakupangia Cha kufanya

  • @user-zi4iz2vs7q
    @user-zi4iz2vs7q Před měsícem

    Hapo mtoto wa huyo mama hana shida,shida n malez ya mama huyu amemlea kweny vigodoro kucha..mama t hajielew mdom mref hana maneno ya hekima...kaka achana nae huyo dada amekuvua nguo sana

  • @williammassana
    @williammassana Před měsícem

    Jamani mimi mkurya,nipeni huyo mwanamke wa kizaramo,masaa 3 tu,kigoma basi,uwiiiiii mura.

  • @barackbrysonramsey
    @barackbrysonramsey Před 29 dny

    Wanyakyusa tuna msimamo sana hatutaki huo upuuzi. Mwache huyo kenge

  • @IssaManjapa
    @IssaManjapa Před 2 dny

    Mama mkwe kachafukwa na roho😅😅

  • @matildamwakatuma1206
    @matildamwakatuma1206 Před měsícem

    Jua unayemuoa mila na desturi zao usiende kichwa kichwa matokeo ndo hayo .Mbombo nkamu Mwaisa

  • @DamonisigiruWakariuki
    @DamonisigiruWakariuki Před 19 dny

    Tafuta mke hao nimalaya mwanagu pole sana😢

  • @ArifAli-hw4gz
    @ArifAli-hw4gz Před měsícem

    Brave sw kasema mzee asili ila ,asili iwe inamipaka maana kwa mwendo huo sio sw nikulize kwa hio kama ww mkewe unaempenda unajiskia vizuri akacheza kikodoro

  • @barkathkassam4680
    @barkathkassam4680 Před měsícem +2

    Mama muogope Allah subhanna wataalah usione Raha ya Dunia ukasahau umauti, unaabisha wakina mama aibu sana.
    Tena umepata mkwe mzuri sana mkweo anamtafutia Pepo mtoto wako.
    Usimsifie mwanao tabia chafu acha muogope Allah

  • @michaeljulius3905
    @michaeljulius3905 Před měsícem

    Hawa wazazi wa aina hii ni sawa na rangi ya maji mama mkwe rangi ya maji , mtoto nae ni rangi ya maji.msingi ni wazazi 🎉 wazazi wakipoteza mwelekeo ni hatari kwenye jamii huyu kijana anapenda sana amani lakini ameingia mlango wa kutokea

  • @fatmamussa6134
    @fatmamussa6134 Před měsícem

    Uyo Kaka angekua ndugu yangu ningemshauli kitu daah mtihani huo

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba Před měsícem

    Mama kopo, watoto makopo yaani wote hamnazo😅😅😅