muacha mila ni mtumwa! mbona tunaenda disco watu wamevaa vimini na barabarani watu wanatembea nusu uchi? kikubwa ni heshima! tudumisheni mila na desturi zetu
Jamaa kaingia kwenye msitu wa vibwengo😂😂😂😂😂 mama mkwe mwenyewe nimhuni eti mama matatuu😂😂😂😂 kwann ukondeshwe na kichaa ambae anakwao kiujumla hiyo familii ina laana
Watoto wanaolelewa na mama tuu bila baba shida sanaaa wamama awajui kulea peke yao mtoto %kubwa hualibika km huyu mama amlee mtt bila baba unategemea nn
Bro Mapenzi lakini Kama mke ndio Mila yao dah! Kusaula chafu mbaya uwamuzi ni wako lakini hapo huyu mama hawezi kukutetea myachusa Na mzaramu 🤣😂🤣Namuonea huruma arudi mbeya apatiwe mke🤔🫣
Huyo mma hana maana kucheza ngoma sio mbaya ila mma kusaura kuenua nguwo aaaaaaa bwana mama huwo sio ustsarabu nimatusi hiyo ngoma ya ndani ya ndani ina uhuru huwo
Mama Mkwe wa ovyo......Utalea wajukuu wasiojulikana mpaka kiyama ! Kaka mbona wapo wanawake wengi wenye maadili tu achana na kahaba wa mtaa.....KUNGURU HAFUGIKI !!!!
Subbahana Allah we mama muogope mungu unadhalilisha kabila zima mimi mzaramu lakini sijawai ata kucheza ngoma na wewe kaka acha ufara ndoa niyako ukiona ime kushinda fanya maamuzi ya busara uketoka naye mbali mama ako mzazi na leo ume muacha
Mama muogope Allah hayo ni madhimbi acha ngoma na pia washauri watoto wako waache na mutubu na musirudie tena kwani hy sio dini mpka unasema utakufa nayo kwanza ktk dini hakuna jambo la mila mila ni zashetani mtume swalallahu alayhi wasallam anasema yoyote mwenye kufanya madhambi haliyakuwa anacheka ataingia motoni haliyakuwa analia acha hizo vigodoro baikoko zote hzo ningoma zaharamu muogope Allah
Usitarajie kuona kivuli kilichonyooka kwenye mti ulopinda Jamaa ajipange aoe mke mwingine hapo mke hana na mama mkwe pia hana mkwe shangingi mtoto shangingi mtoto wa nyoka ni nyoka mtoto karithi kwa mama
Wazaramo hawana ngoma ya kuvua nguo walk kuchezesha matako ,wao huvaa vibwaya vinasukwa na ukindu . Bali wameizua wao na sio vigodoro, kuna mkwaju ngoma,vanga na mdundiko,gombe sugu na zote hizo hawavui nguo wala hawachezeshi matako.
Uwo umalaya tu mama jitambue kunamaisha baada ya vigodoro je wewe na mume wako aliishi vp na wewe mnavua ngua azarani umalaya mtupu acha kumdanganya uyo brother
Tokea lini Ngoma ya asili ikawa ushetani? Acheni utumwa wa akili dumisheni Mila zenu wazaramo Huyu mnyakyusa asiwafanye mkaacha kutimiza Mila zenu sababu yake?
Ila Mungu atupe wepes wanaume tuna teseka sana ndo maana bola tukajichua tu kuliko kufanya ujinga kama huu hv mama kama huyu ana shindwa kuzua janga kama hili kwel
We kaka kaoe kwenu. Acha ufara. Yaani wewe kaka ni fara. Kwenu hakuna wanawake wazuri. Wenye hekima. Unaoa kwenye vigodoro. Au unataka na mama mkwe nae hasasambue
Hapo mtoto wa huyo mama hana shida,shida n malez ya mama huyu amemlea kweny vigodoro kucha..mama t hajielew mdom mref hana maneno ya hekima...kaka achana nae huyo dada amekuvua nguo sana
Brave sw kasema mzee asili ila ,asili iwe inamipaka maana kwa mwendo huo sio sw nikulize kwa hio kama ww mkewe unaempenda unajiskia vizuri akacheza kikodoro
Mama muogope Allah subhanna wataalah usione Raha ya Dunia ukasahau umauti, unaabisha wakina mama aibu sana. Tena umepata mkwe mzuri sana mkweo anamtafutia Pepo mtoto wako. Usimsifie mwanao tabia chafu acha muogope Allah
Hawa wazazi wa aina hii ni sawa na rangi ya maji mama mkwe rangi ya maji , mtoto nae ni rangi ya maji.msingi ni wazazi 🎉 wazazi wakipoteza mwelekeo ni hatari kwenye jamii huyu kijana anapenda sana amani lakini ameingia mlango wa kutokea
Kama hutaki aibu achana na iyo ndoa mungu atakupa mke mwema na mzuri
Ushauri mzuri sana
"Wamoto,mama shughuli,benki ya mtaa" Duh huu ni mtihani mzito sana!
😂😂😂😂
Masikini Namuhurumia Huyo kaka Adi Anatia Huruma Mungu Yupamoja Nawe Usihuzunike Kwa Chochote Mtumainie ALLAH Atakuvusha Salama
Huyu kaka kayatimba
We mama muogope mwenyeezi mungu kufa kupo acha kupotosha jamii ngoma watu wanacheza uchi alafu unatetea
muacha mila ni mtumwa! mbona tunaenda disco watu wamevaa vimini na barabarani watu wanatembea nusu uchi? kikubwa ni heshima! tudumisheni mila na desturi zetu
Huyu mama ni mpuuzi aisee vijana tuchunguze sana kabla ya kuoa tutakuja kuoa wapuuzi
Na wewe pia ni mpuuzi@@majutojackson5718
ELIMU YA DINI NI KITU MUHIMU SANA NA IKIKOSEKANA HAYA NDIO MATOKEO YAKE
Ni kweli na waislamu wengi hawataki kusoma dini. Wanaona bora kufuata mila kuliko sheria za dini tumefikia huko mungu atuongoze
Huyu mama umri unaenda tu lkn akili hakuna kitu na elimu ya dini ndo kabsaa yan hajitambui
Ndio tukaambiwa mplke mtto chuoni asome ata kidgo ipo sku atkmbka kdgo
@@HashimSalim-qj7zn
Wajinga wanazeeka
@@HashimSalim-qj7zn mume mzembe eti penzi mke atingisha kundu hadharani sijaona akicheza inabidi mume avalishwe dera
Kaka pole Hy sio family achana nao
Kakaangu Kakaangu Kakaangu nimekuita mara tatu chukka maamuzi muombe mungu atakupa mke bora uyu dada hawez kubadilika kwa ajili ya mamaake 😢😢😢
Acha ujinga chura haiachi Mke peleka ubara wako kigoma
Kumbe ndomana binti nayeye kashindikana kama mama mtu ndo yupo ivi😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Mambo VIP?
mama shangingi ashangedere mtoto atakuwaje mama mtu mzima hajieshimu
Uowe mzaramo halafu unalalamika chura? Kama hamuyawezi mambo ya wazaramo mnawaoa wa Nini?
😅😅😅😅😅kabsa ndungu
Mama wachakupotosha familia muogope mungu unafundishani ni wajukuuzako kijana muombe mungu atakupa mke mwema
Mambo
Mmmmhhhh huyoo Mama Sasa ni fire 🔥🔥🔥🔥 Acha mtoto apite humo 😅😅😅😅😅
Huyuuu kaka namuoneyaaa hurumaaa ilaaaa kupendaaa maradhii ya moyoo poleeee broo
Mm dhaid namuonea uruma san yani,, tatizo kucheza huchi ndio shid hir huyo mam akili ana
Wewe kaka nitakutukana, unashindwa kufanya maamuzi, mwanamke unaona wazazi wako wanataka akae uchi, mwanaume ni maamuzi. Pumbavu kabisa wewe unawadhalilisha watu mbeya tu.
😂😂😂mm naona haibu hatar yan uyo kaka amekaa km mwehu
Mtu wa mbeya kapatikan ubish wote kwishine
Kaka apo mke una na mama mkwe una
mama mkwe yuko sahihi
Una ✖ huna ✔
Uwo nimsiba mzito iyo familia ya goma adi mama yanazungumza utumbo ajielewi uyo Mama simuamiz wao we mwenyewe wanao ndoucheze nakujifunua kukaa uchi
Ivi ww kaka unatia aibu kwenye family yako mke gani anatabia ya kucheza ngoma kwan razima kuvua nguo
Innalilah wainna ilahrajiuni uwezi kuacha kigodoro mpaka ufe mungu akuongoze mama
Chukuwa ngoma upige mama aanze chura asaure tuone Moto juu ya moto si mioyo yote ita muogopa mwenyezi mungu dunia bora kwao kuliko akhaera yao
Kumbe wewe ni myakyusa....
Nenda kapate ushauli kwa "GODLOVE" wakukaja mwenzio.
Mnyakyusa kapenda chura huyo anajifanyisha tu 😂😂😂
Hiyo familia haifai, angalia ustaarabu mweingine
Yani ukitoka mkoa tofaut na pwani usijichanganye kuoa mzaramo utachemka wao wanawezana wao kwa wao, huwezi kumbadili.
Jamaa kaingia kwenye msitu wa vibwengo😂😂😂😂😂 mama mkwe mwenyewe nimhuni eti mama matatuu😂😂😂😂 kwann ukondeshwe na kichaa ambae anakwao kiujumla hiyo familii ina laana
@@FarajiHashim-m8e 😂🤣😂🤣😂🤣😂Nimecheka 😂🤣😂😂🙌✍🏽
Mwanaume hapo hauna mke bari ni kujidharirisha tu
😂😂😂😂
Mtihani mkubwa Kaka chukua maamuz
Ebu achana na uyo mwanamke Mungu atakupa mke mwingine mwenye hekima iyo familia yote aifai mtoto wa nyoka ni nyoka
Subhannallah mkaka wawatu ni mume haswaa lakini kakosea kuoa😢ALLAH amtie subra kaka wawatu na ampe mke mwema majameni
Watoto wanaolelewa na mama tuu bila baba shida sanaaa wamama awajui kulea peke yao mtoto %kubwa hualibika km huyu mama amlee mtt bila baba unategemea nn
mwandishi unazingua kuhoji familia za kijinga hizo jueni namna ya kumsaidia huyo jamaa maana anaasilika kisaikoloji
Bro Mapenzi lakini Kama mke ndio Mila yao dah! Kusaula chafu mbaya uwamuzi ni wako lakini hapo huyu mama hawezi kukutetea myachusa Na mzaramu 🤣😂🤣Namuonea huruma arudi mbeya apatiwe mke🤔🫣
Toka lini wazaramo wanacheza hio ngoma inayo itwa kichura!!?na hio kichura imianza lini!?.
Jamaa sijui wamemywesha nn yani yuko kama boya yani amekosa maamuzi ya kuamua kama mwanaume yani anatutia aibu wanaume wenzake!!!!
Huyo mma hana maana kucheza ngoma sio mbaya ila mma kusaura kuenua nguwo aaaaaaa bwana mama huwo sio ustsarabu nimatusi hiyo ngoma ya ndani ya ndani ina uhuru huwo
Mama huyu amjui mungu kaka tafuta mke anaemjua mungu kwauwezo wa mungu hutapata mke mwema
Asalam alayqum
Hutapata ✖ utapata ✔
Usituletee ustaarabu wa wazungu wewe penda asili yako ya vigoma ya mababu zako, huyo Mungu wa Yakobo waachie watoto wa Yakobo
Kumbe ni asili so dini ss geuka upande wadini we mama jintunzima na umuongope Allah naulisamin sana kazi kuliko malalamiko yamkweo
Mama Mkwe wa ovyo......Utalea wajukuu wasiojulikana mpaka kiyama ! Kaka mbona wapo wanawake wengi wenye maadili tu achana na kahaba wa mtaa.....KUNGURU HAFUGIKI !!!!
Subbahana Allah we mama muogope mungu unadhalilisha kabila zima mimi mzaramu lakini sijawai ata kucheza ngoma na wewe kaka acha ufara ndoa niyako ukiona ime kushinda fanya maamuzi ya busara uketoka naye mbali mama ako mzazi na leo ume muacha
Mama muogope Allah hayo ni madhimbi acha ngoma na pia washauri watoto wako waache na mutubu na musirudie tena kwani hy sio dini mpka unasema utakufa nayo kwanza ktk dini hakuna jambo la mila mila ni zashetani mtume swalallahu alayhi wasallam anasema yoyote mwenye kufanya madhambi haliyakuwa anacheka ataingia motoni haliyakuwa analia acha hizo vigodoro baikoko zote hzo ningoma zaharamu muogope Allah
Uuuuwiiii Mungu wangu msiba mkubwa huuuuu kaka pole hii soyo familia uuuuwiiii
Iko kwenye damu hawezi badilika, wanaume nanyi muwe mnaangalia na familia
Mama mkwe umeeleweka, asante kwa elimu ya wazaramo na ngoma, mkataa kwao mtumwa dumisheni mila zenu za kizaramo❤
Mimi nilioa mzalamu na hawakupga Ngoma na mpaka Leo ajawaikutamka upumbavu WA kwenda kwenye Ngoma broo piga chini uyo mpumbavu
Mama MCHAWI huyo, ndugu liepushe na hiyo familia haikufai, wanawake wako wengi wenye HESHIMA zao.
Hii sio familia ni mashetan watupu wapuuzi hawa
WEE MJINGA KUMBE MNYAKYUSAA? UNATUTIA AIBUUU, NDO KUPENDAGAN KWA KIJINGA HUKOO? ACHA HUYO DEMU WW BWEGEE
Huyu jamaaa boya nafkiri we jmbaa acha usenge biashara y kijiplaudi kwenye Kamara achana na huyo mwanamk msenge wew
Dada husituzalilishe tena hukome mzalamo ndio hakaimbilini ndio halivyo fundwa ngomani
Sio mzalamo uyu mshamba
Namshukuru mwenyezi MUNGU kwakunipa mama mwenye hofu ya MUNGU ❤
ww una akir mjinga choko
Mungu atakusaidia tuu kaka utapata mke mwenye her na wewe
Turudi kwa mwenyezimungu mama ngoma zipo hata sie tulicheza ila sio hali ya hivi sasa. Yaani ngoma hata mashekhe sidhani kama wataruhusu😂😂😂
Wanaume tuwe makini, zipo familia zisizo faa kuoa, acheni niwe single, stamani kuoa kabisa
Usitarajie kuona kivuli kilichonyooka kwenye mti ulopinda Jamaa ajipange aoe mke mwingine hapo mke hana na mama mkwe pia hana mkwe shangingi mtoto shangingi mtoto wa nyoka ni nyoka mtoto karithi kwa mama
Kama hakuwaona kabla hajaoa ndio ataoa sasa? Msindanganye mwenzenu alipenda chura ndio alamuoa Raha za chura atazipata kyela?
Huyu mama hajui anachotetea mume hawezi kukubali mkewe anavua nguo barabarani sio tabia njema mke anatakiwa kujistiri juwa na heshima kwa mumeo
Hii familia,sio yakuowa wa kuolewa labda kama hujitambui kama wao
Mama samia unasiki toarusa wana wake wakeketwe hili mama linaogea vibaya sana
Pole sana kakangu umekosa pakwenda kuoa
Wewe kuma kabisa mama mke ananuka pumbu mwilimzima umepotosha ww nikamahuyu mama nimdangaji tu mume anakataza mkewe asichezengoma kwani kosa liko wapi? Ww Jamaa nenda kwenu mbeya utafute mke mwingine shenzi lamamamkwe mama ananuka pumbu mwilini
We mama jitu zima ovyo uogopi hata mkwe pumbavu zako mfundishe mwanao maisha mjinga mkubwa we
Huyu mama hana maadili, wanawake wasiyo jieshimu.
Ndugu yetu hiyo sio familia nzuri.
Kweli kabisa like mother like daughter....kabla hujaoa nenda mwangalie mama Mkwe wako.
Usimdanganye mwenzio anachezewa chura chumbani amuache ataanzia wapi?😂😂
Wazaramo hawana ngoma ya kuvua nguo walk kuchezesha matako ,wao huvaa vibwaya vinasukwa na ukindu . Bali wameizua wao na sio vigodoro, kuna mkwaju ngoma,vanga na mdundiko,gombe sugu na zote hizo hawavui nguo wala hawachezeshi matako.
Kwani we Rehema ni mzaramo?
Sawasawa hakuna asili ya mzaramo anaevua nguo huyu mama huyu poooka😢
Acha uongo mm mziramo na swala tanto Sema umekosea madili ya Dini mama pumzi zisikudanganye
Wewe ndio mtumwa uache kutetea Ngoma za mababu zako ukapaishe ustaarabu wa waarabu? Penda vyako vya asili
Amekuywa mama mkwe siyoakiliyake mama mwenye adabu hawezikusapoti ujinga
Hapa kama huyo mie munafaidi mengi kwa hio michezo lazima wapo wanaotamani uchi wake anavouanika huko hivo kama unajipenda ni bora ukubali ujinga,
Mama mkwe hakutaka hata kumsikiliza mkwewe ina maana, mwanae alimtonya kwamba achana na huyo fala😢
Ila mama mkwe anayo akili bhanaa ameongea vizuri sanaaa.Hao ni wanao
Mama mkwe huna ujipangeee usije jinyonga
mama mkwe mwenyewe anaonekana Kama Malaya vile vile kaka hio familia eio hakuna mama hakuna Dada hakuna make subhanallah
Jaman kakaang umejitwka goma ahhh
Mhuu.subhanalha.kakangu hiyoo familia haina msimamo wa dini ata angaliee tu ata mwonekano wa mama
Uwo umalaya tu mama jitambue kunamaisha baada ya vigodoro je wewe na mume wako aliishi vp na wewe mnavua ngua azarani umalaya mtupu acha kumdanganya uyo brother
Mama shughuli au mama matatatuu wew huogopi ushauri wangu hiyo familia sio mtangulize Mungu atakupa mke mwema
Tatizo kubwa ni kuoa wazaramo😂😂😂
Wala tatizo sio wazalamo iyo tabia saizi ipokwenye kila kabila nitabia ya mtu tu kupenda mambo yakuiga
Kabisa @@joycemkeka3769
@@joycemkeka3769Waacheni wazaramo wadumishe asili yao nyie mlioshindwa Mila zenu kaa kimya, chura oyeee😂😂😂
Uyomama wa mwanamke zumbukukunuyo tena ndio sheitwani.wakwanza ndio kamrisisha mwanawe
Achana na mwanamke huyo mcheza chura na mama mkwe yako ni mwehu sana
Mama wa mjini huyo mtoto wake ni kupewa TALAKA ili aendelee kuruka ruka mjini.
Sura Kama mkundu wA nyani Ana aibu Hata kidogo Kwanza MTU anaitwa Mama matatoo huyoo kweli mkwe mmmmh
Zoea ngoma, utaambiwa uzoee na mafiga matatu ndo mira yaonayo we mmewe figa la kwanza mafiga mawili nje.
Kuchesa ngoma sio mbaya
Mimi mzalamo na kwetu hakuna asili ya gooma kukaa uchee mbele za watu mwanake kecheche na mamake kahaba mipashukuna hiyo achanayo
Mama mkwe ka kuelewa mda tu sema we ndo hujaelewa..
Ww mnyakyusa mshamba unaowa ujuwi familia unayoowa
Hii ngoma ukiona wadada wanavyo achia vyombo kweli utamwduni nomaa 😂😂😂
Huyu mama nadhani hata darasa la saba hakufika
Sema tu mnapenda kutengeneza kiki! Ila kwa uhalisia mwanamke anatakiwa akuskilize wewe mwanaume! Aspo kuskiliza unaamua kumuacha aende tu akafanye yake! Sio kujiuliza marambili mbili!
Kaka yangu pole ivi una tegemeya kumpata mke mwema kutoka kwa huyo mama ninaye muona apo tafuta ungine mke
Mama rudi kwa mungu wako achana namambo ya kishettan.rudieni kwa mungu wenu
Tokea lini Ngoma ya asili ikawa ushetani? Acheni utumwa wa akili dumisheni Mila zenu wazaramo Huyu mnyakyusa asiwafanye mkaacha kutimiza Mila zenu sababu yake?
Innalilah wainna ilayh rajiuna kaka angu huna mke wala huna familia ya mke achana naoo hawakufai hio familia ni ya kishetan kabisa
Ww jamaa siyo mnyakyusa ww ni msafwa mnyakyusa hayuko ivyo
Mwanetu karogwa, daah inaumiza sana
Ila Mungu atupe wepes wanaume tuna teseka sana ndo maana bola tukajichua tu kuliko kufanya ujinga kama huu hv mama kama huyu ana shindwa kuzua janga kama hili kwel
Huyo mama mkwe ni matatizo matupu yaani kama unaenda kuoa hapo we ao tu na uvumilie yatakayo kitokea.
Pole sana umeingia choo cha kike Mkwe siyo kabisa anatetea maovu.Inaonyeshahuna sauti kwa mkeo.akikosea mkeo huna pa kukimbilia kwa ushauri.
We kaka kaoe kwenu. Acha ufara. Yaani wewe kaka ni fara. Kwenu hakuna wanawake wazuri. Wenye hekima. Unaoa kwenye vigodoro. Au unataka na mama mkwe nae hasasambue
Hakuna mama mkwe hapo, anatawala familia mbili hapo yake na ya Binti yake, anakupangia Cha kufanya
Hapo mtoto wa huyo mama hana shida,shida n malez ya mama huyu amemlea kweny vigodoro kucha..mama t hajielew mdom mref hana maneno ya hekima...kaka achana nae huyo dada amekuvua nguo sana
Jamani mimi mkurya,nipeni huyo mwanamke wa kizaramo,masaa 3 tu,kigoma basi,uwiiiiii mura.
Wanyakyusa tuna msimamo sana hatutaki huo upuuzi. Mwache huyo kenge
Mama mkwe kachafukwa na roho😅😅
Jua unayemuoa mila na desturi zao usiende kichwa kichwa matokeo ndo hayo .Mbombo nkamu Mwaisa
Tafuta mke hao nimalaya mwanagu pole sana😢
Brave sw kasema mzee asili ila ,asili iwe inamipaka maana kwa mwendo huo sio sw nikulize kwa hio kama ww mkewe unaempenda unajiskia vizuri akacheza kikodoro
Mama muogope Allah subhanna wataalah usione Raha ya Dunia ukasahau umauti, unaabisha wakina mama aibu sana.
Tena umepata mkwe mzuri sana mkweo anamtafutia Pepo mtoto wako.
Usimsifie mwanao tabia chafu acha muogope Allah
Hawa wazazi wa aina hii ni sawa na rangi ya maji mama mkwe rangi ya maji , mtoto nae ni rangi ya maji.msingi ni wazazi 🎉 wazazi wakipoteza mwelekeo ni hatari kwenye jamii huyu kijana anapenda sana amani lakini ameingia mlango wa kutokea
Uyo Kaka angekua ndugu yangu ningemshauli kitu daah mtihani huo
Mama kopo, watoto makopo yaani wote hamnazo😅😅😅