MKASA WA KUSIKITISHA MGANGA TAZGENIUS AMCHINJA MLINZI WAKE DENI LA LAK NA NUSU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • MKASA WA KUSIKIFISHA MGANGA WA KIENYEJI ANAEFAHAMIKA KWA JINA LA TAZ GINIUS AMUUA MLINZI WAKE KISA DENI LA LAKI NA NUSU.

Komentáře • 455

  • @edennine446
    @edennine446 Před 4 měsíci +20

    Auaye Kwa upanga afe Kwa upanga done

  • @KAHINDITV
    @KAHINDITV Před 4 měsíci +14

    😢😢😢😢😢jmn! Tusiwe tunaamini watu kirahisi mtu anaua hovyo leo ww unaenda kwake kutegemea akuponye😢😢😢Mungu tu atupe hekima na uelewa mzr na ufahamu

    • @user-id8ys3lg5d
      @user-id8ys3lg5d Před 4 měsíci +1

      washirikina wakikusikia watakuchamba.. ila mm nakubaliana na wewe

    • @KAHINDITV
      @KAHINDITV Před 4 měsíci

      @@user-id8ys3lg5d kabisa dear,tuombe hekima kwa Mungu,hakika Mungu ni mganga zaidi ya waganga wote,na anatujibu kwa wakat wake,ndio hapo tunaona anachelewa

    • @user-xo7sg1pw7m
      @user-xo7sg1pw7m Před 4 měsíci

      @@user-id8ys3lg5d 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 Před 4 měsíci +12

    Kuna wakati nawaza sana na kupata uchungu mkubwa sana moyoni mwangu.Hivi kweli jeshi la polis linatia aibu sana.Harafu Makonda akisimama watu wanatukana.Nchii inatakiwa Wakina Makonda hata 20.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 4 měsíci +11

    Inaonyexha wazi Rushwa inatembea kuwapa police

  • @user-sj8ii2zr3i
    @user-sj8ii2zr3i Před 7 dny

    Asee ni uchungu polisi hamna msaada uyo laisi ndio kabisa mungu atusaidie

    • @binseif2216
      @binseif2216 Před 5 hodinami

      Kuwa na Adabu kwa rais ulitaka amzuie asimchinje?

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx Před 4 měsíci +5

    SUBIRINI SERIKALI IINGILIE KATI.. KUVUNJA NI UVUNJIVU WA AMANI ..

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l Před 4 měsíci +5

    Jamani tatizo viongozi Wala rushwa je polisi wajitafakari Kuna nini matukio tote hayo vip halafu mnaona tuu dada mnaenda kumkamata gb 64 wahiiiiii dahaa mungu anawaona

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 Před 4 měsíci +9

    Manyaunyau alisema kuwa uyu jamaa ana kesi na wakenya apo nimepata picha

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j Před 4 měsíci +3

    Inaonekana huu kaka wa chawi na waganga wenzake walimfanzia fitna. Kuuwa naona ametendwa sio bure. Mungu tupe subrah walio tangulia Mungu awape kauli thabit

    • @user-dh6uv5lw6c
      @user-dh6uv5lw6c Před 4 měsíci

      Huyo g. mm nilikwenda kwake hanalolote mshenzi na anapenda kupiga watu mm binafsi nishamuona kwa macho yangu anambiga mtu

    • @NurathYunusu
      @NurathYunusu Před 4 měsíci

      Alafu kingine ninacho kujua mtu akiwa kapata shida wengi wataongea sana mengi so ya kwakweli banh ivi unawezaje kuuwa Kwa shi laki na nusu

    • @babahamza1125
      @babahamza1125 Před 4 měsíci

      Kapigwa zongonhuyo watu wabaya

  • @Nuhu-gb2qw
    @Nuhu-gb2qw Před 4 měsíci +3

    Daaah mganga tz genius si watu walikuwa wanamfagilia sana

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 Před 4 měsíci

      Haise nimeshangaa sana, dah nlikuw namuonaga sana mtandaoni haise taz

    • @cutenicely4766
      @cutenicely4766 Před 3 měsíci

      Me pia kanishangaza kiukweli

  • @Sarah-f7h4m
    @Sarah-f7h4m Před 24 dny +1

    Nyie mnaongea mkiitwa mkatoe ushaidi mahakamani mtaenda kweli acheni ushabiki

  • @kardiborajabu6044
    @kardiborajabu6044 Před 4 měsíci +5

    kiukweli ina sikitsha sana kujichukulia hatua mkononi na kufanya mauaji lakini jambo kama hili ni kuviachia vyombo vya dola

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 4 měsíci +5

    Achen sheria ifanye kazi yake kuhus kuvunja nyumba hapn. Km kauwa nayeye auliwe tuu

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Před 3 měsíci

      Sheria ifanye kazi kivipi au Sheria ipi ya tanzania

  • @tuntufyemwasyete3834
    @tuntufyemwasyete3834 Před 4 měsíci +3

    Jamani tunaomba serikali ikemee Hawa waganga izi Imani mpaka lin jamani huyo marehem kaacha watt mke na family pia inamtegemea serikali muweke kibano kwa huyo mganga hailipe family ya huyo mlinzi

  • @athumanbalozi9748
    @athumanbalozi9748 Před 4 měsíci +3

    Analijua mungu
    Mengine musihukumu
    Hamuji nn chanzo
    Iachieni selikali
    Na mungu ndo mjuzi

    • @rahema907
      @rahema907 Před 4 měsíci

      Hata iweje mbona uuwe mtu

    • @lexygeisar8303
      @lexygeisar8303 Před 4 měsíci

      @@rahema907 ume ona aki ua au ni watu wana shuku tu

    • @NurathYunusu
      @NurathYunusu Před 4 měsíci

      Haa kumbe shida ni aramu

  • @nasruddinnassoro204
    @nasruddinnassoro204 Před 4 měsíci +2

    Kwann mnazungumzia mali zake sio tukio lilotokea achen hasad.na kama alikuwa anawatapeli watu wenyew walikuwa wanafat nn.huyo pesa lazm awe nazo kwanz kuonann nae mtihan kwake kukutann nae kuna vip 1. 200000 na vip2.50000 vingenevyo mlala hoi utapanga foleni wiki 2 kwahiyo haukumiwe kama ushahid upo ila tusizungumze kwa wivu wa mali alizopata.kama rahis utapel fungua kilinge chako.

  • @BHBTV-ud2wz
    @BHBTV-ud2wz Před 4 měsíci +4

    Sio kweli hao wote maskini na sikuzote mtu mwenye mafanikio huusudiwa skilizeni na upande mwengine

    • @sailicekomba8075
      @sailicekomba8075 Před 4 měsíci

      Haujafiwa wewe

    • @user-hj6im3qo6l
      @user-hj6im3qo6l Před 4 měsíci

      Wewe akili una mafanikio yake ndy aue mtu mbona ufikilii cha kuongea kwa hiyo maskini alali yake kufa acha ujinga

    • @lexygeisar8303
      @lexygeisar8303 Před 4 měsíci

      @@user-hj6im3qo6l yani kuna watu kwa kuhukumu wana shinda majudge huko mahakamani. Sidhani junior aliua. hii ni kitu watu walipanga. Kwa mtazamo wangu hata mimi ninge ondoka kwa sababu tokea na hapo walikuwa na ugomvi. wanachi wana wivu wa wivu wa maendeleo.

    • @jonsonigwakisa1162
      @jonsonigwakisa1162 Před 3 měsíci

      Itakuwa hao ndo anashilikiana nao

    • @jonsonigwakisa1162
      @jonsonigwakisa1162 Před 3 měsíci

      Wewe mwenyewe masikini inabidi na wewe ukamatwe unashilikiana naye muaji mkubwa wewe

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 Před 4 měsíci +2

    Hakuna cha kumuonea vivu.Nyinyi mnaotetea huu ujinga mnaishq naye mtaa mmoja.Mtu kama anaishi vzur na jamii yake watu hawawezi kukuchukia wote.Acheni upumbavu wa kutetea,huyo jamaa naonekana siyo mtu mzur

    • @lexygeisar8303
      @lexygeisar8303 Před 4 měsíci

      huyo ni sifa ndio zilizo mponza. kuna video nyengine wamesema kuwa aikuwa anatoka na millioni mbili ana gawa. mi naona alikuwa mkorofi kulipa watu pesa .

    • @user-cn8kj7fp7j
      @user-cn8kj7fp7j Před 4 měsíci

      Uko sahh

    • @user-cn8kj7fp7j
      @user-cn8kj7fp7j Před 4 měsíci

      Uko sahh

  • @JohnsonSukuzi
    @JohnsonSukuzi Před 4 měsíci +5

    Watu mna wivu jaman mnadanganya Hadi mnakera mnachochea udongo

    • @allywaziry6419
      @allywaziry6419 Před 4 měsíci

      Kuna ukweli zaidi ya huu Kaka, tujuze

    • @user-rr7gb5qo7o
      @user-rr7gb5qo7o Před 3 měsíci +1

      Yaani Kijiji kizima kimuonee yeye wivu kwa iyo wewe unaona alivyofanya nisawa siyo bule na wewe utakuwa unahusika.

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Před 3 měsíci

      Bora ungecinjwa wewe

  • @user-ro8vo9fi9o
    @user-ro8vo9fi9o Před 4 měsíci +4

    Freemason uyoooo

  • @kardiborajabu6044
    @kardiborajabu6044 Před 4 měsíci +2

    kuna waganga wenzake pia wamefuraia cozi siunajua wanapiganaga vita na mawivu hiidunia ukiendelea pia nitatizo chuki lazima zita kuandama pia unatakiwa ujifunze sana kuishi na ulio wazidi kipato ukiwa dharau tu hatari

    • @davidrweyemamu938
      @davidrweyemamu938 Před 4 měsíci

      Kuna mganga anaitwa manyaunyau ndio walikuwa wanagombana sana. Hawa wote wanaoongea hapa ni wapambe wa manyaunyau.
      Dogo alikuja juu kwenye utapeli wa uganga akawafunika matapeli wakongwe kina manyaunyau ndio wakamwahidi kummaliza!

    • @josamjoel2079
      @josamjoel2079 Před 4 měsíci

      Kwahiyo wamelipwa na manyau nyau waje wamchafue ama

  • @AliMasudi-mc2sj
    @AliMasudi-mc2sj Před 4 měsíci +1

    Hao.majira.walio.zungumza.wote.wakamatwe.maana.wanayo.yazunguza.yanaoneka.kabisa.ni.chuki.hao.majiran.wamefanya.wao.hilo.tukio.serikali.itizame.vizuri.maneno.wanayo.zungumza.majirani.mim.nilishaona.tukio.hilo.wamefanya.hao.kumharibia.mwenzao.duuu.hao.wote.walio.hojiwa.wakamatwe.wote.wata.zunguza.vizuri.pumbavu.kabisa.hao

  • @user-uc8ei8kn3l
    @user-uc8ei8kn3l Před 4 měsíci +2

    Mnavunja nyumba ili iweje nyumba ndo imeua au kamateni wote hao wamejichukulia sheria mkononi pumbavu sana mnavunja nyumba ili iweje

    • @silasjacob-j2l
      @silasjacob-j2l Před 29 dny

      au na ww umehuska mbna kama nyumba inakuuma kuliko uhai wa mtu nyau ww

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy6899 Před 4 měsíci +2

    Hapo inaonekana Kuna chuki, Polis ichukue hatua Kali

  • @user-xp4jp6ji9h
    @user-xp4jp6ji9h Před 4 měsíci +2

    😂😂 duh kajenga ovyo ovyo

  • @rahema907
    @rahema907 Před 4 měsíci +2

    Mbona kwa mitandao ana onekani mkaramu tu daaah

  • @tinalulule917
    @tinalulule917 Před 4 měsíci +2

    Binadamu roho mumeziweka wapi..mumekua. wanyama jamani...

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Před 4 měsíci +1

    Wanasema mdomo uliponza kichwa niko palee hawawote walio hojiwa hapaa mtasikia habari zao haku kitu chakinga kama sifa yani ukibananishwa na. Police kwenye upelelezi ndiyo utajua mdomo uliponza kichwa

  • @GraceAdonias-vn1iq
    @GraceAdonias-vn1iq Před 2 měsíci

    Mmhhh!!!! Mungu hatakuja kuwamua mengi make binadamu tumejaa roho za kutu tupu😮😮😮

  • @cutenicely4766
    @cutenicely4766 Před 3 měsíci +1

    Auae kwa upanga hatakufa kwa upanga..bc angalieni mWisho wake...

  • @HechHamisi
    @HechHamisi Před 4 měsíci +2

    Nyie kuna manyaunyau mchunguzeni vizur aisee

    • @geofreylucas7870
      @geofreylucas7870 Před 4 měsíci

      Wew manyaunyau Kama angeamua kuua wasio na Hatia bas angeshaua kitambo Sana manyaunyau ni WA long time asee mpka sasaiv ameshakuwa mganga sharobaro!!!

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh Před 4 měsíci +1

    Wasichome nyumba mana Yuko nafamilia but nayeye afanyiwe kitumbaya Hana faida yeyote mpumbavu mkubwa

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 4 měsíci

    Subuhanallah. Mtihani huyo kaka muuaji hivyo. Basi dam xinamzuru basi na yeye mumuuetu hafai kuishi anarohombaya atazidikuuwa hapo

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 4 měsíci

    Hii ni Hatari sana Aisee

  • @KagitoNdullu
    @KagitoNdullu Před 3 dny

    Jamani

  • @LatifaJuma-t5l
    @LatifaJuma-t5l Před měsícem

    naitwa baba fett daa na mm mtunzi tuna nyanyaswa sana raisi mamata etu tanya ukaguzi nukuomba mahara mdogo raki tamsin

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 4 měsíci

    Mungu wangu duuh majiran qchen kuficha ma dudu mungu wangu

  • @RucyMakapa
    @RucyMakapa Před 21 dnem

    Mama samia sema neno kuhusu jeshi la police muwatoe hofuu

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 Před 4 měsíci +5

    Nyumba zivunjwe kwa sababu ya nn!mtafungwa nyie kuchoma gari moto! Acheni serikali ichukue mkondo wake!

  • @HappnessYohanaRohongo
    @HappnessYohanaRohongo Před 4 měsíci +1

    Uyu Baba anaonekana anachuki tu maana ata wanapo jileza sasa kama mtu mjue unasemaje kama sio mtu mzuri hacheni chuki watanzania wezangu

  • @user-xn1ly2yx7j
    @user-xn1ly2yx7j Před 4 měsíci +1

    Jambo la kusikitisha sana .ila uyu jamaa anaye ongea na mtangazaji kweli ana point .mtangazaji unauliza nani amepasua vioo je vioo vina samani kuliko uhai wa mtu.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 4 měsíci +1

    Duh poleni mbona Kuna watu wanadai mishahara hadi imefika milioni 7 na hawajalipwa ingekuwaje poleni sana serikali ingilieni kati

    • @zuhurasidihatibu4774
      @zuhurasidihatibu4774 Před měsícem

      Sa nawe Kila mtu na level yake ya kipato...Yan mtu aibe mbuz alaf useme Kwann asivunje bank...au mtu anaelisha tenda mashule magereza asidai haki yake kisa uwezo wa pesa anao.

  • @AllyKasa
    @AllyKasa Před 4 měsíci +6

    Sasa ukishavunja nyumba inakuwaje

    • @toor8984
      @toor8984 Před 4 měsíci

      SILOHO ZA KIMASKINI NDIO ZILIVYO HAPO WENGI WACHAWI WAMEONA WANAHALIBIWA

  • @zablonomutoko1076
    @zablonomutoko1076 Před 4 měsíci

    Freemason uyoooo😂😂😂😂😂

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938 Před 4 měsíci +2

    Huyu aliyevaa headphone ndio kamuua babaake na huyo mganga nilimshuhudia kabisa huyo akamatwe maana ana bif na huyo mganga siku nyingi akishirikiana na mganga wake manyaunyau.

  • @danielmgomo717
    @danielmgomo717 Před 21 dnem

    Waandishi wa habari hizi hawako makini na kazi zao kwa sababu Tazgenius tangu awekwe ndani hakuna Mwandishi wa habari yeyote amefuatilia kule aliko mambo yake yanakwendaje.Kama walivyo moto mwanzoni wanatakiwa kuwa moto hadi mwisho .

  • @Sarah-f7h4m
    @Sarah-f7h4m Před 24 dny

    Nyie mbwa mkiitwa mkatoe ushaidi police mtaenda endeleeni ma midomo itawakosti mna wivu nyie

  • @fanitofaustino4108
    @fanitofaustino4108 Před 4 měsíci +5

    Majirani Wana wivu

  • @missyt343
    @missyt343 Před 3 měsíci

    Acheni uzushi. Fitna binadamu zetu ila nyie mumezidi acheni sheria ifaye mkondo wake

  • @kardiborajabu6044
    @kardiborajabu6044 Před 4 měsíci +2

    hakuna sheria ina ruhusu mtu yoyote kujichukulia hatua mkononi dam ya mtu itadai tu walio husika

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp Před měsícem

    kweni kesiyake imeishia wapi kafungwa au kashinda

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 4 měsíci +1

    Ingekuwa ni wakurya wasingesubiri viongozi,wangechukua maamuzi wenyewe

  • @likimaro6
    @likimaro6 Před 4 měsíci +15

    Kweli inawezekana jamaa kaua, ila maelezo mengi yamekaa kiwivu

    • @user-id8ys3lg5d
      @user-id8ys3lg5d Před 4 měsíci +6

      hakuna wivu nidamu ya mtu inalia wewe acha kabisa kuhusu damu ya mtu.. huwezi kuwa salama hatakidogo..acha alipe

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Před 4 měsíci +5

      Hamna cha wivu atavuna alichokipanda mshenzi huyo damu ya mtu haimwagiki bure

    • @muzihirisekavumo7829
      @muzihirisekavumo7829 Před 4 měsíci +1

      Nayy alimwe mapangatu
      Hakunachwa police apo

    • @user-dq1lm2be2u
      @user-dq1lm2be2u Před 4 měsíci

      Ukiwa na mambo ya ajabu hakuna atakaye kupenda cha kumuonea wivu kikowap na ujue Mungu analipa sana na pia kila kitu kina mwisho wamuuwe na yeye

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Před 4 měsíci +1

      @@user-dq1lm2be2u Shangaa na wewe eti wivu.Kuna matajiri wangapi humu mtaani mbona hawachukiwi?Mtu mmoja uchukiwe na Kila mtu?

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa Před 4 měsíci

    😂😂akipita ata paka😂😂 aa ety ambulance aina kelele

  • @user-dm4ce7mp8q
    @user-dm4ce7mp8q Před 4 měsíci +1

    Mie nahis Hawa waganga wanaoneana wivu, serekali ifanye uchunguz vizur

  • @haqilillahtaalaabudhar4697
    @haqilillahtaalaabudhar4697 Před 4 měsíci +1

    Acheni unafki nyinyi huwo niwivu wa maendeleo

    • @user-eb7oi2bx6s
      @user-eb7oi2bx6s Před 4 měsíci

      Tafadhari sikunyingine usitumie makalio kufikilia hayo yapo kwa jiri yakunya2 😣😣

  • @Rehemamakuka
    @Rehemamakuka Před 4 měsíci +2

    Ety serikali ya nani jamani serikali muwe mnawasikiliza wananch

  • @Saikalyasi
    @Saikalyasi Před 4 měsíci +1

    Mbona kama kuna chuki ndani yake maana majirani wanaongea mihemko yao binafsi kuliko tukio husika

  • @Rehemamakuka
    @Rehemamakuka Před 4 měsíci +2

    Nimempenda huyu kaka mwisho

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 Před 4 měsíci +1

    Doòo kumbe jamaa mshenzi loooh😮

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před 4 měsíci

    Hayo mambo yanaanza kidogo kidogo halafu huleta mazala makubwa sana latika jamii

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 Před 4 měsíci

    Nadhani uchunguzi ni muhimu majirani wengi wanamchukia Taz inawezekana hata hicho kifo ni cha kutengeneza

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa Před 4 měsíci

    Mzee kaumia😂😂

  • @user-xg1zg2co3c
    @user-xg1zg2co3c Před 4 měsíci

    Huyoo jamaaa alojifanya tazgenouis akipatikanaa agongweee na manaumew wenzakee af afee

  • @shammybeybe1825
    @shammybeybe1825 Před 4 měsíci +2

    Yaani dawa zote alizokiwa anawaambia huyo mganga feki, zipo miaka na miaka youtube sijui watu walihadaika na nini! 😂😂😂, hana uchawi wowote wala uganga wowote 😅😢😢😢

  • @user-hr2eo2on6w
    @user-hr2eo2on6w Před 4 měsíci

    Hizo nichuki binafsi mara cyomganga mara tapeli,ngoja police wafanye uchunguz nawatake ushirikiano kwaraia utaona wakilala mbele

  • @hafsamnenga1942
    @hafsamnenga1942 Před 4 měsíci

    Wivu tu huo gineas hawezi kukosa kulipa laki na nisu

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa Před 4 měsíci

    Uyu babu kipindi akiwa kijana sijui😅😅

  • @user-ez7lk3it5s
    @user-ez7lk3it5s Před 4 měsíci +2

    Auwaye kwaupanga.naye.atakufa.kwaupanga

  • @kardiborajabu6044
    @kardiborajabu6044 Před 4 měsíci

    nimesikitishwa sana na hili tukio na mauaji yaliotokea hapo mtaani kiukweli jambo kama hili nikuliachia vyombo vya dolla vifanye uchunguzi wa mauaji ya vifo vya wote wawili mlinzi pamoja na huyoo baba wa anaye hisiwa amemuua mlinzi wake endapo itabainika na watajulikana wahusika wa mauaji ya vifo vya wote wawili naviomba vyombo vya dolla viwachukulie hatua kali za kisheria wahusika wote

  • @wemakatina8538
    @wemakatina8538 Před 4 měsíci +4

    Cha msingi wananchi muuweni tu achaneni na serekali

  • @user-fm4xc4ck9r
    @user-fm4xc4ck9r Před 4 měsíci

    Jamani uo niuwongo ambao wanazungumuza nicuki tuu majilani wabaa wanatunza maneno yauongo wanacuki naye 😢😢😢😢

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 4 měsíci +3

    Mhm Mbona kama UZUSHI? 😢😢

  • @adilkarim4332
    @adilkarim4332 Před 4 měsíci

    Huyo jama ni mechanic huko mtaa wa libya zamani ana piga ribiti ma gari ! Mtapeli tu huyo😂 hamna cha mganga wala nini

  • @charleslucas4365
    @charleslucas4365 Před 4 měsíci +2

    Damu ya mtu huwa haimwagiki bure

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 4 měsíci

    Serikali itachukuw mkodo wake au chuki tu na maendeleo ya mtu 😢😢 mungu tusamehe

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt Před 4 měsíci +6

    Atakamatwa mshenzi damu ya mtu haipotei hivi hivi😢

  • @zariamwenge4822
    @zariamwenge4822 Před 4 měsíci +3

    Santaimu🤣

  • @AishaMwarabu
    @AishaMwarabu Před 3 měsíci

    Mh ayontapelivkweli nshawai kufka apo ila mungu anisamee tuu mana mhhhh

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm Před 4 měsíci

    Hata nyiiee mkamatwe Kwa kuua baba wa mtuhumiwa na tazgiunias akamatwe pia

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 4 měsíci +4

    HUYO ALIYEUA ANYONGWE NA YEYE

    • @Nailaty564
      @Nailaty564 Před 4 měsíci

      Mtasibiri Sana hafi mtu

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Před 4 měsíci +1

      ​@@Nailaty564Ila watu?Hivi angekuwa kauwawa mwanao au ndugu yako ungethubutu kuongea hivi?

  • @tuntufyemwasyete3834
    @tuntufyemwasyete3834 Před 4 měsíci

    hii nchi tunakoelekea siyo viongozi wetu mnayahona haya

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 Před 3 měsíci

    Waliovunja na kuiba ndo wauaj achen kubwabwaja hapo

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 Před 4 měsíci

    Duh Kingola Cha Shinda Ambulensi 😂😂😂Mie Mkenya Kwa Jilani Zangu Wa Tzd Si Ngoki Ngo 😂😂😂👍🏿👍🏿👍🏿❤️❤️❤️🇰🇪

  • @user-zd5pc5nc9c
    @user-zd5pc5nc9c Před 4 měsíci +1

    Mnajua kutengeneza story

    • @HasnaMash-qd2cj
      @HasnaMash-qd2cj Před 2 měsíci

      Kua kivipi wakati hapo nibkwake huyo muganga jamani

  • @Sarah-f7h4m
    @Sarah-f7h4m Před 24 dny

    Kama sisi tunatetea anza kuchoma nyumba uone yakwako iko wap mbwa ww

  • @janviersobhane6492
    @janviersobhane6492 Před 3 měsíci

    Habari

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před 4 měsíci

    Fanyeni kazi vijana acheni wivu

  • @AlexAmida-nk5jo
    @AlexAmida-nk5jo Před 4 měsíci +3

    Anzeni kuchoma moto nyumba mnachelewa

    • @BeullahBujah-lk3sx
      @BeullahBujah-lk3sx Před 4 měsíci

      Achaneni na kutafuta laana jibu kuchoma nyumba sio jibu tafuteni muafaka na Selikari

    • @Nailaty564
      @Nailaty564 Před 4 měsíci

      Hata wakichoma anazo nyumba nyingi tu tena zaidi ya hiyo

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Před 4 měsíci

      ​@@Nailaty564Sio bure una undugu na huyu mtu.Ila tu nikwambie damu ya mtu huwa haiendi bure.Ni hayo tu

    • @Nailaty564
      @Nailaty564 Před 4 měsíci

      @@lilyrose7983 tazi hara roho mbaya kiasi cha kuua hiyo ni mipango ya watu

  • @user-ej1ln6kn2u
    @user-ej1ln6kn2u Před 4 měsíci

    Mh uyu mm namfuatiria sana ila kama anaishi ivi na majirani zake nais uwenda akawa na matatizo aiwezekani majirani wote wamkatae

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před 4 měsíci +1

    Selikali mchunguze hatawivu upo

  • @mwatangachuma9069
    @mwatangachuma9069 Před 4 měsíci +1

    Mashuhuda nimewapenda ila msiba umenisikitisha

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Před 4 měsíci

    NAMKUMBUKA SANA MAKUFULI ANGELIKUWA UPUUZI HUU SHELIA INGEFATA MKONDO WAKE

  • @Sarah-f7h4m
    @Sarah-f7h4m Před 24 dny

    Majira mnaonekana mna chuki

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y Před 4 měsíci +3

    Hiyo nyumba ichomwe Moto tu, haiwezekani kukatisha uhai wa mtu 😭😭😭😭😭😭

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 Před 3 měsíci

    Huyu anayeongea sasa ukweli utajulikana tu

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 Před 4 měsíci

    Watanzania mko sawa kwa kuuwa sijui mko.na roho.gani

    • @johnmeshack4431
      @johnmeshack4431 Před 4 měsíci

      Kwani wanao ua kenya ni watanzania😅au wakenya

    • @irenewile
      @irenewile Před 3 měsíci

      Na nyie huko Kenya yamewashinda ,,kweli nyani aoni kundule,,wakenya mnajifanya wasafi ,,kumbe Ni wasenge ,wachawi,mbwa ,takataka kabisa

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 Před 4 měsíci

    Daah yaani huyo mganga anakuwaga na mbembwee kumbe hata kulipamshahara hawezikulipa🙄🙄

  • @DavidLameck-jp2nl
    @DavidLameck-jp2nl Před 4 měsíci +3

    Zahir wa maxmum tv hii ni media yako au??

  • @MalkiaMassoud
    @MalkiaMassoud Před 3 měsíci

    Uyo mpuuzi na yeye auwawe tuuu.