Nimepata uchungu sana nakumbuka kipindi naingia dar nilikuwa mdogo kuliko huyu alafu sikuwa na kazi ila nilipelekwa nikafanye kazi bar kwel nilipata kazi bar sikuwahi kujiuza ila nilikuwa napitia changamoto sana za matusi kwa wateja sikuwahi kuipenda hiyo kazi hata siku moja na mwenyezmungu aliliona hilo kuwa ni shida ndo zilinopeleka huko ila kiukwel sasa nimekuwa na nimeolewa na kaka mmoja wa kisukuma anayempenda mungu na aliyekubaliana na mim toka tulivyokutana hadi leo hii ni baba bora kwa wangu na nimume bora sana kwenye maisha yangu tulitoka dar tupo dodoma kwa sasa tumejenga kwetu na tunaishi kwa furaha sana hakika mungu atafungua milango ya huyu mtoto pia namuombea mungu amuonekanie katika kila hitaji lake na amfungulie milango yake ya baraka🙏
Pole mpendwa wangu😭😭😭😭😭nakupenda Mungu atakufungulia milango 🙏🙏🙏🙏wazazi tuombee sana kizazi chetu kinaangamia peke yetu hatuwezi bila msaada wa Mungu 🙏🙏
Dogo anaongea kwa kujiamin sana na huyu anaonekana ana akili sana mwenye ana uwezo anamjua had mungu kiasi Gani naamin IPO siku mungu atambadilisha 🙏🙏😢😢😢
@@user-sk7un6ls2t mhhh Fanya kwa muda uachane nayo, hiyo siyo kazi unasaindia watu kuishi hapa duniani 😄😄,, kazi yoyote ya kuajiriwa ni utumwa so unakubali kuendelea kuwa mtumwa??.
Huwa wanatia huruma ivi ivi, ukute keshasaidiwa ila biashara halali inataka subira na hawa mara nyingi wanataka pesa ya haraka haraka hawana subira, umalaya ni addiction mbaya zaidi. Mungu kisaidie kizazi kinateketea
Hajui kama Kuna mtandao masikin et kaka hawez kujua Yani Bado mdogo sana nawaomben Alie guswa na anao uwezo amsaidie huyu bint eee mwenyez mungu mwangalie Kwa jicho la huruma huyu bint umuokoe ktk janga hili insha Allah
Mama Samia... Mheshimiwa Rais, kama ikikupendeza naomba huyu dada achukuliwe hatua... Anafundisha mabinti wetu ulimbukeni... watoto wa kike ( inaonyesha anajielewa vizuri... Mbona Alli Haji, anauza mbizi na familia ya watoto 5.
Mungu akulinde mwanangu, nakubariki kwa jina la YESU ili akubariki na uondokane na hii adha.Mwanangu,nakupenda,nakupenda Zuena,Zuena nakupenda, MUNGU akuponye mwanangu,nakutabiria ukutane na LAMATA VILLAGE. Lulu Elizabeth akuunganishe na sanaa ya uigizaji,utatoka kimaisha mwanangu.
Sio ya kuchekerea hi kaz jmn maradhi ni mengi uyu sawa na mtto wangu miaka yake ndio mtto wangu jmn allah awaongoze watto wetu na hatujarie mwisho mwema
Samahani kama itawezekana naomba number za huyu dogo anahitaji kusaidiwa sana sana bado ni mdogo bado anaweza kusaidiwa na akafanya mambo ya haki na akafanikiwa na akatunza familia yake
Sio kila mtu anafikiria ujinga wengine tuko serious na inategemea mtu unayeona anajitambua. Tumesaidia wengi na hatuwajui sio kila mtu yuko km unavyofikiri. Wengine wana ushuhuda na sio lazima namba yake hata ya Mtangazaji watu wanaguswa mtoto huyu ana mguso wa aina yake utaona atasaidiwa tu ndugu yangu. Japo wapo wabaya lakini wema pia wapo
😭😭😭😭 mdgo wangu Zuh nimeumia kweli natamani nikusaidie Ila Sina nakuombea mungu akupe mtu atakae kusaidia ila nakuombea ukipata ata mtu wakukupa kazi ata zandani usikatae maisha nimagum ila iyo kazi Ina changamoto sana magonjwa mengi yanayotibika nayasio tibika😭😭
sio confidence ni ujinga alionao kichwani hajui hata anachokiongea, hiyo ni tabia tuun angekuwa wa kuacha mtaji wa mama ntilie alikuwa kashaupata kwama kwa siki elfu hamsini
Yes ni ujinga angekuwa anajitambua angejifunika uso, na Kama anasema anapata sh elfu 50 kwa siku anshindwaje kupata mtaji Kama watu wanaanza na mtaji wa sh elfu 10?
One thing we should not forget is that prostitution is not as a result of poverty but a spirit that enters one who is insensitive to spiritual matters, she needs counseling and deliverance before being given financial support, sometimes I usually ask myself " how much is enough"
Nikiwa kama mzazi nimeumia sn namaisha anayo pitia bint hali yakua Bado mdogo sn daah na inaonekana hafanyi kwakupenda nimaisha tu mi namuombea mungu apate mfadhili na mfadhili atakae jitokeza kumsaidia namuombea mungu amlipe zaidi yahicho alichompa zuwena inshaallah
Yani inaskitisha sn maisha nimagum na kunawakati unaangaika kugusa kila upande atlist ata ujisaidie napia mtu Hua unakwama namuelewa sn uyu bint mungu amsimamie kwanza nimkweli daah ila sijui mlimpa kweli iyo ela mana amewapatia kazi kwasijmku iyo!🤔 ipo siku mungu ataonekana kwako na atakulinda na maradhi
Yaani ujiuze upate mtaji na utoboe maisha hicho kitu hakipo hela zao ni kula kulipia kodi ya nyumba na kuvaa na kuwatumia wazazi ili kuwafurahisha wajue una kazi ya maana kumbe unajiuza
Wazee tunaokataa watoto haya ndio matokeo,sio fresh kabisa kukataa watoto wanakosa pa kushika wanakimbilia kwny matendo ya ajabu,,jamani tubadilike hata Mungu hapendi!😊
Maskini mdogo sana. In Sha Allah ataacha hiyo kazi ya kishetani. Mungu atamtoa na atasimama imara ktk maisha. Natamani nimsaidie hata kidogo walau afanye kitu.😢
Na vile mm natafta mwanamke bibi anayeweza kanizalishia watoto ata kama mmoja hv.jamni mola si unibarki na huyu dogo.Yuko smart Kimwili na kiakili.shida nazo ndiyo changamoto hapa dah kapotea huyu mpenzi.christian Bella kaimba kufanya kosa sio kosa Bali kukirudia ndiyo kosa.😍😍😍❤️❤️
Mnabowa sana watangazaji kinachoniumiza nyinyi ndio mliokutana na uso kwa uso kwanini msitowe michango ya rambi rambi.na kuchukuwa number zake ili azidi kusaidiwa.bado mdogo huyo ila njo maisha isha mfunguwa akili.akisaidiwa kidogo bila shaka atatobowa juu kimaneno tu. kanaeleweka hakana uoga hapendi kufeli maishani.pole sana dada ipo,utafanikiwa.
Aisee pole saana sister wa ukweli pole umenipa funzo dada yangu naeshimu saana tuliotoka kwenye shida tunaelewa Mungu akufungulie uachane na hii kitu phuuh!!!!👊🏼👊🏼🔥pole asee
Mtihani kweli yaani maisha magumu ndiyo ujiuze mwili Acha hiyo biashara Kwanza ikifa Bola ya kutibiwa ndiyo utaenda kucheka vzr hicho utakacholipwa Mungu akuongoze ktk haqqi
Nimepata uchungu sana nakumbuka kipindi naingia dar nilikuwa mdogo kuliko huyu alafu sikuwa na kazi ila nilipelekwa nikafanye kazi bar kwel nilipata kazi bar sikuwahi kujiuza ila nilikuwa napitia changamoto sana za matusi kwa wateja sikuwahi kuipenda hiyo kazi hata siku moja na mwenyezmungu aliliona hilo kuwa ni shida ndo zilinopeleka huko ila kiukwel sasa nimekuwa na nimeolewa na kaka mmoja wa kisukuma anayempenda mungu na aliyekubaliana na mim toka tulivyokutana hadi leo hii ni baba bora kwa wangu na nimume bora sana kwenye maisha yangu tulitoka dar tupo dodoma kwa sasa tumejenga kwetu na tunaishi kwa furaha sana hakika mungu atafungua milango ya huyu mtoto pia namuombea mungu amuonekanie katika kila hitaji lake na amfungulie milango yake ya baraka🙏
Ongela
hongera sana da rose
Ubarikiwesanna
Timiza malengo uache wewe Bado ni mdogo
👏👏@rosemary3017
She is so open...i really love her...Mungu akubariki utoke huku... truely shida hufanya mtu kufanya kitu asichokitaka
She's very open.. And i believe her smile will change her life
Yeah she very cute ☺️…. And seem very honest and open person ❤
czcams.com/video/fQ4LU8JQrCQ/video.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU
Pole Sana Dada na kweli Binti anajielewa Ila ni Maisha Tu Mungu atanisaidia
Daaah sio poa mdogo wangu pole sana M/MUNGU MKUBWA nakuombea upate kazi INSHALLAH 🙏
Pole sana dada Mungu atakusaidia utoke Hapo from Kenya
Anatia huruma sana n'a bado mdogo...Mungu amsaidie inshaallah atoke kwenye hiyo biashara❤
Ameen
Inaumiza😢😢
Amina its so painful😢😢
Shes so genuine, brave and naive. I hope she gets education and help
Nímesikia uchungu.Hata ukimuangalia,usoni analazimisha furaha,lakin ndani ana maumivu makali.Mungu amuinulie mtu wa msaada
Kumbe na ww umeona jicho la tatu dear kuna watu wanamaisha magumu acha lakn mtu awez muelewa
Kweli aisee😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Mungu akusaidie mdogo wangu..maisha yanatoa tafsri nyingi za maisha
Pole mpendwa wangu😭😭😭😭😭nakupenda Mungu atakufungulia milango 🙏🙏🙏🙏wazazi tuombee sana kizazi chetu kinaangamia peke yetu hatuwezi bila msaada wa Mungu 🙏🙏
She was very honest maaaan. I even cried,From Kenya🇰🇪
May she live long
Pole sana mdogo wangu ...mungu atakusaidia.
Dogo anaongea kwa kujiamin sana na huyu anaonekana ana akili sana mwenye ana uwezo anamjua had mungu kiasi Gani naamin IPO siku mungu atambadilisha 🙏🙏😢😢😢
Kbs yaaan
Ana akili kuliko hata wanao mhoji
@@machakuroger7068 sahihi
@@machakuroger7068😂😂😂
Pole sana mdogo wangu tfuta kazi nyingine sna zakufanya
Behind that smile there is hidden bitterness…Mungu akusaidie binti
For sure..
Kuna wenye maisha mazuri hawana hilo smile😮
Daaaaaaaaah inauma sana bora mm napambana na kaz za ndani mungu tusaidie😢😢
Acha uzembe Mungu hajakuumba kuwa hivo.
Uzembe gani Tena si Bora hiyo Kaz za ndani mshahara mzuri Tena kama Yuko nje@@petermakubi
@@petermakubi sio uzembembe pia ni Kaz Kama Kaz nyingine kuliko kujiiza 😏🤣🤣
@@user-sk7un6ls2t mhhh Fanya kwa muda uachane nayo, hiyo siyo kazi unasaindia watu kuishi hapa duniani 😄😄,, kazi yoyote ya kuajiriwa ni utumwa so unakubali kuendelea kuwa mtumwa??.
@@user-sk7un6ls2t mm mwenyewe nimeajiriwa some where but nimerealize kwamba nasaindia watu kuishi,so akili kichwani ndg.
Binti mzuri sana na ana akili Mungu amsaidie atoke huko
Kameona milion 1 ndio pesa yakukasaidia, Subhaanallah , allah akujaalie mwisho mwema mtoto mzuri ...
Mil ni kubwa kama hukuwahi kuishika
Ukiwa hujawahi kuishikq lazima uone nyingi na kwabiarasha alosema kwakuanzia million 1 sio ndogo
Huwa wanatia huruma ivi ivi, ukute keshasaidiwa ila biashara halali inataka subira na hawa mara nyingi wanataka pesa ya haraka haraka hawana subira, umalaya ni addiction mbaya zaidi. Mungu kisaidie kizazi kinateketea
Mungu hakusaidie utoke huko 😢😢😢kujiuza ni kuweka rehan afya na maisha kwa ujumla😢 pole
Mimi ni Wakigoma, i wish nimsaidie, she is very smart
Very true
Inauma sana huyu bint anaonyesha dhahiri hapend haya mambo kabisa.mungu atakusaidia bint
mmh hapana... ni kutokuridhika na ulichonacho. Yani mtu kaishia form 4 kaenda kujiuza kweli?
@gidemeritus9644 Bora hata afanye kazi za ndani😢😢
Pamoja na magumu anayo pitia lakini she still smiling ..😔 Mungu akuponye mi binafsi nakuelewa umaskini mbaya jmn 😭😭
Habari Jamii mko vizuri kwa kutafuta viewers mmefanya ubunifu mzuri, mmemtengeneza hadi katengenezeka😂😂😂
Ila nami nahisi hii content kabisa ÿa kutengeneza.
Kama nakuelewa vile
Mdogo wangu pole sana Dah nguvu unazo unaweza kufanya kazi nyengine
umeona.... angeweza kufanya kazi yeyote ile akaamua kuuza naniliu. Kujiuza ni choice aisee
@@gidemeritus9644 Wanadhani ndio sehemu pekee ya kupata hela haraka haraka
Tamaa awatak kufanya kaz za halali
Hajui kama Kuna mtandao masikin et kaka hawez kujua Yani Bado mdogo sana nawaomben Alie guswa na anao uwezo amsaidie huyu bint eee mwenyez mungu mwangalie Kwa jicho la huruma huyu bint umuokoe ktk janga hili insha Allah
Nimepata huzuni sana nikimsikiliza huyu binti ..
ningejib ila ninyamaze
Mama Samia... Mheshimiwa Rais, kama ikikupendeza naomba huyu dada achukuliwe hatua... Anafundisha mabinti wetu ulimbukeni... watoto wa kike ( inaonyesha anajielewa vizuri... Mbona Alli Haji, anauza mbizi na familia ya watoto 5.
tena al'haji ni mtoto wa miaka 10 kabisa
Dah inaumiza sana ,ukweli maisha ni magum ila tunahtaji subira na juhudu,pia mungu atunusuru sote kwan hakuna aijuae kesho yake
Naona watu Wana-comment confidence ya huyu dada na kumsifia 😂😂😂😂
Hamjui tuu ni Hennessy inaongea hapo kichwani 😅
She don’t look drunk 😢anaoneka anaongea from bottom of her heart
Hata kama ni Hennessy haijalishi..hiyo hennessy imempa confidence ya kuongea ya moyoni
😂😂😂
😅😅😅😅😅kwel kbc mzeee nilikua natafuta HII comment
Pole sana dada zuena mungu akujaliye upate mtaji iwachane nahiyo kazi mbona sio yaheshima wewe bado mdogo
Mungu akulinde mwanangu, nakubariki kwa jina la YESU ili akubariki na uondokane na hii adha.Mwanangu,nakupenda,nakupenda Zuena,Zuena nakupenda, MUNGU akuponye mwanangu,nakutabiria ukutane na LAMATA VILLAGE. Lulu Elizabeth akuunganishe na sanaa ya uigizaji,utatoka kimaisha mwanangu.
I really like her courage...
A very young girl may God see her through 🇰🇪
Hi there
Ar u in Nairobi
@@ayubzaka1598 Hi, i am far away from Nairobi
Surely
Kwenye kuhoji watu wa aina hii, sura inatakiwa ufiche. Nje ya hapo maana yake unamfanyia promosheni. Muwe mnajifunza hata kwa wenzenu basi.
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi Zuwena
czcams.com/video/fQ4LU8JQrCQ/video.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU
Sio ya kuchekerea hi kaz jmn maradhi ni mengi uyu sawa na mtto wangu miaka yake ndio mtto wangu jmn allah awaongoze watto wetu na hatujarie mwisho mwema
Hatari
Samahani kama itawezekana naomba number za huyu dogo anahitaji kusaidiwa sana sana bado ni mdogo bado anaweza kusaidiwa na akafanya mambo ya haki na akafanikiwa na akatunza familia yake
Acha umalaya unataka kumtomba tuu huna lolote
😂😂😂
😂😂😂kal
@@robertmzizima9621😂😂😂😂😂
😂😂😂 you're so funny @@robertmzizima9621
Wabongo wanafiki sana eti naomba namba zake asaidiwe😅😅😅 nendeni uwanja wa fisi mkawasaidie
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 jamaa linamtaka
😂😂😂😂 mmeistukia mipumbavu hiyo eti nipe namba nimsaidie, inaacha kusaidia watu waliowazunguka yanaanza ohooo naomba namba nimsaidie mijinga ina nyege mizeee
Sio kila mtu anafikiria ujinga wengine tuko serious na inategemea mtu unayeona anajitambua. Tumesaidia wengi na hatuwajui sio kila mtu yuko km unavyofikiri. Wengine wana ushuhuda na sio lazima namba yake hata ya Mtangazaji watu wanaguswa mtoto huyu ana mguso wa aina yake utaona atasaidiwa tu ndugu yangu. Japo wapo wabaya lakini wema pia wapo
@@chedielimrutu6955kwako ww ushajpata na ndugu zako wote au nyege tu znakusumbua??
Waooow just a happy soul
Hakuna maisha magumu mbele ya Mwenyezi Mungu ☝️ "
Exactly 💯 ni vile tu sisi binadamu tumekua na vichwa vingumu hatutaki kuisikia sauti yake.
High Confidence nimependa one day yes mungu atomuacha bure
Huyo babake kumbafu sana,Mimi binti yangu kama ana uwezo wa kuwaza kama huyu yaani nitahakikisha anaenda kwenye malengo yake.
They need am Oscar award lol 😂😂😂
tamaa ndiyo inachokuponza siyo maisha chura uyu
😭😭😭😭 mdgo wangu Zuh nimeumia kweli natamani nikusaidie Ila Sina nakuombea mungu akupe mtu atakae kusaidia ila nakuombea ukipata ata mtu wakukupa kazi ata zandani usikatae maisha nimagum ila iyo kazi Ina changamoto sana magonjwa mengi yanayotibika nayasio tibika😭😭
Mamb
Daaaah... It's so sensitive 😔
Anatabasamu zuri anajiamini tumpatie mtaji atoke Huku Coz Mungu anamjua Pia...
Ingawa wanasema 'Kunguru Hafugiki ' 😢
Such a young pretty girl who seems to have a genuine heart, may God enable her destiny helpers to locate her ❤️🙏🏽
Karembo kweli mungu akusaidie mummy
Kizuri Zuwena.Allah akujaliye upate mtu akusaidie
Very sad story gal like this government shld take her to school
19yrs to small shld be in form 3or four
Dah!!? Pole sana unanikumbusha machungu, mungu akusridie Sanaa
Masikini msichana mdogo pole sijui kimelewa chenyewe kinajiamini mungu ammpe mtu wakumsaidie aache izi kazi
Nimependa confidence yake. Akisaidiwa naweza kuwa mtu mkubwa Sana.
sio confidence ni ujinga alionao kichwani hajui hata anachokiongea, hiyo ni tabia tuun angekuwa wa kuacha mtaji wa mama ntilie alikuwa kashaupata kwama kwa siki elfu hamsini
Yes ni ujinga angekuwa anajitambua angejifunika uso, na Kama anasema anapata sh elfu 50 kwa siku anshindwaje kupata mtaji Kama watu wanaanza na mtaji wa sh elfu 10?
@@winifridarugayana7312elfu 50 kwa siku na anasema ni hela ya kula hamna mafanikio yoyote
One thing we should not forget is that prostitution is not as a result of poverty but a spirit that enters one who is insensitive to spiritual matters, she needs counseling and deliverance before being given financial support, sometimes I usually ask myself " how much is enough"
Very true
Ni kweli
Very true
This is very true,the devil traces your life and blocks your paths later on he intrudes spirits in you
Asante Mungu kwa kunipa uwezo wakuhudumia watto wangu
Naumia sana juu yako bint jamani Mungu akusaidie akutoe kwenye hicho kifungo
😭😭😭😭😭😭😭shida ni mbaya sana ananikumbusha mbali sana mungu akusimamie zuena
Mungu atusaidie Najiuliza Kama angekuw mwanangu na anasema anatamani kifa nmeumia jaman😭😭👌
Ni mtt wa mwenzio huyo Tena wa miaka 19 jmn da
Mdogo sana maskin mwili ndio umemzid tu
😢pole sana dada mungu akusaidie
Mnarahisisha maisha mtu una miguu. Na mikono unashindwa kutafuta kazi nyingne
Namuonea huruma bado mdogo mwenyewe anaonesha mcheshi mpole sema tu maisha dah nimeumia 😭😭😭
Kwl broo wapo wengi wanataka msada hamuwajui
Dah so sad💔 mungu tusaidie mabintii
Tangu aanze jmn had leo hajafanikiwa anyway mungu tupe mwisho mwema wadada 🙏
Nikiwa kama mzazi nimeumia sn namaisha anayo pitia bint hali yakua Bado mdogo sn daah na inaonekana hafanyi kwakupenda nimaisha tu mi namuombea mungu apate mfadhili na mfadhili atakae jitokeza kumsaidia namuombea mungu amlipe zaidi yahicho alichompa zuwena inshaallah
Sad story my gal I wish I cld help u
Aseee kwa kiasi furani nimesoma hisia zake, hilo tabasamu limeficha vitu vingi sana
Pole binti Allah akuepushe na atuepushe sote InshaAllah
Pole sana mdogoangu inaumasana ila MUNGU YUPO atakusaidia
Kaz ni Kaz, Kaz njema dadangu
Pole sana dada waandishi naomba kiasi alichokisema mumpe ili afanye biashara aliyosema huenda ikawa mwanzo wamaendeleo yake
Na wakishindwa anitafute in box wallah nimeumia sana
@@mariammpamka dunia inachangamoto nyingi muhimu kilajambo kumtanguliza M/MUNGU wapo wanaombeza nao hawajui mwisho wao au wa watoto zao
@@mariammpamka kwene iyo crip kunanamba ungeichukua
Pole sana dada angu mung akulinde tuu na magonjwa
Namkubli sna uy dada kila nikimunglia natoka machozi tu😢😢😢
Kitu pekee nilichopenda huyu dada ni mchangamfu halafu mkweli sana. Mungu amsaidie dah
Namuomba Mungu amuinulie msaada amtoe kwenye hayo mateso
Aseeee pole sana bidada.....binti mdogo sana miaka 19!!!!!!
Yani inaskitisha sn maisha nimagum na kunawakati unaangaika kugusa kila upande atlist ata ujisaidie napia mtu Hua unakwama namuelewa sn uyu bint mungu amsimamie kwanza nimkweli daah ila sijui mlimpa kweli iyo ela mana amewapatia kazi kwasijmku iyo!🤔 ipo siku mungu ataonekana kwako na atakulinda na maradhi
Yaani mambo mengine,toka ameanza kujiuza hajapata pesa ya mtaji akafanya biashara?
We acha tu
Uyu kahaba
Yaani ujiuze upate mtaji na utoboe maisha hicho kitu hakipo hela zao ni kula kulipia kodi ya nyumba na kuvaa na kuwatumia wazazi ili kuwafurahisha wajue una kazi ya maana kumbe unajiuza
Anatabasamu vizuri Mungu akukumbuke mdogo wangu 😊
Anapenda angekuwa hapendi ndo angepambana kuachana nayo kwa pesa anazopata kuprani Nini afanye akili hana@@agnesjohn9382
Pole sana mdg wangu ila bado upo na upendo wetu sana tunakupenda usilie ipo siku utapata mabadiliko ❤❤❤
Wazee tunaokataa watoto haya ndio matokeo,sio fresh kabisa kukataa watoto wanakosa pa kushika wanakimbilia kwny matendo ya ajabu,,jamani tubadilike hata Mungu hapendi!😊
Mungu atakukumbuka dada
Pole Sana MUNGU akukinge na maradhi
Amina mzuri mwenyewe
.Mungu akusaidie dada. 😢😢😢
Maskini mdogo sana. In Sha Allah ataacha hiyo kazi ya kishetani. Mungu atamtoa na atasimama imara ktk maisha. Natamani nimsaidie hata kidogo walau afanye kitu.😢
Na vile mm natafta mwanamke bibi anayeweza kanizalishia watoto ata kama mmoja hv.jamni mola si unibarki na huyu dogo.Yuko smart Kimwili na kiakili.shida nazo ndiyo changamoto hapa dah kapotea huyu mpenzi.christian Bella kaimba kufanya kosa sio kosa Bali kukirudia ndiyo kosa.😍😍😍❤️❤️
Acha umalaya lea familia 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂@@user-mr7gl5ox6u
R@@user-mr7gl5ox6u
Ety mume wake atajuaje??amesahau once on internet lives for eternity😌
Daah Pole sana mdogo wangu
Huyu msichana anaumiza kweli hii kazi inaonekana haipendi kabisa
nimempenda sana. Mungu ampe nguvu kilichojificha nyuma ya furaha yake.
Mnabowa sana watangazaji kinachoniumiza nyinyi ndio mliokutana na uso kwa uso kwanini msitowe michango ya rambi rambi.na kuchukuwa number zake ili azidi kusaidiwa.bado mdogo huyo ila njo maisha isha mfunguwa akili.akisaidiwa kidogo bila shaka atatobowa juu kimaneno tu. kanaeleweka hakana uoga hapendi kufeli maishani.pole sana dada ipo,utafanikiwa.
Ata km atasadiwa iyo kaz awaachi
Mshamba ww@@zainabwage4658
Rambi rambi kwani amekufa
Aaaaaa nina miaka 19 aaaaaa natokea kigoma aaaaa maisha magumu😂😂😂😂😂 Tanzania nchi yng ya uhuru na amani🙌
Aaaaah kwa sababu ya life maisha kigoma jwmqn khaaaaa😂😂😂😂
Aisee pole saana sister wa ukweli pole umenipa funzo dada yangu naeshimu saana tuliotoka kwenye shida tunaelewa Mungu akufungulie uachane na hii kitu phuuh!!!!👊🏼👊🏼🔥pole asee
Tatizo lao hawataki kufanya kazi na wanapenda maisha mazuri mwishowe wanaamua kujiuza akili zao wanajua watatoboa kwa haraka
Huyu kalewa😂😂
😂😂😂😂kumbe tumeona wote,kalewa huyu mwanangu, MUNGU amuokoe
😢😢😢 life is very difficult and important. The river and the source 🎉
czcams.com/video/fQ4LU8JQrCQ/video.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU
Yaan na yupo comfortable kujieleza dah mungu akubadilishe
Aah awa Dada zetu wasenge
Mungu Amsahidihe.. Sana.. Msahidien kwa wale ambao wako karibu
Unaweza kumsaidia ata ukiwa mbali
❤ kanajamini sana mungu amsaidie na kumpata mfadhili
Amelewa ndo maana
Mtihani kweli yaani maisha magumu ndiyo ujiuze mwili
Acha hiyo biashara
Kwanza ikifa Bola ya kutibiwa ndiyo utaenda kucheka vzr hicho utakacholipwa
Mungu akuongoze ktk haqqi
MWANDISHI HIYO KAZI BORA ANGEPEWA HUYO DADA MAANA MASWAL YENU YA KIPUMBAV