MKASA WA BINTI ANAEJIUZA ELEMENT MASAKI,AFUNGUKA ''NATAMANI KUACHA HII KAZI ILA MAISHA MAGUMU.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • FUATILIA KISA NA MKASA WA BINTI ANAEJIUZA MASAKI ATAMANI KUACHANA NA KAZI YA KUUZA MWILI LAKINI CHANGAMOTO NI UGUMU WA MAISHA.

Komentáře • 1,1K

  • @rosemery3017
    @rosemery3017 Před 6 měsíci +95

    Nimepata uchungu sana nakumbuka kipindi naingia dar nilikuwa mdogo kuliko huyu alafu sikuwa na kazi ila nilipelekwa nikafanye kazi bar kwel nilipata kazi bar sikuwahi kujiuza ila nilikuwa napitia changamoto sana za matusi kwa wateja sikuwahi kuipenda hiyo kazi hata siku moja na mwenyezmungu aliliona hilo kuwa ni shida ndo zilinopeleka huko ila kiukwel sasa nimekuwa na nimeolewa na kaka mmoja wa kisukuma anayempenda mungu na aliyekubaliana na mim toka tulivyokutana hadi leo hii ni baba bora kwa wangu na nimume bora sana kwenye maisha yangu tulitoka dar tupo dodoma kwa sasa tumejenga kwetu na tunaishi kwa furaha sana hakika mungu atafungua milango ya huyu mtoto pia namuombea mungu amuonekanie katika kila hitaji lake na amfungulie milango yake ya baraka🙏

  • @Diani_lifestyle-254.
    @Diani_lifestyle-254. Před 6 měsíci +41

    She is so open...i really love her...Mungu akubariki utoke huku... truely shida hufanya mtu kufanya kitu asichokitaka

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 Před 6 měsíci +75

    She's very open.. And i believe her smile will change her life

    • @1lakiisha
      @1lakiisha Před 6 měsíci +2

      Yeah she very cute ☺️…. And seem very honest and open person ❤

    • @lumulyimage4826
      @lumulyimage4826 Před 6 měsíci

      czcams.com/video/fQ4LU8JQrCQ/video.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 Před 6 měsíci +40

    Pole Sana Dada na kweli Binti anajielewa Ila ni Maisha Tu Mungu atanisaidia

  • @IssaMbelenje-ly1fy
    @IssaMbelenje-ly1fy Před 5 měsíci +8

    Daaah sio poa mdogo wangu pole sana M/MUNGU MKUBWA nakuombea upate kazi INSHALLAH 🙏

  • @samwellempuruk
    @samwellempuruk Před 5 měsíci +13

    Pole sana dada Mungu atakusaidia utoke Hapo from Kenya

  • @Hamad_303
    @Hamad_303 Před 6 měsíci +37

    Anatia huruma sana n'a bado mdogo...Mungu amsaidie inshaallah atoke kwenye hiyo biashara❤

  • @realmusagabriel
    @realmusagabriel Před 6 měsíci +16

    Shes so genuine, brave and naive. I hope she gets education and help

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 Před 6 měsíci +26

    Nímesikia uchungu.Hata ukimuangalia,usoni analazimisha furaha,lakin ndani ana maumivu makali.Mungu amuinulie mtu wa msaada

    • @araphahussein2739
      @araphahussein2739 Před 6 měsíci

      Kumbe na ww umeona jicho la tatu dear kuna watu wanamaisha magumu acha lakn mtu awez muelewa

    • @sarahkinyashi6213
      @sarahkinyashi6213 Před 2 dny

      Kweli aisee😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @godfreykitoki9639
    @godfreykitoki9639 Před 6 měsíci +30

    Mungu akusaidie mdogo wangu..maisha yanatoa tafsri nyingi za maisha

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 2 dny +1

    Pole mpendwa wangu😭😭😭😭😭nakupenda Mungu atakufungulia milango 🙏🙏🙏🙏wazazi tuombee sana kizazi chetu kinaangamia peke yetu hatuwezi bila msaada wa Mungu 🙏🙏

  • @benardmbithi6341
    @benardmbithi6341 Před 6 měsíci +27

    She was very honest maaaan. I even cried,From Kenya🇰🇪
    May she live long

  • @user-id8bu6lw8x
    @user-id8bu6lw8x Před 6 měsíci +24

    Pole sana mdogo wangu ...mungu atakusaidia.

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Před 6 měsíci +61

    Dogo anaongea kwa kujiamin sana na huyu anaonekana ana akili sana mwenye ana uwezo anamjua had mungu kiasi Gani naamin IPO siku mungu atambadilisha 🙏🙏😢😢😢

  • @hawamaulidi787
    @hawamaulidi787 Před 6 měsíci +15

    Pole sana mdogo wangu tfuta kazi nyingine sna zakufanya

  • @crownpress5512
    @crownpress5512 Před 6 měsíci +20

    Behind that smile there is hidden bitterness…Mungu akusaidie binti

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t Před 6 měsíci +16

    Daaaaaaaaah inauma sana bora mm napambana na kaz za ndani mungu tusaidie😢😢

    • @petermakubi
      @petermakubi Před 6 měsíci

      Acha uzembe Mungu hajakuumba kuwa hivo.

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Před 6 měsíci

      Uzembe gani Tena si Bora hiyo Kaz za ndani mshahara mzuri Tena kama Yuko nje​@@petermakubi

    • @user-sk7un6ls2t
      @user-sk7un6ls2t Před 6 měsíci

      @@petermakubi sio uzembembe pia ni Kaz Kama Kaz nyingine kuliko kujiiza 😏🤣🤣

    • @petermakubi
      @petermakubi Před 6 měsíci

      @@user-sk7un6ls2t mhhh Fanya kwa muda uachane nayo, hiyo siyo kazi unasaindia watu kuishi hapa duniani 😄😄,, kazi yoyote ya kuajiriwa ni utumwa so unakubali kuendelea kuwa mtumwa??.

    • @petermakubi
      @petermakubi Před 6 měsíci

      @@user-sk7un6ls2t mm mwenyewe nimeajiriwa some where but nimerealize kwamba nasaindia watu kuishi,so akili kichwani ndg.

  • @heriethsixbert475
    @heriethsixbert475 Před 6 měsíci +18

    Binti mzuri sana na ana akili Mungu amsaidie atoke huko

  • @adeelgeniuz9492
    @adeelgeniuz9492 Před 6 měsíci +5

    Kameona milion 1 ndio pesa yakukasaidia, Subhaanallah , allah akujaalie mwisho mwema mtoto mzuri ...

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Před 6 měsíci

      Mil ni kubwa kama hukuwahi kuishika

    • @JamillahEliya
      @JamillahEliya Před dnem

      Ukiwa hujawahi kuishikq lazima uone nyingi na kwabiarasha alosema kwakuanzia million 1 sio ndogo

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 Před 6 měsíci +4

    Huwa wanatia huruma ivi ivi, ukute keshasaidiwa ila biashara halali inataka subira na hawa mara nyingi wanataka pesa ya haraka haraka hawana subira, umalaya ni addiction mbaya zaidi. Mungu kisaidie kizazi kinateketea

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 6 měsíci +6

    Mungu hakusaidie utoke huko 😢😢😢kujiuza ni kuweka rehan afya na maisha kwa ujumla😢 pole

  • @kandydgitaltz
    @kandydgitaltz Před 6 měsíci +23

    Mimi ni Wakigoma, i wish nimsaidie, she is very smart

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h Před 6 měsíci +14

    Inauma sana huyu bint anaonyesha dhahiri hapend haya mambo kabisa.mungu atakusaidia bint

    • @gidemeritus9644
      @gidemeritus9644 Před 6 měsíci +1

      mmh hapana... ni kutokuridhika na ulichonacho. Yani mtu kaishia form 4 kaenda kujiuza kweli?

    • @shukranjulius9526
      @shukranjulius9526 Před 5 měsíci

      ​@gidemeritus9644 Bora hata afanye kazi za ndani😢😢

  • @Keyjop
    @Keyjop Před 6 měsíci +15

    Pamoja na magumu anayo pitia lakini she still smiling ..😔 Mungu akuponye mi binafsi nakuelewa umaskini mbaya jmn 😭😭

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před 6 měsíci +19

    Habari Jamii mko vizuri kwa kutafuta viewers mmefanya ubunifu mzuri, mmemtengeneza hadi katengenezeka😂😂😂

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 6 měsíci +10

    Mdogo wangu pole sana Dah nguvu unazo unaweza kufanya kazi nyengine

    • @gidemeritus9644
      @gidemeritus9644 Před 6 měsíci

      umeona.... angeweza kufanya kazi yeyote ile akaamua kuuza naniliu. Kujiuza ni choice aisee

    • @RioIpo
      @RioIpo Před 6 měsíci

      @@gidemeritus9644 Wanadhani ndio sehemu pekee ya kupata hela haraka haraka

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 Před 6 měsíci

      Tamaa awatak kufanya kaz za halali

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h Před 6 měsíci +20

    Hajui kama Kuna mtandao masikin et kaka hawez kujua Yani Bado mdogo sana nawaomben Alie guswa na anao uwezo amsaidie huyu bint eee mwenyez mungu mwangalie Kwa jicho la huruma huyu bint umuokoe ktk janga hili insha Allah

  • @abuuda4754
    @abuuda4754 Před 6 měsíci +6

    Mama Samia... Mheshimiwa Rais, kama ikikupendeza naomba huyu dada achukuliwe hatua... Anafundisha mabinti wetu ulimbukeni... watoto wa kike ( inaonyesha anajielewa vizuri... Mbona Alli Haji, anauza mbizi na familia ya watoto 5.

  • @RamadhanirMuyigi
    @RamadhanirMuyigi Před 5 měsíci +4

    Dah inaumiza sana ,ukweli maisha ni magum ila tunahtaji subira na juhudu,pia mungu atunusuru sote kwan hakuna aijuae kesho yake

  • @user-zo7uy5hc3p
    @user-zo7uy5hc3p Před 6 měsíci +37

    Naona watu Wana-comment confidence ya huyu dada na kumsifia 😂😂😂😂
    Hamjui tuu ni Hennessy inaongea hapo kichwani 😅

    • @Thebaddest255
      @Thebaddest255 Před 6 měsíci +7

      She don’t look drunk 😢anaoneka anaongea from bottom of her heart

    • @ramadhankakai7303
      @ramadhankakai7303 Před 5 měsíci +1

      Hata kama ni Hennessy haijalishi..hiyo hennessy imempa confidence ya kuongea ya moyoni

    • @herirutta6974
      @herirutta6974 Před 5 měsíci

      😂😂😂

    • @allybakari8558
      @allybakari8558 Před 2 měsíci +1

      😅😅😅😅😅kwel kbc mzeee nilikua natafuta HII comment

  • @Abdiidi
    @Abdiidi Před 26 dny +1

    Pole sana dada zuena mungu akujaliye upate mtaji iwachane nahiyo kazi mbona sio yaheshima wewe bado mdogo

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 Před měsícem

    Mungu akulinde mwanangu, nakubariki kwa jina la YESU ili akubariki na uondokane na hii adha.Mwanangu,nakupenda,nakupenda Zuena,Zuena nakupenda, MUNGU akuponye mwanangu,nakutabiria ukutane na LAMATA VILLAGE. Lulu Elizabeth akuunganishe na sanaa ya uigizaji,utatoka kimaisha mwanangu.

  • @user-fy9ee1cm5x
    @user-fy9ee1cm5x Před 6 měsíci +7

    I really like her courage...

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 Před 6 měsíci +28

    A very young girl may God see her through 🇰🇪

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Před 6 měsíci +6

    Kwenye kuhoji watu wa aina hii, sura inatakiwa ufiche. Nje ya hapo maana yake unamfanyia promosheni. Muwe mnajifunza hata kwa wenzenu basi.

  • @nassysakia9511
    @nassysakia9511 Před 6 měsíci +13

    Mwenyezi mungu akufanyie wepesi Zuwena

    • @lumulyimage4826
      @lumulyimage4826 Před 6 měsíci

      czcams.com/video/fQ4LU8JQrCQ/video.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b Před 6 měsíci +6

    Sio ya kuchekerea hi kaz jmn maradhi ni mengi uyu sawa na mtto wangu miaka yake ndio mtto wangu jmn allah awaongoze watto wetu na hatujarie mwisho mwema

  • @andrewkihweloofficial6589
    @andrewkihweloofficial6589 Před 6 měsíci +155

    Samahani kama itawezekana naomba number za huyu dogo anahitaji kusaidiwa sana sana bado ni mdogo bado anaweza kusaidiwa na akafanya mambo ya haki na akafanikiwa na akatunza familia yake

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 Před 6 měsíci +42

    Wabongo wanafiki sana eti naomba namba zake asaidiwe😅😅😅 nendeni uwanja wa fisi mkawasaidie

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 6 měsíci

      😂😂😂😂😂😂

    • @oswaldtemba2770
      @oswaldtemba2770 Před 6 měsíci

      😂😂😂 jamaa linamtaka

    • @user-ih9xy5vd5d
      @user-ih9xy5vd5d Před 6 měsíci

      😂😂😂😂 mmeistukia mipumbavu hiyo eti nipe namba nimsaidie, inaacha kusaidia watu waliowazunguka yanaanza ohooo naomba namba nimsaidie mijinga ina nyege mizeee

    • @chedielimrutu6955
      @chedielimrutu6955 Před 6 měsíci +4

      Sio kila mtu anafikiria ujinga wengine tuko serious na inategemea mtu unayeona anajitambua. Tumesaidia wengi na hatuwajui sio kila mtu yuko km unavyofikiri. Wengine wana ushuhuda na sio lazima namba yake hata ya Mtangazaji watu wanaguswa mtoto huyu ana mguso wa aina yake utaona atasaidiwa tu ndugu yangu. Japo wapo wabaya lakini wema pia wapo

    • @Shebbytvs
      @Shebbytvs Před 6 měsíci

      ​@@chedielimrutu6955kwako ww ushajpata na ndugu zako wote au nyege tu znakusumbua??

  • @catherinendanu7581
    @catherinendanu7581 Před 5 měsíci +3

    Waooow just a happy soul

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 Před 6 měsíci +4

    Hakuna maisha magumu mbele ya Mwenyezi Mungu ☝️ "

    • @petermakubi
      @petermakubi Před 6 měsíci

      Exactly 💯 ni vile tu sisi binadamu tumekua na vichwa vingumu hatutaki kuisikia sauti yake.

  • @user-dz6bn3ql8g
    @user-dz6bn3ql8g Před 6 měsíci +20

    High Confidence nimependa one day yes mungu atomuacha bure

  • @isaackemanuel3712
    @isaackemanuel3712 Před 4 dny

    Huyo babake kumbafu sana,Mimi binti yangu kama ana uwezo wa kuwaza kama huyu yaani nitahakikisha anaenda kwenye malengo yake.

  • @wamburamatutu7302
    @wamburamatutu7302 Před 6 měsíci +2

    They need am Oscar award lol 😂😂😂

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 Před 6 měsíci +22

    tamaa ndiyo inachokuponza siyo maisha chura uyu

  • @renatharjames2186
    @renatharjames2186 Před 6 měsíci +10

    😭😭😭😭 mdgo wangu Zuh nimeumia kweli natamani nikusaidie Ila Sina nakuombea mungu akupe mtu atakae kusaidia ila nakuombea ukipata ata mtu wakukupa kazi ata zandani usikatae maisha nimagum ila iyo kazi Ina changamoto sana magonjwa mengi yanayotibika nayasio tibika😭😭

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 Před 5 měsíci +2

    Daaaah... It's so sensitive 😔
    Anatabasamu zuri anajiamini tumpatie mtaji atoke Huku Coz Mungu anamjua Pia...
    Ingawa wanasema 'Kunguru Hafugiki ' 😢

  • @valentinemercy4633
    @valentinemercy4633 Před 6 měsíci +4

    Such a young pretty girl who seems to have a genuine heart, may God enable her destiny helpers to locate her ❤️🙏🏽

  • @user-nb6bw5co4n
    @user-nb6bw5co4n Před 6 měsíci +4

    Karembo kweli mungu akusaidie mummy

  • @shakilaahmed5761
    @shakilaahmed5761 Před 6 měsíci +24

    Kizuri Zuwena.Allah akujaliye upate mtu akusaidie

    • @ayubzaka1598
      @ayubzaka1598 Před 6 měsíci

      Very sad story gal like this government shld take her to school

    • @ayubzaka1598
      @ayubzaka1598 Před 6 měsíci

      19yrs to small shld be in form 3or four

  • @aishakahamba
    @aishakahamba Před 23 dny

    Dah!!? Pole sana unanikumbusha machungu, mungu akusridie Sanaa

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 Před 6 měsíci +2

    Masikini msichana mdogo pole sijui kimelewa chenyewe kinajiamini mungu ammpe mtu wakumsaidie aache izi kazi

  • @mtudidaniel9585
    @mtudidaniel9585 Před 6 měsíci +12

    Nimependa confidence yake. Akisaidiwa naweza kuwa mtu mkubwa Sana.

    • @adammwakalonge3573
      @adammwakalonge3573 Před 6 měsíci

      sio confidence ni ujinga alionao kichwani hajui hata anachokiongea, hiyo ni tabia tuun angekuwa wa kuacha mtaji wa mama ntilie alikuwa kashaupata kwama kwa siki elfu hamsini

    • @winifridarugayana7312
      @winifridarugayana7312 Před 6 měsíci

      Yes ni ujinga angekuwa anajitambua angejifunika uso, na Kama anasema anapata sh elfu 50 kwa siku anshindwaje kupata mtaji Kama watu wanaanza na mtaji wa sh elfu 10?

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Před 6 měsíci

      ​@@winifridarugayana7312elfu 50 kwa siku na anasema ni hela ya kula hamna mafanikio yoyote

  • @samwanasarah9936
    @samwanasarah9936 Před 6 měsíci +6

    One thing we should not forget is that prostitution is not as a result of poverty but a spirit that enters one who is insensitive to spiritual matters, she needs counseling and deliverance before being given financial support, sometimes I usually ask myself " how much is enough"

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 Před měsícem

    Asante Mungu kwa kunipa uwezo wakuhudumia watto wangu
    Naumia sana juu yako bint jamani Mungu akusaidie akutoe kwenye hicho kifungo

  • @Jemamusa
    @Jemamusa Před 2 měsíci +2

    😭😭😭😭😭😭😭shida ni mbaya sana ananikumbusha mbali sana mungu akusimamie zuena

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Před 6 měsíci +21

    Mungu atusaidie Najiuliza Kama angekuw mwanangu na anasema anatamani kifa nmeumia jaman😭😭👌

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před 6 měsíci +8

    Mdogo sana maskin mwili ndio umemzid tu

  • @AmanimajaliwaFaida
    @AmanimajaliwaFaida Před 2 dny

    😢pole sana dada mungu akusaidie

  • @user-gt7dm1kg1z
    @user-gt7dm1kg1z Před 5 měsíci +2

    Mnarahisisha maisha mtu una miguu. Na mikono unashindwa kutafuta kazi nyingne

  • @jamalisebarua9594
    @jamalisebarua9594 Před 6 měsíci +14

    Namuonea huruma bado mdogo mwenyewe anaonesha mcheshi mpole sema tu maisha dah nimeumia 😭😭😭

  • @user-gf2mt2oi7f
    @user-gf2mt2oi7f Před 6 měsíci +8

    Kwl broo wapo wengi wanataka msada hamuwajui

  • @PeaceGao
    @PeaceGao Před 11 dny

    Dah so sad💔 mungu tusaidie mabintii
    Tangu aanze jmn had leo hajafanikiwa anyway mungu tupe mwisho mwema wadada 🙏

  • @user-ss9ct4cf1c
    @user-ss9ct4cf1c Před 6 měsíci +2

    Nikiwa kama mzazi nimeumia sn namaisha anayo pitia bint hali yakua Bado mdogo sn daah na inaonekana hafanyi kwakupenda nimaisha tu mi namuombea mungu apate mfadhili na mfadhili atakae jitokeza kumsaidia namuombea mungu amlipe zaidi yahicho alichompa zuwena inshaallah

  • @ayubzaka1598
    @ayubzaka1598 Před 6 měsíci +10

    Sad story my gal I wish I cld help u

  • @luciajohn7985
    @luciajohn7985 Před 2 měsíci +7

    Aseee kwa kiasi furani nimesoma hisia zake, hilo tabasamu limeficha vitu vingi sana

  • @kisomekiguwa3706
    @kisomekiguwa3706 Před měsícem

    Pole binti Allah akuepushe na atuepushe sote InshaAllah

  • @EmmanuelEliasNdabahalie
    @EmmanuelEliasNdabahalie Před 2 měsíci +2

    Pole sana mdogoangu inaumasana ila MUNGU YUPO atakusaidia

  • @vom84
    @vom84 Před 6 měsíci +6

    Kaz ni Kaz, Kaz njema dadangu

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před 6 měsíci +5

    Pole sana dada waandishi naomba kiasi alichokisema mumpe ili afanye biashara aliyosema huenda ikawa mwanzo wamaendeleo yake

    • @mariammpamka
      @mariammpamka Před 6 měsíci +2

      Na wakishindwa anitafute in box wallah nimeumia sana

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 Před 6 měsíci

      @@mariammpamka dunia inachangamoto nyingi muhimu kilajambo kumtanguliza M/MUNGU wapo wanaombeza nao hawajui mwisho wao au wa watoto zao

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 Před 6 měsíci

      @@mariammpamka kwene iyo crip kunanamba ungeichukua

  • @LeahJohn-ml7ln
    @LeahJohn-ml7ln Před 3 měsíci +2

    Pole sana dada angu mung akulinde tuu na magonjwa

  • @alinahoda443
    @alinahoda443 Před 7 dny

    Namkubli sna uy dada kila nikimunglia natoka machozi tu😢😢😢

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 Před 6 měsíci +4

    Kitu pekee nilichopenda huyu dada ni mchangamfu halafu mkweli sana. Mungu amsaidie dah

  • @josephgoliama8068
    @josephgoliama8068 Před 6 měsíci +26

    Namuomba Mungu amuinulie msaada amtoe kwenye hayo mateso

  • @kikandoladu2779
    @kikandoladu2779 Před 6 měsíci +2

    Aseeee pole sana bidada.....binti mdogo sana miaka 19!!!!!!

  • @JamillahEliya
    @JamillahEliya Před dnem

    Yani inaskitisha sn maisha nimagum na kunawakati unaangaika kugusa kila upande atlist ata ujisaidie napia mtu Hua unakwama namuelewa sn uyu bint mungu amsimamie kwanza nimkweli daah ila sijui mlimpa kweli iyo ela mana amewapatia kazi kwasijmku iyo!🤔 ipo siku mungu ataonekana kwako na atakulinda na maradhi

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 6 měsíci +12

    Yaani mambo mengine,toka ameanza kujiuza hajapata pesa ya mtaji akafanya biashara?

    • @matridamwalyoyo1735
      @matridamwalyoyo1735 Před 6 měsíci

      We acha tu

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 6 měsíci

      Uyu kahaba

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před 6 měsíci +1

      Yaani ujiuze upate mtaji na utoboe maisha hicho kitu hakipo hela zao ni kula kulipia kodi ya nyumba na kuvaa na kuwatumia wazazi ili kuwafurahisha wajue una kazi ya maana kumbe unajiuza

    • @theresiatemba3706
      @theresiatemba3706 Před 6 měsíci +2

      Anatabasamu vizuri Mungu akukumbuke mdogo wangu 😊

    • @winifridarugayana7312
      @winifridarugayana7312 Před 6 měsíci

      Anapenda angekuwa hapendi ndo angepambana kuachana nayo kwa pesa anazopata kuprani Nini afanye akili hana​@@agnesjohn9382

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 Před 6 měsíci +6

    Pole sana mdg wangu ila bado upo na upendo wetu sana tunakupenda usilie ipo siku utapata mabadiliko ❤❤❤

  • @cazmwene5864
    @cazmwene5864 Před 6 měsíci

    Wazee tunaokataa watoto haya ndio matokeo,sio fresh kabisa kukataa watoto wanakosa pa kushika wanakimbilia kwny matendo ya ajabu,,jamani tubadilike hata Mungu hapendi!😊

  • @EvelineAkoth-kp8zu
    @EvelineAkoth-kp8zu Před 12 dny

    Mungu atakukumbuka dada

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 6 měsíci +14

    Pole Sana MUNGU akukinge na maradhi

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před 6 měsíci +4

    .Mungu akusaidie dada. 😢😢😢

  • @ayshaabrahaman6068
    @ayshaabrahaman6068 Před 6 měsíci

    Maskini mdogo sana. In Sha Allah ataacha hiyo kazi ya kishetani. Mungu atamtoa na atasimama imara ktk maisha. Natamani nimsaidie hata kidogo walau afanye kitu.😢

  • @user-ib3cg9gj9s
    @user-ib3cg9gj9s Před 6 měsíci +1

    Na vile mm natafta mwanamke bibi anayeweza kanizalishia watoto ata kama mmoja hv.jamni mola si unibarki na huyu dogo.Yuko smart Kimwili na kiakili.shida nazo ndiyo changamoto hapa dah kapotea huyu mpenzi.christian Bella kaimba kufanya kosa sio kosa Bali kukirudia ndiyo kosa.😍😍😍❤️❤️

  • @ItsNattybee
    @ItsNattybee Před 6 měsíci +4

    Ety mume wake atajuaje??amesahau once on internet lives for eternity😌

  • @-KINKAU
    @-KINKAU Před 6 měsíci +6

    Daah Pole sana mdogo wangu

  • @user-em4zz3lh1h
    @user-em4zz3lh1h Před měsícem

    Huyu msichana anaumiza kweli hii kazi inaonekana haipendi kabisa

  • @abdulshakurothman5719
    @abdulshakurothman5719 Před 5 měsíci

    nimempenda sana. Mungu ampe nguvu kilichojificha nyuma ya furaha yake.

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před 6 měsíci +6

    Mnabowa sana watangazaji kinachoniumiza nyinyi ndio mliokutana na uso kwa uso kwanini msitowe michango ya rambi rambi.na kuchukuwa number zake ili azidi kusaidiwa.bado mdogo huyo ila njo maisha isha mfunguwa akili.akisaidiwa kidogo bila shaka atatobowa juu kimaneno tu. kanaeleweka hakana uoga hapendi kufeli maishani.pole sana dada ipo,utafanikiwa.

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 Před 6 měsíci +3

    Aaaaaa nina miaka 19 aaaaaa natokea kigoma aaaaa maisha magumu😂😂😂😂😂 Tanzania nchi yng ya uhuru na amani🙌

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 Před 6 měsíci

      Aaaaah kwa sababu ya life maisha kigoma jwmqn khaaaaa😂😂😂😂

  • @martinezamigotv3159
    @martinezamigotv3159 Před 6 měsíci

    Aisee pole saana sister wa ukweli pole umenipa funzo dada yangu naeshimu saana tuliotoka kwenye shida tunaelewa Mungu akufungulie uachane na hii kitu phuuh!!!!👊🏼👊🏼🔥pole asee

  • @tipha255
    @tipha255 Před 6 měsíci +2

    Tatizo lao hawataki kufanya kazi na wanapenda maisha mazuri mwishowe wanaamua kujiuza akili zao wanajua watatoboa kwa haraka

  • @rafiaahmad168
    @rafiaahmad168 Před 6 měsíci +12

    Huyu kalewa😂😂

    • @annastaziambogo1387
      @annastaziambogo1387 Před 5 měsíci

      😂😂😂😂kumbe tumeona wote,kalewa huyu mwanangu, MUNGU amuokoe

  • @fashionhack6577
    @fashionhack6577 Před 6 měsíci +24

    😢😢😢 life is very difficult and important. The river and the source 🎉

    • @lumulyimage4826
      @lumulyimage4826 Před 6 měsíci

      czcams.com/video/fQ4LU8JQrCQ/video.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU

  • @glorylyimo5271
    @glorylyimo5271 Před 23 dny

    Yaan na yupo comfortable kujieleza dah mungu akubadilishe

  • @Hansnziku
    @Hansnziku Před 6 hodinami

    Aah awa Dada zetu wasenge

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 Před 6 měsíci +6

    Mungu Amsahidihe.. Sana.. Msahidien kwa wale ambao wako karibu

  • @KiriaKipara
    @KiriaKipara Před 6 měsíci +3

    ❤ kanajamini sana mungu amsaidie na kumpata mfadhili

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Před měsícem

    Mtihani kweli yaani maisha magumu ndiyo ujiuze mwili
    Acha hiyo biashara
    Kwanza ikifa Bola ya kutibiwa ndiyo utaenda kucheka vzr hicho utakacholipwa
    Mungu akuongoze ktk haqqi

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Před 8 dny

    MWANDISHI HIYO KAZI BORA ANGEPEWA HUYO DADA MAANA MASWAL YENU YA KIPUMBAV