EXCLUSIVE: MWANAMKE MWENYE NDEVU NYINGI AFUNGUKA "WANAUME WANANIOGOPA KUNITONGOZA KISA NDEVU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 02. 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 1K

  • @user-rg3lq7sd9f
    @user-rg3lq7sd9f Před 5 měsíci +19

    Kazi ya Mungu haina makosa dada usife moyo ila Mungu ndiye alikuumba hukujiumba wenye wanamwongea na kimcheka wajue hakuna mtu mwenye alijiumba much love dear ❤❤❤

  • @williamchenjelu3838
    @williamchenjelu3838 Před 5 měsíci +54

    Usiwe mnyonge Dada ni mzuri Mungu atakujalia❤

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria Před 5 měsíci +29

    I saw her on Facebook, she's beautiful and wonderfully made by God 🙏

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Před 5 měsíci +40

    Mzuriiiiii mashaa allah❤❤ ila nyoa dada ndevu toa kwa wax ila kama mwenyewe waona kawaida basi allah akusimamie inshaa allah kila kitu kinasababu ❤❤❤❤🎉

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 5 měsíci +26

    Dada nzur masha'allah na amejaaliwa jicho...mngu atakupa mtu sahih kua na subra..📌☑️

  • @judithmalisa497
    @judithmalisa497 Před 5 měsíci +17

    Beautiful and wonderfully made by God.

  • @user-uy4tw2ug6o
    @user-uy4tw2ug6o Před 5 měsíci +112

    Ishi uwezavo dada ww ni mnzuri sana mungu atakupa mume bola na mwenyekukujali wasamehe wanaokusema vibaya

    • @halunimnenwa5224
      @halunimnenwa5224 Před 5 měsíci +2

      We hata mi sikutongozi janaume kabisa unaweza kunipelekea moto bule

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 Před 5 měsíci +3

      Ni tatizo la HOMONI
      Homoni za kiume zimezidi kwake

    • @HamadMkojera
      @HamadMkojera Před 5 měsíci

      ​@@halunimnenwa5224😂😂😂😂😂😂 jau ww

    • @sweetylove9918
      @sweetylove9918 Před 5 měsíci

      Nakushauri Dada kafanye laser zinapotea kabisa izo

    • @plsbusekela2681
      @plsbusekela2681 Před 5 měsíci

      Chukua wewe sasa😂

  • @user-qm1vw9xw2b
    @user-qm1vw9xw2b Před 5 měsíci +63

    Mzuri mashallah dada wa wenyewe mungu akupe hekima my lovuuuu

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 Před 5 měsíci +12

    Mashallah dada mzur sana ila punguza unyonge ty wew upo vizur sana❤❤❤

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 Před 5 měsíci +4

    Subhanallah mwenyezi mungu anampa atakae na kumnyima amtakae. Kuna wanaume hawana kabisa ndevu lakini mdada Masha Allah udevu hadi raha 🎉🎉😊😊wanao kunanda wakumbuke mungu hakosei

    • @abdillahjuma8474
      @abdillahjuma8474 Před 5 měsíci

      unaamk kesho unaanz kujikuta n wwe n hali km hyo utajichkuliaje

  • @user-sl4rs2xf9r
    @user-sl4rs2xf9r Před 5 měsíci +15

    Hyo ni kawaida t Sana dada Kuna wat hawana miguu Wala mikono eb fikiria we miguu unayo umbo unalo sura unayo zitakwenda zitaisha kwa uwezo wa mungu usijali

  • @JosephsarunimollelMollel
    @JosephsarunimollelMollel Před 5 měsíci +15

    Jikubali sana dada yangu wasikuzingue juu mungu akufanya makosea kukuumba hivyo anamakusudio yake

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 5 měsíci +26

    Mbona kinyonge dada yangu yote mungu Atakupa nguvu na Alisia yako madam ❤❤❤

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 Před 5 měsíci +39

    MUNGU huwa akosei kwenye kuumba na akaona ni vyema 🙏🙏🙏🙏🙏👏dada ni mrembo sana na ni mama mzr,,😘😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @oliverwema8646
    @oliverwema8646 Před 5 měsíci +46

    She so pretty , she don’t need to shave at all 💕💕💕💕❤️❤️💓💓

  • @user-qh6fw8wc9k
    @user-qh6fw8wc9k Před 5 měsíci +21

    Mungu yupo ata ku tetea 😢😢❤❤❤❤🙌🏽🙌🏻

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq Před 5 měsíci +22

    Mungu ndie muweza🙏🙏

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 Před 5 měsíci +21

    Ukizaa nae mtt w kiume huyu hlf afate iyo sura n ndevu atakua bonge l handsome 😘

  • @rogerioibraim8527
    @rogerioibraim8527 Před 5 měsíci +25

    Mbona nimesha mpenda dada binti mzuri mashallah❤

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 Před 5 měsíci +6

    ❤Ameeni 🙏🙌 utukufu tunamrudishia Mungu, Mungu arikumba hivyo kwa utukufu wake usije ukanyoa au ukatumia dawa usije ukapata madhara.nimekupenda,unampenda Mungu,

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h Před 5 měsíci +20

    Aandike namba zake Dada maisha llah ni mzuri alhamdulilah

  • @ibrahmwendy919
    @ibrahmwendy919 Před 5 měsíci +4

    Tunakupenda tu dada yetu... huu ni uumbaj wa Mungu

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Před 5 měsíci +2

    Mshukuru mungu kwa kila hali dada angu muweza ni.mwenyezimungukuwa huruma mdgo wangu 🤲

  • @alingoto649
    @alingoto649 Před 5 měsíci +5

    Dada upo safi mno nimekupenda bure kabisa ❤😊

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 Před 5 měsíci +21

    Mungu awe nawe siku zote dada, u mrembo sana tena wa tofauti, jiamini na tembea kifua mbele

  • @adamuipingika122
    @adamuipingika122 Před 5 měsíci +14

    Yaan me mwenyew mwanaume lakn sna hizo ndevu, ila mungu mkubwa sana humpa amtakaye na humnyima amtakaye kwahy tote saw tuh alhamdulilah

    • @user-sh4ry2tm2j
      @user-sh4ry2tm2j Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @DeboraPeter-tv4dh
      @DeboraPeter-tv4dh Před 5 měsíci

      😂😂😂😂 nimejikuta nacheka baada ya kusoma comment yako Mungu fundi

  • @user-et5vl6wp4h
    @user-et5vl6wp4h Před 5 měsíci +1

    Dadangu ahsante sana Mungu anakupenda maumbile Mungu kakupatia jipende mwenyewe na bila shaka mwenyenzi Mungu atakufanyia kulingana na vile roho Yako inataka nakutakia heri na fanaka kwa maisha Yako kwa mola nimekucha

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 Před 5 měsíci +4

    Dah, Jikubali dada Mungu atakupa wa kufanana naww

  • @Mo-Melody
    @Mo-Melody Před 5 měsíci +6

    😂😂😂😂eti! Nipo kwenye mausiano ambayo sijui yanausiana na mimi❤❤❤

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 5 měsíci +1

    Pole Sana Allah Akupe Subra Mashaallah Kwakweli Wewe Nimzuri Allah Amekujaalia
    Unataka Spot Tuu au Unataka Kuolewa Pia....

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 5 měsíci

    Maashaallah. Dada mrembo Allah akujaalie mume mwema. Kwani ndevu si nyweletu. Usijali lizikiyako ipotu

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 5 měsíci +5

    Dada uko vizuri, Mungu amekuumba kwa uzuri wake jipe moyo.

  • @kaibungarose4207
    @kaibungarose4207 Před 5 měsíci +3

    She is so beautiful ❤️ keep going kirembo

  • @user-ql4os3co6l
    @user-ql4os3co6l Před 5 měsíci

    kusemakweli wewedada nimurembo tena sana wachawatu.waseme wasemavyo mungu yukopamoja.nawewe anasikia hojazamoyowako lakinikwakweli wewenimurembo.sana nasikiliza kutoka saud arabia mashallah❤❤

  • @teresasambu2394
    @teresasambu2394 Před 5 měsíci +1

    Very beautiful ningekuwa mume ninkekuoa wewe ni mrembo tu sana jikupali dada

  • @rebekamwasube2221
    @rebekamwasube2221 Před 5 měsíci +3

    Ni mzuri wewe ningekuwa mwanaume ningekuwa ❤❤

  • @user-ly8cf1fw8q
    @user-ly8cf1fw8q Před 5 měsíci +3

    Uko mzuri dada tena mrembo tu, yupo pia my friend kutoka TZ but yy huzinyoa lakini bado zaonyesha hadi kifuani so akiwa mbele zawatu anajifunika sura japo amezinyoa halafu nimrembo sana tu, usifuate maneno ya watu Mungu ndie alie kujaalia so Ishi maisha yako.❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 5 měsíci +2

    Mashallah dada mzuli m/mungu azid kukupa afya njema ❤

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin5716 Před 5 měsíci +2

    Mungu ashukuriwe kwa hili Mungu anajua nini nafanya Sifa na utukufu zikuendee wewe Mwenyezi Mungu. Halafu wewe ni mrembo sana hakika jikubali kipenz changu

  • @zuhrakhamis6508
    @zuhrakhamis6508 Před 5 měsíci +6

    Ila ni mzur sana mungu hajakosea kabisa❤

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Před 5 měsíci +8

    Rangi imembeba,angekuwa black ingekuwa noma.all in all GENETICS 🤞

  • @user-hv4mh2ve6d
    @user-hv4mh2ve6d Před 5 měsíci +1

    Mzuri mashaallah jikubali Dada nimekupenda❤️

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Před 5 měsíci +2

    Huyu tangu nakua nimemkuta ana ndevu sasa watu wakawa wanamshangaa ila alikuwa anazinyoa baadae akaacha kuzinyoa. Dada jikubali wala usiwe mnyonge pambana utatoboa❤

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 Před 5 měsíci

      😂😂😂😂 ujumbe wako ume nifanya nicheke..

    • @theopisterjovent3483
      @theopisterjovent3483 Před 5 měsíci

      @@jeremiapeter683 kweli yaan kipindi hicho alikuwa na mme wake sasa ana ndevu hapo ndo kulikuwa na mkanganyiko kila mtu anamshangaa

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 Před 5 měsíci

      Sawa..

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s Před 5 měsíci +6

    Dada nimzurii usihofu kwanza anae kushangaaa ni mjinga Mimi nimekukubali uko vizuri

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 Před 5 měsíci +11

    Beautiful MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897
    @shukranjazzakhaallahukheir1897 Před 5 měsíci +1

    MashaAllah tabarakaAllahu.Mungu Ni makubwa huumba atakavyo

  • @AngelNjayo
    @AngelNjayo Před 3 měsíci

    Dada nakupenda sana mume mwema anatoka kwa Mungu utaolewa Tu muda sahihi ukifika mdogo wangu kipenzi Mungu yupo

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 Před 5 měsíci +3

    Mungu akupe wepesi akujaze n subra . 😢

  • @hamadramadhan8422
    @hamadramadhan8422 Před 5 měsíci +12

    Lkn ni mzuri sana

    • @user-it4vi2lo4t
      @user-it4vi2lo4t Před 5 měsíci

      Jaman ni mrembo sn jikubali hata usiwe mnonge ukamkifuru Mungu,anamakisudi yake

  • @muziki79
    @muziki79 Před 5 měsíci +1

    You are beautifully and wonderfully created mamaii....love you from Kenya 🇰🇪

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t Před 5 měsíci +2

    Daaaaaaaaah ila ana ndevu nzuri jikubali dada binadamu haishiwag neno❤❤❤❤❤

  • @athumannassoro5073
    @athumannassoro5073 Před 5 měsíci +3

    Napenda sana mwanamke mwenye ndevu wao wana nyota ya utajili❤❤

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Před 5 měsíci +15

    Nimekupenda Sana Maana we Mzuri Sana

    • @user-gj2mm3ko8m
      @user-gj2mm3ko8m Před 5 měsíci

      😢Muongo wewe kichwa cha mwanaume ILA mwili WA kike

  • @jamalymrimimrimijamaly7025
    @jamalymrimimrimijamaly7025 Před 5 měsíci +1

    Manshaallah amependeza sn asiogope hali hiyo yupo vizuri sn

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 Před 5 měsíci +1

    Masha'allah Tabarakallah ni mzuri sana. Bora uzinyoe.

  • @bebykamba8969
    @bebykamba8969 Před 5 měsíci +2

    pole sana dada< i live in USA, unaweza kufanya laser treatment hazitaota tena. uliza laser treatment, watu wakusaidie ununue kenzo. huku marekani tunafanya laser kwa makwapa, miguu, mikono na uso.

  • @teddysananga
    @teddysananga Před 5 měsíci +12

    Beautiful 🎉🎉

  • @margaretjuma5762
    @margaretjuma5762 Před 5 měsíci +2

    Anafanana na waigizaji wa kiume wa Nigeria ,very smart

  • @user-ty9pp2rl1i
    @user-ty9pp2rl1i Před 5 měsíci +2

    Mashaallah mitihani tu yamungu ila mungu upo pamoja nawe ❤❤❤❤

  • @nanaritho6850
    @nanaritho6850 Před 5 měsíci +8

    Huyu dada ana asili ya nywele weee angalia hata kichwani...ni mzur sana

  • @Ezekiel-rh2ni
    @Ezekiel-rh2ni Před 5 měsíci +3

    She is so beauty

  • @salimanguzo5553
    @salimanguzo5553 Před 5 měsíci

    Mashaallah dada mrembo ucfemoyo ndevu sio ugonjwa vuta subra utapata mume,mtangazaji mbonaumetoa zte sio poa bahna kidevu softi

  • @jennynolah8422
    @jennynolah8422 Před 5 měsíci

    Kweli Yuko mrembo sana nakupenda Bure I wish ningekuwa mwanaume ningekuoa Kwa haki ya mwenyezi Mungu ❤❤❤

  • @kswagga9148
    @kswagga9148 Před 5 měsíci +6

    Watanzania mimi ni Mkenya hii condition inaletwa na High level of Androgens Ni kawaida tu. Ukitaka kuzitoa fanya mazoezi upunguze Mwili so that Mwili wako utengeneze fewer Male hormones. Wanaume Msimwogope Ni kawaida sana.

    • @user-ex6sh1rl4d
      @user-ex6sh1rl4d Před 5 měsíci

      Njoo wewe umuoe

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 5 měsíci

      😂😂😂😂​@@user-ex6sh1rl4d

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před 5 měsíci

      ​@user-ex6sh1rl4d 😂😂😂 na wewe

    • @jlove5238
      @jlove5238 Před 5 měsíci +1

      Kuna haja gani ya kusema wewe ni mkenya au uhusiano uko wapi katika taarifa yako kuhusu hio condition na wewe kuwa mkenya?

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 Před 5 měsíci

      Tatizo la sisi na wakenya ni "bragging" sasa kulikuwa na umuhimu gani wa kujitambulisha kama mkenya? Au kuwa mkenya kuna kusaidia nini? Or what is so special about Kenya that you should introduce yourself here before addressing this matter ?

  • @alleyissaramadhan6068
    @alleyissaramadhan6068 Před 5 měsíci +6

    Ushauri wangu ni nyoa hizo ndevu utakuwa mrembo zaidi lkn unavyozifuga nalo ni tatizo

  • @AngelNjayo
    @AngelNjayo Před 3 měsíci

    Nakupenda sana wewe dada mume mwema anatoka kwa Mungu muda sahihi ukifika utaolewa Mungu yupo umeumbwa na Mungu

  • @princessjoy9130
    @princessjoy9130 Před 5 měsíci

    My situation right now mpaka mume wangu kaniacha kaoa mwingine juu ya marafiki kumcheka but I thank God for who I am

  • @drdd774
    @drdd774 Před 5 měsíci +6

    Nyoa hizo ndevu, alaaaaaaaa

  • @nashphatyprince7282
    @nashphatyprince7282 Před 5 měsíci +8

    Ukwel dada anaitaji msada maan iyo ni changamot sana kua na mausiano ukwel anaitaji msada

  • @MchJacobKassim
    @MchJacobKassim Před 5 měsíci +2

    Nashauri dada elis ajikabali na aendelee kujithamini . Pia ni mhimu Sana aamue kuokoka yaani akubali Yesu Kama Bwana nawokozi wa maisha yake. Watakuja wanaume wengi wanaotaka kula na kuondoka . ni vizuri uongeze umakini wa kujali afya yako una mvuto wa kipeke yaani Kama ukiimba kwayaaaa utapendeza.

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 Před 5 měsíci

      Wewe acha ujinga Yani baadala ya kumshauli amuombe mungu na kumuabidu na kumtegemea yeye pekeyake alimuumba wewe unamua mbia amtegemee yesu sasa yesu na mungu nani alimuumba na je? Yesu mwenyewe anamuomba nani na kama jibu yesu anamuomba mungu mmojatu nakumtegemea yeyetu jesisi tumuombe nani vituvingine niujinga sana na kukosa elimu na maarifa pamoja na hekima Yani baada ya kumtegemea mungu aliekuumba wewe na mbingu na ardhi navyote vilivyo kuemo wewe unamtegemea binadamu mwenzako sasa huo sio ushetani ninini?

    • @user-un7yr6jr7j
      @user-un7yr6jr7j Před 5 měsíci

      Wewe acha kuongea vitu usivyovijuaaa...wewe kama humtanbui huyo Yes kaa kinda utuliee usiongeee usichojuaaaa

    • @FUNDIMAKAVAKIGOMA
      @FUNDIMAKAVAKIGOMA Před 5 měsíci

      Yesu ninani duuh

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Před 5 měsíci

      Sasa yesu atamsaidia nini wakat yeye mwenyewe anategemea msaada kwa alie muumba?😏

    • @VerahOnkeope2cg
      @VerahOnkeope2cg Před 5 měsíci

      ​@@zaidiissa3714onyo usiwahi cheza na YESU .JESUS IS LORD STOP NONSENSE JESUS OUR EVERYTHING UKUBALI UKATAE KILA GOTI LITAPIGWA MBELE ZAKE NA KILA ULIMI UTAKILI YA KWAMBA YEYE NI BWANA.WAFILIPI 2:10-11.nikuongezee yohana 14:9 YESU akasema,aliyeniona mimi amemwona BABA.UNAONEKANA HUTAMBUI MAISHA YAKO YALINUNULIWA NA NANI.WAKE UP U SLEEPER.REPENT AND SEEK JESUS TO SAVE U B4 ITS LATE

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 Před 5 měsíci +3

    Beautiful, beautiful!

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 5 měsíci +5

    ah weh,,mzuri ila usiniambie mustach huo nikae nao ndani,,,nop😊

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Před 5 měsíci

      Acha kusema hivyo ndugu Mungu ana mambo mengi sana sana, hajapenda

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 Před 5 měsíci +1

    Dada be humble jipige kifua ww ni wa dhamani sana mbele ya mungu na ni mama bora wa familia

  • @user-zg1hd6no9v
    @user-zg1hd6no9v Před 3 měsíci

    Mdada mzuri sana.... Mungu amekubariki sana Asee sijui kwenye tabia.....

  • @lilianakeya9868
    @lilianakeya9868 Před 5 měsíci +4

    So beautiful 😍😍😍

  • @amoursalim7418
    @amoursalim7418 Před 5 měsíci +2

    Mungu atakufanyia wepesi ❤❤❤ dada yangu ila ungefanya maisha ya humu wakiiona hii taharifa watakuja wengi kuchumbia ila kuwa makini na wamitandaoni wewe nimzuri sana

    • @ednahumazi777
      @ednahumazi777 Před 5 měsíci

      Ndio ni mzuri sana but iko dawa akinyowa na kuipaka.anaweza kaa weak moja ndio zianze mea niko na rafiki yangu.kenya anatumiya hiyo dawa na iko huko tz ndioko alipata na huwa anatumiwa sakwa ubaya lakini

    • @ashasalimin1033
      @ashasalimin1033 Před 5 měsíci

      Inaitwaje

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Před 5 měsíci +2

    Atakasike Mungu mbora wawaumbaji Alhamdoulillahi ya Allah

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před 5 měsíci +9

    Mdada mzuri sana❤wazo langu uwe unazipunguza

    • @koyiasunga9785
      @koyiasunga9785 Před 5 měsíci

      Kweli apunguze bhana dah

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 Před 5 měsíci

      kweli angezitoa maana wanaume tu wanavozinyoa sembuse yeye ashindwe kuzitoa ajikubali lkn kila mwezi afanye wax

  • @mvungigaming
    @mvungigaming Před 5 měsíci +2

    Hajajua tu jinsi ya kuzifanya zisiote tena
    Mwambieni atumie treatment ya " Laser hair removal" hizo ndevu ndio itakuwa kwaheri hazitaota tena.
    Ni kitu simple tu kama kweli hazipendi.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 5 měsíci +1

    Maashaallah karibu san mkoa wa dodom hao niwashamba tuy njoo huku hatunaga hiz

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Před 5 měsíci +3

    😅😅😅😅aisee ni noooma sana mbona ni HANDSOME sana ivyo

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 5 měsíci +2

    Si awe anazipunguza anaogopesha mwili wa mwamke kichwa tu ndio cha mwanaume.

  • @eunicemunywoki2165
    @eunicemunywoki2165 Před 5 měsíci +1

    You are wonderfully and fearfully made.Gods creation

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Před 5 měsíci +3

    si kuna dawa jamani angekua huku saudia naona vinaisha tu

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 5 měsíci +4

    Hu nao ni mthihani masikini usijali dadaa ni Maisha tu hayo

  • @estermgoma7451
    @estermgoma7451 Před 4 měsíci +1

    Yaan dada ww n mzuri sana aisee nimekupenda bure

  • @kadibebe7128
    @kadibebe7128 Před 5 měsíci

    Mbega umukobwa mwiza❤ maa shaa Allah. Imana izaguhe Umugabo ugukunda ❤

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 Před 5 měsíci +2

    Bukoba tuna kila kitu muacheni mungu aitwe mungu,senene sisi,miguu mizuri na mashepu ya wadada sisi,tetemeko Sisi,katerelo Sisi,ndizi sisi yani Noma😂😂😂😂

  • @HamimuBadyanaJR
    @HamimuBadyanaJR Před 5 měsíci +3

    MIMI KUCHEKA SIWEZ KUJIZUIA😂

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před 5 měsíci

    Hakuna unyonge! Kama umeweza kupata mtoto maana yake umepata mwanaume kwanza ndipo ukapata mtoto. Ni vizuri sana wanaume wakakuogopa ila mwanaume akakupokea. Kwako mwanaume ni mmoja tu dada wala usiwaze. Wewe ni mzuri sana! Acha makusudi ya Mungu yatimie. ❤

  • @Kivukwanza
    @Kivukwanza Před 5 měsíci +1

    Nimefikia kumpenda sana huyu dada. Nampenda sana

  • @jasminbeno6203
    @jasminbeno6203 Před 5 měsíci +2

    Jmn

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 Před 5 měsíci +4

    Ila mtangazaji bdo sana aisee ni kama hana uzoeafu coz anatetemeka

  • @HassanLastman-hh9sw
    @HassanLastman-hh9sw Před 5 měsíci

    Your so beautiful siz ningekua mwanaume ningekua wlh una sura nzuri sana ilaujipe moyo Allah atakupa mume bora

  • @user-yw1ux9gf3i
    @user-yw1ux9gf3i Před 5 měsíci

    Usiwe mnyonge Dadangu Mungu atakujalia sana❤❤

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 Před 5 měsíci +3

    Siku hizi ni very easy kuna sindano au dawa unatumia hazioti tena

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 Před 5 měsíci +3

    Mzuri kama Muarabu

  • @angelamarlow4834
    @angelamarlow4834 Před 5 dny

    Mungu ni mwema kwa kila jambo wewe nimzuri 😊

  • @kadolekilugala9289
    @kadolekilugala9289 Před 5 měsíci +2

    She is so beautiful. Ajiamini asee❤

  • @user-ve6xe1ve2k
    @user-ve6xe1ve2k Před 5 měsíci +3

    Sioo wakwanza ila naombeni like apaaa