EXCLUSIVE: MWANAMKE MWENYE NDEVU NYINGI AFUNGUKA "WANAUME WANANIOGOPA KUNITONGOZA KISA NDEVU"
Vložit
- čas přidán 6. 02. 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Kazi ya Mungu haina makosa dada usife moyo ila Mungu ndiye alikuumba hukujiumba wenye wanamwongea na kimcheka wajue hakuna mtu mwenye alijiumba much love dear ❤❤❤
Usiwe mnyonge Dada ni mzuri Mungu atakujalia❤
I saw her on Facebook, she's beautiful and wonderfully made by God 🙏
Polycystic ovarian syndrome.
You are so beautiful ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ I love you 💖💖
Mzuriiiiii mashaa allah❤❤ ila nyoa dada ndevu toa kwa wax ila kama mwenyewe waona kawaida basi allah akusimamie inshaa allah kila kitu kinasababu ❤❤❤❤🎉
Zitakua nyingi zaidi
Anatia huruma duu
@@Mpakauseme alaa kumbe
Mavazi angevaa ya kike
Hiyo wax Haifai..
Dada nzur masha'allah na amejaaliwa jicho...mngu atakupa mtu sahih kua na subra..📌☑️
Beautiful and wonderfully made by God.
Ishi uwezavo dada ww ni mnzuri sana mungu atakupa mume bola na mwenyekukujali wasamehe wanaokusema vibaya
We hata mi sikutongozi janaume kabisa unaweza kunipelekea moto bule
Ni tatizo la HOMONI
Homoni za kiume zimezidi kwake
@@halunimnenwa5224😂😂😂😂😂😂 jau ww
Nakushauri Dada kafanye laser zinapotea kabisa izo
Chukua wewe sasa😂
Mzuri mashallah dada wa wenyewe mungu akupe hekima my lovuuuu
acha unafk nzr wap na midevu
Mashallah dada mzur sana ila punguza unyonge ty wew upo vizur sana❤❤❤
Subhanallah mwenyezi mungu anampa atakae na kumnyima amtakae. Kuna wanaume hawana kabisa ndevu lakini mdada Masha Allah udevu hadi raha 🎉🎉😊😊wanao kunanda wakumbuke mungu hakosei
unaamk kesho unaanz kujikuta n wwe n hali km hyo utajichkuliaje
Hyo ni kawaida t Sana dada Kuna wat hawana miguu Wala mikono eb fikiria we miguu unayo umbo unalo sura unayo zitakwenda zitaisha kwa uwezo wa mungu usijali
Jikubali sana dada yangu wasikuzingue juu mungu akufanya makosea kukuumba hivyo anamakusudio yake
Mbona kinyonge dada yangu yote mungu Atakupa nguvu na Alisia yako madam ❤❤❤
MUNGU huwa akosei kwenye kuumba na akaona ni vyema 🙏🙏🙏🙏🙏👏dada ni mrembo sana na ni mama mzr,,😘😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
She so pretty , she don’t need to shave at all 💕💕💕💕❤️❤️💓💓
Amazing ❤❤
Mungu yupo ata ku tetea 😢😢❤❤❤❤🙌🏽🙌🏻
Amen
Mungu ndie muweza🙏🙏
Ukizaa nae mtt w kiume huyu hlf afate iyo sura n ndevu atakua bonge l handsome 😘
True
Fikra zako kama zangu
Mbona nimesha mpenda dada binti mzuri mashallah❤
Mzuri mno yaani mungu fundi
acha umalaya umetamani jicho tu
😂😂😂😂😂
❤Ameeni 🙏🙌 utukufu tunamrudishia Mungu, Mungu arikumba hivyo kwa utukufu wake usije ukanyoa au ukatumia dawa usije ukapata madhara.nimekupenda,unampenda Mungu,
Aandike namba zake Dada maisha llah ni mzuri alhamdulilah
Kwenye creen hazipo ila ametaja namba zake mwenyewe
Ameamua kuziacha aone zitafikia wap
Mabaharia kama nawaona vile
Tunakupenda tu dada yetu... huu ni uumbaj wa Mungu
Mshukuru mungu kwa kila hali dada angu muweza ni.mwenyezimungukuwa huruma mdgo wangu 🤲
Dada upo safi mno nimekupenda bure kabisa ❤😊
Mungu awe nawe siku zote dada, u mrembo sana tena wa tofauti, jiamini na tembea kifua mbele
Yaan me mwenyew mwanaume lakn sna hizo ndevu, ila mungu mkubwa sana humpa amtakaye na humnyima amtakaye kwahy tote saw tuh alhamdulilah
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimejikuta nacheka baada ya kusoma comment yako Mungu fundi
Dadangu ahsante sana Mungu anakupenda maumbile Mungu kakupatia jipende mwenyewe na bila shaka mwenyenzi Mungu atakufanyia kulingana na vile roho Yako inataka nakutakia heri na fanaka kwa maisha Yako kwa mola nimekucha
Dah, Jikubali dada Mungu atakupa wa kufanana naww
😂😂😂😂eti! Nipo kwenye mausiano ambayo sijui yanausiana na mimi❤❤❤
Pole Sana Allah Akupe Subra Mashaallah Kwakweli Wewe Nimzuri Allah Amekujaalia
Unataka Spot Tuu au Unataka Kuolewa Pia....
Maashaallah. Dada mrembo Allah akujaalie mume mwema. Kwani ndevu si nyweletu. Usijali lizikiyako ipotu
Dada uko vizuri, Mungu amekuumba kwa uzuri wake jipe moyo.
Kwan huwaazinyolewi
She is so beautiful ❤️ keep going kirembo
kusemakweli wewedada nimurembo tena sana wachawatu.waseme wasemavyo mungu yukopamoja.nawewe anasikia hojazamoyowako lakinikwakweli wewenimurembo.sana nasikiliza kutoka saud arabia mashallah❤❤
Very beautiful ningekuwa mume ninkekuoa wewe ni mrembo tu sana jikupali dada
Ni mzuri wewe ningekuwa mwanaume ningekuwa ❤❤
Uko mzuri dada tena mrembo tu, yupo pia my friend kutoka TZ but yy huzinyoa lakini bado zaonyesha hadi kifuani so akiwa mbele zawatu anajifunika sura japo amezinyoa halafu nimrembo sana tu, usifuate maneno ya watu Mungu ndie alie kujaalia so Ishi maisha yako.❤
Mashallah dada mzuli m/mungu azid kukupa afya njema ❤
Mungu ashukuriwe kwa hili Mungu anajua nini nafanya Sifa na utukufu zikuendee wewe Mwenyezi Mungu. Halafu wewe ni mrembo sana hakika jikubali kipenz changu
Ila ni mzur sana mungu hajakosea kabisa❤
Rangi imembeba,angekuwa black ingekuwa noma.all in all GENETICS 🤞
Wengine wanabebwa na nini
Mzuri mashaallah jikubali Dada nimekupenda❤️
Huyu tangu nakua nimemkuta ana ndevu sasa watu wakawa wanamshangaa ila alikuwa anazinyoa baadae akaacha kuzinyoa. Dada jikubali wala usiwe mnyonge pambana utatoboa❤
😂😂😂😂 ujumbe wako ume nifanya nicheke..
@@jeremiapeter683 kweli yaan kipindi hicho alikuwa na mme wake sasa ana ndevu hapo ndo kulikuwa na mkanganyiko kila mtu anamshangaa
Sawa..
Dada nimzurii usihofu kwanza anae kushangaaa ni mjinga Mimi nimekukubali uko vizuri
Beautiful MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MashaAllah tabarakaAllahu.Mungu Ni makubwa huumba atakavyo
Dada nakupenda sana mume mwema anatoka kwa Mungu utaolewa Tu muda sahihi ukifika mdogo wangu kipenzi Mungu yupo
Mungu akupe wepesi akujaze n subra . 😢
Lkn ni mzuri sana
Jaman ni mrembo sn jikubali hata usiwe mnonge ukamkifuru Mungu,anamakisudi yake
You are beautifully and wonderfully created mamaii....love you from Kenya 🇰🇪
Daaaaaaaaah ila ana ndevu nzuri jikubali dada binadamu haishiwag neno❤❤❤❤❤
Numéro yako dada
Napenda sana mwanamke mwenye ndevu wao wana nyota ya utajili❤❤
Nimekupenda Sana Maana we Mzuri Sana
😢Muongo wewe kichwa cha mwanaume ILA mwili WA kike
Manshaallah amependeza sn asiogope hali hiyo yupo vizuri sn
Masha'allah Tabarakallah ni mzuri sana. Bora uzinyoe.
pole sana dada< i live in USA, unaweza kufanya laser treatment hazitaota tena. uliza laser treatment, watu wakusaidie ununue kenzo. huku marekani tunafanya laser kwa makwapa, miguu, mikono na uso.
Acha utani ni bei gani kufanya hiyo treatment
Sasa wewe ambae upo huko ndo wakumsaidia
Beautiful 🎉🎉
Anafanana na waigizaji wa kiume wa Nigeria ,very smart
Mashaallah mitihani tu yamungu ila mungu upo pamoja nawe ❤❤❤❤
Huyu dada ana asili ya nywele weee angalia hata kichwani...ni mzur sana
She is so beauty
Mashaallah dada mrembo ucfemoyo ndevu sio ugonjwa vuta subra utapata mume,mtangazaji mbonaumetoa zte sio poa bahna kidevu softi
Kweli Yuko mrembo sana nakupenda Bure I wish ningekuwa mwanaume ningekuoa Kwa haki ya mwenyezi Mungu ❤❤❤
Watanzania mimi ni Mkenya hii condition inaletwa na High level of Androgens Ni kawaida tu. Ukitaka kuzitoa fanya mazoezi upunguze Mwili so that Mwili wako utengeneze fewer Male hormones. Wanaume Msimwogope Ni kawaida sana.
Njoo wewe umuoe
😂😂😂😂@@user-ex6sh1rl4d
@user-ex6sh1rl4d 😂😂😂 na wewe
Kuna haja gani ya kusema wewe ni mkenya au uhusiano uko wapi katika taarifa yako kuhusu hio condition na wewe kuwa mkenya?
Tatizo la sisi na wakenya ni "bragging" sasa kulikuwa na umuhimu gani wa kujitambulisha kama mkenya? Au kuwa mkenya kuna kusaidia nini? Or what is so special about Kenya that you should introduce yourself here before addressing this matter ?
Ushauri wangu ni nyoa hizo ndevu utakuwa mrembo zaidi lkn unavyozifuga nalo ni tatizo
Akizitoa ndio zitakuja nyingi zaid
ni imani tuu
Nakupenda sana wewe dada mume mwema anatoka kwa Mungu muda sahihi ukifika utaolewa Mungu yupo umeumbwa na Mungu
My situation right now mpaka mume wangu kaniacha kaoa mwingine juu ya marafiki kumcheka but I thank God for who I am
Nyoa hizo ndevu, alaaaaaaaa
Akinyowa zinaongezeka
hahahahaaaa
@@nadyasalim7956
Hamna cha kuchekesha
@@sonnyr1899 nilikua naitafuta hiiii. Ukinyoa zinaongezekaa
Coment Yako n chuki kwani alitaka
Ukwel dada anaitaji msada maan iyo ni changamot sana kua na mausiano ukwel anaitaji msada
I like to meet her,
Nashauri dada elis ajikabali na aendelee kujithamini . Pia ni mhimu Sana aamue kuokoka yaani akubali Yesu Kama Bwana nawokozi wa maisha yake. Watakuja wanaume wengi wanaotaka kula na kuondoka . ni vizuri uongeze umakini wa kujali afya yako una mvuto wa kipeke yaani Kama ukiimba kwayaaaa utapendeza.
Wewe acha ujinga Yani baadala ya kumshauli amuombe mungu na kumuabidu na kumtegemea yeye pekeyake alimuumba wewe unamua mbia amtegemee yesu sasa yesu na mungu nani alimuumba na je? Yesu mwenyewe anamuomba nani na kama jibu yesu anamuomba mungu mmojatu nakumtegemea yeyetu jesisi tumuombe nani vituvingine niujinga sana na kukosa elimu na maarifa pamoja na hekima Yani baada ya kumtegemea mungu aliekuumba wewe na mbingu na ardhi navyote vilivyo kuemo wewe unamtegemea binadamu mwenzako sasa huo sio ushetani ninini?
Wewe acha kuongea vitu usivyovijuaaa...wewe kama humtanbui huyo Yes kaa kinda utuliee usiongeee usichojuaaaa
Yesu ninani duuh
Sasa yesu atamsaidia nini wakat yeye mwenyewe anategemea msaada kwa alie muumba?😏
@@zaidiissa3714onyo usiwahi cheza na YESU .JESUS IS LORD STOP NONSENSE JESUS OUR EVERYTHING UKUBALI UKATAE KILA GOTI LITAPIGWA MBELE ZAKE NA KILA ULIMI UTAKILI YA KWAMBA YEYE NI BWANA.WAFILIPI 2:10-11.nikuongezee yohana 14:9 YESU akasema,aliyeniona mimi amemwona BABA.UNAONEKANA HUTAMBUI MAISHA YAKO YALINUNULIWA NA NANI.WAKE UP U SLEEPER.REPENT AND SEEK JESUS TO SAVE U B4 ITS LATE
Beautiful, beautiful!
ah weh,,mzuri ila usiniambie mustach huo nikae nao ndani,,,nop😊
Acha kusema hivyo ndugu Mungu ana mambo mengi sana sana, hajapenda
Dada be humble jipige kifua ww ni wa dhamani sana mbele ya mungu na ni mama bora wa familia
Mdada mzuri sana.... Mungu amekubariki sana Asee sijui kwenye tabia.....
So beautiful 😍😍😍
Mungu atakufanyia wepesi ❤❤❤ dada yangu ila ungefanya maisha ya humu wakiiona hii taharifa watakuja wengi kuchumbia ila kuwa makini na wamitandaoni wewe nimzuri sana
Ndio ni mzuri sana but iko dawa akinyowa na kuipaka.anaweza kaa weak moja ndio zianze mea niko na rafiki yangu.kenya anatumiya hiyo dawa na iko huko tz ndioko alipata na huwa anatumiwa sakwa ubaya lakini
Inaitwaje
Atakasike Mungu mbora wawaumbaji Alhamdoulillahi ya Allah
Mdada mzuri sana❤wazo langu uwe unazipunguza
Kweli apunguze bhana dah
kweli angezitoa maana wanaume tu wanavozinyoa sembuse yeye ashindwe kuzitoa ajikubali lkn kila mwezi afanye wax
Hajajua tu jinsi ya kuzifanya zisiote tena
Mwambieni atumie treatment ya " Laser hair removal" hizo ndevu ndio itakuwa kwaheri hazitaota tena.
Ni kitu simple tu kama kweli hazipendi.
Haina madhara
@@Mbabazi99 haina hata robo ni safe
Kwa Tz itapatikana??
Ipo@@stansiauisso5441
Maashaallah karibu san mkoa wa dodom hao niwashamba tuy njoo huku hatunaga hiz
😅😅😅😅aisee ni noooma sana mbona ni HANDSOME sana ivyo
Acha kumkufuru Mungu
Si awe anazipunguza anaogopesha mwili wa mwamke kichwa tu ndio cha mwanaume.
Wewe huskiii akinyoa zinaongezeka zaidi jmn
You are wonderfully and fearfully made.Gods creation
si kuna dawa jamani angekua huku saudia naona vinaisha tu
Hu nao ni mthihani masikini usijali dadaa ni Maisha tu hayo
kweli
Yaan dada ww n mzuri sana aisee nimekupenda bure
Mbega umukobwa mwiza❤ maa shaa Allah. Imana izaguhe Umugabo ugukunda ❤
Ameen
Bukoba tuna kila kitu muacheni mungu aitwe mungu,senene sisi,miguu mizuri na mashepu ya wadada sisi,tetemeko Sisi,katerelo Sisi,ndizi sisi yani Noma😂😂😂😂
😂😂😂 umetisha Sanaa👊
@@waulaya8507 Bukoba ni full package 📦 aisee 😂😂😂
MIMI KUCHEKA SIWEZ KUJIZUIA😂
Ila kuandika unaweza kujizuia!
@@jlove5238 katombwee
Hakuna unyonge! Kama umeweza kupata mtoto maana yake umepata mwanaume kwanza ndipo ukapata mtoto. Ni vizuri sana wanaume wakakuogopa ila mwanaume akakupokea. Kwako mwanaume ni mmoja tu dada wala usiwaze. Wewe ni mzuri sana! Acha makusudi ya Mungu yatimie. ❤
Nimefikia kumpenda sana huyu dada. Nampenda sana
Jmn
Ila mtangazaji bdo sana aisee ni kama hana uzoeafu coz anatetemeka
Your so beautiful siz ningekua mwanaume ningekua wlh una sura nzuri sana ilaujipe moyo Allah atakupa mume bora
Usiwe mnyonge Dadangu Mungu atakujalia sana❤❤
Siku hizi ni very easy kuna sindano au dawa unatumia hazioti tena
Dawa gan mana hata mie nnazo
Dawa inamadhara
Sura ya kiume, afu mkaka handsome
@@mariamdimosso621 sio kiivyo
Nidawa gani tupo wengi
Mzuri kama Muarabu
Fala wewe unayewatukuza waarabu kwamba ni wazuri
Sababu wanakufiraga sio Kenge wewe
Mungu ni mwema kwa kila jambo wewe nimzuri 😊
She is so beautiful. Ajiamini asee❤
Sioo wakwanza ila naombeni like apaaa