HUU HAPA USHAHIDI VWA MAMBOYALIYOFANYWA NA MGANGAANAESADIKIKA KUMUUA MLINZIWAK

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • HUU HAPA USHAHIDI VWA MAMBO
    YALIYOFANYWA NA MGANGA
    ANAESADIKIKA KUMUUA MLINZI
    WAK

Komentáře • 115

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před 3 měsíci +3

    Heeeeee dunia simama nishuke mungu nijaaliye nilizike naulicho niruzuku yaarab

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f Před 4 měsíci +6

    Wanawake wengi sana ndio maana wanaziniwa nawaganga

  • @shaffiibashiru7204
    @shaffiibashiru7204 Před 3 měsíci +3

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa 😢

  • @ericsutta
    @ericsutta Před 17 dny

    Hilo genius kweli na bado hamkomi

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji Před 3 měsíci +3

    Huyu dada anaweza hata kumuua mtu khaa unasimulia bila hata uwoga

  • @FlorensiaMkombozi-et1ts
    @FlorensiaMkombozi-et1ts Před 2 měsíci +1

    Ndugu zangu tumtegemee Mungu tuache kutapeliwa huwa nasikiliza habari zake huyo jamaa najua nitapeli kubwa sana mjihazari ndugu zangu kufirisika

  • @mwananganzi
    @mwananganzi Před 3 měsíci +3

    Shogaako alokupeleka sialikukataza sana jmn uchaw upo. Pole mwaya ni mitihani tu ikitaka kukufika huwez zuia.

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Před 2 měsíci +1

    Acha dogo apige hela,, majinga Africa nimengi, ukifa masikini Tanzania na una afya njema,, ujue umependa

  • @KhamisChaz-td4nz
    @KhamisChaz-td4nz Před 4 měsíci +3

    Inaonesha huyu jamaa anaushirikiano mkubwa na baadhi ya viongozi serekalini pamoja na polic

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 Před 3 měsíci

      Inawezekana lakini kwamungu Kesho mambo hadharani tu

  • @graceraphael-tj7nf
    @graceraphael-tj7nf Před měsícem

    Dada pole Sana

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 Před 8 dny

    Tasnia ya TIBA ASILI NA MAMBO YA KIMILA yamevamiwa na wahuni kama vile ilivyo vamiwa Dini ya kikristu na wahuni kwaio tujue wapo watabibu wa kweli na wachungaji wa kweli ila pia wapo wahuni kama hawa na kiboko ya wachawi.
    UMAKINI UNAHITAJIKA SANA.

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před 4 měsíci +2

    Huyu Dada sio wa kubezwa badala yake aombewe na asaidike awezekuacha imani Za kiganga na uchawi maana kama ingekua kweli inamaana alikua tayari kufuga Jini, huo NI uchawi. Lakini dada nikuambie wazi hakuna fedha Za majini huo NI uongo ukitaka fedha fanya kazi kwa bidii kama vile kilimo biashara ufugaji nk nk.,zamani zile wanamusk ( Band) nyingi kama vijana jazz waliwaimba sana Matapeli ,Lakini Leo hii bongo flaver hainajumbe hizo wamebakia kiimba mapiano na Mapenzi watu wanaibiwa bila sababu yoyote. ( nyinyi wana musk kumbusheni watu utapeli umerudi upya , pia polisi ktk IBADA mashekhe tangazeni fichueni utapeli hubirini tafadhali, mommy pole sana pia acha uganga na uchawi fanya ibada na biashara pia toa zake ( hizo laki 5 ungewapa watoto yatima ungezidishiwa .unampa mtu anaenda kunywa bia

  • @JohMwita
    @JohMwita Před 26 dny

    dah kweli hii pesa na mm nilitokea kumuani nilikuwa namuona atrend

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 Před 8 dny

    Mume wa huyu Dada namsalimu kwa jina la mama mkwe wake🤔

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 Před 4 měsíci +2

    Yaani namba uliyopewa ilikuwa ya watu wake siyo watu wa Dodoma yaani ulikuwa unachezwa shere hakuna MTU mmoja pale wote ni wale wale

  • @mandajamaly4843
    @mandajamaly4843 Před 4 měsíci +1

    Bado kidogo chief Godlove waje kutoa ushuhuda

  • @francismgaya3539
    @francismgaya3539 Před 4 měsíci +1

    Bado wanaojiunga kwa chief Godlove, nawasubili hapa mje

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j Před 4 měsíci +3

    😂😂😂😂😂 watanzania napesa za bure sijui mumelogwa na nani

  • @punnamalaba4445
    @punnamalaba4445 Před měsícem

    Ni mzoefu wa ushirikina huyo , anaongea ma kucheka , ni.muongo wala msimpe pole ila akomee hapo aachane na ujinga huo aa

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 Před 4 měsíci +1

    Umeongea kishujaa huyu mtu ni tapeli kwelikweli mm nilikua namsikia tu na mm nakaa hukohuko kigogo fresh naimani wanawake wengi wameumia sana

  • @WinifridaChristian
    @WinifridaChristian Před 24 dny

    Tapeli wa kwanza Kati ya hawa wakwanza ni manyaunyau yule tapeli nje nje kabisa!!

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před 4 měsíci +2

    Viongozi wanapewa taarifa wananchi wanaibiwa wao wanakaa ofisini kulipwa mshahara wa bure tu hawawajibiki chochote ccm itambue hivyo ndio maana tunaomba mabadiliko hata ya nwaka mmoja tu

    • @user-ur8cq1ye3b
      @user-ur8cq1ye3b Před 2 měsíci

      Uyo mganga sianajisifu yeye awez kufungwa labda anajuana na viongozi

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 Před 4 měsíci +1

    Wadada acheni tamaaa,fanyeni KAZI halali

  • @HappyMuyinga
    @HappyMuyinga Před 10 dny

    Bado hamjasema mpaka mseme

  • @HassanHamis-wp2jr
    @HassanHamis-wp2jr Před měsícem

    Duuh

  • @user-vk6bb4fe2p
    @user-vk6bb4fe2p Před 4 měsíci +2

    😂😂😂😂😂😂 laki 5 piga mala 98 bei gn 😂😂😂😂😂

  • @mwananganzi
    @mwananganzi Před 3 měsíci

    Pole sana dada

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 Před 2 měsíci

    Watanzania wengi sisi tumepumbazwa sana sana mpaka tuwe na uelewa tutakuwa tumechoka sana

  • @user-vc2jl9qp9m
    @user-vc2jl9qp9m Před 4 měsíci

    Tubu muombe sana Mungu akusamehe dhambi ya ushirikina ukifa nayo ni moja kwa moja

    • @punnamalaba4445
      @punnamalaba4445 Před měsícem

      Kweli kabisa alifuata nini kwa mganga , na anaongea anacheka ni mzoefu wa hayo

  • @KhamisChaz-td4nz
    @KhamisChaz-td4nz Před 4 měsíci +1

    Hivi KWA nini baadhi ya wabongo bado wapumbavu kiasi hiki!? Hivi izo laki tano si ungefanya biashara unaambiwa kitu siri bado hushtuki tuu

  • @ericsutta
    @ericsutta Před 17 dny

    Yaani wanawake wengi ni wajinga ndo maana mnatumika sana, huwa hamfikiri mara 2

  • @clarencepeterbugi2862
    @clarencepeterbugi2862 Před 4 měsíci +1

    Watu wanapenda utajiri wa haraka mwisho unaambiwa muuwe mtu

  • @annajohn3377
    @annajohn3377 Před 3 měsíci

    Bora nikatapeliwa kariakooo kuliko kutapeliwa na waganga nitakufa maskini

  • @user-bo1cn3dw6o
    @user-bo1cn3dw6o Před 3 měsíci

    Pole Sana dada umeibiwa huyo ni tapeli

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před 4 měsíci +3

    Serikal> ya hovyo hii sijawahi kuona mimi ..

  • @mandelasamson8401
    @mandelasamson8401 Před 3 měsíci

    Wewe ulienda mwenyewe leo unataka msaada wa serikali kwani hyo laki tano haikutoshi kwa biashara? Wenzio wanafanya biashara za elfu kumi tu wewe ndo unaenda kutapanya ama ulihongwa na aliyekuhonga hajakufanya lolote ukaamua kuzitapanya, inatakiwa angekulawiti🤣🤣🤣🤣

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q Před 3 měsíci

    Acha wanaondelea wapigwe ww siuchanika umepigwa na kitu kizito kichwani 🤣🤣🤣🤣

  • @MargaretKivaro
    @MargaretKivaro Před 4 měsíci +2

    wewe dada muogo umetumwa na adui za Taz

  • @janethmazoya4291
    @janethmazoya4291 Před 3 měsíci +1

    Huyu dada ni muonge sana mbona ss tumo kwenye group na tumefanikiwa sana wala hajataper mtuu mbona mayajir hawasem ila maskini mtafika mbinguni mmechoka sana 😅😅

  • @user-fu3cg3gv9g
    @user-fu3cg3gv9g Před 2 měsíci

    Daah huyu mwamba kaumbuka aisee

  • @suleuhai2754
    @suleuhai2754 Před 3 měsíci

    Dada yangu mm kayatimba😂😂😂

  • @sophiajoseph136
    @sophiajoseph136 Před 2 měsíci

    Watanzania ni ujinga au ni kukosa maarifa?unatapeliwaje kijinga hivyo. Mtegemee Mungu tu!

  • @giftbonanje228
    @giftbonanje228 Před 3 měsíci

    Safi saaana.

  • @salimalesry428
    @salimalesry428 Před 3 měsíci

    Daaa wamepigwa yule jamaa tapeli sana

  • @user-pk2ch7lu5e
    @user-pk2ch7lu5e Před 3 měsíci

    Jamaa tapeli sana

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 Před 3 měsíci

    SubhanAllah yaraby😢😢😢😢😢

  • @BENEDICTONONYA
    @BENEDICTONONYA Před 3 měsíci +1

    We nae mwandishu ni kenge tu eti aliyeuwa una ushahidi fala kwel

    • @user-ur8cq1ye3b
      @user-ur8cq1ye3b Před 2 měsíci

      Au na wewe upo pamoja nauyo mganga muuwaji ndomana unatetea alieuuliwa angikua ndugu Yako ungesema aya

    • @BENEDICTONONYA
      @BENEDICTONONYA Před 2 měsíci

      @@user-ur8cq1ye3b kwenda zako huko .....fanya Yako kwann mzee wake si mlimuua

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Před 2 měsíci

    Hawa ndio hadi wanauwa wana wao,ndugu na wazazi kisa utajiri wa upuzi....!!! Hio laki tano mbona usifanye nayo biashara.....Una bahati hukuziniwa wewe !

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 Před 4 měsíci

    Iyo ni atari ubabaishaji ni wahaliyajuu

  • @mulimwalugenge5226
    @mulimwalugenge5226 Před 3 měsíci

    Kweli wajiga ndio waliwao

  • @averixcrane-ij2fb
    @averixcrane-ij2fb Před 3 měsíci

    Sasa hapo kuna ushaidi gani na icho kifo, uyo kaja na yake ambayo ni ya utapeli ila sisi tunataka kusikia kuusu kifo cha yule mlinzi.

  • @user-or2xn4bp7o
    @user-or2xn4bp7o Před 3 měsíci

    Dah😢...i dunia bana 😂😂😂🤣

  • @user-ig7rq8my3z
    @user-ig7rq8my3z Před 4 měsíci +1

    Which country is this

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 3 měsíci

    TUFANYE KAZI NDUGU ZANGU
    KATIKA MAISHA YA UTAFUTAJI HAKUNA MIUJIZA
    WASHIRIKINA NI HATARI MNo

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct

    Mh

  • @annajohn3377
    @annajohn3377 Před 3 měsíci

    Ila mungu fundi nyiee onaalivyoumbuka huyo geneaz

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Před 3 měsíci

    Wajua ujinga mwengine mnahoji watu baada ya matatizo kutokea ni ujinga tu.

    • @user-bl7pt3dc8x
      @user-bl7pt3dc8x Před 3 měsíci

      Hyo ndo maana ya methali ya wahenga "za mwizi arobaini"..hawakusema atakuwa hajaiba, atakama kesha tenda cha msingi abainike

  • @Mwanamwakaathumamwandekw-zb2fq

    Subhannallah😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-dh6uv5lw6c
    @user-dh6uv5lw6c Před 3 měsíci

    Si muongo ss wenye yashatukuta g hafayii

  • @FatmasompaFatmaramadhanisompa

    Jamn acheni zambi tusubirien unwell wa police

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před 3 měsíci

    Baada ya natatizo ndio mnaroppka

  • @user-gg4kw6le3b
    @user-gg4kw6le3b Před 2 měsíci

    Rizikeni na kidogo unachopata jmn la sivyo hata hivyo vidogo mlivyonavyo mtanyanganywa na wajanja wa mjini📌

  • @rosemkude4804
    @rosemkude4804 Před 4 měsíci

    Duh!... Umetapeliwa mchana kweupeeee

  • @privatusprudence
    @privatusprudence Před 3 měsíci

    Safii kiongozi kidgo story Yako Ina huakika make na sauti yake imesikika but dada awe makini na simu yake vzr ila bro tafta ao viongozi Ili kufanya story iwe Bora zaidi ongera sana.

    • @user-ur8cq1ye3b
      @user-ur8cq1ye3b Před 2 měsíci

      Uyo kiongozi sindio aliemuuwa mlinz wake kakimbia

  • @latiphafahim7357
    @latiphafahim7357 Před 4 měsíci

    Mbona siku zote hujatoa iyo taarifa mpk kafanya jambo

    • @beccasniper-ki4gg
      @beccasniper-ki4gg Před 4 měsíci

      Ndiyo wakati wake hta wew sku yakufa wapo watakao ongea kuwa ulikuw mtu mwema ama mbya

  • @untouchablepro8943
    @untouchablepro8943 Před 3 měsíci

    Sema nini ukome pole

  • @WitnessJjk
    @WitnessJjk Před 4 měsíci

    wanawake tunahangaika nyie yite kwasasbabu yawatu walioki nyuma yake😊

  • @HappyMuyinga
    @HappyMuyinga Před 10 dny

    😂😂😂

  • @user-gg5ow9bg6y
    @user-gg5ow9bg6y Před 3 měsíci

    Aisee dada una loho mbaya

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před 4 měsíci

    Ni tapeli full huyo ... mtafuteni auwawe tu hamna adhabu nyingine....

  • @vivicagreco7767
    @vivicagreco7767 Před 3 měsíci

    Amewakomesha

  • @SamWabyoko
    @SamWabyoko Před 26 dny

    jamani hivi wa Afrika tunajielewa kweli?
    yaani mtu unahadi mfanya kazi wa ndani badala ufocus na job wewe unatapeliwa kijinga tu
    Ebu tuhige kwa wenzetu wazungu jamani
    Wapi uliskia mzungu anaenda kwa mganga ili apate pesa?
    Jamani mnisamehe kama nimeongea vibaya hapa chini ya jua nguvu zako bidii yako ya kazi ndo utajiri wako

  • @janethmazoya4291
    @janethmazoya4291 Před 3 měsíci

    Ila binadam waongo mbona mwanzo hamkuongea leo mnampaka matope mnatafuta kiki tuu mashetani wakubwa nyie

  • @user-gg5ow9bg6y
    @user-gg5ow9bg6y Před 3 měsíci

    Tuwe makini jamani

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 Před 4 měsíci

    Wewe dada unahitaji ulinzi umemharibia mtu kazi.

  • @fatumakimaro3186
    @fatumakimaro3186 Před 3 měsíci

    😢😢😢

  • @user-kp9ig3uz9s
    @user-kp9ig3uz9s Před 3 měsíci

    Mandocha yakishapigwa huwa yananyoosha maelezoo?

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 Před 3 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shabanikitogo6613
    @shabanikitogo6613 Před 3 měsíci

    Na wewe dada sio mtu mzuri kama uyo tapeli angekwambia uwa mtu ata kwa kisu ungeuwa wewe maana kama unavosema wezio wote walikuwa waoga wewe peke yako ndoio ulifanya.

    • @Rich-wo
      @Rich-wo Před 3 měsíci

      Aliibiwa akili ht usimlaumu kbs

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Před 3 měsíci

    Kweli wajinga ndio waliwao.poleni.simameni na Mungu kilakitu huja kwawakati.

  • @laizakimalokileli8560
    @laizakimalokileli8560 Před 4 měsíci

    😢😢

  • @giftbonanje228
    @giftbonanje228 Před 3 měsíci

    Jasiri jmn

  • @shabanikitogo6613
    @shabanikitogo6613 Před 3 měsíci

    Na bahati yako ujaenda kulala hotelini ange kulala wajinga nyie fanyeni ibada acheni ujinga

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 Před 4 měsíci +1

    Mm nasikitika kwa Sababu ya watu waliokufa lakini kwa pesa yako kuliwa wewe Ni ngombe

  • @user-mq4df1np9i
    @user-mq4df1np9i Před 4 měsíci +1

    Jama mtapelitu 😂

  • @laizakimalokileli8560
    @laizakimalokileli8560 Před 4 měsíci

    😂😂😂😂😂😂

  • @achiengvelinda940
    @achiengvelinda940 Před měsícem

    Aki watanzania pooooo ati Keshi ama cash mkikuja Kenya mu make sure mnatumia kishwahili sanifu

  • @AishaMwarabu
    @AishaMwarabu Před 3 měsíci

    Mh