Tasnia ya TIBA ASILI NA MAMBO YA KIMILA yamevamiwa na wahuni kama vile ilivyo vamiwa Dini ya kikristu na wahuni kwaio tujue wapo watabibu wa kweli na wachungaji wa kweli ila pia wapo wahuni kama hawa na kiboko ya wachawi. UMAKINI UNAHITAJIKA SANA.
Huyu Dada sio wa kubezwa badala yake aombewe na asaidike awezekuacha imani Za kiganga na uchawi maana kama ingekua kweli inamaana alikua tayari kufuga Jini, huo NI uchawi. Lakini dada nikuambie wazi hakuna fedha Za majini huo NI uongo ukitaka fedha fanya kazi kwa bidii kama vile kilimo biashara ufugaji nk nk.,zamani zile wanamusk ( Band) nyingi kama vijana jazz waliwaimba sana Matapeli ,Lakini Leo hii bongo flaver hainajumbe hizo wamebakia kiimba mapiano na Mapenzi watu wanaibiwa bila sababu yoyote. ( nyinyi wana musk kumbusheni watu utapeli umerudi upya , pia polisi ktk IBADA mashekhe tangazeni fichueni utapeli hubirini tafadhali, mommy pole sana pia acha uganga na uchawi fanya ibada na biashara pia toa zake ( hizo laki 5 ungewapa watoto yatima ungezidishiwa .unampa mtu anaenda kunywa bia
Viongozi wanapewa taarifa wananchi wanaibiwa wao wanakaa ofisini kulipwa mshahara wa bure tu hawawajibiki chochote ccm itambue hivyo ndio maana tunaomba mabadiliko hata ya nwaka mmoja tu
Wewe ulienda mwenyewe leo unataka msaada wa serikali kwani hyo laki tano haikutoshi kwa biashara? Wenzio wanafanya biashara za elfu kumi tu wewe ndo unaenda kutapanya ama ulihongwa na aliyekuhonga hajakufanya lolote ukaamua kuzitapanya, inatakiwa angekulawiti🤣🤣🤣🤣
Huyu dada ni muonge sana mbona ss tumo kwenye group na tumefanikiwa sana wala hajataper mtuu mbona mayajir hawasem ila maskini mtafika mbinguni mmechoka sana 😅😅
Hawa ndio hadi wanauwa wana wao,ndugu na wazazi kisa utajiri wa upuzi....!!! Hio laki tano mbona usifanye nayo biashara.....Una bahati hukuziniwa wewe !
Safii kiongozi kidgo story Yako Ina huakika make na sauti yake imesikika but dada awe makini na simu yake vzr ila bro tafta ao viongozi Ili kufanya story iwe Bora zaidi ongera sana.
jamani hivi wa Afrika tunajielewa kweli? yaani mtu unahadi mfanya kazi wa ndani badala ufocus na job wewe unatapeliwa kijinga tu Ebu tuhige kwa wenzetu wazungu jamani Wapi uliskia mzungu anaenda kwa mganga ili apate pesa? Jamani mnisamehe kama nimeongea vibaya hapa chini ya jua nguvu zako bidii yako ya kazi ndo utajiri wako
Na wewe dada sio mtu mzuri kama uyo tapeli angekwambia uwa mtu ata kwa kisu ungeuwa wewe maana kama unavosema wezio wote walikuwa waoga wewe peke yako ndoio ulifanya.
Heeeeee dunia simama nishuke mungu nijaaliye nilizike naulicho niruzuku yaarab
Wanawake wengi sana ndio maana wanaziniwa nawaganga
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa 😢
Hilo genius kweli na bado hamkomi
Huyu dada anaweza hata kumuua mtu khaa unasimulia bila hata uwoga
Ndugu zangu tumtegemee Mungu tuache kutapeliwa huwa nasikiliza habari zake huyo jamaa najua nitapeli kubwa sana mjihazari ndugu zangu kufirisika
Shogaako alokupeleka sialikukataza sana jmn uchaw upo. Pole mwaya ni mitihani tu ikitaka kukufika huwez zuia.
Acha dogo apige hela,, majinga Africa nimengi, ukifa masikini Tanzania na una afya njema,, ujue umependa
Inaonesha huyu jamaa anaushirikiano mkubwa na baadhi ya viongozi serekalini pamoja na polic
Inawezekana lakini kwamungu Kesho mambo hadharani tu
Dada pole Sana
Tasnia ya TIBA ASILI NA MAMBO YA KIMILA yamevamiwa na wahuni kama vile ilivyo vamiwa Dini ya kikristu na wahuni kwaio tujue wapo watabibu wa kweli na wachungaji wa kweli ila pia wapo wahuni kama hawa na kiboko ya wachawi.
UMAKINI UNAHITAJIKA SANA.
Huyu Dada sio wa kubezwa badala yake aombewe na asaidike awezekuacha imani Za kiganga na uchawi maana kama ingekua kweli inamaana alikua tayari kufuga Jini, huo NI uchawi. Lakini dada nikuambie wazi hakuna fedha Za majini huo NI uongo ukitaka fedha fanya kazi kwa bidii kama vile kilimo biashara ufugaji nk nk.,zamani zile wanamusk ( Band) nyingi kama vijana jazz waliwaimba sana Matapeli ,Lakini Leo hii bongo flaver hainajumbe hizo wamebakia kiimba mapiano na Mapenzi watu wanaibiwa bila sababu yoyote. ( nyinyi wana musk kumbusheni watu utapeli umerudi upya , pia polisi ktk IBADA mashekhe tangazeni fichueni utapeli hubirini tafadhali, mommy pole sana pia acha uganga na uchawi fanya ibada na biashara pia toa zake ( hizo laki 5 ungewapa watoto yatima ungezidishiwa .unampa mtu anaenda kunywa bia
dah kweli hii pesa na mm nilitokea kumuani nilikuwa namuona atrend
Mume wa huyu Dada namsalimu kwa jina la mama mkwe wake🤔
Yaani namba uliyopewa ilikuwa ya watu wake siyo watu wa Dodoma yaani ulikuwa unachezwa shere hakuna MTU mmoja pale wote ni wale wale
Bado kidogo chief Godlove waje kutoa ushuhuda
😂😂😂😂
Bado wanaojiunga kwa chief Godlove, nawasubili hapa mje
😂😂😂
😂😂😂😂😂 watanzania napesa za bure sijui mumelogwa na nani
Sijui wanatoa wap iyo nguvu
Wavivu
Ni mzoefu wa ushirikina huyo , anaongea ma kucheka , ni.muongo wala msimpe pole ila akomee hapo aachane na ujinga huo aa
Umeongea kishujaa huyu mtu ni tapeli kwelikweli mm nilikua namsikia tu na mm nakaa hukohuko kigogo fresh naimani wanawake wengi wameumia sana
Tapeli wa kwanza Kati ya hawa wakwanza ni manyaunyau yule tapeli nje nje kabisa!!
Mmmmmh ni kweli kbc
Viongozi wanapewa taarifa wananchi wanaibiwa wao wanakaa ofisini kulipwa mshahara wa bure tu hawawajibiki chochote ccm itambue hivyo ndio maana tunaomba mabadiliko hata ya nwaka mmoja tu
Uyo mganga sianajisifu yeye awez kufungwa labda anajuana na viongozi
Wadada acheni tamaaa,fanyeni KAZI halali
Bado hamjasema mpaka mseme
Duuh
😂😂😂😂😂😂 laki 5 piga mala 98 bei gn 😂😂😂😂😂
Mil 49
Pole sana dada
Watanzania wengi sisi tumepumbazwa sana sana mpaka tuwe na uelewa tutakuwa tumechoka sana
Tubu muombe sana Mungu akusamehe dhambi ya ushirikina ukifa nayo ni moja kwa moja
Kweli kabisa alifuata nini kwa mganga , na anaongea anacheka ni mzoefu wa hayo
Hivi KWA nini baadhi ya wabongo bado wapumbavu kiasi hiki!? Hivi izo laki tano si ungefanya biashara unaambiwa kitu siri bado hushtuki tuu
Yaani wanawake wengi ni wajinga ndo maana mnatumika sana, huwa hamfikiri mara 2
Watu wanapenda utajiri wa haraka mwisho unaambiwa muuwe mtu
Bora nikatapeliwa kariakooo kuliko kutapeliwa na waganga nitakufa maskini
Pole Sana dada umeibiwa huyo ni tapeli
Serikal> ya hovyo hii sijawahi kuona mimi ..
Wewe ulienda mwenyewe leo unataka msaada wa serikali kwani hyo laki tano haikutoshi kwa biashara? Wenzio wanafanya biashara za elfu kumi tu wewe ndo unaenda kutapanya ama ulihongwa na aliyekuhonga hajakufanya lolote ukaamua kuzitapanya, inatakiwa angekulawiti🤣🤣🤣🤣
Acha wanaondelea wapigwe ww siuchanika umepigwa na kitu kizito kichwani 🤣🤣🤣🤣
wewe dada muogo umetumwa na adui za Taz
Hawez ongopa kiasi hicho
Endlea kulala
Amemkela tapeli mwenzao hakuna kipato bila kazi🤣🤣🤣🤣 kkkk imeenda hiyo
Huyu dada ni muonge sana mbona ss tumo kwenye group na tumefanikiwa sana wala hajataper mtuu mbona mayajir hawasem ila maskini mtafika mbinguni mmechoka sana 😅😅
Kufanikiwa nn😏
Muongo nawewe tapeli tuu
Hajatapeliwa wapi wew Hao na wewe ni walewale
Daah huyu mwamba kaumbuka aisee
Dada yangu mm kayatimba😂😂😂
Watanzania ni ujinga au ni kukosa maarifa?unatapeliwaje kijinga hivyo. Mtegemee Mungu tu!
Safi saaana.
Daaa wamepigwa yule jamaa tapeli sana
Jamaa tapeli sana
SubhanAllah yaraby😢😢😢😢😢
We nae mwandishu ni kenge tu eti aliyeuwa una ushahidi fala kwel
Au na wewe upo pamoja nauyo mganga muuwaji ndomana unatetea alieuuliwa angikua ndugu Yako ungesema aya
@@user-ur8cq1ye3b kwenda zako huko .....fanya Yako kwann mzee wake si mlimuua
Hawa ndio hadi wanauwa wana wao,ndugu na wazazi kisa utajiri wa upuzi....!!! Hio laki tano mbona usifanye nayo biashara.....Una bahati hukuziniwa wewe !
Iyo ni atari ubabaishaji ni wahaliyajuu
Kweli wajiga ndio waliwao
Sasa hapo kuna ushaidi gani na icho kifo, uyo kaja na yake ambayo ni ya utapeli ila sisi tunataka kusikia kuusu kifo cha yule mlinzi.
Dah😢...i dunia bana 😂😂😂🤣
Which country is this
Pugu
TUFANYE KAZI NDUGU ZANGU
KATIKA MAISHA YA UTAFUTAJI HAKUNA MIUJIZA
WASHIRIKINA NI HATARI MNo
Mh
Ila mungu fundi nyiee onaalivyoumbuka huyo geneaz
Wajua ujinga mwengine mnahoji watu baada ya matatizo kutokea ni ujinga tu.
Hyo ndo maana ya methali ya wahenga "za mwizi arobaini"..hawakusema atakuwa hajaiba, atakama kesha tenda cha msingi abainike
Subhannallah😢😢😢😢😢😢😢
Si muongo ss wenye yashatukuta g hafayii
Jamn acheni zambi tusubirien unwell wa police
Baada ya natatizo ndio mnaroppka
Rizikeni na kidogo unachopata jmn la sivyo hata hivyo vidogo mlivyonavyo mtanyanganywa na wajanja wa mjini📌
Duh!... Umetapeliwa mchana kweupeeee
😂😂😂😂😂😂😂😂
Safii kiongozi kidgo story Yako Ina huakika make na sauti yake imesikika but dada awe makini na simu yake vzr ila bro tafta ao viongozi Ili kufanya story iwe Bora zaidi ongera sana.
Uyo kiongozi sindio aliemuuwa mlinz wake kakimbia
Mbona siku zote hujatoa iyo taarifa mpk kafanya jambo
Ndiyo wakati wake hta wew sku yakufa wapo watakao ongea kuwa ulikuw mtu mwema ama mbya
Sema nini ukome pole
wanawake tunahangaika nyie yite kwasasbabu yawatu walioki nyuma yake😊
😂😂😂
Aisee dada una loho mbaya
Ni tapeli full huyo ... mtafuteni auwawe tu hamna adhabu nyingine....
Amewakomesha
jamani hivi wa Afrika tunajielewa kweli?
yaani mtu unahadi mfanya kazi wa ndani badala ufocus na job wewe unatapeliwa kijinga tu
Ebu tuhige kwa wenzetu wazungu jamani
Wapi uliskia mzungu anaenda kwa mganga ili apate pesa?
Jamani mnisamehe kama nimeongea vibaya hapa chini ya jua nguvu zako bidii yako ya kazi ndo utajiri wako
Ila binadam waongo mbona mwanzo hamkuongea leo mnampaka matope mnatafuta kiki tuu mashetani wakubwa nyie
Watz wajinga sana
Tuwe makini jamani
Wewe dada unahitaji ulinzi umemharibia mtu kazi.
😂
😢😢😢
Mandocha yakishapigwa huwa yananyoosha maelezoo?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na wewe dada sio mtu mzuri kama uyo tapeli angekwambia uwa mtu ata kwa kisu ungeuwa wewe maana kama unavosema wezio wote walikuwa waoga wewe peke yako ndoio ulifanya.
Aliibiwa akili ht usimlaumu kbs
Kweli wajinga ndio waliwao.poleni.simameni na Mungu kilakitu huja kwawakati.
😢😢
Jasiri jmn
Na bahati yako ujaenda kulala hotelini ange kulala wajinga nyie fanyeni ibada acheni ujinga
Mm nasikitika kwa Sababu ya watu waliokufa lakini kwa pesa yako kuliwa wewe Ni ngombe
Hm mmm 🤔 wa mkojani
Jama mtapelitu 😂
😂😂😂😂😂😂
Aki watanzania pooooo ati Keshi ama cash mkikuja Kenya mu make sure mnatumia kishwahili sanifu
Mh