PART1:TAJIRI MCHAWI /NILITUMWA KUMPELEKA MSANII HUYU KUZIMU BAADA YA KUKATAA KUENDELEZA MASHARTI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024

Komentáře • 93

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Před 2 měsíci +26

    Asante Sana kaka davistar kwakutukumbuka tulikua tumekumiss Sana sisi shabiki zako umetuletea story mpya🎉chukua maua yako mungu akubariki uendele kutupa story nzuri za kutufundisha🌹❤️

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  Před 2 měsíci +5

      Amen ahsante tupo pamoja

    • @sophiebanga9533
      @sophiebanga9533 Před 2 měsíci +1

      Welcome back umenona saana mtu makini

    • @jumayusuph9609
      @jumayusuph9609 Před 2 měsíci

      ​@@DavistarMataMediaDMasate sana tumekumic kaka mpka tumekonda ukipotea uwe unatuambia tusiwe na wasi wasi

    • @josephmulli37
      @josephmulli37 Před 2 měsíci

      ​@@DavistarMataMediaDM28:04

    • @maureenmwende3515
      @maureenmwende3515 Před měsícem

      Davister hii Chanel izidi kupokewa na wengi ikona mafudisho mazuri

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 Před 2 měsíci +17

    Mzee wa kazi anaonekana kuna mambo anapitia ambayo magumu sana kwasababu na hisi tangu anze ichi kipindi kunavitu vingi vibaya anavijuwa na pia na watu wanao fanya ivyo vitu vibaya pia anawajuwa kwahiyo watu wana muinda sana tumombeeni wadau

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu Před 2 měsíci +9

    Davista kanyong'onyea sana. I fell something bad had been going through him. Mungu akutie nguvu tuko pamoja.

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Před 2 měsíci +4

    Karibu sana Mtu makini ulitugaya ila ulipo tuacha hatujasogea tumekusubri kwa uaminifu mkubwa❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ Před 2 měsíci +12

    Jamani tumchangieni davista tujiongeze kaaah mpak aseme wakat katutoa mbal na katoa sana matongo tongo juu ya hii dunia

    • @mwakilamwaki1718
      @mwakilamwaki1718 Před 2 měsíci +2

      Awake namba tumsapoti davista ata elfu 5 to kwa kazi nzuri anayo fanya

    • @paustephano
      @paustephano Před 2 měsíci

      Tunaanzia wap Sasa?

    • @paustephano
      @paustephano Před 2 měsíci +2

      Mnaonaje tukatengeneza group whatsup na tutume humu link anataka atajiunga na mwenyew davista awepo then tuanze michango hapo

    • @nancyfantasia1945
      @nancyfantasia1945 Před 2 měsíci +1

      Davista anapitiaga comment kwahyo aweke namba yke tumchangie

    • @LamaribamJumbe
      @LamaribamJumbe Před měsícem

      Ni kweli kabisa

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytz Před měsícem +4

    Mbona hawezikujielezea vizuri anatafunatafuna kama mbuzi tu yani anaboa sanaa

  • @judithpraisesmusic
    @judithpraisesmusic Před 2 měsíci +1

    We have missed davistar....welcome back I am so much blessed with your work and have known a lot spiritually

  • @nalandayusuf641
    @nalandayusuf641 Před 2 měsíci +1

    karibu sana Davimastar kazi zako tuli kuwa tumesha zi kumbuka

  • @elochoyakobo7809
    @elochoyakobo7809 Před měsícem +4

    Oya davistar piga kibao Huyo jamaaa,Mtu anahojiwa anacheua Cheua na kutafuna tafuna kama mbuzi haipendezi

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 2 měsíci +3

    Michawi .mnao turogea Davistar mshindwe kabisa katika jina la Yesu

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 Před 2 měsíci +5

    DAVISTA Tunaomba utuambie wafuatiliaji wako tulio nje ya nchi nini kilikukuta mbona muda mrefu sana ulipotea tulipata wasiwasi tuambie

  • @mundhirsalum21
    @mundhirsalum21 Před 2 měsíci +4

    Story nzuri ila msimuliaji ana semulia kama ana soma gazeti
    Kama huyu story yake inafika hadi part 5 achana nayo tuwekee mtu mwengine

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 Před 2 měsíci +1

    Welcome back😊🎉from Kenya we love you TZ ❤

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Mda mlefu kweli mdogo wangu devistar sijaingia kwenye program mungu Akuongoze vizuri Ameen

  • @euphreshiaessendi2115
    @euphreshiaessendi2115 Před měsícem

    Wooooooow l had missed you aloooooooooot welcome back brother

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Před měsícem

    Maisha yanaenda kasi sana nowadays davista kaokoka

  • @JoyfulGod
    @JoyfulGod Před 2 měsíci

    Welcome back davistar mata we love you.🎉

  • @James-Jabari
    @James-Jabari Před 2 měsíci

    Mr. Facts great to see you brother.

  • @salngas902
    @salngas902 Před 2 měsíci

    Welcome back mr everything,,we missed you❤❤❤❤

  • @ambassadorkatemeambassador2840
    @ambassadorkatemeambassador2840 Před 2 měsíci +2

    Awali ya yote nipende kumshukuru Mungu, niokuona tena Mr Dm karibu

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Před 2 měsíci

    welcome back mr davi...we missed u

  • @mgalulamatongo4079
    @mgalulamatongo4079 Před 2 měsíci

    Since 2019 nafatilia story zako..wlcm again ninja

  • @mysskibe
    @mysskibe Před 2 měsíci

    Welcome back Davistar 😊😊 Hope you know you are appreciated by your online family, endelea kum expose shetani kabisa

  • @jkkim3848
    @jkkim3848 Před měsícem

    Davister amerudi mtandao 💪🏾karibu tena

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 Před 2 měsíci

    Well come back Mr. facts!!!

  • @philipomponeja2457
    @philipomponeja2457 Před 2 měsíci

    Davistar kimya sana! najuwa unamambo mengi! so tulikumic karibu

  • @user-uc1tc7jf9q
    @user-uc1tc7jf9q Před 2 měsíci

    Mungu ni mwema nimefurai kukuona tena❤❤

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 Před 2 měsíci

    glad your back

  • @patrickmaina5459
    @patrickmaina5459 Před 2 měsíci

    Welcome Mr Devistar 🤝

  • @nancyfantasia1945
    @nancyfantasia1945 Před 2 měsíci +1

    Yaan bila davista nlikua naona ata youtube haina maana una nafasi katika mioyo yetu kwa kwel🎉🎉

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 Před 2 měsíci

    ❤❤ Glad to see you...you're welcome....

  • @user-op4ue1sm9x
    @user-op4ue1sm9x Před 2 měsíci

    Asante kwa kurudi hewani davista

  • @zulekhasaud483
    @zulekhasaud483 Před 2 měsíci +2

    2024

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 Před 2 měsíci

    Binafsi nilikumiss sana Davista. Tuendeelee tulipoishia..

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 Před 24 dny

    Watu wa kanda ya ziwa wengi HAWANA UWEZO WA KUJIELEZA VZR,TOFAUTI SANA WATU WA KANDA YA PWANI,(DSM,TANGA,RUFIJI N.K)

  • @dozbilavipimocr7bilavipimo218

    Angela sana kaka🎉🎉🎉🎉😂❤

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 Před 2 měsíci

    Bora umerud

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Před 2 měsíci

    Umepotea Sana davista

  • @sistymbombo1616
    @sistymbombo1616 Před 2 měsíci +1

    Kwanini anakula wakati wa mahojiano?

  • @MawaddaKhamis-zh3kc
    @MawaddaKhamis-zh3kc Před 2 měsíci

    Wa kwanza 🎉

  • @marryjoely8091
    @marryjoely8091 Před 2 měsíci

    Aaaah hatimaye ❤

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 2 měsíci

    Safi sana

  • @user-bd6nt4yq3m
    @user-bd6nt4yq3m Před 2 měsíci

    Mkuu unatukosea sana hatukupati

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 Před 2 měsíci

    Ha unashangaa mzazi kumlipia mahali kijana wake

  • @GodwillMasige
    @GodwillMasige Před 2 měsíci

    Mtumishi kupotea kwako kumenifanya hata cm kubwa nione aina maana aisee mungu akkumbe kwa yote ktk maish yak

  • @user-fo5ox5wq6l
    @user-fo5ox5wq6l Před 2 měsíci

    Wa 3

  • @abdimohamed3953
    @abdimohamed3953 Před měsícem

    I'm back

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 Před 2 měsíci

    Duh ulipoteaga sana mkuu

  • @africanstears7755
    @africanstears7755 Před měsícem

    Waongo awa....sio bukirigulu...ni ukiligulu na haipo kahama ipo misungwi

  • @danielsteven5440
    @danielsteven5440 Před 2 měsíci

    Karb kaka

  • @florencerose859
    @florencerose859 Před 2 měsíci

    Mr facts karibu tena 💃💃💃🇰🇪

  • @user-ho2qk6oj3w
    @user-ho2qk6oj3w Před 2 měsíci

    Davister jaribu kutoa vipande hata vitatu kwa sku tuna hamu na hyo ctr.. Lkn utoaji wa kipande kmoja kwa siku hauridhish

  • @Cossan-hp6un
    @Cossan-hp6un Před 2 měsíci

    ❤❤🙏

  • @donathamwangobe2776
    @donathamwangobe2776 Před 2 měsíci

    Davista Mungu akutunze akuepushe na mabaya

  • @davidbatista7882
    @davidbatista7882 Před 2 měsíci

    Wachawi walikupoteza kwa kutoa sir zaooo chezea wachawi nn duuu aiseee na hii inawezekana isiendelee tena

  • @User92.invisible
    @User92.invisible Před 2 měsíci +1

    Twende mbele.

  • @shashemuzyo4537
    @shashemuzyo4537 Před 2 měsíci

    Mzee ulipotea. Nikawa narudia story nilizokuwa tayar nimecheki..

  • @user-nt4bl1hn9w
    @user-nt4bl1hn9w Před 2 měsíci

    Ngoja niskilize story kabla cja comment kitu🎉

  • @davidbatista7882
    @davidbatista7882 Před 2 měsíci +1

    Aiseee jamaa wewe umerudi duuu simchezo

    • @davidbatista7882
      @davidbatista7882 Před 2 měsíci

      Umetoa sana siri za wachawi wakakupotezaaa daaa ukuonekana tena

  • @rachelmsekena603
    @rachelmsekena603 Před 2 měsíci +1

    Mpaka tuliwamiss kwakweli karibuni mjengoni

  • @tututz100
    @tututz100 Před 2 měsíci

    J.B.B.1999

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 Před 2 měsíci

    Kuna jama huko kwenu amefufuka mara 5 please can you check on her ,bring her story too nimeon afri lakini si yote

  • @adamjonasi8078
    @adamjonasi8078 Před 2 měsíci

    Eeeeh afadhali aise maisha yalisha kuwa magumu alo 😅😅😅😅

  • @NajimaNichole-oz3zv
    @NajimaNichole-oz3zv Před měsícem

    Anatafuna maneno au ndo uko gamboshi walikula nyama wa watu Na pumba za kuku ulimi mzito anaboa

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Před 2 měsíci

    davi karibu shinyanga hapa story zipo kibao

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Před 2 měsíci

    Sema nn? Dav fanya mazoezi

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700 Před 2 měsíci

    Ulikuwagaa wapi kaka

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 Před 2 měsíci

    We jamaa ulitutupa sana saizi nipo sehemu ya 35 ya Wamayo aisee alijua kusimulia kama kitabu

  • @chuchetresha
    @chuchetresha Před 2 měsíci

    Back once again 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-nu3ud7ws9b
    @user-nu3ud7ws9b Před 2 měsíci

    Ndoa imeisha apa amaa