Chanzo Cha machinga ni Kodi kubwa.Machinga ni mtu anayeogopa kulipa Kodi na wanaodai Kodi wanabaki na watiifu wa Kodi Sasa wanazidisha kudai huku wakiogopa kudai Kwa machinga.Dawa punguza Kodi na maeneo yalioandaliwa Kwa ajili machinga kusiwe na Kodi yeyote ije Baadae nayo isiwe kubwa.
Tatizo ni serikali machinga wanakuja wanawangalia2 mpaka inakua kerobaya zaidi hawalipi kodi na bado barabara wanaziba magari na watembea kwa miguu inakua kero
MH. RAIS SAMIA NA VIONGOZI WAKUU WOTE NA WATENDAJI NENDENI RWANDA MKAJIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA KWA WENYE MADUKA NA MACHINGA.....MSIONE AIBU KWENDA KWA RAIS KAGAME.
Yan huyo mama kama angekuwa anazunguma akiwa hapa kariakoo Asingetoka salama. Kwa sababu anazungumza upuuzi Hao watu wa maduka wanalipia kodi ya frem mwezi 200 0000 million mbili Alaf ti machinga anakuja kwa gar alaf mfanya biashara anakuja kwa mguu
Hivi zile Pesa Wanazokopaga Kutoka Nchi Za Nje zinaendaga Wapi?Barabara Za Mwendo Kasi Ya Mbagala Paka Leo Hakuna Mabasi,Wamachinga Ndio Hao Wanalalamikiwa Leo Dah Kweli Tanzania,,
Serikali ikisha mtambua mmachinga kama muuza bidhaa anaye panga mzigo wake kwenye baraza au kandokando ya barabara Hakika ningumu kutatua changamoto baina yake na mfanya biashara. Kama mmachinga ni yule anaye tembeza vitu vyake kandokando ya barabara (not stationary ni mobile) tatizo serikali italimaliza. Anaye tembeza asibughuziwe ,ambaye ni stationary ana business premises sawa na mwenye duka. Sasa huyo aonyeshe mkataba wa kupangisha eneo alikoweka mzigo,alipishwe kodi kama kawaida au kubwa kwakumzuhia mwenzake etc. Mbona naona jambo ni rahisi. Ugumu wakutekeleza wazo hili nikwamba nikipindi kibaya cha uchaguzi
Wamachinga wataondoka iwapo watapata maduka ya jumla ambayo yatakuwa karibu na maeneo yao.Pili mmachinga ndio mnunuzi,muuzaji na pia ni mlaji wa bidhaa kwahiyo viongozi wa machinga hii ndio fulsa ya kutafuta wafanyabiashara ambao watawekeza maduka ya jumla iliwamachinga ktk mitaa yao watakayopangiwa wanunuewe hizo bidhaa.Nina Imani pakiwa na huduma muhimu ktk mitaa ya machinga hapatakuwa na maneno na machinga watahama wakiwa na amani.Nimatumaini yangu serikali ya ccm itapata mafanikio iwapo itaweka mazingara mazuri wamachinga kisiasa na kiuchumi.Kisiasa watapata kula na kiuchumi wamachinga watachangia Kodi.
Jamani embu angalieni kichwa cha huyu chalamila kwa maana ya I,Q yake nyie mnae ongea nae mmemshinda uelewa kwa kiasi kikubwa na hakuna dalili ya kuleta ufumbuzi wa tatizo lolote la kitaifa kulingana na upeo wake
Chalamila nilikuwa namwamini sana. Lakini baada ya kumsema vibaya JPM vibaya. Nilimumuona ni mnafiki na mchumia tumbo.
Mkachifunze Rwanda machinga Wana maeneno yao wamejegewa kwa kuzungusha ukuta tu
Bongo nyoso
Chanzo Cha machinga ni Kodi kubwa.Machinga ni mtu anayeogopa kulipa Kodi na wanaodai Kodi wanabaki na watiifu wa Kodi Sasa wanazidisha kudai huku wakiogopa kudai Kwa machinga.Dawa punguza Kodi na maeneo yalioandaliwa Kwa ajili machinga kusiwe na Kodi yeyote ije Baadae nayo isiwe kubwa.
Machinga waende kwenye masoko yao watoke mbele ya walipa kodi tunatoka mikowani tunakosa uhuri wa kununuwa mali
Hawa machinga wanakera mda mwingine utakuta machinga anamfata mteja hadi dukani kwako kwako kama una nyomi la wateja utakuta watano wameondokanao😅😅😅😅
Serikali ifike sehemu ijue machinga ni yule mtaji wake chini ya m1, lkn m1.5 huyo ni mfanya biashara. Fanyeni hvyo mtakuja kunishukuru
mtu unaenda kkoo lakini unajikuta unapaki posta
Na wachina wote waondokee kuuza kwenye maduka kama wazawa
Kabla ya yote, watambulike tuu ndo mwanzo Pick up wher Magufuli left off...hapo mmoja ana haki kuliko mwengine sababu hatambuliki
Na pia ni kweli machinga ndo wawe kipaumbele kwenye vizimba.
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ongea na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji, Uwanja wa Anatoglo utumike kuwandoa Machinga Kariakoo Katikati.
una akili sana, utafika mbali
machinga mna mtetez anayejua changamoto zenu, hongera kiongoz wa wamachinga
Machinga kiukweli ni kikwazo
Tatizo ni serikali machinga wanakuja wanawangalia2 mpaka inakua kerobaya zaidi hawalipi kodi na bado barabara wanaziba magari na watembea kwa miguu inakua kero
Nadhani kuna umuhimu wa kuangalia nguvu ya mnunuzi. Mnunuzi akisimamiwa awe na risit akifanya kila manunuzi,inaweza kusaidia
MH. RAIS SAMIA NA VIONGOZI WAKUU WOTE NA WATENDAJI NENDENI RWANDA MKAJIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA KWA WENYE MADUKA NA MACHINGA.....MSIONE AIBU KWENDA KWA RAIS KAGAME.
Nchi zinazoamini kuwa mwanasiasa ni mungu
Acha loho mbaya
HIVI MNATAKA WATU WASISHUSHE MIZIGO NA WASIUZE HILO NI SOKO AU NI UJINGA? SERIKALI TEGUENI HILO BOMU.
Matransporter pia ni kero mitaani
Mana ya mmachinga na mtaji wa mmachinga unaishia sh ngapi
Machinga muwapishe wafanya biashara iri maduka Yao yaonekane mjiandae kuondoka kauli ya raisi ni Sheria
Ata vyatu kariakoo dukani inauzwa 30000 na machingi wanauza 15000
Yan huyo mama kama angekuwa anazunguma akiwa hapa kariakoo
Asingetoka salama. Kwa sababu anazungumza upuuzi
Hao watu wa maduka wanalipia kodi ya frem mwezi 200 0000 million mbili
Alaf ti machinga anakuja kwa gar alaf mfanya biashara anakuja kwa mguu
Minadhani mchinga wawe na sehemu wasipange bidhaa zao mbele ya maduka ya wenzao ,!
😮😮😮
Machinga wana bana magari yanayolipa kodi za barabara
Hapo ndipo machinga wa dar watakapo mkumbuka@ Mh makonda
Boss ulikua unafoka vp tena hao mabos zako mkuu
@@EmmanuelChrispin-bo5xh kalowa mbele ya kauli ya mhe.Raisi,ndo maana si alisema ataleta polisi sasa awalete kutoa wamachinga
Acheni usenge
Hivi zile Pesa Wanazokopaga Kutoka Nchi Za Nje zinaendaga Wapi?Barabara Za Mwendo Kasi Ya Mbagala Paka Leo Hakuna Mabasi,Wamachinga Ndio Hao Wanalalamikiwa Leo Dah Kweli Tanzania,,
Ila kweli ukiwa na biashara halafu mtu aje apange mbele yako inauzi
Mchungaji chalamila hii imekaaje 😂😂😂😂
Wanataka kila kitu buree,
wamachinga oyeeee 😂😂😂
Walipee.kodi zote hao wamachinga ndo tutuendaa vizuri
Like soko la kariakoo lililounguaga nashauri lipewe wamachinga Kwa sababu machinga ni kifutio Cha Jiji na miji
Serikali ikisha mtambua mmachinga kama muuza bidhaa anaye panga mzigo wake kwenye baraza au kandokando ya barabara
Hakika ningumu kutatua changamoto baina yake na mfanya biashara.
Kama mmachinga ni yule anaye tembeza vitu vyake kandokando ya barabara (not stationary ni mobile) tatizo serikali italimaliza.
Anaye tembeza asibughuziwe ,ambaye ni stationary ana business premises sawa na mwenye duka.
Sasa huyo aonyeshe mkataba wa kupangisha eneo alikoweka mzigo,alipishwe kodi kama kawaida au kubwa kwakumzuhia mwenzake etc.
Mbona naona jambo ni rahisi.
Ugumu wakutekeleza wazo hili nikwamba nikipindi kibaya cha uchaguzi
Wamachinga wataondoka iwapo watapata maduka ya jumla ambayo yatakuwa karibu na maeneo yao.Pili mmachinga ndio mnunuzi,muuzaji na pia ni mlaji wa bidhaa kwahiyo viongozi wa machinga hii ndio fulsa ya kutafuta wafanyabiashara ambao watawekeza maduka ya jumla iliwamachinga ktk mitaa yao watakayopangiwa wanunuewe hizo bidhaa.Nina Imani pakiwa na huduma muhimu ktk mitaa ya machinga hapatakuwa na maneno na machinga watahama wakiwa na amani.Nimatumaini yangu serikali ya ccm itapata mafanikio iwapo itaweka mazingara mazuri wamachinga kisiasa na kiuchumi.Kisiasa watapata kula na kiuchumi wamachinga watachangia Kodi.
SERIKALI YA CCM INAWAOGOPA MACHINGA KWA SABABU ZA KISIASA.
Mhe mkuu.wa mkoa hawa machingaa wamezibaa njia zote wakupita,masokoo nyingi zipo tupu hawataki kulipia kodi za vizibaa
Serikali Yenu Ya CCM Ndio Chanzo Kikubwa Cha Haya Yote..
Stop being political. Be pragmatic and forthright. Acheni lugha zisizotekelezeka. Kama wanaondoka, waondokeje, lini na wapi?, period.
hiyo ngumu,2025 is around the corner 🤣
Jamani embu angalieni kichwa cha huyu chalamila kwa maana ya I,Q yake nyie mnae ongea nae mmemshinda uelewa kwa kiasi kikubwa na hakuna dalili ya kuleta ufumbuzi wa tatizo lolote la kitaifa kulingana na upeo wake
Wee unaongea uwongo mbelee ya.mhe mkuu wa mkooa,mwongooo sana lipeni kodi hatutaingilia
Watokee barabarani
Aache uongo huyo demu wa vyombo mpumbavu
Na ww nunua
😂
Machinga anaviombo vya kubeba fuso.wanajificha kupitia jina machinga.
Siasa na machinga ni samaki na maji
Machinga wanaaribu sana. Hata njia wanaziba, ni shida kwa kweli.mimi nina miaka zaidi ya mminne sijakajaga kkoo.kwa kuwa ni vurugu tupu
Tungependa pia ushiriki wa Wizara ya Maendeleo ya jamii, kwa kuwa ndio Wizara yenye dhamana ya kuratibu na kusimamia Machinga nchini
Wamachinga tuache hutani mnaharibu biashara za watu.
MACHINGA ASIZUIYE MADUKA KUINGILIKA.
HAKI IZINGATIWE.
ALIYEPA GISHA DUKA ASIZUIWE MBELE YAKE NA BIASHARA YA MACHINGA.