RC CHALAMILA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA NA MACHINGA, AAGIZA KUUNDWA KWA KAMATI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024

Komentáře • 61

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 Před 10 dny +6

    Chalamila nilikuwa namwamini sana. Lakini baada ya kumsema vibaya JPM vibaya. Nilimumuona ni mnafiki na mchumia tumbo.

  • @patrickmuvendi142
    @patrickmuvendi142 Před 10 dny +8

    Mkachifunze Rwanda machinga Wana maeneno yao wamejegewa kwa kuzungusha ukuta tu

  • @jofreyfungo1112
    @jofreyfungo1112 Před 10 dny +5

    Chanzo Cha machinga ni Kodi kubwa.Machinga ni mtu anayeogopa kulipa Kodi na wanaodai Kodi wanabaki na watiifu wa Kodi Sasa wanazidisha kudai huku wakiogopa kudai Kwa machinga.Dawa punguza Kodi na maeneo yalioandaliwa Kwa ajili machinga kusiwe na Kodi yeyote ije Baadae nayo isiwe kubwa.

  • @apolinarymboya3231
    @apolinarymboya3231 Před 10 dny +8

    Machinga waende kwenye masoko yao watoke mbele ya walipa kodi tunatoka mikowani tunakosa uhuri wa kununuwa mali

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Před 10 dny +3

    Hawa machinga wanakera mda mwingine utakuta machinga anamfata mteja hadi dukani kwako kwako kama una nyomi la wateja utakuta watano wameondokanao😅😅😅😅

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 10 dny +2

    Serikali ifike sehemu ijue machinga ni yule mtaji wake chini ya m1, lkn m1.5 huyo ni mfanya biashara. Fanyeni hvyo mtakuja kunishukuru

  • @pena_tz
    @pena_tz Před 10 dny +2

    mtu unaenda kkoo lakini unajikuta unapaki posta

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 Před 10 dny +1

    Na wachina wote waondokee kuuza kwenye maduka kama wazawa

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 Před 10 dny +2

    Kabla ya yote, watambulike tuu ndo mwanzo Pick up wher Magufuli left off...hapo mmoja ana haki kuliko mwengine sababu hatambuliki

  • @Piscesblair
    @Piscesblair Před 10 dny +2

    Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ongea na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji, Uwanja wa Anatoglo utumike kuwandoa Machinga Kariakoo Katikati.

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 Před 10 dny

    machinga mna mtetez anayejua changamoto zenu, hongera kiongoz wa wamachinga

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698 Před 10 dny +2

    Machinga kiukweli ni kikwazo

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 10 dny +1

    Tatizo ni serikali machinga wanakuja wanawangalia2 mpaka inakua kerobaya zaidi hawalipi kodi na bado barabara wanaziba magari na watembea kwa miguu inakua kero

  • @SakayaG
    @SakayaG Před 10 dny +1

    Nadhani kuna umuhimu wa kuangalia nguvu ya mnunuzi. Mnunuzi akisimamiwa awe na risit akifanya kila manunuzi,inaweza kusaidia

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 10 dny +1

    MH. RAIS SAMIA NA VIONGOZI WAKUU WOTE NA WATENDAJI NENDENI RWANDA MKAJIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA KWA WENYE MADUKA NA MACHINGA.....MSIONE AIBU KWENDA KWA RAIS KAGAME.

  • @youngsachafurniture5482

    Nchi zinazoamini kuwa mwanasiasa ni mungu

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p Před 10 dny

    Acha loho mbaya

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 10 dny +1

    HIVI MNATAKA WATU WASISHUSHE MIZIGO NA WASIUZE HILO NI SOKO AU NI UJINGA? SERIKALI TEGUENI HILO BOMU.

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Před 10 dny

    Matransporter pia ni kero mitaani

  • @WilhelmPetro
    @WilhelmPetro Před 9 dny

    Mana ya mmachinga na mtaji wa mmachinga unaishia sh ngapi

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 10 dny +6

    Machinga muwapishe wafanya biashara iri maduka Yao yaonekane mjiandae kuondoka kauli ya raisi ni Sheria

  • @muhamedbashir2661
    @muhamedbashir2661 Před 10 dny

    Ata vyatu kariakoo dukani inauzwa 30000 na machingi wanauza 15000

  • @FahadyabdallahTanzania

    Yan huyo mama kama angekuwa anazunguma akiwa hapa kariakoo
    Asingetoka salama. Kwa sababu anazungumza upuuzi
    Hao watu wa maduka wanalipia kodi ya frem mwezi 200 0000 million mbili
    Alaf ti machinga anakuja kwa gar alaf mfanya biashara anakuja kwa mguu

  • @SelemaniSelemani-bw4ps

    Minadhani mchinga wawe na sehemu wasipange bidhaa zao mbele ya maduka ya wenzao ,!

  • @user13375
    @user13375 Před 10 dny

    😮😮😮

  • @msamanga2277
    @msamanga2277 Před 10 dny

    Machinga wana bana magari yanayolipa kodi za barabara

  • @sleymanshaffih-vj5pq
    @sleymanshaffih-vj5pq Před 10 dny

    Hapo ndipo machinga wa dar watakapo mkumbuka@ Mh makonda

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Před 10 dny +1

    Boss ulikua unafoka vp tena hao mabos zako mkuu

    • @mufaddalmoawalla8522
      @mufaddalmoawalla8522 Před 10 dny +1

      @@EmmanuelChrispin-bo5xh kalowa mbele ya kauli ya mhe.Raisi,ndo maana si alisema ataleta polisi sasa awalete kutoa wamachinga

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p Před 10 dny

    Acheni usenge

  • @alvezog_3836
    @alvezog_3836 Před 10 dny

    Hivi zile Pesa Wanazokopaga Kutoka Nchi Za Nje zinaendaga Wapi?Barabara Za Mwendo Kasi Ya Mbagala Paka Leo Hakuna Mabasi,Wamachinga Ndio Hao Wanalalamikiwa Leo Dah Kweli Tanzania,,

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Před 10 dny

    Ila kweli ukiwa na biashara halafu mtu aje apange mbele yako inauzi

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 Před 10 dny

    Mchungaji chalamila hii imekaaje 😂😂😂😂

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 Před 10 dny

    Wanataka kila kitu buree,

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu Před 10 dny

    wamachinga oyeeee 😂😂😂

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 Před 10 dny

    Walipee.kodi zote hao wamachinga ndo tutuendaa vizuri

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf Před 10 dny

      Like soko la kariakoo lililounguaga nashauri lipewe wamachinga Kwa sababu machinga ni kifutio Cha Jiji na miji

  • @jovinusmutabuzi4647
    @jovinusmutabuzi4647 Před 10 dny

    Serikali ikisha mtambua mmachinga kama muuza bidhaa anaye panga mzigo wake kwenye baraza au kandokando ya barabara
    Hakika ningumu kutatua changamoto baina yake na mfanya biashara.
    Kama mmachinga ni yule anaye tembeza vitu vyake kandokando ya barabara (not stationary ni mobile) tatizo serikali italimaliza.
    Anaye tembeza asibughuziwe ,ambaye ni stationary ana business premises sawa na mwenye duka.
    Sasa huyo aonyeshe mkataba wa kupangisha eneo alikoweka mzigo,alipishwe kodi kama kawaida au kubwa kwakumzuhia mwenzake etc.
    Mbona naona jambo ni rahisi.
    Ugumu wakutekeleza wazo hili nikwamba nikipindi kibaya cha uchaguzi

  • @KarumeKindamba-lk1px
    @KarumeKindamba-lk1px Před 10 dny

    Wamachinga wataondoka iwapo watapata maduka ya jumla ambayo yatakuwa karibu na maeneo yao.Pili mmachinga ndio mnunuzi,muuzaji na pia ni mlaji wa bidhaa kwahiyo viongozi wa machinga hii ndio fulsa ya kutafuta wafanyabiashara ambao watawekeza maduka ya jumla iliwamachinga ktk mitaa yao watakayopangiwa wanunuewe hizo bidhaa.Nina Imani pakiwa na huduma muhimu ktk mitaa ya machinga hapatakuwa na maneno na machinga watahama wakiwa na amani.Nimatumaini yangu serikali ya ccm itapata mafanikio iwapo itaweka mazingara mazuri wamachinga kisiasa na kiuchumi.Kisiasa watapata kula na kiuchumi wamachinga watachangia Kodi.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 10 dny

    SERIKALI YA CCM INAWAOGOPA MACHINGA KWA SABABU ZA KISIASA.

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 Před 10 dny

    Mhe mkuu.wa mkoa hawa machingaa wamezibaa njia zote wakupita,masokoo nyingi zipo tupu hawataki kulipia kodi za vizibaa

  • @alvezog_3836
    @alvezog_3836 Před 10 dny

    Serikali Yenu Ya CCM Ndio Chanzo Kikubwa Cha Haya Yote..

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson Před 10 dny

    Stop being political. Be pragmatic and forthright. Acheni lugha zisizotekelezeka. Kama wanaondoka, waondokeje, lini na wapi?, period.

    • @pena_tz
      @pena_tz Před 10 dny

      hiyo ngumu,2025 is around the corner 🤣

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Před 10 dny

    Jamani embu angalieni kichwa cha huyu chalamila kwa maana ya I,Q yake nyie mnae ongea nae mmemshinda uelewa kwa kiasi kikubwa na hakuna dalili ya kuleta ufumbuzi wa tatizo lolote la kitaifa kulingana na upeo wake

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 Před 10 dny

    Wee unaongea uwongo mbelee ya.mhe mkuu wa mkooa,mwongooo sana lipeni kodi hatutaingilia

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 Před 10 dny

    Watokee barabarani

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy

    Aache uongo huyo demu wa vyombo mpumbavu

  • @benardmwinuka6948
    @benardmwinuka6948 Před 10 dny

    Na ww nunua

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před 10 dny

    😂

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 Před 10 dny +2

    Machinga anaviombo vya kubeba fuso.wanajificha kupitia jina machinga.

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 Před 10 dny +1

    Siasa na machinga ni samaki na maji

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před 10 dny

    Machinga wanaaribu sana. Hata njia wanaziba, ni shida kwa kweli.mimi nina miaka zaidi ya mminne sijakajaga kkoo.kwa kuwa ni vurugu tupu

  • @yahayammbaga1839
    @yahayammbaga1839 Před 10 dny +1

    Tungependa pia ushiriki wa Wizara ya Maendeleo ya jamii, kwa kuwa ndio Wizara yenye dhamana ya kuratibu na kusimamia Machinga nchini

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 Před 10 dny +5

    Wamachinga tuache hutani mnaharibu biashara za watu.

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o Před 10 dny

    MACHINGA ASIZUIYE MADUKA KUINGILIKA.
    HAKI IZINGATIWE.
    ALIYEPA GISHA DUKA ASIZUIWE MBELE YAKE NA BIASHARA YA MACHINGA.