NONDO ZA PROF. KABUDI, BUNGE LAZIZIMA, ZUNGU AMWITA MBELE, ALIYESIMAMA KUTOA TAARIFA "KAA CHINI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 95

  • @yuvenalalphonce5978
    @yuvenalalphonce5978 Před 6 měsíci +1

    My own brilliant Kabudi.!🎉🎉 always at back bench😅

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 Před 6 měsíci +1

    Super mind Prof kabudi I am proud of you always be blessed

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 Před 7 měsíci +5

    Mzee wa ccm wa miaka mingi sana mungu akubaariki kwa umri mrefu uloutumia kuitumikia Tanzania mungu akuweke na akujaalie mwisho mwema .....aamin

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 6 měsíci +3

    Wewe ni mhadhiri wa kweli ❤❤❤❤

  • @user-pi7vl9ub5j
    @user-pi7vl9ub5j Před 7 měsíci +8

    Mimi huyu mzee namkubali,anafaa kuwa chochote nchini

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 Před 7 měsíci +6

    Mwanasheri msomi.Uko safi..

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo Před 7 měsíci +3

    Hongera mnajimu wa Sheria Tanzania. Ni muhimu Bunge likamtumia Prof. Kuelimisha wabubge ambao hawakubaharika kuimanya sheria katika uongozi wa nchi yetu. Lengo ili wajenge uwezo wa kuhoji baadhi ya miswaada kabla ya kusema ndiyooo?!

  • @user-mv9mr8st6h
    @user-mv9mr8st6h Před 7 měsíci +5

    Huyu ni Prof.

  • @GodwineMuchunguzi
    @GodwineMuchunguzi Před 6 měsíci +1

    Mzee kabudi mungu akujalie mengi zaidi

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Před 7 měsíci +5

    Professor ni professor tu.

  • @ennatharogers1790
    @ennatharogers1790 Před 6 měsíci

    Ahsante sana prof kwa hilo la Spika kuwa mwenyekiti wa uchaguzi na naibu spika kuwa mkurugenzi wa uchaguzi

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 Před 6 měsíci +1

    sawa muwe waminifu isiku mukifa mukamwone Mungu siyo kuwatesa cha dema kabudi kwa maneno yako utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa jitaidi uwe mwaminifu hata kufa na Mungu atakupa tali ya uzima

  • @gaspermatovu2899
    @gaspermatovu2899 Před 7 měsíci +9

    Mzee kwenye mikataba ya bandari sikukusikia ukitoa madini, ILIKUWAJE?

  • @valerianbalasta1711
    @valerianbalasta1711 Před 7 měsíci +3

    Mzee,hakika una hekima na busara kubwa ndani ya nchi hii.

  • @stephengilla8417
    @stephengilla8417 Před 6 měsíci

    Uko sahihi sana Prof Kabudi. Kwa sababu hauko very biased. Kwa mujibu wa speech yako.

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 Před 6 měsíci +3

    Huyu ndiye aliye okotwa jalalani na Magu?

  • @user-xf7tl8jq9v
    @user-xf7tl8jq9v Před 7 měsíci +5

    Ww ndooo unatakiwa uwe wazr wakatiba na sheria

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
    @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu Před 7 měsíci +2

    Kaka pole sana

    • @isaacalex6327
      @isaacalex6327 Před 6 měsíci +2

      masikini anatamani kutenda mema ila amezungwa na watu wasio penda hiki

  • @barnabasngungo3521
    @barnabasngungo3521 Před 7 měsíci +4

    Professor Kabudi wewe ni miongoni mwa tunu za Nchi zilizopo

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c Před 7 měsíci +1

    Mama Kuna siku atakukumbuka Mzee wetu💯

  • @dicksonjailos670
    @dicksonjailos670 Před 7 měsíci +8

    Kwaspichi tu, unajitahidi

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Před 6 měsíci +1

    Wasomi hawajawahi kulisaidia hili Taifa.CCM imemeza mfumo wote wa wasomi kusaidia nchi

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b Před 7 měsíci +2

    Ukisoma katiba inaelekeza vizuri ila watendaji wa chini wanatukandamiza sana maskini.

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 Před 6 měsíci +2

    Power corrupts completely

  • @jerome3143
    @jerome3143 Před 7 měsíci +3

    mnataka afukuzwe kwenye chamanini ukinguzia kadi unaitwa kwenye kamati kuu ya ccm

  • @herryochola2650
    @herryochola2650 Před 6 měsíci

    ASANTE MZEE KABUDI KWA ELIMU HII.

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 Před 6 měsíci +1

    Wabunge wengi watoro .Wamedharau misuada au hawajui sheria au wanazunguka majimboni kwao?

  • @jamesmushi199
    @jamesmushi199 Před 7 měsíci +2

    Uyu akili Bado ya zamani anahangaika na katiba za 60s kaagizwa kupiga kelele apo cheche ziko wapi ww nae n mse.. g mwandishi

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y Před 7 měsíci +2

    Uwezi amini kama huyu ndiyo kabudi yule wa chuo kikuu aliyokuwa anataka katiba mpya

  • @user-ym3qt5fd2u
    @user-ym3qt5fd2u Před 7 měsíci +1

    Bunge halinog bila wapinzsn,ccm wrote lazima wakubali tu watakastaaje na ni wao wameleta mswada bungeni,

  • @zakaria924
    @zakaria924 Před 6 měsíci

    Kupongezana kwenu kwa kila jambo ndiko kumetufikisha hapa tulipo😭😭

  • @yomseyyomsey5114
    @yomseyyomsey5114 Před 6 měsíci

    Prof; Kabudi mbwembwe Nyingi Ubovu wa UNAUJUA Vizuri sana Katiba hii ya 1977 iliyopo Haifai kwasasa Tunataka Katiba Mpya Isiyo na Kinga kwa Viongoz NA Mihimili yetu Kama BUNGE NA MAHAKAMA Ipewe Nguvu na Kuwajibika IPASAVYO Kwaajili ya Taifa na Sio Kuwajibika kwa SERIKALI

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh Před 7 měsíci +1

    Kichwa hicho.

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 Před 6 měsíci

    Je Wakurugenzi huwa ni waadilifu? Hilo ndilo swali la msingi,wanaengua vyama Vingine,lakini hawahengui wa chama Chao,ndiyo kusema wa chama Chao tuu ndio huwa wapo sahihi?

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 Před 7 měsíci +2

    ***Sasa hapo ndiyo nashindwa kuelewa mifano ya kizungu haina tija***

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h Před 6 měsíci

    Kabudi oyeee

  • @noelorgenes8738
    @noelorgenes8738 Před 6 měsíci

    Hueleweki mzee,,,tunataka katiba mpya yenye meno,,

  • @maselemaziku4875
    @maselemaziku4875 Před 7 měsíci +1

    Nilizan unazungumuzia kwann umeme haupatika kwa wingi

  • @HabeshOmer-ho1jk
    @HabeshOmer-ho1jk Před 7 měsíci

    Oh

  • @rugemalilalucas4533
    @rugemalilalucas4533 Před 7 měsíci

    Not yet Uhuru. By Prof. Kabudi.

  • @nicodemashaggite8429
    @nicodemashaggite8429 Před 7 měsíci +1

    Nakupenda TU Mzee wangu,
    Wacha wakuweke nyuma

  • @ellymaz2187
    @ellymaz2187 Před 6 měsíci

    Watu mahiri hawapati nafasi, halafu kuna watu wasiostahili wanashikilia nyadhifa muhimu.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 6 měsíci

    Je nchi zingine zimewezaje kupata tume huru za uchaguzi na zikafanya vizuri.

  • @frankbangimoto3462
    @frankbangimoto3462 Před 6 měsíci

    Hiyo ni shule kubwa mno ameitoa hapo mwalimu,prof.Kabudi

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 Před 7 měsíci +1

    Nani? Huyu si ndo yule aliyetolewa matopeni. Na kwa kujikomba kwa Magufuli kwa kumwiita MUNGU. Dhambi hiyo haitamuacha bure, lazima imuhukumu tu.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 6 měsíci

    Bila kuweka vizuri msimamizi huru wa uchaguzi atakayeweza kumtangaza bosi wake kuwa kashindwa ndio hoja kubwa. Je wateule wako tayari kutangaza matokeo endapo aliyemteua atashindwa?

  • @doiabel3793
    @doiabel3793 Před 6 měsíci

    Mzee huyu ninampenda sana hasa pale akiwa anafafanua mambo na uongeaji wake

  • @shamtenyambega2944
    @shamtenyambega2944 Před 6 měsíci

    KWENYE MIJADALA YETU,
    Mtukumbuke na sisi wafanyakaazi binafsi , KANUNI zinatunyima michango yetu

  • @msomaliwilliam
    @msomaliwilliam Před 7 měsíci

    Wewe mheshimiwa zungu ulikija na na waziri mwiguru ukonga kipunguni pamoja na mmbuge bona kimori kuongea na wananchi wa ukonga kipunguni kuhusu kulipwa fidia kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa dar es salaam. Je. Umkumbshi mwenzio haadi yake. Au na wewe ndiow walewale ambao hamjali maisha ya wananchi wa Tanzanian.

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8k Před 7 měsíci

    Naona maigizo tu,,,, tunataka tume huru ya UCHAGUZI SIO TUME ILIYOTEULIWA NA RAIS,,,TUNATAKA KATIBA MPYA ,,,HAPO KIKAO HICHO SI HALALI KWASABABU NYIE HAMUWEZI KUWAKILISHA KUNDI KUBWA LA WANANCHI MUMEINGIA BUNGENI KWA KUPORA UCHAGUZI,,,

  • @user-he5hp9uu1k
    @user-he5hp9uu1k Před 6 měsíci

    MBUNGEWANGU WA KILOSA KICHWA HIKO KIPO KWENYE UKWELI TUU HATA MAGUFURI ALIMJUA

  • @edwardpaulo3351
    @edwardpaulo3351 Před 7 měsíci

    Hivi huwa mtu ukisha kuwa ccm hakili zako sinaingiwa chenga chenga au maana huyu kabudi ndoalikuwa mstali wambele kutaka katiba leo anawenge😅

  • @filbertkumburu8015
    @filbertkumburu8015 Před 7 měsíci

    Uprofesa sio wa tija.

  • @user-tu2ts1ub9o
    @user-tu2ts1ub9o Před 7 měsíci +1

    Amna kitu apo porojo izo

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Před 7 měsíci

      Huwezi kuelewe kitu wewe kichwa kikubwa professor kabudi twamuelewa sisi......

  • @pastorybahinyuye4876
    @pastorybahinyuye4876 Před 7 měsíci

    Umetoka jaralani mungu wako alisha toka.

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 Před 7 měsíci

    Yan tangu umshauri magu awafutie makampun mikataba ndio watu hawakukuelewa tena

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa7697 Před 7 měsíci +2

    Huyu Ndio Mtanzania halisi jasiri asiyeogopa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 6 měsíci

    Mjadala mkubwa ungejikita tunapataje tume huru. Mf CAG yuko huru.

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph5946 Před 7 měsíci

    Hivi kwa Hali hii wazee hamna haya nchi inaangamia kwa uongo uliozedi

  • @TeophilBuilding
    @TeophilBuilding Před 7 měsíci

    Tangu afe magufuri kabudi wanakuwek nyuma san uku kun nn ndani? Mbn enzi hizo ulikua mbele zaid kila alipo magu upo kushoto kuna vya kuviangamiza lakin hili hawana haya

  • @stevenghambi3471
    @stevenghambi3471 Před 7 měsíci

    Haisaidii ccm ni ccmtu

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 7 měsíci

    Viongozi inatakiwa kuwa wabunifu siokutegemea mshahara tu tatueni kero za wa fanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya arusha

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 Před 6 měsíci

    Proffesor.wa majalalani

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 Před 6 měsíci

      Historia ikishajiandika kuifuta taabu. Hata ukienda kaburini.

  • @filbertkumburu8015
    @filbertkumburu8015 Před 7 měsíci

    Mzee wa jalalani.

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 Před 6 měsíci +1

    Huyu amekua kinyonga

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Před 7 měsíci +3

    Kabudi huna jipya

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 Před 6 měsíci

    Porojo tu

  • @user-rq3ic3mt2j
    @user-rq3ic3mt2j Před 7 měsíci

    Atakuwa kachukua chake mapema asubuhi

  • @athumanikagimbo3396
    @athumanikagimbo3396 Před 7 měsíci +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👍👍👍💯💯💯💯

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 Před 7 měsíci

    Uchafuzi si uchaguzi

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 7 měsíci

    Coment cha chema utazijua tu

  • @hassankurwa464
    @hassankurwa464 Před 7 měsíci +3

    Huyu ni mwana Sheria mzalendo na mkweli lkn mijitu corrupt haiwezi kumuelewa.
    Huyu ana MISIMAMO kwakuwa anajua.
    TANZANIA tunahitaji watu wanao ijua historia ya hii nchi.
    Elimu tosha Speech zake.

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 7 měsíci

    Nchi yetu Haina sababu ya kuwa na mgao wa umeme tuna mito mingi sana tuna ziwa Victoria Tanganyika nyasa mungu atupe Nini

  • @mussalimbe6673
    @mussalimbe6673 Před 7 měsíci +1

    Huyu Mzee ndo mwanasheria sasa acha wanasheria uchwara

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 Před 6 měsíci

    Kwisha kabisa kabudi zero

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před 7 měsíci +1

    Huyu ni fisi tu hamna lolote

    • @Jal210
      @Jal210 Před 7 měsíci

      Fisi wewe na baba yako

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před 7 měsíci

    They talk too much with no effort

  • @noelorgenes8738
    @noelorgenes8738 Před 6 měsíci

    Hueleweki mzee,,,tunataka katiba mpya yenye meno,,

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 Před 7 měsíci +1

    ***Sasa hapo ndiyo nashindwa kuelewa mifano ya kizungu haina tija***

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 6 měsíci

    NASHANGAA KAMA SIYO KUPANGWA NI NINI? MTU HATA HAJAELEWEKA ANAITWA NJOO MBELE! 😂 SISI TUNATAKA UCHAGUZI WA HAKI NA KATIBA MPYA ILE MNAYOIOGOPA SIYO HII MNAYOIPENDA. UZARENDO UTAPATIKANA TUKIWA NA KATIBA YENYE MENO IMARA.