Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 04. 2017
  • Bunge lilimepitisha mapendekezo ya mapato na matumizi ya wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2017/18 huku waziri mwenye dhamana Prof Palamagamba Kabudi akitumia muda mwingi kutoa somo la sharia bungeni.

Komentáře • 243

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 Před 4 lety +90

    Mbona sisikii "Taarifa Mheshimiwa Mwenyekiti" 😂😂😂😂 Watu wanaogopa kuumbuliwa na Professor🤣🤣🤣
    Kama unamkubali Professor Kabudi, Gonga like twende sawa!

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 Před 4 lety +118

    Wanaofuatilia speech za Mh.Kabudi baada ya BBI Kenya tujuane.

    • @nicholasmaina7775
      @nicholasmaina7775 Před 4 lety +2

      Huyu waziri anafaa awe rais wa Africa mashariki he is a great Man I like him very much

    • @eng.lameckkagaali4814
      @eng.lameckkagaali4814 Před 3 lety

      Í

    • @isaacmboya1719
      @isaacmboya1719 Před 3 lety +1

      Isaac mboya naomba mungu anisaidiie kumuelewa professor kabudi

    • @isaacmboya1719
      @isaacmboya1719 Před 3 lety +1

      Watu kama kabudi walikuwa wapi

    • @isaacmboya1719
      @isaacmboya1719 Před 3 lety +1

      Kumbe shida ni uelewa wetu nikiwemo na mimi profferser unastahili heshima upewe aman ya moyo appreciate that we fight because we differ in our level of understanding proffer never give up tupo tayari kujifunza

  • @romanstephen4101
    @romanstephen4101 Před 5 lety +49

    Huyu Prof. Namkubali sana, ni moja kati ya watu muhimu sana kwa taifa

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Před 7 lety +25

    Wanadhani kubaghazana ndio kushinda hoja au kuonekana kuwa umeongea. Ahsante sana Pro. Palamagamba. Longalonga za hovyo zinaweza kupungua na hawa watu kuheshimiana.

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 Před 6 lety +32

    Nimejiona niko darasani uko vizuri mimi nikati ya watu nisiopenda wanaoongea kwa sauti bali HOJA na WELEDI Mzee uko vizuri....

  • @andreajeremia436
    @andreajeremia436 Před 5 lety +10

    Yaani Prof Kabudi ni kichwa kweli kweli,ni mtu mwenye historia ya nchi hii ya ndani sana,na anayethubutu kuisema

  • @nicholasmaina7775
    @nicholasmaina7775 Před 4 lety +9

    Tanzania you have a great Man very smart and a teacher he is a true leader

  • @bobwanjala1401
    @bobwanjala1401 Před 4 lety +3

    Profesa Kabudi Palamagamba ni msomi na ana ustadi ya hali ya juu. Umakinifu wake haulinganishwi na yeyote. Mzee amekalia kigoda, mtii. Kongole kwako guru Kabudi. New York, Marekani tuko nawe mwalimu.

  • @nyabittanervar1315
    @nyabittanervar1315 Před 5 lety +24

    Ni kati ya Mawaziri bora wa Sheria waliowahi tokea Tanzania''' wengi wanasoma sharia ila kupambanua wengi hawewezi'''''

  • @philipobenson1410
    @philipobenson1410 Před 5 lety +15

    Kabudi ni jembe sana, nachompenda huyu mzee ni kwamba huwa anatoa elimu kwanza ndo naenda kwenye hoja.

  • @godifalsafa6956
    @godifalsafa6956 Před 4 lety +6

    Huyu professor huwa anaongea kwa KUWAFUNDISHA HAKIKA NI PROFESSOR 🔥🔥🔥🔥

  • @isaacmboya1719
    @isaacmboya1719 Před 3 lety +2

    Asante baba unastahil heshima kumbe shida, ni uelewa wetu nikiwemo na mimi I appreciate that we fight because we differ in the Level of understanding

  • @mkomatembo
    @mkomatembo Před 5 lety +5

    Safi sana Profesor Kabudi Waziri wa Sheria Wafungue macho wailewe Sheria na Unaifahamu Kinagaubaga. Upo Vizuri. Sana. Hata Wabunge Wa Upinzani Wanakuitika kwa Heshima na Adabu.

  • @augustinomariano1764
    @augustinomariano1764 Před 7 lety +32

    hapa ndipo unapojua kuna wazee wengine wapo mle bungeni wakubwa miili tuu, yani vitu muhimu vinaongelewa na kutolewa elimu bado WANABEZA yani kuna wamama wanapiga tu kelele hapa ndipo unapojua kuna waheshimiwa wengine their level of appreciation of issues is DIMINISHING...

    • @emanuelmlowe6854
      @emanuelmlowe6854 Před 5 lety

      augustino Mariano yuko vizuri sana

    • @emanuelmlowe6854
      @emanuelmlowe6854 Před 5 lety +2

      augustino Mariano mimama mingine inapiga kelele kama wako bar ya mbege

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Před 3 lety +4

    Hivi Ni vichwa vichache vilivobaki Mungu akulinde vema

  • @samwelmaburi3522
    @samwelmaburi3522 Před 4 lety +5

    Tanzania one kabudi bigup sanaa!!!.

  • @levinekalikuela4916
    @levinekalikuela4916 Před 4 lety +10

    Thank you sooo much Professor. You are at the point. What is lacking in the country is poor education and Spirit of humour among the people. Educate and Train them. We shall be transformed. Congratulations for your brain.

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband Před 5 lety +4

    Mungu Akubariki kwa somo ulilosaidia Wabunge siku hii, Mimi nimekuwa muumini wa kukufuatilia speech zako I guess utakujakuwa zaidi ya Msaada kwa nchi yetu, Heshima kwako Kiongozi.

  • @allymllanzi4245
    @allymllanzi4245 Před 6 lety +12

    Natamani siku moja nikutane na pro kabudi

  • @kamejathegreat689
    @kamejathegreat689 Před 6 lety +6

    aiseee,,waziri kabudi uko makini, vizuri sana

  • @mikelmasanja2522
    @mikelmasanja2522 Před 5 lety +10

    Halima mdee kama namuona vile alivyonywea kisura kimekuwa kidogo kama piritoni huyo ndiye professor wa Sheria na mwalimu wako tulia ujifunze usiwe unapiga kelele tu.

  • @hassanhasano6201
    @hassanhasano6201 Před 6 lety +7

    Safi professor wape elimu waelewe

  • @sabihimngetuka6971
    @sabihimngetuka6971 Před 6 lety +15

    Ukiona kimya vitu vinaingia

  • @nkyabosi4827
    @nkyabosi4827 Před 4 lety +7

    Damn he’s a true professor

  • @mariethaawaki3008
    @mariethaawaki3008 Před 7 lety +10

    sina la kuongeza,heshima kwako mzee tunakuombea na uendelee kutuelimisha

  • @frankmusa808
    @frankmusa808 Před 7 měsíci +1

    Taarifa mweshimiwa

  • @isaacbhudoma8750
    @isaacbhudoma8750 Před 3 lety +5

    The living encyclopedia 😘😘

  • @barryryoba1489
    @barryryoba1489 Před 4 lety +1

    Asante Sana RAISI WANGU NDUGU MAGUFULI Kwa Kumuona Huyu Prof Kabudi Na Kumteua Kua Mmoja Wa Mawaziri Ktk Serikali Yako.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před rokem

    Good job MUHESHIMIWA we ❤u Dr. Yote ni mazuri na tunatoa shukrani nyingi tumekuelewa KIONGOZI. Thanks so much

  • @nuhubalandya9164
    @nuhubalandya9164 Před 5 lety +4

    Mzee uko vzr sana Leo nimekuelewa.

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 Před 4 lety +2

    Heshima kwako Prof. Unastahili nafasi hiyo uliyonayo. Mungu akupiganie

  • @josephkaimenyi4613
    @josephkaimenyi4613 Před měsícem

    Uyu proffesor anafaa akue Rais wa tanzania

  • @hasionshekiondo6680
    @hasionshekiondo6680 Před 4 lety +4

    prof kabud ni mtu mwenye hekma zake na mtu anaefanya kitu ambacho anakitambua ila kuna wengine humoo acha tukae kimya wanakaz ya kushangilia na kupiga makosi alafu ni 0 tu

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 Před 3 lety +2

    I salute you A ''Cardinal Professor''

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Před 5 lety +8

    huyu ni rais ajae

  • @emanueljoshua9393
    @emanueljoshua9393 Před 4 lety +6

    Aaah muzee wewe material

  • @jeremiahagrrey1147
    @jeremiahagrrey1147 Před 3 lety +3

    MAY GOD PROTECT YOU OUR FUTURE MAGUFULI AMEN .

  • @deogratiuswilson8994
    @deogratiuswilson8994 Před 7 lety +20

    Tunahitaji watu kama hawa bungeni, sio vinginevyo.

    • @majurakiboga3430
      @majurakiboga3430 Před 7 lety +1

      Deogratius Wilson broo inabid aserch wengine tena ktk profession zingne ili kila wizara kuwe na kichwa

  • @paulotarimo206
    @paulotarimo206 Před 3 lety +2

    N kiongozi mzuri Sana

  • @phillipianboy9069
    @phillipianboy9069 Před 4 lety +5

    Kutoka kenya mpaka bungeni nimetokea kumkubali sana huyu prof hatare

  • @jumamavind7713
    @jumamavind7713 Před 3 lety +1

    Profesa Kabudi nijembe jingine la watanzania,tumtumie vizuri

  • @frankmusa9254
    @frankmusa9254 Před 5 lety +2

    vizuri sana mhe.prof palamagamba kabudi kwa ufafanuzi mzuri .

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 5 lety +6

    Kabudi unajua

  • @mgosimungkwanzmsambaa2492

    Kwakweli ktkt mawazili wote nnaowakubali plo kabudi nakukubali san wew nizaid ya geneaz asante san mungu akubaliki san ktk safali ya maisha yako. Mungu ibaliki tanzania mungu wabaliki viongozi wetu

  • @kiwisesenior4273
    @kiwisesenior4273 Před 6 lety +8

    uko vozuri saana waziri

  • @josephkafumu3006
    @josephkafumu3006 Před rokem

    Daaaa nakukubali sana mzeee wangu mungu akupe maisha malefu tuendelee kujifunza mambo mengi toka kwako

  • @shedeck8974
    @shedeck8974 Před 3 lety +2

    Huyu jamaa anajua aisee...

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 2 měsíci

    Kama ibara ya 8 ya katiba ya URT inaheshimiwa watekelezewe matakwa ya katiba ya umma ( katiba watakayoshiriki wote kuitunga na kuipitisha kwa umoja wao). Maneno huumba. Tuombe Mungu Mh Prof uyaone ungali hai.

  • @ufunuoeliya7868
    @ufunuoeliya7868 Před 5 lety +8

    jamaaa Kichwa duu

  • @richardkamenya3228
    @richardkamenya3228 Před 6 lety +3

    Ili kuweza kufukikua hatua yoyote ile ya mafanikio ni muhimu kufahamu kanuni au sheria za asili zinazotawala matokeo unayotarajia na kufahamu historian ya jambo lolote ni muhumili mkuu was kujenga hoja zenye mashiko tujenge tabia yakusoma ili kujenga hoja zenye mashiko Big up My Role Model Pro Kabudi

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 Před 5 lety +6

    Wabunge vilaza wanatumia madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!

  • @nelibaba
    @nelibaba Před 7 lety +15

    Tanzania inaelekea mahala pazuri

  • @franktimothkisimbo5354
    @franktimothkisimbo5354 Před 4 lety +2

    Daah nondo nzuur saan hasa kwa walimu wa uraia,civics na general study

  • @mariethaawaki3008
    @mariethaawaki3008 Před 7 lety +12

    uprofesor wako ni wa halali.

  • @nkyabosi4827
    @nkyabosi4827 Před 4 lety +4

    Yani mpaka spika anatabasamu hi ni lecture kweli

  • @chia9963
    @chia9963 Před 7 lety +21

    hiki nacho nikichwa

  • @ConrardSondas
    @ConrardSondas Před 4 lety +2

    Profesa uko vizuri

  • @ahmedjamal5084
    @ahmedjamal5084 Před 6 lety +11

    Prf nakuheshim saaaaaaaana hii hotuba nairudia nakurudia umetoa elimu kubwa mno

  • @florafilbert9817
    @florafilbert9817 Před 4 lety +6

    Ndo raha ya kuwa na wasomi

  • @linkreuben5804
    @linkreuben5804 Před 4 lety +2

    Jamaa somi sana, limeenda shule
    Anafaa kuwa kiongzi Tanzania!

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 Před 3 lety +3

    Nimerudi hapa baada ya kuona huyu ndo anafaa kuwa makamu wa raisi Tanzania baada ya jpm kulala.

  • @vstvst3135
    @vstvst3135 Před 3 lety +1

    Kabudi for president.

  • @lupakisyomsese8210
    @lupakisyomsese8210 Před 6 lety +7

    Baba kiukweli unaimudu nafasi uliyopewa

  • @busegamediatanzania
    @busegamediatanzania Před 4 lety +3

    Embu sema Palamagamba Kabudi

  • @davidmrisho7588
    @davidmrisho7588 Před 2 lety

    Huyu mwamba mungu ampe maisha maref anafaida kubwa kwa nnchi yetu

  • @abdulkarimurassa3548
    @abdulkarimurassa3548 Před 4 lety +6

    Huyu jamaa yuko makini sana, uprofessa wake ni wa uhakika

  • @barakangogo7391
    @barakangogo7391 Před 7 lety +11

    paramagamba anatisha kuna wabunge wanasheria walikuwa wnapotosha uma

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 Před 5 lety

      Sababu ya madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!

  • @mako331
    @mako331 Před 7 lety +9

    tuna wabunge wengi hawana uelewa kabisa wa katiba, safi Jpm kutuletea wasomi humu, sio porojo

  • @jumadema7646
    @jumadema7646 Před 4 lety +5

    Wape shule hao jamaa zetu!

  • @ConfusedDaisies-rb5
    @ConfusedDaisies-rb5 Před 5 měsíci

    Safi sana prof

  • @apostlelukumay1856
    @apostlelukumay1856 Před 3 lety

    Ahsante Sana Mh; Prof Kabudi kwa elimu teule

  • @benochengele2296
    @benochengele2296 Před 4 lety +4

    You were there When the Law was Law and when the President was President!

  • @romeraphael6472
    @romeraphael6472 Před 5 lety +3

    Naonaga unaongea points sana sijui ni nini adi naisi unazungumza ukwel mm sio mwana CCM

  • @tonynuru435
    @tonynuru435 Před 4 lety +5

    NOW NDO NIMEPATA JIBU KWANN MUUNDO WA BENDERA YETU YA TAIFA INAFANANA NA MUUNDO WA NCHI YA TRINIDAD AND TOBAGO 🇹🇹🇹🇹 !!

  • @kagamedimaria4787
    @kagamedimaria4787 Před 3 lety +3

    Jamaa anatosha kua naibu rais wa tz

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 Před 3 lety +2

    Msidhani Raisi ni binadamu mmoja anayetembea la hasha ! Raisi ni Taasisi imekaa vyema mno

  • @eastafricabrokerkiller8028

    Kabudi kweli umenifurahiaha

  • @kulwaswetu4457
    @kulwaswetu4457 Před 3 lety +1

    Hv haowabunge waupinzani huingia bungeni wakiwa wamelewa? Au ilimladi wapate posho?

  • @andrewndambuki2207
    @andrewndambuki2207 Před 4 lety +2

    Great legal mind

  • @michaelmathew8309
    @michaelmathew8309 Před 5 lety +2

    Umenifundisha kitu pro.Kabudi

  • @khalidawadh9352
    @khalidawadh9352 Před 2 lety

    Hongera pro kwa lecture

  • @abdillahkhamis2059
    @abdillahkhamis2059 Před 2 lety

    Nakubali kazi professor wewe ni mtu mahimu cn katika taifa letu

  • @sdawalokole9489
    @sdawalokole9489 Před 7 lety +14

    kubaghazana.........kabudi oyeeeeeeee

    • @majurakiboga3430
      @majurakiboga3430 Před 7 lety

      Tigahwa Mugongo lissu na wanasheria uchwara vichwa chini

  • @thefeedstv9762
    @thefeedstv9762 Před 4 lety +2

    we spoke when the law was low and when the president was president

  • @jumakatema6348
    @jumakatema6348 Před 5 lety +5

    Rais ni tasisi. huyu mtu sio wa kawaida

  • @harunilibangite7205
    @harunilibangite7205 Před 3 lety +1

    Sasa waziri wa mambo ya nje ni nan kama huyu ni wa katiba na sheria tena !!!??

  • @henrickchambilo4806
    @henrickchambilo4806 Před 5 lety +4

    Naelewa professor

  • @bellutbellut3049
    @bellutbellut3049 Před 3 lety +1

    Prof Kabudi anafaa kuwa makamu wa Rais wa Tz .

  • @schoolboy1614
    @schoolboy1614 Před 4 lety +2

    Zawad ya taifa prof palamagamba

  • @redmondmulilo174
    @redmondmulilo174 Před 6 lety +4

    iyo nafasi ya waziri mku angegombea ichocheo cha uwaziri mku ndani ya bunge kama sipa alafu awemtendaji kweli wa serikali. make mda wowote anafukuzwa kazi na rais. alakini sipika wa bunge hawezi kufukuzwa kazi na rais

  • @zebedayophilimon7834
    @zebedayophilimon7834 Před 3 lety +1

    Kumbe jamani kabudi ni jembe Kia's hiki 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏

  • @fanbullalukasa486
    @fanbullalukasa486 Před 4 lety +1

    Ukiona wabunge wasumbufu wasomi wamekaa kimya ujue somo limeingia hapo wapinzani nimewakubari kwa uturivu na ndio maendeleo safi sana,ukiona comment ya kupinga ujue hata darasani alikuwa mtolo

  • @benbranco3688
    @benbranco3688 Před 4 lety +2

    akiongeaga huyu hakuna cha taarifa ha ha ha ha

  • @robertmwaipaja4794
    @robertmwaipaja4794 Před rokem

    Hongeraxanaprof.kabundi

  • @MJ-ye7dd
    @MJ-ye7dd Před 4 lety +1

    Napenda kumsikiza ..akiongea unatulia tu.

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 Před 5 lety +3

    Professor

  • @dr.peterofficial6390
    @dr.peterofficial6390 Před 2 lety

    Dah aisee kila professor naemfahamu huwa anatemaga Cheche tu

  • @danielkipeta2355
    @danielkipeta2355 Před rokem

    Hiyo katiba nihovyo sana kwanza imepitwa nawakati kwasasa haitufai kabisa

  • @sundayharris8549
    @sundayharris8549 Před 4 lety +1

    tulieni mfundishwe bure... maana yake wengi hampo vizuri kisheria.

  • @georgelukuba7696
    @georgelukuba7696 Před 4 lety +2

    MOJA KATI YA HAZINA MUHIMU KATIKA NCHI HII NI MH. KABUDI