Dkt Mpango hats off. Hotuba ya aina yake. Kweli ikiwa kiongozi akiwa na uchungu wa nchi basi na Mungu atampa wasaidizi wema na wenye nia kama yake. Mungu ibariki Tanzania
Profesa Kabudi knows hows to pull Magufuli Legs Hes tryin so hard, But Jpm Wisely and kindly Listernin n Smile..Dont mess around with the President Anaona mbali
Kwa nini Utuba kama hizi za matumaini ya Taifa atuzisikie tena? Kuna nini? Ni JPM tu mmoja aliye tangulia, lakini wengine wote bado wapo. Nisaidieni kunanini??????
Nimehakiki rais wetu ni mcha Mungu; kila afanyacho ktk maandalizi yake ya kuongoza taifa hili Mungu huonekana mfano ni kwa hawa watu wawili Mpango na Kabudi Mungu awabariki
Love for prof kabudi from 30:29 🇰🇪may God give him long Life to work for east Africa community
Nakukubali Sana mwenyezi Mungu azidi kuwalinda viongozi wa taifa letu la Tanzania much love ❤❤❤❤
Dkt Mpango hats off. Hotuba ya aina yake. Kweli ikiwa kiongozi akiwa na uchungu wa nchi basi na Mungu atampa wasaidizi wema na wenye nia kama yake. Mungu ibariki Tanzania
Kenya leaders are you listening, this is good lesson for kenya leaders who're very poor in matters leadership
A very good speech from the finance minister. God bless you.
Not finance minister, but foreign affairs minister
Ruto and team are you listening to the speech of this great leader,ihope you have learnt something on matters leadership
"Usiruhusu watu wakuandae kwa cheo chochote na wewe mwenyewe usijiandae kwa cheo chochote..."
Please cometo kenya and give a lecture to our so called leaders who're corrupt and boastful and poor in speech
Profesa Kabudi knows hows to pull Magufuli Legs Hes tryin so hard, But Jpm Wisely and kindly Listernin n Smile..Dont mess around with the President Anaona mbali
Thanks finance Minister
Mtoto wa mzee john mwaluko ni bonge la Hazina ya Taifa hili.hongera sana.
Excellent speech kabudi indeed
Kwa mwalimu kabudi umetisha
Great leader, good speech,God bless,next Tanzania president, God willing
Safi sana kijana wa feza unajuwa kuongea na kazi tunaiona
Wahubiliye baba mungu aendeleye kukupa nguvu nahekima in Jesus name Amen
Nimesikia mheshimiwa mungu hahahaaahahaa! Dakika ya 18:02 ila amekosea kutamka kibahati mbaya
😂😂😂😂😂
Bwana Mungu awaongoze
Kwa nini Utuba kama hizi za matumaini ya Taifa atuzisikie tena?
Kuna nini?
Ni JPM tu mmoja aliye tangulia, lakini wengine wote bado wapo.
Nisaidieni kunanini??????
Wema hawapewi nafasi wanapewa wale wezi
Philipo mpango ni kichwa tena chenye busara ila tu sauti yake ni ndogo na isingekua changamoto yake ya sauti kua ndogo anafaa sana kua raisi
Prof: Palamagamba Mwaruko kabudi ulilonji mabuya,sande sana koko ane nitya Maciwo ulilume elo.
P0p00000000000
Aliejibu uliokotwa jararani, alidharau kwakua hamjui mungu
Nimehakiki rais wetu ni mcha Mungu; kila afanyacho ktk maandalizi yake ya kuongoza taifa hili Mungu huonekana mfano ni kwa hawa watu wawili Mpango na Kabudi
Mungu awabariki
mpango katulia sana kichwani hapo
Hizo saa za taarifa za uteuzi, kweli jpm halali
prof kabudi you deserve it congra
Phillip mpango uko vzr
Buhigwe na kigoma kwa ujumla uwakumbuke saana wapige miradi ya uhakika
Kweli waziri was fedha wazembe waondoke...
Good statement
Kabud uko vzr ndo Mimi na kukubali Sana mie sinaga jipya kwako
Kabudi, kabudi, kabudi, god bless u mkuu wewe ni kichwa cha nchi
Hili lilikuwa kweli baraza la mawaziri
Muheshimiwa mpina umeongea maneno mazima sannaa...na sasa umeona hali ya watanzania. Tunakuombea Afya ili uweze kuyasimamia yote ulio yasema
Kabudi unajuwa ww Karibu 2025
Kabudi kaongea vizuri sana
Mheshimiwa mungu,hatar sana,amtegemeaye mwanadamu hana mwendo...kabudi wewe
we bwana mpango ndo waziri muhimu kuliko mawaziri wote,,yani ww ni zaid ya wazir mkuu kutokana na umuhimu wa wizara yako,
Cyo kosa lako,ni sawa na useme financial manager ni muhimu kuliko director
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿
Kabudi ur good 👍
🤣🤣🤣🤣 kabudi
Injili ya Yesu kwa watu wote, bonya link hii tujifunze neno La Mungu t.co/Cy4o3wiIdo
Kama umli ukiluusu 2025 tumpe ridhaa KABUD kua rais wa TANZANIA
For real
Umri siyo umli
Ana kipi cha ajabu kwani.
Kabud John pamalamagamba
Gafula najiita AKA Kabudi
Mjukuu wa kabudi 😄😄
Excellent speech kabudi indeed