MSIJILIZE LIZE HAPA , NITAONDOKA NA NYIE MSILLETE SIASA ‘’MSINIVURUGE MIMI SIO ZUZU"..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • #JAMBOTV
    PURUKUSHANI ZA MKUU WA MKOA NA WAFANYABIASHARA WA MAWASILIANO ‘’MSINIVURUGE AU MNAFIKIRI MIMI NI ZUZU..
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 44

  • @HaryPoter-zw7vr
    @HaryPoter-zw7vr Před měsícem +2

    Kwa mkuu wa mkoa unatishia WANANCHI!!???

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 Před měsícem +3

    Wee mkuu wa mkoa hufai kabisa uongozi una dharau sana makonda kakuzidi sana sana

  • @magrethyohana4819
    @magrethyohana4819 Před měsícem +1

    Katuonea sanaaa Yani sijui anatuonaje Yani analeta ubabe kwenye maisha ya watu

  • @brasiomsugu1957
    @brasiomsugu1957 Před měsícem +2

    Mkuu yupo sahihi. Watanzania tuna unafiki wa kitoto sana. Vitu vya maana hatutaki kugoma lakini vitu vidogo tunaweza hata kuigiza kulia na machozi yanatoka kabisa eti!

  • @glorymiko6830
    @glorymiko6830 Před měsícem +2

    Wewe mkuu wacha upumbavu.unamkemea mkeo hapo
    Umevuta bangi nini. Wacha ukichaa.kuna vichaa zadi yako.

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 Před měsícem +1

    Uhaini na siasa ni sawa?

  • @davisnyandindi4917
    @davisnyandindi4917 Před měsícem +1

    Watanzania ninwapole sana na sio mazuzu lakin wakishindwa jambo hawasikii hili wala lile, mkuu maneno yako ya mwanzo duh, sio mazur hayana hekima, maisha ni magumu sana ish vzur watu wako kwann, unaongea kwa dharau hvyo, unadhan hao wote wanashindwa kukufanya kitu hapo lakin wamekuheshim bas na ww waheshim, tunavumilia maumv meng kutoka kwa nyie viongoz lakin tunawachukulia fear why nyie mnakuwa hvyo

  • @gracekirundwa1812
    @gracekirundwa1812 Před měsícem

    Watu wamezoea kubebwa mbona sisi wengine tumepanga frem....machinga wanapenda dezo😢

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 Před měsícem +1

    Hawa ndiyo atakao juta nao rais watu wakichoka, ya Ruto naye walimchocholesha watu aina hii, na leo anajuta nao!

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 Před měsícem +1

    Sema mzee baba umepewa power juu ndio unamwaga Razi hivyo lkn wananchi wasikilizeni

  • @jamesmongelwa8625
    @jamesmongelwa8625 Před měsícem +1

    Wewe siyo mbabe kuliko Ruto lakini amefyata Mkia kwa watoto wadogo please chadema msimuache huyo kichaa aendelee kuaibisha taswira ya nchi yetu

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 Před měsícem

    Ondokeni hapo ahutubie mawe sio kuwafokea kama watoto wadogo hii nchi vipiiiii

  • @Damsonmwiga-t8q
    @Damsonmwiga-t8q Před měsícem +1

    Mkuu wa mkoa wa kwel ni paul makonda tu kwanza cyo jeur wala cyo mkal iga kwake cyo ukal ausaidii

  • @SaidOmary-fd3bj
    @SaidOmary-fd3bj Před měsícem

    HIVI NAULIZA NN MAANA YA KIONGOZI?

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Před měsícem +1

    Sikiliza wananchi vzur Mkuuu ndo nzuri

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu Před měsícem

    Ukosawa kabiiisa Good👍👍👍Piga KAZI Chalamila 👍

  • @babawawiltegamaso4367
    @babawawiltegamaso4367 Před měsícem

    hawa viongozi kama hawa ndio wanao mwangusha raisi sasa anatisha watu amesahau kua wananchi tumewapa kz ya uongozi

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před měsícem

    Kwahiyo mnajali matajiri wenye mabasi kuliko wana Nchi hayo mabasi ni yenu na maboss wenu.

  • @user-fi8jo2zu1g
    @user-fi8jo2zu1g Před měsícem

    Sana mzee wa ilula

  • @gracekirundwa1812
    @gracekirundwa1812 Před měsícem

    Tumezoa kudekezwa

  • @user-wz3ne2kc3o
    @user-wz3ne2kc3o Před měsícem

    Duh kweli Tz nchi yangu, ❤

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Před měsícem

    tz Atari sana yani muajiriwa ana mkorome boss wake hatari sàna.

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Před měsícem

    Tupo mbali sana na kenya kama mkuu anatufokea badala ya kutuelewesha tukamwelewa duu tupo mbali walahi

  • @jamesmongelwa8625
    @jamesmongelwa8625 Před měsícem +1

    Dictator weeee

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel1643 Před měsícem

    Wewe Chalamila, nenda taratibu na umma. Wakiamua hao, hutawaweza, utakuwa mdogo kama piriton. Hufai kwenye nafasi hiyo, hizo kura umezipeperusha.

  • @ficachoka7713
    @ficachoka7713 Před měsícem

    Wewe unaakiri wewe nani unaongea kama nawanao

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 Před měsícem

    Mkuu wa mkoa anatishia wananchi anatoa luggage mbaya sana

  • @frenkpastory8512
    @frenkpastory8512 Před měsícem

    Hivi mbona mnalewa madalaka

  • @chescokagali5962
    @chescokagali5962 Před měsícem

    Hapo mkuu wa mkoa umechemka jiamini kwenye nafsi siyo machoni petu

  • @gaspermatovu2899
    @gaspermatovu2899 Před měsícem

    USIWAITE WATU WAPUMBAVU, WEWE UKIITWA HIVYO MKUU UTAJISIKIAJE?

  • @frenkpastory8512
    @frenkpastory8512 Před měsícem

    Kama unataka tz iwe kenya sawa

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 Před měsícem

    Vitisho hivyo

  • @msongojumbe486
    @msongojumbe486 Před měsícem

    Mkuu acha jazba hawa ni wetu wazima .

  • @jellyyatta7597
    @jellyyatta7597 Před měsícem

    Mimi sijamuerewa huyu mwamba mbona

  • @robisonmabaso4720
    @robisonmabaso4720 Před měsícem

    Hawa jamaa wana jeuri sana hawana hata sifa za uongozi jinsi anavyoongea huyu hapo anajiona kama yuko na watoto wake hapo dharau

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 Před měsícem

    Siku ile mlituza na shangwe nyingi amewageuka

  • @user-im6uv1wp8o
    @user-im6uv1wp8o Před měsícem

    Hao ndo wapiga kura tumia busara

  • @user-bj1vr5sl7f
    @user-bj1vr5sl7f Před měsícem

    Mbona anajitia mjuaji huyu naye senge

  • @bestviewsafaris
    @bestviewsafaris Před měsícem

    Kha

  • @jastinonline8996
    @jastinonline8996 Před měsícem

    ubwa huyo

  • @tyterbrainer1975
    @tyterbrainer1975 Před měsícem

    😂😂

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před měsícem

    Hawakujui.Uongozi ni hekima busara na upendo.vyeo vitapita.

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 Před měsícem

    Huyu jamaa hafayi kuwa kiongozi

  • @jumasawa9159
    @jumasawa9159 Před měsícem

    Huyu jamaa cjui kama anajielewa daah