Mama Maria Nyerere; Mke wa Rais wa kwanza wa Tanzania na Mdau wa Chama cha Biblia cha Tanzania

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 07. 2022
  • Awaomba Watanzania wote na wenye mapenzi mema kuungana na Chama cha Biblia cha Tanzania, kuchangia pesa kwa ajili ya uchapaji wa Maandiko Matakatifu (BIBLIA) kwa ajili ya watoto, ili wakue katika maadili mema.
    JE! UNGEPENDA KUCHANGIA BIBLIA MOJA AU ZAIDI? BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUMPATIA MTOTO, MFUNGWA NA KIJANA NENO LA MUNGU.
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la BIBLE A MONTH CLUB kwa kubonyeza link hii:-
    BST01-Tsh 2,000 au zaidi kwa Mwezi
    chat.whatsapp.com/HucZFOaP8zB...
    BST02-Tsh 5,000 au zaidi kwa Mwezi
    chat.whatsapp.com/CyU3dCdd8uA...
    BST03-Tsh 10,000 au zaidi kwa Mwezi
    chat.whatsapp.com/EQ40F0nj2jh...
    BST04-Tsh 50,000 au zaidi kwa Mwezi
    chat.whatsapp.com/LVJrKSIWcY6...
    Unaweza kulipa moja kwa moja kupitia:
    Kwa namba ya kampuni 890890;
    Baada ya Kulipa, Tafadhali tupigie kwenye namba hii +255 765 530 892 na unaweza kulipa kupitia namba hii hii ya +255 765 530 892 Jina ni The Bible Society of Tanzania.

Komentáře • 11