@@leonardchoma3765 uko sawa kabisa kaka Choma,me siamini kama TZ itakuja piga maendeleo aliyokuwa anayataka Mwalimu Nyerere na Magu,viwanda na kuendelea kwa juu haiwezekani,wezi wengi kuliko wanao ibiwa
Lazima tu jiulize kwanini Taifa ilikua linafululiza vifo vya vigogo wa serikali tu kwanini baada ya Kufa magufuli ule mfululizo ukaanza kupungua pole pole na kanyamaza hadi Sasa? Ujanja wa wanadamu ni wa Muda MUNGU NI WA MILELE
Swali na mawzo yako ni mazuri sana. Bahati mbaya sana hatupendi kujiuliza wala kufanya uchunguzi pengine hata kushtuka na kuchukulia kwa uzito. Hapa kuna jambo la kujiuliza mbali na uwepo wa korona na hata chanjo kuja. Ukweli utajulikana tu hata kwa kuchelewa
Nilikuwa nikifuatilia sana taarifa hizi kuanzia kifo cha mwamba mahiga lkn kilipofikia cha kijaz baaas niliishiwa nguvu kabisa baada ya kujiuliza hivi naye rais nusra yake iko wapi? lkn sikuyatoa ulimini kwa yeyote
Ndugu mtangazaji una sauti nzi sana na Lafudhi nzuri sana ya LUGHA YETU ADHIMU YA KISWAHILI, Matamshi sahihi kabisa, keep it up, tuna pungukiwa sana na watangazaji wenye matamshi sahihi ya Kiswahili, pia wanao penda Lugha hii
Una matatizo ubishi wa magufuli ndio umesababisha vifo vyote hivyo awaue nani kwa lipi ogopa kiongozi mbishi asieshaurika kama magufuli anaependa kujisifu mwenyewe
Viongozi wa Nchi zingine walitumiaakili kujikinga wakwetu waliburuzwa na mkuu wao kwa kuamini shwaushilikina wakapiga nyungu hadi wakapeleka mhimbili wakapuuza kinga za kisayansi matokeo yake ndiyo hayo ndipo wengine wakasituka wakaanza kufuata sayansi ndiyomaana vifo vya viongozi kufa mfululizo vikakoma
Itakuwa vizuri ukijifundisha Kiswahili kwanza kabla hujaendelea na matangazo mengine. Nenda Zanzibar ujue maneno ya Kiswahili yanavyotumika na kutamkwa.
Watanzania waliuzwa na Magufuli. Ukweli ni kwamba barakoa zingevaliwa,mambo yangekuwa tofauti. Mungu ameweka sababu katika kifo. Ulizeni madaktari watawaambia ukweli. Pia fanyeni juhudi ya kwenda shule,sio kutegemea ushirikina....
Hii taarifa ukiunganisha na ripoti ya cdf mstaafu inatoa taswira kamili ya nini kilikuwa kimeamliwa kwa serikali ya awamu ya tano kwa maana baada tu ya kufariki kwa jpm na kuundwa serikali ya awamu ya Sita utitiri Wa vifo kwa viongozi wa juu katika nchi ulipungua na kuisha kabisa ni nini maana yake historia haisemi uongo Bali kweli utawekwa hadharani Bila shaka
Hivi vyama vya siasa ni hatari sana watubwanapaswa kuwa makinisana naa viongozi wao wanaposafiri nnje huko wanaenda kusuka mipango gani? Kisha wanarudi baada ya matukio kukamilika hii ni hatari sananini kiliwaondoa nchini na nini kimewarudisha wakati selikali ni ileile hii ni hatari sana
Umeongea vuzuri sana. Kipindi hicho si vigogo tu waliofariki dunia. Wananchi wengi hasa wenye umri zaidi ya miaka hamsini walipoteza maishi. Tatizo mojawapo ilikuwa matatizo ya upumuaji. Mimi nyumba yangu inapakana na kanisa la KKKT. Kipindi hicho kulikuwa na ibada za mazishi kila siku. Wakati mwingine zaidi ya moja.
Hawo waliokufa ndo watu wake magufuli yan ukisema team magu mdo hao 😂😂😂😂 ujuw kitu utachekwa na wamekufa kwa vifo vya kijinga ndo maana umeekewa uwelewe kuwa magu kaondoka na team yake inshort wameuwawa
Umechanganya picha kati ya bakari Mwapachu na Juma Mwapachu....aliyekuwa waziri wa katiba wa mkapa ni bakari Mwapachu...umezitumia picha za Juma Mwapachu (mdogo wake) pamoja na picha ya bakari Mwapachu
Acheni ushirikina! Magufuli alipingana na uwepo wa Covid na akawalazimisha watu waliokiwa karibu naye wasichukue tahadhari yeyote kujikinga. Sasa ukitegemea nini? Kwani wao siyo binadamu mpaka wasife.
Kumbukumbu yenye machungu; mwandaaji hakiki na ujiridhishe kuhusu habari ulizotoa na picha ulizotumia za Mwapachu; unazumzungumzia Juma Mwapachu au Bakari Mwapachu? Kuna mkanganyiko!!
Hata yeye atakufa tu,licha ya kuwatanguliza wenzake, , maendeleo hakuna nchi ni ufisadi tu kila kona,
Mwenyezi Mungu warehemu wote hao.
wote wameuwawa na mabeberu,kwa mbinu za juu za kijasusi,afrika haiwezi endelea,hatujitabui,hawa wote wameondolewa kwa kuwa wanajitambua
Kifo ni lazima
Na mabeberu hupitia kwa mwafrika mwenzie na liko wazi waliiwawa💔😭😭😭😭😭
Mhh neno zito
Wapo mabeberu wa ndani ya nchi.Tusisahau hilo pia.
@@leonardchoma3765 uko sawa kabisa kaka Choma,me siamini kama TZ itakuja piga maendeleo aliyokuwa anayataka Mwalimu Nyerere na Magu,viwanda na kuendelea kwa juu haiwezekani,wezi wengi kuliko wanao ibiwa
Unasimulia vizuri sana
Lazima tu jiulize kwanini Taifa ilikua linafululiza vifo vya vigogo wa serikali tu kwanini baada ya Kufa magufuli ule mfululizo ukaanza kupungua pole pole na kanyamaza hadi Sasa? Ujanja wa wanadamu ni wa Muda MUNGU NI WA MILELE
Corona sasa hivi watu xlwamepata chanjo. !
Swali na mawzo yako ni mazuri sana. Bahati mbaya sana hatupendi kujiuliza wala kufanya uchunguzi pengine hata kushtuka na kuchukulia kwa uzito. Hapa kuna jambo la kujiuliza mbali na uwepo wa korona na hata chanjo kuja. Ukweli utajulikana tu hata kwa kuchelewa
Huna akil sawa sawa unaongea kwa chuki lkn kwa kusikilza habar
Unaakili nyingi ila njia yetu sote,
Corona, magufuli was ignorant
Huu ulikua ni mpango uliosukwa vizuri sana.. mimi nilikuja kushituka baada ya kuona mkapa kafa nikajua kuna jambo lipo chini chini
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana
Uyo ndo alikua baba wa magufuli ndo maana alivyoenda tu wamemfata na magufuli kwisha kaz
Yani balaa lilianzia pale yule mzee alikua yuko poa kwenye uzinduzi wa ujenzi wa Ikulu yani ilikua huzuni kwakweli
Nilikuwa nikifuatilia sana taarifa hizi kuanzia kifo cha mwamba mahiga lkn kilipofikia cha kijaz baaas niliishiwa nguvu kabisa baada ya kujiuliza hivi naye rais nusra yake iko wapi? lkn sikuyatoa ulimini kwa yeyote
Magufuri mwenyewe baada ya kifo cha mkapa alianza kushtuka Ila alikosa support..yule jamaa alikuwa na akili ya ziada
Waliomuua JPM Ndo wameua wote ila wanajijua na mioyo yao inawahukumu
Coronavirus ndio imeua... Acheni ufala.
@@samuelmuthui4699 fala wewe unaijua corona stupped
Bravo Mr ZUNGU.MSIMULIZI MWENYE SAUTI NZURI NA HUCHOKI KUMSIKILIZA.
Ndugu mtangazaji una sauti nzi sana na Lafudhi nzuri sana ya LUGHA YETU ADHIMU YA KISWAHILI, Matamshi sahihi kabisa, keep it up, tuna pungukiwa sana na watangazaji wenye matamshi sahihi ya Kiswahili, pia wanao penda Lugha hii
Huyu jamaa ni noma tena saaaana
Da!
Jamaa hatali sana Kama bbc vile
Kwa lugha la Kiswahili na ipenda sana na najivuniya kuitwa mswahili.
Hiyi makala naifungua tu gafla naanza kusisimka.😢😢😢 sijuwi ni mie mwenyewe?
Acha tuteseke tu hawa walioondoka walikua watetezi wa Taifa 😭😭😭😭
Umemsahau mfugale
Hata hivyo uchunguzi unapaswa kufanywa Hata kama si leo
Wananchi wote tunajua mchezo ulofanyika
Watanzania wenyewe ndio wamewaua wakombozi wa inchi yao 😭😭
Una matatizo ubishi wa magufuli ndio umesababisha vifo vyote hivyo awaue nani kwa lipi ogopa kiongozi mbishi asieshaurika kama magufuli anaependa kujisifu mwenyewe
Mliambiwa mvae barakoa mkasema mmelindwa na damu ya yesu...
😮
Hicho kipindi sitokisahau maishani mwangu!!nilimsoma kigogo -2014 sana hadi usiku wa maneno!
Kigogo mwingine ni baada ya Raisi Magufuri ni Mzee Mfugale aliyekua Mtendaji mkuu wa Tanroad
Watu hamuelewi. Amesema aliokufa kabla ya kifo cha Magufuli siku chache
unasaut nzuri sana kaka kelvin
Asante
Na covid ikaisha kwani nchi zingine jirani walikufa namna hii? Mungu tenda jambo please.
Viongozi wa Nchi zingine walitumiaakili kujikinga wakwetu waliburuzwa na mkuu wao kwa kuamini shwaushilikina wakapiga nyungu hadi wakapeleka mhimbili wakapuuza kinga za kisayansi matokeo yake ndiyo hayo ndipo wengine wakasituka wakaanza kufuata sayansi ndiyomaana vifo vya viongozi kufa mfululizo vikakoma
Bwana Alitoa na Bwana ametwaa jina LA BWANA lihimidiwe.
Amen
Umemsahau Mahiga
Yah kwel amemsahau
Umenisahau Balozi Augustine Mahiga
Histolia haidanganyi na hata baada ya maisha haya ukweli hautasitilika kamwe
Ata wananchi wasio na hatia walifariki mno wengne waliokotwa baharini tumuachie mungu ndio anajua zaid
Wapi makofi ya Day2. Watu wamaana kabisa!
Hakuna lolote ,,,,kama ni covid ina maana inachagua watendaji bora wa magufuli t????
Yeah yan magufuli safu yake yote ndo ilikufaa
uko vizuri mbona wenyeviti ccm mkoa hujawataja waliofaliki nyuma jpm
Walisingizia Covid
AGUSTINO MAHIGA ilikuwa mwaka gani!;
Itakuwa vizuri ukijifundisha Kiswahili kwanza kabla hujaendelea na matangazo mengine. Nenda Zanzibar ujue maneno ya Kiswahili yanavyotumika na kutamkwa.
Acha watese na watoto wao Kwa kujipachikia madaraka mungu yupo Kwani wataenda wapo?
Kwel
Hatariiiii sana Jamani
Mzee Mfugale hivi sio rasmi sana nae maana msiba wake pia uliitikisa Tanzania
Mkapa hujamtaja
Mileleee uwape ee bwana na lahaa ya milele uwangazìe wapumzike kwa amani amina
Nakukubali sana nimeelewa
Watanzania waliuzwa na Magufuli. Ukweli ni kwamba barakoa zingevaliwa,mambo yangekuwa tofauti. Mungu ameweka sababu katika kifo. Ulizeni madaktari watawaambia ukweli. Pia fanyeni juhudi ya kwenda shule,sio kutegemea ushirikina....
Umemsahau eng mfugale
Kifo cha bakari mwapachu na sio juma mwapachu kwahio ungetoa picha za juma mwapachu..
Kazi nzuri Sana kiongozi, keep going up
Hii taarifa ukiunganisha na ripoti ya cdf mstaafu inatoa taswira kamili ya nini kilikuwa kimeamliwa kwa serikali ya awamu ya tano kwa maana baada tu ya kufariki kwa jpm na kuundwa serikali ya awamu ya Sita utitiri Wa vifo kwa viongozi wa juu katika nchi ulipungua na kuisha kabisa ni nini maana yake historia haisemi uongo Bali kweli utawekwa hadharani Bila shaka
Wamemuua yule jamaa na team yake ndo maana mzee mkapa alivyokufa tu awakutaka kusubl maana mkapa alikua baba mlezi wa magu
Tz mismanaged the Covid pandemic
Hivi vyama vya siasa ni hatari sana watubwanapaswa kuwa makinisana naa viongozi wao wanaposafiri nnje huko wanaenda kusuka mipango gani? Kisha wanarudi baada ya matukio kukamilika hii ni hatari sananini kiliwaondoa nchini na nini kimewarudisha wakati selikali ni ileile hii ni hatari sana
Asante sana❤❤🎉 unakipaji
Hivi Jaji Agustine Ramadhani, na Agustino Mahiga hawakufa kipindi hiki?
Tunyamaze tu ila kuna kitu 😭😭😭
Jamani huyo sio Bakari Mwapachu. Juma yupo hai
Zungu huko vizuri kutuabalisha'lakini umesahau mtu mmoja yule En.wa ujenzi yule wa Magufuli Mfugare ambaye amejenga hizo barabara za Kisasa
Umeongea vuzuri sana. Kipindi hicho si vigogo tu waliofariki dunia. Wananchi wengi hasa wenye umri zaidi ya miaka hamsini walipoteza maishi. Tatizo mojawapo ilikuwa matatizo ya upumuaji. Mimi nyumba yangu inapakana na kanisa la KKKT. Kipindi hicho kulikuwa na ibada za mazishi kila siku. Wakati mwingine zaidi ya moja.
NI kweli maana sasa hivi watu wenye umli zaidi ya miaka 50 hawapo na vifo vimepungua sana
Sawa
Shida iko ccm
Mbona picha ya JV Mwapachu?
Baada ya chuma Vifo viliacha
Hawo waliokufa ndo watu wake magufuli yan ukisema team magu mdo hao 😂😂😂😂 ujuw kitu utachekwa na wamekufa kwa vifo vya kijinga ndo maana umeekewa uwelewe kuwa magu kaondoka na team yake inshort wameuwawa
John kijazi
Umechanganya picha kati ya bakari Mwapachu na Juma Mwapachu....aliyekuwa waziri wa katiba wa mkapa ni bakari Mwapachu...umezitumia picha za Juma Mwapachu (mdogo wake) pamoja na picha ya bakari Mwapachu
Zungu napenda kiswahili chako. Starehe kukusikiza. BBC watakunasa tu. Hujambo
na mzee mahiga
Augustin Mahiga hajatajwa
Walitumia fursa ya covid kwa ufasaha usio kua na tija kwa nchi yetu zaidi ya kutengeneza nafasi wanazo taka wao
Mkapa umemsahau kigogo
Mbona hamkutaja mwenyekiti wa Board ya bandari mwana harakakati mzarendo mahiri
Nzungu napenda unavyo tujuza kwelihongera kwakua nasauti nzuriiyamatangazo
Hata rais samia atakufa tu kwani hakuna Mjaja mbele ya kifo
Mbona hakumtaja Agostino Mahiga.
Sio kwamba umesahau na mzee Agostino mahiga
Hakika wapumnzike kwa amani😢
Leo ndio nalifahamu jina lako
Polen
Waliwahua hao kwasababu ndio waliokuwa na uwezo wa kuhoji hadhalani kuwa Magufuli kafaje
Zungu ee wewe unajuwa kusoma kwa weledi
Siwezi Kusema Kityu
Halafu Ututajie Walio Potea Mpaka Sasa na Walio Jeruhiwa
Wakati Huo wa Awam ya 5
Mbona hujamtaja Agustene mahige??
P. Wa.
Na mkapa
Na baada ya JPM
hata leo viongozi ambao wataisumbua ccm 2025 wameondolewa ili uchaguzi usiwe mgumu tumefundishwa ujasusi tumeizidi hata urusi
Acheni ushirikina! Magufuli alipingana na uwepo wa Covid na akawalazimisha watu waliokiwa karibu naye wasichukue tahadhari yeyote kujikinga. Sasa ukitegemea nini? Kwani wao siyo binadamu mpaka wasife.
watu muhimu tu ????????
Tutakufa wote 20100
Kumbukumbu yenye machungu; mwandaaji hakiki na ujiridhishe kuhusu habari ulizotoa na picha ulizotumia za Mwapachu; unazumzungumzia Juma Mwapachu au Bakari Mwapachu? Kuna mkanganyiko!!
Ni vifo vya mkakati!!
Mfugale muhandisi umesahau
Corona
Huyu ni Juma Mwapachu mnakosea sana.
Hakika, Wengi wanawachanganya
FEBRUARY mzee sio FEBRUALI....
Hakuna mjadala mbele ya kifo
Walikuwa wanauwawa na kikwete
Litakukuta jambo
Hamna baya wakuu
Kiburi cha mtu mmoja kilileta maafa kwa taifa na familia nyingi ...Mungu akaingilia kati, taifa likapona
Wewe ni fala sana
We jamaa hutokaa ujitambue milele
Tatizo magufuli colona aliichukulia ni ushilikina wakaanza kupiga nyungu hayo yakawa matokeo ya kupuuza colona
Kwa hiyo na yeye ni cirona ilimuondoa, na hiyo corona ilikuwa inawatafuta vigogo
Tulia wewe hakuna Cha korona Wala nini hivi kwani nawewe ni mtanzania na hujui Mambo yaliyofanyika
Umemsahau Mfwigale
Kama wakati wa mama kakimbia kuhojiwa juu ya upigaji mkubwa uliofanyika wakati wa mwendazake sekta ya barabara😅😅😅
@@hassanmfaume4522upigaji gani alioufanya mfugale???uzushi TU!huu upigaji wa Sasa huuoni??au kwasababu ya kufanana faith!?
Ufisadi upi mbona CAG Asad,alitolewa baada kusema trion 1:5hazionekani,na ya Logola,+mkurungenz,Geita,acheni upendeleo,sahiv,kutekwa,wajulikana,pia,hakuna,wawekazaji,hawaporwi,mali,zao,matajiri wa merudi Dare salaam,akiwemo MANJI,DANGOTE,MBOWE,LISSU,Dangote,alifunga kiwanda,cha sumenti,acha mzee baba,fact ndoo hiyo,
Covid hiyo