Utacheka vituko vya Makongoro Nyerere mbele ya Mama yake, waziri Mkuu na viongozi wengine Umeme Oyee
Vložit
- čas přidán 23. 04. 2022
- Karibu Gilly Bonny Online Tv Channel ambayo imesajiliwa TCRA kwa ajili ya kukuletea habari kubwa za kisiasa, kijamii, kiuchumi na matukio yote muhimu yanazojiri Tanzania na nje ya Nchi kwa wakati sahihi kila siku:
Kama bado huja-Subscribe tafadhali hakikisha unafanya hivyo muda huu kisha bofya kengele ya Notification ili kuwa wa kwanza kupata taarifa na habari zote tunazoziweka kila wakati.
Ku-Subscribe bofya hapa- / @gillybonnytv
Instagram tunapatikana @ / gillybonny_gilbert
Facebook page tunapatikana @ Gilly Bonny Online Tv
Wasiliana nasi kwa email -gillybonny1991@gmail.com
unaweza pia kutuma habari yako kwa email- gillybonny1991@gmail.com
Karibu sana Gilly Bonny Online Tv
Umeme nimependa kwenye umeme
its good
Pole sana mama Yetu jipe moyo mama yetu
yaani kati ya watoto wa nyerere huyu makongoro anatabia ya uchawa sjui kukosoa yeye ni sifa tuu kwa watawala namkubali sana yure mtoto wa nyerere anaeendaga kuwaangaria hadi wapinza yu. na kuwashauri anasimama kwe familia kweli ya baba wa taifa ata baba yao ariwa penda wapinzani kuwakosoa na kuwasifu wapinzani huyu makongoro ni chawa kabisa
sauti kamababaako mungu awapumzishe wazee hawa
Makongoro oyee
🦅
Ww muheshiwa magongoro angekuepo mwenyewe asinge kubali mambohayo maana alikuwa mhh
Hahaha,umeme oyeee
Umeme unavyotuaibisha mbele za wageni mashuhuri duniani
She even looks like her husband🎉
I thought just like you
Hehe..! Wana Maombi mbona hujawapa Kipaumbele..hujui hao ndo Marafiki Wa Bi mkubwa wako hasa
Saut kama y kambarage
Mungu akutie nguvu mama yetu wa taifa
Haina maana wala haistahili makufuli bora mara mia moja
Umeandika nini?
😂😂😂😂❤❤
Mama yetu huyoo tunampenda sana
Makongoro matani mengi sana mpaka unapoteza Radha ya sherehe
Anapowachangamsha watu. Nadhani ndiyo sherehe kunoga?
Mbona mama janeth magufuli hamjamuonesha? Mamaaeee
Hukua na haja ya kutukana ili mradi amealikwa. Wengine nyi sijui mukoje, punguza ushamba
huyu jaama alifaa kuwa Katibu mwenezi ccm
Mbali ya kuweza kuwa katibu mwenezi pia angefaa kuwa Comedian kwa kushirikiana na mzee Makamba hapo vipi?Ndio ingetosha kujuwa usanii wa CCM...CCM Oyeee!
Kabisa
Comedian kabisa
Hafai hata kuwatambulisha viongozi hajui
Macho makali kama ya baba yake
Sasa Mtu hayupo hai jamani hii sherehe ya Miaka 100 vp
Ni pesa ya serikali 2 inatumika.
Kumbukizi tu kama Xmas na pasaka
@@myunaniniahmad6463 hamna shida ! Nyerere ana haki kuliko wewe ana umuhimu kuliko wewe, hata robo hufikii
Mwenye nacho huongezewa
Sasa miaka 100 inakuaje wakati amefariki jaman mm sielewi
Sisi watu WA msasano tunaomba tuwe tunaomgea na mama Maria hatamwaka mara moja tunajuana nae kwanini tusipigenae Stori Chino ya ulinzi