- 12 069
- 76 486 951
Gilly Bonny Tv
Tanzania
Registrace 4. 08. 2016
Is an online television registered with the Tanzania Communications Regulatory Authority -TCRA for reporting all news, information, social events, politics, economics, sports and development around the world, our registration number is TCRA/OCS-OT/074/2018.
In addition Gilly Bonny Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the State or CZcams.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari zote, taarifa, matukio ya kijamii, siasa, uchumi, michezo na maendeleo duniani kote, namba yetu ya usajili ni TCRA/OCS-OT/074/2018.
Aidha Gilly Bonny Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi na youtube.
Contacts
Email: gillybonny1991@gmail.com
phone: +255655832712
WhatsApp: +255655832712
In addition Gilly Bonny Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the State or CZcams.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari zote, taarifa, matukio ya kijamii, siasa, uchumi, michezo na maendeleo duniani kote, namba yetu ya usajili ni TCRA/OCS-OT/074/2018.
Aidha Gilly Bonny Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi na youtube.
Contacts
Email: gillybonny1991@gmail.com
phone: +255655832712
WhatsApp: +255655832712
BABU YAKE SOKA AFUNGUKA MAZITO KUTOWEKA KWAKE
BABU YAKE SOKA AFUNGUKA MAZITO KUTOWEKA KWAKE
zhlédnutí: 22
Video
"NCHI IPO HATARINI WAJIUZULU TUU | POLISI WANASEMA HAWAJUI ALIKO SOKA'-SELASINI
zhlédnutí 81Před 11 hodinami
"NCHI IPO HATARINI WAJIUZULU TUU | POLISI WANASEMA HAWAJUI ALIKO SOKA'-SELASINI
UKIWAHI KUFIKA KWA MKAPA UNAPEWA GARI,BAJAJI,PIKIPIKI NA SIMU 31 AUG 2024
zhlédnutí 93Před 12 hodinami
UKIWAHI KUFIKA KWA MKAPA UNAPEWA GARI,BAJAJI,PIKIPIKI NA SIMU 31 AUG 2024 Mufti na Sheikh Abubakar Zuber ametangaza Zawadi nono kwa Shuhuda na atakaekuwa wakwanza kufika Uwanja wa Mkapa kushuhudia Mashindano hayo yatakayofanyika tarehe 31/08/2024. Zawadi ya Mshindi wa kwanza atapewa Gari Mshindi wa pili na wa tatu. Gari aina ya Rastik, Bajaji tano, Pikipiki aina ya Boxer tano na zawadi nyingine...
USHIRIKIANO,,MAADILI IMARA VYAIINUA KADAMA ENGLISH MEDIUM KUPATA MATOKEO BORA NA MAZURI KILA MWAKA
zhlédnutí 56Před 21 hodinou
USHIRIKIANO,,MAADILI IMARA VYAIINUA KADAMA ENGLISH MEDIUM KUPATA MATOKEO BORA NA MAZURI KILA MWAKA
ACT WAZALENDO WATUMA UJUMBE MZITO KWA TUME YA UCHAGUZI "HUKU KUNAPAMBANA TUTASHIRIKI UCHAGUZI"
zhlédnutí 142Před 2 hodinami
ACT WAZALENDO WATUMA UJUMBE MZITO KWA TUME YA UCHAGUZI "HUKU KUNAPAMBANA TUTASHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA"
Wamasai waliofanya Maandamano Waridhishwa na Maamuzi ya Rais SAMIA kuhusu Ngorongoro
zhlédnutí 435Před 4 hodinami
Wamasai waliofanya Maandamano Waridhishwa na Maamuzi ya Rais SAMIA kuhusu Ngorongoro Mwenyekiti wa viongozi wa mila Wilayani Ngorongoro Metui Ole Shaudo amesema kwa niaba ya Wananchi wanamshukuru, kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jinsi alivyotoa majibu kuhusiana na kilio cha Wakazi wa eneo hilo kilichowaunganisha na kufanya maandamano. Naye Saitoti...
ACT WAZALENDO WAIBUA MAPYA SAKATA LA MAUAJI,UTEKAJI NA NGORONGORO WATOA KAULI ZITO.
zhlédnutí 166Před 4 hodinami
ACT WAZALENDO WAIBUA MAPYA SAKATA LA MAUAJI,UTEKAJI NA NGORONGORO WATOA KAULI ZITO.
"Nyama vya Siasa acheni mara moja kuwachonganisha Watu na Serikali yao" Wakazi wa Msomera Wachafukwa
zhlédnutí 436Před 7 hodinami
"Nyama vya Siasa acheni mara moja kuwachonganisha Watu na Serikali yao" Wakazi wa Msomera Wachafukwa Baadhi ya Wananchi wameonesha kukerewa na Mashirika na Vyama vya Siasa ambavyo vinachochea suala la Wamasai kuhamia Msomera. Mmoja wa Wananchi hao mkazi wa Msomera akitokea Ngorongoro mwaka 2022; Seiboku Kimurei Laizer amevitaka Vyama vya Siasa kuacha tabia hiyo mara moja.
MAJALIWA ASHUHUDIA WANACHAMA 24 WA CUF, ACT WAKIREJEA CCM NDANI YA SAA 48
zhlédnutí 123Před 7 hodinami
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa ameshuhudia wanachama 24 wa vyama vya CUF na ACT-Wazalendo wakirejea CCM ndani ya siku mbili. Mheshimiwa Majaliwa alishuhudia wanachama hao wakikabidhi kadi zao kwa Katibu wa CCM wa Wilaya ya Ruangwa, Bw. Abbas Mkwenda (Agosti 23 na 24, 2024) wakati akizungumza na wakazi wa vijiji vya Mtondo (Kata ya Nambila...
POLISI WAWEKA WAZI SAKATA LA 'AFANDE' MUSSA ALIVYOONESHA VIUNGO VYA MPENZI WAKE ALIYEMUUA
zhlédnutí 279Před 7 hodinami
POLISI WAWEKA WAZI SAKATA LA 'AFANDE' MUSSA ALIVYOONESHA VIUNGO VYA MPENZI WAKE ALIYEMUUA
VIBE LA USWAZI FC WASHANGILIA MWANZO MWISHO WASEMA BENDI IKISIKIKA MORALI YA WACHEZAJI WAO INAPANDA
zhlédnutí 45Před 7 hodinami
VIBE LA USWAZI FC WASHANGILIA MWANZO MWISHO WASEMA BENDI IKISIKIKA MORALI YA WACHEZAJI WAO INAPANDA
DC MSANDO Awashambulia Wanaowadanganya Wamasai kuhama Ngorongoro,
zhlédnutí 92Před 9 hodinami
DC MSANDO Awashambulia Wanaowadanganya Wamasai kuhama Ngorongoro, Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga Mhe. Albert Msando amesema hayo alipokuwa akiwapokea Wamasai walioamua kuhama wenyewe kwa hiari kutoka Ngorongoro kwenda Msomera Mkoani Tanga
Hatmae Serikali yamaliza Mgogoro wa Ngorongoro; Makonda, Lukuvi Wazungumza na Wananchi
zhlédnutí 1,8KPřed 9 hodinami
Hatmae Serikali yamaliza Mgogoro wa Ngorongoro; Makonda, Lukuvi Wazungumza na Wananchi Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Agosti 23, 2024 wakati Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi alipozungumza na mamia ya wakazi wa Wilaya ya Ngorongoro, akiagiza pia askari wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kutowanyany...
MAKONDA na LUKUVI WATINGA NGORONGORO KWA WAMASAI.
zhlédnutí 312Před 9 hodinami
MAKONDA na LUKUVI WATINGA NGORONGORO KWA WAMASAI.
ALIYEHAMA NGORONGORO ASILIMIA ALIVYOTAJIRIKA MSOMERA
zhlédnutí 159Před 9 hodinami
ALIYEHAMA NGORONGORO ASILIMIA ALIVYOTAJIRIKA MSOMERA
KAULI YA MBOWE SAKATA LA NGORONGORO "HATUKUBALI VIJIJI KUFUTWA, TUTAHAKIKISHA WANAPATA HAKI YAO"
zhlédnutí 65Před 12 hodinami
KAULI YA MBOWE SAKATA LA NGORONGORO "HATUKUBALI VIJIJI KUFUTWA, TUTAHAKIKISHA WANAPATA HAKI YAO"
MWANA FA ACHANA MISTARI MBELE YA RAIS SAMIA
zhlédnutí 382Před 12 hodinami
MWANA FA ACHANA MISTARI MBELE YA RAIS SAMIA
MBOWE AJILIPUA BILA WOGA AFUNGUKA MAZITO SAKATA LA UTEKAJI NA WATU KUPOTEA | ATAJA MAJINA NA NAMBA
zhlédnutí 267Před 12 hodinami
MBOWE AJILIPUA BILA WOGA AFUNGUKA MAZITO SAKATA LA UTEKAJI NA WATU KUPOTEA | ATAJA MAJINA NA NAMBA
VILIO NA SIMAZI VYATAWALA KWENYE MKUTANO WA MBOWE "TUNATAKA WAUME ZETU WARUDI"
zhlédnutí 363Před 12 hodinami
VILIO NA SIMAZI VYATAWALA KWENYE MKUTANO WA MBOWE "TUNATAKA WAUME ZETU WARUDI"
HAIJAWAHI TOKEA MGOGORO MZITO WA WANANDOA WAIBUKA "OCD UKO WAPI"
zhlédnutí 50Před 16 hodinami
HAIJAWAHI TOKEA MGOGORO MZITO WA WANANDOA WAIBUKA "OCD UKO WAPI"
MASHABIKI WA NYAKAGWE FC WAIPA HEKO TIMU YAO, KOCHA ASEMA YEYOTE AJE WANAUTAKA UBINGWA MWAKA HUU
zhlédnutí 50Před 16 hodinami
MASHABIKI WA NYAKAGWE FC WAIPA HEKO TIMU YAO, KOCHA ASEMA YEYOTE AJE WANAUTAKA UBINGWA MWAKA HUU
SELIKALI WAINGILIA KATI MGOGORO WA WANANDOA MTOTO AMKANA BABA MBELE YA DC UBUNGO
zhlédnutí 43Před 16 hodinami
SELIKALI WAINGILIA KATI MGOGORO WA WANANDOA MTOTO AMKANA BABA MBELE YA DC UBUNGO
ALIYETANGAZA MAANDAMANO NCHI NZIMA AKAMATWA; CHADEMA WAWALILIA POLISI "TUAMBIENI WALIPO"
zhlédnutí 510Před 19 hodinami
ALIYETANGAZA MAANDAMANO NCHI NZIMA AKAMATWA; CHADEMA WAWALILIA POLISI "TUAMBIENI WALIPO"
INAHUZUNISHA: BOSS AMCHOMA NA PASI YA UMEME BINTI WA KAZI DAR
zhlédnutí 3,5KPřed 19 hodinami
INAHUZUNISHA: BOSS AMCHOMA NA PASI YA UMEME BINTI WA KAZI DAR
CHADEMA WATAKA KAMANDA THEOPISTA AFUKUZWE KAZI KESI BINTI ALIYEBAKWA NA KULAWITIWA
zhlédnutí 239Před 19 hodinami
CHADEMA WATAKA KAMANDA THEOPISTA AFUKUZWE KAZI KESI BINTI ALIYEBAKWA NA KULAWITIWA
MAPYA YAIBUKA BINTI ALIYEBAKWA, HAYA HAPA MASWALI 11 YA KUJIULIZA I LHRC WATOA TAMKO ZITO
zhlédnutí 337Před 19 hodinami
MAPYA YAIBUKA BINTI ALIYEBAKWA, HAYA HAPA MASWALI 11 YA KUJIULIZA I LHRC WATOA TAMKO ZITO
POLISI WAOMBA RADHI TUKIO LA BINTI KUBAKWA, RPC DODOMA AHAMISHWA, ATOLEA UFAFANUZI KAULI YAKE
zhlédnutí 818Před 19 hodinami
POLISI WAOMBA RADHI TUKIO LA BINTI KUBAKWA, RPC DODOMA AHAMISHWA, ATOLEA UFAFANUZI KAULI YAKE
WALIOBAKA NA KUMLAWITI BINTI YOMBO WABURUZWA MAHAKAMANI LEO
zhlédnutí 403Před 19 hodinami
WALIOBAKA NA KUMLAWITI BINTI YOMBO WABURUZWA MAHAKAMANI LEO
NAPE ATIKISA TENA, KAULI ZAKE ZAZUA UTATA MKUBWA "NITATEULIWA TENA SINA SHIDA, USTAARABU BAKINI NAO"
zhlédnutí 25KPřed 21 hodinou
NAPE ATIKISA TENA, KAULI ZAKE ZAZUA UTATA MKUBWA "NITATEULIWA TENA SINA SHIDA, USTAARABU BAKINI NAO"
Hao vijana amefanyaje?
Huyo Boss msenge mbwa kabisa tena shoga mkagueni vzr
Jpm
Nyape alitakiwa awekwe benchi 2025 ili ajifunze kuheshim 48 laws of power....never outshine the Master
Kwani watanzania wasomi wanaoweza kukamata nyazifa za uongozi hawapo mpaka arudi kuteuliwa tena yeye??
Mh Makonda Mbona simuoni
Kadama iko mkoa gani
Musiba amna elimu bule usifanganye watu acha ujinga habali zako ziko nje umeumbuka mdomo wako umekuponza wewe chawa
Pubavu malaya ww
Nikweli majizi
Ww bosi kumamako km unaweza nifuate mbwa ww unawezaje kumchoma moto dada wakaz yako ulitaka kuuwa matako ww
Mfanyakazi wangu anaingiza shot na haijulikani imeingia kwa mfumo gani ila sijawahi mfukuza Wala kumkata mshahara wake, maana akiingizwa faida maboss tunafurahi kweli ko na hasara ni sehemu ya kazi pia tukae chini tuwakate mishahara yao
Kuna watu wanaroho mbaya sana
When young, Mwalimu Nyerere was my favorite and political hero
Kiukweli CCM inaongoza kua na mihemko , na wagombea waliyoenda shule kusindikiza watu
Baazi ya police wapuuzi
Ndio naona uwezo wako wa kufikiri leo....kwani ulienda kama mwanachama au kama mfukuzia madaraka ushaanza kuwa wa hovyo broo...kama ndivyo mbona wewe umeenda CCM ambayo inataka kuongoza watu na kuwatesa milele unadhani ni mtanzania gani mwenye uwezo sahihi wa kufikiri atakuelewa au kukusifia... acha kuvuta sigara nyota broo labda utakua sawa
Kama amefanya mazuri kuna ulazima gani wa kwenda kuyasema mikoani
Ila mimi nachukia unafiki sio siri😢
Hata mwenye upara huyo anajipendekeza sana
Wote hao sio wamasai
Mmmm kwer
Binaadamu wanyama mnamchoma mpaka usoni na mwili ,kwa nini wachukue sheria mikononi shenzi sana hao .
Si wangemkata kidogo kidogo kwenye mshahara wake
Kaandaamane NA familia yenyu 😊
Hongera wamasay
😂😂😂😂
Yanatoka rohoni au mnatafuta pesa maamajanamnatoka kulipa
Wananchi walivyo wajinga na wapumbavh wanashangilia tangazo la wizi wa kura
Huna kazi kwako naenda kalime kijijini kwako
Mjinga wewe huna akiri mjinga wewe shehe mjinga wewe kima huna akiri hujasoma kaka kimya ondoka njaa inakusumbua uoni haya hata watoto wako wanakuona mjinga
Huwa mnasema warabu makatili kwa wafanyakazi wao. Sasa nyie wenyewe kwa wenyewe semeni tusikie.
Waarabu pia wana roho chafu na mbaya
Ubaya auna kwao kwanza warab mara chache sana haya kutokea@@fatmafatu1128
Lakini vizuri mnavyokuwaga mnatukana uuarabuni mbona kwenu ndiounyama haswa wenyewe kwawenyewe safi sana uwaneni tu
Hasbunallah waneemal wakil 😏😏😏
Kweli ukatili Kila sehemu ipo ingekuwa uarabuni hata kiziwi angesikia
Ukiwa muongo ukumbukepia kutunza kumbukumbu
TLS MPO MADELEKE UPO MWABUKUSI UPO LISSU UPO NA WENGINE MNAOJUA SHERIA MPO SAIDIA HILO
Endelea kudanganya. Utaongezewa cheo kwa kujua kudanganya. Vyote vifanyike huko huko Ngorongoro. Waliofanya waondolewe ni hao hao wakoloni mamboleo kwa uwekezaji na kupika biashara ya utalii. Watoto,wajukuu watawafanyia ya Zimbabwe. Heri kufa maskini kuliko utumwa na fedheha. Tuangalie miaka 50 ijayo.
Noma sana❤❤
Mmh watu wanaroho mbaya jamani
Kuna wanao kula na wasio kula
Mmmmmh
Vipi nguo za kijani kama zinasahaulika vile
Hu nyMa umekisiri jmn mbon kunawatu wanaroho za kikatiri iv
Kumwondoa siyo dawa ,dawa nikumfumuza uanachama
Mna rekodi ya kuiba Iko siku mtalipa iwe hapa au ndani ya demokrasia ya mungu ,alafu unamdhulumu mtu alafu unashika nafasi ambayo SI ya kwako unaifurahia na watoto wako,Iko siku utalipa furaha ya mtu uliomwibia
Sadkta
Au hao walomwachia huru huyo mhalifu nao walishiriki?? Tujue sasa..
Wanaume wawili kumfngia mlango,kumpiga,na kimchima moto wa pas,,bado wanamwachia huru hawa polisi...
Huyo anayejiita bosi mpumbav ,na mjinga sana,angeweza angejufanyia kazi ZAKE ZOTE pumbav zake.
Huyo bos ni mjinga mwingne na huyo mdhani wapimbav...wamenyea kambi.wauaji hao wapimbav sana.
Mbumbumbu
Duuuh!!! Dunia sio mbaya Binadamu ndio wabaya 😢