My Prof., that was so right on the point and very moving, Tanzania cannot afford corruption na tukiwaacha watu wafanye wizi wa mitihani na kuvunja haki za watanzania wote inaleta shida sana.
Huyu ndiye Professor Aldof Mkenda, Waziri ninayemkubali Kati ya Mawaziri wote. Anatekeleza wajibu wake kisawasawa. Big up Waziri kwa kufuatilia sakata hili na kulitafutia ufumbuzi kama huu.
My Prof., that was so right on the point and very moving, Tanzania cannot afford corruption na tukiwaacha watu wafanye wizi wa mitihani na kuvunja haki za watanzania wote inaleta shida sana.
Huyu ndiye Professor Aldof Mkenda, Waziri ninayemkubali Kati ya Mawaziri wote. Anatekeleza wajibu wake kisawasawa. Big up Waziri kwa kufuatilia sakata hili na kulitafutia ufumbuzi kama huu.
Hizi shule ya kanda ya ziwa zina dhida sanaa
Huyu waziri anajali sana shida za watu
THAQAAFA shule Moja tamu sana hii niliinjoi sana nikiwa Advanced Level wakati ule.
Kamata mmiliki ndio chanzo Cha tatizo na miaka yote anafanya hivo wamafunzi hawana hatia ni watoto wamerubunwa fungia shule