WAZIRI MKENDA AKUTANA NA WAZAZI - SHULE YA THAQAAFA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 02. 2023
  • NI WA WANAFUNZI WALIOFUTIWA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE
    AELEZEA HATUA ZINAZOENDELEA KUCHUKULIWA WAHUSIKA

Komentáře • 8

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před rokem

    My Prof., that was so right on the point and very moving, Tanzania cannot afford corruption na tukiwaacha watu wafanye wizi wa mitihani na kuvunja haki za watanzania wote inaleta shida sana.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před rokem +1

    Huyu ndiye Professor Aldof Mkenda, Waziri ninayemkubali Kati ya Mawaziri wote. Anatekeleza wajibu wake kisawasawa. Big up Waziri kwa kufuatilia sakata hili na kulitafutia ufumbuzi kama huu.

  • @ahmadimbazi5843
    @ahmadimbazi5843 Před rokem

    Hizi shule ya kanda ya ziwa zina dhida sanaa

  • @abdalaalmas2535
    @abdalaalmas2535 Před rokem

    Huyu waziri anajali sana shida za watu

  • @chachawambura4030
    @chachawambura4030 Před rokem

    THAQAAFA shule Moja tamu sana hii niliinjoi sana nikiwa Advanced Level wakati ule.

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před rokem

    Kamata mmiliki ndio chanzo Cha tatizo na miaka yote anafanya hivo wamafunzi hawana hatia ni watoto wamerubunwa fungia shule