SERIKALI KUJA NA MFUMO MPYA UTAKAOBAINI WATUMISHI WAZEMBE, ZAIDI YA BILIONI 120 ZATENGWA AJIRA MPYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 12. 2022

Komentáře • 25

  • @rachelmpimbe1331
    @rachelmpimbe1331 Před rokem +4

    Hapo watumishi wanalia kimyakimya😀 eti hawana matatizo hapo madai kibao wanayo🤭

  • @prospermiraji8473
    @prospermiraji8473 Před rokem

    Njoo na Uyui DC pia Mh. Waziri

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před rokem +5

    Kupongezana na maneno mengi! Tutafika tumechoka! Kule PM naona yeye ndio anaenda na legacy za Mwamba, wengine wamehamia kwenye ulambaji wa asali

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem +1

      Majaliwa anapambana sana na wazembe serikalini kutetea wananchi na kuangalia ubora wa miradi. Team Namba 1 wanapiga taarab na kuchamba wenzao..wao hawafi kwani ni wema.

    • @bodyaman
      @bodyaman Před rokem +1

      pole na Majukum!
      Habari za mchana!
      Ukipata MDA naomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
      czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 Před rokem +2

    Sielewi kabsa hayo makubwa makubwa ya kitaifa yaliyobaki yatashughulikiwa na nani. Jambo Tujitahidi kuwa kama waziri Mkuu Mh Majaliwa akisifia unaona pana hoja ya msingi na hapo akija huenda akabaini jambo. Wengine tupunguze kusifia sana bali tujikite kutafuta majibu ya matatizo makubwa ya Taifa hili. Mungu atawajibu kwa kadri ya utendaji wenu

    • @bodyaman
      @bodyaman Před rokem

      pole na Majukum!
      Habari za mchana!
      Ukipata MDA naomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
      czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před rokem +1

    ah Maneno.hayo.ndio.yaleyale ya kila sk

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 Před rokem +1

    Lakini lakini lakini hili neno siku hizi limeanza kutumika kama mbadala wa pia au aidha wakati kimsingi ni kiungo cha ubishi

    • @bodyaman
      @bodyaman Před rokem +2

      pole na Majukum!
      Habari za mchana!
      Ukipata MDA naomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
      czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před rokem +1

    Mnadanganyana huko sisi huku hatuwaelewi

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před rokem +1

    Maneno Mengi Kulko Utendaji

    • @bodyaman
      @bodyaman Před rokem +1

      pole na Majukum!
      Habari za mchana!
      Ukipata MDA naomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
      czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html

  • @mds5293
    @mds5293 Před rokem

    Hayo ni maneno tu kiukweli sio wivu,hvi Kama una wafanyakazi hewa na huwajui wazembe kamwe hzo hela zitaliwa tu,angekuwepo mwenyewe labda

    • @bernadetamodest6170
      @bernadetamodest6170 Před rokem

      Hao wafanyakaz hewa wapo mpaka leo?Akili zako zimejaa giza, kila wakat uhakiki ulihis wanahakiki kuku au wanahakiki kwa sababu hawana kaz zingine za kufanya?

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Před rokem +2

    Mama usijidanganye hakuna watu wanafiki na waoga kama watumishi wa uma hususani walimu

    • @songweairport7602
      @songweairport7602 Před rokem +1

      hahahahaaaaaa how?

    • @johngerald4677
      @johngerald4677 Před rokem +2

      @@songweairport7602 ao viumbe hatar Sana wamejaa roho mbaya wenyewe kw wenyewe ,majungu kujipendekeza ili apate fulsa za mia2mia2,wivu wa kijnga ata kutetea hakizao hayawezi umejaa uoga Kama nini ndo mana ata kuendelea inakua ngum

    • @bodyaman
      @bodyaman Před rokem +1

      pole na Majukum!
      Habari za mchana!
      Ukipata MDA naomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
      czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Před rokem

      @@johngerald4677 Saana

  • @bodyaman
    @bodyaman Před rokem +1

    pole na Majukum!
    Habari za mchana!
    Nakuomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
    czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html