Majaliwa anapambana sana na wazembe serikalini kutetea wananchi na kuangalia ubora wa miradi. Team Namba 1 wanapiga taarab na kuchamba wenzao..wao hawafi kwani ni wema.
Sielewi kabsa hayo makubwa makubwa ya kitaifa yaliyobaki yatashughulikiwa na nani. Jambo Tujitahidi kuwa kama waziri Mkuu Mh Majaliwa akisifia unaona pana hoja ya msingi na hapo akija huenda akabaini jambo. Wengine tupunguze kusifia sana bali tujikite kutafuta majibu ya matatizo makubwa ya Taifa hili. Mungu atawajibu kwa kadri ya utendaji wenu
Hao wafanyakaz hewa wapo mpaka leo?Akili zako zimejaa giza, kila wakat uhakiki ulihis wanahakiki kuku au wanahakiki kwa sababu hawana kaz zingine za kufanya?
@@songweairport7602 ao viumbe hatar Sana wamejaa roho mbaya wenyewe kw wenyewe ,majungu kujipendekeza ili apate fulsa za mia2mia2,wivu wa kijnga ata kutetea hakizao hayawezi umejaa uoga Kama nini ndo mana ata kuendelea inakua ngum
Hapo watumishi wanalia kimyakimya😀 eti hawana matatizo hapo madai kibao wanayo🤭
Hahaha wanaogopa kusema matatizo yao
Njoo na Uyui DC pia Mh. Waziri
Kupongezana na maneno mengi! Tutafika tumechoka! Kule PM naona yeye ndio anaenda na legacy za Mwamba, wengine wamehamia kwenye ulambaji wa asali
Majaliwa anapambana sana na wazembe serikalini kutetea wananchi na kuangalia ubora wa miradi. Team Namba 1 wanapiga taarab na kuchamba wenzao..wao hawafi kwani ni wema.
pole na Majukum!
Habari za mchana!
Ukipata MDA naomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html
Sielewi kabsa hayo makubwa makubwa ya kitaifa yaliyobaki yatashughulikiwa na nani. Jambo Tujitahidi kuwa kama waziri Mkuu Mh Majaliwa akisifia unaona pana hoja ya msingi na hapo akija huenda akabaini jambo. Wengine tupunguze kusifia sana bali tujikite kutafuta majibu ya matatizo makubwa ya Taifa hili. Mungu atawajibu kwa kadri ya utendaji wenu
pole na Majukum!
Habari za mchana!
Ukipata MDA naomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html
ah Maneno.hayo.ndio.yaleyale ya kila sk
Tumechoka nayo
Lakini lakini lakini hili neno siku hizi limeanza kutumika kama mbadala wa pia au aidha wakati kimsingi ni kiungo cha ubishi
pole na Majukum!
Habari za mchana!
Ukipata MDA naomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html
Mnadanganyana huko sisi huku hatuwaelewi
🤣🤣
Maneno Mengi Kulko Utendaji
pole na Majukum!
Habari za mchana!
Ukipata MDA naomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html
Hayo ni maneno tu kiukweli sio wivu,hvi Kama una wafanyakazi hewa na huwajui wazembe kamwe hzo hela zitaliwa tu,angekuwepo mwenyewe labda
Hao wafanyakaz hewa wapo mpaka leo?Akili zako zimejaa giza, kila wakat uhakiki ulihis wanahakiki kuku au wanahakiki kwa sababu hawana kaz zingine za kufanya?
Mama usijidanganye hakuna watu wanafiki na waoga kama watumishi wa uma hususani walimu
hahahahaaaaaa how?
@@songweairport7602 ao viumbe hatar Sana wamejaa roho mbaya wenyewe kw wenyewe ,majungu kujipendekeza ili apate fulsa za mia2mia2,wivu wa kijnga ata kutetea hakizao hayawezi umejaa uoga Kama nini ndo mana ata kuendelea inakua ngum
pole na Majukum!
Habari za mchana!
Ukipata MDA naomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html
@@johngerald4677 Saana
pole na Majukum!
Habari za mchana!
Nakuomba usikilize wimbo wangu mpya unaoitwa BEI
czcams.com/video/xRKMhikhr9g/video.html