BAADA YA LEMA KUTEMA NYONGO RAIS SAMIA AMVAA KIONGOZI ARUSHA"MAJI YA CHUMVI/ANAROPOKA MNAMUANGALIA"
Vložit
- čas přidán 1. 03. 2023
- BAADA YA LEMA KUTEMA NYONGO RAIS SAMIA AMVAA KIONGOZI ARUSHA "MAJI YA CHUMVI/ANAROPOKA MNAMUANGALIA"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Siasa safi na uongozi bora hapo ndio mtihani mkubwa!
Katiba mpya itaboresha maeneo hayo muhimu...halahala mchakato uanze pasi kuchelewa zaidi!
Hongera sana Mheshimiwa Rais wetu mama yetu kwa utendaji wako na Hekima kubwa uliyo nayo,Mungu akubariki sana na akutunze daima.
KWELI MAMA MAJI ARUSHA HAYAFAI,HAYAFAI KUNYWA WALA KUPIKIA YANA CHUMVI NA MAGADI!BORA WATURUDISHIE YALE YETU YA ZAMANI!
Yale ya zamani yameisha au yameenda wap?
Great speech ever 👏 be blessed Lovely President
Wapi bomba la mafuta .wapi bwawa ambalo lilitakiwa liwe linafanya kazi miaka kadhaa iliyopita? Wapi bima yaafya toka 30 had 360000. Kuingiza umeme jpm kututoka tu tunaambiwa 27 haitoshi lln kwakwe ilitosha.umeme na maji mgao
Yqqani Bongo Bahati Mbaya Jinsi tu ulivyo Comment Unaonyesha Hufuatilii Mambo Yanaendaje..Nakuhurumia Sanaa Tz tuna safari ndefu
Mama mh.Rais Dk.Suluhu unakwenda vizuri sana, japo kivukoni imeyeyuka umeanzisha msasa mwingine wa uongozi bora ili watulie katika chombo,waache mazoea ya kimfumo wakati Nahodha unakiongoza kuwavusha watanzania tuondokane salama na umaskini, hofu, na ubabe wa viongozi wasaidizi wako. Kazi iendelee...
Rais wetu kweli unapamba sana Ila tukuombe pia chungusa sana mwenendo ya uwekezaji na wanyakazi waliyo nayo wanavyotezeka kwa haki za kutopewa.
Mama hushughulikii sana watanzania wa hali ya chini
Unataka apite mitaani ki
Unataka apite mitaani agawe pesa na chakula ? Mnakaa vilabuni na mabaa mkinywa pombe huku mkilalamika maishs magumu. Sisi wenyewe tunafanya maisha yetu kuwa magmu kwa kupenda anasa.
Pesa halmashauri haujaomba mashamba yanagawiwa huombi unalaumu relax tuishi
Unataka aje kunywa chai na vitumbua hapo kwako?😆
Wacha kupotosha watu bhana wee na heading yako mbovu kabisa ya kifatani Lema mwenyewe fatani muogope mungu wako kuandika uongo mtupu
Mama dawa ni kutumbua tu ndio watakuelewa
Nchi haijulikani sasa inajishughulisha na nn.hakuna miradi mipya yazamani haiishi
Nenda kongo
Hamia Burundi
Nyumbani kwako umemaliza?
Mbona huyo aliyoianzisha mpaka kafa hakuimsliza kwa miaka saba .unataka yeye aimalize kwa muda mfupi?Na mpaka anakufa kaacha mirsdi ya matrilioni kama reli bwawa na Dodoma maofisi na mabarabara ya mjini hakuacha centi moja mpaka kifo chake wewe unachukulia mambo rahisi rahisi tu
@@maulidimuhammed7851 ilitakiwa lini ikamilike?
Sidhani kwa hivi tutavuka hatua,mashahiri na ngonjera mafumbo mengi hakuna utekelezaji
yaani taarabu kilasiku watu wanaiba mabilion anasema waibe tu hazimuhusu huyu sio kiongozi
Rais yaani Maji kuwa na chumvi Tu ya ardhini mbona ni issue ndogo sana, hebu angalia waaarabu wanayatibu maji ya bahari kuwa ya matumizi ya kawaida Kwa mwanadamu Rais unaongea Kwa upole hivyo? Watendaji ilitakiwa uwafumue haraka.
Hongera mama, ni kweli Tatizo ni hao tulio waamini kwenye vitengo wanawafanya wanainchi waichukie serikali, ama watu wakuona wewe kana kwamba hautufai, kumbe wao ndiyo tatizo. Hongera pigs kazi.
Apo uripoishia achia wengine
Kabisa hawamuheshimu wala hawajali
Mama nakupenda sana,kazi iendelee,,, nataman siku nikuone live
Mama hongera tumbua hao wavivu na welevi wa madaraka
Hawana wema hao, wananza matuc bada kuomgelea matatzo ya watanzania
👏👏👏
Rais uko sahihi saana viongozi wakongwe NI tatizo saana
Kila kiongozi mpya anapofika kituo Cha kazi ameambiwa hapa tunaishi hivi
Naomba kemea Hilo Mambo yatakwenda vizuli
Mungu akubariki katika kusimamia TAIFA LETU
AMINA
Kazi bado tunayo.
Mama umekula mpole Hilo nalo ni tatizo!
Usiwalaumu wasemaji au walioko Nyuma yako.
Usishangae hapo utapojua kwamba nawao wenyewe hawapendezwi na Hilo jambo na hawako tayari kulisemea na Kwa msingi mmoja wapo upande wa pili. Ni basi tu kitumbua kiendelee kuumuka!!
mama unasoma sana...komaa vitendo mama
Kila siku yeye ni mzuri sana wa kusema kufuatilia na vitendo hakuna vikao kila siku
MAMA SAMIA MAISHA MAGUMU SANA TZ
Yatie grisi yalainike.
Good
Hana lolote bhana sikichukii chama namchukia kiongozi safari Kila mda hasikilizi wananchi
Vitendo hauna mama daaah, unaongea saana
Kweli
Ubiri aanze kuunda kundi la washenzi na wahalifu kama vile watu wasojulikana na kuanza kuteka watu na kuwaua,kuwapiga risasi na lkuwalazimisha watu watoe hela kwa nguvu kama alivyokuwa akifanya Sabaya,Gambo,Makonda na wengi wengineo
R I P JPM
kafa tena au 🙄
@@fayzfadhil5921 kaliulize simi la....yako 🤣
na ww kaulize mkundu wa mama yako khanithi wa kike msenge wa malindi wahuni wanakukamia mbele na nyuma na kuma la mamako
@@fayzfadhil5921 tulia mra Kiti moto mwezi Ramadhani #KoKo 🤣🤣
Kauwa watu wengi kuanzia kibiti hadi Ben Saa Nane mwandoshi wa habari Azory Gwamba,kupigwa risasi bila hurma kinyama kabisa kila siku wakiokotwa watu ndani ya viroba bichi jee kati yabwatu hao angelikuwepo baba yako,mjomba wako au kaka yako ungelikuwa na ujasiri wa kutuma hii wenzako wamefanyiwa hayo mauvu na Magu
Watanzania wazalendo hatukuelewi kabisa.maana unaongea bila kufanya kazi
Wazalendo wa kweli tunamuelewa sana mama samia wewe sio Mzalendo wewe ni PIMBI TU huna lolote ujualo
Mmmmh Nenda kafanye wewe
@@saidkipalo4427 bado anakazi ya ziada kuongeze zaidi kasi ana watu wazuri wakumsaidi ajapata watu sahii
Mama ameupiga mwingi sana
Piga kazi mama kaza kdg ofisi za serikali Kuna baadhi ya watu wanaleta mazoea na dharau kazini
Mh. Umesema kwa ubora wa hari ya Juu sana. Lakini uwe mkali kwa matumizi ya Serikali.
Mama Tunakupenda, ila mfumo wa watu wako ukiuchekea utakuangusha na baadae huo huo ndio utakucheka na kukuponda. Wapinzani waache wakusaidie kufukua madudu maana mfumo wako unalindana sana
Tatizo lako mama hutoi maamzi yaaina yoyote kila kitu unaongea kama angalizo tu
Design kama kikwete
Eti Nendeni mkapaangalie na hapa mlifanyie kazi!!
Umeshavuna pabovu Kuna tatizo na umejua lilipo bado unawaachilia!! Kweli!!
Ugomvi uliosema Kati yao sio ugomvi shida ni nakubaliana ya jinsi watakavyo pangilia na jugawana keki Kwa asilimia kubwa badala ya kulenga matumizi yake! Utajashangaa baadhi ya miradi kutokamilika ndipo utajua haujui!! Kazi ipo!
Mama piga kazi wenye akili na Wazalendo wa kweli Tunakuelewa sana Mama kazi Iendelee 🙌
Unajua maana ya uzalendo au ndio yamladi umesema pumbavu we 🤣
Thanks for the updat and for thete
@@shinipapaya846 UZALENDO ndio Utaujua wewe Sasa Punguani? Nyinyi Endeleeni tu kuumia Samia ndio Rais na wenye akili tumamuelewa sana Rais wetu
Unafadhiliwa na CCM, wamekushonea sale na kofia ya kijani 😂😂
@@daudimchileg307 hata wewe Umefadhiliwa na CCM vile vile
Uko vizuri mama kwani tumbuatumbua ni udhalilishaji ila mama swala la kikokotoo linaharibu imani ya watumishi kwa serikali yao
Nikiwaza kikokotoo tu Ari ya kufanya kazi inaisha
Kisima kuwa na maji ya chimvi kuna njia ya kuyatibu yaweze tumika kama maji ya kwaida hapa wahusika wapate Elimu utaalamu ya utabibu wa maji, Dunia imeendelea, uvuvu uwajibikaji wa sekta husika
Kutibu maji ya chumvi ni ghali mno
Inapaswa kufanyika kwa softening
Pesa zinaibiwa mama waajibishe
Janga la maumbile pia ni janga msilifumbie macho kuendelea kufanya kosa ni kosa kubwa tumuogope Mungu KIAMA KINAPIGA HODI UTAAHIRA UNASHAMIRI UPUUZI UNADUMU HATARI IMEJIJENGA MATOKEO TUSIOMBE YADHIHIRI
Mama saf
Mama siyo mtu wa maneno , mnataka aweje , hamuoni anavo pangua? Au mumezoea masifa mtu mbaka ajisifu kila akipità
Okay ntii naie
Nimeanza kumuele mama mzikiwake nisididii 100000000000
Wewe fanya kazi hao walio wengi ni vinyonga japo siyo wote
Tutaona mengi
Waydad vs As Vita
Utawala wa kujitolea ndio kazi
Lema yamuhusu nn kama c fatani mkubwa
Mama nimekuelewa wanaokukwamisha viongozi wa mikoa
Mhmmmmm nchi hiii Mungu aisimamie tu
Mm mtunbuu tu.anayehuzika.na.maji. Arusha maji hayafai kabisa
Sombetini mama maji hayafai hata kufulia tuu
Serikali legelege hujitanabaisha kwa kupambana na wafanyabiashara wadogo wadogo, Kodi na tozo zisizotekelezeka, ubabaishaji wa bidhaa feki zinazopelekwa sokoni toka ndani na nje kama mchanga kujazwa kwenye mifuko ya mbolea nk nk nk.
Mama Unatoa hotuba nzuri,lakini ngonjera nyingi,mashairi mengi,na hutoi angalizo na mipaka juu ya wanaofanya kazi serikalini hivyo basi je utamridhisha kila mtu? Ukweli mama Watu bado wanakuelewa lakini matendo juu ya wafanya kazi wako wanakuwa wajeuri sana ,hospital ,maofisi mbalimbali mambo hayaendi mama
kwani anaongea jamn dah!!
Kazi iendelee
Wameanza kuwa na hofu, achane matendo yenu yaongee
Mama ongoza nchi mpaka uwe bibi
Uko vzr Mama tatizo upole umezidi kuwa mkali
Naishauri serkali kuwa
Semina ziwepo bila wajumbe kulipwa pesa
Tuache kulipana kwa sababu sote tunajenga nchi moja