BAADA YA LEMA KUTEMA NYONGO RAIS SAMIA AMVAA KIONGOZI ARUSHA"MAJI YA CHUMVI/ANAROPOKA MNAMUANGALIA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 03. 2023
  • BAADA YA LEMA KUTEMA NYONGO RAIS SAMIA AMVAA KIONGOZI ARUSHA "MAJI YA CHUMVI/ANAROPOKA MNAMUANGALIA"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Komentáře • 101

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před rokem +11

    Siasa safi na uongozi bora hapo ndio mtihani mkubwa!
    Katiba mpya itaboresha maeneo hayo muhimu...halahala mchakato uanze pasi kuchelewa zaidi!

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 Před rokem +1

    Hongera sana Mheshimiwa Rais wetu mama yetu kwa utendaji wako na Hekima kubwa uliyo nayo,Mungu akubariki sana na akutunze daima.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +9

    KWELI MAMA MAJI ARUSHA HAYAFAI,HAYAFAI KUNYWA WALA KUPIKIA YANA CHUMVI NA MAGADI!BORA WATURUDISHIE YALE YETU YA ZAMANI!

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Yale ya zamani yameisha au yameenda wap?

  • @mwaisumbemwaisumbe2585
    @mwaisumbemwaisumbe2585 Před rokem +6

    Great speech ever 👏 be blessed Lovely President

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem +12

    Wapi bomba la mafuta .wapi bwawa ambalo lilitakiwa liwe linafanya kazi miaka kadhaa iliyopita? Wapi bima yaafya toka 30 had 360000. Kuingiza umeme jpm kututoka tu tunaambiwa 27 haitoshi lln kwakwe ilitosha.umeme na maji mgao

    • @blockchain1203
      @blockchain1203 Před rokem

      Yqqani Bongo Bahati Mbaya Jinsi tu ulivyo Comment Unaonyesha Hufuatilii Mambo Yanaendaje..Nakuhurumia Sanaa Tz tuna safari ndefu

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před rokem +1

    Mama mh.Rais Dk.Suluhu unakwenda vizuri sana, japo kivukoni imeyeyuka umeanzisha msasa mwingine wa uongozi bora ili watulie katika chombo,waache mazoea ya kimfumo wakati Nahodha unakiongoza kuwavusha watanzania tuondokane salama na umaskini, hofu, na ubabe wa viongozi wasaidizi wako. Kazi iendelee...

  • @lukmaysamwel8927
    @lukmaysamwel8927 Před rokem +2

    Rais wetu kweli unapamba sana Ila tukuombe pia chungusa sana mwenendo ya uwekezaji na wanyakazi waliyo nayo wanavyotezeka kwa haki za kutopewa.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem +8

    Mama hushughulikii sana watanzania wa hali ya chini

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 Před rokem

      Unataka apite mitaani ki

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 Před rokem

      Unataka apite mitaani agawe pesa na chakula ? Mnakaa vilabuni na mabaa mkinywa pombe huku mkilalamika maishs magumu. Sisi wenyewe tunafanya maisha yetu kuwa magmu kwa kupenda anasa.

    • @carlosmzena548
      @carlosmzena548 Před rokem

      Pesa halmashauri haujaomba mashamba yanagawiwa huombi unalaumu relax tuishi

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Unataka aje kunywa chai na vitumbua hapo kwako?😆

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před rokem +2

    Wacha kupotosha watu bhana wee na heading yako mbovu kabisa ya kifatani Lema mwenyewe fatani muogope mungu wako kuandika uongo mtupu

  • @abuialmarjibi979
    @abuialmarjibi979 Před rokem +4

    Mama dawa ni kutumbua tu ndio watakuelewa

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem +6

    Nchi haijulikani sasa inajishughulisha na nn.hakuna miradi mipya yazamani haiishi

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Před rokem

      Nenda kongo

    • @rosiehaggrey7557
      @rosiehaggrey7557 Před rokem

      Hamia Burundi

    • @asiakheir8684
      @asiakheir8684 Před rokem

      Nyumbani kwako umemaliza?

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Před rokem

      Mbona huyo aliyoianzisha mpaka kafa hakuimsliza kwa miaka saba .unataka yeye aimalize kwa muda mfupi?Na mpaka anakufa kaacha mirsdi ya matrilioni kama reli bwawa na Dodoma maofisi na mabarabara ya mjini hakuacha centi moja mpaka kifo chake wewe unachukulia mambo rahisi rahisi tu

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem +1

      @@maulidimuhammed7851 ilitakiwa lini ikamilike?

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před rokem +3

    Sidhani kwa hivi tutavuka hatua,mashahiri na ngonjera mafumbo mengi hakuna utekelezaji

  • @ruahakennelsandvetservices6567

    Rais yaani Maji kuwa na chumvi Tu ya ardhini mbona ni issue ndogo sana, hebu angalia waaarabu wanayatibu maji ya bahari kuwa ya matumizi ya kawaida Kwa mwanadamu Rais unaongea Kwa upole hivyo? Watendaji ilitakiwa uwafumue haraka.

  • @joelmwanja211
    @joelmwanja211 Před rokem

    Hongera mama, ni kweli Tatizo ni hao tulio waamini kwenye vitengo wanawafanya wanainchi waichukie serikali, ama watu wakuona wewe kana kwamba hautufai, kumbe wao ndiyo tatizo. Hongera pigs kazi.

  • @jeremiamalima9112
    @jeremiamalima9112 Před rokem +5

    Apo uripoishia achia wengine

  • @zainabomar5144
    @zainabomar5144 Před rokem

    Mama nakupenda sana,kazi iendelee,,, nataman siku nikuone live

  • @ayubukivuyo2904
    @ayubukivuyo2904 Před rokem

    Mama hongera tumbua hao wavivu na welevi wa madaraka

  • @marryjohn-kd2tu
    @marryjohn-kd2tu Před rokem +2

    Hawana wema hao, wananza matuc bada kuomgelea matatzo ya watanzania

  • @josephhaule3563
    @josephhaule3563 Před rokem

    👏👏👏

  • @yohanasimkanga3847
    @yohanasimkanga3847 Před rokem

    Rais uko sahihi saana viongozi wakongwe NI tatizo saana
    Kila kiongozi mpya anapofika kituo Cha kazi ameambiwa hapa tunaishi hivi
    Naomba kemea Hilo Mambo yatakwenda vizuli
    Mungu akubariki katika kusimamia TAIFA LETU
    AMINA

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před rokem +3

    Kazi bado tunayo.
    Mama umekula mpole Hilo nalo ni tatizo!
    Usiwalaumu wasemaji au walioko Nyuma yako.
    Usishangae hapo utapojua kwamba nawao wenyewe hawapendezwi na Hilo jambo na hawako tayari kulisemea na Kwa msingi mmoja wapo upande wa pili. Ni basi tu kitumbua kiendelee kuumuka!!

  • @bengang3265
    @bengang3265 Před rokem +2

    mama unasoma sana...komaa vitendo mama

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem +1

      Kila siku yeye ni mzuri sana wa kusema kufuatilia na vitendo hakuna vikao kila siku

  • @tatotato506
    @tatotato506 Před rokem +2

    MAMA SAMIA MAISHA MAGUMU SANA TZ

  • @godlovekinyunyu-lk3hu

    Good

  • @juliasjoshua1931
    @juliasjoshua1931 Před rokem +1

    Hana lolote bhana sikichukii chama namchukia kiongozi safari Kila mda hasikilizi wananchi

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před rokem +2

    Vitendo hauna mama daaah, unaongea saana

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem +1

      Kweli

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Před rokem

      Ubiri aanze kuunda kundi la washenzi na wahalifu kama vile watu wasojulikana na kuanza kuteka watu na kuwaua,kuwapiga risasi na lkuwalazimisha watu watoe hela kwa nguvu kama alivyokuwa akifanya Sabaya,Gambo,Makonda na wengi wengineo

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před rokem +7

    R I P JPM

    • @fayzfadhil5921
      @fayzfadhil5921 Před rokem

      kafa tena au 🙄

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před rokem

      @@fayzfadhil5921 kaliulize simi la....yako 🤣

    • @fayzfadhil5921
      @fayzfadhil5921 Před rokem

      na ww kaulize mkundu wa mama yako khanithi wa kike msenge wa malindi wahuni wanakukamia mbele na nyuma na kuma la mamako

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před rokem

      @@fayzfadhil5921 tulia mra Kiti moto mwezi Ramadhani #KoKo 🤣🤣

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Před rokem

      Kauwa watu wengi kuanzia kibiti hadi Ben Saa Nane mwandoshi wa habari Azory Gwamba,kupigwa risasi bila hurma kinyama kabisa kila siku wakiokotwa watu ndani ya viroba bichi jee kati yabwatu hao angelikuwepo baba yako,mjomba wako au kaka yako ungelikuwa na ujasiri wa kutuma hii wenzako wamefanyiwa hayo mauvu na Magu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem +4

    Watanzania wazalendo hatukuelewi kabisa.maana unaongea bila kufanya kazi

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 Před rokem

      Wazalendo wa kweli tunamuelewa sana mama samia wewe sio Mzalendo wewe ni PIMBI TU huna lolote ujualo

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Před rokem

      Mmmmh Nenda kafanye wewe

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 Před rokem +1

      @@saidkipalo4427 bado anakazi ya ziada kuongeze zaidi kasi ana watu wazuri wakumsaidi ajapata watu sahii

  • @edenilyimoedenilyimo-we6dg

    Mama ameupiga mwingi sana

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Před rokem

    Piga kazi mama kaza kdg ofisi za serikali Kuna baadhi ya watu wanaleta mazoea na dharau kazini

  • @stephenmabinza9043
    @stephenmabinza9043 Před rokem

    Mh. Umesema kwa ubora wa hari ya Juu sana. Lakini uwe mkali kwa matumizi ya Serikali.

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Před rokem

    Mama Tunakupenda, ila mfumo wa watu wako ukiuchekea utakuangusha na baadae huo huo ndio utakucheka na kukuponda. Wapinzani waache wakusaidie kufukua madudu maana mfumo wako unalindana sana

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem +2

    Tatizo lako mama hutoi maamzi yaaina yoyote kila kitu unaongea kama angalizo tu

    • @PeterNMzee
      @PeterNMzee Před rokem +2

      Design kama kikwete

    • @tibbsminja2575
      @tibbsminja2575 Před rokem +2

      Eti Nendeni mkapaangalie na hapa mlifanyie kazi!!
      Umeshavuna pabovu Kuna tatizo na umejua lilipo bado unawaachilia!! Kweli!!
      Ugomvi uliosema Kati yao sio ugomvi shida ni nakubaliana ya jinsi watakavyo pangilia na jugawana keki Kwa asilimia kubwa badala ya kulenga matumizi yake! Utajashangaa baadhi ya miradi kutokamilika ndipo utajua haujui!! Kazi ipo!

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Před rokem +4

    Mama piga kazi wenye akili na Wazalendo wa kweli Tunakuelewa sana Mama kazi Iendelee 🙌

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před rokem +1

      Unajua maana ya uzalendo au ndio yamladi umesema pumbavu we 🤣

    • @damaspmtz1018
      @damaspmtz1018 Před rokem

      Thanks for the updat and for thete

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 Před rokem

      @@shinipapaya846 UZALENDO ndio Utaujua wewe Sasa Punguani? Nyinyi Endeleeni tu kuumia Samia ndio Rais na wenye akili tumamuelewa sana Rais wetu

    • @daudimchileg307
      @daudimchileg307 Před rokem

      Unafadhiliwa na CCM, wamekushonea sale na kofia ya kijani 😂😂

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 Před rokem

      @@daudimchileg307 hata wewe Umefadhiliwa na CCM vile vile

  • @ngenzaprimaryschool9508

    Uko vizuri mama kwani tumbuatumbua ni udhalilishaji ila mama swala la kikokotoo linaharibu imani ya watumishi kwa serikali yao

  • @markangel1588
    @markangel1588 Před rokem +1

    Kisima kuwa na maji ya chimvi kuna njia ya kuyatibu yaweze tumika kama maji ya kwaida hapa wahusika wapate Elimu utaalamu ya utabibu wa maji, Dunia imeendelea, uvuvu uwajibikaji wa sekta husika

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Před rokem

    Pesa zinaibiwa mama waajibishe

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před rokem

    Janga la maumbile pia ni janga msilifumbie macho kuendelea kufanya kosa ni kosa kubwa tumuogope Mungu KIAMA KINAPIGA HODI UTAAHIRA UNASHAMIRI UPUUZI UNADUMU HATARI IMEJIJENGA MATOKEO TUSIOMBE YADHIHIRI

  • @elasmohaule-th5dp
    @elasmohaule-th5dp Před rokem

    Mama saf

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Před rokem

    Mama siyo mtu wa maneno , mnataka aweje , hamuoni anavo pangua? Au mumezoea masifa mtu mbaka ajisifu kila akipità

  • @tpanrag3976
    @tpanrag3976 Před rokem

    Okay ntii naie

  • @costantinlucas-bg4wg
    @costantinlucas-bg4wg Před rokem

    Nimeanza kumuele mama mzikiwake nisididii 100000000000

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před rokem

    Wewe fanya kazi hao walio wengi ni vinyonga japo siyo wote

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Před rokem

    Tutaona mengi

  • @allykingu6954
    @allykingu6954 Před rokem

    Waydad vs As Vita

  • @AliKPandu
    @AliKPandu Před rokem

    Utawala wa kujitolea ndio kazi

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před rokem

    Lema yamuhusu nn kama c fatani mkubwa

  • @salbokosaid8992
    @salbokosaid8992 Před rokem

    Mama nimekuelewa wanaokukwamisha viongozi wa mikoa

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před rokem

    Mhmmmmm nchi hiii Mungu aisimamie tu

    • @floridachami9090
      @floridachami9090 Před rokem

      Mm mtunbuu tu.anayehuzika.na.maji. Arusha maji hayafai kabisa

  • @judithsarakikya6498
    @judithsarakikya6498 Před rokem

    Sombetini mama maji hayafai hata kufulia tuu

  • @simonkabuka9170
    @simonkabuka9170 Před rokem

    Serikali legelege hujitanabaisha kwa kupambana na wafanyabiashara wadogo wadogo, Kodi na tozo zisizotekelezeka, ubabaishaji wa bidhaa feki zinazopelekwa sokoni toka ndani na nje kama mchanga kujazwa kwenye mifuko ya mbolea nk nk nk.

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před rokem

    Mama Unatoa hotuba nzuri,lakini ngonjera nyingi,mashairi mengi,na hutoi angalizo na mipaka juu ya wanaofanya kazi serikalini hivyo basi je utamridhisha kila mtu? Ukweli mama Watu bado wanakuelewa lakini matendo juu ya wafanya kazi wako wanakuwa wajeuri sana ,hospital ,maofisi mbalimbali mambo hayaendi mama

  • @barakaothumani6421
    @barakaothumani6421 Před rokem

    kwani anaongea jamn dah!!

  • @isaacmwaseba9972
    @isaacmwaseba9972 Před rokem

    Kazi iendelee

  • @eleonorabokewarioba4420
    @eleonorabokewarioba4420 Před rokem +1

    Wameanza kuwa na hofu, achane matendo yenu yaongee

  • @sikujuahamisi7252
    @sikujuahamisi7252 Před rokem

    Mama ongoza nchi mpaka uwe bibi

    • @abdull7098
      @abdull7098 Před rokem

      Uko vzr Mama tatizo upole umezidi kuwa mkali

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před rokem +2

    Naishauri serkali kuwa
    Semina ziwepo bila wajumbe kulipwa pesa
    Tuache kulipana kwa sababu sote tunajenga nchi moja