KIBALI UJENZI BOMBA la MAFUTA CHATOLEWA, WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZIA FAIDA ZAKE...
Vložit
- čas přidán 20. 02. 2023
- Serikali kupitia Wizara ya Nishati imekabidhi kibali cha ujenzi wa Bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki kwa kampuni ya EACOP Tanzania LTD kwaajili ya kuanza Ujenzi wa Bomba hilo kutoka Mtukula hadi Chongoreani Mkoani Tanga.
Akizungumza Katika hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo Februari 21,2023 Jijini Dar es Salaam Waziri Wa Nishati Januari Makamba amesema kuwa mchakato wa kukabidhi kibali hicho umezingatia masuala ya utunzaji wa mazingira pamoja na haki za binadamu...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Huyu jamaa hata aongee nini simuelewi kabisa.
Mwanzoni nilitia tamaa tutanunua mafuta kwa 1,000 kumbe kwa mwananchi haisaidiii
Naiyona tanga inakuwa ileeee
Kwanini msijenge mitambo ya kuchakatia Hapa Hapa kwetu ili tunufaike na unafuu WA bei??
Ni kampuni ya KiTanzania ndio itajenga bomba
Tanzania na Afrika chini ya jangwa la Sahara hatujafikia huko. Hata hivyo, tumpongeze Waziri kwa kazi kubwa ya kufanikisha ndoto hii ya muda mrefu. Manufaa ni makubwa na kwa miaka mingi sio kwa Uganda tuu, lakini hata kwa Tanzania
Hapo AFRIKA TUNAPOFELI, TUSAFIRISHE MAFUTA GAFI, BANDARINI TANGA HAKUNA ENEO LA KUYASAFISHA? ILI BEI IONGEZEKE NA KUTOA AJIRA?
Wazungu hawatakubali Hilo milele.