![ELIMU TZ TV](/img/default-banner.jpg)
- 745
- 252 731
ELIMU TZ TV
Tanzania
Registrace 9. 06. 2014
This is an Official page for the Ministry of Education, Science and Technology
WAANDISHI WA VITABU WAITWA TET KUPATA ITHIBATI VITUMIKE KATIKA SHULE
WAANDISHI WA VITABU WAITWA TET KUPATA ITHIBATI VITUMIKE KATIKA SHULE
zhlédnutí: 2
Video
PROF ADOLF AGOSTI 2, 2024 AMEZINDUA KATIBU 'TANGLES WEB'
zhlédnutí 9Před 10 hodinami
PROF ADOLF AGOSTI 2, 2024 AMEZINDUA KATIBU 'TANGLES WEB'
PROF NOMBO AITAKA BODI MPYA ADEM KUSIMAMIA NA KUTEKELEZA MAJUKUMU YA KISHERIA
zhlédnutí 25Před 13 hodinami
PROF NOMBO AITAKA BODI MPYA ADEM KUSIMAMIA NA KUTEKELEZA MAJUKUMU YA KISHERIA
PROF MKENDA AZINDUA BODI MPYA YA USHAURI YA WAKALA WA MAENDELEO YA UONGOZI WA ELIMU (ADEM)
zhlédnutí 45Před 17 hodinami
PROF MKENDA AZINDUA BODI MPYA YA USHAURI YA WAKALA WA MAENDELEO YA UONGOZI WA ELIMU (ADEM)
58% NGUVU KAZI YA WATANZANIA INAFANYA SHUGHULI VIJIJINI
zhlédnutí 85Před 4 hodinami
58% NGUVU KAZI YA WATANZANIA INAFANYA SHUGHULI VIJIJINI
MKENDA ATEMBELEA CHUO CHA UFUNDI KIBOSHO KILICHOJENGWA KWA NGUVU ZA WANANCHI
zhlédnutí 43Před 4 hodinami
MKENDA ATEMBELEA CHUO CHA UFUNDI KIBOSHO KILICHOJENGWA KWA NGUVU ZA WANANCHI
WANAKIJIJI NA WANAFUNZI NAO HAWAKUASITA KUSEMA YA MOYONI
zhlédnutí 50Před 4 hodinami
WANAKIJIJI NA WANAFUNZI NAO HAWAKUASITA KUSEMA YA MOYONI
CHUO CHA UFUNDI ARUSHA KAMPASI YA KIKULETWA KITAKUA KITUO CHA UMAHIRI CHA NISHATI JADIDIFU - HAI
zhlédnutí 132Před 7 hodinami
CHUO CHA UFUNDI ARUSHA KAMPASI YA KIKULETWA KITAKUA KITUO CHA UMAHIRI CHA NISHATI JADIDIFU - HAI
PROF. MKENDA AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA KITUO CHA UMAHIRI CHA NISHATI JADIDIFU - KIKULETWA
zhlédnutí 110Před 7 hodinami
PROF. MKENDA AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA KITUO CHA UMAHIRI CHA NISHATI JADIDIFU - KIKULETWA
Mhe. Saashisha ajivunia uwepo wa Chuo cha Ufundi Arusha Kampasi ya Kikuletwa katika Jimbo lake - Hai
zhlédnutí 58Před 9 hodinami
Mhe. Saashisha ajivunia uwepo wa Chuo cha Ufundi Arusha Kampasi ya Kikuletwa katika Jimbo lake - Hai
SUALA LA KUTOA CHAKULA NA LISHE SHULENI NI JUKUMU LETU SOTE - PROF. NOMBO
zhlédnutí 179Před 16 hodinami
SUALA LA KUTOA CHAKULA NA LISHE SHULENI NI JUKUMU LETU SOTE - PROF. NOMBO
MPANGO WA CHAKULA SHULENI UNA MCHANGO MKUBWA KATIKA UFAULU KWA WANAFUNZI - PROF MKENDA
zhlédnutí 191Před 16 hodinami
MPANGO WA CHAKULA SHULENI UNA MCHANGO MKUBWA KATIKA UFAULU KWA WANAFUNZI - PROF MKENDA
HATUJA SITISHA KIDATO CHA TANO TUMEAHIRISHA - PROF. MKENDA
zhlédnutí 39KPřed 16 hodinami
HATUJA SITISHA KIDATO CHA TANO TUMEAHIRISHA - PROF. MKENDA
LISHE KUPATIKANA SIKU ZOTE TANO ZA WIKI SHULENI- MWL. AMINA
zhlédnutí 30Před 19 hodinami
LISHE KUPATIKANA SIKU ZOTE TANO ZA WIKI SHULENI- MWL. AMINA
WADAU MBALIMBALI KATIKA KONGAMANO LA KITAIFA LA UTOAJI CHAKULA NA LISHE SHULENI
zhlédnutí 50Před 19 hodinami
WADAU MBALIMBALI KATIKA KONGAMANO LA KITAIFA LA UTOAJI CHAKULA NA LISHE SHULENI
TULINDE WATOTO WETU MAANA NDIO TAIFA LA KESHO
zhlédnutí 37Před 19 hodinami
TULINDE WATOTO WETU MAANA NDIO TAIFA LA KESHO
TUTUNZE WATOTO WETU KWANI NI RASILIMALI PEKEEE DUNIANI- DKT. MTAHABWA
zhlédnutí 77Před 19 hodinami
TUTUNZE WATOTO WETU KWANI NI RASILIMALI PEKEEE DUNIANI- DKT. MTAHABWA
KITUO CHA UMAHIRI CHA UMEME JADIDIFU CHAJENGWA WILAYANI HAI
zhlédnutí 259Před 19 hodinami
KITUO CHA UMAHIRI CHA UMEME JADIDIFU CHAJENGWA WILAYANI HAI
NONDO ZA PROF. MKENDA KUHUSU MABADILIKO YA MTIHANI DARASA LA SABA
zhlédnutí 1,6KPřed dnem
NONDO ZA PROF. MKENDA KUHUSU MABADILIKO YA MTIHANI DARASA LA SABA
VETA NJOMBE TUMEJIANDAA KUANZA MASOMO HIVI PUNDE
zhlédnutí 22Před dnem
VETA NJOMBE TUMEJIANDAA KUANZA MASOMO HIVI PUNDE
MICHEZO ITASAIDIA VIJANA KUJIEPUSHA NA MATENDO MAOVU
zhlédnutí 67Před dnem
MICHEZO ITASAIDIA VIJANA KUJIEPUSHA NA MATENDO MAOVU
DKT RWEZIMULA AWAITA WANANCHI KUJIUNGA VETA NJOMBE
zhlédnutí 28Před dnem
DKT RWEZIMULA AWAITA WANANCHI KUJIUNGA VETA NJOMBE
NECTA YAFANYA MABORESHO YA FOMATI YAMTIHANI WA DARASA LA SABA
zhlédnutí 203Před 14 dny
NECTA YAFANYA MABORESHO YA FOMATI YAMTIHANI WA DARASA LA SABA
MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU AZUNGUMZIA MIRADI YA ELIMU ALIYOWEKA JIWE LA MSINGI
zhlédnutí 89Před 14 dny
MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU AZUNGUMZIA MIRADI YA ELIMU ALIYOWEKA JIWE LA MSINGI
Mbunge Sumbawanga aelezea namna VETA RUKWA itakavyotoa fursa kwa vijana
zhlédnutí 23Před 14 dny
Mbunge Sumbawanga aelezea namna VETA RUKWA itakavyotoa fursa kwa vijana
Wanafunzi wetu Hawana uwezo wa ku competent na wanafunzi wa nje hta kidogo
Mie sasa hivi naona form five waende wale genius ambao watakuja kuwa professor, n.k Vyuo viwe vingi vya art. Veta iboreshwe
Tengenezeni shule za vipaji tangu shule za awali. Tupate wataalamu wakiwa wadogo. China vijana miaka 16 ameshaanza kutafuta hela
Hongera professor wetu nakuamini
Hivi mh kwanini msifanye kitu rahisi cha kufanya vijana wenu kujikwamua na hali ngumu ya maisha kuliko kuiga kila kitu toka huko ulaya ikiwa mnapoteza muda na kutufanya vijana vilema wa kudumu hivi miaka yote hiyo hamjawahi kulifikilia hili ikiwa mnaona maisha ya vijana wengi yanavyokuwa magumu mkitaka ushauri nipo kwaajili ya kiwashauri serikali yangu
Hizi comb Mpya zenye Fa na Li tunaomb kupata ufafanuzi
Vipi hostel zipo...?
Kwa maana hiyo hapo kwa form five tunaendelea na mtaala wa zamani as usual?
Wow
Hao wadau ni wapiii? Wakati walimu wenyewe hawajui
Hello habari nashukuru sana professor nimekuelewa me ni moja ya walimu nilikuwa natoa ushauri naomba muangalie somo la history na civics kwa umakini sana huko ndio kuna ugonjwa mkubwa sana wa maadili yetu ya kiafrika ninaomba tuubadilishe maana hizi tamaduni za magharibi zinatuchanganya
Cha msingi tunakosa kusoma kwa vitendo vya kutosha na wataalam katika ujasiriamal na hiz biashara, andaeni curriculum za vitendo mashuleni na waalim wenye utaalam na msimamie. Acheni kuhangaisha watoto kwa masomo meng na mitaala isio make sense wala haiboreshi skill za wanafunzi.
Sawa nimekuelewa professor
Mnaakili sana nimewapata😊
Mm cjaelewa
Sera huwa zintungwa na akina nani? Zenyewe hazinaga kukusanya maoni kwa wenye nchi? Akija waziri mwingine ruksa kuchezea katiba aliyoikuta? Naomba nijibiwe kwa faida ya wengi.
Hongereni
Maelezo mazur sana
Kukurupuka ni jambo baya sana ,,hatuwez kufanya mabadiliko kwa kuingiza jambo jipya kwa nchi nzima ,, tungeanza na makundi machache
Well
Kwenye hiyo mitaala muweke SoMo la katiba na Sheria watanzania hawajui chochote juu ya hivi?
Kikubwa dada ni kuongozwa na roho mbona hata sehemu zingine mnaalikwa na wachungaji ambao si wa kiMungu na tuna jua mtu asilokuwa wa Mungu huyo you kinyume nasi. Waimbaji wengi sikuhizi wanahudumu kwenye madhabahu za kishetani bila hata kujua. Sio yote yanayooonekana Ni makanisa Basi Ni makanisa kweli Kwa hiyo narudi pale pale Kikubwa ni kuongozwa na roho mtakatifu basi
Bado tutaambiwa mwanadamu wa kwanza alikuwa nyani?
Bado tutaambiwa mwanadamu wa kwanza alikuwa nyani?
Kila kitu kina historia iwe mbaya iwe nzur mf familia ina hist yake ukoo kabila din ugonjwa bila historia ya kitu nchi kwahiyo tunaenda kwa historia
Wekeni na katiba ifundishwe kama somo
Wazo zuri sana hili
Shida ni kwamba serikali haipendi kila mtanzania aielewe ipasavyo katiba ya nchi yake......italeta vurugu pia
Hamnamo mali humo kaja kuvuruga kila kitu huyu
From #EconomicallyGrowthMusicians Bora tu maana tulisomaga mengi sana bado maisha yatusapa Kitaa hivyo kwa Niaba ya Wasaka Tonge Bora hiyo Mtaala ya Biashara, Ujasilimali n.k ila Kwa Wale wa Muziki Mtupeni EGM🎉🎉🎉 Congratulations 🎉🎉🎉🎉
Miundombinu na walimu wa shule ya msingi ndo shida ili mtaala uende vizur
Kiongoz ikiwa wanafunz watosoma lugha zaid ya nne jee dhaman ya kiswahil chetu ipo wap c kitaenda kufa kwann tucwek hayo masom kwa lugha yetu hat kma itakua kifaransa bac iwe ni kam som tu na zisipew kipaombel tukasahau kiswahil chet
Kwenye mitaala hiyo mipya kumewekwa somo la mazingira? Mazingira ya usafi, athari za kutupa taka hovyo, litter management n.k.. n.k. na elimu hii ianzie kwenye shule za awali. Kwenye swala zima la usafi ni rahisi kufundisha tangu mtu akiwa mtoto na kumjengea mazingira ya usafi.
Nchi iprint vitabu humu humu,kuna wataalam wengi sana wakuandaa vitabu,wataalam ni wengi sana jana,anayehitaji ananitafute ni mwelekeze, Vitabu bora sana
❤ kila kitu huendana na wakati tuliopo. Taaluma hubadiki pamoja na masomo yake.
Nivizuri lakini tunaomba government iangalie na arts pia
Huyu professor namhusudu, big brain, my roll model
That beautiful but why only science and not arts .......we also what scholarship for art's takers😢
Yaaani hapo naona ni kero sana. No hatari tunakoenda . Tuombe Mungu tu . Sioni mabadiliko yanayokuja haraka hivyo .
Professor unaongea vizuri sana ila mabadiliko ktk Elimu hayahitaji haraka ni polepole . Mkikurupuka tutarudi nyuma sana. Hakuna haraka .fanyeni taratibu.
Katika kitu kinachonishangaza ni kuingiza SoMo la dini wakati serikali yetu Haina dini !!!
Rais u.etuletea mtu wa kujaribu sasa...wakishindwa watasema tulikuwa tunajaribu...na wale waliojaribiwa watabaki na ujinga au watarudia vidato?
Watu wa nchi hii kama hatuna akiri...eti anasema kwa bahati mbaya vitabu vinachapwa nje ya nchi..du...kuna makampuni ya uchapaji pale pugu road yanachapa hadi nakala milioni moja kwa siku inategemea na ukubwa wa kitabu kwa ubora wowote mnaohitaji. Itakuwa mmewapa wachina nyie. Uchapaji wala sio ishu kama kazi iko tayari ktk pdf na vipimo vyake hakuna utaalamu zaidi ni kuweka karatasi zinazoitajika na kuprint tu...machine zinakata na. Kupanga . Ukimuuliza watakwambia wataalamu
Mkenda unataka kutuharibia mfumo wa elimu, watch out brother, mabadiko ya elimu ni gradual change sio immediately change, Utachemka, pole Sana Kwa kujaribu ila andaa mpango wa miaka 30 ijayo!!!!
Mfumo w elimu bongo ni mrefu mno kumbuka zamani waisoma madarasa ma 4 tu... Na walikuwa poa.....
Hapo Sasa elimu yetu saaaafi
Vitabu hivi vya awali ni vigumu Kwa wanafunzi mkenda
Ana elimu kubwa ila kichwani n ziro brain
Mimi nakuelewa vizuri sana professor, natamani wadau wa hii sector wakuelewe kama mm ila baada ya muda wataelewa.
Respect prof.
Hii elimu itakuwa ni mbovu kuliko elimu zote duniani, kwa namna hii tutakuwa na wajinga wengi mtaani kuliko siasa mnazoweka kwenye elimu
Mbona hapa km siasa inataka kuingia jmn ......hv printing ndo inakwamisha wizara nzima😅
MASOMO ya uongozi muhimu sana